MZEE ANAYEDAI KUWA YOHANA MBATIZAJI AMZIMA PASTOR NDACHA KAMA MSHUMAA
HTML-код
- Опубликовано: 28 май 2023
- Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu.
Tazama part 1 hapa • MKRISTO APAMBANA NA "K...
Am a Christian, but I have to admit that I love Islam teachings
.. I love what your doing bro.. Marshallah..
Bro try to follow him and some other religious comparative scholars and you will able to make a choice inshaAllah
Jesus is the only way that all human beings should submit their life to hime... because he is the only one who is offering eternal life..if u need the way to haven u should abide with him...If u need to see Father u should see him first...if u want righteousness and sin forgive u should submit to him as a high priest...
There is no way that u can escape to Jesus..no way
Uislamu ni njia ya Mola wako iliyo nyoyoka. Islam has no drama it’s a straight forward religion with all the answers to humanity. You ask you get the straight answer from the Koran.
Wow❤️❤️❤️❤️
Welcome to Islam dear wangu
Ustadh Ramadhan May Allah Azza wajjal reward you abundantly Allahumma Ameen coz the work you’re doing is very tough and convincing people it is very challenging ,May Allah makes it easier for you akhi
Allahumma AMEEN.
Allahummah aamiin yaa Rabbul aamiin!!
Maa shaa Allah
Sheikh Ramadhan Allah akutangulie kila khatwa yako.
Mumependeza mukiwa na kaka Ndacha ataposilimu mutafanya kazi ya Allah pamoja.
Ameen
Amiin
Ndugu zangu waislam.Tuombe saana ALLAH atufishe hali ya kuwa ni waislam wa kweli.Afadhar ukose mali, watoto lakini usiwe kwenye ukafir kama huu..Inauma sana ummat MUHAMMAD REHMA ZA ALLAH ZIWE JUU YAKE unapotea na kuangamia kwa kuipenda dunia.Laa haula walaaquwata illa billah.
Allahumma aameen yaarabb al alamiin
Kweli ndugu...Allah atufishe ilhali tuwaislamu sisi na watoto wetu na waislamu kwa jumla
Alhamdulilah kwa dini hii ya ukweli ya uislamu
Aamin yarab
Hehe kujichocha nayo 😂😂😂😂
Masha allahy Sheikh Ramadhani Mungu akupatie nguvu zzaidi zakuwaelimisha dini yakweli
Jazakallahu kheir sheikh Ramadan Allah awaongoze wajue ukweli
MashaAllah sheikh Ramadan kwa.kazi nzuri mungu atukupa kila la kheir kufundisha watu dini ya haki na ukweli na pia ni kazi ngumu manake kuna wale hata hawataki kuelewa
Asalam aleikum sheikh Ramadan tunakushuru sana Kwa hio kazi kubwa lakn Nina maoni yoyote akiuliza swali yake naomba lijibiwe vizuri apate kuulewa vizuri hayifayi kuruka na mwengine kama huyo ajaelewa vizuri Kwa nfano huo aliye ulizia kwanini Muna swali Kwa mikeka na Kwa Nini munavaa kanzu hokumpa jawabu vizuri apate kuulewa. Otherwise Kwa menging mengine tuna appreciate sana mola awazidishie Kila kheri.
Ubarikiwe shehi ramadhan kwa sababu ndacha anatoka jasho kwa wakristo wezake mpaka ameshindwa kuutetea wala haelewi Léo yuko na hoyana mbatizaji eti
Jazaakallah khayrii shekh
Mashallah masheikh Allah awalipe dunia na akhira waislamu hatuna jibu kesho mbele ya Allah koz wengi hawajaijua dini
Mshalah sheikh ramadan kuria bin kaguo umefikisha dawa watu wengi siku ya misho mungu anajua umefikisha
Watching this from green and spice island Zanzibar, hatimae Ndacha anakutana na watu walio mzidi hapati jibu sahihi juu ya maswali yake. Ili Ndacha asiteseke awe muislamu tu.
