Taarifa ya LEMA Yasambaa DUNIA NZIMA, Nchi YATIKISIKAA!!!!

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 279

  • @katunzikamara7989
    @katunzikamara7989 13 дней назад +19

    mimi ni ccm dam lkn lema unatufaa kuwa kiongozi wajuu nchini tanzania kweli tuna viongozi wanao alibu nchi yetu.lkn ipo cku Mungu atatutetea sisi watoto watanzania Mungu mbaliki lema mrinde lema mtunze lema kwaajili ya watanzania.

  • @ImaniMasuwi
    @ImaniMasuwi 13 дней назад +13

    Saluti sana Kiongozi mungu akulinde watabusha lakini ukweli umesemwa

  • @AdotTanzania
    @AdotTanzania 13 дней назад +9

    Hayati JPM aliyaona yote haya kitambo lakini alipigwa vita hadi kifo. Ni nani alituroga watanzania haya ndio yalikuwa maneno ya hayati JPM enzi za uhai wake. RIP JPM 😭😭😭

  • @johnmlangi6890
    @johnmlangi6890 14 дней назад +18

    Nakupongeza sana Mhe. Godbless Lema, Leo umeongea mazito sana na Kusheheni Ukweli. Nategemea Wananchi Wamekuelewa

  • @obedimolel7938
    @obedimolel7938 13 дней назад +7

    Viongozi kama hawa ndio wa kutusaidia kukomboa ngorongoro ,bandari zetu na sehemu nyingi zilizouzwa na uongozi mbovu uliopo madarakani tunakuombea sana Mungu akutie nguvu maana unasema ukweli mtupu

  • @felixngwasi9469
    @felixngwasi9469 13 дней назад +5

    Brovo kamanda, Mungu ni mwema, hakuna lisilo na mwanzo lisilo na mwisho, hawa jamaa wameshajiaminisha kuwa wao ndio wao kuwa hawaamini kwamba kuna Mungu ambaye ndiye Mpangaji kwamba siku ikifika hata wafanyaje mabadiliko ni lazima, na mabadiliko ni sasa hakuna mwenyekuweza kuzuia Mungu akiruhusu....

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 14 дней назад +21

    Tanzania tunajifunga kamba ya utumwa wa pili chini ya mikono ya waarabu iko siku kitakuja kizazi kitakachotaka kukomboa bandari za Tanzania kukomboa mbuga za Tanzania kitashindwa ndipo ipelekea Tanzania itamwaga damu nyingi kutokana na maamuzi mabaya ya viongozi wetu walioko madaraka Ieo wasio fikilia Nchi wanafikilia matumbo yao na watoto wao
    hakika iko siku maiti zao zitafukuliwa na kuchapwa viboko hadhalani.

  • @RobertJonathan-jm5um
    @RobertJonathan-jm5um 13 дней назад +7

    Hongeraa ukweli mtupu

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r 13 дней назад +12

    Pamoja nauccm wangu kwahili lema nisemeukweli ukosawa kabisa.

  • @amaniringo5533
    @amaniringo5533 13 дней назад +3

    Hongera sana kamanda Lema piga misumari baba❤

  • @user-vz3bb3ch3z
    @user-vz3bb3ch3z 14 дней назад +10

    Rema maneno yako yànachoma make nikweli mutupu

  • @SylivesterKasikila
    @SylivesterKasikila 14 дней назад +6

    Thanks Lema. You have brain.

  • @danysikira4302
    @danysikira4302 11 дней назад +2

    vibrant speech which wrapped by truth

  • @davidrweyemamu938
    @davidrweyemamu938 11 дней назад +5

    Darasa zito sana Lema! Watu wanashindwa kushangiria kwa sababu ya umakini wa kusikiliza hoja zako nzito! Mungu akulinde sana watanzania wanahitaji ukombozi kupitia watu kama wewe.👍👏

