Ahi kigufa
Ahi kigufa
  • Видео 23
  • Просмотров 20 728

Видео

HUHITAJI KUTUMIA DAWA KWA MFUMO HUU. Sehemu ya pili
Просмотров 2387 часов назад
HUHITAJI KUTUMIA DAWA KWA MFUMO HUU. Sehemu ya pili
sehemu ya pili: MILIKI KUKU ZAIDI YA 600 KWA MWAKA kwa kutumia fomula hii
Просмотров 49412 часов назад
Kwa wale ambao hawajaangalia video ya kwanza. Boyeza link hii. ruclips.net/video/uQ8jCm5Aj7c/видео.htmlsi=JoO8LF-X_n946qmv
MILIKI KUKU ZAIDI YA 600 KWA MWAKA kwa kutumia fomula hii
Просмотров 13 тыс.День назад
MILIKI KUKU ZAIDI YA 600 KWA MWAKA kwa kutumia fomula hii
HUHITAJI KUTUMIA MADAWA TENA KWA MFUMO HUU. Sehemu ya kwanza
Просмотров 11114 дней назад
HUHITAJI KUTUMIA MADAWA TENA KWA MFUMO HUU. Sehemu ya kwanza
JE, TUNAWEZA KUTUMIA HII TEKNOLOJIA?
Просмотров 40214 дней назад
JE, TUNAWEZA KUTUMIA HII TEKNOLOJIA?
MATOKEO BORA YA KUKU WAKO HUANZIA HAPA
Просмотров 17121 день назад
MATOKEO BORA YA KUKU WAKO HUANZIA HAPA
FANYA HIVI KUEPUSHA VIFO KWA VIFARANGA.
Просмотров 4,8 тыс.Месяц назад
FANYA HIVI KUEPUSHA VIFO KWA VIFARANGA.
NAMNA YA KUTAFUTA CHICKEN UNIFORMITY (USAWA WA KUKU)
Просмотров 74Месяц назад
NAMNA YA KUTAFUTA CHICKEN UNIFORMITY (USAWA WA KUKU)
FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA VENT GLEET
Просмотров 285Месяц назад
FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA VENT GLEET
UFUKIZAJI BANDANI KABLA YA KUWEKA VIFARANGA
Просмотров 202Месяц назад
Hii hufanyika ili kudhibiti vimelea sehem ambazo usafi haukufika au kufanyika vizur
TAZAMA MATUNDA YANAVYOFANYA KAZI KWA KUKU
Просмотров 389Месяц назад
Moja kati ya chanzo kikubwa cha vitamins ni matunda na mbogambog. Kwaiyo wapatie kuku wako kwa afya zaid
NAMNA YA KUNING'INIZA DRINKER NA FEEDER BANDANI KISASA
Просмотров 1282 месяца назад
NAMNA YA KUNING'INIZA DRINKER NA FEEDER BANDANI KISASA
PUNGUZA GHARAMA KWA KUWAPA VITAMIN YA ASILI
Просмотров 3592 месяца назад
mbogamboga ni shemeh ya vitamin, punguza gharama kwa kwapa majani
Experiencing african agriculture
Просмотров 62 месяца назад
ufugaji ni asili yetu.
Maisha bora ya vifaranga@ahikigufa
Просмотров 332 месяца назад
Maisha bora ya vifaranga@ahikigufa
VYOMBO KWA AJILI YA VIFARANGA
Просмотров 7132 месяца назад
VYOMBO KWA AJILI YA VIFARANGA
NAMNA YA KUUPA UELEKEO MMEA WA PASSION/KAKARA
Просмотров 269 месяцев назад
NAMNA YA KUUPA UELEKEO MMEA WA PASSION/KAKARA
NAMNA YA KUWAHAKIKISHIA KUKU WAKO MAJI SAFI NA SALAMA
Просмотров 6611 месяцев назад
NAMNA YA KUWAHAKIKISHIA KUKU WAKO MAJI SAFI NA SALAMA
EPUKA MAZINGIRA HAYA YA MSONGO (STRESS) KWA KUKU WAKO
Просмотров 73Год назад
EPUKA MAZINGIRA HAYA YA MSONGO (STRESS) KWA KUKU WAKO
JINSI YA KUTIBU KUKU WAKO
Просмотров 65Год назад
JINSI YA KUTIBU KUKU WAKO
CHANZO CHA JOTO KWA VIFARANGA
Просмотров 135Год назад
CHANZO CHA JOTO KWA VIFARANGA

