Finally, this is Prof. Kabudi we used to know. Your speech today is truly inspiring, Prof. Your advocacy for steering our country towards a future driven by science and technology coupled with indigenous knowledge was not just powerful but essential. Thank you for your visionary, pivotal, brighter and innovative speech. Now the implementation.....remains a question of curiosity...
profesa tunaona elimu yake hapo tumeona matumizi sahihi ya elimu safi kabiSa Mh prof kabudi kweli prof mwingi wa maarifa heshima yako mkuu ningependa ungekuwepo kwenye baraza la mawaziri maana mawazo yako ni ya thamani sana
These wazee's 🙌 They mean business, nmemsikiliza prof Muhongo karibia dk 15 sijamsikia akisifia, n kazi tu, nafikiri wanaosifia kila siku wanajambo lao, siamin kama wanatumwa, mtu anapewa mda wa kuchangia10min, dk 3 anasifia na kushukuru dk 2 taarifa kutoka kwa member mwenziie, 5 ndo anachangia mda ukiisha kabla ajamaliza hoja yake anabaki kushamgaa akat mda amepoteza mwenyew
We nawe unachanganya vitu hiyo anayo tengenezea hoja za msingi si misamiati ya kizungu hiyo ! Kataja mkoruba kaulizwa maana yake nin yeye mwenyew ni professor kwa Elimu ya wazungu fikri nje ya hapo ulipo mkuu
Kelele nyingi sisi mdomo sana na uprofessor wetu upo qualified kweny midomo Mwambie azalishe hicho anachokisema ndo utagundua knowledge know what siyo sawa na knowledge know how and knowledge know why
Ifike mahali sheria ya kuingia Bungeni iwe lazima uwe na uwezo wa kujenga hoja kama hawa wasomi, naona hta wanao ongoza kikao nao jawajui lugha yao hadi wafafanuliwe, bado kuna wale waliokuzwa na "you know"...wakijiona kuwa ndio wasomi wwnyewe, wakipigwa nondo wanakaa kimya kama hawapo kabisa Bungeni...ebu vyama vya siasa vituokoe katika hili wimbi la ujinga, maana kwenye sera za wengi wape ndipo tunapopatia matatizo yasiyoisha milele na wapigaji wenye akili kufanya yao bila hata uoga...maana wanajua kura nyingi ni za ndiooo, hususani ukizimegea mkate kidogo tu!
Yaan shule haidanganyi jmnnn prof kabudi,,dk bashiru wanajuwa hebu rejea mchango wa kapulwa kwenye wizara ya kilimo mwaka janaa ni madini tupuuuu jmnnn
😂 kiaz! Siasa bana huoni hata anachosema ameandika kweny karatasi anashindwa kutaja indigenous ana jikaza tu ! U professor wenye akili wa kuzungumza kisiasa tu! Mwambie aseme tafiti yake imefanya nini kweny ulimwengu wa Africa maana tuna uhaba wa Falsafa zetu wenyewe za kisasa na tafiti zetu za sayansi yetu ili zitumike mashulen vyuon na kwny jamii jimbon kwake! Utumbo mazuzu waksoma neno professor na hiyo hoja aliyo kariri usiku kucha wanakuambia apewe nchi, mavijana bana! Wamejaa matumbo kw pesa za Umma kna mmoja yeye ni professor wa uchumi nguli nchini ila nenda kaangalie uchumi wake mwenyew anaishi kwa Pesa za Ruzuku sasa mpe mice usikie akikupa hoja zake mamaaa! Utampenda mwambie fanya hicho unacho ongea kwako na kwa Chama chako
Wenzetu wazungu wamewekeza kwenye dawa zitokanazo na mimea na sisi tumewekeza kwenye dawa zao za viwandani. Why wanakimbia dawa zao za viwandani? Viongozi wetu wajiongeze.
Kwani mzee Haya mawazo kayaandaa kwa muda gani mbona huja zenyewe zimeandikwa kwenye karatasi na bado a Naongea mpka asome kweny karatasi! Aa professor jifunze kwa Pro. PLO Lumumba yule baba Professor kweli mzee hasomi kipande cha karatasi na hakwami popote
Finally, this is Prof. Kabudi we used to know. Your speech today is truly inspiring, Prof. Your advocacy for steering our country towards a future driven by science and technology coupled with indigenous knowledge was not just powerful but essential. Thank you for your visionary, pivotal, brighter and innovative speech. Now the implementation.....remains a question of curiosity...
