TFF YAMPUNGUZIA ADHABU HAJI MANARA KESI YA RAIS KARIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Kamati ya rufaa ya Shirikisho la Mpira wa Miguu TFF leo limetangaza maamuzi ya kamati hiyo kuhusiana na hukumu ya Haji Manara ya kufungiwa miaka miwili kujihusisha na soka pamoja na faini ya Tsh milioni 20.

Комментарии • 236

  • @edsonjeremiah5905
    @edsonjeremiah5905 2 года назад +17

    Wanaorudisha mpira nyuma ni Hawa Hawa .viongozi wasiopenda kukosolewa.

  • @lastkinglastking3326
    @lastkinglastking3326 2 года назад +20

    Kuacha two years na 10 millions hiyo sio busara. TFF wanafikiri kama wanaongoza vipofu.niwakumbushe tu kuongoza nijukumu lenu ila musidhani kama mumepewa uongozi kwakuwa nyie mnaakili nyingi kushinda watu ambao munawaongoza.unafiki wenu utakuja kuwaponza.nyie endeleeni kuvuma.kwani kilicho wafanya mpunguze pesa ila mda musiguse Ninini kama sio unafiki.mnajuwa kama pesa kwa haji zingelipwa tu hata na mashabiki ila muda mnakaza tu ili mumukomowe.ila uongozi ni kijiti tu nyie endeleeni

    • @lameckdingoo4404
      @lameckdingoo4404 2 года назад

      Mbona muda haujapunguzwa nyie mmeshazeeka hiyo kazi hamuiwezi tena katka mpira wetu wakisasa waachieni vijana walete maendeleo chanya katka michezo la kulipeleka nje ya mipaka soka letu la mpira w miguu Tz

    • @LOOKMANCHAMSIDDINE
      @LOOKMANCHAMSIDDINE 3 месяца назад

      Kwani kuna kanuni walozitaja au wameamua tu ?

  • @almachnestor8955
    @almachnestor8955 2 года назад +16

    Mpira wa nchi hii unaongozwa na genge la wahuni tu.

    • @yahayaabdallah7902
      @yahayaabdallah7902 2 года назад +1

      hhh dah yani kiongoz ata kuongea anaongea kwashida duh mtian huu

    • @berrydanny3577
      @berrydanny3577 2 года назад

      @@yahayaabdallah7902 umeona eee

  • @yahyamkone5601
    @yahyamkone5601 2 года назад +3

    Nyooo washenzi Hawa TFF waonevu tuu

  • @nuhhumwakanyamale4771
    @nuhhumwakanyamale4771 2 года назад +12

    Mtu mwenyew mnaemjadili amehamia kwenye Masumbwi saiv, Anamfadhili mandonga mtu kazi.

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 2 года назад +3

    Kweli TFF hakuna kitu hapo

  • @simbajumanne9718
    @simbajumanne9718 2 года назад +6

    Kwa kweli mpira wa tanzania bado sana mlimfungia Sasa mara mnabadilisha mara mnapunguza mbona hamjiamin Sasa

  • @mamaiftahiftah8928
    @mamaiftahiftah8928 2 года назад

    Bado sana, jifunzeni oungozi Bora ktk soka, msing'ang'anie tu mkijiona mnaongaza vipofu.

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 2 года назад +1

    Naichukia hii kamati yani mngejua.. Chukueni pesa toeni miaka miwili yunu nyie njaa. Msijione mtakaa apo milele.

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 2 года назад +9

    Dola za Marekani zinaingia je hapo? Au ndio busara zenyewe hizo!?

