HILI HAPA BWAWA la MWALIMU NYERERE LINALOZALISHA UMEME UTAKAOMALIZA MGAO wa UMEME...| SONGA NA SAMIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 апр 2024
  • HILI HAPA BWAWA la MWALIMU NYERERE LINALOZALISHA UMEME UTAKAOMALIZA MGAO wa UMEME...| SONGA NA SAMIA
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 32

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Месяц назад

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @user-nw2ng1ty8v
    @user-nw2ng1ty8v Месяц назад +10

    Yaan taarifa haiwez kukamilika bila kumtaja mwanzilishi ambae n JPM

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Месяц назад +7

    JPM tutamkumbuka daima

  • @daviesking1356
    @daviesking1356 Месяц назад +5

    I can't believe they didn't mention John pombe magufuli in this report 😮.. shame on you!!! Aibu!!!

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono Месяц назад +7

    JPM the greate

  • @mushtaqmehmood4639
    @mushtaqmehmood4639 Месяц назад

    It was honor for me to being a part of this project 😊

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 Месяц назад +4

    Mwamba wa Afrika, Mzalendo, Mwanamapinduzi wa kweli na mkombozi wa Watanzania, JPM alisema kuwa, mara tu uzalishaji wa umeme katika Bwawa la Nyerere utakapoanza, bei za umeme zitashuka kwa asilimia kubwa sana. Kwa nini bei hazijashuka mpaka sasa wakati uzalishaji umeanza?

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Месяц назад +3

    SAMIA SAFI SANA

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Месяц назад +2

    KAZI IENDELEE 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Месяц назад

    Safi sana Samia na Magufuli

  • @mimiraia2531
    @mimiraia2531 Месяц назад +2

    Watu WABAYA sana, WABAYA sana, WABAYA sana. Kazi za Magufuli, eti ni marufuku kumtaja. Watu WABAYA sana. Magufuli alipingwa dunia nzima, akaamua kujenga bwawa hili. MIOYO yao inatamani hata lisiitwe MWALIMU NYERERE. TUMEKUWA MACHAWA SANA. INAMAANA MWANZILISHI WA HUU MRADI, JOHN POMBE MAGUFULI UNGEMSHINDA???, eti miaka miwili tu, ujenzi umetoka 32% hadi 95%. Toka April 2021 hadi leo ni MIAKA miwili tu?? Si Ni miaka mitatu na zaidi.

  • @andrewsadock4468
    @andrewsadock4468 Месяц назад

    Fresh from school

  • @evelina9621
    @evelina9621 Месяц назад

    Ni.kweli

  • @erastuskajuna812
    @erastuskajuna812 Месяц назад

    Magufuli alikuwa mtu special! Alithubutu katika mambo mengi! Hakuamini katika kushindwa! Yaliyoonekana kushindikana, yeye aliyaona simple. Bwawa na makao makuu Dodoma ni mifano halisi

  • @user-do4qs8vx2s
    @user-do4qs8vx2s Месяц назад

    Mama kazi unafanya hakika

  • @biwalindi
    @biwalindi Месяц назад

    JPM rest in power the best mnataka hamtaki ❤❤❤❤❤❤❤

  • @amanfanuel623
    @amanfanuel623 Месяц назад +2

    Kama umeme umezidi mpaka wanzima mashine, nafikiri niwakati sasa umeme ushuke bei

    • @modestwenceslaus9
      @modestwenceslaus9 Месяц назад +1

      Kweli kabisa Kama Umeme unazalishwa mwingi basi waruhusu matumizi ya Umeme yawe makubwa kwa kupunguza Bei ya Umeme kwa Watumiaji.

    • @davidanselmo4041
      @davidanselmo4041 Месяц назад

      Tuuze na mungine nje ya nchi

  • @user-ui1qs9yl1n
    @user-ui1qs9yl1n Месяц назад

    waswahili wanasema tenda wema uwende zako so mzee magu ametenda wema kwa watanzania

  • @IddRashidi
    @IddRashidi Месяц назад

    Mngemaliza mgao wa umeme ndani ya nchi Kisha ndio muuze nje ya nchi

  • @kamilikapeta2574
    @kamilikapeta2574 Месяц назад

    Alama ya aliejitoa sadaka kwa was tanzania

  • @Cheffhood
    @Cheffhood Месяц назад

    hapo maji yanapo tokea panaitaji reinforcement maji ni kitu hatare sana

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 Месяц назад

    Umeme wa uhakika upo wapi sasa kila siku mnatuonyesha picha tu watanzania tunataka umeme

  • @JIWE-G-UNIT
    @JIWE-G-UNIT Месяц назад +1

    Mradi ni mkubwa saana Yaan siyo poa r.l.p m na saluti kwa bimkubwa ssh

    • @JIWE-G-UNIT
      @JIWE-G-UNIT Месяц назад +2

      Mradi ni mkubwa saana Yaan siyo poa r.l.p . Jpm na saluti kwa bimkubwa ssh

    • @frankmahenge5943
      @frankmahenge5943 Месяц назад +1

      J p m ndio Top mama hapa hata kero ya za wananchi anasusa mfano tu utasikia Mtoeni huyu ananipotezea Mda

    • @frankmahenge5943
      @frankmahenge5943 Месяц назад +1

      J p m ndio Top mama hapa hata kero ya za wananchi anasusa mfano tu utasikia Mtoeni huyu ananipotezea Mda

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 Месяц назад

      @@frankmahenge5943 mmhh! Muwe munasema yenye ukweli

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 Месяц назад

      Kuna wakuu wa mikoa , mawaziri, wakuu wa wilaya , wabunge. Hao wote wanafanya nini?​@@frankmahenge5943

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 Месяц назад

    Wanafiki wakubwa nyie kwahiyo madhara yawatu kuathirika namaji hayo kwakukosa miundombinu Bora mbona hamsemi .nakwann mmekua mkisifia mama bila kusifia jembe letu pendwa