Haingii uislam
@@Catherine-mh8sw Hakuna ulazima wa kuingia ila ujumbe ni lazima kumfikishia.
Mungu azidi kumpa hekima na asiingie uisilamu dini ya majini
MASHAA ALLAH ❤❤
Masha Allah dawa inaendelea ishallah
Alhamdhullilah Allah kunijalia kua Muislam 🤲 na nijalia kurudi kwako hali yakua badoo ni Muislamu
Namuombea ndacha mungu amwinyeshe dini ya sahihi kwa hizi visa za kustaajabisha kwa sababu ndacha ni jamaa ako na akili
Yani mi hata uwa simuelewi huyu ndacha cjui ako na matatizo gani.
Allah akujaalie umri mrefu ndgu yet ktk imani🙏
Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh,
Allah awaongoze wasiyo kuwa waislam, na nyinyi Allah awapeni afya na nguvu, na awalindeni, Ameen!
Mashallah ALLAH AKBAR
Ustadh Ramadan mungu akulipe kheri inshallah usichoke kuwafundisha
asalam alykum www siyo mutu wote anapata bahati yakuwa mwislam mungu njo anaongoza mwenye anataka ndacha abaki uko kanisani azidi kukufuru
Mashallah mashallah mashallah mashallah,, ramadhan kuria bin kaguoo,, Allah akuongoze vyemaaa kwa Kaz njema
MASHA ALLAH
mashallah mashallah Allah akujaalie kher inshaallh
Subhaana Allah!
Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh
Kwani apa kuna magombano ya Mungu AMA nijwae juu mimi na jwa JEHOVA numbe kuna Mungu mwingine Napenda YESU ONLY the way Waislamu ni mpinga CHRISTO
Mashaallah 💯💯💯
Assallam aleikum shekhe wangu woooi yani 100 percent ukristo sio dini yani wamechanganyikiwa wote hawana muelekeo haki wafundishe ukweli wa Quran na Allah akufungulie mlango wa peponi inshaaAllah
Allahumma Aamin 🤲
Mungu mjalie lamazan
Mashallah Allah akujalie kila kheri kakaetu Ramadhan
To a point the writers of the Bible we’re thinking to even come up with the name to call God. They had to think and debate, they took out thousands of names to come up with the present day bible.
Sheikh Ramadan pongezi sana Allah akupee Afyaa na muda mrefu
Harun was Jewish, brother to Moses,, Jews more so Judaism the first religion, difference between Christianity and Islam is 700 years.but in Islam, infidels must be punished
@@simpsonisoe8994 Come to Islam the true religion of ALLAH
Ndacha na Ramadhan wana hekima na maarifa sana kwa kuuliza maswali ,
wote wa kikuyu
@@sirpleasureb 😅😅
Asc ustadh ramadhan,, ManshaAllah best content,,,
Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh
ivi vizee vimechanganyikiwa,.. njaa itawauwa washenzi nyie,.. mara yesu, mara nabii,. nabii anavaa kapelo, nabii anakuwa mchafu ivo puumbavu !! kwenye uislamu hakuna huu upuuzi,. proud to be a muslim haki
I wish we could earnestly practise what we believe without trying to disapprove what others believe.
Yaan ningekua hapo ningekua nacheka tuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
YESU Ni MFALME wa wafalme na atatawala milele andaeni njia maana anarudi kuchukua wanao mtafuta kwa kweli, na ukijiunga na uislam jeanamu inakungoja😭😭😭😭😭😭 don't try it
Kiswahili mufti kwa hawa watu wa Bungoma. Hongera
Assalam alaykum warahmatulullah wabarkatu, tume furai n'a Dawa
😂😂😂😂😂 nimecheka hustadhi ramadhan nawaombeya tote ALLAH awaongoze kwanjia yahaki insha Allah
😮hawa watu wako sawa kweli subhaana Allah
Ramadhan ALLAH SW akuhifadhi duniani na akhra maana wewe ni kiboko yao
❤
Waluhya Mutatumaliza,eti Yesu na Yohana ni Waluhya
nimepend hyo conversation ya yohana ndacha ALLAH AKUZIDISHIE SHEIKH RAMADHAN
Mzee anasema kaukweli kidogo😂❤❤
Hongera Babu Yohana kwa kuongeza familia
😂😂😂😂jamani vituko mungu awape wepes inshallah musichoke kuwatembelea hao viumbe
Ukristo is complicated haki. You see many weird stories.
