TFF YAMPUNGUZIA ADHABU HAJI MANARA KESI YA RAIS KARIA
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Kamati ya rufaa ya Shirikisho la Mpira wa Miguu TFF leo limetangaza maamuzi ya kamati hiyo kuhusiana na hukumu ya Haji Manara ya kufungiwa miaka miwili kujihusisha na soka pamoja na faini ya Tsh milioni 20.
Wanaorudisha mpira nyuma ni Hawa Hawa .viongozi wasiopenda kukosolewa.
Kuacha two years na 10 millions hiyo sio busara. TFF wanafikiri kama wanaongoza vipofu.niwakumbushe tu kuongoza nijukumu lenu ila musidhani kama mumepewa uongozi kwakuwa nyie mnaakili nyingi kushinda watu ambao munawaongoza.unafiki wenu utakuja kuwaponza.nyie endeleeni kuvuma.kwani kilicho wafanya mpunguze pesa ila mda musiguse Ninini kama sio unafiki.mnajuwa kama pesa kwa haji zingelipwa tu hata na mashabiki ila muda mnakaza tu ili mumukomowe.ila uongozi ni kijiti tu nyie endeleeni
Mbona muda haujapunguzwa nyie mmeshazeeka hiyo kazi hamuiwezi tena katka mpira wetu wakisasa waachieni vijana walete maendeleo chanya katka michezo la kulipeleka nje ya mipaka soka letu la mpira w miguu Tz
Kwani kuna kanuni walozitaja au wameamua tu ?
Mpira wa nchi hii unaongozwa na genge la wahuni tu.
hhh dah yani kiongoz ata kuongea anaongea kwashida duh mtian huu
@@yahayaabdallah7902 umeona eee
Nyooo washenzi Hawa TFF waonevu tuu
Mtu mwenyew mnaemjadili amehamia kwenye Masumbwi saiv, Anamfadhili mandonga mtu kazi.
Duuh
Kweli TFF hakuna kitu hapo
Kwa kweli mpira wa tanzania bado sana mlimfungia Sasa mara mnabadilisha mara mnapunguza mbona hamjiamin Sasa
Bado sana, jifunzeni oungozi Bora ktk soka, msing'ang'anie tu mkijiona mnaongaza vipofu.
Naichukia hii kamati yani mngejua.. Chukueni pesa toeni miaka miwili yunu nyie njaa. Msijione mtakaa apo milele.
Dola za Marekani zinaingia je hapo? Au ndio busara zenyewe hizo!?
Mungu ANAWAONA madaraka Yana mwisho
Dollar za kimarekani Shilling ngapi vleee,???😅😅 Yani ni dollar af apo apoo ni Shilling
Hii tff haitufai haitufai haitufai kwa maslahi ya soka letu
Naona kuna mtu anjifunza kusoma.......🤔🤔🤔
Hongera Millard Ayo kuendelea kutujuza habari za kweli. Bahati mbaya bado viongozi wa mpira wanatuangusha sana. Sioni mwanga kwenye soka letu chini ya uongozi huu.
Cheki unavyoongea hujiamin manar oyeeee tff achiwn ngaz
Kakosewa Binadamu Uyo Na Binadamu Uyo Uyo Anaesema Kakosewa Nae Anaenda Ibadani Kuomba Msamaha Kwa Mungu Apo Amejipanga Vipi Kwa Mungu Wake Kama Kapewa Kibali Na Mungu Cha Yeye Kutokukosewa Apa Duniani Basi Ongera Yake Milioni Kumi Izo Je Zinatumika Kujenga Nyumba Za Watoto Yatima Au Kiwanja
Manara hajapunguziwa adhabu ila wamerekebisha adhabu. Wamepunguza Pesa. Hii ndo tff ya kikundi TZ. Yetu macho inaonekana hawa Tff wako juu sana ya Dunia. Msomaji weee
Unakuwaje kiongozi wakati unashindwa hata kusoma sentensi za Kiswahili?
