KARIBU MWANZA: Jionee kisiwa kiitwacho "SAA NANE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии • 58

  • @pilimtandika9390
    @pilimtandika9390 7 лет назад +4

    hongera sana Millard kwa kazi nzuri

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 6 лет назад +1

    Miaka miiingii sijafika huko nimekumbuka utoto wangu..lkn siku zile kulikua n wanyama wengi kiboko/ twiga/ Tembo(ndovu) simba..hata kwenye uwanja wa saba saba kulikuwepo banda la simba..mungu ibariki Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @muhammadaljabery4530
    @muhammadaljabery4530 4 года назад

    A mwenzangu Mimi nina ishi Karibu na saa nane nimesha enda sana

  • @lukachove3793
    @lukachove3793 7 лет назад +2

    Nimeipenda hii hakika Tanzania imebarikiwa

  • @geofleyshiuga2487
    @geofleyshiuga2487 6 лет назад +1

    Mhuuu @Millard ni kiboko big up

  • @violetkirita6089
    @violetkirita6089 7 лет назад +1

    Kazi Nzuri Millard 👏🏽👏🏽👏🏽

  • @basicbongo9322
    @basicbongo9322 7 лет назад +10

    huyo jamaa yuko deep sana kwenye utaliii.. yuko njema sana inaonekana ni Msukuma huyo jamaaa.

    • @hamidmakamejuma3518
      @hamidmakamejuma3518 7 лет назад +1

      jamaa yupo vizuri na kazi yake

    • @makiniswingadventures3517
      @makiniswingadventures3517 7 лет назад +1

      karibu kaka 0756389949

    • @makiniswingadventures3517
      @makiniswingadventures3517 7 лет назад

      karibu kaka 0756389949

    • @sirialemmy37
      @sirialemmy37 7 лет назад

      MAMBO TV
      You have to appreciate the knowledge of others. Hajakariri ila anayo uelewa dhabiti Kwa Kazi yake, habahatishi. Ni furaha kwetu kama nchi na pia ni mkarimu sana on my view!
      Good job Millard & good job the hoster on the island

    • @makiniswingadventures3517
      @makiniswingadventures3517 7 лет назад

      Asante sana kwa maoni yako Siria Lemmy,karibu sana 0756389949

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 5 месяцев назад

    Jaman ndomarayakwanza kukisikia nipo mwanza nimekulia mwanza

  • @makiniswingadventures3517
    @makiniswingadventures3517 7 лет назад +1

    kazi nzuri kaka Millard

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 5 месяцев назад

    Ndomna hawana ayo wakitoa taarifa au matukitukio yoyote watu tunaamini kuliko ledio zote

  • @p.kasongot979
    @p.kasongot979 7 лет назад

    Ivi millard waja kunihowa lini haaa 😍😘😂

  • @modestmassawe_tangatz
    @modestmassawe_tangatz 6 лет назад +2

    Ase ukisikia millard is the best ni vitu ka iz tunapewa. Lait media zingine wangekua wabunifu ka ivi tungeiona nchi yetu sehem nyingine sio kiutalii tu kwenye nyanja zoote za kijamiii. Millard big u kaka utanijuza we ni kabila gan nikaowe huko mnaakili sana ninyi watu

    • @jacksonmathayo6510
      @jacksonmathayo6510 5 лет назад

      Mnyiramba wa singida

    • @RonnieBertin
      @RonnieBertin 26 дней назад

      Ni kweli bro. Millard baba la media media zingine ni upuuzi upumbavu tu kila kukicha wanapost Wana upload upumbavu wa mwijaku namchukia sana

  • @jerrykasekasebula5107
    @jerrykasekasebula5107 7 лет назад +2

    Huyu mselaa yuko deep saaana

  • @user-elektra
    @user-elektra 3 года назад

    Hiyo historia ya huyo mzee ya uongo saa nane ni babu yetu wafatilie vizuri

  • @zainabuyasin8189
    @zainabuyasin8189 6 лет назад

    kisiwa mwake jmn sijui nami nitafika lini ninavyoogopa maji.jmn nomaa

  • @Nyaso5417
    @Nyaso5417 6 лет назад +1

    So beautifully jamani lol!

  • @inclyrics4384
    @inclyrics4384 7 лет назад

    safi sana Millard nmependa the way umekeep humble

  • @tkvlogs3969
    @tkvlogs3969 7 лет назад +1

    Beautiful

  • @perepetuamhagama238
    @perepetuamhagama238 6 лет назад

    Kazi nzuri

  • @omaniph9313
    @omaniph9313 4 года назад

    Very nice place

  • @willembanila4455
    @willembanila4455 7 лет назад

    kazi nzuli miladi

  • @adamsphonestz
    @adamsphonestz 7 лет назад

    I was there back to the days

  • @morisbarakah5292
    @morisbarakah5292 7 лет назад

    good job

  • @dominickshoo9214
    @dominickshoo9214 7 лет назад +1

    Big Up Chalii ya R-Chuga

  • @hasanially9384
    @hasanially9384 2 года назад

    Muonggeze wanyama

  • @abbasmwacheeabbasmwachee5533
    @abbasmwacheeabbasmwachee5533 7 лет назад

    Kisiwa kizuri sana Mashallah

  • @emilyvngoma4911
    @emilyvngoma4911 7 лет назад

    Napaona home Butimba paleeeee!

  • @odasmasimango362
    @odasmasimango362 7 лет назад

    bro hiyokofia inakutoa kinoma noma

  • @dr_toyota.3371
    @dr_toyota.3371 6 лет назад

    yup , nko MZA but cjawah fka broo, I wish ntapachek

  • @simonmajigop5890
    @simonmajigop5890 7 лет назад

    big up dogo

  • @thompsonjohn9988
    @thompsonjohn9988 6 лет назад

    yah soon Tsh 8800/ from trhe 26-28oct 2018

  • @rehemafungo5042
    @rehemafungo5042 2 года назад

    Je?sokwe hayapo?

  • @gemkachar
    @gemkachar 7 лет назад +1

    safi sana mahali pa kurelax. Internet connection na huduma za umeme zikoje huko kisiwani ? Vyakula aina gani vinauzwa ? Mko na website au FB page ? Wasafiri kutoka nchi za jirani wanalipishwa hela ngapi kuingia na accomodation ?

  • @kushahalabani7069
    @kushahalabani7069 6 лет назад

    Milladi ayo inaonakana wewe nimusukuma maana mwanza unatangaza sana

  • @Benzo_Mkemia
    @Benzo_Mkemia 7 лет назад +1

    nmependa xna maelezo yako kaka ayoub, i hav to com there, coz napaskiaga

  • @manjimufungo9658
    @manjimufungo9658 7 лет назад

    oy millard usisahau sangara mzee

  • @sabrinaali8810
    @sabrinaali8810 7 лет назад +2

    Mic San home kwetu

  • @amoscharz5606
    @amoscharz5606 7 лет назад

    Ni shilling ngapi kutalii Hapo?

  • @jovinajovin4637
    @jovinajovin4637 6 лет назад

    Eti pimbi😂😂😂😂😂😂

  • @makiniswingadventures3517
    @makiniswingadventures3517 7 лет назад +2

    kazi nzuri kaka Millard

  • @jac9495
    @jac9495 7 лет назад

    Beautiful

  • @makiniswingadventures3517
    @makiniswingadventures3517 7 лет назад +5

    kazi nzuri kaka Millard