TOO EMOTIONAL - TAZAMA MAMA ALIVYOWALIZA BWANA HARUSI NA MDOGO WAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 192

  • @kyuneshila6750
    @kyuneshila6750 11 месяцев назад +8

    Too Emotional, nimelia 😭kwa furaha, hongera sana dada Ikollina kwa upendo, wewe ni wa.dhamani sana kwa hawa vijana na kwa Mungu pia, ubarikiwe

  • @aloyceponela3249
    @aloyceponela3249 5 месяцев назад +5

    Safi sana huyo dada mungu ampe maisha marefu

  • @mahechaalfeyo
    @mahechaalfeyo 5 дней назад

    Safi Sana Mungu awabaliki sana kwa kumkumbuka dada yenu wa kazi

  • @joankhalumi2564
    @joankhalumi2564 8 месяцев назад

    This so wonderful mungu awabariki siwengi wanakumbuka madada wa kazi

  • @lydiawanjiru1259
    @lydiawanjiru1259 7 месяцев назад

    Tenda wa uende zako.May God help these young men for their appreciation.God will surely reward you for the blessings this mother has given you today

  • @agneskaseya8473
    @agneskaseya8473 Год назад +2

    Daaah wadada zetu wa kazi ni watu wa kuwaheshim Sana hasa sisi tulio na shift kama hizo watoto zetu wanapitia magumu Ila ukiwa na dada mwene Iman, jamani tuwa thamini Sana kwani ni watu MUHIMU Sana Sana nsana hata Mimi machozi yamenitoka tena mbele ya binti yangu wa kazi,,,,,

  • @EsterMbukwa
    @EsterMbukwa 4 месяца назад

    Mungu akubariki sana niwachache wenye roho kama yako

  • @hannahtembo8280
    @hannahtembo8280 3 месяца назад

    Baraka nikumbuke nami❤❤❤

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael1846 11 месяцев назад +18

    Wafanya kazi wa ndani wenye roho mbaya mnajopotezea. thamani. Huyu dada anathamani kubwa sana kwa hawa vijana wawili

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 6 месяцев назад

    Great surprise and this is unique

  • @catrhine93
    @catrhine93 5 месяцев назад

    Mungu andelee kuwabariki sana sana

  • @ruthmukami7573
    @ruthmukami7573 9 месяцев назад

    Mbona wazazi kama hawafurai kumpongeza this great sister. Something doesn't look right.

    • @rehemakanyere4188
      @rehemakanyere4188 3 месяца назад

      Walifurahi tu,ila hawakutegemea kama watoto wao wanajua kushukuru kwa kiasi kikubwa saana

  • @TheresiaNdunguru-j4o
    @TheresiaNdunguru-j4o Год назад +1

    ❤❤ bila shaka aliwalea Kwa upendo wa kweri

  • @AnnoyedCrow-kt8lq
    @AnnoyedCrow-kt8lq 6 месяцев назад +1

    Just respect❤❤

  • @MosesSamson-b6z
    @MosesSamson-b6z 9 месяцев назад

    Mungu awabariki kwa fadhila mliofanya

  • @ElizabethOmutanyi
    @ElizabethOmutanyi 11 месяцев назад +1

    Be blessed❤

  • @shukurusyriack3504
    @shukurusyriack3504 6 месяцев назад +2

    Nimelia mno jamani kwa furaha,Mungu nipatie binti wa kunilelea wanangu kama mim nilivyolea wa wenzangu vizuri

  • @khadijatanzania7817
    @khadijatanzania7817 Год назад +2

    Hii ndo raha ya kuishi vzr na watu

  • @EmanueliBoi
    @EmanueliBoi 3 месяца назад

    Anastazia muema

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Год назад +1

    Masha allaah

  • @beathagabriel8438
    @beathagabriel8438 10 месяцев назад +1

    Wadada wa kazi hakuna formula ya kuishi nao..Namaanisha unaweza kuishi nae wiki mbili akaondoka. Ukapata mwingine akakaa miezi 2 akaondoka... ukapata mwengine akakaa miaka 12. Hapa ni kumuomba tuu Mungu ndiye mwenye uwezo wa kumfanya adumu kwako kwa upendo.