Комментарии

  • @silveramujuni5246
    @silveramujuni5246 10 часов назад

    Hi elimu ni bora sana kibiashara

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 6 часов назад

      @@silveramujuni5246 karibu

  • @ChartyMpepo
    @ChartyMpepo День назад

    Vipi nikiaza na majike 10 na dume 1 banda lake linatakiwa ukubwa gani?

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 6 часов назад

      @@ChartyMpepo Ukubwa wa banda unategemea na aina ya kuku, mfumo unaotumia kufuga (ndani nusu huria au huria), idadi yao n.k Kwa kuku mmoja wa kienyeji anaefugwa kwa mfumo wa huria (nje) anahitaji nafasi ya futi za mraba 2 hadi 4 Yaani 0.6 - 1.2 metre square kwa kuku mmoja. Au sentimita 60 - 120 za mraba kwa kuku mmoja. Ili kupata nafasi ya idadi ya kuku ulionao au unaohitaji kuwafuga yapasa kuchuku mita 0.6 kwa kuku 1 × idadi ya kuku Mfano 0.6 × 10 = 6 mita za mraba Kwaiyo banda lako laweza kuwa na Upana mita 2 na urefu mita 3 Ahsante na karibu.

    • @ChartyMpepo
      @ChartyMpepo 5 часов назад

      @Ahikigufa nashukuru

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 5 часов назад

      @ChartyMpepo shukran pia.

  • @Ahikigufa
    @Ahikigufa День назад

    LINK YA VIDEO SEHEMU YA KWANZA ruclips.net/video/uQ8jCm5Aj7c/видео.htmlsi=gajmqE5Wuq0nM_22

  • @SurprisedCaptainHat-my4tw
    @SurprisedCaptainHat-my4tw 3 дня назад

    Kaka nashkul xaan

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 2 дня назад

      @@SurprisedCaptainHat-my4tw shukran sana. Karibu

  • @elimbotoraphael3940
    @elimbotoraphael3940 4 дня назад

    Elimu nzuri na inahamasisha ila siyo rahisi hivyo. Hao vifaranga kuwalea tofauti tofauti ni changamoto sana kwa mtu mwenye mtaji mdogo na eneo dogo.inawezekana ila waweza kuchanganyikiwa akili!kila mwezi ule vifaranga wapya!bado wengine wanakusubiria!njia rahisi ni kununua hao vifaranga wote na kuwalea kwa pamoja.

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 3 дня назад

      ​@@elimbotoraphael3940 Shukrani ni wazo zuri, la kujenga na kuboresha, Naamini pia katika uthubutu na nia thabiti ya kujitoa kikamilifu katika jambo lako.

  • @carenhilary8067
    @carenhilary8067 4 дня назад

    Good

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 4 дня назад

      @@carenhilary8067 thanks

  • @evancem4366
    @evancem4366 4 дня назад

    Me wezi ndo wananirudisha nyuma

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 2 дня назад

      Aisee pole sana. Ni kweli hiyo ni changamoto kubwa sana na kuna wakati inakatisha tamaa. Hasa unafikiria level uliyokuwa umefikia, jasho, damu na machozi uliyomwaga kufika hapo. Ni kutie moyo kwa mara nyingine kwa kutokata tamaa, kikubwa ni kujifunza kwa kila kosa na changamoto inayokukabili kisha kutafuta suluhisho la kudumu. Sijajua mazingira yako yakoje, ila naimani MBWA anaweza kuwa moja kati ya suluhisho.

