Jinsi ya Kumsaidia kifaranga Aliye hatarini kufa - Asife.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • Habari, leo tumekuletea mbinu na namna utakavyoweza kumsaidia kifaranga aliye pata complication na kuokoa maisha yake... tazama...

Комментарии • 70

  • @MmwiryHamisi
    @MmwiryHamisi 2 месяца назад +2

    Nashukuru kwa mafunzo

  • @emmanuelzani2889
    @emmanuelzani2889 3 года назад +1

    Asante kwa elimu, ila sijaona anavyotapishwa.

  • @rosemaryjoel5300
    @rosemaryjoel5300 3 месяца назад

    asante kwa mafundisho,kifaranga bei gan

  • @IbrahimMatofali
    @IbrahimMatofali Год назад +2

    Asante kwa elimu kaka

  • @mattuhi2
    @mattuhi2 3 года назад +1

    Mungu akubariki saaanaa... Hakika mm nimepoteza vifaranga wengi sana kutokana na hii changamoto. Mara nyingi inanitokea wakati wa kuwapa chanjo.. AHSANTE MUNGU

  • @tonnyclintonny7677
    @tonnyclintonny7677 2 года назад +1

    Thanks bro

  • @muskrilcardo9372
    @muskrilcardo9372 3 года назад +2

    Poa sana lakini!!!

  • @saidahemed5429
    @saidahemed5429 3 года назад +1

    Dah! Mungu akubariki kwa elimu unayoitoa, mn ni ttz ambalo limenikuta mara nyingi na vifaranga huishia kufa japo nlikua najiuliza mbn kila nkiwap maji inakua iv na matumbo yamejaa, ni kitu ambacho sikua na jibu la uhakia now nimejua. Ubarikiwe.

  • @YusuphMustafa-l4u
    @YusuphMustafa-l4u Год назад

    Safi kaka

  • @omarmkendwa1254
    @omarmkendwa1254 2 года назад

    Asante kaka nimekupata ni kweli shida hiyo ipo na nishapoteza sana ila mm nilikuwa nawapepea lakini si kufanikiwa.

  • @NayratDarwesh
    @NayratDarwesh 4 месяца назад +1

    Sasa umetapisha vipi tunaomba kuona ulivotapisha na sisi asante

  • @joanmongi3085
    @joanmongi3085 2 года назад

    Asante Kwa elimu

  • @rehemaissa6164
    @rehemaissa6164 2 года назад

    Ahsante Sana Kwa SoMo hili, he nitapata vip vifaranga wa kienyeji kutoka kwenu?

  • @samwelgaspar7361
    @samwelgaspar7361 2 года назад

    Asante

  • @suleamir3424
    @suleamir3424 3 года назад +2

    Unapatikana mkoa gan

  • @WinfridaOkumu
    @WinfridaOkumu 2 месяца назад +1

    Habari samahani nawezaje kupata vifaranga wa kuku vilage mm si mfugaji kihivyo bali nilitaka nianze kwa vifaranga wachache sana kulingana na uwezo wangu wa kuwatunza kama 50 hivi na ni kiasi gani samahani lakuni

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 месяца назад

      Unapatikana wapi? Tupigie 0621063255

    • @WinfridaOkumu
      @WinfridaOkumu 2 месяца назад

      @@KukuVillage napatikana Dar

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 месяца назад

      @@WinfridaOkumu Dar tunauza Kuanzia 100, (box 1)

    • @WinfridaOkumu
      @WinfridaOkumu 2 месяца назад

      @@KukuVillage haya sawa mtu hujikuna anapofikia siwezi chukua mia wakafa njaa asante endeleeni na hao wenye nazo

    • @felistashenjewele680
      @felistashenjewele680 2 месяца назад

      HABARI ZA KAZI JE NYINYI KUKU VILLAGE MNAPATIKANA MKOA GANI MIMI NIKO DAR

  • @nissamwapoladi7345
    @nissamwapoladi7345 3 года назад

    Naomba no zenu.

  • @hassaniMkosa
    @hassaniMkosa 3 месяца назад

    Chainiz inaweza kua chakula cha kuku

  • @MariamMasetta
    @MariamMasetta 3 месяца назад +1

    Mtaalam ni vema zoezi la kumtapisha kifaranga ungeliweka wazi hapo ingetusaidia zaidi

  • @ezackphilipo6774
    @ezackphilipo6774 3 года назад

    Tunaomba video zinazowaonyesha Kuku wa mwendokasi.tutafarijika sana

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  3 года назад

      Mbona zipo nyingi? Ingia you tube andika kuku wa MWENDOkasi zitakuja

  • @lainagyan2277
    @lainagyan2277 3 года назад

    Sijaona ulivyomtapisha boss

  • @felistashenjewele680
    @felistashenjewele680 Год назад +1

    Naomba kuuliza Mimi nafuga Kuku chotara tu wachache kama 30 hivi kwa ajili ya matumizi ya nyumbani, na huwa wanalala kwenye viota vya nyaya ila changamoto yangu ni kwamba kile kinyesi kinaganda Sana kwenye zile nyaya najitahidi kusafisha ila ni changamoto kweli, je kuja njia nyingine ambayo Kuku unaweza kuwawekea wasilale kwenye viota vya waya na wakawa salama?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  Год назад