  • @rizwankiaze9264
    @rizwankiaze9264 2 года назад +2

    Mungu ANAWAONA madaraka Yana mwisho

  • @christofamarka9331
    @christofamarka9331 2 года назад +1

    Dollar za kimarekani Shilling ngapi vleee,???😅😅 Yani ni dollar af apo apoo ni Shilling

  • @kiliboykilimanjaro377
    @kiliboykilimanjaro377 2 года назад

    Hii tff haitufai haitufai haitufai kwa maslahi ya soka letu

  • @sameerahmed2838
    @sameerahmed2838 2 года назад +2

    Naona kuna mtu anjifunza kusoma.......🤔🤔🤔

  • @kuyasayalel2605
    @kuyasayalel2605 2 года назад

    Hongera Millard Ayo kuendelea kutujuza habari za kweli. Bahati mbaya bado viongozi wa mpira wanatuangusha sana. Sioni mwanga kwenye soka letu chini ya uongozi huu.

  • @happymrema6728
    @happymrema6728 2 года назад +1

    Cheki unavyoongea hujiamin manar oyeeee tff achiwn ngaz

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 2 года назад

    Kakosewa Binadamu Uyo Na Binadamu Uyo Uyo Anaesema Kakosewa Nae Anaenda Ibadani Kuomba Msamaha Kwa Mungu Apo Amejipanga Vipi Kwa Mungu Wake Kama Kapewa Kibali Na Mungu Cha Yeye Kutokukosewa Apa Duniani Basi Ongera Yake Milioni Kumi Izo Je Zinatumika Kujenga Nyumba Za Watoto Yatima Au Kiwanja

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 2 года назад

    Manara hajapunguziwa adhabu ila wamerekebisha adhabu. Wamepunguza Pesa. Hii ndo tff ya kikundi TZ. Yetu macho inaonekana hawa Tff wako juu sana ya Dunia. Msomaji weee

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 2 года назад +11

    Unakuwaje kiongozi wakati unashindwa hata kusoma sentensi za Kiswahili?

  • @MaaneML
    @MaaneML 2 года назад +6

    Hiyo nguvu mnayotumia kupambana na Haji Mara mngeitumia kupanga mikakati ya kuboresha Mpira wa miguu Tanzania. Yaani timu za hivyo hovyo tu. Eti miaka miwili kumfungia Manara. Hamna Busara kabisa. Miezi 6 au 3 ilitosha kama kweli alikosa. Ubabe hauwafikishi kokote. Na Kwa taarifa yako bado atakuwa anaitumikia timu indirect. Bugatti ndiyo Baba Lao katika kuhamasisha Mpira nchi hii.

  • @barakairumba303
    @barakairumba303 2 года назад

    Kuhusu hela mwacheni tu..ila miwili iko pale pale.🤣

  • @ridhiwanfatma6312
    @ridhiwanfatma6312 2 года назад +4

    Sasa mbona mzee madogori unatetemeka🤣🤣🤣🤣mijitu mizima akili kisoda

  • @hanafimchopa5192
    @hanafimchopa5192 2 года назад

    Ayo mnatoa taarifa ya kweli safi sana endeleen kuwa waminifu

  • @benedictmhina8880
    @benedictmhina8880 2 года назад +1

    Hahaha Hawa Tff wanajidhalilisha sana daah

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 2 года назад +3

    Wangeondoa kifungo miaka 2 ibaki 10m. Kosa kubwa kwenye soka ni upangaji wa matokeo.. kwa nini mlimwacha karia..mngemjadili tu, mseme hakukutwa na kosa.

  • @kebekebee
    @kebekebee 2 года назад +1

    Upuuzi tu

  • @happymrema6728
    @happymrema6728 2 года назад +1

    Check ulivyo na sura mbay tok Hapo kweny kiti

  • @Baron_Kigume
    @Baron_Kigume 2 года назад +3

    Miongoni mwa Taasisi mbovu sana hapa nchini ni TFF. Wanaendesha mambo Yao kisiasa na Mihemko bila weledi, wanaacha kujikita kwenye mambo ya Msingi kama Jinsi ya Kuendeleza Timu zetu za Taifa. Wallace Karia amefeli. Aibu

