EXCLUSIVE: HISTORIA ya JACOB MKUNDA MKUU wa MAJESHI na KOMANDO HATARI ALIYECHAFUKA VYEO BEGANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #cloudsmedia #efm #exclusive #history #simulizinasauti #wasafimedia #dullysantz #millardayo #santzmedia #jacobmkunda#mkunda
    VIJUE VYEO VYA JACOB MKUNDA NA HISTORIA YAKE KUANZIA MAISHA YAKE BINAFSI .......
    • MAKALA ZA VIONGOZI🥂

Комментарии • 84

  • @ngowidyness3464
    @ngowidyness3464 20 дней назад +1

    Mungu akipanga ni vyema kumshukuru ..hongera sana Mr Mkunda

  • @KenethMkunda
    @KenethMkunda 4 месяца назад +7

    Hongera kwake mkuu wetu,mwenyezi mungu aendelee kumpa Hekima na busara zaidi ili aweze kutekeleza majukumu yake mazito katika nchi yetu

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 15 дней назад +1

    Aminia sana

  • @zephaniamkondya9977
    @zephaniamkondya9977 4 месяца назад +3

    Hongera JMkunda! Kumbe umesoma Nanda HS.Hata mimi nimesoma A level Pale Ndanda.

  • @IsaasEliasafi
    @IsaasEliasafi 4 месяца назад +2

    Congratulations for this short story for our CDF, lam proud for him.God bless him.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 месяца назад +1

      Thanks for supporting 😁

  • @IsaasEliasafi
    @IsaasEliasafi 4 месяца назад +3

    Congratulations sir,l salute you for your good Service.May Almighty God bless you and your family.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 месяца назад +1

      Thanks @IsaasEliasafi 🙏

  • @PhilkevinFelix
    @PhilkevinFelix 4 месяца назад +4

    Mimi ninampongeza General Nkunda. Lakini muandishi unapoamua kuwaeleza wasikilizaji historia ya kiongozi au mtu yeyote ieleze historia usifanye masihara. Kumbuka unamzungumzia General hapa.

  • @WistonmoseslauoMoses
    @WistonmoseslauoMoses Месяц назад +1

    Mungu akupe Maisha marefu👨‍✈️

  • @QueenEdward-ld3fu
    @QueenEdward-ld3fu 3 месяца назад +2

    Daaaah kumbe honger sana kiongoz,,,na mim napenda kujiunga na jkt kiongozi wang

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 4 месяца назад +4

    Hongera sana kamanda Mwenyezi Mungu akuongoze katika utumishi wako kwa Taifa letu.

  • @NOVATUSVITALIS
    @NOVATUSVITALIS 21 день назад +1

    Safiiiii

  • @FurahaMwasimba
    @FurahaMwasimba 24 дня назад +1

    Mzee yuko smart

  • @JosphJackson
    @JosphJackson 4 месяца назад +2

    Mungu akulinde Mfalume wa simulizi

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 месяца назад +1

      Shukrani Sana 🙏🙏

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 4 месяца назад +2

    Short and clear

  • @ZACHARYBENJAMIN-sx3eb
    @ZACHARYBENJAMIN-sx3eb 4 месяца назад +1

    Big up sana kiongozi wetu mungu akulinde sana

  • @OMARYMussa-pg8ue
    @OMARYMussa-pg8ue 20 дней назад +1

    Jambo sir

  • @tumainielmaruwa3148
    @tumainielmaruwa3148 4 месяца назад +4

    Long leave our CDF Mkunda🥇🙏

  • @AlhajiSuleyman
    @AlhajiSuleyman Месяц назад +1

    We noma

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 4 месяца назад +3

    Salute kwa mkuu

  • @godfreyjudcate741
    @godfreyjudcate741 4 месяца назад +1

    Mwanangu jaribu kutafautisha L na R mzeee

  • @ShekhTwalipoul-fh7sd
    @ShekhTwalipoul-fh7sd 4 месяца назад +1

    Thanks inapendeza Sana Kwan mwangaza wako ni elimu Cdf

  • @ntirampebapascal8222
    @ntirampebapascal8222 4 месяца назад +2

    Hapo sawa lakini msipofunguwa macho, mtaamka mukikuta tanzania imekwisha kuwa infiltrated

  • @kabiligamukhtar9851
    @kabiligamukhtar9851 3 месяца назад

    Hujui kutoa historia ya viongozi

  • @YakubAli-h9v
    @YakubAli-h9v 2 месяца назад +1

    ❤❤

  • @abasisapi5474
    @abasisapi5474 3 месяца назад +3

    Very shallow, hutaji mwaka wa kuzaliwa, eti shule ya msingi alisoma huko kwao! Na renjimenti ndiyo nini?

