EXCLUSIVE: HISTORIA ya JACOB MKUNDA MKUU wa MAJESHI na KOMANDO HATARI ALIYECHAFUKA VYEO BEGANI
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- #cloudsmedia #efm #exclusive #history #simulizinasauti #wasafimedia #dullysantz #millardayo #santzmedia #jacobmkunda#mkunda
VIJUE VYEO VYA JACOB MKUNDA NA HISTORIA YAKE KUANZIA MAISHA YAKE BINAFSI .......
• MAKALA ZA VIONGOZI🥂
Mungu akipanga ni vyema kumshukuru ..hongera sana Mr Mkunda
Hongera kwake mkuu wetu,mwenyezi mungu aendelee kumpa Hekima na busara zaidi ili aweze kutekeleza majukumu yake mazito katika nchi yetu
Amen🙏
Aminia sana
Hongera JMkunda! Kumbe umesoma Nanda HS.Hata mimi nimesoma A level Pale Ndanda.
😥
Congratulations for this short story for our CDF, lam proud for him.God bless him.
Thanks for supporting 😁
Congratulations sir,l salute you for your good Service.May Almighty God bless you and your family.
Thanks @IsaasEliasafi 🙏
Mimi ninampongeza General Nkunda. Lakini muandishi unapoamua kuwaeleza wasikilizaji historia ya kiongozi au mtu yeyote ieleze historia usifanye masihara. Kumbuka unamzungumzia General hapa.
Ok.
Mungu akupe Maisha marefu👨✈️
Daaaah kumbe honger sana kiongoz,,,na mim napenda kujiunga na jkt kiongozi wang
Karibu sana
Hongera sana kamanda Mwenyezi Mungu akuongoze katika utumishi wako kwa Taifa letu.
🤝🤝
Safiiiii
Mzee yuko smart
Mungu akulinde Mfalume wa simulizi
Shukrani Sana 🙏🙏
Short and clear
🙏🙏
Big up sana kiongozi wetu mungu akulinde sana
🫡🫡
Jambo sir
Long leave our CDF Mkunda🥇🙏
We noma
Salute kwa mkuu
Heshima kwake
Mwanangu jaribu kutafautisha L na R mzeee
Shukrani Sana
Thanks inapendeza Sana Kwan mwangaza wako ni elimu Cdf
🤝
Hapo sawa lakini msipofunguwa macho, mtaamka mukikuta tanzania imekwisha kuwa infiltrated
🤩🤩🤩🤩
Hujui kutoa historia ya viongozi
❤❤
Very shallow, hutaji mwaka wa kuzaliwa, eti shule ya msingi alisoma huko kwao! Na renjimenti ndiyo nini?
Yes @abasisapi tumeyapokea maoni yako ila unachokisikia Hapo ndio kitu tulichokipata Kwa mtafiti wetu hivyo Kuna maaswala mengi Mshirika hakupenda vitajwe kwenye Media so na Sisi tunazingatia Matakwa ya Mtu
🙏👍
Kila la kheri CDF wetu🙏
Good
🤝🤝
Kia la kheri Kamanda
Good
simulizi nzuri ila sijaona na kusikia sehemu aliyopitia kozi ya komando
Sahihi kabisa Ila tutasogeza simulizi nyingine na Yote Hayo tutayataja humo ndani?
Komando asiye na mbawa!
🔥🔥🔥
Karibu Sanaa🤝
Congratulations
Thenks
❤❤
Kijana kazaa
❤
Ongera na mm nitafuata nayo zako ,ni mm Jovi biganz
Shukrani sana
Mwana wa ukaya
Unasauti ya utangazaji shida ipo tu haujui R na L,Kilosa unasema kirosa,morogoro unasema mologolo, check
Spelling zako kwenye ku pronounce utafika mbali.
Ahsante kwa maoni yako ndugu. Tunaahidi kujirekebisha 📌
Kwao nimpwapwa dodoma ndiko aliko zaliwa cyo kwale kilosa Apo umedanganya
Kweli mungu akiandika ameandika. Huyo Mwamba ana bahati sana. God bless you Gen.Jacob J.Mkunda.
Amini kuwa unaweza Kisha pambana mkuu ,Yote yanawezekana
Miakenda😂acha bwana tumesahau kutumia tisa
Ndanda high school A level 1991_1992
🤝
Kwale ndio wap ipo tarafa gan
Amepitia mambo mengi jeshini ndiyo sababu akawa mkuu wa majeshi
Sahihi kabisa
Kawaida
Ok Vizuri
Daa namkubalisan
🤩👊
CSF sio Commando bhn 🤣😂😂😂 mpunguze uongo
Sijakuelewa unamaanisha nini!!??
Huna historia yake ila unaelezea matukio yake
..
Ohhh kumbeeee
Jembe hilo wewe
Safiiiiii
Ndanda high school 1991_1993
🫡
Kijiji Cha Chakwale......sio Kwale