Uleaji Wa Vifaranga Siku ya 1 - 7, Hatua kwa Hatua. Hatua zote Muhimu Kuzifahamu.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • #mbinu #kuku #vifaranga

Комментарии • 250

  • @lukmanbakari2318
    @lukmanbakari2318 4 года назад +14

    Kuku village is the best RUclips poultry farming!!!

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад +3

      Thank you very much. We asure you to walk on your talk.

    • @praxedashayo5400
      @praxedashayo5400 4 года назад +2

      Kuku Village niunganishe wasap 0786569365

    • @lucyshauritanga5640
      @lucyshauritanga5640 9 месяцев назад

      @@KukuVillagemko wapi

    • @lucyshauritanga5640
      @lucyshauritanga5640 9 месяцев назад

      Napenda kujua mko maeneo gani
      Sijawahi kufuga natamani
      Nitapate vifaranga wa nyama

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  9 месяцев назад

      Tupigie au wasiliana nasi kwa WhatsApp 0621063255

  • @cleverkifaluka4337
    @cleverkifaluka4337 3 года назад +6

    Nimepata elimu yakutosha kuku village ni zaidi ya chuo kikuu.
    Bravooooo

  • @rencerono5215
    @rencerono5215 2 года назад +1

    Thanz for the info,i ave learned something,thank you

  • @gracemgaya1295
    @gracemgaya1295 2 года назад +1

    Nashukuru Sana kwa mafunzo mnayotupa, Ila nataka kuuliza sababu za kukata vifaranga manyoa, nimeona yakikatwa, Kuna faida gani, na Kama kuna sababu wanakatwa wakiwa na umri gani, Asante sana nitashukuru kupata majibu

  • @fadhilaassey2340
    @fadhilaassey2340 Месяц назад +2

    Jeemnauzavifaranga Kunavifaranga nimevipenda

  • @sharonchelangat5796
    @sharonchelangat5796 3 месяца назад

    Great kuku village Av really learnt alot

  • @angerabanzi3299
    @angerabanzi3299 3 года назад

    Amina UBARIKIWE KWA HUDUMA ASANTE SANA

  • @alphoncemichael5798
    @alphoncemichael5798 4 года назад +5

    Naomba kuunhanishwa kwenye group lenu la wasapu la ufugaji

  • @jaspermgonja1466
    @jaspermgonja1466 Год назад +1

    Nko vizuri

  • @KakoziAsumani
    @KakoziAsumani 2 месяца назад +1

    Nimeelewa sasa hongera kwa maelezo yenu

  • @HakamShauri
    @HakamShauri 9 дней назад

    Mnapatikanaje

  • @CharlesMulaki-j8h
    @CharlesMulaki-j8h Месяц назад +1

    Ahsante kaka

  • @mechtildabyambwenu3337
    @mechtildabyambwenu3337 3 года назад

    Naqashukuru sana kwa ushauri. Mmenifaa sana

  • @willingtonejohn1929
    @willingtonejohn1929 4 года назад +1

    Safi Sana nilikata tamaa ya kufuga kutokana changamoto ya kulea vifaranga

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Usikate tamaa. Kuku village tupo kwaajili yako

  • @siwemangalunda4655
    @siwemangalunda4655 3 месяца назад +1

    Napenda kujifunza

  • @upendohenry8898
    @upendohenry8898 2 года назад

    Nimeipenda safi sana

  • @momumofarms
    @momumofarms 4 года назад +1

    Asante sana, umeeleweka kiongozi, na ni kweli Kuku village ni zaidi ya shule

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Tunashukuru boss

    • @momumofarms
      @momumofarms 4 года назад +1

      @@KukuVillage asante nadhani nitahitaji niwatafute Kuku village naweza kupata mawasiliano yenu?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Bonyeza link hapa chini
      chat.whatsapp.com/DJcFvuv9cd05y59tf5Ab93

