ALISEMA YANGA WOTE WANA KINYESI/HAJI MANARA ASEMA JINSI RAIS KARIA ALIVYO MFANYIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 16

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 2 года назад +1

    Kateni rufaa kama kesi ya Morrison na yanga haaahaaahaaa tim hii na watu wake vituko

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 2 года назад

    Wewe Haji ni Bingwa wa Matusi Nyamaza kimyaaa!

  • @oshenijosifati8120
    @oshenijosifati8120 2 года назад +1

    Acha kuitaja Simba kwa kuchonganisha na yanga ww kufa kivyako

  • @breymbasa3451
    @breymbasa3451 2 года назад +1

    Wee kama vipi amsha nao si kukata rufaa ipo zecha nao ili tuwajue vyema

  • @prosperswai490
    @prosperswai490 2 года назад

    Sasa ulienda kuomba msamaha wa nn Kama umeonewa maana yk ulikubali kosa

  • @mataunasharifu6249
    @mataunasharifu6249 2 года назад

    Halidodiii kaeni umo

  • @khalidsemka1652
    @khalidsemka1652 2 года назад

    Haji Manara hebu rejea mazungumzo yako ulipokuwa msemaji wa Simba na ukatamka kuwa Yanga wote hawana akili isipokuwa watu wawili tu Rais mstaafu na baba yako je hayo hayakuwa matusi kwa wanayanga? Na ninyi wanayanga msiwe wasahaulifu

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 2 года назад +1

    We jamaa mwehu

  • @erickdesturi.
    @erickdesturi. 2 года назад

    TFF ( Tanzania football failure)

  • @zubeiramlanzi2480
    @zubeiramlanzi2480 2 года назад

    Kapumzike japo tutakumiss kiaina

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 2 года назад

    Hapa mjini matukio hayaishi hivi sasa ishu Manara na Tff haaahaaahaaa kitu kizito kimemwangukia yani Manara unalilia kuusemea mpira utadhani umekatazwa kumtangaza Allah haaahaaahaaa iblisi noma.

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 2 года назад

    Hujaonewa wewe every day Ni Matusi Tu Hakuna ambaye hajapata Maumivu kutoka kwako Tulia dawa ikuingie

  • @williamwilifred6563
    @williamwilifred6563 2 года назад

    Achaumbmbu

  • @marselinarweyemamu4034
    @marselinarweyemamu4034 2 года назад

    Mbona ulienda kymuomba msamaha km na yy aliwatukana yanga? Kwa nn wewe ukwenda kamati ya maadili kuripot? Tulia dawa ikuingie