Haji Manara hebu rejea mazungumzo yako ulipokuwa msemaji wa Simba na ukatamka kuwa Yanga wote hawana akili isipokuwa watu wawili tu Rais mstaafu na baba yako je hayo hayakuwa matusi kwa wanayanga? Na ninyi wanayanga msiwe wasahaulifu
Hapa mjini matukio hayaishi hivi sasa ishu Manara na Tff haaahaaahaaa kitu kizito kimemwangukia yani Manara unalilia kuusemea mpira utadhani umekatazwa kumtangaza Allah haaahaaahaaa iblisi noma.
Kateni rufaa kama kesi ya Morrison na yanga haaahaaahaaa tim hii na watu wake vituko
Wewe Haji ni Bingwa wa Matusi Nyamaza kimyaaa!
Acha kuitaja Simba kwa kuchonganisha na yanga ww kufa kivyako
Wee kama vipi amsha nao si kukata rufaa ipo zecha nao ili tuwajue vyema
Sasa ulienda kuomba msamaha wa nn Kama umeonewa maana yk ulikubali kosa
Halidodiii kaeni umo
Haji Manara hebu rejea mazungumzo yako ulipokuwa msemaji wa Simba na ukatamka kuwa Yanga wote hawana akili isipokuwa watu wawili tu Rais mstaafu na baba yako je hayo hayakuwa matusi kwa wanayanga? Na ninyi wanayanga msiwe wasahaulifu
We jamaa mwehu
Hahahahaa
TFF ( Tanzania football failure)
Kapumzike japo tutakumiss kiaina
Hapa mjini matukio hayaishi hivi sasa ishu Manara na Tff haaahaaahaaa kitu kizito kimemwangukia yani Manara unalilia kuusemea mpira utadhani umekatazwa kumtangaza Allah haaahaaahaaa iblisi noma.
Hujaonewa wewe every day Ni Matusi Tu Hakuna ambaye hajapata Maumivu kutoka kwako Tulia dawa ikuingie
Achaumbmbu
Mbona ulienda kymuomba msamaha km na yy aliwatukana yanga? Kwa nn wewe ukwenda kamati ya maadili kuripot? Tulia dawa ikuingie