JINSI YA KUPATA KUKU 100 WA KIENYEJI KWA MIEZI 3 TU
HTML-код
- Опубликовано: 6 фев 2025
- Mbinu za kupata kuku 100 wa kienyeji kwa muda mfupi. Anza na kuku 12 tu ndani ya miezi 3 utapata kuku zaidi ya 100
#kuku#kienyeji#ufugaji
👉Jinsi ya kupata kuku bora wa kienyeji kwa ajiri ya kuanza ufugaji
• Mbinu 8 za Kupata kuku...
👉Vyakula vya kuku kutaga mayai mengi, makubwa na yenye kiini cha njano • ZINGATIA VYAKULA HIVI ...
👉Ujenzi wa banda la kuku
• MAMBO YA KUZINGATIA K...
👉Chanjo ya ndui • Jinsi ya kuchoma chanj...
👉Tiba asili za kuku mimea 12
• TIBA ASILI KWA KUKU: ...
👉Ugonjwa wa mafua kwa kuku
• HOW TO TREAT CHICKEN'S...
👉Mbinu za kupata kuku wengi
• Jinsi ya kupata kuku ...
👉Jinsi ya kulea vifaranga
• JINSI YA KULEA VIFARAN...
👉Jiunge nasi telegram /Follow us Telegram via t.me/agalustv
🙏🙏🙏
Asante kwa kunifundisha
Barikiwa pia ndugu
Mwenyezi mungu awajalie sana kwa kipaji chenu asanteni sana nimepata somo na nimejifunza vzr mbalilikiwe
Amina ndugu 🙏🏿 nawe pia ✍️
Nipo pamoja nanyi naomba kutumiwa video za dawa na mabanda pia hongereni kwa ukarimu wenu. Mungu awatangulie
Banda la kuku: ruclips.net/p/PL8xez8Eh4s0HzgJrqmWI7cB7pfGKt2sxd
Ahsante sana kwa upendo wenu❤
Barikiwa Sana ndugu
Asanten sana mtatufkisha nch ya ahad
Barikiwa Sana ndugu 🙏🏿
Mradi mzuri Sana ningefurahi kupata utaalamu wa kuwalea vifaranga
Kuhusu vifaranga👇
ruclips.net/video/4xqTBAKBHs4/видео.html
Mko vzr hongereni kutugawia maalifa mungu azid kuwapa maalifa naomba kutumiwa dawa za asili ndiyo naanza ufugaji natamani niwe mfugaji mkubwa Sana asanten
Karibu sana ndugu katika ufugaji KUKU
Tiba asili/Kienyeji za kuku Aina zote: ruclips.net/p/PL8xez8Eh4s0GAj-_RugCAMpIbo4c13kDL
Nashukur Kwa elimu nzuri ninaomba mnisaidie jinsi ya kulea vifalanga naomba
Jinsi ya kulea vifaranga👇👇
ruclips.net/video/4xqTBAKBHs4/видео.html
Shukrani naomba mwongozo was banda
Banda bora la kuku
ruclips.net/video/PZKM8CzOpew/видео.html
Naomba hii
Asante Sana kwa elimu hii
Barikiwa sana🤝🙏
Naomba vodeo ya kuku bora. Ahsante sana
Hii APA video ya jinsi ya kuchagua mbegu bora ya KUKU
ruclips.net/video/N-DBOzac8pU/видео.html
Jinsi ya kupata kuku bora
Video ya jinsi ya kupata kuku bora ni hii apa
ruclips.net/video/N-DBOzac8pU/видео.html
Naomba Video ya Kuku bora
Ahsante barikiwa
Amina 🙏✍️
Video ya kupata kuku bora wa kienyeji
ruclips.net/video/N-DBOzac8pU/видео.html
asante sana
Tupo pamoja ndugu
Kazi nzuri
Pa 1 🤝🤝
🙏🙏🙏Asante sana kaka
Barikiwa🙌🙌🤝🤝
Shukran sana naomba namba zenu napenda kusoma kwenu zaidi napia kuja kuwatembelea mukiruhusu Asante.
