WANAOMTUSI RAIS HAWA HAPA/ MAKONDA AITWE/ DADA WA MITANDAONI APUUZWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 апр 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #makonda #mangekimambi #raissamia

Комментарии • 144

  • @hisanieljosephmasaki8040
    @hisanieljosephmasaki8040 18 дней назад +5

    Said Miraji bigup

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 18 дней назад +5

    Hayo ni maoni yako,na wengine watasema yao pia na hakuna yatakayopigwa mawe! Tukumbuke huu ni wakati wa kampeni,mengi yatasemwa,na wengi watajisifu kutafuta ridhaa kwa hiyo hata wakisema ya maendeleo waliyoyafanya, waeleze pia waliyoyafanya kwa kuumiza jamii illi wajiweke katika mizani kwa ile kweli ikibidi wawajibike wasingoje shinikizo za watu zenye ukakasi kisa hasira za kukosa utatuzi wa shida zao zioane na maendeleo yanayosifiwa!

  • @youtubepesa255
    @youtubepesa255 18 дней назад +6

    Nafurahi sana akihojiwa mtu mwenye uwezo wa kujibu maswali... Pia nafurahi sana akipatikana mtu mwenye uwezo mzuri wa kuhoji pale mwanzo kabisa alitaka kumyumbisha muulizaji angekuwa hajajipanga na hayuko vizuri pale angeweza kufeli na kuharibu kipindi... so BIG UP!!!!

  • @samweljuma585
    @samweljuma585 8 дней назад

    miraji hakika uko vizuri mungu akubariki sana.

  • @Globalpeace123
    @Globalpeace123 18 дней назад +4

    Ukiwa rais wa nchi au kiongozi lazima utakutana na mambo mengi mazuri na ya ovyo
    Ukiwa kama kiongozi kazi yako nzuri unayoifanya hiyo tosha kabisa itakutetea wala huna haja ya kuanza kujieleza au kujitetea
    Mtu anayejijua hata siku moja hawezi kuhangaika na maneno yanayosemwa.
    Watanzania muache tabia ya kuwaona viongozi kama miungu watu

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 15 дней назад +1

      ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u 18 дней назад +1

    Safi sana mwalimu kwani raisi sio mungu na anakosea kama viumbe wengine, kwa hiyo kukosolewa ni kawaida sana. Sema viongozi wetu wengi wanajipendekeza mno kwa raisi na viongozi wa aina hii hawawezi kutuletea maendeleo kamwe.

  • @anwarabdallah7095
    @anwarabdallah7095 13 дней назад

    Masha Allah Mzee wa busara wamjibu vyema jonalist uko sahii kabsa

  • @priscambwambo1030
    @priscambwambo1030 18 дней назад +4

    Asante mchambuzi umeongea vema watanzania tujali maendeleo sio mambo sisio na tija

  • @AbdilahiHassan-mr5lo
    @AbdilahiHassan-mr5lo 7 дней назад

    Nawsalimu sana watanzani ni wastarabu kutukana siyo utanzania watanzania maneno Kenya kanga ba vitenge

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 18 дней назад +4

    Katika hili la Makonda kuwashtumu baadhi ya Viongozi kumtukana Rais, ni dhahiri Makonda alikurupuka na kuzua taharuki pasipo sababu. Haya mambo yangebaki ni masuala ya ndani.

  • @laurentsichalwe286
    @laurentsichalwe286 18 дней назад +5

    Kama ni kweli wapo mawaziri ambao wanamtukana Rais,, mana yake ni kwamba hawariziki na uongozi wake,,, hivyo wanatakiwa kujiuzuru,,,,kubaki katika uongozi waliopew na huku wakiwa na fitina huo ni usaliti,,,wanatakiwa kujiuzuru

    • @user-hh9vh2bu2n
      @user-hh9vh2bu2n 16 дней назад

      Alicho kiongea makonda kinaukweli ndani yake ila kunawatu hawampendi makonda usalama wafnye uchunguz

  • @emmysamwel5847
    @emmysamwel5847 14 дней назад +1

    Huyo ni mchapa kazi haswa, Ila anajitaji mafunzo ya kidopromasia. Ili aweze kujua mipaka ya speeches, anapokuwa anatoa presentation zake! Inaonekana, hajaelewa hili. Asanteni.