  • @ancotado1885
    @ancotado1885 2 года назад +6

    Yangaaaaaaaaaaa oyeeeeeeee

  • @kimambogoodluck6325
    @kimambogoodluck6325 2 года назад

    Wewe unaweza lipa mil 10 kwa siku 30

  • @abednegomawalla8747
    @abednegomawalla8747 2 года назад

    Tff yote itavunjika na kuja mpya

  • @mapete2154
    @mapete2154 2 года назад

    Kumanyoko Kusoma Tu Haujui Kazi Ya Nyoko Nyoko Tu Kwendeni Uko Mbweha Nyie TFF

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 2 года назад +5

    Mpaka hapo TFF itakapoondoka a na Al Shabab tuendelee kushuhudia upumbavu na maamuzi ya kukanganya! Mwenyekiti wa Kamati wa aina hii haijawahi kushuhudiwa kwenye medani ya soka nchini, ni aibu na fedheha wa wadau wa mpira wa miguu!

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi 2 года назад +1

    Imeamua kurekebisha kidogo kulipa kidogo na busara kidogo na na kamati kidogo 😂😂😂😂😂😂

  • @sungwevalentin743
    @sungwevalentin743 2 года назад

    Sasa hizo pesa uwa wanazipeleka wapi hao Tff

  • @guccij6236
    @guccij6236 2 года назад +3

    Bila Manara soccer la bongo linapoa sanaa

  • @ibrahimmbango9117
    @ibrahimmbango9117 2 года назад

    hiyo kamati inaamuwa yenyewe haina kanuni taja na vifungu vilivyo muhukumu

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 2 года назад

    Wanajitekenya Kisha wa nacheka wenyewe duh Tanganyika bhana yaani mnatia Aibu na sio aibu tu mnatia kichefuchefu na mambo yenu

  • @bosskdo79
    @bosskdo79 2 года назад +1

    Maana ya TFF ni Tanzania Funga Funga, hawana maana wanaosimamia kutenda haki, haiwezekani kumfungia mtu miaka 2 kwa kikosa Kama kile

  • @selemankadede8332
    @selemankadede8332 2 года назад

    Mabwege nyie mnapenda Sana pesa kuliko kuendeleza mpira

  • @salvatoryngowi7233
    @salvatoryngowi7233 2 года назад

    Alafu huyu mzee katawaliwa na mwemko mpaka anachoongea hata hatuelew

  • @jacksonletema6071
    @jacksonletema6071 2 года назад +1

    Wa Tanzania wanawashangaa sana mmekuwa wapumbavu sana

  • @rahimomary7663
    @rahimomary7663 2 года назад

    Chuki mbaya sana mnachojisahau ni kuwa hata nyinyi hamtakaaa hapooo

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 2 года назад +7

    Kwendeni ukoo mufanye muondoke apo uongozi huu wa TFF ni mbovu mno tena nyote

  • @kenedymboma6345
    @kenedymboma6345 2 года назад +2

    Misijawaelewa hatakitogo

  • @KelvinEmersonSteven
    @KelvinEmersonSteven 2 года назад +1

    Hahhahahah hakuna kitu hapa

  • @mrh2812
    @mrh2812 2 года назад

    Tanzania felias football

  • @mwandukaranga7524
    @mwandukaranga7524 2 года назад +1

    Nyie hamna lolote hizo kuna. Ck
    Mtajuta

  • @johannesishengoma1232
    @johannesishengoma1232 2 года назад

    Inasikitisha kama siyo kuchekesha!!! Iweje rufaa ikose mashiko na itupiliwe mbali lakini mmempunguzia faini?

  • @Jumashadhil380
    @Jumashadhil380 2 года назад

    Mngekausha Tuuh, Me Siwaelewi Kabisa,, Mkieleweka Niite Mbwa Nimekaa pale

  • @sakinahamisi7804
    @sakinahamisi7804 2 года назад

    Sasa alishindwa vp kusoma kabisa aje aongee tu kila mda anatazama karatasi wakati kitu ni simple tu.