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 11 дней назад +1

      Namtukuza MUNGU kwaajili yako kulijua hilo 🎉🎉🎉🎉

    • @davidrweyemamu938
      @davidrweyemamu938 11 дней назад

      @@upendoeliya9329 Amina Amina ubarikiwe 🙏🙏

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 10 дней назад

      @@davidrweyemamu938 👏👏👏🤝🤝🙏🙏

  • @mohammedsaqry3036
    @mohammedsaqry3036 14 дней назад +4

    A clear message and delivery

  • @charlesmahuna
    @charlesmahuna 14 дней назад +4

    Sidhani kama Magufuli angekuwepo angeruhusu mkataba wa bandali, japo alikuwa na mabaya yake mengi Ila kuna mambo ambayo Samia anayafanya yatai kost hii nchi vinaya mno, mambo ya CCM kujiona kuwa wanapitisha mambo Kwa sifa ili waonekane ni wababe, mnatukosea saaana CCM Kwa matendo yenu mabaya mnooo

  • @AugustineLukumay
    @AugustineLukumay 12 дней назад +1

    Dah unaupiga mwing baba mungu akujalie upate uongozi utatufikisha mbali

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 14 дней назад +13

    Lema Uko vizuri

  • @user-pj8cj7ps5b
    @user-pj8cj7ps5b 13 дней назад +8

    Safi sana lema tunahitaji viongozi wenye akili timam safi lema

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 14 дней назад +24

    Wanaosema anaongea UPUMBAVU,HAMJUI DUNIA INAVYO KWENDA!

  • @niyonzimakatama6516
    @niyonzimakatama6516 11 дней назад

    Roho wa Mungu afanye kazi ndani yetu wananchi tujuwe Lema anachokisema ili tujipange ukweli yuko sahihi

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 14 дней назад +6

    Umeongea ukweli mkubwa sana Tanzania yangu die

  • @AdotTanzania
    @AdotTanzania 13 дней назад +3

    Hayati JPM alisema wazi kuwa ni kichaa tu angeweza kukubali mkataba wa bandari uliowazi kuwa ungeenda kumuondolea mwananchi uchumi na uhuru bali mlimpinga. Hayati JPM alishatueleza wazi kuhusu hatma hii. Apumzike kwa Amani

  • @user-wk4br3rc6u
    @user-wk4br3rc6u 13 дней назад +2

    Nakufatilia San kiongozi wang Lena,mpina ,tundulisu ,wakili wangu mwambukusii nawaombea sana mwenyezimungu awatangulie nawaombea sana

    • @HadsonFanuel
      @HadsonFanuel 12 дней назад

      Ambaye hawezi kumuerewa Lema hana Akili timamu MUNGU akubariki sanaa

  • @roggoyacny
    @roggoyacny 5 дней назад

    Wapinzani kuchukua NCHI HII nindoto,,unatumia muda mwingi kukosoa hamsemi ninyi mtafanya Nini endapo mtapewa NCHI hii,, CCM itawaburuza sana mpaka muache unafiki wenu ndani ya vyama vyenu 👍

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 13 дней назад +6

    Mzee mungu akujalie zaidi,

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k 10 дней назад +2

    Kuna vitu huwa unaongea nikiacha upinzan wa kichama nikakaa kama mtanzania mwenye fkiraa endelevu nakuelewa ila sasa ebu mtafute njia sahihi ya kuwadhilisha aya mawazo kwa mkuu wa nchi kwa heshima.

  • @JoshuaStanley-qu3im
    @JoshuaStanley-qu3im 13 дней назад +2

    Safi sana Kwa elimu yako

  • @danielkanso
    @danielkanso 12 дней назад

    Umeeleweka kiongozi nice speach

  • @reginaldsmtui148
    @reginaldsmtui148 14 дней назад +4

    Bravo my brother Lema.

  • @justusngonyani165
    @justusngonyani165 14 дней назад +6

    Huo ni ukweli Lema.