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 16 дней назад +1

    Nimekuelewa sana mzee

  • @EdwinKaywanga-ww7jr
    @EdwinKaywanga-ww7jr 18 дней назад +4

    Huyo Mzee anahekima jinsi anavyojibu

  • @mashaurifloribert1396
    @mashaurifloribert1396 9 дней назад

    Aisee Binadam wenye Akili wapo Duniani! Hongereni xana

  • @FransiscaThomas-zs4nn
    @FransiscaThomas-zs4nn 8 дней назад

    Unachambua vzr miraj

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn 16 дней назад +2

    Asante sana braza Miraji. Majibu yako ni kuntu sana. Nakazia sehemu zako mbili ulizozisema na zimenishibisha sana: 1. Ukimwita mtu mwizi wakati si mwizi umemtuzi. Hivyo kama ni mwizi hakika haujamtukana. 2. Makonda ilipaswa aangalie wapi na mahali gani atoe jambo lake, kwani si yote yanastahaili kuongelewa hadharani. Mengine yaweza kuzaa taharuki katka jamii. Kwa hayo naungana nawe. Raisi ametukanwa basi kama siyo kweli, Makonda alipaswa awapeleke mahakamani wmanaotukana. Kashimdwa fanya hivyo basi yawezekana anayosema ni matusi si matusi bali ni kweli. Pili Makonda kwa hulka yake ya kutojua neno aliseme wapi na wakati gani, yeye sasa ni hatari kwa usalama na mstakabali wa taifa letu kwa ujumla. Hivyo hatoshi kuwa kiongozi! Big up sana Miraji keep it up.

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 18 дней назад +3

    WE'LL SAID MIRAJI SAIDI

  • @mashaurifloribert1396
    @mashaurifloribert1396 9 дней назад

    Kiukweli hii video nairudia Mara Kwa mara ✅

  • @deogratiusbrilliantshayo4262
    @deogratiusbrilliantshayo4262 16 дней назад

    Nawakubali sana hasa kwenye habari michezo usajiri mpo sawa sana

  • @yugemasanza1008
    @yugemasanza1008 18 дней назад +3

    Hizo ni gear za kisiasa msihangaike nazo mnapoteza muda

  • @jameskaizilege1692
    @jameskaizilege1692 18 дней назад +4

    Mchambuzi uko sawa baba

  • @patriciamuganda4498
    @patriciamuganda4498 18 дней назад +2

    Asante Said Miraji for your informative analysis

  • @jonasmdogo2752
    @jonasmdogo2752 18 дней назад +2

    Wewe unayejibu na kufafanua juu ya makonda nimekubali bila shuruti Kwa Nini ? Tafsiri ya kumtusi na Nini tafsiri ya matusi Asante sana

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 18 дней назад

    Well said❤

  • @aristideskilawe5024
    @aristideskilawe5024 18 дней назад +1

    Ni sahihi mh. Mkuu wa mkoa kueleza wazi watu hao anaowajua wanamtukana mh. Rais ili kujenga dhana ya ukweli katika uwajibikaji. Lakini nafikiri wakishajulikana waitwe kwenye kamati ya nidhamu kwenye chama na waonywe kuacha tabia hiyo ya kumtukana mh. Rais na adhabu zitolewe. Wasikilizwe pia ili wajue hata sisi katika chama hatupendi mtu wa kumtukana mama yetu. Wakati mwingine tusitangaze hadharani tuwaite kwanza wahusika na wakemewe kwa ukali. Chama cha mapinduzi kina hashima kubwa sana kwa wananchi, tuonyane kwanza kabla ya kupeleka kwa hadhara . Asante

    • @rahabnkya8276
      @rahabnkya8276 18 дней назад

      Kutukana kutukanwa ni mbayaaa kabisa, maneno maneno na matusi ni kero kabisa hata kubeza.