Karibu🤝🤝
Ninaitaji Hiyo Kuku Niko Kenya
Uko mbali rafiki Sisi tupo Tanzania 🙏🙏
Naomba video ya Banda bora.asante
Banda bora la kuku
ruclips.net/video/PZKM8CzOpew/видео.html
Habari, samahani bro, shida yangu ni uleaji wa vifaranga!
Hili zoezi limekuwa gumu sana kwangu, vifaranga wakifikisha umri wa wiki tatu matatizo yanaanza, wanaugua na vifo vinaanza kutokea.
Hili limekuwa ni changamoto kwangu kiasi kwamba naona kama nafuga kwa hasara kubwa! Nazingatia ratiba ya chanjo, chakula lkn bado hali ni ngumu, tafadhali naomba elimu ya uleaji wa vifaranga.
Uleaji wa vifaranga 👇
ruclips.net/video/4xqTBAKBHs4/видео.html
@@AGALUSTV 🙏🙏🙏asante sante brother, ntajitahidi
Pa1🤝
@@AGALUSTV Samahani, kuna swala linanitatiza kuhusu chanjo ya ndui!
Ni kweli kwamba chanjo ya ndui haiurudiwi? Na kama hairudiwi inakuwaje pale ninapokuwa nimewapa kuku 🐔🐔 au vifaranga chanjo ya tatu moja ya kwa ajili ya Newcastle/mdondo/kideri, je hapa kuna haja ya kutoa chanjo ya ndui tena?
Chanjo ya ndui hairudiwi ni mara moja. Kuhusu iyo chanjo ebu tuwaulize wahusika, watoe ufafanuz
Perfect Class
Thanks 🙏🏿
Kusema ukweli mko vizuri, Mungu awainue Sana Sababu mnatufanya tutajirike
Barikiwa pia ndugu 🙏🏿✍️
Naitaji hiyoo video
Sawa tutakutumia
Asante sana. Nimekuwa nikijiuliza. Je ni wazo zuri kutumia jogo la Sasso kwa kuku wa kienyeji? Au ni bora ukichagua kuku wa umbo kubwa wa kienyeji?
Yote Sawa tu japo upate jogoo anae panda vizuri...
Nashukur kwa ajili ya kutuwezesha elimu ya ufugaji.ubarikiwe.ntapateje video ya utunzaji wa vifaranga.
Video ya uleaji w vifaranga
👇ruclips.net/video/4xqTBAKBHs4/видео.html
Jinsi ya kulea vifaranga
@user-qt4kf3dv3b jinsi ya kulea vifaranga
ruclips.net/p/PL8xez8Eh4s0HoNxv6Z8q2rDM1i8sCH2GT
A very educative and enlightening article 👏 cudos.
Thanks 🤝🙏🏿✍️
Hiv kumbe mayai hayaharibiki yanapochukua muda mrefu ukiwa tayar umeyakusanya?
Uyatunze sehem nzuri angalau wiki mbili
Msaada wa video jinsi ya kuchanganya chakula
#chakulachakuku
#chakulachakuku
Asante sna
Barikiwa🙏
Safi Sana.. I want that video please
Which video do you want
Nko pamoja na nyinyi
Barikiwa
Nimengeza kitu bro
Tupo pamoja sana ndugu endelea kutufuatilia video zingine zaidi ktkt channel hii ujifunze mengi zaidi ktkt channel hii
Je awa vifaranga wenye umenyanganya kuku wataitaji jua
Hapana tu natumia umeme taa za joto au majiko ya mkaa ya kulelea kuku. Jifunze jinsi ya kutumia majiko aya kulelea vifaranga
ruclips.net/video/fRFMyoB3OgU/видео.html
Nitumieni vidio za kulea vifaranga
Video ya uleaji wa vifaranga
ruclips.net/p/PL8xez8Eh4s0HoNxv6Z8q2rDM1i8sCH2GT
Safi San naomba video ya kulea vifaranga
Video zote za vifaranga utavipata apa
ruclips.net/p/PL8xez8Eh4s0ENNDvJHA3l1dLb6SOmAv3b
Msaada jinsi ya kulea vifaranga
Video yake ni hii
ruclips.net/video/4xqTBAKBHs4/видео.html
Naomba hiyo Video.