  • @mchmwal...z.a.ndelwa7838
    @mchmwal...z.a.ndelwa7838 4 года назад +2

    Mpo vizur

  • @raphaeluhuru8948
    @raphaeluhuru8948 4 года назад +1

    Raphael from Kenya 🙋

  • @elibarikishukya-lf3sk
    @elibarikishukya-lf3sk 4 месяца назад

    Best

  • @sylvestershija1891
    @sylvestershija1891 2 года назад

    Great

  • @dony6568
    @dony6568 Год назад

    Good farming

  • @ayaanisaaqosman7784
    @ayaanisaaqosman7784 Год назад

    Guud

  • @dorothymbithe2114
    @dorothymbithe2114 4 года назад +1

    Nice training

  • @faidaothman546
    @faidaothman546 3 года назад

    Nice

  • @siwemangalunda4655
    @siwemangalunda4655 3 месяца назад

    Napendakjjifu za

  • @brightonndesario2229
    @brightonndesario2229 2 года назад

    Yap,,

  • @ludoviclymo2044
    @ludoviclymo2044 4 месяца назад

    Nimekuelewa

  • @harunkituri5911
    @harunkituri5911 3 месяца назад

    Nimeridhika.

  • @saidhamisi2795
    @saidhamisi2795 4 года назад +1

    Asnte sana

  • @issamnadamnada5502
    @issamnadamnada5502 2 года назад +1

    Unazungumza vizuri Ila kunamswali nataka kuuliza

  • @azizaabeid2055
    @azizaabeid2055 10 месяцев назад +1

    Kuku haoshin,gapi

  • @nyaganyie.finias2152
    @nyaganyie.finias2152 Год назад

    Asante kwa somo zuri, je chanjo ya Marex wanaipata wapi? Au naipata dukani?

  • @rossamengo7211
    @rossamengo7211 4 года назад +2

    Mko na group la whatsap muniunge nijifundishe mengi,sababu mimi nimgeni kwa hii channel na nimewapenda sana kwa elmu yenu

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад +1

      Jiunge hapa
      chat.whatsapp.com/DJcFvuv9cd05y59tf5Ab93

    • @mohaisha
      @mohaisha 4 года назад

      Nimejaribu kujiunga inasema provoked

  • @jamesnibaruta2886
    @jamesnibaruta2886 4 года назад +3

    niko burundi nakusikia miakwamia asante kaka

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Karibu sana. Na nafurahi kupata watazamaji toka burundi.

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

  • @SophiaOmary-bg4nl
    @SophiaOmary-bg4nl Год назад +1

    Naomba kujua bei ya vifalanga

  • @alhudayachannel6197
    @alhudayachannel6197 4 года назад +2

    naomba kuuliza iyo chanjo ya kwanza unasema inaitwa marex wanapewa iyo chanjo kwa mda gan baada ya kuanza kuwalea hao vifaranga tangu cku ya mwanzo.

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Hupewa siku ya kwanza. Wanapo totolewa

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Jiunge hapa kwa maelekezo zaidi
      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

  • @abdallasalim324
    @abdallasalim324 4 года назад +1

    Asante ndg kw kuteilimisha, swali langu, ? Je hyo magazeti yalitandikwa kw vifaranga, mwisho wa kutowawekea tena hyo magazeti ni baada ya kutimiza cku ngapi

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Wiki 2 , unaweza kuanza kuweka maranda au matandazo mengine

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Jiunge hapa kwa maelekezo zaidi
      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

    • @mohaisha
      @mohaisha 4 года назад

      @@KukuVillage mbona najiunga inasema only admin wanaweza kutuma msg

  • @estherakabwai2350
    @estherakabwai2350 4 года назад +1

    Asante sana kwa mafunzo, Mimi Niko Uganda nitatumaje pesa ili niunge what's up.?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Tumia kutuma pesa nje ya nchi