  • @ShamsiaMuhagama
    @ShamsiaMuhagama 4 месяца назад

    Ni wachache sana kukumbuka fadhira

  • @fidelisluvanda3585
    @fidelisluvanda3585 Год назад +6

    Kuna watu wanajua kushukuru ase😭too emotional

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 11 месяцев назад +1

      Yani ni shukrani inatoka kwenye Vilindi vya moyo kabisa

  • @gaudensiasamwel5337
    @gaudensiasamwel5337 6 месяцев назад

    Hii inadhihirisha kwamba hiyo familia walikuwa wanaishi naye vizur kama ndugu yao

  • @JeniphaMabway
    @JeniphaMabway 5 месяцев назад

    Wapandao kwa mema watavuna kwa kelele za furaha nimelia mimi

  • @AgripinaTarimo-rd6tq
    @AgripinaTarimo-rd6tq 11 месяцев назад

    Hongeren mmetenda tendo jema

  • @Rehemahafhz-ry4eu
    @Rehemahafhz-ry4eu Год назад +2

    Nimeipenda hiyo

  • @CharlesLutandula-y3c
    @CharlesLutandula-y3c 8 месяцев назад

    Wema unalipa nami nilipitia huko nimefanya miaka 10 leohii nimwajiriwa wa UN hongerasana dada huoni mfano kwa wafanyakazi wasasa wajifunze wemaunalipa

  • @rahmasabuni3425
    @rahmasabuni3425 3 месяца назад

    Nimetikisikamwili

  • @AgredaMoyo-ni2jp
    @AgredaMoyo-ni2jp Год назад

    Kwann wamelia jamani

    • @luciacyprian4
      @luciacyprian4 Год назад

      Wamelia kwa upendo ambao aliwaonesha toka mwanzo

  • @magrethcostantine9223
    @magrethcostantine9223 Год назад

    Huo ndio upendo mkubwa saaana

  • @SophiaNyoni-yl9yj
    @SophiaNyoni-yl9yj Год назад +1

    Bi harusi sura inaongea kila kitu Hana upendo hata 🤕

    • @africandarling6925
      @africandarling6925 Год назад

      Sophia wewe KIBOKO dooooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @mayraamon8965
      @mayraamon8965 Год назад

      😃😃😃😀😀😀😀😀😃

  • @RehemaAll
    @RehemaAll 11 месяцев назад

    Nimejikuta natoa machozi

  • @neemaisaac8356
    @neemaisaac8356 Год назад +14

    Hongera sana una moyo mzuri Mungu akubariki kukumbuka mfanyakazi wa ndani tunavozalauliwa kazi za ndani ubarikiwe sana

  • @ChristopherDaniel-zk1lx
    @ChristopherDaniel-zk1lx 11 месяцев назад +9

    Nimesikia raha mno mpaka nimelia kwa furahaa❤❤❤

  • @hegikibaby1120
    @hegikibaby1120 11 месяцев назад +13

    upendo wa kweli uliojaa hisia za furaha .....Mungu awabariki sidhan kama kuna mtu ataangalia na asitoe chozi. Mungu azidi kumbariki huyo mama na kizazi chake kwa upendo mkubwa aliowaonyesha hao watoto

  • @malaikajabali-oj2fh
    @malaikajabali-oj2fh 11 месяцев назад +5

    Asante kwa kuwalea hawa ndugu wawili. Tuning from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @raniy0262
    @raniy0262 Год назад +4

    Ni wachache wanaokumbuka fadhila

  • @shufaahmmmohamed1833
    @shufaahmmmohamed1833 8 месяцев назад +4

    Nimelia sana mana mie nimelea wa ndugu zangu na nimeambulia maneno makali ya kuvunja moyo wangu

  • @africandarling6925
    @africandarling6925 Год назад +7

    HONGERA Sana dada wa kazi kuishi vizuri na maboss wako na kulea watoto kwa upendo mungu hakubariki Dada