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 17 дней назад +1

    Uko vizur

  • @NaomiSabuni
    @NaomiSabuni 12 дней назад

    Ubarikiwe kwenye majibu yako

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu1895 18 дней назад +1

    Inshu ni pale aliposema atawataja je3!🤗

  • @ezekiamgwasi7822
    @ezekiamgwasi7822 18 дней назад +3

    Makonda anatakiwa kutafakari sana kuhusu kauri zake majukwaani maana kauri zake nyingi yanaleta taharuki

    • @gaspercharles2244
      @gaspercharles2244 14 дней назад

      Taharuki kivipi kwani mtu wa kawaida hawezi kusema ? Au ni kwakuwa ni makonda? Kuongea mambo mengi mazuri Hilo ndio mmelichukua? Hebu tafakari

  • @adambairu8362
    @adambairu8362 13 дней назад

    Si ni kweli,Rais ametukanwa? Aitwe kufanya Nini.

  • @user-su6xu7ks7m
    @user-su6xu7ks7m 14 дней назад

    Freedom of expression is constitutional issue.

  • @FransiscaThomas-zs4nn
    @FransiscaThomas-zs4nn 8 дней назад

    Dah! Ni hatari

  • @user-zo8ep4rz3l
    @user-zo8ep4rz3l 16 дней назад

    Ndugu usiongee saikolojia. Unajua maneno madogo madogo Katina siasa yasio kuwa na tija hayana maana. Hapa tulitegemea utatuambia impact ya maneno ya Makonda. Yawezekana ikawa fitina au sifa. Utaratibu
    Nimuhimu sana.

  • @VictorZimba-kg3xr
    @VictorZimba-kg3xr 13 дней назад

    Inamaana makonda ni mmbea
    Je rais kutukanwa unaona sawa

  • @IddyMustapha-tj4du
    @IddyMustapha-tj4du 18 дней назад

    Oyaa sintaslaus jamaa ni noma zaid ya nomaa sanaa kabalans kinomanomaa

  • @alexissaya9385
    @alexissaya9385 13 дней назад

    Muiteni TID kuna kunguru huku anajipitisha kwenye interview

  • @janeyjohnson9274
    @janeyjohnson9274 18 дней назад +3

    Nchi ya tanzania ni ya ajabu sana unatammka maneno makali yanayomuhusu raisi juu ya watu wanaomtukana raisi eti mawaziri du ni hatari sana kwa raisi,na kwa nn makonda anakuwa mropikaji

    • @edwardmizambwa237
      @edwardmizambwa237 18 дней назад

      Watanzania tuko sawa kabisa. Cha ajabu ni nini? Na vikatuni ambavyo viongozi wenu wanachorwa! Sio matusi.

    • @hisanieljosephmasaki8040
      @hisanieljosephmasaki8040 17 дней назад

      @@edwardmizambwa237 msikilize Mzee Miraji ukiwa kiongozi unaongoza watu wa tabia maono desturi na mitazamo tofauti kazi ya kiongozi ni kusimamia haki ustawi na dhamira yako Mzee Miraji ametoa mfano wa Trump anavyochorwa na hashtuki hivyo hakuna tofauti kwa viongozi wengine hata manabii na mitume walitukanwa walidhihakiwa lakini walisimama na wajibu wao na heshima yao haikuvurugwa na watukanaji bali walijiongezea heshima kwa hayo hayo matukano mpaka leo tunawaenzi

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 15 дней назад

      Na bado watatukanwa labda watutendee haki wananchi kwani viongozi ni miingu watu?

  • @westonmbeyela9811
    @westonmbeyela9811 12 дней назад

    nionavyo mimi hakuwa sawa kutumia mkutano ule kuyasema hayo wakati kuna vikap vya viongozi selikani na hata chama chake

  • @user-wg6px3nv1u
    @user-wg6px3nv1u 10 дней назад

    Makonda akamatwe na ahojiwe kisha awataje wanao mtukana mama yetu
    Lkn makonda ni mhalifu tangu enzi za magufuli kama aliongoza kikosi cha kuteka redio hapo anazungumza maneno ya kumpreshalaizi Rais

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 17 дней назад

    Makonda yuko sawa kabisa,

  • @JOHNKKULULINDA-pc6gy
    @JOHNKKULULINDA-pc6gy 13 дней назад

    HUONI SABABU. SAWA, KWA MBYONGE HAPO SAWA.