Nashangaa🤣🤣
Yaan kama mtu aliejua kusoma recent
Hiyo nguvu mnayotumia kupambana na Haji Mara mngeitumia kupanga mikakati ya kuboresha Mpira wa miguu Tanzania. Yaani timu za hivyo hovyo tu. Eti miaka miwili kumfungia Manara. Hamna Busara kabisa. Miezi 6 au 3 ilitosha kama kweli alikosa. Ubabe hauwafikishi kokote. Na Kwa taarifa yako bado atakuwa anaitumikia timu indirect. Bugatti ndiyo Baba Lao katika kuhamasisha Mpira nchi hii.
Kuhusu hela mwacheni tu..ila miwili iko pale pale.🤣
Sasa mbona mzee madogori unatetemeka🤣🤣🤣🤣mijitu mizima akili kisoda
Hahàaaaa akilii kisodaa
Ayo mnatoa taarifa ya kweli safi sana endeleen kuwa waminifu
Hahaha Hawa Tff wanajidhalilisha sana daah
Wangeondoa kifungo miaka 2 ibaki 10m. Kosa kubwa kwenye soka ni upangaji wa matokeo.. kwa nini mlimwacha karia..mngemjadili tu, mseme hakukutwa na kosa.
Upuuzi tu
Check ulivyo na sura mbay tok Hapo kweny kiti
Miongoni mwa Taasisi mbovu sana hapa nchini ni TFF. Wanaendesha mambo Yao kisiasa na Mihemko bila weledi, wanaacha kujikita kwenye mambo ya Msingi kama Jinsi ya Kuendeleza Timu zetu za Taifa. Wallace Karia amefeli. Aibu
Umeongea kweli kabisa good point 🙏
Yaani awa
Yangaaaaaaaaaaa oyeeeeeeee
Wewe unaweza lipa mil 10 kwa siku 30
Tff yote itavunjika na kuja mpya
Kumanyoko Kusoma Tu Haujui Kazi Ya Nyoko Nyoko Tu Kwendeni Uko Mbweha Nyie TFF
Mpaka hapo TFF itakapoondoka a na Al Shabab tuendelee kushuhudia upumbavu na maamuzi ya kukanganya! Mwenyekiti wa Kamati wa aina hii haijawahi kushuhudiwa kwenye medani ya soka nchini, ni aibu na fedheha wa wadau wa mpira wa miguu!
Imeamua kurekebisha kidogo kulipa kidogo na busara kidogo na na kamati kidogo 😂😂😂😂😂😂
Sasa hizo pesa uwa wanazipeleka wapi hao Tff
Bila Manara soccer la bongo linapoa sanaa
Ebwana eeh ye ndo nani yani
hiyo kamati inaamuwa yenyewe haina kanuni taja na vifungu vilivyo muhukumu
Wanajitekenya Kisha wa nacheka wenyewe duh Tanganyika bhana yaani mnatia Aibu na sio aibu tu mnatia kichefuchefu na mambo yenu
Maana ya TFF ni Tanzania Funga Funga, hawana maana wanaosimamia kutenda haki, haiwezekani kumfungia mtu miaka 2 kwa kikosa Kama kile
Mabwege nyie mnapenda Sana pesa kuliko kuendeleza mpira
Alafu huyu mzee katawaliwa na mwemko mpaka anachoongea hata hatuelew
Wa Tanzania wanawashangaa sana mmekuwa wapumbavu sana
Chuki mbaya sana mnachojisahau ni kuwa hata nyinyi hamtakaaa hapooo
Kwendeni ukoo mufanye muondoke apo uongozi huu wa TFF ni mbovu mno tena nyote
Wajinga saana
Washenzi sana hao
Misijawaelewa hatakitogo
Hahhahahah hakuna kitu hapa
Tanzania felias football
Nyie hamna lolote hizo kuna. Ck
Mtajuta
Inasikitisha kama siyo kuchekesha!!! Iweje rufaa ikose mashiko na itupiliwe mbali lakini mmempunguzia faini?