INDEED PORF IS SPEAKING
A Visionary and An Intelligent Professor!
profesa tunaona elimu yake hapo tumeona matumizi sahihi ya elimu safi kabiSa Mh prof kabudi kweli prof mwingi wa maarifa heshima yako mkuu ningependa ungekuwepo kwenye baraza la mawaziri maana mawazo yako ni ya thamani sana
Wenye maarifa wako nje ya mfumo kwenye mifumo wapo wenzangu na mm mungu baliki tz
Hajamshukuru SAMIA.
He's not puppet.... Hongera LAProfessor
These wazee's 🙌
They mean business, nmemsikiliza prof Muhongo karibia dk 15 sijamsikia akisifia, n kazi tu, nafikiri wanaosifia kila siku wanajambo lao, siamin kama wanatumwa, mtu anapewa mda wa kuchangia10min, dk 3 anasifia na kushukuru dk 2 taarifa kutoka kwa member mwenziie, 5 ndo anachangia mda ukiisha kabla ajamaliza hoja yake anabaki kushamgaa akat mda amepoteza mwenyew
Magufuli watu wake wa karibu walikuwa watu wa kufikiria nje ya box, nimegundua ndio maana na ww ulikuwa mmoja wapo
Well said prof 👍👍👍 tumelogwa na wazungu naona huku kichwani ....
We nawe unachanganya vitu hiyo anayo tengenezea hoja za msingi si misamiati ya kizungu hiyo ! Kataja mkoruba kaulizwa maana yake nin yeye mwenyew ni professor kwa Elimu ya wazungu fikri nje ya hapo ulipo mkuu
Ndio Maan Magufuri Alipenda kuwa karibu Na Wewe!!!!
Nchi yetu inawasomi weeengi sn,ila ni wachache mno wanaotumika katika kuliongoza taifa. "Hawawezi kufanana wanaojua,na wasiojuaa"
We are publishing and perished...but others are patenting and prospering....nondo za Profesa Kabudi
Kama huna A mbili huwezi elewe na siyo D Tena😂😂
Biotheft ni noma!
Sasa matunda ya elimu ndo haya achana na I want to ask you one question 😢
Dr. Prof Kabudi has articulated very well his submission and he deserves to be given another five years with a ministerial position of Agriculture
Kwann asipelekwe kweny Wizara ya elimu mzeebaba
😂😂😂 wahuni siyo watu yan mtu hajatajwa ila ana toa sadaka muda ambao si wake nyie
Huyu mzee anajua namfatilia sana Natamani Angekuwa rais wa Hii Nchi angesaidia Huyu Mzee kasoma Ana Maarifa makubwa 🙏san
Kelele nyingi sisi mdomo sana na uprofessor wetu upo qualified kweny midomo Mwambie azalishe hicho anachokisema ndo utagundua knowledge know what siyo sawa na knowledge know how and knowledge know why
Mitano tena kwa professa
mambo haya yasisemwe tu bungeni, tuone implementation zake kwa usimamizi wa serikali
Professor Kabudi ana akili kubwa ya kufikiri ,sana (criical thinking ) sema siasa za nchi hii za hovyo watu kama akina Kabudi hawafit
Afanye kweny jimbo lake mbona anayo ground ya kusimama
Waziri wa elimu anafaa
Mimi huyu mwamba namkubali sana
Your the best professor. Your my national father.
mzee upo vizuri nnguzo kwa taifa letu
Ifike mahali sheria ya kuingia Bungeni iwe lazima uwe na uwezo wa kujenga hoja kama hawa wasomi, naona hta wanao ongoza kikao nao jawajui lugha yao hadi wafafanuliwe, bado kuna wale waliokuzwa na "you know"...wakijiona kuwa ndio wasomi wwnyewe, wakipigwa nondo wanakaa kimya kama hawapo kabisa Bungeni...ebu vyama vya siasa vituokoe katika hili wimbi la ujinga, maana kwenye sera za wengi wape ndipo tunapopatia matatizo yasiyoisha milele na wapigaji wenye akili kufanya yao bila hata uoga...maana wanajua kura nyingi ni za ndiooo, hususani ukizimegea mkate kidogo tu!
Mzee anajua
Saaaana huyu nafasi ya uwaziri wa mambo ya njee alifanya vzr sna hasa pale ndege zetu zilipokua zinakamtwa nje kipindi cha magu
Hongera sana prof, umetupa shule
❤
Changamoto yake kubwa ni pale anapoitwa mbele ya Rais kuongea. Huwa anateleza sana, otherwise yupo na madini mengi mno
Mmmh! Kabudi tu the next level
Yaan shule haidanganyi jmnnn prof kabudi,,dk bashiru wanajuwa hebu rejea mchango wa kapulwa kwenye wizara ya kilimo mwaka janaa ni madini tupuuuu jmnnn
Mzee yuko vizur sana
Huyu jamaa kchwa sana ,,, ila kuna wabunge wasndkzaj humu
Mama ampatie professor wizara uwezo anao
Hafai...unaweza kuwa ni professor lakini huna uongozi...si ni huyu aliyesema Mh. Mungu?