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 2 года назад

    Kumkomoa binaadam mwenzenu ni sawa lakini mukumbuke Mungu nae yupo ila nyie mumeshika mpini hamutajua ukali wa kisu. Viongozi mutumie haki badala ya visasi.

  • @abdulnalio7224
    @abdulnalio7224 2 года назад +2

    Hata sijaelewa kitu hapa

  • @abdilahjuma2493
    @abdilahjuma2493 2 года назад

    Mbona unatetemeka unaongea kama mtoto wa chekechea anayeanza kujifunza irabu

  • @ramadhaniraphael6955
    @ramadhaniraphael6955 2 года назад

    Nyie mbuzi kweli kwaiyo hapo ndo mmepunguza nini tff wote kenge pumbavu sana kamati yote genge la wahuni mwisho wenu upo

  • @muhsinsalum8009
    @muhsinsalum8009 2 года назад +1

    TOKA LINI WATU WENYE VIPARA WAKAWA NA BUSARA!!!!?

  • @pmall8867
    @pmall8867 2 года назад

    Wewe mpwempwe Una taka Dola au Una Taka Shilingi tukupe usiseme au au 😂😂😂

  • @dicksondkaganga1290
    @dicksondkaganga1290 2 года назад

    NDIYO MAANA UGANDA WAMETUPIGA 3 BILA!

  • @temwajilaha8174
    @temwajilaha8174 2 года назад

    Hizo akilipa hazitawafikisha popote

  • @alberthkyando980
    @alberthkyando980 2 года назад

    Kwani asipo lipa atachukuliwa hatua gani , hivi hicho cheo ni Cha kudumu.

  • @franksam8581
    @franksam8581 2 года назад +3

    Mnadhani mta mpoteza tuna
    Mpenda na tunapenda kazi yake uta staafu tu utakuja mtaani na wewe

  • @manko5627
    @manko5627 2 года назад

    Majungu tupu

  • @elizabethbigilwa6822
    @elizabethbigilwa6822 2 года назад +1

    Miaka miwili yote? Kweli?

  • @graceanyungu2774
    @graceanyungu2774 2 года назад +1

    4 both karia too

  • @mrmahmoud1278
    @mrmahmoud1278 2 года назад

    kama rufaa haina mashiko mbona mmepunguza adhabu? hamjui mfanyacho?

  • @muudjumaa1841
    @muudjumaa1841 2 года назад

    Mikundu yunu

  • @trayoversion
    @trayoversion 2 года назад

    Mnaonyesha jinsi mlivyo hampo serious hapo ofisini mnarudia mara mbili mbili kusoma shauri la shtaka alafu hamjiamini soon kiti hicho kitawatafuna

  • @kirundumweteni2072
    @kirundumweteni2072 2 года назад

    Hamjadili kwanini mashabiki hawaendi uwanja wa mkapa hata mechi za Simba au yanga mnakalia politic hamuwezi kufika.Hali ya kutoipenda TFF ni mbaya sana msijikishe sawazisheni mambo. Akifunguliwa Manara tutaujaza

  • @omaryseshambi6468
    @omaryseshambi6468 2 года назад

    Tff hamuoni hata aibu?nibora Mpira ujiendeshe wenyewe nyinyi hamjielewi

  • @mamuoman7849
    @mamuoman7849 2 года назад +1

    Hasa hizo dola zimefikaje Tz au siku hizi mnawalipa watu mshahara kwa dola ili na wenye makosa walipe kwa dole au ndo kujipendekeza na dola za watu

  • @tuyisebgejuvenal
    @tuyisebgejuvenal 2 года назад +4

    Hivi huyu anae soma haya maneno anatetemeka hiyo million kumi yeye anayo ?

