KARIBU MWANZA: Jionee kisiwa kiitwacho "SAA NANE"
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Wakati tukiisubiria FIESTA 2017 Mwanza September 23, Sept 19, 2017 Reporter wako wa nguvu Millard Ayo alitembelea moja ya visiwa vinavyopatikana Mwanza Tanzania, kinaitwa SAA NANE ambacho pia ni Mbuga ya Wanyama.
Nimeipenda hii hakika Tanzania imebarikiwa
Jaman ndomarayakwanza kukisikia nipo mwanza nimekulia mwanza
Kazi Nzuri Millard 👏🏽👏🏽👏🏽
Ndomna hawana ayo wakitoa taarifa au matukitukio yoyote watu tunaamini kuliko ledio zote
kazi nzuli miladi
Hiyo historia ya huyo mzee ya uongo saa nane ni babu yetu wafatilie vizuri
Kazi nzuri
safi sana Millard nmependa the way umekeep humble
Beautiful
Very nice place
Eti pimbi😂😂😂😂😂😂
Jovina Jovin 😂😂
Miaka miiingii sijafika huko nimekumbuka utoto wangu..lkn siku zile kulikua n wanyama wengi kiboko/ twiga/ Tembo(ndovu) simba..hata kwenye uwanja wa saba saba kulikuwepo banda la simba..mungu ibariki Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ase ukisikia millard is the best ni vitu ka iz tunapewa. Lait media zingine wangekua wabunifu ka ivi tungeiona nchi yetu sehem nyingine sio kiutalii tu kwenye nyanja zoote za kijamiii. Millard big u kaka utanijuza we ni kabila gan nikaowe huko mnaakili sana ninyi watu
Mnyiramba wa singida
huyo jamaa yuko deep sana kwenye utaliii.. yuko njema sana inaonekana ni Msukuma huyo jamaaa.
jamaa yupo vizuri na kazi yake
karibu kaka 0756389949
karibu kaka 0756389949
MAMBO TV
You have to appreciate the knowledge of others. Hajakariri ila anayo uelewa dhabiti Kwa Kazi yake, habahatishi. Ni furaha kwetu kama nchi na pia ni mkarimu sana on my view!
Good job Millard & good job the hoster on the island
Asante sana kwa maoni yako Siria Lemmy,karibu sana 0756389949
safi sana mahali pa kurelax. Internet connection na huduma za umeme zikoje huko kisiwani ? Vyakula aina gani vinauzwa ? Mko na website au FB page ? Wasafiri kutoka nchi za jirani wanalipishwa hela ngapi kuingia na accomodation ?
gemkachar nitafute kwa +255756389949 nitakupa maelezo yote.Karibu
kazi nzuri kaka Millard
Muonggeze wanyama
hongera sana Millard kwa kazi nzuri
Huyu mselaa yuko deep saaana
Je?sokwe hayapo?
So beautifully jamani lol!
Mhuuu @Millard ni kiboko big up
kazi nzuri kaka Millard
A mwenzangu Mimi nina ishi Karibu na saa nane nimesha enda sana
nmependa xna maelezo yako kaka ayoub, i hav to com there, coz napaskiaga
Emmah Abelly karibu sana 0756389949
kisiwa mwake jmn sijui nami nitafika lini ninavyoogopa maji.jmn nomaa
Big Up Chalii ya R-Chuga
kazi nzuri kaka Millard
Ivi millard waja kunihowa lini haaa 😍😘😂
yup , nko MZA but cjawah fka broo, I wish ntapachek
bro hiyokofia inakutoa kinoma noma
yah soon Tsh 8800/ from trhe 26-28oct 2018
oy millard usisahau sangara mzee
Ni shilling ngapi kutalii Hapo?
Napaona home Butimba paleeeee!
Kisiwa kizuri sana Mashallah
Mic San home kwetu
sabrina ali mwagarukaaa
Ommary Mzee wamisha molha?
@@sabrinaali8810 mama angu nakupenda mno ulimhola mayu wane napenda home mwanza
@@ommarymzee1161 lete ng'ombe nikupe dada angu
Milladi ayo inaonakana wewe nimusukuma maana mwanza unatangaza sana
Kushaha Labani Acha jealous utakufa mapema
I was there back to the days
big up dogo
good job
Beautiful
tk vlogs ok