KAMATI YA MAADILI WAMEMWAGA MBOGA MANARA AMWAGA UGALI, AELEZA KILA KITU "RAIS JPM ALIAGIZA NIITWE"
HTML-код
- Опубликовано: 24 июл 2022
- Msemaji wa Yanga Haji Manara ameamua kufunguka leo kwa mara ya kwanza mbele ya Waandishi wa Habari toka afungiwe kujihusisha na soka kwa miaka miwili na kupigwa faini ya milioni 20.
Tuweke yote pembeni. Wizara ya michezo iliangalie hili inaonekana Kuna kukomoana hapa. Kuna matumizi mabaya ya vyeo hapo.
Pole sana Haji manara,changamoto kazini
Huyu ust.Haji Manara kila wanavyo muharibia ndio anazidi kuwa juu ktk mpira na umaarufu
Mimi sio shabiki lakini manara ana nyota kali sana
BUGATI NI MMOJA TUU AFRICA 🌍 NZIMA
Una Moyo mi ningempa kibao kimoja tuu huyo karia mshenzi mwili mzima achana nae malipo ni hapa hapa
Kama ni kweli yote hayo unaroho sana haji mimi hakuna kitu siwezagi mtu anizalilishe mbele za watu yupo mtu huku alinizoea hivo kama mara tatu nilivo choka anajua mziki wangu ni makofi tu
Pole Sana kaka uyo uyo jamaa ana chuki Kali Sana chuki hiyo Ni kama ya nyoka na Binadamu atoke siyo mtu mzuri rais mbaya atoke araka sana
Kwa sasa wabunge wanaogopa kulitaja hata jina ka Hayati Magufuli. Watanzania tuna tabia za ajabu sana. Unafiki umo ndani ya damu yetu. Tunacheka na mtu Kwa kutaka kitu, akisha nyatuka hatutaki hata kutaja jina lake, kama jina lake linawaudhi Watawala wapya waliopo. Nachukia tabia hii, ni ya kinafiki. Hakuna mtu ataishi maisha. Hakuna mtu atakaa kwenye madaraka maisha, na hakuna mtu ni bora kushinda wengine. Sisi wote tunapita. Wote tunastahili heshima
Manara ni "Kitatange(Pweza)." Akiwa kwenye moto hujipalia(kujikusanyia juu yake) makaa ya moto!
Siku zote mtu wa matunda hukosi mawe pambana kaka utashinda kesi Wana yanga wote tupo nyuma Yako💚💛yanga tamuu
Ukiona mtu anakumind ujue umemzidi sana
Huyu karia ni msomali sasa mnawajua walivyo wasomali nchi hii tuna msomali mmoja tu yuko vizuri ambaye ni Mh Bashe lkn huyo mwingine
Karia ana matatizo nayeye hii kamati ilitakiwa kuwahoji wote inawezekana kukawa na shida nyuma ya pazia
Hiyo ndio asili ya wasomali ukorofi, anadamu iyo ya kosomali wanafanya ujinga alafu wanakimbilia kuhonga,rais wa tff ni msomali ana asili hiyo!!!akili zao ua sio mzur mkimnizi uyo!!
Wanywarwanda ndivyo walivyo songa mbele Babu Mungu yupo tu
Hana sifa za kuwa kiongozi wa soka ana roho mbaya sana
Kunakitu mlifanyiana kwaiyo katika mazungumzo wanayanga mmesikia hawa wametafutana bado yupo Simba Sio kuwa alipoingia yanga ndomaana kafanyiwa Ivo hapana.Tuache na tim yetu ya Simba fanyeni yenu,Ili swala nikama la Babu Sea na mh, frani.
Nakupenda sana Manara ,wahaduwi ni wegi
Dah pole sana kaka haji endelea kupambana kuna watu hawajui thamani yako Lakini binafsi namini mpira wa Tanzania umeuchangia 90% kuwa ulipo Ss