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  3 месяца назад +1

      Yes @abasisapi tumeyapokea maoni yako ila unachokisikia Hapo ndio kitu tulichokipata Kwa mtafiti wetu hivyo Kuna maaswala mengi Mshirika hakupenda vitajwe kwenye Media so na Sisi tunazingatia Matakwa ya Mtu

  • @JosephMacha-hj2yd
    @JosephMacha-hj2yd 23 дня назад +1

    🙏👍

  • @benjaminsanare-ug6ge
    @benjaminsanare-ug6ge 4 месяца назад +2

    Kila la kheri CDF wetu🙏

  • @Malangalusaede
    @Malangalusaede 3 месяца назад +1

    Good

  • @magangacypridion169
    @magangacypridion169 4 месяца назад +2

    Kia la kheri Kamanda

  • @bushiryulaya1843
    @bushiryulaya1843 4 месяца назад +2

    simulizi nzuri ila sijaona na kusikia sehemu aliyopitia kozi ya komando

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 месяца назад +1

      Sahihi kabisa Ila tutasogeza simulizi nyingine na Yote Hayo tutayataja humo ndani?

    • @Wamisangi
      @Wamisangi 4 месяца назад

      Komando asiye na mbawa!

  • @nataljr
    @nataljr 4 месяца назад +2

    🔥🔥🔥

  • @JaneMbegera
    @JaneMbegera 4 месяца назад +1

    Congratulations

  • @Shebbylaizer
    @Shebbylaizer 4 месяца назад +2

    ❤❤

  • @RashidiSalimu-qz4nf
    @RashidiSalimu-qz4nf 4 месяца назад +1

  • @AbuuBiganzi
    @AbuuBiganzi 26 дней назад +1

    Ongera na mm nitafuata nayo zako ,ni mm Jovi biganz

  • @AnnaSiprian
    @AnnaSiprian 2 месяца назад +1

    Mwana wa ukaya

  • @tajiguapo3743
    @tajiguapo3743 2 месяца назад +1

    Unasauti ya utangazaji shida ipo tu haujui R na L,Kilosa unasema kirosa,morogoro unasema mologolo, check
    Spelling zako kwenye ku pronounce utafika mbali.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 месяца назад +1

      Ahsante kwa maoni yako ndugu. Tunaahidi kujirekebisha 📌

  • @Shaibuissa-v9k
    @Shaibuissa-v9k Месяц назад +1

    Kwao nimpwapwa dodoma ndiko aliko zaliwa cyo kwale kilosa Apo umedanganya

  • @magazimahushi6417
    @magazimahushi6417 4 месяца назад +3

    Kweli mungu akiandika ameandika. Huyo Mwamba ana bahati sana. God bless you Gen.Jacob J.Mkunda.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 месяца назад +1

      Amini kuwa unaweza Kisha pambana mkuu ,Yote yanawezekana

  • @SumaSeleka-ph3pg
    @SumaSeleka-ph3pg 22 дня назад +1

    Miakenda😂acha bwana tumesahau kutumia tisa

  • @henrickmbilinyi6231
    @henrickmbilinyi6231 4 месяца назад +1

    Ndanda high school A level 1991_1992

  • @aboodbawazir8338
    @aboodbawazir8338 3 месяца назад +1

    Kwale ndio wap ipo tarafa gan

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka 4 месяца назад +1

    Amepitia mambo mengi jeshini ndiyo sababu akawa mkuu wa majeshi

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 4 месяца назад +1

    Kawaida

  • @RashidiSalimu-qz4nf
    @RashidiSalimu-qz4nf 4 месяца назад +1

    Daa namkubalisan

  • @boldleader94
    @boldleader94 4 месяца назад +3

    CSF sio Commando bhn 🤣😂😂😂 mpunguze uongo

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 месяца назад +1

      Sijakuelewa unamaanisha nini!!??

  • @iddmlenga9852
    @iddmlenga9852 4 месяца назад +1

    Huna historia yake ila unaelezea matukio yake
    ..

  • @MussaKipamila
    @MussaKipamila Месяц назад +1

    Jembe hilo wewe

  • @NOVATUSVITALIS
    @NOVATUSVITALIS 21 день назад +1

    Safiiiiii

  • @henrickmbilinyi6231
    @henrickmbilinyi6231 4 месяца назад +3

    Ndanda high school 1991_1993

  • @michaelbernegomichael433
    @michaelbernegomichael433 2 месяца назад

    Kijiji Cha Chakwale......sio Kwale