      Njia nyingine ni kiwaweka katika banda lenye maranda chini. Na uzingatie usafi

  • @nicodemshello163
    @nicodemshello163 Год назад

    Hujaonyesha mamma unavyo mtapisha

  • @jumannemajengo6987
    @jumannemajengo6987 Год назад

    Sasa tufuate lipi maana wengine wanasema usiwape chakula uwape maji yenye glucose na vitamini kwa angalau masaa 2 ndio uwape chakula

  • @salumomari609
    @salumomari609 22 дня назад

    Vifaranga.wa.kanga.bei.gani

  • @abathbenon2503
    @abathbenon2503 3 года назад +1

    Kuku village asante kwa mafunzo mazuri!.
    Samahani mimi naomba kujua kama vifaranga mnaweza tuma mikoani, mfano mimi nipo Wilayani Kyerwa mkoani kagera je namm naweza pata huduma?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  3 года назад

      Tunasafirisha nchi nzima

    • @abathbenon2503
      @abathbenon2503 3 года назад

      Asante kwa taarifa.
      Sasa vipi mnauza vifaranga wa umri gani? Na kwa bei gani?

  • @monikakeepndole7268
    @monikakeepndole7268 3 года назад

    Barikiwa sana

  • @juairiyangomuo298
    @juairiyangomuo298 3 года назад

    Je kifaranga kugandia kinyesi kwenye sehemu ya kujisaidia nifanyeje?

  • @peterlyimo6696
    @peterlyimo6696 2 месяца назад

    Sasa mbona umerukisha sehemu ya jinsi ya kumtapisha ambayo ndio.muhimu

  • @ndikuibra8978
    @ndikuibra8978 3 года назад

    mbonahatukuwona.gizi.mumefany

  • @dotnatharwiza6306
    @dotnatharwiza6306 2 года назад

    Mimi niko kahama napataje vifaranga wa mayai?

  • @safiasultan4839
    @safiasultan4839 3 года назад

    Mnapatikana wapi

  • @achiwaseif8592
    @achiwaseif8592 2 года назад +1

    Ni njia gani mlitumia katika kumtapisha uyo kifaranga?
    Mana hamkuonesha namna mlivo mtapisha.

  • @gamaromar9693
    @gamaromar9693 2 года назад

    Umetapisha kivipi?tuonyeshe

  • @nicodemshello163
    @nicodemshello163 2 года назад

    Mbona hujaonyesha jinsi unavyomtapisha

  • @muskrilcardo9372
    @muskrilcardo9372 3 года назад +1

    Masoldier lol

  • @shamsashaibu8838
    @shamsashaibu8838 2 года назад

    Samahan kifaranga ana wiki 2 ila anasinzia nini shida

  • @samirbashir5795
    @samirbashir5795 3 года назад +1

    Kifaranga mnauza kiasi gani

  • @ArabaMwamba
    @ArabaMwamba 3 месяца назад

    Neomaxin inatibu nin

  • @YonaMadeha-w5i
    @YonaMadeha-w5i Год назад

    Kama jua hamna tunafanyaje

  • @aizakhabib6373
    @aizakhabib6373 2 года назад

    Sasa mbona hujatuonesha jinsi ya kumtapisha?

  • @robertfaustine8867
    @robertfaustine8867 2 года назад

    Nawapataje vifaranga wa kienyeji?

  • @rosembwambo6079
    @rosembwambo6079 2 года назад

    Je kifaranga akiwa kama shingo inadidimia kwa nyuma hakai straight na kashiba ni ugonjwa...
    Pia chanjo ya mwanzo initawaje

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 года назад

      Chanjo ni marek's .. kuhusu ni mapungufu. Ndiyo

  • @laurehneygifty3346
    @laurehneygifty3346 Год назад

    Jmny mbona amjaoesha jinsi mnavomtapisha ??

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  Год назад

      Pole anayesimulia ndo alikuwa anarekodi. Hivyo ilimlazimu kuzima camera ili afanye kazi hiyo.. ni mistake...

  • @kakasosoo5648
    @kakasosoo5648 3 года назад

    Hatukuona unavomtapisha

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  3 года назад

      Ni kweli, ilibidi niweke kamera chini nianze kazi... maana ningekosea angekufa...

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  3 года назад

      Ni kweli, ilibidi niweke kamera chini nianze kazi... maana ningekosea angekufa...

  • @nickylion905
    @nickylion905 3 года назад

    thanks bro