😂 kiaz! Siasa bana huoni hata anachosema ameandika kweny karatasi anashindwa kutaja indigenous ana jikaza tu ! U professor wenye akili wa kuzungumza kisiasa tu! Mwambie aseme tafiti yake imefanya nini kweny ulimwengu wa Africa maana tuna uhaba wa Falsafa zetu wenyewe za kisasa na tafiti zetu za sayansi yetu ili zitumike mashulen vyuon na kwny jamii jimbon kwake! Utumbo mazuzu waksoma neno professor na hiyo hoja aliyo kariri usiku kucha wanakuambia apewe nchi, mavijana bana! Wamejaa matumbo kw pesa za Umma kna mmoja yeye ni professor wa uchumi nguli nchini ila nenda kaangalie uchumi wake mwenyew anaishi kwa Pesa za Ruzuku sasa mpe mice usikie akikupa hoja zake mamaaa! Utampenda mwambie fanya hicho unacho ongea kwako na kwa Chama chako
hakika hauishiwi maarifa hongera kwa utalamu wako na uchambuzi wako kwa lengo la kuisaidia Tanzania yetu.
Wana siasa
Madini
Hili Bongo liko njema
Big brain
Mumzungumzie na mwalim
Person ability
Nyumbani hamtuiti hamtupi nafasi, sasa ivi nchi za ulaya zinatuita watupe kazi tuwasaidie kwenda kwenye mwezi, haya sisi hatuna namna
Hiki kichwa noma sn mali sn
Hazina ya taifa letu 😢
Hakunaga,
Labda
Huyu si ndo alisema aliokotwa jalalani? Leo mnamsifu?
Kuna mtoto wa mmbunge ambae yupo ktk kata?
Wenzetu wazungu wamewekeza kwenye dawa zitokanazo na mimea na sisi tumewekeza kwenye dawa zao za viwandani. Why wanakimbia dawa zao za viwandani? Viongozi wetu wajiongeze.
Kiongozi huyu ndio anafaa kuongoza Taifa, kiongozi mwenye maono wasiyoona wenye macho
Wakipewa hawafanyi hayo
@@arafatihamza4204 hajaanza leo huyu tangu enzi akiwa waziri wa mambo ya nje anafanya vizuri
Mwamba anapiga nondo
Mwamba Gani huyu alitapeli alienda kuchukia mizizi madagasca eti ni dawa yakorona tapeli mkubwa huyu
Ukuruba Duuuhh
Ni sawa inatokana na neno la Kiarabu Qaribun , kiswahili karibu , unapata ukaribu karibia kurubia ukaribu ni sawa kua ukuruba
Kuruba , kustanabahi
ukuruba + utabahari =ukubaha😆😆😆😆😆
Ukiponyeza translate ndo utachoka😂😂
Yaani hapo wajinga ni nyie wenyewe.
Watoto wenu wanasoma nchi gani?
Huyu jamaa ni tapeli wa siasa
Huyu ndio Kabudi tunaemjua na kumuheshimu acha yule aliefunikwa na mwendazake akawa chawa na Uprof akaweka kando
Mwendazake kwenda wapi?
Mzee wa jalalani ... na wa kumuita raisi mungu hovyo kabisa
Misamiati migumu ya nini,tumia maneno rahisi😂😂😂
Taaluma siku zote huwa na misamiati. Maneno mepesi hutumika mitaani.
Huyu Mhe ni mlei mzuri wa Roman Catholic, kwa kweli amelelewa kwenye maadili ya Kanisa.
Ni mu Anglican
Ni Mu Anglicana sio Mkatoliki
0:07 😅 0:17 0:17
Kwani mzee Haya mawazo kayaandaa kwa muda gani mbona huja zenyewe zimeandikwa kwenye karatasi na bado a Naongea mpka asome kweny karatasi! Aa professor jifunze kwa Pro. PLO Lumumba yule baba Professor kweli mzee hasomi kipande cha karatasi na hakwami popote
Nyie ndo mnaorudisha maendeleo nyuma. Kwani wapi imeandikwa, Profesa hapaswi kusoma popote akiwa anaongea??? Acha wivu wewe
Hawa n wasomi tu uwezo wa kutenda n mdogo
Upo sahihi sana
Umeongea ukweli saaaana