Daaah wadada zetu wa kazi ni watu wa kuwaheshim Sana hasa sisi tulio na shift kama hizo watoto zetu wanapitia magumu Ila ukiwa na dada mwene Iman, jamani tuwa thamini Sana kwani ni watu MUHIMU Sana Sana nsana hata Mimi machozi yamenitoka tena mbele ya binti yangu wa kazi,,,,,
Wadada wa kazi hakuna formula ya kuishi nao..Namaanisha unaweza kuishi nae wiki mbili akaondoka. Ukapata mwingine akakaa miezi 2 akaondoka... ukapata mwengine akakaa miaka 12. Hapa ni kumuomba tuu Mungu ndiye mwenye uwezo wa kumfanya adumu kwako kwa upendo.
upendo wa kweli uliojaa hisia za furaha .....Mungu awabariki sidhan kama kuna mtu ataangalia na asitoe chozi. Mungu azidi kumbariki huyo mama na kizazi chake kwa upendo mkubwa aliowaonyesha hao watoto
Kuna wasichana wengi wanajitoa kwa kazi. Nzuri saana ila hapajapatikana mahali hadharani pa kuwashukuru. Wengine wanasomeshewa watoto wao na misaada. Mbalimbali.. Rai yangu ni kuwa. Mtu yeyote si msichana wa kazi tuuu unapoishi popote , ishi kwa upendo , uaminifu, chapa kazi , Hakika kuna siku Mungu wa Sirini atakuinua mpaka ushangae..Hongera sana Mikolina uliyejaa upendo wa asili bila kuigiza. MUNGU AKUTUNZE SAAANA.
HONGERA SANA DADA NI WACHACHE WENYE MOYO KM HUO WADADA TUJIFUNZE KUWA WEMA NI AKIBA. LEO UTAMFANYIA VIBAYA MTOTO HUKUMBUKI NA WEWE NI MZAZI WA LEO AU WA BAADAYE
You are wonderful guys to remember the one who was babysitting you,may God asidi,kuaongoza, kabisa you are best worldwide to remember your house maid,mungu,awaonekanee,kabisa,and awasaidie kill munacho taka,ndua hii...mungu awabariki na Familia yenu...l IN USA 🇺🇸
Ooooo nimelia sana nakufikiri mbali sana ni kitu kimepita muda lakini kwanza kabisa wanangu vijana wangu kwa kukumbuka hiki kitendo Mungu awapiganie sana kwenye ndoa zenu mdumu kama nyie mlivyotunzwa hasa ni washing weza wenu wanapotaka kubadilika usimazibu mkumbushe tu hii siku ya Arusi yenu na umwMbie alijifunza nini ile siku mlipokuwa mkimzawadia mlezi wenu zawadi Mungu awatunze na amtunze mlezi wenu pia nami kupitia shuhuda hii ninaamini binti niliyenaye atakuwa.kama mlezi wenu aliyewakuza nami ninaamini itakuwa hivyo soma zaburi ya 23 yote na 2 4yote mbarikiwe sana ❤❤❤❤❤❤❤x7
DADA ASANTE KWA MBEGU ULIYO IPANDA HAKIKA MATUNDA YANAONEKANA KWA MACHO NA NIMFANO KWA WAMAMA WENGINE WELEENI WATOTO KWAUPENDO ILI IWE LAISI KWAKO NA KWA WATOTO WAKO MUNGU, AKUBALIKI SANA DADA,PIA ASANTENI NYIE VIJANA WAWILI KWA IMANI NA KUMBUKUMBU MLIYO NAYO KWA UYO MAMA, MUNGU,WA MBINGUNI AWABARIKI KWAKIWANGO KIKUBWA AMINA.