  • @rehemakenethi-tu2co
    @rehemakenethi-tu2co 11 месяцев назад +4

    Hongera sana Mungu akubariki kwa kumkumbuka dada wakaz si. Kitu rahisi kihivo

  • @AgredaMoyo-ni2jp
    @AgredaMoyo-ni2jp Год назад +5

    Kaka ana Upendoooo huyu Mungu akubariki nimrpenda

  • @monicambuya-sq9ms
    @monicambuya-sq9ms Год назад +6

    Nimependa vijana wana shukrani mno na ukarimu pia

  • @omarkhalfan5509
    @omarkhalfan5509 Месяц назад

    MashaAllah,Mungu awalinde kwa utu huu daima,soo emotional 😭😭

  • @beathagabriel8438
    @beathagabriel8438 10 месяцев назад +2

    Kuna wasichana wengi wanajitoa kwa kazi. Nzuri saana ila hapajapatikana mahali hadharani pa kuwashukuru. Wengine wanasomeshewa watoto wao na misaada. Mbalimbali.. Rai yangu ni kuwa. Mtu yeyote si msichana wa kazi tuuu unapoishi popote , ishi kwa upendo , uaminifu, chapa kazi , Hakika kuna siku Mungu wa Sirini atakuinua mpaka ushangae..Hongera sana Mikolina uliyejaa upendo wa asili bila kuigiza. MUNGU AKUTUNZE SAAANA.

  • @mwazanimnyamani8493
    @mwazanimnyamani8493 2 месяца назад

    Dada aqwilina hongera sana mungu akubariki sana

  • @BeibyBonny
    @BeibyBonny 10 месяцев назад +2

    Daaaaah hongeleni Sana mwenyezi mungu azidi kuwatia nguvu man moyo wakipekeee 👏👏👏👏👏

  • @evematinya6027
    @evematinya6027 10 месяцев назад +2

    Dahhh😢😢😢😢!!nimeliaaa lakini machozi yenye furaha sana!!dada Mikolina Mungu akubariki sana kwa upendo

  • @firmakisika5073
    @firmakisika5073 5 месяцев назад +1

    Mwenyezi Mungu nakusihi wabariki vijana hawa wametii ile amri aliyetuachia Yesu Kristo ... Pendaneni

  • @mwazanimnyamani8493
    @mwazanimnyamani8493 11 месяцев назад +2

    Dada nikolina alikuwa na upendo wa wa kweli kwa watoto aliokuwa anawalea mungu akubariki sana dasa nikolina

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Месяц назад

    Safi sana hakuna kitu kizuri Kama shukuran

  • @DaudiSita-rg3us
    @DaudiSita-rg3us 3 месяца назад

    Ni wachache sana watu hivi mbarikiwe sana

  • @jacintatheuri5372
    @jacintatheuri5372 10 месяцев назад +3

    This is the best gift may the heavens bless protect you thanks 🙏🏿

  • @marycelestin6586
    @marycelestin6586 11 месяцев назад +4

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ Hakika Mungu helipa kwa kadri ya matendo yk ila Aidan na mdogo wk mna moyo wa shukran ❤

  • @shuwekhaabdalla7533
    @shuwekhaabdalla7533 Месяц назад

    Dada mungu ayakulipa kwa wema wako

  • @MariyumaHosssam
    @MariyumaHosssam 2 месяца назад

    Nimelia machoz ya furahaaa sanaaa

  • @جاااحظمجنون
    @جاااحظمجنون 11 месяцев назад +3

    Tuwapate wapi watu kama hawa jamani 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @anithasimon2830
    @anithasimon2830 4 месяца назад

    Aseee kulia ni nje nje too emotional 🙏

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 Год назад +3

    Safi. Sana jamani mungu akawape machozi yafuraha ktk ndoa yanu

  • @Stephaniealphonce
    @Stephaniealphonce 3 месяца назад

    Daah nimejikuta nalia wallah

  • @ClaireAbisinia
    @ClaireAbisinia 3 дня назад

    Chanda chema🎉🎉 huvushwa pete❤❤😂😂😂

  • @elizabethmvumu1881
    @elizabethmvumu1881 Год назад +3

    Safi sana , familia.inaupendo, Mungu awatunze.