  • @BeatriceMkwizu
    @BeatriceMkwizu 3 месяца назад +2

    Mmenifungua macho nitaendelea kufuata maelezo yenu

  • @Lilgeolly-jc5dh
    @Lilgeolly-jc5dh 3 месяца назад +1

    Upendo lema hayo mafuta y yote kama dawa yanapatikana kwenye maduka gani

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  3 месяца назад

      Kilimo na mifugo liquid parafin, dawa muhimu - mafuta ya Samaki

  • @gloriasowo3127
    @gloriasowo3127 2 года назад

    Asante kwa kutuelimisha. Naomba kuuliza kwa vifaranga vya kienyeji. Baada ya kuwatoa kwa mama yao siku ya tatu, chanjo ya kwanza nitawapa siku ya ngapi? Asante

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 года назад

      Siku utakayo watoa ndo itahesabika kama siku ya kwanza. Chanjo utawapa siku ya 7

  • @hamidumussa6612
    @hamidumussa6612 4 года назад +2

    Naomba kuuliza vitamini ya kuku na grucos unaweza kuwapa kwa wakati mmoja au kuchanganya pamoja ili kuwapa?

  • @mgoloziamoss6495
    @mgoloziamoss6495 2 года назад

    Naomba elimu zaidi

  • @khalfanallbusaid2035
    @khalfanallbusaid2035 4 года назад +1

    nimependa na mm nahitaji kupata elimu zaid maana nataka kuanza hi biashasha ya kuku ila kwa sasa nipo nje ya nchi yani dubai na nahitaji kufanya mradi huu wa kuku zanzibar na tayri nimesha tafuta eneo zuri la kufanya mradi hu ila siwezi kufanya bila ya kupata elimu ila nimeona kwako ninaweza kupata elimu na kufanikisha ndoto zangu kama itawezekana kupata mawasiliano yako itakua vizuri sana itakua vizuri sana

  • @modestadenis3662
    @modestadenis3662 3 года назад +1

    Naomba no y'a mawasiliano

  • @zubedadahalgould8809
    @zubedadahalgould8809 4 года назад +2

    Ninahitaji vyungu vya kuwekeya makaa ili niwawekee vifaranga

  • @saumumahanyu7332
    @saumumahanyu7332 4 года назад +2

    Nimependa mafundisho yenu, Mbeya mnapatikana sehemu gani??

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Hatuko mbeya. Ila kwa siku zijazo tutaweka tawi huko.

  • @hasinarashid4517
    @hasinarashid4517 4 года назад +1

    Namba za mawasiliano?

  • @ndekusaramakishe8494
    @ndekusaramakishe8494 2 года назад

    Asante kwa simo zuri. Hiyo chanjo ya kwanza wanakua wamepata lini?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 года назад

      Shambani siku ya kwanza kabla ya kukufikia

  • @ericosoro7617
    @ericosoro7617 4 года назад +1

    Hii nyumba ya vifaranga inafaa kua nyumba aina gani??

  • @iddyomary6152
    @iddyomary6152 3 месяца назад +1

    Nimeipendq Sana kwani nahitaji kuwa mfugaji.

  • @habibuzuberi8256
    @habibuzuberi8256 3 года назад

    Naomba kuungwa kwenye group ufugaji

  • @ayubumerciory3725
    @ayubumerciory3725 4 года назад

    Habari naitaji kuku ao wenye manyoya miguuni au mayayi yao nokatotoleshe

  • @YohanaMadata
    @YohanaMadata 7 месяцев назад

    Naomba mniunganishe na mm kwenye group

  • @ASHAOMARY-k1v
    @ASHAOMARY-k1v 3 месяца назад

    Naomba mniunge kweny wasp

  • @PriscaJoseph-dp6pt
    @PriscaJoseph-dp6pt 11 месяцев назад

    Mm nime Toto lesha lakini nimem nyanganya mama nikawapa glucosi sikuu tano lakini wanapata vipele shingoni kwasababu gani

  • @beatricenabangala5246
    @beatricenabangala5246 4 года назад +1

    Hata Kama sijaanza kufuga kweli umenichochea hata moyo umefunguka .naamimi nitaweza kufanya ufugaji huu.Mola nijalie.

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Utaweza Cha muhimu ni kufuatilia tu.