  • @JlmwinukaOnlineTv
    @JlmwinukaOnlineTv 14 дней назад +1

    Akili ni asali,

  • @user-wg6px3nv1u
    @user-wg6px3nv1u 10 дней назад

    .makonda ni mropo 21:08 kaji tu

  • @talents7934
    @talents7934 18 дней назад +1

    Mzee wangu ukisema unasikitika kwa maneno machache aliyosema makonda kuhusu mawaziri kumtusi Rais kuwa eti unasikitika hapo nakupinga, Kwa sababu maendeleo yanaletwa na mfumo na pia umaskini unaletwa na mfumo sasa mambo meeengii aliyoongea makonda yalilikuwa yanahusu maendeleo hatukatai ila ikaja hoja ya kwamba wale anaowaamini hawamuanini je vipi maendeleo yatapatikana wakati mfumo hausomani?? Kwa hiyo rais akimuagiza Waziri kufanya kazi ya kimaendeleo vipi atawajibika wakati tayari kashamdharau rais?? Kwa hiyo hapo ndipo watu walipo hamaki maana waliona hakuna ukweli kuhusu maendeleo wanayoambiwa maana mfumo hausomani mzee wanguuu, kwa hiyo umesema vizuri ila umekwamaa

  • @Hamadkhamis-nz2kg
    @Hamadkhamis-nz2kg 15 дней назад

    Makonda ajipendekeza

  • @HashimYahya-ic2wn
    @HashimYahya-ic2wn 12 дней назад

    Wanaomtukana rais wapo makonda anawajua

  • @goodramamwanyombo6756
    @goodramamwanyombo6756 18 дней назад +3

    mchambuzi uko vizuri !

  • @JOHNKKULULINDA-pc6gy
    @JOHNKKULULINDA-pc6gy 13 дней назад

    UNAMOSEA, YEYE ALIWAONYA, NA KUWASHAURI WAACHE. SI KUWA ANATAARIFU, ILA ANAJUA WENGI WANAJUA.

  • @borahlemmy5465
    @borahlemmy5465 13 дней назад

    Kweli sisi bado wachanga kwenye siasa hakuna baya alilosema makonda

  • @SimonBaraka-yv2cx
    @SimonBaraka-yv2cx 18 дней назад +1

    Mwana Fa na Kikwete wanatumia Mange Kimambi ⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️

  • @user-qk9iz5lt8q
    @user-qk9iz5lt8q 16 дней назад

    MAKONDA AMETOA ILI WATU WAACHE MARA MOJA AKIWEKA LAZIMA AU USHAHIDI BAS KUNA SABABU YA KUVUNJA BALAZA LA MAWAZIRI

  • @LeilaHamisi-pq6ri
    @LeilaHamisi-pq6ri 12 дней назад

    uko sawa babs.

  • @peternyambui7492
    @peternyambui7492 18 дней назад

  • @patriciamuganda4498
    @patriciamuganda4498 18 дней назад +1

    Kwani wangapi wanatukanwa kila mara na kudhalilshwa na hamjengi hoja

  • @EnockKanduli-cv8yr
    @EnockKanduli-cv8yr 18 дней назад +1

    Makonda mbona hakutaja matusi mwenyewe?

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 17 дней назад

    💖🙏🏽

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 18 дней назад

    Mimi nashangaa waandixhi wa Habari na viongozi pia yani makonda akihutubia mazuri na kukemea mbaya tayari mnanukuu maneno mengi lkn yale mazuri mnaweka pembeni. Jamani watu, mnachuki na makonda hadi watoa Habari wamekuwa wambeya kwa kiwango cha lami. Jamani muwe mnakumbuka. Na mema anayofanya. Mara loooh kawalipa waandixhi wa Habari Arusha na kukodi magari mengi iliakapokelewe puuuh.! Rais Samia endelea kumuamini Mh Makonda ni kijana mchapa kazi maili