Too Emotional, nimelia 😭kwa furaha, hongera sana dada Ikollina kwa upendo, wewe ni wa.dhamani sana kwa hawa vijana na kwa Mungu pia, ubarikiwe
Safi sana huyo dada mungu ampe maisha marefu
Safi Sana Mungu awabaliki sana kwa kumkumbuka dada yenu wa kazi
This so wonderful mungu awabariki siwengi wanakumbuka madada wa kazi
Tenda wa uende zako.May God help these young men for their appreciation.God will surely reward you for the blessings this mother has given you today
Daaah wadada zetu wa kazi ni watu wa kuwaheshim Sana hasa sisi tulio na shift kama hizo watoto zetu wanapitia magumu Ila ukiwa na dada mwene Iman, jamani tuwa thamini Sana kwani ni watu MUHIMU Sana Sana nsana hata Mimi machozi yamenitoka tena mbele ya binti yangu wa kazi,,,,,
Mungu akubariki sana niwachache wenye roho kama yako
Baraka nikumbuke nami❤❤❤
Wafanya kazi wa ndani wenye roho mbaya mnajopotezea. thamani. Huyu dada anathamani kubwa sana kwa hawa vijana wawili
Great surprise and this is unique
Mungu andelee kuwabariki sana sana
Mbona wazazi kama hawafurai kumpongeza this great sister. Something doesn't look right.
Walifurahi tu,ila hawakutegemea kama watoto wao wanajua kushukuru kwa kiasi kikubwa saana
❤❤ bila shaka aliwalea Kwa upendo wa kweri
Just respect❤❤
Mungu awabariki kwa fadhila mliofanya
Be blessed❤
Nimelia mno jamani kwa furaha,Mungu nipatie binti wa kunilelea wanangu kama mim nilivyolea wa wenzangu vizuri
Hii ndo raha ya kuishi vzr na watu
Anastazia muema
Masha allaah
Wadada wa kazi hakuna formula ya kuishi nao..Namaanisha unaweza kuishi nae wiki mbili akaondoka. Ukapata mwingine akakaa miezi 2 akaondoka... ukapata mwengine akakaa miaka 12. Hapa ni kumuomba tuu Mungu ndiye mwenye uwezo wa kumfanya adumu kwako kwa upendo.
Bi
👍
Ni wachache sana kukumbuka fadhira
Kuna watu wanajua kushukuru ase😭too emotional
Yani ni shukrani inatoka kwenye Vilindi vya moyo kabisa
Hii inadhihirisha kwamba hiyo familia walikuwa wanaishi naye vizur kama ndugu yao
Wapandao kwa mema watavuna kwa kelele za furaha nimelia mimi
Hongeren mmetenda tendo jema
Nimeipenda hiyo
Wema unalipa nami nilipitia huko nimefanya miaka 10 leohii nimwajiriwa wa UN hongerasana dada huoni mfano kwa wafanyakazi wasasa wajifunze wemaunalipa
Nimetikisikamwili
Kwann wamelia jamani
Wamelia kwa upendo ambao aliwaonesha toka mwanzo
Huo ndio upendo mkubwa saaana
Bi harusi sura inaongea kila kitu Hana upendo hata 🤕
Sophia wewe KIBOKO dooooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😃😃😃😀😀😀😀😀😃
Nimejikuta natoa machozi
Hongera sana una moyo mzuri Mungu akubariki kukumbuka mfanyakazi wa ndani tunavozalauliwa kazi za ndani ubarikiwe sana
Nimesikia raha mno mpaka nimelia kwa furahaa❤❤❤
upendo wa kweli uliojaa hisia za furaha .....Mungu awabariki sidhan kama kuna mtu ataangalia na asitoe chozi. Mungu azidi kumbariki huyo mama na kizazi chake kwa upendo mkubwa aliowaonyesha hao watoto
Hakika inahisia kali jamani
Asante kwa kuwalea hawa ndugu wawili. Tuning from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ni wachache wanaokumbuka fadhila
Nimelia sana mana mie nimelea wa ndugu zangu na nimeambulia maneno makali ya kuvunja moyo wangu
HONGERA Sana dada wa kazi kuishi vizuri na maboss wako na kulea watoto kwa upendo mungu hakubariki Dada
Hongera sana Mungu akubariki kwa kumkumbuka dada wakaz si. Kitu rahisi kihivo
Kaka ana Upendoooo huyu Mungu akubariki nimrpenda
Nimependa vijana wana shukrani mno na ukarimu pia
MashaAllah,Mungu awalinde kwa utu huu daima,soo emotional 😭😭
Kuna wasichana wengi wanajitoa kwa kazi. Nzuri saana ila hapajapatikana mahali hadharani pa kuwashukuru. Wengine wanasomeshewa watoto wao na misaada. Mbalimbali.. Rai yangu ni kuwa. Mtu yeyote si msichana wa kazi tuuu unapoishi popote , ishi kwa upendo , uaminifu, chapa kazi , Hakika kuna siku Mungu wa Sirini atakuinua mpaka ushangae..Hongera sana Mikolina uliyejaa upendo wa asili bila kuigiza. MUNGU AKUTUNZE SAAANA.