  • @MfunjoWabaBoydays
    @MfunjoWabaBoydays 12 дней назад +1

    God bless you as your name ❤

  • @neemamollel6057
    @neemamollel6057 12 дней назад +2

    Hatari sana inasikitisha maisha ya badae waarabu watakuja kutufanya watumwa tena 😢😢😢r.i.p.jpm

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 12 дней назад

      Niambie muarab gani alikufanya mtumwa😢

  • @emmanuelburchard3153
    @emmanuelburchard3153 9 дней назад

    Wewe ni kichwa. Hongera chuga boy.

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 13 дней назад +5

    Lema, Lema mwanangu, umeongea hadi machozi yamenilengalenga. Maneno kuntu. God bless you!!

  • @NdeshaPaul-uz9bw
    @NdeshaPaul-uz9bw 13 дней назад +1

    kweli mh. Lema haya mambo ni magumu kwetu katika yote tunayopitia yafaa Sasa tuwe na katiba maana tumejifunza mengi

  • @saidiotham7508
    @saidiotham7508 12 дней назад +1

    safi sana kk

  • @johnmboya7313
    @johnmboya7313 7 дней назад

    Lema nakupongeza Sana mungu akulinde

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 13 дней назад +1

    Kweli kamanda pambana hiyo hoja murua sana br

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 13 дней назад +3

    WATAKANYIKA NI VICHWA MCHUNGWA. KAZI NI POMBE NA WANAWAKE TU, WAKATI WANAUZA NCHI YAO🤣🤣🤣👁️👁️

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u 14 дней назад +1

    Hayo maneno yaLema niLulu viongoziwengi hasawakiafrika auwanafahamu au ni ubinafisitu watamaa naroho zakujitanua waobinafisi kulikowanaotawaliwa.

  • @Elesciahmdugo
    @Elesciahmdugo День назад

    Uko sahihi sana msigwa

  • @godfreykisaka8562
    @godfreykisaka8562 14 дней назад +4

    JAMBO kubwa niDemokirasia sikiliza sera sio Matukano tu mungu hapendiAmina

  • @allenmacha4131
    @allenmacha4131 13 дней назад +3

    Lema tunakutaka urudi bungeni

  • @nabimanyafesto5014
    @nabimanyafesto5014 14 дней назад +1

    Umenena brother

  • @user-id7ws5hl5p
    @user-id7ws5hl5p 14 дней назад +4

    Hii ndio siasa sio ubaguzi wa lissu

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm 12 дней назад +1

      Lisu anatumia lugha nyingine lakini ujumbe ni mmoja.

  • @hugholinemmasi1671
    @hugholinemmasi1671 12 дней назад

    Hoyeee God bless Lema,

  • @NelsonagustinoSwai
    @NelsonagustinoSwai 11 дней назад

    Lema uko sawa kabisa MUNGU akulinde popote uendapo

  • @user-cq6nr8fq6m
    @user-cq6nr8fq6m 13 дней назад +1

    Haujawahi kuniangusha mwamba, facts tu.

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 13 дней назад +2

    Kumbe sio tz TU hata ulaya Kwa wajanja

  • @josephchege-bp3cd
    @josephchege-bp3cd 13 дней назад +2

    Sio Tanzania Hilo ni liko Dunia nzima

  • @Tone255
    @Tone255 13 дней назад +3

    Utasubiri sana

  • @user-my7fj6wn7y
    @user-my7fj6wn7y 13 дней назад +1

    Hoja zinapenya sna mwenyewe akili anaelewa nn maisha

  • @user-lg6je8xh4p
    @user-lg6je8xh4p 13 дней назад +1

    Wakina Msukuma hao. Na Tulia anajiita Dr alafu anapambana kutetea huu ujinga.

  • @amidulyuma1833
    @amidulyuma1833 13 дней назад +1

    Kichwaaa Lema !!!🎉🎉

  • @IssaNyangasa-em9bt
    @IssaNyangasa-em9bt 13 дней назад +1

    Good messege

  • @raymondkihaka1827
    @raymondkihaka1827 12 дней назад

    Lena bhana Kama nakuona nice

  • @husseinwaziri2796
    @husseinwaziri2796 8 дней назад

    Tuacheni kung'a ng'ania chama,tuangaliye viongozi wenye uelewa na uchungu na wananchi

  • @joshuandabazaniye7642
    @joshuandabazaniye7642 14 дней назад +1

    congratulations

  • @SM-fu1yv
    @SM-fu1yv 12 дней назад +1

    Tutamkumbuka baba magufuri

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 14 дней назад +3

    THATS the reality

  • @peterjohnson167
    @peterjohnson167 13 дней назад +1

    Kweli ujumbe umefika kwa Tundu Lissu baba wa Uzanzibar......Na Utanganyika..