Mungu hafi..mungu halali...yesu alikuja duniani akiwa na umbo la binadamu..ina maana alikuwa na madhaifu ya kibinadamu ndo maana akafa lakini akafufuka
Aki western people full of comedys,,,u never dissapoints😂😂
Allah Akbar sherk Ramadhan kazi unayo challenge ya msristo kwa mkristo
With time ntaslimu inshallah 😊
Hhhhh😅
Ndacha ameshanga
Na
Ame chaganyikiwa
Thanks akhaanaa ramadaan kuria
فعلت ما بوسعك والله يهدى من يشاء وإليه المرجع والمئاب
بارك الله فيك وأحسن إليك لا تحزنوا الله معنا
الإسلام يعلو ولا يعلى عليه
وصلى الله على نبينا محمد وآله وصحبه أجمعين
Haya maneno anayosema huyu Yohana sio ya ukweli kamwe. Yesu ni mwana wa Mungu na ndiye mfalme wa wafalme. hakuna mwingine hila yeye ndiye njia ya uzima milele na milele. msidanganyike. haya ni mafunzo potovu.
Assalam alleykum. Bin Kaguo, mpleke mperampera huyo Abujahal.... Lazima apate adhabu ya kusingizia Roho
2Timothy2:14
Remind others about this thing,and warn them before God not to argue over words.Arguing does not do any good but only destroy those who are listening.
Mungu ako kwa utatu; mungu baba mungu mwana na roho mtakatifu
Hahaha njaa bwana
59:58mins Yaaani Yesu wetu ule wa Tongaren sio yesu
Wasubiri hukum ya Mungu....maana wanamshuhudia Mungu uongo...na Mungu ni Mtakatifu....
Huyu Yohana si mkristo. Alisema straight
Ramadani unafanya kazi mzuri
Daaah!!! Yohana wamchongo huyo mwalimu ndacha Mungu akubaliki
Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu Macedonia ni NCHI katika Europe karibu na Russia
Nimuchapa kazi kweli kakini yohani 40wake gapi rakini watoto miyatanu wajuku 600
Asalama alaikum mbona hatuoni ni giza tu hapa
😂😂😂😂😂 you're killing
NABII MPENDA WANAWAKE HUYU JAMANI NI HATARI SANA
Hii bibilia ya kiswahili mnasoma ni version ngani nikainunue nimeipeda sana.plz reply
Yesu aliingia kanisa gani
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣duuuu jamani hiii dunia imeisha daaa yohana Ako na wake wangapi😝😝😝😝
Huko Kenya naona wazee wamezidisha bangi,, Yaani Kenya muwe na Yesu tena anaishi tongaren na huyo sasa Yohana mbatizaji
dini moja
Uyu mzee amezeeka na akili imejanganyikiwa ona anazinzia😅
Waislamu wanujua sheria mbili tu, kuwsali na na kufunga. Watu roho mbaya, wenye matusi, wauaji, wajeuri, wasio na huruma etc
Mwalimu ndacha mungu akuongoze kila hatua unayoichukuwa kwa kutetea Imani ya kwel
Bado nae hayupo imani ya sawa!!! Hakika dini ya haki mbele ya Mwenyez Mungu ni uislamu tu na hatokubaliwa mtu na dini nyingine tofaut na iyo
Hayo ni maneno ya mashetani
Hapo hapo.
