WANAOMTUSI RAIS HAWA HAPA/ MAKONDA AITWE/ DADA WA MITANDAONI APUUZWE
HTML-код
- Опубликовано: 16 апр 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#makonda #mangekimambi #raissamia
Said Miraji bigup
Hayo ni maoni yako,na wengine watasema yao pia na hakuna yatakayopigwa mawe! Tukumbuke huu ni wakati wa kampeni,mengi yatasemwa,na wengi watajisifu kutafuta ridhaa kwa hiyo hata wakisema ya maendeleo waliyoyafanya, waeleze pia waliyoyafanya kwa kuumiza jamii illi wajiweke katika mizani kwa ile kweli ikibidi wawajibike wasingoje shinikizo za watu zenye ukakasi kisa hasira za kukosa utatuzi wa shida zao zioane na maendeleo yanayosifiwa!
Nafurahi sana akihojiwa mtu mwenye uwezo wa kujibu maswali... Pia nafurahi sana akipatikana mtu mwenye uwezo mzuri wa kuhoji pale mwanzo kabisa alitaka kumyumbisha muulizaji angekuwa hajajipanga na hayuko vizuri pale angeweza kufeli na kuharibu kipindi... so BIG UP!!!!
00lllp😅😅
miraji hakika uko vizuri mungu akubariki sana.
Ukiwa rais wa nchi au kiongozi lazima utakutana na mambo mengi mazuri na ya ovyo
Ukiwa kama kiongozi kazi yako nzuri unayoifanya hiyo tosha kabisa itakutetea wala huna haja ya kuanza kujieleza au kujitetea
Mtu anayejijua hata siku moja hawezi kuhangaika na maneno yanayosemwa.
Watanzania muache tabia ya kuwaona viongozi kama miungu watu
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Safi sana mwalimu kwani raisi sio mungu na anakosea kama viumbe wengine, kwa hiyo kukosolewa ni kawaida sana. Sema viongozi wetu wengi wanajipendekeza mno kwa raisi na viongozi wa aina hii hawawezi kutuletea maendeleo kamwe.
Masha Allah Mzee wa busara wamjibu vyema jonalist uko sahii kabsa
Asante mchambuzi umeongea vema watanzania tujali maendeleo sio mambo sisio na tija
Nawsalimu sana watanzani ni wastarabu kutukana siyo utanzania watanzania maneno Kenya kanga ba vitenge
Katika hili la Makonda kuwashtumu baadhi ya Viongozi kumtukana Rais, ni dhahiri Makonda alikurupuka na kuzua taharuki pasipo sababu. Haya mambo yangebaki ni masuala ya ndani.
Kama ni kweli wapo mawaziri ambao wanamtukana Rais,, mana yake ni kwamba hawariziki na uongozi wake,,, hivyo wanatakiwa kujiuzuru,,,,kubaki katika uongozi waliopew na huku wakiwa na fitina huo ni usaliti,,,wanatakiwa kujiuzuru
Alicho kiongea makonda kinaukweli ndani yake ila kunawatu hawampendi makonda usalama wafnye uchunguz
Huyo ni mchapa kazi haswa, Ila anajitaji mafunzo ya kidopromasia. Ili aweze kujua mipaka ya speeches, anapokuwa anatoa presentation zake! Inaonekana, hajaelewa hili. Asanteni.
Nimekuelewa sana mzee
Huyo Mzee anahekima jinsi anavyojibu
Aisee Binadam wenye Akili wapo Duniani! Hongereni xana
Unachambua vzr miraj
Asante sana braza Miraji. Majibu yako ni kuntu sana. Nakazia sehemu zako mbili ulizozisema na zimenishibisha sana: 1. Ukimwita mtu mwizi wakati si mwizi umemtuzi. Hivyo kama ni mwizi hakika haujamtukana. 2. Makonda ilipaswa aangalie wapi na mahali gani atoe jambo lake, kwani si yote yanastahaili kuongelewa hadharani. Mengine yaweza kuzaa taharuki katka jamii. Kwa hayo naungana nawe. Raisi ametukanwa basi kama siyo kweli, Makonda alipaswa awapeleke mahakamani wmanaotukana. Kashimdwa fanya hivyo basi yawezekana anayosema ni matusi si matusi bali ni kweli. Pili Makonda kwa hulka yake ya kutojua neno aliseme wapi na wakati gani, yeye sasa ni hatari kwa usalama na mstakabali wa taifa letu kwa ujumla. Hivyo hatoshi kuwa kiongozi! Big up sana Miraji keep it up.