  • @Mupaji-vz8ke
    @Mupaji-vz8ke 10 дней назад

    Lema mimi mara nyingi nakuelewa sana

  • @samwelrobertmwakatobe6467
    @samwelrobertmwakatobe6467 14 дней назад +2

    Katika hili nikupongeze nchi Haina mpango kazi wa mda mfupi na mda mrefu

  • @user-ou1ls6oj2f
    @user-ou1ls6oj2f 13 дней назад +1

    Kuna watu wanakuangalia kwa jicho mbaya hapo ila wataona matokeo hapo baadaye watanzania wagumu kuelewa tukiacha ushabiki tutafika

  • @samsonogunde4508
    @samsonogunde4508 14 дней назад +1

    Jamani Anachosema Jamaa yanamashiko Sana Tu.

  • @emmanuelymganga5737
    @emmanuelymganga5737 12 дней назад

    ❤ bigger up

  • @anwares-haq6497
    @anwares-haq6497 14 дней назад +2

    Wanasiasa ni maadui wa maendeleo. Huyu anazungumza bila elimu, anachojali yeye ni Kiki ya Siasa tu. Watanzania wengi hatuna elimu, matokeo yake wanasiasa kama hawa wasio na elimu wanatupelekesha na njaa zao.

    • @CristinLyanga
      @CristinLyanga 13 дней назад +1

      Lema ni msomi, mangi,hakuna mtu ambae hajaenda shule anayeweza kuzungumzia features.

  • @ezekieldeus6022
    @ezekieldeus6022 2 дня назад

    Kwanini tusiwatumie watz, wenye aikiu, yaani wenye akiri Kama lema ili kuiinua hari ya nchi hii, kiuchumi.

  • @martinakyoo148
    @martinakyoo148 9 дней назад

    Lema una madini lakini hakuna wakuyatendea kazi,kusema umesema utalipwa na Mungu

  • @abdallahmagomba4022
    @abdallahmagomba4022 13 дней назад +2

    Hina jipyaaa

  • @patricksoko1279
    @patricksoko1279 14 дней назад +1

    ❤❤❤

  • @PantaleoBundala-tl2kd
    @PantaleoBundala-tl2kd 12 дней назад

    ccm ni nzuri tu ila viongozi wake ndio wabaya sana

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 13 дней назад +1

    Lema hapa umeongea kijituzima sio kama Lissu anaongea comedy

  • @user-kp2jf5jc2i
    @user-kp2jf5jc2i 12 дней назад

    Umesema kweli, ht Mh. Rais ameliona hilo ndiyo maana BANDIKA BANDUA kuona nani amsaidie ni endelevu!

  • @andersonshimbi1378
    @andersonshimbi1378 13 дней назад +1

    Eti taarifa ya Lema chizi nchi itikisike, huu ni upuuzi mtupu

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 12 дней назад

    Lema nakuelewa sana ingawa mimi siyo Chadema, ni kweli kabisa imagine unatuma mtu kama msukuma std 4 aende kujadili mambo ya uchumi, ukweli ni matusi makubwa sana na watanzania tunazarauliwa sana, na siyo huyo tu karibu wote wameenda wapigaji.

  • @user-kl8xf1yk2b
    @user-kl8xf1yk2b 10 дней назад

    Huhu jamaa anamarifa sana sanaaaaaa

  • @user-cw4jr1jz4x
    @user-cw4jr1jz4x 10 дней назад

    Sema ww maana

  • @saidjuma7878
    @saidjuma7878 14 дней назад +1

    Na kuna watu wanamshangilia anasema risiki inapangwa na mahesabu

  • @jamesmsengi7483
    @jamesmsengi7483 14 дней назад +2

    Safi sana kamanda

  • @husseinwaziri2796
    @husseinwaziri2796 8 дней назад

    Tubadilike 2025

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv 13 дней назад +1

    😂😂😂😂😂 Nchi yangu maamaaaaaa..

