Mbinu 8 za Kupata kuku bora wa Kufuga wa kienyeji

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025
  • Kwa anaeanza ufugaji zingatia aya mambo 8 ili uweze pata mbegu bora katika safari yako ya ufugaji wa kuku wa asili/kienyeji
    👉Kujifunza kuhusu uleaji wa vifaranga wa kuku wa kienyeji wenyewe bila mama yao, tembelea link ifuatayo👇
    • JINSI YA KULEA VIFARAN...
    👉Jinsi ya kupata kuku wengi wa kienyeji kwa muda mfupi tembelea apa👇
    • Jinsi ya kupata kuku ...
    👉Kuhusu Tiba asili za kuku
    • TIBA ASILI KWA KUKU: ...
    👉Kujifunza vyakula 10 vyenye sumu kwa kuku wako tembelea 👇
    • VYAKULA (10) VYENYE S...
    👉Kuhusu Ugonjwa wa mafua ya kuku na jinsi ya kutibu tembelea apa👇
    • HOW TO TREAT CHICKEN'S...
    👉Jinsi ya kuchoma chanjo ya ndui
    • Jinsi ya kuchoma chanj...
    Barikiwa sana kwa maswali yeyote usisite kutuandikia apo 👆 swali lako🙏🙏
    👉Kwa video zingine kwenye channel yetu
    / @agalustv

Комментарии • 93

  • @doppewaxy282
    @doppewaxy282 2 года назад +2

    Nime subscribe mzee,naanza kufuga kuku shamba huku fukayose,na hii ndo channel yangu ya muongozo,thanks.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад +1

      Barikiwa sana ndugu ✍️🤝👍

  • @BalakaYohana-cw3di
    @BalakaYohana-cw3di Год назад +2

    Big up agalus dahhh

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Karibu sana ndugu 🙏🤝

  • @LilianKayoka
    @LilianKayoka 7 месяцев назад +1

    Asanteh Kwa masomo mazuri, , msaada juu ya ujenzi wa Banda la kuku

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 месяцев назад

      Ujenzi wa Banda bora la kuku
      ruclips.net/p/PL8xez8Eh4s0HzgJrqmWI7cB7pfGKt2sxd

  • @claudiamollel4536
    @claudiamollel4536 2 года назад +1

    Hongera kwa ufundishaji ninafuatilia sana niña matumaini nitafaidikà asante.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      Barikiwa na kila LA heri kwako

  • @annamikamollel360
    @annamikamollel360 8 месяцев назад +1

    Asante sana nabarikiwa na haya mafunzo yenu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 месяцев назад

      Tupo pamoja ndugu

  • @neemashirima6121
    @neemashirima6121 2 года назад +2

    Asante Kwa ushauri mzuri

  • @danielmboje8751
    @danielmboje8751 3 месяца назад +1

    mko vizuri

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 месяца назад

      Asante sana ndugu endelea kutufuatilia video zingine zaidi ktkt channel hii ujifunze mengi zaidi

  • @ayubumkwizu2283
    @ayubumkwizu2283 7 месяцев назад +1

    Barikiwa nimepata somo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 месяцев назад

      OK tupo pamoja ndugu barikiwa pia ktk Kaz zako

  • @jumaelias1019
    @jumaelias1019 8 месяцев назад +1

    Namba nzuri ya kupata matete a wenye kulea vifaranga.,

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 месяцев назад

      Angalia umbo kubwa la tetea

  • @winifridampanduji
    @winifridampanduji 6 месяцев назад +1

    Nimernda. sana. masomo haya

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 месяцев назад

      Karibu Sana ndugu ktk channel hii

  • @Yohana-n6m
    @Yohana-n6m 3 месяца назад

    Napenda masomo yenu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 месяца назад

      Karibu sana ndugu endelea kutufuatilia video zingine zaidi ktkt channel hii ujifunze mengi

  • @moseslisulile6288
    @moseslisulile6288 2 года назад +1

    Ahxanteni sana kwa hii elimu ya ufugaji wa kuku ila ingependeza mngekuwa mnaweka na Namba za Simu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      OK ndugu Ubarikiwe kwa Ushauri 🙏🤝

  • @RehemaKimwaga
    @RehemaKimwaga 7 месяцев назад +1

    Habari watenda kazi wote,eti kuku wangu awezi kutembea,kula,hata kunywa maji nimpe dawa gani,anataga kaacha kutaga.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 месяцев назад

      Pole Sana ndugu MPE antibiotics uku ukilwangalia zaidi Dalili zingine

  • @JacklineMtuye-cq4ge
    @JacklineMtuye-cq4ge Год назад +1

    Nataka mbengu

  • @LéonardByamungu-f3t
    @LéonardByamungu-f3t 2 месяца назад +1

    Majani ya mpera kwa kutibu kuku.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 месяца назад