Dada aqwilina hongera sana mungu akubariki sana
Daaaaah hongeleni Sana mwenyezi mungu azidi kuwatia nguvu man moyo wakipekeee 👏👏👏👏👏
Dahhh😢😢😢😢!!nimeliaaa lakini machozi yenye furaha sana!!dada Mikolina Mungu akubariki sana kwa upendo
Mwenyezi Mungu nakusihi wabariki vijana hawa wametii ile amri aliyetuachia Yesu Kristo ... Pendaneni
Dada nikolina alikuwa na upendo wa wa kweli kwa watoto aliokuwa anawalea mungu akubariki sana dasa nikolina
Safi sana hakuna kitu kizuri Kama shukuran
Ni wachache sana watu hivi mbarikiwe sana
This is the best gift may the heavens bless protect you thanks 🙏🏿
❤❤❤❤❤❤❤❤ Hakika Mungu helipa kwa kadri ya matendo yk ila Aidan na mdogo wk mna moyo wa shukran ❤
Dada mungu ayakulipa kwa wema wako
Nimelia machoz ya furahaaa sanaaa
Tuwapate wapi watu kama hawa jamani 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ilinga
Aseee kulia ni nje nje too emotional 🙏
Safi. Sana jamani mungu akawape machozi yafuraha ktk ndoa yanu
Daah nimejikuta nalia wallah
Chanda chema🎉🎉 huvushwa pete❤❤😂😂😂
Safi sana , familia.inaupendo, Mungu awatunze.
AMAZING STORRY
Pia mm nimelia sana ikollina mungu akubariki kwakuwale watoto haoo vzuri mungu akupe herí na Baraka matamanio ya moyo wk akupe god bless mama❤❤❤
Daaaaah! Yaaani,huyu dada napata Mume, Mwenyezi Mungu akubariki uingiapo na utokapo
Mungu akubariki sanaa endelea namoyo huohuo niwachache wanao jali wafanyakazi wandani
kwakweli hd mimi nalia
Namfananisha na marry
Wema ni akiba walahi
Huyu dada jamani kila ninavyoiona hii video lazima nicoment wadada wenye roho mbaya igeni huu mfano aa huyu dada
Hawa vijana ni wa peke Sana ,wengine tumelea ndugu zetu tunaambulia matusi tuu
Alifanya kitu kizur san kukumbuk fadhila, na huenda waliishi nae vizur kun watu wana roho mby ht kukaa na mtu siku moj kazi.