  • @ShukrathAbeid
    @ShukrathAbeid 4 дня назад

    Ahii samahani naomba namba yako

  • @swaumuramadhani-g7e
    @swaumuramadhani-g7e 5 дней назад

    Somo zuri Asante sana

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 4 дня назад

      @@swaumuramadhani-g7e shukran sana.

  • @HilaryMassawe-y7s
    @HilaryMassawe-y7s 5 дней назад

    Nice 👍 idea

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 4 дня назад

      @@HilaryMassawe-y7s thank you

  • @amanichaula1
    @amanichaula1 5 дней назад

    Kaka namba yako kwa maelezo zaidi

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 5 дней назад

      @@amanichaula1 0752682127 WhatsApp/normal call/Messages

  • @emmiemmi3861
    @emmiemmi3861 5 дней назад

    Asante

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 5 дней назад

      @@emmiemmi3861 karibu

  • @PaulSangayon
    @PaulSangayon 5 дней назад

    Hongera sana. Asante kwa elimu

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 5 дней назад

      @@PaulSangayon shukran sana

  • @SalahMulekezi
    @SalahMulekezi 5 дней назад

    Asante

  • @HappynessFuss-f8q
    @HappynessFuss-f8q 6 дней назад

    Elimu nzuri sana natamani kufuga

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 6 дней назад

      @@HappynessFuss-f8q hongera na karibu sana. Kupitia channel hii, itakuwa ni sababu ya kuanza ufugaji na kukua zaid

  • @abidandastanmaliyatabu1373
    @abidandastanmaliyatabu1373 6 дней назад

    Asante kuniunga mkono kwa mawazo yangu

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 6 дней назад

      @@abidandastanmaliyatabu1373 karibu

  • @CHARLYASSEY
    @CHARLYASSEY 7 дней назад

    Nahtaj sana elm iyoooo

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 6 дней назад

      @@CHARLYASSEY tuko pamoja, endelea kufuatilia mtitiriko wa maudhui yangu, naimani elimu unayoihitaji utaipata

  • @DanielMbena
    @DanielMbena 7 дней назад

    Mayai yanatakiwa yatotolewe baada ya mda gani?

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 6 дней назад

      @@DanielMbena Iwe ni kuku kaatamia au umeweka kwenye mashine mayai huanza kuanguliwa au kutotolewa baada ya siku 19 - 23 ambayo wastani ni siku 21.

    • @DanielMbena
      @DanielMbena 6 дней назад

      @Ahikigufa Yani maana yangu ili mayai yatotoleke toka yatagwe yanatakiwa yakae siku ngapi ili yawe yanafaa kutotoleka?

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 6 дней назад

      @DanielMbena ni siku 14 kwa maan wiki mbili. Ila yakikaa siku 12 yanaleta matokeo bora zaidi. Zaidi ya hapo kaa tayari kwa video inayofuata nimeeleza yote hayo.

  • @jestinasimon4130
    @jestinasimon4130 7 дней назад

    Elimu nzuri ubarikiwe

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 7 дней назад

      @@jestinasimon4130 shukran sana, tubarikiwe sote

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 3 дня назад

      @@jestinasimon4130 Amina, tubarikiwe sote

  • @geralddeus1434
    @geralddeus1434 7 дней назад

    🔥🔥👍

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 7 дней назад

      @@geralddeus1434 🔥🔥🔥

  • @allytayari3938
    @allytayari3938 8 дней назад

    Kazi safi kaka Asante

  • @stephenmuli-j4q
    @stephenmuli-j4q 25 дней назад

    Ujumbe muhimu,ongera

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 24 дня назад

      @@stephenmuli-j4q shukran sana

    • @filipinadaud885
      @filipinadaud885 21 день назад

      BARIKIWA SANA ELIMU NZURI

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 20 дней назад

      @@filipinadaud885 shukran sana. Tubarikiwe sote.

  • @kahekesaid6909
    @kahekesaid6909 2 месяца назад

    Hongera somo limeeleweka