  • @allymohamed2724
    @allymohamed2724 16 дней назад

    MAMA MWENYEWE ALSHAAMBIWA ADUI NI SHATI LA KIJANI, KWA MAKONDA YAKE NI YA WOTE NI MARUDIO TU KWA WENYE CHUKI DHIDI YA RAIS NA MAMA WA TAIFA LETU HURU.
    MAMA CHAPA KAZI WENYE WIVU WAJINYONGE

  • @martinmkoma-zl1iv
    @martinmkoma-zl1iv 18 дней назад +3

    Mzee anaakili sanaa

  • @jacksonkabaata6011
    @jacksonkabaata6011 17 дней назад +1

    Mzee Said Miraji akili kubwa,,,, mtangazaji kazi nzur sana ni interview ya maana sana! Respect global tv👍🏽

  • @JumanneMagafu
    @JumanneMagafu 16 дней назад

    😂❤😂 Thanks for

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 16 дней назад

    Hata ikiwa ukweli kuna namna wakuufikisha huo ukweli niukweli lakini kunanamna wakuufikisha huo ukweli

  • @MohammedMohammed-jo4uj
    @MohammedMohammed-jo4uj 18 дней назад +1

    Unauliza kutukana ni nini?

  • @nunumrisho6548
    @nunumrisho6548 18 дней назад

    Makonda sibalisema hakuna cha polish wala jeshi lenyevuwezonwa kumpa u 20:24 linzi .

  • @user-pl8qx6xx1y
    @user-pl8qx6xx1y 18 дней назад

    Mjomba njoo Zanzibar huku kutusaidia kutafuta ukombozi wa kuitatua Zanzibar katika mamlaka yake mamlaka kamili

  • @user-do5by8jl6g
    @user-do5by8jl6g 18 дней назад

    Hivi ccm ina wenyewe ni kina makonda au ccm mantis aibu mlipofikia

  • @user-su6xu7ks7m
    @user-su6xu7ks7m 14 дней назад

    HUYU UNAFANYA UCHAWA.HAYO NI MAMBO YA KUJIPENDEKEZA NI DHARAU.

  • @patriciamuganda4498
    @patriciamuganda4498 18 дней назад +1

    Inasikitisha sana badala ya kujadili ripoti ya CAG, maisha magumu wanayokabiliana nayo Watanzania, mnajadili mitandao? Mbona Kuna watu wengi wametukanwa na kudhalilisha na hamuwahi kusema chichote. Kwani binadamu wote ni sawa. Kwa nini mnajikita kwenye issue ya mtu Mmoja alietukanwa? Ndio, Watanzania wengi hawajishughulishi na issue za muhimi wamejikita kwenye umbra tu. Mbona Marais wengi duniani Huwa wanakadhifiwa, lakini hawa loose focus ya kazi zao. Komaeni kisiasa. Chapeni kazi acheni kupoteza muda kwenye mambo ambayo hayana tija.

    • @hamisijuma8124
      @hamisijuma8124 18 дней назад

      Wachauongo nenda Kenya uone maisha magumu piga kazi

  • @brazilsanga7978
    @brazilsanga7978 16 дней назад

    Tukiwa na wazee kama Hawa siasa zetu kitabadilika sana pia kufikiri chanya muda wote kutaongezeka, uchawa na umbea ndio unaotusumbua makonda piga kazi kama hawakutaki watafute sehemu nyingine ya kuishi

  • @eliapendakileo5151
    @eliapendakileo5151 18 дней назад

    Hapana tusichukulie vitu poa makonda amekosea na Kama siasa zetu zingekua salama na safi Baraza la mawaziri lingemchukulia hatua za kisheria na angewataja hawo mawaziri na kungefanyika uchunguzi na watanzania tungejua nini tunafanyiwa na hii serikali kwa sababu Kama Kuna kutokulewana Kati ya raisi na baadhi ya mawaziri watakaoumia ni wananchi. Makonda Kuna namna anaivuga nchi. Ahojiwe tuache kulitania taifa

  • @kingngojea
    @kingngojea 14 дней назад

    Said milaj mtu mwenye akili sana

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 18 дней назад

    Hayati Magufuli alitukanwa sana.. Nape na genge lake walimutukana na kumuita Hayati Magufuli majina mbali ndani ya kumusaliti. Ndani ya chama chake walikaa kimya. Na wote waliło kuwa Wakimutetea tea kwa sasa haijulikani wako wapi. Mitandao yawo yote imefungwa. Kwa Sasa ni wale wale Waliiokuwa Wakimutusi Hayati Magufuli wanaendelea kumutusi Rais Samia.