Mungu atawalipa zaid yalio mema kwaupendo juu yadada wakaz niwachache sana kukubuka mema nimependa sana mungu awabariki
Kiukweli hata Mimi nimehisi kutokwa na machozi hasa nilipona bwana Harusi anatokwa na machozi ,kijana uendelee na moyo wa upendo
Ubarikiwe kwa kukumbuka fadhila
Huyu dada alijielewa nn anafanya na nn kimempeleka, maana wadada wa kileo ni mtihani ubahatike tuu
Akubarik dada
Wema ni akiba
Watu wakujua thamani ya wema niwachache mumenofurahisha sana nyie vijana wawili
Mungu ambariki sana uyu dada kwa malezi mungu akuzidishie sana sana
Jamani madada wa kazi jifunzeni, wema ni akiba....waleeni bila manung'uniko watoto mnaopewa kuwalea hamjui kesho
Inauma
Very beautiful. Couldn’t hold my tears back ♥️
Me too my tears come out.❤
HONGERA SANA DADA NI WACHACHE WENYE MOYO KM HUO WADADA TUJIFUNZE KUWA WEMA NI AKIBA. LEO UTAMFANYIA VIBAYA MTOTO HUKUMBUKI NA WEWE NI MZAZI WA LEO AU WA BAADAYE
Hakika mungu Ana lipa hapa hapa duniani alicho kitenda ndio Leo mungu kampa mwanga inshallah Allah akupe umri mrefu Sana dada Niko lina
You are wonderful guys to remember the one who was babysitting you,may God asidi,kuaongoza, kabisa you are best worldwide to remember your house maid,mungu,awaonekanee,kabisa,and awasaidie kill munacho taka,ndua hii...mungu awabariki na Familia yenu...l IN USA 🇺🇸
Asante Mungu kwa ajili ya fundisho zuri nimechukua, hongereni Sana sana❤❤🎉🎉🎉
Ni wachache sana wenye kuweza kukumbuka shukrani kama hizi vjn kwa hali hii MUNGU ata wavusha mbali
Uyu kaka anamoyo mke anaonekana kisilani
Umeonaee
Hongera sana, wanakukumbuk pia katika Sala zao, Mungu akutunze sana
Kwakweli huyu mama mlezi amenifurahisha utapata wapi house girl kama huyu kwneye ulimwengu wa leo?
Wafanyakazi walikuwa zamani
Ooooo nimelia sana nakufikiri mbali sana ni kitu kimepita muda lakini kwanza kabisa wanangu vijana wangu kwa kukumbuka hiki kitendo Mungu awapiganie sana kwenye ndoa zenu mdumu kama nyie mlivyotunzwa hasa ni washing weza wenu wanapotaka kubadilika usimazibu mkumbushe tu hii siku ya Arusi yenu na umwMbie alijifunza nini ile siku mlipokuwa mkimzawadia mlezi wenu zawadi Mungu awatunze na amtunze mlezi wenu pia nami kupitia shuhuda hii ninaamini binti niliyenaye atakuwa.kama mlezi wenu aliyewakuza nami ninaamini itakuwa hivyo soma zaburi ya 23 yote na 2 4yote mbarikiwe sana ❤❤❤❤❤❤❤x7
Jamn hadi choz limenitoka la furaha kumbe Kuna watu wazuri ambao tunaweza kuwadharau dahh
Hongera sanaaaaa dada yangu mungu akutuze na vijana nyie wawili mbarikiwe Kwa kumthamini dada yetu
Biharusi mkavu dooo
Jamn hadi choz limenitoka la furaha kumbe Kuna watu wazuri ambao tunaweza kuwadharau dahh
Nimewah kusoma comments nikasema me stalia lakn weee nimejkuta choz linamwagika t🙏😪
Asante sana mdogo wangu uejua kunifurahisha
DADA ASANTE KWA MBEGU ULIYO IPANDA HAKIKA MATUNDA YANAONEKANA KWA MACHO NA NIMFANO KWA WAMAMA WENGINE WELEENI WATOTO KWAUPENDO ILI IWE LAISI KWAKO NA KWA WATOTO WAKO MUNGU, AKUBALIKI SANA DADA,PIA ASANTENI NYIE VIJANA WAWILI KWA IMANI NA KUMBUKUMBU MLIYO NAYO KWA UYO MAMA, MUNGU,WA MBINGUNI AWABARIKI KWAKIWANGO KIKUBWA AMINA.