NJIA RAHISI YA KUPATA VIFARANGA WENGI WA KIENYEJI KWA MUDA MFUPI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • #vifaranga #kuku #kienyeji

Комментарии • 130

  • @ERICKJeanMARIE
    @ERICKJeanMARIE 3 месяца назад

    kwakweli nashukuru saana kupata ushauri toka kwenu mubarikiwe na muzidi kutufundisha zaidi

  • @reginaaizak1588
    @reginaaizak1588 4 года назад +1

    Hii njia nimeipenda sana nashukuru sana mwalimu

  • @queentellynyaga2645
    @queentellynyaga2645 4 года назад +2

    I love the video inamanufaa chungu nzima

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад +1

      Asante sana kwa mrejesho. Tunafurahi kusikia hivyo.

  • @sadahabdalah7073
    @sadahabdalah7073 2 года назад

    Asante kwa ushauri mzuri

  • @iddikimia4951
    @iddikimia4951 28 дней назад

    Safi sana

  • @akidasalim3859
    @akidasalim3859 4 года назад +1

    Asante sana mlm

  • @monicambiro5446
    @monicambiro5446 3 года назад +3

    Namesake kupata vicarage kutoka kwenu niko kenya

  • @santinachengula1541
    @santinachengula1541 2 года назад

    Asante Kwa elimu nzr

  • @akidasalim3859
    @akidasalim3859 3 года назад

    Nashukuru sana

  • @omarycheyo1540
    @omarycheyo1540 2 года назад

    Asante kwa ushauri

  • @agrpinagaspery9142
    @agrpinagaspery9142 2 года назад +2

    Kumbi. Kumbi waliokaangwa naweza kuwapatia vifaranga!?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 года назад

      Wape ni chanzo kizuri cha protini ila wakiwa wabichi ni nzuri zaidi

  • @tdlkonyagi5098
    @tdlkonyagi5098 2 года назад

    Asante sana

  • @YohannaMkanege
    @YohannaMkanege 3 месяца назад

    Asnte kwa darasa na somo zuri

  • @tinajaphet4828
    @tinajaphet4828 2 года назад

    Asanteni elimu nzuli

  • @juliussaidi1242
    @juliussaidi1242 2 года назад

    Nimewapata sanaa

  • @ericosoro7617
    @ericosoro7617 4 года назад +4

    Ukiwafungia siku mvili so watachafua viota zao

  • @bnussrahlimsantah3730
    @bnussrahlimsantah3730 4 года назад +1

    Mashallah nmependa

  • @raphaelmaundu4869
    @raphaelmaundu4869 4 года назад +2

    Housing design for 300 no. Local Chicken. Plz assist.

  • @mariamiddy9190
    @mariamiddy9190 4 года назад +1

    Safe kabesaa

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

  • @juliussaidi1242
    @juliussaidi1242 2 года назад

    Ase brother Niko tayari nahitaji kuanzisha mradi huu naomba nisaidie kwa ushauri zaidi

  • @BakariBakari-me7ib
    @BakariBakari-me7ib 5 месяцев назад +1

    Nahitaji somo zaid

  • @AzamuMussa
    @AzamuMussa 7 месяцев назад

    Nimewish sana mafunzo yenu Lakin shida nyingine ipo katika kuandaa mabanda bora

  • @evordiuskabakama7666
    @evordiuskabakama7666 4 года назад +1

    Asante

  • @ashrathswaibu3990
    @ashrathswaibu3990 Год назад

    Asante,nins swli,yai ukilishikana mkono bila nguo eti halitotolewi?

  • @machibyamachibya530
    @machibyamachibya530 4 года назад +1

    Hiv hizo nyasi ni nyasi gani nilizoziona kwenye hiyo vidio mnazolishia kuku ebu nipeni jibu na zinapatikana vipi asante

  • @maryamlmaryamwanje4334
    @maryamlmaryamwanje4334 3 года назад

    Namba

  • @deboramudogo9934
    @deboramudogo9934 4 года назад +1

    Kifaranga sh ngapi na tetea mkubwa sh ngapi

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Inategemeana na aina. Tupigie 0621063255

  • @TunsumeMwaijumba
    @TunsumeMwaijumba 23 дня назад

    Nipo mbeya tukuyu nawezaje kupata vifatanga

  • @mmwebeyonasibu6233
    @mmwebeyonasibu6233 4 года назад +1

    Aante kwa crip hii
    Tutumoe chakula cha kuwalisha kuku wakienyejo tangu wanapototolewa mpaka miezi sita

  • @abdallahsalehe441
    @abdallahsalehe441 2 года назад

    Mm ni mfugaji mdogo mdogo nilikuwa na sawal wstu usema kuku unakili siku ya kutotoa

  • @zahorrashid5262
    @zahorrashid5262 4 года назад

    Naitaj vifaranga nipo zanzibar

  • @najufxa7106
    @najufxa7106 4 года назад +1

    Nawezaje kupata kuku bora broo

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Nunua kuku aina ya bamboo toka kuku village ni bora mno.