  • @BAYINAVALENTINE-lu3vl
    @BAYINAVALENTINE-lu3vl Год назад +4

    AMAZING STORRY

  • @TumainikafadziRandu
    @TumainikafadziRandu 10 месяцев назад +1

    Pia mm nimelia sana ikollina mungu akubariki kwakuwale watoto haoo vzuri mungu akupe herí na Baraka matamanio ya moyo wk akupe god bless mama❤❤❤

  • @emmykishindo2852
    @emmykishindo2852 11 месяцев назад +2

    Daaaaah! Yaaani,huyu dada napata Mume, Mwenyezi Mungu akubariki uingiapo na utokapo

  • @JoyceSamweli-d2p
    @JoyceSamweli-d2p 11 месяцев назад +1

    Mungu akubariki sanaa endelea namoyo huohuo niwachache wanao jali wafanyakazi wandani

  • @ZaiMbilo
    @ZaiMbilo 5 месяцев назад

    kwakweli hd mimi nalia

  • @JullianaBoaz
    @JullianaBoaz 4 месяца назад

    Namfananisha na marry

  • @aimfetty1641
    @aimfetty1641 7 месяцев назад

    Wema ni akiba walahi

  • @mwazanimnyamani8493
    @mwazanimnyamani8493 5 месяцев назад

    Huyu dada jamani kila ninavyoiona hii video lazima nicoment wadada wenye roho mbaya igeni huu mfano aa huyu dada

  • @marymwandandila9327
    @marymwandandila9327 6 месяцев назад

    Hawa vijana ni wa peke Sana ,wengine tumelea ndugu zetu tunaambulia matusi tuu

  • @NeemaLugoye
    @NeemaLugoye 6 месяцев назад

    Alifanya kitu kizur san kukumbuk fadhila, na huenda waliishi nae vizur kun watu wana roho mby ht kukaa na mtu siku moj kazi.

  • @heriethmozes8151
    @heriethmozes8151 Год назад +1

    Mungu atawalipa zaid yalio mema kwaupendo juu yadada wakaz niwachache sana kukubuka mema nimependa sana mungu awabariki

  • @GumbaJacob
    @GumbaJacob 6 месяцев назад

    Kiukweli hata Mimi nimehisi kutokwa na machozi hasa nilipona bwana Harusi anatokwa na machozi ,kijana uendelee na moyo wa upendo

  • @JeanMrina
    @JeanMrina Год назад +3

    Ubarikiwe kwa kukumbuka fadhila

  • @VerediaChalamila
    @VerediaChalamila 4 месяца назад

    Huyu dada alijielewa nn anafanya na nn kimempeleka, maana wadada wa kileo ni mtihani ubahatike tuu

  • @DairusKagoma-j5e
    @DairusKagoma-j5e 4 месяца назад

    Akubarik dada

  • @kizachristine
    @kizachristine 6 месяцев назад

    Wema ni akiba

  • @zainabuibrahim4766
    @zainabuibrahim4766 7 месяцев назад

    Watu wakujua thamani ya wema niwachache mumenofurahisha sana nyie vijana wawili

  • @nuratawadh1028
    @nuratawadh1028 2 месяца назад

    Mungu ambariki sana uyu dada kwa malezi mungu akuzidishie sana sana

  • @PaschaziaKashenge
    @PaschaziaKashenge 8 месяцев назад

    Jamani madada wa kazi jifunzeni, wema ni akiba....waleeni bila manung'uniko watoto mnaopewa kuwalea hamjui kesho

  • @cimpayeriziki6680
    @cimpayeriziki6680 5 месяцев назад

    Inauma

  • @deedee3614
    @deedee3614 11 месяцев назад +4

    Very beautiful. Couldn’t hold my tears back ♥️

    • @naomindulu2306
      @naomindulu2306 9 месяцев назад +1

      Me too my tears come out.❤

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 6 месяцев назад

    HONGERA SANA DADA NI WACHACHE WENYE MOYO KM HUO WADADA TUJIFUNZE KUWA WEMA NI AKIBA. LEO UTAMFANYIA VIBAYA MTOTO HUKUMBUKI NA WEWE NI MZAZI WA LEO AU WA BAADAYE

  • @bokomapesa
    @bokomapesa 4 месяца назад

    Hakika mungu Ana lipa hapa hapa duniani alicho kitenda ndio Leo mungu kampa mwanga inshallah Allah akupe umri mrefu Sana dada Niko lina