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

  • @hildajoseph2837
    @hildajoseph2837 6 месяцев назад

    Naomba mniunge kwa group wasp

  • @kawelesiakisanga6670
    @kawelesiakisanga6670 4 месяца назад

    Vyombo vya kujitengenezea kulishia kuku wa kienyeji chakula ni vipi

  • @mohdkassim6903
    @mohdkassim6903 4 года назад +1

    Nahitaji hyo variety ya kuku mabuga jee mnao?? Na mnauzaje?

  • @MusaKiuta
    @MusaKiuta 3 месяца назад

    Abaliyali ya kazi nilifanya ivyo ila nilishindwa vifalanga vilidumaa nakufa na taa yajoto ikawa inaungua kilasiku nipe ushauli

  • @user-yd4md4cw7q
    @user-yd4md4cw7q 6 месяцев назад

    Nimependezwa na elimu hii.

  • @josephboniface9900
    @josephboniface9900 Год назад

    Habar nauliza vifaranga baada kutotolowa wapewe chanjo yandui baada ya sikungpi?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  Год назад

      Itategemea na eneo ulilopo na ukubwa wa tatizo. Kama eneo lako lina maambukizi chanja wiki ya pili. Kama halina maambukizi chanja siku ya 35 au 90.

  • @williammwankundile4765
    @williammwankundile4765 Месяц назад +1

    Mafua makali kwa vifaranga dawa yake ni ipi?

  • @mwemaali1076
    @mwemaali1076 4 года назад +1

    Je unaweza kunitembelea ktk banda langu?

  • @deuselias9220
    @deuselias9220 3 года назад +1

    Ninaomba Marelekezo, jinsi ya kuwe joto kwenye vifaranga je kuna aina za Taa?zinazo tumia umeme?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  3 года назад

      Zipo

    • @japhetkatulebe9729
      @japhetkatulebe9729 3 года назад

      Vifaranga kuku Wa kienyeji unapowatenga na mama yao nao wanahitaji kuwekewa taa

  • @augustinomrema1812
    @augustinomrema1812 3 года назад

    Niko arusha napenda sana kufuga ila changamoto ni kule vifaranga

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  3 года назад

      Fuatilia vipindi vyetu hasa katika mada za uleaji wa Vifaranga . Utapata suluhisho

  • @wabudimercy6382
    @wabudimercy6382 4 года назад

    Is new castle a vaccine or it's for putting in the eyes?

  • @saadasimba267
    @saadasimba267 3 года назад +1

    Mzima mimi nataka vifaranga wa kienyeji 50 niko dodoma kama nikiwapata tarehe 21 itakuwa poa ya mwezi huu

  • @zurapetro525
    @zurapetro525 4 года назад +1

    nachanganyikiwa nikisikia kuku anakitovu naomba nijui kama wanavyo kweli basi mwilini mwao inakaa sehemu gani

  • @elizabethcharles994
    @elizabethcharles994 Год назад

    Niunge kwenye group

  • @saidihamisi9146
    @saidihamisi9146 Год назад +1

    Naomba namba zenu

  • @delymeela1595
    @delymeela1595 2 года назад

    Nataka vifaranga mnapatikana mkoa gani?

  • @teddymathew4916
    @teddymathew4916 4 месяца назад +1

    Naomba kuunganishwa Kwa group lenu la watsap

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 месяца назад

      Tuma ujumbe whatsapp 0621063255

    • @rosekishinhi8246
      @rosekishinhi8246 3 месяца назад

      Naomba kuungwa kwenye group la whatapp

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  3 месяца назад

      @rosekishinhi8246 0621063255

  • @RehemaKimwaga
    @RehemaKimwaga 5 месяцев назад +1

    Habari za leo,kuku village,mimi kuku wangu wanavimba macho

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  5 месяцев назад

      Nitumie picha 0621063255

  • @wonderkid_tz
    @wonderkid_tz 4 года назад +1

    Naomba mtume video ya jinsi ya kuandaa na kuchanja mareks

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад +1

      Ok tutalifanyia kazi

    • @wonderkid_tz
      @wonderkid_tz 4 года назад

      @@KukuVillage Ntashukuru sana sana

  • @hellenmgungus2935
    @hellenmgungus2935 4 года назад +1

    Naomba kama itafaa ufungue group la ufugaji

  • @abdul-azeez6340
    @abdul-azeez6340 4 года назад

    Mbona mm nimesubscribe lakn sipati taarifa ya vipindi vyako? Kama hapa nimekuja baada yakutumwa kwa video kwenye group