  • @siitalugala8553
    @siitalugala8553 3 года назад

    Nimeona vifaranga na matters wapo pamoja je hawatagombania vifaranga

  • @ghatijr2337
    @ghatijr2337 4 дня назад

    Unajuaje matetea wameshawah kulalia

  • @everiusprojestus682
    @everiusprojestus682 4 года назад +2

    Mi2 naomba kuuliza nawezaje kumfundisha jogoo wangu kupanda jike nikiwa nimemshikilia

  • @yohanamagele3633
    @yohanamagele3633 4 года назад +3

    Daah hatunae nimepta channel ya kukamilisha ndoto yangu

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Karibu sana

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Jiunge hapa kwa maelekezo zaidi
      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

  • @eustacemgawe5454
    @eustacemgawe5454 4 года назад +1

    Ninakushukuru sana kwani ninakusudia kuanzisha ufugaji wa kuku wa kienyeji ili kupata orientation nzuri after my retirement in two years to come

  • @abubakarmzee3374
    @abubakarmzee3374 4 года назад +1

    😀😀😀😀😀😀

  • @amosthimoteo1126
    @amosthimoteo1126 4 года назад +1

    Jamani nahitaji ujuz kuhus ufugaji w kuk nimehangaikasana nisaidien ujuz

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Jiunge hapa kisha utapewa maelekezo
      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Jiunge hapa kwa maelekezo zaidi
      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

  • @Mwavyuachiboni
    @Mwavyuachiboni 4 месяца назад

    Nauniambe,dawayautitili,inayouwa,kwaharaka

  • @asherb.m.9314
    @asherb.m.9314 4 года назад +1

    My cockerels are not able to mount on the hens. I do free range. What do I do to get them fertilise the hens?. They also fight alot

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      aren't they overweighted?
      If so. Try to do insermination

    • @asherb.m.9314
      @asherb.m.9314 4 года назад

      @@KukuVillage how is insemination done. Am just starting so I bought 15 hens of different ages and 5 cockerels. Almost 3months and no action. Not a single egg also.

  • @paulmganga5880
    @paulmganga5880 4 года назад +1

    Unapo lea vifaranga tunahitaji kuweka gazeti au maranda ya mbao kama matandiko ili kuhifadhi joto je magazeti au maranda huwa yanabadilishwa baada ya mda wasiku ngapi

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Magazeti badilisha kila siku

    • @paulmganga5880
      @paulmganga5880 4 года назад

      Asante
      Pia naweza kupata vifaranga vya kuku aina ya KUCHI

  • @nehemiahwilson1864
    @nehemiahwilson1864 3 года назад

    Nashukuru kwakupata elimu yaufugagi kwani nindotouangu mama

  • @catherinenthenya4955
    @catherinenthenya4955 Год назад

    Thanks alot but ningependa kujua jinsi ya kujenga kibada ya kuku pia zangu nimefungia na hazitangi but nikizitoa inje Dio utanga shinda ni gani

  • @Smartkichizi
    @Smartkichizi 5 месяцев назад

    Me sjaelewa kwaiyo wanawekewa mayai yenye tareh moja au inakuadje apo

  • @happyyohana9881
    @happyyohana9881 Год назад

    Mnapatikana wapi kwa dar

  • @abdulmajidshafi9973
    @abdulmajidshafi9973 3 года назад +1

    Munauza kuku ama mayai yenye mbegu aina hio fupi wenye manyoya miguuni?

  • @bandeke9810
    @bandeke9810 4 года назад +2

    Yai LA kuku likipatwa na maji bado litaendelea kufaa kulaliwa na kuku?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Inategemeana na kiasi cha maji, aina ya maji na uchafu wa maji.
      Ila likipata hivyo inakuwa kubahatisha

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Jiunge hapa kwa maelekezo zaidi
      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

    • @odiliacharles8962
      @odiliacharles8962 4 года назад

      Safi sana kuku village

  • @asnathabiasaf3274
    @asnathabiasaf3274 4 года назад +1

    Kuku watagaji wazuri na jogoo mpandaji mzuri wanapatikana wapi?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Kuku village

    • @alicechibanhila3208
      @alicechibanhila3208 2 года назад

      @@KukuVillage kuku billage iko wapi nataka nije nichague matemba na jogoo

  • @asnathabiasaf3274
    @asnathabiasaf3274 4 года назад +1

    Kuna faida au hasara gani za vifaranga kulelewa na mama yao au kuachiwa wajilee wwnyew?
    Nazungumzia kuku wa kienyeji

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Wakilelewa na mama yai hatari huongezeka hivyo ni ngumu kukua wote

  • @winfridamwamban1078
    @winfridamwamban1078 4 года назад

    Nawapenda bure nikipata mtaji nitawatafuta

  • @juliethsandi532
    @juliethsandi532 4 года назад +1

    Nahitaji mbegu ya kuku bora wa kienyeji tafadhali. Je naweza pata wapi

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

    • @juliethsandi532
      @juliethsandi532 4 года назад

      @@KukuVillage Naomba uniunge kwenye group la whatsup. hii web inagoma.