Sawa ndugu
Nisehemu gani nzuri ya kuhifadhia mayai yakutotolesha vifaranga kwakuekea kuku
Kwenye box lenye malanda makavu au kwenye trey ila likae sehem nzur
Nitumieni vidio ya kulea
Uleaji wa vifaranga
ruclips.net/p/PL8xez8Eh4s0HoNxv6Z8q2rDM1i8sCH2GT
Naomba hii video
Kwa njia gani
Naomba mbegu bora ya jogoo kwa uzalishaji
Wa kienyeji AU chotara? Na upo wapi
Kuku ninaowaona hapa ni mbegu nzuri sana . Sijui mwalimu nikiwataka nawapataje ? Naomba ikiwezekana nipate mawasiliano.
Upo wapi
@@AGALUSTV Nipo Dar es salaam, Tabata changombe.
OK tupo Mbeya ndugu Sasa kwa umbali uo cjui tufanyeje apo naona ni mbali sana kusafirisha kuku hadi Dar. 🙏🙏 Au una Wazo ndugu
@@AGALUSTV Nitajaribu kuku inbox
OK vp unahitaji wa kienyeji au chotara Maana wote tunao
Je nawezaje kupata mbegu bora ya kuku
Upo wapi ndugu
Naomba unitumie hizo vedio
Ok
Naomba video
Okay
Zipo taa za solar kwa ajil ya kulea vifaranga?
Ndio ndugu baadhi ya maduka wanauza
Nitumie video namna ya kulisha na kuwakuza hao vifarangs
Video za Kulea vifaranga Zipo KWENYE link
ruclips.net/p/PL8xez8Eh4s0ENNDvJHA3l1dLb6SOmAv3b
Jinsi ya kuchagua kuku bora
Jinsi ya kupata kuku bora wa kufuga
ruclips.net/video/N-DBOzac8pU/видео.html
Naomba kuuliza kwanin kipindi Cha mwezi wa tano Hadi mwezi wa nane kuku wanakufa wengi sana
Baridi ikiwa Kali uwa tatizo na pia joto likiwa Kali ni tatzo .. jifunze zaidi jinsi ya kuongeza kinga ktk mwili w kuku
Naomba munitumie maelezo ya kulea vifaranga
Jinsi ya Kulea vifaranga wa Aina zote
ruclips.net/p/PL8xez8Eh4s0ENNDvJHA3l1dLb6SOmAv3b
Tumeni pia na jinsi yakulea vifaranga
Uleaji wa Vifaranga vya kuku: ruclips.net/p/PL8xez8Eh4s0HoNxv6Z8q2rDM1i8sCH2GT
naomba video namna ya kichagua tetea na jogoo kwa ajili ya mbegu
Video ya kuchagua kuku bora
ruclips.net/video/N-DBOzac8pU/видео.html
Naomba video ya kuku na mabanda
Ujenzi wa Banda bora la kuku
ruclips.net/p/PL8xez8Eh4s0HzgJrqmWI7cB7pfGKt2sxd
Naitaji napataje
Upo wapi
Naomba video ya kuchagua tetea
Video ya mambo y kuzingatia unapo chagua mbegu ya kuku wa kienyeji
ruclips.net/video/N-DBOzac8pU/видео.html
Kaka habali kwema Kaka angu samahani nimefatilia video zako you tube naomba nisaidie awa kuku nitawapataje Niko dodoma
Wanaweza was iwe AO maana washauzwa pia iyo video ni ya muda kdogo ila LABDA utuambie unahitaj kuku wa Aina gani
Sawa endelen kutupa elimu
Tupo pamoja ndugu
Samahan et Kuna dawa ya kukuza kuku kwa haraka
Hapana ila ni mbegu tu kwa wakisasa wana wahi ila wa kienyeji wanachelewa
Nataka kuanza kufunga kuku lakini kitu sijui ni kuku gani naweza nunua Ile baada ya mwazi mbili hiyo kuku ianza kutaga sasa nafaa kununua kuku yenye iko umri wa Kama mwazi ngapi
Karibu kwenye ufugaji wa Kuku. Fuatilia somo hili👇 kuanza ufugaji
ruclips.net/video/AK7JIIGXjGY/видео.html
Hao kuku unaowafungia bila chakula ni iili wafanyeje sijaelewa hapo?