  • @leothardngonya4842
    @leothardngonya4842 12 дней назад

    Mwizi wa magari hadi SIASA.

  • @masungajp1
    @masungajp1 14 дней назад +5

    Tunajua

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 7 дней назад

    Bandari haijauzwa, imepewa DP Worms inaongoza bandari 80 Ulimwenguni mpaka Ulaya bandari zinaendeshwa na DP World.

  • @user-uo6zj2jm3e
    @user-uo6zj2jm3e 13 дней назад +1

    Kichwa cha nchi

  • @RamaKimbeu-tw4po
    @RamaKimbeu-tw4po 2 дня назад

    DUUH KWERI UONGO MWINGINE MBONA MKAPA KAUZA TIKS BILA FAIDA MLIKUA KIMYA LEO TIKSI ILEILE KAPEWA MWALABU POVU LINAWATOKA POLE SANA

  • @georgemtewele7656
    @georgemtewele7656 13 дней назад +1

    Sawa kama wamefanya mpaka canada sisi ni nani tuzuie fukwe tuu😅😅😅

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 13 дней назад +1

    Mlikejeri jpm leo unaongea nini

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 13 дней назад +1

    Chura kuna ujumbe wako kutoka Kwa Mh Lema😂

  • @SM-fu1yv
    @SM-fu1yv 12 дней назад

    Ni kweri kabisa unayo yasema tunaona huku tuliko

  • @Renatusmethod-dy4bh
    @Renatusmethod-dy4bh 13 дней назад +1

    Nyie wote maccm mnaomtukana lema tukiangalia majina yenu na pata jibu kile anacho kisema lema matus mnayotoa ni dhahiri kuendelea kuamini ni matokeo ya ficm kufaulu kuwagawa watu maana ccm wanaitaji watu wajinga ili kuendelea kukaa madarakani

  • @mosesmzakwe7774
    @mosesmzakwe7774 7 дней назад

    Lema wewe ni kiongozi kiukweli. Naipenda ccm ila Ukweli utabaki kuwa ukweli

  • @RamadhanMrimbo
    @RamadhanMrimbo 12 дней назад +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @ReviRashidi
    @ReviRashidi 14 дней назад

    Nishida sana

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 14 дней назад +1

    Makonda piga kazi huyu Hana jipya marudio tu haya ya miaka 10 hakuna mabadiliko saidia watu wenye kuteseka bro achana na mambo ya ulaya na waarabu hapo hawakuelewi unapoteza muda bure bro siasa kwa Sasa ni kutatua kero majukwaa hayana faida tena saidia wenye shida msile ruzuku na misaada wenyewe leta na zile Land rover tulizopewa msaada wakati wa M4C hatujawahi kuziona barabarani ulipeleka jimbo gani?

  • @S.SWarfa
    @S.SWarfa 11 дней назад +1

    Piga kelele chadema hampati kura ng'o. Mama mshindi 2025 In Sha Allah.

  • @blessjo1678
    @blessjo1678 12 дней назад

    Sisi TUNAONA ubahili kusomesha watu nje, hata wakienda nje ni wale ndugu na jamaaa zetu WA ukoo wetu hata wasiona vigezo... Na wakienda nje ni wachache sana.... Syllabus zetu na curriculum zetu za kizamani hazibadiliki na DUNIA Iko mbali kwenye elimu...
    Tunaaamua kwa hisia za kivyama sio utaifaa na uzalendo... Wanawaza matumbo na familia zao

  • @eleonorashirima1604
    @eleonorashirima1604 8 дней назад

    Yote njaa hakuna kitu ilishatokea Sasa hata ukiongea Leo ni kuvuruga amani tuuuu jamanii