  • @christophermichael1934
    @christophermichael1934 2 года назад

    Hamjatumia busara hapo hata kidogo

  • @stevenmwakisimba8282
    @stevenmwakisimba8282 2 года назад +5

    Haya mnayoyafanya kuna siku yatawarudia Kwa malinzi Yuko wapi?na adhabu hiyo mmeambiwa mpunguze na Nani?wote mnapigwa sehemu zenu za makalio hata shule hamjaebda hata kusoma mnatetemeka mbwa wote hakilipwi kitu hapo hukumu inatolewa usiku wa manane nyoooo

  • @swaibusukigwa7867
    @swaibusukigwa7867 2 года назад

    Hamna uongozi hapo nipumba2 wamesoma kweli hao2

  • @philonsiliyakusi.3806
    @philonsiliyakusi.3806 2 года назад

    Kwan Kama mmemtoza fain kanissni mtapereka shingap?

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 2 года назад

    Uhunii mtupuu kila mmoja anatizama zaidi tumbo lake kuliko maisha ya mtu

  • @jamilamwenguvu8593
    @jamilamwenguvu8593 2 года назад

    Eti Busara!!

  • @imanibakili8028
    @imanibakili8028 2 года назад +7

    Nilimfahamu Manara akiwa Simba mimi nilikuwa nashibikia team zote za kusini mwa TZ, alikuwa anaisifia Simba na kuikosoa Yanga mpaka nikahamasika kuzijua team zote mbili, Manara alikuwa akiita press nchi inasimama kila mmoja anahamu ya kusikiliza, wakati mwingine alikosea kuzungumza lakini hakuwahi kufungiwa sasa Manara amehamia Yanga TFF mnahukumu kwa vitu vidogo vya kuwasikiliza wote wawili akisema Karia, TFF mjitafakari msipoteze burudani na hamasa la soka

    • @fatimahants1526
      @fatimahants1526 2 года назад +1

      Wanajitahidi kuondowa chachu ya TFF

    • @amrirweyemamu8519
      @amrirweyemamu8519 2 года назад

      tunatakiwa tuziheshimu mamlaka huwezi kumjibu kiongozi kama vile unamjibu mvuta unga

    • @imanibakili8028
      @imanibakili8028 2 года назад

      @@amrirweyemamu8519 hakumjibu walijibizana au hata kiss chw Manara kufungiwa hukukifuatilia

  • @stanslausbereghe3819
    @stanslausbereghe3819 2 года назад

    TFF hamnaga mashiko kwa Yanga. Mmekuwa na ubabe usio na msingi. Kaeni na Mashiko yenu. Mmrekebisha nini hapo? Hakuna kitu hapo. Manara mngempa adhabu ya miezi 3 na faini tshs. Mil. 1 (Moja)
    Kwani binadamu gani kafanyiwa ubaya wa kutisha?

  • @deograsiasbanda598
    @deograsiasbanda598 2 года назад

    Yaani huuu upuuuzi kwakweli kwa soka la tz hautaishaaaaaaa

  • @levinamduda9638
    @levinamduda9638 2 года назад

    Mungu ana waona nyie watu tff hakuna kitu aiseee

  • @allyiddi5866
    @allyiddi5866 2 года назад

    Sio busara niwazi hazabu hiyo haipo bali ni uonevu tu

  • @CRMEDIA-yd7dp
    @CRMEDIA-yd7dp 2 года назад

    mm naona huyo para hapo anataja Dola tu

  • @gastoninjelekela6411
    @gastoninjelekela6411 2 года назад

    Saw

  • @starlighter34
    @starlighter34 2 года назад

    Kweli hii tifuatifua

  • @franciscoivo1591
    @franciscoivo1591 2 года назад

    Tff kuwasikiliza Ni kujitia hasira mbona hamweki nguvu taifa stars ishinde... hopeless institution.

  • @lulujidahbrighton5148
    @lulujidahbrighton5148 2 года назад +1

    Mnatafuta Maisha kwa njia hiyo nyingi ni wapumbavu sana mmekua Mungu mtu wajinga million 10 nendeni mkalime Urais wakipumbavu wakudanganyana he ingekua ata mwenyekiti wa Kijiji mngesumbua watu hakuna ata She 100

  • @hudsson75
    @hudsson75 2 года назад

    Dola za kimarekani shilingi elfu nne ni sawa na paundi ngapi?