  • @user-mb2ob6kg8z
    @user-mb2ob6kg8z 16 дней назад

    Hiiyo ni sasa karibu killa nchi ni hivyotu rais kusemwa

  • @ntangiregemfuruki5478
    @ntangiregemfuruki5478 16 дней назад

    Yaani mzee mh mchambuzi unamajo unmasking unajuwa kuchambuwa uko sawa.babisa..yoote nisa.ila makonda apunguze kusema passport kuwa pahala husika.tunampenda makonda kidomo wazi.ila avenge tu.hatuwa zifate

  • @christianmwabukusi8132
    @christianmwabukusi8132 18 дней назад

    Mara zote habari ni pale unaposikia 'Mtu kauma Mbwa' wala sio 'Mbwa kauma Mtu'

  • @PhilipoMwita-ge2oj
    @PhilipoMwita-ge2oj 18 дней назад

    Kwanza kama ni rais nanai alimchagua sisi rais alishafariki tunasubiri 2025

  • @thomasmallya670
    @thomasmallya670 18 дней назад

    Tuwe wakweli tu. Makonda katumbua jipu. Alichofanya Makonda ni sahihi kabisa. Alilosema ni kweli, na sidhani kuna mtu mwingine mwenye ujasiri wa kuyasema. Angesema aviambie vyombo vya ulinzi na usalama, inawezekana wahusika wasingejua kinachoendelea. Lakini kwa kusema hadharani, wahusika wamejua kwamba wanafahamika na mbinu zao siyo siri tena. Tunajua kuna watu hawakupenda mama awe rais kwa sababu ya dini au kwa kufikiri ni kiongozi dhaifu. Lakini utendaji wake umewaacha watu mdomo wazi. Wanaompinga Makonda kwa alichokifanya, sitashangaa nikasikia ni kati ya wale wanaosemwa.

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 18 дней назад +1

    Kusema fulani, ni mbaguzi. (awe awae). sio matusi.

  • @user-mb2ob6kg8z
    @user-mb2ob6kg8z 16 дней назад

    Kwanza mtu huwezi kumridhisha binadamu hata umpe nini kuna wengine hawabebeki kwaivyo tenda mema uondoke kunawatakao ridhika wengine hawaishi minongono ndio ninadam tulivyo

  • @novatidamian7236
    @novatidamian7236 18 дней назад

    Nsnyie!!!!! Anzeni tuu hata sisi tutawashabikia. Kuba msemo usemao kuwa " ukiona mwenzio ana nyilewa nywele na wewe tia maji" siasa niseme kama mnayaanza haya basi lenu laja. Lazima kitawashwa tuuuu!!!;

  • @user-ep7uz3tk3f
    @user-ep7uz3tk3f 17 дней назад

    Iko kichwa!!

  • @SongambeleSindagulu
    @SongambeleSindagulu 5 дней назад

    Hugo mchambuzi anakupozea muda

  • @christinainnocent3184
    @christinainnocent3184 18 дней назад

    Makonda angezingatia majukumu aliyokabidhiwa kutuumikia nchi . Haya mengine hayamuhusu na sio kazi yake na sio ustaarabu

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 18 дней назад

    Mchambuzi hata ww una uwezo mdogo wa kufikiri.Hapo hoja sio maendeleo,maendeleo kila siku viongozi wetu wanayaongelea.kuhusu sijui utalii ,barabara ni vitu vinavyoongelewa kila siku na hawa viongozi wetu.Hoja ni kauli ya makonda kwa mawaziri wanaomtukana Rais.Kwanza kauli yako ya kwamba watanzania wamezoea umbeya sio ya kiuchambuzi ,watanzania wametaharuki sana kusikia kutoka kwa makonda kuwa rais wao anatukanwa na mawaziri.Watanzania ni lazima wataharuki kwa kauli ya Makonda.unaposema heti watanzania wamezoea umbea sio sawa na unatukosea sana watanzania sisi.

