Mungu akubariki saaanaa... Hakika mm nimepoteza vifaranga wengi sana kutokana na hii changamoto. Mara nyingi inanitokea wakati wa kuwapa chanjo.. AHSANTE MUNGU
Dah! Mungu akubariki kwa elimu unayoitoa, mn ni ttz ambalo limenikuta mara nyingi na vifaranga huishia kufa japo nlikua najiuliza mbn kila nkiwap maji inakua iv na matumbo yamejaa, ni kitu ambacho sikua na jibu la uhakia now nimejua. Ubarikiwe.
Habari samahani nawezaje kupata vifaranga wa kuku vilage mm si mfugaji kihivyo bali nilitaka nianze kwa vifaranga wachache sana kulingana na uwezo wangu wa kuwatunza kama 50 hivi na ni kiasi gani samahani lakuni
Naomba kuuliza Mimi nafuga Kuku chotara tu wachache kama 30 hivi kwa ajili ya matumizi ya nyumbani, na huwa wanalala kwenye viota vya nyaya ila changamoto yangu ni kwamba kile kinyesi kinaganda Sana kwenye zile nyaya najitahidi kusafisha ila ni changamoto kweli, je kuja njia nyingine ambayo Kuku unaweza kuwawekea wasilale kwenye viota vya waya na wakawa salama?
Nashukuru kwa mafunzo
Asante kwa elimu, ila sijaona anavyotapishwa.
asante kwa mafundisho,kifaranga bei gan
Asante kwa elimu kaka
Karibu
Mungu akubariki saaanaa... Hakika mm nimepoteza vifaranga wengi sana kutokana na hii changamoto. Mara nyingi inanitokea wakati wa kuwapa chanjo.. AHSANTE MUNGU
Nimefurahi kusikia hilo
Thanks bro
Poa sana lakini!!!
Dah! Mungu akubariki kwa elimu unayoitoa, mn ni ttz ambalo limenikuta mara nyingi na vifaranga huishia kufa japo nlikua najiuliza mbn kila nkiwap maji inakua iv na matumbo yamejaa, ni kitu ambacho sikua na jibu la uhakia now nimejua. Ubarikiwe.
Amina
Safi kaka
Asante kaka nimekupata ni kweli shida hiyo ipo na nishapoteza sana ila mm nilikuwa nawapepea lakini si kufanikiwa.
Sasa umetapisha vipi tunaomba kuona ulivotapisha na sisi asante
Asante Kwa elimu
Ahsante Sana Kwa SoMo hili, he nitapata vip vifaranga wa kienyeji kutoka kwenu?
Asante
Unapatikana mkoa gan
Tupigie 0744674406
Habari samahani nawezaje kupata vifaranga wa kuku vilage mm si mfugaji kihivyo bali nilitaka nianze kwa vifaranga wachache sana kulingana na uwezo wangu wa kuwatunza kama 50 hivi na ni kiasi gani samahani lakuni
Unapatikana wapi? Tupigie 0621063255
@@KukuVillage napatikana Dar
@@WinfridaOkumu Dar tunauza Kuanzia 100, (box 1)
@@KukuVillage haya sawa mtu hujikuna anapofikia siwezi chukua mia wakafa njaa asante endeleeni na hao wenye nazo
HABARI ZA KAZI JE NYINYI KUKU VILLAGE MNAPATIKANA MKOA GANI MIMI NIKO DAR
Naomba no zenu.
Chainiz inaweza kua chakula cha kuku
Mtaalam ni vema zoezi la kumtapisha kifaranga ungeliweka wazi hapo ingetusaidia zaidi
Tunaomba video zinazowaonyesha Kuku wa mwendokasi.tutafarijika sana
Mbona zipo nyingi? Ingia you tube andika kuku wa MWENDOkasi zitakuja
Sijaona ulivyomtapisha boss
Naomba kuuliza Mimi nafuga Kuku chotara tu wachache kama 30 hivi kwa ajili ya matumizi ya nyumbani, na huwa wanalala kwenye viota vya nyaya ila changamoto yangu ni kwamba kile kinyesi kinaganda Sana kwenye zile nyaya najitahidi kusafisha ila ni changamoto kweli, je kuja njia nyingine ambayo Kuku unaweza kuwawekea wasilale kwenye viota vya waya na wakawa salama?
Njia nyingine ni kiwaweka katika banda lenye maranda chini. Na uzingatie usafi
Hujaonyesha mamma unavyo mtapisha
Sasa tufuate lipi maana wengine wanasema usiwape chakula uwape maji yenye glucose na vitamini kwa angalau masaa 2 ndio uwape chakula
Vifaranga.wa.kanga.bei.gani
Kuku village asante kwa mafunzo mazuri!.
Samahani mimi naomba kujua kama vifaranga mnaweza tuma mikoani, mfano mimi nipo Wilayani Kyerwa mkoani kagera je namm naweza pata huduma?
Tunasafirisha nchi nzima
Asante kwa taarifa.
Sasa vipi mnauza vifaranga wa umri gani? Na kwa bei gani?
Barikiwa sana
Unatapishwa vp huyo kifarang
Je kifaranga kugandia kinyesi kwenye sehemu ya kujisaidia nifanyeje?
Sasa mbona umerukisha sehemu ya jinsi ya kumtapisha ambayo ndio.muhimu
mbonahatukuwona.gizi.mumefany
Mimi niko kahama napataje vifaranga wa mayai?
Mnapatikana wapi
Ni njia gani mlitumia katika kumtapisha uyo kifaranga?
Mana hamkuonesha namna mlivo mtapisha.
Me pia app cjaelewa
Apo
Umetapisha kivipi?tuonyeshe
Mbona hujaonyesha jinsi unavyomtapisha
Masoldier lol
Samahan kifaranga ana wiki 2 ila anasinzia nini shida
Kifaranga mnauza kiasi gani
Tupigie 0744674406
@@KukuVillage helloo
Neomaxin inatibu nin
Kama jua hamna tunafanyaje
Sasa mbona hujatuonesha jinsi ya kumtapisha?
Nawapataje vifaranga wa kienyeji?
Tupigie 0744674406
Je kifaranga akiwa kama shingo inadidimia kwa nyuma hakai straight na kashiba ni ugonjwa...
Pia chanjo ya mwanzo initawaje
Chanjo ni marek's .. kuhusu ni mapungufu. Ndiyo
Jmny mbona amjaoesha jinsi mnavomtapisha ??
Pole anayesimulia ndo alikuwa anarekodi. Hivyo ilimlazimu kuzima camera ili afanye kazi hiyo.. ni mistake...
Hatukuona unavomtapisha
Ni kweli, ilibidi niweke kamera chini nianze kazi... maana ningekosea angekufa...
Ni kweli, ilibidi niweke kamera chini nianze kazi... maana ningekosea angekufa...
thanks bro