  • @ulrickkavunjika6382
    @ulrickkavunjika6382 3 года назад

    Kaka zipi Changa moto zinazo sababisha vifaranga kufa

  • @ramadhangwago5680
    @ramadhangwago5680 5 месяцев назад +1

    Niunge whasap group .

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  5 месяцев назад

      chat.whatsapp.com/BD4HjujlEYQHDSXBZ3h4wo

  • @jumamalale4006
    @jumamalale4006 4 года назад +1

    Uko vzul kaka zidi kutu elimisha Niko nkinga tabola

  • @johannesishengoma1232
    @johannesishengoma1232 3 года назад

    Nice training but you are too descriptive in the introductory part. You need go straight to the point

  • @filipinadaud885
    @filipinadaud885 6 месяцев назад +1

    Kwani nyie mpo wapi?

  • @merybananga4236
    @merybananga4236 2 месяца назад

    Chakula kizuri cha kuwapa vifaranga vya kuanzia siku ya tatu hadi saba ni chakula gani naomba kufahamu?

  • @hollojumannemlimi4496
    @hollojumannemlimi4496 2 года назад

    Kuku mwenyew wiki nane anapaswa Kinga tena? Kuku village nisaidie

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 года назад

      Kama umemaliza kinga za awali. Ni mpaka baada ya miezi mitatu.

  • @JacksonMahende-ho2wb
    @JacksonMahende-ho2wb 10 месяцев назад

    Namba yako ya mawasiliano

  • @lucythoya8626
    @lucythoya8626 4 года назад

    naomba uunganishwa kwenye group la watsap

  • @magrethshuma9660
    @magrethshuma9660 4 года назад +1

    samahani naomba kuuliza uleaji huu wa vifaranga kuanzia siku ya 1 mpk siku 7 ni wa kienyeji tu au hata hawa wa kisasa? namaanisha broiler

  • @juliethsandi532
    @juliethsandi532 4 года назад +1

    naomba namba ya whats up ya group ya kuku village

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

  • @yussufhajji8941
    @yussufhajji8941 4 года назад

    Tunahitaji group LA WhatsApp LA kuku village

  • @shabirvirji1210
    @shabirvirji1210 3 года назад

    Kuku village kipo sehemu gani nataka kuwatembelea

  • @mugaramafuru4277
    @mugaramafuru4277 2 года назад

    Kuweka maelekezo yatoleyo Katika vitendo ni njia ya mafanikio.

  • @danielmboje8751
    @danielmboje8751 2 года назад

    Dawa gani hutumika kutibu kitovu cha vifaranga.

  • @amuryhaji561
    @amuryhaji561 4 года назад

    Nmawasliano ili nifike mlipo na nipate darasa na vifaranga

  • @maryamhamad9149
    @maryamhamad9149 3 года назад

    viafaranga kuwekewa magazeti haithari endapo akinya na kinyesi kikaliwa na kuku wenziwe?

  • @meynamaulid910
    @meynamaulid910 2 года назад

    Nanijivania channel ya Kuku vileg

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 года назад

      Dah... asante sana kwa ujumbe wako

  • @paulmassawe2702
    @paulmassawe2702 2 года назад

    Vifaranga wangu Wana miez 2wanaumwa macho ukibinya jicho kunatoka utango mweupe niwape dawa gani

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 года назад

      Tuwasiliane kupitia WhatsApp 0744674406

  • @martialmtata8952
    @martialmtata8952 4 года назад +1

    Samahan nilikua naomba namba yako ya simu au email yako

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Jiunge hapa kwa maelekezo zaidi
      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

  • @suzananyaruba84
    @suzananyaruba84 4 года назад

    Mafuta hayo yanapatikana WP?