  • @mellenondieki6329
    @mellenondieki6329 7 месяцев назад

    You are wonderful guys to remember the one who was babysitting you,may God asidi,kuaongoza, kabisa you are best worldwide to remember your house maid,mungu,awaonekanee,kabisa,and awasaidie kill munacho taka,ndua hii...mungu awabariki na Familia yenu...l IN USA 🇺🇸

  • @FurahaMajilanga-ny8xj
    @FurahaMajilanga-ny8xj 5 месяцев назад

    Asante Mungu kwa ajili ya fundisho zuri nimechukua, hongereni Sana sana❤❤🎉🎉🎉

  • @stanleymsenga2436
    @stanleymsenga2436 5 месяцев назад

    Ni wachache sana wenye kuweza kukumbuka shukrani kama hizi vjn kwa hali hii MUNGU ata wavusha mbali

  • @faridampota-jh9rx
    @faridampota-jh9rx 11 месяцев назад +1

    Uyu kaka anamoyo mke anaonekana kisilani

  • @zuhurasaid
    @zuhurasaid 3 месяца назад

    Hongera sana, wanakukumbuk pia katika Sala zao, Mungu akutunze sana

  • @joycemushi3577
    @joycemushi3577 11 месяцев назад

    Kwakweli huyu mama mlezi amenifurahisha utapata wapi house girl kama huyu kwneye ulimwengu wa leo?

  • @MonicaKaskazi-ju2is
    @MonicaKaskazi-ju2is 11 месяцев назад +1

    Wafanyakazi walikuwa zamani

  • @simphrosaclavery4719
    @simphrosaclavery4719 8 месяцев назад

    Ooooo nimelia sana nakufikiri mbali sana ni kitu kimepita muda lakini kwanza kabisa wanangu vijana wangu kwa kukumbuka hiki kitendo Mungu awapiganie sana kwenye ndoa zenu mdumu kama nyie mlivyotunzwa hasa ni washing weza wenu wanapotaka kubadilika usimazibu mkumbushe tu hii siku ya Arusi yenu na umwMbie alijifunza nini ile siku mlipokuwa mkimzawadia mlezi wenu zawadi Mungu awatunze na amtunze mlezi wenu pia nami kupitia shuhuda hii ninaamini binti niliyenaye atakuwa.kama mlezi wenu aliyewakuza nami ninaamini itakuwa hivyo soma zaburi ya 23 yote na 2 4yote mbarikiwe sana ❤❤❤❤❤❤❤x7

  • @BabraRaymond-qo3hr
    @BabraRaymond-qo3hr 11 месяцев назад

    Jamn hadi choz limenitoka la furaha kumbe Kuna watu wazuri ambao tunaweza kuwadharau dahh

  • @VerediaChalamila
    @VerediaChalamila 4 месяца назад

    Hongera sanaaaaa dada yangu mungu akutuze na vijana nyie wawili mbarikiwe Kwa kumthamini dada yetu

  • @salmaalimusa6809
    @salmaalimusa6809 Год назад +1

    Biharusi mkavu dooo

  • @BabraRaymond-qo3hr
    @BabraRaymond-qo3hr 11 месяцев назад

    Jamn hadi choz limenitoka la furaha kumbe Kuna watu wazuri ambao tunaweza kuwadharau dahh

  • @veronicanzingula5426
    @veronicanzingula5426 11 месяцев назад

    Nimewah kusoma comments nikasema me stalia lakn weee nimejkuta choz linamwagika t🙏😪

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt Год назад +1

    Asante sana mdogo wangu uejua kunifurahisha

  • @kamgishaisaya4763
    @kamgishaisaya4763 10 месяцев назад

    DADA ASANTE KWA MBEGU ULIYO IPANDA HAKIKA MATUNDA YANAONEKANA KWA MACHO NA NIMFANO KWA WAMAMA WENGINE WELEENI WATOTO KWAUPENDO ILI IWE LAISI KWAKO NA KWA WATOTO WAKO MUNGU, AKUBALIKI SANA DADA,PIA ASANTENI NYIE VIJANA WAWILI KWA IMANI NA KUMBUKUMBU MLIYO NAYO KWA UYO MAMA, MUNGU,WA MBINGUNI AWABARIKI KWAKIWANGO KIKUBWA AMINA.