      Sawa ndugu endelea kufuatilia video hii kuhusu majani ya mpera
      ruclips.net/video/0Az61RdTqUs/видео.html

  • @MachanoAli-pi1dq
    @MachanoAli-pi1dq 8 месяцев назад +2

    Na wakiswahili wanatembea ndani siwatowi nje jee nijinsi Gani yakuzuiya maradhi ya salmonella

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 месяцев назад

      Wape Sana tiba asili mara kwa Mara. Andika you tube tiba asili za kuku by agalus TV zitakuja video nyingi Sana nawe UTAJIFUNZA mengi

  • @LéonardByamungu-f3t
    @LéonardByamungu-f3t 2 месяца назад +1

    Majani ya mpera

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 месяца назад

      Sawa ndugu fuatilia video hii kuhusu majani ya mpera kwa kuku
      ruclips.net/video/0Az61RdTqUs/видео.html

  • @bahatijuma2310
    @bahatijuma2310 3 года назад +1

    Naomba kufahamu jina la hayo majani wanayokula

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Majina yametofautina eneo na eneo kuna somo hili👇
      ruclips.net/video/k64gUbHX7hg/видео.html

  • @MachanoAli-pi1dq
    @MachanoAli-pi1dq 8 месяцев назад +1

    Nafuga leyas katika keji ila nijinsi Gani yakuondoa hahufu katika banda

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 месяцев назад

      Wape vitunguu saumu tu ktk maji yaan unatwanga na kuweka ktk maji. Kuondoa harufu bandani kuku wanaokunywa maji kinyesi Chao ua hakuna harufu. Pia Endelea na usafi

  • @alexntahiraja2974
    @alexntahiraja2974 7 месяцев назад +1

    Nimesbuscribe. Hivi naweza kuongea nawewe kwenye whatsap?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 месяцев назад

      Sawa ndugu

  • @MachanoAli-pi1dq
    @MachanoAli-pi1dq 8 месяцев назад +1

    Mimi boci wangu nauliza kitunguu saumu naweza kuwapa Kila siku na haitaleta athari yoyote

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 месяцев назад

      Angalau kwa wiki Mara 1 AU 2

  • @makinahonore
    @makinahonore Год назад +1

    Natoa salama AGALUS TV
    Mimi niko burundi nafatilia kila kitu na mungu awazidishie kutupa elimu. Ninaitaji number zenu ili tufanye kazi ya ufugaji na nyie if possible . Thanks

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Tunashukuru kwa kua pamoja. Wasalimie Burundi 🇧🇮 ndugu yetu

  • @catherinegewe4183
    @catherinegewe4183 Месяц назад +1

    Naweza pata plan yakujenga nyumba ya kuku kwenye plot ya 100/50 siyo plot kubwa nanataka kuanza mradi wa kuku 200/

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Месяц назад

      Sawa ndugu ngoja tuone uwezekano . Ila waweza mtafuta fundi akusaidie zaidi

    • @catherinegewe4183
      @catherinegewe4183 Месяц назад +1

      @ nitashukuru sana Nataka tu idea kidogo Ndiyo nione naweza mwambia nini fundi.Barikiwa sana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Месяц назад +1

      @catherinegewe4183 jifunze mambo muhimu ktk ujenzi WA banda

  • @AishaJustin-b9n
    @AishaJustin-b9n 2 месяца назад +1

    Kuku Wangi hawana uzito ni wa broiler

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 месяца назад

      Wana umri gani

  • @JacklineMtuye-cq4ge
    @JacklineMtuye-cq4ge Год назад +1

    Ntawapataje na mnapatikana wapi??

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Nihisi tulisha wasiliana ndugu

  • @paschalmagubo6337
    @paschalmagubo6337 3 года назад +1

    Nimejifunza mambo mengi sana kutoka Agalus tv, bila shaka nitapiga hatua nzuri!
    Ila naomba niulize swali:
    Ukilea vifaranga wa kienyeji bila mama yao kwa kufuata utaratibu wa uleaji bila mama na ikafikia muda sasa ukawatoa nje ili waanze maisha ya huria au nusu huria Je hawawezi kudhurika na vyakula vya kijitafutia nje?
    2. Kuku chotara pia unaweza kumfuga huria?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад +2

      Kuhusu chakula haina shida kwa kuku wa kienyeji. Kwa chotora hutegemea aina ya chotara kuna wanao weza kuishi kama wa kienyeji na pia kuna wasioweza. Bt barikiwa 🙌

    • @paschalmagubo6337
      @paschalmagubo6337 3 года назад +1

      @@AGALUSTV Asante sana 🙏

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Pa1🤝

  • @MachanoAli-pi1dq
    @MachanoAli-pi1dq 8 месяцев назад +1

    Pia jinsi yakumuwekea mayai wakati wakulalia kwamana hawatotoi vizuri je nifanye vp ili watotoe kwawingi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 месяцев назад