WE'LL SAID MIRAJI SAIDI
Kiukweli hii video nairudia Mara Kwa mara ✅
Nawakubali sana hasa kwenye habari michezo usajiri mpo sawa sana
Hizo ni gear za kisiasa msihangaike nazo mnapoteza muda
Mchambuzi uko sawa baba
Asante Said Miraji for your informative analysis
Wewe unayejibu na kufafanua juu ya makonda nimekubali bila shuruti Kwa Nini ? Tafsiri ya kumtusi na Nini tafsiri ya matusi Asante sana
Well said❤
Ni sahihi mh. Mkuu wa mkoa kueleza wazi watu hao anaowajua wanamtukana mh. Rais ili kujenga dhana ya ukweli katika uwajibikaji. Lakini nafikiri wakishajulikana waitwe kwenye kamati ya nidhamu kwenye chama na waonywe kuacha tabia hiyo ya kumtukana mh. Rais na adhabu zitolewe. Wasikilizwe pia ili wajue hata sisi katika chama hatupendi mtu wa kumtukana mama yetu. Wakati mwingine tusitangaze hadharani tuwaite kwanza wahusika na wakemewe kwa ukali. Chama cha mapinduzi kina hashima kubwa sana kwa wananchi, tuonyane kwanza kabla ya kupeleka kwa hadhara . Asante
Kutukana kutukanwa ni mbayaaa kabisa, maneno maneno na matusi ni kero kabisa hata kubeza.
Uko vizur
Ubarikiwe kwenye majibu yako
Inshu ni pale aliposema atawataja je3!🤗
Makonda anatakiwa kutafakari sana kuhusu kauri zake majukwaani maana kauri zake nyingi yanaleta taharuki
Taharuki kivipi kwani mtu wa kawaida hawezi kusema ? Au ni kwakuwa ni makonda? Kuongea mambo mengi mazuri Hilo ndio mmelichukua? Hebu tafakari
Si ni kweli,Rais ametukanwa? Aitwe kufanya Nini.
Freedom of expression is constitutional issue.
Dah! Ni hatari
Ndugu usiongee saikolojia. Unajua maneno madogo madogo Katina siasa yasio kuwa na tija hayana maana. Hapa tulitegemea utatuambia impact ya maneno ya Makonda. Yawezekana ikawa fitina au sifa. Utaratibu
Nimuhimu sana.
Inamaana makonda ni mmbea
Je rais kutukanwa unaona sawa
Oyaa sintaslaus jamaa ni noma zaid ya nomaa sanaa kabalans kinomanomaa
Muiteni TID kuna kunguru huku anajipitisha kwenye interview
Nchi ya tanzania ni ya ajabu sana unatammka maneno makali yanayomuhusu raisi juu ya watu wanaomtukana raisi eti mawaziri du ni hatari sana kwa raisi,na kwa nn makonda anakuwa mropikaji
Watanzania tuko sawa kabisa. Cha ajabu ni nini? Na vikatuni ambavyo viongozi wenu wanachorwa! Sio matusi.
@@edwardmizambwa237 msikilize Mzee Miraji ukiwa kiongozi unaongoza watu wa tabia maono desturi na mitazamo tofauti kazi ya kiongozi ni kusimamia haki ustawi na dhamira yako Mzee Miraji ametoa mfano wa Trump anavyochorwa na hashtuki hivyo hakuna tofauti kwa viongozi wengine hata manabii na mitume walitukanwa walidhihakiwa lakini walisimama na wajibu wao na heshima yao haikuvurugwa na watukanaji bali walijiongezea heshima kwa hayo hayo matukano mpaka leo tunawaenzi
Na bado watatukanwa labda watutendee haki wananchi kwani viongozi ni miingu watu?
nionavyo mimi hakuwa sawa kutumia mkutano ule kuyasema hayo wakati kuna vikap vya viongozi selikani na hata chama chake
Makonda akamatwe na ahojiwe kisha awataje wanao mtukana mama yetu
Lkn makonda ni mhalifu tangu enzi za magufuli kama aliongoza kikosi cha kuteka redio hapo anazungumza maneno ya kumpreshalaizi Rais
Makonda yuko sawa kabisa,
HUONI SABABU. SAWA, KWA MBYONGE HAPO SAWA.