Mngekausha Tuuh, Me Siwaelewi Kabisa,, Mkieleweka Niite Mbwa Nimekaa pale
Sasa alishindwa vp kusoma kabisa aje aongee tu kila mda anatazama karatasi wakati kitu ni simple tu.
Kumkomoa binaadam mwenzenu ni sawa lakini mukumbuke Mungu nae yupo ila nyie mumeshika mpini hamutajua ukali wa kisu. Viongozi mutumie haki badala ya visasi.
Hata sijaelewa kitu hapa
🤣
Mbona unatetemeka unaongea kama mtoto wa chekechea anayeanza kujifunza irabu
Nyie mbuzi kweli kwaiyo hapo ndo mmepunguza nini tff wote kenge pumbavu sana kamati yote genge la wahuni mwisho wenu upo
TOKA LINI WATU WENYE VIPARA WAKAWA NA BUSARA!!!!?
Wewe mpwempwe Una taka Dola au Una Taka Shilingi tukupe usiseme au au 😂😂😂
NDIYO MAANA UGANDA WAMETUPIGA 3 BILA!
Hizo akilipa hazitawafikisha popote
Kwani asipo lipa atachukuliwa hatua gani , hivi hicho cheo ni Cha kudumu.
Mnadhani mta mpoteza tuna
Mpenda na tunapenda kazi yake uta staafu tu utakuja mtaani na wewe
Majungu tupu
Miaka miwili yote? Kweli?
4 both karia too
kama rufaa haina mashiko mbona mmepunguza adhabu? hamjui mfanyacho?
Mikundu yunu
Mnaonyesha jinsi mlivyo hampo serious hapo ofisini mnarudia mara mbili mbili kusoma shauri la shtaka alafu hamjiamini soon kiti hicho kitawatafuna
Hamjadili kwanini mashabiki hawaendi uwanja wa mkapa hata mechi za Simba au yanga mnakalia politic hamuwezi kufika.Hali ya kutoipenda TFF ni mbaya sana msijikishe sawazisheni mambo. Akifunguliwa Manara tutaujaza
Tff hamuoni hata aibu?nibora Mpira ujiendeshe wenyewe nyinyi hamjielewi
Hasa hizo dola zimefikaje Tz au siku hizi mnawalipa watu mshahara kwa dola ili na wenye makosa walipe kwa dole au ndo kujipendekeza na dola za watu
Hivi huyu anae soma haya maneno anatetemeka hiyo million kumi yeye anayo ?
Hana lolote njaa tupu
Hamjatumia busara hapo hata kidogo
Haya mnayoyafanya kuna siku yatawarudia Kwa malinzi Yuko wapi?na adhabu hiyo mmeambiwa mpunguze na Nani?wote mnapigwa sehemu zenu za makalio hata shule hamjaebda hata kusoma mnatetemeka mbwa wote hakilipwi kitu hapo hukumu inatolewa usiku wa manane nyoooo
Hamna uongozi hapo nipumba2 wamesoma kweli hao2
Kwan Kama mmemtoza fain kanissni mtapereka shingap?
Uhunii mtupuu kila mmoja anatizama zaidi tumbo lake kuliko maisha ya mtu
Eti Busara!!
Nilimfahamu Manara akiwa Simba mimi nilikuwa nashibikia team zote za kusini mwa TZ, alikuwa anaisifia Simba na kuikosoa Yanga mpaka nikahamasika kuzijua team zote mbili, Manara alikuwa akiita press nchi inasimama kila mmoja anahamu ya kusikiliza, wakati mwingine alikosea kuzungumza lakini hakuwahi kufungiwa sasa Manara amehamia Yanga TFF mnahukumu kwa vitu vidogo vya kuwasikiliza wote wawili akisema Karia, TFF mjitafakari msipoteze burudani na hamasa la soka
Wanajitahidi kuondowa chachu ya TFF
tunatakiwa tuziheshimu mamlaka huwezi kumjibu kiongozi kama vile unamjibu mvuta unga
@@amrirweyemamu8519 hakumjibu walijibizana au hata kiss chw Manara kufungiwa hukukifuatilia
TFF hamnaga mashiko kwa Yanga. Mmekuwa na ubabe usio na msingi. Kaeni na Mashiko yenu. Mmrekebisha nini hapo? Hakuna kitu hapo. Manara mngempa adhabu ya miezi 3 na faini tshs. Mil. 1 (Moja)
Kwani binadamu gani kafanyiwa ubaya wa kutisha?