      Kuhusu kuku kushindwa kutotoa mayai video yake
      ruclips.net/video/wgm_6tAEcLw/видео.html

  • @aniressamson6972
    @aniressamson6972 3 года назад +1

    Je, kuku wa kisasa wanaweza kupewa mdalasini

  • @YolandaMgata-d5n
    @YolandaMgata-d5n 6 месяцев назад +1

    Kuna aina ya kuku wakienyeji wanaitwa kuchi nitumie njia Iipi kuwapata?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  6 месяцев назад

      Sawa tunawafaham ngoja tutakujuza tukijua wanapo uza

  • @annamikamollel360
    @annamikamollel360 8 месяцев назад +1

    Nitahifadhi vip mayai ya kuku wakati wa kusubiria kuwatamishia na je nitakuja mayai yenye ubora wa kutamishia kuku

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 месяцев назад +1

      Waweza weka ktk trey za mayai. AU box kumbuka kuandika mayai tarehe ya yai lilivyotagwa. Wkt w kumwekea utaanza na mayai ya mwisho yaani jipya kurud nyuma hadi idadi ya mayai utakayo mwekea. Mengine yaliyobak utakula

  • @elizabethmatsekhe7909
    @elizabethmatsekhe7909 3 года назад +2

    Can lacrosse kienyeji na pure breed?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Yes possible🙏

  • @AllyRajabu-kx5jh
    @AllyRajabu-kx5jh 9 месяцев назад +2

    Jinsi yakulea vifaranga wakuku wa kienyeji

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  9 месяцев назад

      Fuatilila video zetu uleaji wa vifaranga

  • @magdalenalaban8895
    @magdalenalaban8895 7 месяцев назад +1

    Je?majani ya mpapai kwa kukupa ni Dawa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 месяцев назад

      Yes ni tiba nzuri Sana. Jifunze zaidi kupitia video hii 👇
      ruclips.net/video/t_xlJot-vck/видео.html faida za mpapai kwa kuku na jinsi ya kutumia

  • @jumakhamis5053
    @jumakhamis5053 Год назад +1

    Unayoyasema mtaalam yote ni ukweli nimeyashuhudia yote

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад +1

      Tunashukuru kwa Hilo Mungu azidi kua NAWE katika Kaz zako

  • @ayubabwor1804
    @ayubabwor1804 2 года назад +1

    Hapo chini ya banda umeweka nini na usafi unakuwaje?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      Izo ni waya na Hakuna usafi yaani kinyesi kinaanguka Moja kwa Moja

  • @ramayasly4584
    @ramayasly4584 2 года назад +1

    Nauliza je unaweza pata original kuloiler yani F1?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      Kwetu hapana labda tuzidi ulizia🙏🏿🙏🏿✍️

    • @ramayasly4584
      @ramayasly4584 2 года назад +1

      @@AGALUSTV sawa kakangu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      🤝🤝✍️

  • @eugenetv6881
    @eugenetv6881 3 года назад +1

    Je iyo matawi yenye kuku inakula nigan

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад +1

      Majina yanatofautiana kulingana na eneo ila ni majani fulani ivi yana chumvi chumvi nyingi

  • @soudmgelleka983
    @soudmgelleka983 2 года назад +1

    Nyie mnapatikana wap ? Nipe hiyoo video ya kuchagua mbegu bora na jins ya kutunza vifaranga

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      Masomo ya uleaji wa vifaranga video zake Zipo apa
      ruclips.net/p/PL8xez8Eh4s0ENNDvJHA3l1dLb6SOmAv3b

  • @jojimwamlenga3759
    @jojimwamlenga3759 3 года назад +1

    Ivi baadae ya kufuga endapo uko mbali kama vile rufiji napateje soko la uakika?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Masoko ya kuku si shida ndugu yapo mengi sana🙏

  • @wigelwadavid5697
    @wigelwadavid5697 3 года назад +1

    Kwa mfano nataka kufunga kuku naenda kununua kijijini wale kuku walikuwa hawachajwi itafaa nikisha wanunua niaze kuchaja

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Ndyo ebu fuatialia hili somo jinsi ya kupata kuku bora
      ruclips.net/video/N-DBOzac8pU/видео.html

  • @hussenkasimu7098
    @hussenkasimu7098 3 года назад

    Somo zuri

  • @eugenetv6881
    @eugenetv6881 3 года назад +1

    Je dawa ya chacho unanunua dukan am wapi????

  • @judithsitti9788
    @judithsitti9788 3 года назад +1

    Video ya dawa ya kiasili kama naweza kupata.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Hii apa Mimea 12 kama tiba kwa kuku
      ruclips.net/video/3BpbwyWgSb0/видео.html