Akili ni asali,
.makonda ni mropo 21:08 kaji tu
Mzee wangu ukisema unasikitika kwa maneno machache aliyosema makonda kuhusu mawaziri kumtusi Rais kuwa eti unasikitika hapo nakupinga, Kwa sababu maendeleo yanaletwa na mfumo na pia umaskini unaletwa na mfumo sasa mambo meeengii aliyoongea makonda yalilikuwa yanahusu maendeleo hatukatai ila ikaja hoja ya kwamba wale anaowaamini hawamuanini je vipi maendeleo yatapatikana wakati mfumo hausomani?? Kwa hiyo rais akimuagiza Waziri kufanya kazi ya kimaendeleo vipi atawajibika wakati tayari kashamdharau rais?? Kwa hiyo hapo ndipo watu walipo hamaki maana waliona hakuna ukweli kuhusu maendeleo wanayoambiwa maana mfumo hausomani mzee wanguuu, kwa hiyo umesema vizuri ila umekwamaa
Makonda ajipendekeza
Wanaomtukana rais wapo makonda anawajua
mchambuzi uko vizuri !
UNAMOSEA, YEYE ALIWAONYA, NA KUWASHAURI WAACHE. SI KUWA ANATAARIFU, ILA ANAJUA WENGI WANAJUA.
Kweli sisi bado wachanga kwenye siasa hakuna baya alilosema makonda
Mwana Fa na Kikwete wanatumia Mange Kimambi ⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️
Kikwete hawazibmtukana Samia
MAKONDA AMETOA ILI WATU WAACHE MARA MOJA AKIWEKA LAZIMA AU USHAHIDI BAS KUNA SABABU YA KUVUNJA BALAZA LA MAWAZIRI
uko sawa babs.
❤
Kwani wangapi wanatukanwa kila mara na kudhalilshwa na hamjengi hoja
Makonda mbona hakutaja matusi mwenyewe?
💖🙏🏽
Mimi nashangaa waandixhi wa Habari na viongozi pia yani makonda akihutubia mazuri na kukemea mbaya tayari mnanukuu maneno mengi lkn yale mazuri mnaweka pembeni. Jamani watu, mnachuki na makonda hadi watoa Habari wamekuwa wambeya kwa kiwango cha lami. Jamani muwe mnakumbuka. Na mema anayofanya. Mara loooh kawalipa waandixhi wa Habari Arusha na kukodi magari mengi iliakapokelewe puuuh.! Rais Samia endelea kumuamini Mh Makonda ni kijana mchapa kazi maili
MAMA MWENYEWE ALSHAAMBIWA ADUI NI SHATI LA KIJANI, KWA MAKONDA YAKE NI YA WOTE NI MARUDIO TU KWA WENYE CHUKI DHIDI YA RAIS NA MAMA WA TAIFA LETU HURU.
MAMA CHAPA KAZI WENYE WIVU WAJINYONGE
Mzee anaakili sanaa
Mzee Said Miraji akili kubwa,,,, mtangazaji kazi nzur sana ni interview ya maana sana! Respect global tv👍🏽
😂❤😂 Thanks for
Hata ikiwa ukweli kuna namna wakuufikisha huo ukweli niukweli lakini kunanamna wakuufikisha huo ukweli
Unauliza kutukana ni nini?
Makonda sibalisema hakuna cha polish wala jeshi lenyevuwezonwa kumpa u 20:24 linzi .
Mjomba njoo Zanzibar huku kutusaidia kutafuta ukombozi wa kuitatua Zanzibar katika mamlaka yake mamlaka kamili
Hivi ccm ina wenyewe ni kina makonda au ccm mantis aibu mlipofikia
HUYU UNAFANYA UCHAWA.HAYO NI MAMBO YA KUJIPENDEKEZA NI DHARAU.