Yaani huuu upuuuzi kwakweli kwa soka la tz hautaishaaaaaaa
Mungu ana waona nyie watu tff hakuna kitu aiseee
Sio busara niwazi hazabu hiyo haipo bali ni uonevu tu
mm naona huyo para hapo anataja Dola tu
Saw
Kweli hii tifuatifua
Tff kuwasikiliza Ni kujitia hasira mbona hamweki nguvu taifa stars ishinde... hopeless institution.
Mnatafuta Maisha kwa njia hiyo nyingi ni wapumbavu sana mmekua Mungu mtu wajinga million 10 nendeni mkalime Urais wakipumbavu wakudanganyana he ingekua ata mwenyekiti wa Kijiji mngesumbua watu hakuna ata She 100
Dola za kimarekani shilingi elfu nne ni sawa na paundi ngapi?
Tff mbona amtumii akili
Hao ndo TFF mavi, bongo Kwa Hali hio kunampira hapo 😁 au mavi TU. Endeleeni na ujinga huo huo
This guy can't read Swahili sentences.. what's going on
Kwan tff inamanisha wadau
Kazi imewashinda nyie
Mnatumia nguvu nyingi sana kupambana na mtu mmoja ,na hamjui kama Kuna vitu MUHIMU kuliko hata hiyo pesa mliyopunguza milioni kumi ,kama mnajitambua hajji alitakiwa apunguziwe adhabu ya muda wa miaka miwili Kwa sababu miaka miwili ni mingi Kwa maslahi ya soka la Tanzania ikiwemo mapato yanaweza kupungua kutokana na yeye kukosa nafasi ya kuhamasisha watanzania kwenye mpira na Hilo halina usimba Wala uyanga ,pesa sio shida hata wanayanga na wanasimba wangechanga kumlipia bila hata maumivu yeyote .
Wajinga Hawa jamaa
Aliyekwambia tff wanataka pesa nan?nenda kasome sheria ujifunze.kila kosa lina Adhabu yake na sio kila kosa adhabu ni kulipa pesa
Nimekuelewa vema mkuu, upo sahihi sana
@@muhsinjuma6796 unaelewa unachokiongea ama umekurupuka tu
Huwezi kufanya makosa halafu unasubiri kulalamika, utaumia tu😂😂😂. Nyie ndo mnatumia nguvu nyingi kumsafisha mtu aliyefanya makosa, ifike hatua mtu akikosea hata kama unamkubali umwambie HAPA UMEKOSEA. Sio kumshangilia tu hata akikosea. SIO MARA YA KWANZA KUADHIBIWA HUYU, hata alipokua Simba aliwahi kufungiwa mwaka mmoja na faini juu.
Anasema dola za kimarekani shilingi Tena😂
Badala muumize vichwa tunaendeshaje mpira mnaumiza vichwa kwa manara
Yaani hamjiamini nyie jamaa mpk mnaboa.
Haji Manara angekuwa mstaarabu angekaa kimya asibishane na kujiona yeye ndio yeye au yeye bora nina imani angesamehewa tatizo haji ANATAKA kujiona yeye mkubwa KULIKO VIONGOZI wa MPIRA
Sasa ikiwa rufaa haina mashiko iyo busara ya kupunguza adhabu ya fedha mmeipata wapi??? Nyie semeni tu mnamuogopa haji mnajua akiweka amsha amshayake makolo lazima mpoteane. Nyiebmuachieni jamani mambo yenu hayana mashiko
Wewe unaesoma hadithi hii ni mxenge mwili wote kasoro tumbo tu