  • @user-id8db5fz7i
    @user-id8db5fz7i 18 дней назад

    Msekwa ni katiba? Hata akisema linakuwa sheria

  • @hamiduchingi2672
    @hamiduchingi2672 18 дней назад

    Tatizo watanzania niwaimba taarabu kuliko kujuwa maana wanaacha kuyasemea mazuli wao wanaendeleza mabaya ivi watanzania musiojitambua nilini mutabadilika kwanini bado amutoki kwenyezana zakijinga

  • @sosthenesjames7821
    @sosthenesjames7821 17 дней назад

    Ufinyu wa fikra nd unawasumbua watu, leo baadhi ya viongozi wanatumia maneno au neno ndo ambalo halina umhimu sana kisha nao wanatengeneza hotuba zao badala kuongea kuwa endapo wakiwa watawala wa eneo fulani ni kipi watakifanya ili kualete ufanisi wananchi

  • @maxlattinokiki8105
    @maxlattinokiki8105 18 дней назад

    Kuhusu kutukana kwa Raisi ni suala binapsi! Kwaiyo sio sahihi wala wala sio tamaduni! Hata huko Marekani wanao haki yakushitaki yoyote yule anae ingilia uhuru wa mtu

    • @EnockKanduli-cv8yr
      @EnockKanduli-cv8yr 18 дней назад

      Kuna vyombo vya ulinzi na usalama. Angeshitakia huko.

  • @jacobmwankenja5466
    @jacobmwankenja5466 18 дней назад +1

    Kuwa mchambuzi wa siasa hakuondoi ukweli kwamba wewe bado ni binadamu, una mapungufu, kwamba Makonda alikuwa sahihi kuyasema yale mahali pale kama mkuu wa mkoa, vyombo vyote vya serikali havijaona ila Makonda tu. Chambua bila kuegemea mahusiano na mtu yeyote

  • @denismtenga4755
    @denismtenga4755 17 дней назад

    kumtusi Rais ni kutofanya kazi anazokuagiza ukiwa kama mtumishi wake ufati maagizo yake nayo nikumkosea

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 18 дней назад

    👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @nyotaramadhani66
    @nyotaramadhani66 18 дней назад

    Semeni uwazi katukaywa nini?ahogi au?

  • @yugemasanza1008
    @yugemasanza1008 18 дней назад

    Mwandishi mbona unalazimisha?

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 17 дней назад

    Makonda ana mtukana samia?

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 18 дней назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kiufupi Serekali ikimchujulia Mange sheri or kujaribu kumzipiti ni nidhamu ya UWOGA

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v 18 дней назад

    Mchambuzi anachojibu si anachoulizwa, mwandishi hapo huwezi kupata unachouliza(beating around the bush).

  • @mohamoudhussein4570
    @mohamoudhussein4570 18 дней назад

    Watu waongelee maendeleo gani? Wacha tu wajadili upande wanaotaka

  • @RobertMachenga-tz3re
    @RobertMachenga-tz3re 17 дней назад

    Mazungumzo ya said Miraji na Dar 24. Ni kwamba yeye kweli Ni mchambuzi na anaweza kusaidia kupunguza jaziba za watu. Mimi binafsi namshangaa naibu karibu mkuu wa CCM Kinana kwamba anasema Makonda alikuwa anadhalilisha mawaziri je yeye aliposemak una mawaziri mzigo je amesahau? Kwamba Kuna mawaziri waliondolewa. Kwa Nini anamkosoa Sana Makonda? Sasa Makala naye ameleta Mambo ya ajabu sana . Kwamba anasema anasikiliza kero za wananchi kwa kupanga foleni kitu ambacho kina karibisha rushwa kubwa Sana kwani Makonda aliweza Sana kuzuia watu wa ovyo Sana lakini Mimi naona Makonda apunguze Sana Mambo ya kuongelea Mambo ya kupata chochote.

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 18 дней назад

    Hata kama hafai apewe tu kwa vile ni utamaduni wao? Nonsense