Inasikitisha sana badala ya kujadili ripoti ya CAG, maisha magumu wanayokabiliana nayo Watanzania, mnajadili mitandao? Mbona Kuna watu wengi wametukanwa na kudhalilisha na hamuwahi kusema chichote. Kwani binadamu wote ni sawa. Kwa nini mnajikita kwenye issue ya mtu Mmoja alietukanwa? Ndio, Watanzania wengi hawajishughulishi na issue za muhimi wamejikita kwenye umbra tu. Mbona Marais wengi duniani Huwa wanakadhifiwa, lakini hawa loose focus ya kazi zao. Komaeni kisiasa. Chapeni kazi acheni kupoteza muda kwenye mambo ambayo hayana tija.
Wachauongo nenda Kenya uone maisha magumu piga kazi
Tukiwa na wazee kama Hawa siasa zetu kitabadilika sana pia kufikiri chanya muda wote kutaongezeka, uchawa na umbea ndio unaotusumbua makonda piga kazi kama hawakutaki watafute sehemu nyingine ya kuishi
Hapana tusichukulie vitu poa makonda amekosea na Kama siasa zetu zingekua salama na safi Baraza la mawaziri lingemchukulia hatua za kisheria na angewataja hawo mawaziri na kungefanyika uchunguzi na watanzania tungejua nini tunafanyiwa na hii serikali kwa sababu Kama Kuna kutokulewana Kati ya raisi na baadhi ya mawaziri watakaoumia ni wananchi. Makonda Kuna namna anaivuga nchi. Ahojiwe tuache kulitania taifa
Said milaj mtu mwenye akili sana
Hayati Magufuli alitukanwa sana.. Nape na genge lake walimutukana na kumuita Hayati Magufuli majina mbali ndani ya kumusaliti. Ndani ya chama chake walikaa kimya. Na wote waliło kuwa Wakimutetea tea kwa sasa haijulikani wako wapi. Mitandao yawo yote imefungwa. Kwa Sasa ni wale wale Waliiokuwa Wakimutusi Hayati Magufuli wanaendelea kumutusi Rais Samia.
Hiiyo ni sasa karibu killa nchi ni hivyotu rais kusemwa
Yaani mzee mh mchambuzi unamajo unmasking unajuwa kuchambuwa uko sawa.babisa..yoote nisa.ila makonda apunguze kusema passport kuwa pahala husika.tunampenda makonda kidomo wazi.ila avenge tu.hatuwa zifate
Mara zote habari ni pale unaposikia 'Mtu kauma Mbwa' wala sio 'Mbwa kauma Mtu'
Kwanza kama ni rais nanai alimchagua sisi rais alishafariki tunasubiri 2025
Tuwe wakweli tu. Makonda katumbua jipu. Alichofanya Makonda ni sahihi kabisa. Alilosema ni kweli, na sidhani kuna mtu mwingine mwenye ujasiri wa kuyasema. Angesema aviambie vyombo vya ulinzi na usalama, inawezekana wahusika wasingejua kinachoendelea. Lakini kwa kusema hadharani, wahusika wamejua kwamba wanafahamika na mbinu zao siyo siri tena. Tunajua kuna watu hawakupenda mama awe rais kwa sababu ya dini au kwa kufikiri ni kiongozi dhaifu. Lakini utendaji wake umewaacha watu mdomo wazi. Wanaompinga Makonda kwa alichokifanya, sitashangaa nikasikia ni kati ya wale wanaosemwa.
Kusema fulani, ni mbaguzi. (awe awae). sio matusi.
Kwanza mtu huwezi kumridhisha binadamu hata umpe nini kuna wengine hawabebeki kwaivyo tenda mema uondoke kunawatakao ridhika wengine hawaishi minongono ndio ninadam tulivyo
Nsnyie!!!!! Anzeni tuu hata sisi tutawashabikia. Kuba msemo usemao kuwa " ukiona mwenzio ana nyilewa nywele na wewe tia maji" siasa niseme kama mnayaanza haya basi lenu laja. Lazima kitawashwa tuuuu!!!;
Iko kichwa!!