Irudie video
Nitawapate kuku kama hao ndugu
Upo wpi ndugu🙏
Utaratibu wa chanjo ya vifaranga chakula ukoje
Chanjo zote za kuku ruclips.net/video/-vBzBc8l6_Y/видео.html
Naomba nitumie
Video gani ndugu
Boss hamna vitabu vya haya masomo
Vitabu vipo vp upo wapi
Mahitaji video tafadhali
Somo LA jinsi ya kulea vifaranga
ruclips.net/video/4xqTBAKBHs4/видео.html
Ok
Hindi ya kupata kuku bora
Sawa ndugu
Sijui jinsi ya kulea vifaranga
Hii apa video ya kulea vifaranga👇👇
ruclips.net/video/4xqTBAKBHs4/видео.html
Kupata kuku bora wa kuanza nao
Sawa ndugu ila unaweza Andika Jinsi ya kupata kuku Bora by AGALUS TV
Naiomba hiyo video yakuonyesha jinsi gan ya kuchagua kuku wa kufuga
Video ya kuchagua mbegu ya kuku wa kufuga
ruclips.net/video/N-DBOzac8pU/видео.html
Nafurahi elimu yenu, je Bata naweza kumwekea mayai ya Bata na akayatotoa vizuri?
Una maana ya kumwekea Bata mayai ya kuku au?
H i naomba kujua namna yakulea vifaranga tafadhari
Somo LA kulea vifaranga
ruclips.net/video/4xqTBAKBHs4/видео.html
naomba video ya jinsi ya kuchagua mbegu bora ya kuku wa kienyeji pls
Hii apa video ya kuchagua kuku
ruclips.net/video/N-DBOzac8pU/видео.html
Asante Sana kaka naomba video y kulea vifaranga kwanzaa siku Moja tafadhali
Kulea vifaranga👇
ruclips.net/video/4xqTBAKBHs4/видео.html
Your doing good job thank you.how do you choose good size of chicken?. How many mitres can 100 chicken stay?
For size of chicken by taking eggs to icubator machine or buying chicks to those have incubators.
2. Size of house depend on type of chickens. For Broilers takes 1m to 10 chickens so for 100 takes around 100m squres but for layers chickens and others 1m2 takes 6 chickens. So for 100 chilckens takes around 250 m2🙏_
Nitumie video ya uleaji was kuku was kienyeji
Hii apa👇
ruclips.net/video/4xqTBAKBHs4/видео.html
Naomba video ya kuchagua kuku bora
KUCHAGUA mbegu bora somo lake ni hili
ruclips.net/video/N-DBOzac8pU/видео.html
Mimi sijui jinsi ya kulea vifaranga hua wanakufa % kubwa yani .
Pole sana ndugu.kwenye channel andika JINSI ya kulea vifaranga BY AGALUS ONLINE TV AU video hizi
ruclips.net/p/PL8xez8Eh4s0ENNDvJHA3l1dLb6SOmAv3b
Majiko yanapatika wapi??