Kenya Kenya Kenya nakuita mara tatu na ya nne Kenya ama kweli Wonders shall never end.dar jaman hizi ni nyakati za mwisho
Mwalim ramachandra,Allah akure maisha ref,kwasa7bu Dunia savi imefunikwa namapambo yadunia,halipo lile kundi alilolisema Allah yakwmba@liwepo kundi miongon menu wenye kuamrisha woman nakukatza machafu....
Aamin Yaarabbi
Hhhh nimeshanga sana huyu mkristo anakata ukweli really hyu ni mjinga kabisa mungu aongoze
I normally feel guda guda watching your show
Swali la kizushi shekhe kwa malikia. 😂😂😂na anawaweza wote.
Ndacha amepatana na joker mwenzake 😂😂😂
Yesu na yohana wako sawa, Herode tu ndio amechele kumkata kichwa, na yesu wa tongaren asulubiwe.
HUYU YOHANA NA YESU NIWASANI NANIWATU HAWASHINDWI NALAKUJIBU KAMA KAZI MUNGU MAPENZI YA MUNGU NANDIO HIVYO HIVYO
Ndacha anakupigia Duuuuu🤣🤣🤣
Umemkuta Mamuma Mwenzio Yesu ; Yesu alipokuja Duniani alivaa mwili
Ndacha anakubali huyu ni yohana mbatizaji 😂😂 wa amemkubali yohana kwa njia ya kando😊
Shekhe Ramadhani mbona Ndacha kakuganda vipi ataka atowe shahada nini ? Namuombea kwa Allah Ndacha amuongoze Ndacha atoke kwenye shirki na kufru kabla ya umauti kumfika In shaa Allah.
Ila hatoki ukristo
@@Catherine-mh8sw ukristo ni biashara siku akichoka kufanya biashara haramu ya kula sadaka za wakristo ataslim in shaa Allah.
@@nakundwamkubwe7823 mwenyezi Mungu amuongoze
@@Catherine-mh8sw Amiin
Bila kumkiri yesu kua ndo mwokozi njia ya pekee iliyonyooka waislam wote moton ila atakaemfanya yesu kua ndo njia ya pekee huyo ataiona pepo
Huyo jamaa mrefu wa T-Shirt amechanganyikiwa. Hakuna kanisa liitwalo Pentecostal Apostle of God.
Sheikh Ramadhan tafadhali muonyesha Mheshimwa Ndacha na wengineo mahala Nabii Issa bin Mariam aliposema Mtume wa Mwisho Nabii Mhamad atatumwa na Allah
Kuleta Amani na kuondoa Dhuluma na kurekebisha yote yaliyobadilishwa kwenye Zaburi, Taurati na Injili.
Hio torati na zaburi na hinjili,uko na oringino na iliariviwa Hama utuo haya hinasema mwemedi Dio wa mwizo waslimu ni makafiri unasema mungu Hana mwana Quran himeteremucwa na adui wa jivile
@@felixgitonga6783 hata uandishi wako haueleweki ni kiswahili au kizungu naona uwemo tu na wewe ikiwa huelewi kaa kimya
Sidhan km inapendeza mtu anaeitia watu kwny ukafiri ukamwita mheshimiwa
@@felixgitonga6783 jitahd kwnz ujifunze kusoma alaf ujifunze maandiko ndo sasa uje kucomment
Bila yesu hakuna atakaeiona pepo enyi ndugu zangu waislam yesu ndyo njia hata Quran imeandikwa kasome uelewe
Mimi kama mkristo nakubaliana na KAZI ya Ramadhan japo siamini uislamu ni njia ya mungu
Itabidi usome zaidi na uweke akili waazi kabisa kukubali ukweli
But Jesus called Peter sheitani. So much contradiction here.
Napenda hiki kipndi kutoka Dodoma Tanzania
Kila ukipatana na ndocha anakushinda sasa wew utatakiwa kuwa mkristo to .