Hugo mchambuzi anakupozea muda
Makonda angezingatia majukumu aliyokabidhiwa kutuumikia nchi . Haya mengine hayamuhusu na sio kazi yake na sio ustaarabu
Mchambuzi hata ww una uwezo mdogo wa kufikiri.Hapo hoja sio maendeleo,maendeleo kila siku viongozi wetu wanayaongelea.kuhusu sijui utalii ,barabara ni vitu vinavyoongelewa kila siku na hawa viongozi wetu.Hoja ni kauli ya makonda kwa mawaziri wanaomtukana Rais.Kwanza kauli yako ya kwamba watanzania wamezoea umbeya sio ya kiuchambuzi ,watanzania wametaharuki sana kusikia kutoka kwa makonda kuwa rais wao anatukanwa na mawaziri.Watanzania ni lazima wataharuki kwa kauli ya Makonda.unaposema heti watanzania wamezoea umbea sio sawa na unatukosea sana watanzania sisi.
Msekwa ni katiba? Hata akisema linakuwa sheria
Tatizo watanzania niwaimba taarabu kuliko kujuwa maana wanaacha kuyasemea mazuli wao wanaendeleza mabaya ivi watanzania musiojitambua nilini mutabadilika kwanini bado amutoki kwenyezana zakijinga
Ufinyu wa fikra nd unawasumbua watu, leo baadhi ya viongozi wanatumia maneno au neno ndo ambalo halina umhimu sana kisha nao wanatengeneza hotuba zao badala kuongea kuwa endapo wakiwa watawala wa eneo fulani ni kipi watakifanya ili kualete ufanisi wananchi
Kuhusu kutukana kwa Raisi ni suala binapsi! Kwaiyo sio sahihi wala wala sio tamaduni! Hata huko Marekani wanao haki yakushitaki yoyote yule anae ingilia uhuru wa mtu
Kuna vyombo vya ulinzi na usalama. Angeshitakia huko.
Kuwa mchambuzi wa siasa hakuondoi ukweli kwamba wewe bado ni binadamu, una mapungufu, kwamba Makonda alikuwa sahihi kuyasema yale mahali pale kama mkuu wa mkoa, vyombo vyote vya serikali havijaona ila Makonda tu. Chambua bila kuegemea mahusiano na mtu yeyote
Unaakili sana kijana ,unajicho la kuona 🙏
kumtusi Rais ni kutofanya kazi anazokuagiza ukiwa kama mtumishi wake ufati maagizo yake nayo nikumkosea
👇🏿
#katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
Semeni uwazi katukaywa nini?ahogi au?
Mwandishi mbona unalazimisha?
Makonda ana mtukana samia?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kiufupi Serekali ikimchujulia Mange sheri or kujaribu kumzipiti ni nidhamu ya UWOGA
Mchambuzi anachojibu si anachoulizwa, mwandishi hapo huwezi kupata unachouliza(beating around the bush).
Anajibu Kwa akili asichochee moto,amefanya vizuri sana
Watu waongelee maendeleo gani? Wacha tu wajadili upande wanaotaka
Mazungumzo ya said Miraji na Dar 24. Ni kwamba yeye kweli Ni mchambuzi na anaweza kusaidia kupunguza jaziba za watu. Mimi binafsi namshangaa naibu karibu mkuu wa CCM Kinana kwamba anasema Makonda alikuwa anadhalilisha mawaziri je yeye aliposemak una mawaziri mzigo je amesahau? Kwamba Kuna mawaziri waliondolewa. Kwa Nini anamkosoa Sana Makonda? Sasa Makala naye ameleta Mambo ya ajabu sana . Kwamba anasema anasikiliza kero za wananchi kwa kupanga foleni kitu ambacho kina karibisha rushwa kubwa Sana kwani Makonda aliweza Sana kuzuia watu wa ovyo Sana lakini Mimi naona Makonda apunguze Sana Mambo ya kuongelea Mambo ya kupata chochote.
Hata kama hafai apewe tu kwa vile ni utamaduni wao? Nonsense