  • @matikunyamhanga8309
    @matikunyamhanga8309 2 года назад

    Nitaendelea kufuatilia ili nami nipate vifaranga wengi kwa muda mfupi

  • @siitalugala8553
    @siitalugala8553 3 года назад

    Je gani kitafaa

  • @michaelabrshamsaidimu367
    @michaelabrshamsaidimu367 Год назад

    Je mayai ya kienyeji unaweza kutumia machine kuyatotoa?

  • @ImeldaAtieno-uy8yr
    @ImeldaAtieno-uy8yr Год назад +1

    Nifanyeje Ili kupata mafunzo ya kufuga kuku natak kuanz kufug

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  Год назад

      Mafunzo kwa hatufanyi... mpaka hapo baadae tutatoa utaratibu

  • @saidizakayo4759
    @saidizakayo4759 4 года назад

    jamani ntafuta mbegunzuri yang'ombe

  • @nikobonphace1256
    @nikobonphace1256 2 года назад

    Msaada wa namba

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 Год назад

    Na mimi nataka kufuga kuku

  • @petromikaeli3214
    @petromikaeli3214 2 года назад

    Kaka habari natumaini u mzma samahani naweza kuwatamishia kuku mayai 20 kwakuku moja??

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 года назад

      Akiwa na umbo kubwa na mayai yawe size ya kati yasiwe makubwa. Inawezekana. Pia jambo la muhimu jaribu kumfuatilia kila mara

    • @petromikaeli3214
      @petromikaeli3214 2 года назад

      @@KukuVillage Asante sana kaka

  • @juliethmbuya8146
    @juliethmbuya8146 3 года назад

    Me nataka nijiunge Ila namba haipatikani

  • @deboramudogo9934
    @deboramudogo9934 4 года назад

    Nataka kupata mbegu

  • @viviancharles2307
    @viviancharles2307 4 года назад +1

    Naomba kupata mafunzo kuhusu kuku.wakienyeji..kuhusu incubator machine..tafadhali nope number ya whatsap

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад +1

      Nitafute hapa
      chat.whatsapp.com/CJBj5U99JvLByXiDAOJNAr

    • @viviancharles2307
      @viviancharles2307 4 года назад

      @@KukuVillage hii hai download kabisa

  • @suleyman_007
    @suleyman_007 4 года назад +1

    Mayai yote yanafaa yawe ndani ya siku 14 ukihesabu ama yawe ndai ya siku 14???kwa sababu tarehe za mayai zitakuwa tofauti,na pia nauliza kwani kuku anachukuwa mda gani kutaga kabla ya kuanza kulalia mayai?

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Mayai yote lazima yawe yametagwa ndani ya siku 14, kama yatazidi yanatakiwa kuchambuliwa na kuwekwa yale ya ndani ya siku 14 tu. Mengine yatumike kwa matumizi mengineyo.

    • @suleyman_007
      @suleyman_007 4 года назад

      @@KukuVillage Asante,sasa nimekuelewa vyema

    • @paulmganga5880
      @paulmganga5880 4 года назад

      Je kwa wale kuku wanaotaga kwa kupitisha siku moja yapili hutaga je nitumie mchanganyiko wa chakula gani

  • @maryamhamad9149
    @maryamhamad9149 3 года назад +1

    KIFARANGA CHA SIKU YA MWANZO MARA NYINGI KWENYE BRUDA HUONA KAWEKEWA MAGAZETI HII HAITOLETA MADHARA KWA VILE KINYESI WA CHAO HAKIANGUKI CHINI?

  • @isackmachiyanshoka6754
    @isackmachiyanshoka6754 2 года назад

    Changamoto Ni magonjwa naomba nijue elim ya dawa

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  2 года назад

      Tutaifanyia kazi. Japo yapo baadhi tumeshayaelezea

  • @changigezamberi5868
    @changigezamberi5868 4 года назад +1

    Ni kweli. Nitumie namba yako ya WhatsApp..

  • @josphatotwani_manjose6997
    @josphatotwani_manjose6997 4 года назад +1

    Imenitia moyo wa kuanza ufugaji wa kuku....kongole

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Napenda sana kama ukifurahia masomo yetu. Karibu sana

  • @mariamngumbaokiponda552
    @mariamngumbaokiponda552 4 года назад

    Nimependa ufugaji kuku na nita endelea kufuatilia asante

  • @jumarwambo7420
    @jumarwambo7420 4 года назад +1

    Nicheki broh 0624102296 skupati whatapp

    • @KukuVillage
      @KukuVillage  4 года назад

      Jiunge hapa kwa maelekezo zaidi
      chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp

  • @mariamngumbaokiponda552
    @mariamngumbaokiponda552 4 года назад

    Asante sana