Sokoni kwa wauza Majiko y udongo, AU vyungu
Naomba video ya kuku bora na namba ya cm
Itafute video ktk channel hii AGALUS TV
Namna ya kulea vifaranga
Ya vifaranga👇
ruclips.net/video/4xqTBAKBHs4/видео.html
Mfano nikiwa natoa mayai na kuamua kuweka kwenye incubator je wataendelea kutaga tena
Ndio japo watataka kulalalia
Naomba mnaambie wapi ntapa mitetea wazur
Upo wapi tukutumie
nahitaji kuku bora wakubwa wa kufuga naomba video
Mbinu za kutafuta kuku bora ni hii apa
ruclips.net/video/N-DBOzac8pU/видео.html
Nahitaji mbegu nzuri ya kuku
Hii apa
ruclips.net/video/N-DBOzac8pU/видео.html
@@AGALUSTV una patikana wapii apo DAR ilii nije kununuwa mbengu Kwako? Na Bei ikoje? Mm Nina fuga Bata tuu napenda niwekee na kuku pia ila sikapata mbengu nzuri
Sisi tupo Mbeya. Kuhusu mbegu bora fuatilia somo hili waweza jifunza mengi kabla hujaenda kununuahttps
://ruclips.net/video/N-DBOzac8pU/видео.html
Naomba video ya namnaya kuchagua mbegu ya kuku bora
Hii apa👇 video ya kupata kuku bora kwa ajir ya kuanza kifuga
ruclips.net/video/N-DBOzac8pU/видео.html
Naomba kujua nyinyi Agalus TV mko wapi napenda kuja kuwaona live ili niweze kujifunza mambo fulani kwa macho pia napenda kuona jinsi ya kujenga banda la Kuku bora
Karibu Mbeya ndugu. Kuhusu ujenzi wa banda bora LA kuku somo ni hili 👇🙏
ruclips.net/video/PZKM8CzOpew/видео.html
@@AGALUSTV
Jinsi kujengea Banda la kuku
Masomo Kuhusu banda la kuku utayapata apa
ruclips.net/p/PL8xez8Eh4s0HzgJrqmWI7cB7pfGKt2sxd
Naomba unitumie jinsi ya kuchagua mbegu nzuri ya kuku
Mbinu ya kupata KUKU bora
ruclips.net/video/N-DBOzac8pU/видео.html
Naomba video ya kuchagua kuku borakwa mbegu
Jinsi ya kupata mbegu bora ya kuku
ruclips.net/video/N-DBOzac8pU/видео.html
Ni vipi nitaweza kulea vifaranga?
Jifunze zaidi jinsi ya kulea vifaranga👇🙏
ruclips.net/video/4xqTBAKBHs4/видео.html
Nitumie jinsi ya kulea vifaranga
Somo la vifaranga 👇👇👇
ruclips.net/video/4xqTBAKBHs4/видео.html
VIP ninyi hamuuzi Kuku kwa ajili ya kufuga
Tuwasiliane tu ndugu ukiitaji tutasaidiana yawezekana kwetu lakini hata kwenye mashamba mengine 🙏
@@AGALUSTV ok now Niko kwa masomo ntawacheki baada ya kugraduate
Mungu awe nawe katika masomo yako 🙏🙏🙏
Nataka kujua jinsi ya kulea vifaranga
Kuhusu kulea vifaranga hii apa 👇 video yake
ruclips.net/video/4xqTBAKBHs4/видео.html
Tuma video ya kulea vifa
Video ya kulea ya kulea vifaranga
ruclips.net/video/4xqTBAKBHs4/видео.html
Ndo nimeanza ufugaji Nina vifaranga 25 wanaokaribia kutaga 9 bado vidogo. Changamoto niliyoiona Kuna vijogoo vidogo vimeanza kuwika pia kimoja kinawapanda wenzake japo hao wanaopandwa bado hawajui chochote je ndivyo inavyokuwaga?
Haina shida ndugu. Ni tabia za sex kwa viumbe pia. Na ni kawaida🙏
Asante kwa kunitowa hofu maana nilitaka nimchinje
😀😀Tupo pa 1
Nahitaji hio video kaka
Kwa njia ipi ndugu
Naomba jinsi yakuwapata hao kuku
Upo wapi
Nitumia mbegu nzura ya kuku
+255765467484wasap
Kwahiyo wanapopatwa magonjwa mnatumia Sawa gani zaidi
Kila ugonjwa una dawa yake
Nijins gani umalea ivyo vifaranga
Masomo ya jinsi ya kulea vifaranga masomo yote yapo apa
ruclips.net/p/PL8xez8Eh4s0HoNxv6Z8q2rDM1i8sCH2GT
Naomba kupata jinsi ya kulea vifaranga
#uleajiwavifaranga
Nitawapata wapi kuku bora hao .nijibu
Upo wapi ndugu
Naomba video jinsi ya kulea vifaranga
Video ya uleaji wa vifaranga👇🙏
ruclips.net/video/4xqTBAKBHs4/видео.html
Nirushieni video za kujifunza
Ok🙏🏿🤝✍️
Naomba Video ya utunzaji wa vifaranga wadogo
Uleaji WA vifaranga
Uleaji wa vifaranga vya kuku: ruclips.net/p/PL8xez8Eh4s0ENNDvJHA3l1dLb6SOmAv3b