  • @christopherkazumba1952
    @christopherkazumba1952 2 года назад

    Tff mbona amtumii akili

  • @florencemwanansao834
    @florencemwanansao834 2 года назад

    Hao ndo TFF mavi, bongo Kwa Hali hio kunampira hapo 😁 au mavi TU. Endeleeni na ujinga huo huo

  • @ismiadventure39
    @ismiadventure39 2 года назад +3

    This guy can't read Swahili sentences.. what's going on

  • @neemapeter3880
    @neemapeter3880 2 года назад

    Kwan tff inamanisha wadau

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 2 года назад +1

    Kazi imewashinda nyie

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 2 года назад +17

    Mnatumia nguvu nyingi sana kupambana na mtu mmoja ,na hamjui kama Kuna vitu MUHIMU kuliko hata hiyo pesa mliyopunguza milioni kumi ,kama mnajitambua hajji alitakiwa apunguziwe adhabu ya muda wa miaka miwili Kwa sababu miaka miwili ni mingi Kwa maslahi ya soka la Tanzania ikiwemo mapato yanaweza kupungua kutokana na yeye kukosa nafasi ya kuhamasisha watanzania kwenye mpira na Hilo halina usimba Wala uyanga ,pesa sio shida hata wanayanga na wanasimba wangechanga kumlipia bila hata maumivu yeyote .

    • @hadasaisraeli2971
      @hadasaisraeli2971 2 года назад

      Wajinga Hawa jamaa

    • @muhsinjuma6796
      @muhsinjuma6796 2 года назад

      Aliyekwambia tff wanataka pesa nan?nenda kasome sheria ujifunze.kila kosa lina Adhabu yake na sio kila kosa adhabu ni kulipa pesa

    • @avitusmichael5
      @avitusmichael5 2 года назад +1

      Nimekuelewa vema mkuu, upo sahihi sana

    • @avitusmichael5
      @avitusmichael5 2 года назад +1

      @@muhsinjuma6796 unaelewa unachokiongea ama umekurupuka tu

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi 2 года назад

      Huwezi kufanya makosa halafu unasubiri kulalamika, utaumia tu😂😂😂. Nyie ndo mnatumia nguvu nyingi kumsafisha mtu aliyefanya makosa, ifike hatua mtu akikosea hata kama unamkubali umwambie HAPA UMEKOSEA. Sio kumshangilia tu hata akikosea. SIO MARA YA KWANZA KUADHIBIWA HUYU, hata alipokua Simba aliwahi kufungiwa mwaka mmoja na faini juu.

  • @mwalimumahenge1658
    @mwalimumahenge1658 2 года назад

    Anasema dola za kimarekani shilingi Tena😂

  • @aidanshow5477
    @aidanshow5477 2 года назад

    Badala muumize vichwa tunaendeshaje mpira mnaumiza vichwa kwa manara

  • @mbakijonas6792
    @mbakijonas6792 2 года назад

    Yaani hamjiamini nyie jamaa mpk mnaboa.

  • @madamuhimu9354
    @madamuhimu9354 2 года назад

    Haji Manara angekuwa mstaarabu angekaa kimya asibishane na kujiona yeye ndio yeye au yeye bora nina imani angesamehewa tatizo haji ANATAKA kujiona yeye mkubwa KULIKO VIONGOZI wa MPIRA

  • @fundimsati4026
    @fundimsati4026 2 года назад

    Sasa ikiwa rufaa haina mashiko iyo busara ya kupunguza adhabu ya fedha mmeipata wapi??? Nyie semeni tu mnamuogopa haji mnajua akiweka amsha amshayake makolo lazima mpoteane. Nyiebmuachieni jamani mambo yenu hayana mashiko

  • @snipershort6988
    @snipershort6988 2 года назад

    Wewe unaesoma hadithi hii ni mxenge mwili wote kasoro tumbo tu