MILIKI KUKU ZAIDI YA 600 KWA MWAKA kwa kutumia fomula hii

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025

Комментарии • 39

  • @silveramujuni5246
    @silveramujuni5246 7 часов назад

    Hi elimu ni bora sana kibiashara

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  3 часа назад

      @@silveramujuni5246 karibu

  • @jestinasimon4130
    @jestinasimon4130 7 дней назад +3

    Elimu nzuri ubarikiwe

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  7 дней назад

      @@jestinasimon4130 shukran sana, tubarikiwe sote

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  3 дня назад

      @@jestinasimon4130 Amina, tubarikiwe sote

  • @HappynessFuss-f8q
    @HappynessFuss-f8q 6 дней назад +1

    Elimu nzuri sana natamani kufuga

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  6 дней назад

      @@HappynessFuss-f8q hongera na karibu sana.
      Kupitia channel hii, itakuwa ni sababu ya kuanza ufugaji na kukua zaid

  • @PaulSangayon
    @PaulSangayon 5 дней назад

    Hongera sana. Asante kwa elimu

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  5 дней назад

      @@PaulSangayon shukran sana

  • @swaumuramadhani-g7e
    @swaumuramadhani-g7e 5 дней назад

    Somo zuri Asante sana

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  4 дня назад

      @@swaumuramadhani-g7e shukran sana.

  • @HilaryMassawe-y7s
    @HilaryMassawe-y7s 5 дней назад

    Nice 👍 idea

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  4 дня назад

      @@HilaryMassawe-y7s thank you

  • @elimbotoraphael3940
    @elimbotoraphael3940 3 дня назад

    Elimu nzuri na inahamasisha ila siyo rahisi hivyo. Hao vifaranga kuwalea tofauti tofauti ni changamoto sana kwa mtu mwenye mtaji mdogo na eneo dogo.inawezekana ila waweza kuchanganyikiwa akili!kila mwezi ule vifaranga wapya!bado wengine wanakusubiria!njia rahisi ni kununua hao vifaranga wote na kuwalea kwa pamoja.

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  3 дня назад +1

      ​@@elimbotoraphael3940 Shukrani ni wazo zuri, la kujenga na kuboresha, Naamini pia katika uthubutu na nia thabiti ya kujitoa kikamilifu katika jambo lako.

  • @carenhilary8067
    @carenhilary8067 4 дня назад

    Good

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  4 дня назад

      @@carenhilary8067 thanks

  • @geralddeus1434
    @geralddeus1434 7 дней назад +1

    🔥🔥👍

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  7 дней назад

      @@geralddeus1434 🔥🔥🔥

  • @abidandastanmaliyatabu1373
    @abidandastanmaliyatabu1373 6 дней назад

    Asante kuniunga mkono kwa mawazo yangu

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  6 дней назад

      @@abidandastanmaliyatabu1373 karibu

  • @SurprisedCaptainHat-my4tw
    @SurprisedCaptainHat-my4tw 3 дня назад

    Kaka nashkul xaan

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  2 дня назад

      @@SurprisedCaptainHat-my4tw shukran sana. Karibu

  • @emmiemmi3861
    @emmiemmi3861 5 дней назад

    Asante

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  5 дней назад

      @@emmiemmi3861 karibu

  • @ChartyMpepo
    @ChartyMpepo День назад

    Vipi nikiaza na majike 10 na dume 1 banda lake linatakiwa ukubwa gani?

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  3 часа назад

      @@ChartyMpepo
      Ukubwa wa banda unategemea na aina ya kuku, mfumo unaotumia kufuga (ndani nusu huria au huria), idadi yao n.k
      Kwa kuku mmoja wa kienyeji anaefugwa kwa mfumo wa huria (nje) anahitaji nafasi ya futi za mraba 2 hadi 4
      Yaani 0.6 - 1.2 metre square kwa kuku mmoja.
      Au sentimita 60 - 120 za mraba kwa kuku mmoja.
      Ili kupata nafasi ya idadi ya kuku ulionao au unaohitaji kuwafuga yapasa kuchuku mita 0.6 kwa kuku 1 × idadi ya kuku
      Mfano 0.6 × 10 = 6 mita za mraba
      Kwaiyo banda lako laweza kuwa na
      Upana mita 2 na urefu mita 3
      Ahsante na karibu.

    • @ChartyMpepo
      @ChartyMpepo 2 часа назад

      @Ahikigufa nashukuru

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  2 часа назад

      @ChartyMpepo shukran pia.

  • @CHARLYASSEY
    @CHARLYASSEY 6 дней назад

    Nahtaj sana elm iyoooo

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  6 дней назад

      @@CHARLYASSEY tuko pamoja, endelea kufuatilia mtitiriko wa maudhui yangu, naimani elimu unayoihitaji utaipata

  • @evancem4366
    @evancem4366 4 дня назад

    Me wezi ndo wananirudisha nyuma

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  2 дня назад

      Aisee pole sana.
      Ni kweli hiyo ni changamoto kubwa sana na kuna wakati inakatisha tamaa.
      Hasa unafikiria level uliyokuwa umefikia, jasho, damu na machozi uliyomwaga kufika hapo.
      Ni kutie moyo kwa mara nyingine kwa kutokata tamaa, kikubwa ni kujifunza kwa kila kosa na changamoto inayokukabili kisha kutafuta suluhisho la kudumu.
      Sijajua mazingira yako yakoje, ila naimani MBWA anaweza kuwa moja kati ya suluhisho.

  • @DanielMbena
    @DanielMbena 7 дней назад +1

    Mayai yanatakiwa yatotolewe baada ya mda gani?

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  6 дней назад

      @@DanielMbena
      Iwe ni kuku kaatamia au umeweka kwenye mashine mayai huanza kuanguliwa au kutotolewa baada ya siku 19 - 23 ambayo wastani ni siku 21.

    • @DanielMbena
      @DanielMbena 6 дней назад

      @Ahikigufa Yani maana yangu ili mayai yatotoleke toka yatagwe yanatakiwa yakae siku ngapi ili yawe yanafaa kutotoleka?

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  6 дней назад +1

      @DanielMbena ni siku 14 kwa maan wiki mbili.
      Ila yakikaa siku 12 yanaleta matokeo bora zaidi.
      Zaidi ya hapo kaa tayari kwa video inayofuata nimeeleza yote hayo.

  • @amanichaula1
    @amanichaula1 5 дней назад

    Kaka namba yako kwa maelezo zaidi

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa  5 дней назад

      @@amanichaula1 0752682127 WhatsApp/normal call/Messages