Miaka miiingii sijafika huko nimekumbuka utoto wangu..lkn siku zile kulikua n wanyama wengi kiboko/ twiga/ Tembo(ndovu) simba..hata kwenye uwanja wa saba saba kulikuwepo banda la simba..mungu ibariki Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿
MAMBO TV You have to appreciate the knowledge of others. Hajakariri ila anayo uelewa dhabiti Kwa Kazi yake, habahatishi. Ni furaha kwetu kama nchi na pia ni mkarimu sana on my view! Good job Millard & good job the hoster on the island
Ase ukisikia millard is the best ni vitu ka iz tunapewa. Lait media zingine wangekua wabunifu ka ivi tungeiona nchi yetu sehem nyingine sio kiutalii tu kwenye nyanja zoote za kijamiii. Millard big u kaka utanijuza we ni kabila gan nikaowe huko mnaakili sana ninyi watu
safi sana mahali pa kurelax. Internet connection na huduma za umeme zikoje huko kisiwani ? Vyakula aina gani vinauzwa ? Mko na website au FB page ? Wasafiri kutoka nchi za jirani wanalipishwa hela ngapi kuingia na accomodation ?
hongera sana Millard kwa kazi nzuri
Miaka miiingii sijafika huko nimekumbuka utoto wangu..lkn siku zile kulikua n wanyama wengi kiboko/ twiga/ Tembo(ndovu) simba..hata kwenye uwanja wa saba saba kulikuwepo banda la simba..mungu ibariki Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿
A mwenzangu Mimi nina ishi Karibu na saa nane nimesha enda sana
Nimeipenda hii hakika Tanzania imebarikiwa
Mhuuu @Millard ni kiboko big up
Kazi Nzuri Millard 👏🏽👏🏽👏🏽
huyo jamaa yuko deep sana kwenye utaliii.. yuko njema sana inaonekana ni Msukuma huyo jamaaa.
jamaa yupo vizuri na kazi yake
karibu kaka 0756389949
karibu kaka 0756389949
MAMBO TV
You have to appreciate the knowledge of others. Hajakariri ila anayo uelewa dhabiti Kwa Kazi yake, habahatishi. Ni furaha kwetu kama nchi na pia ni mkarimu sana on my view!
Good job Millard & good job the hoster on the island
Asante sana kwa maoni yako Siria Lemmy,karibu sana 0756389949
Jaman ndomarayakwanza kukisikia nipo mwanza nimekulia mwanza
kazi nzuri kaka Millard
Ndomna hawana ayo wakitoa taarifa au matukitukio yoyote watu tunaamini kuliko ledio zote
Ivi millard waja kunihowa lini haaa 😍😘😂
Ase ukisikia millard is the best ni vitu ka iz tunapewa. Lait media zingine wangekua wabunifu ka ivi tungeiona nchi yetu sehem nyingine sio kiutalii tu kwenye nyanja zoote za kijamiii. Millard big u kaka utanijuza we ni kabila gan nikaowe huko mnaakili sana ninyi watu
Mnyiramba wa singida
Ni kweli bro. Millard baba la media media zingine ni upuuzi upumbavu tu kila kukicha wanapost Wana upload upumbavu wa mwijaku namchukia sana
Huyu mselaa yuko deep saaana
Hiyo historia ya huyo mzee ya uongo saa nane ni babu yetu wafatilie vizuri
kisiwa mwake jmn sijui nami nitafika lini ninavyoogopa maji.jmn nomaa
So beautifully jamani lol!
safi sana Millard nmependa the way umekeep humble
Beautiful
tk vlogs ok
Kazi nzuri
Very nice place
kazi nzuli miladi
I was there back to the days
good job
Big Up Chalii ya R-Chuga
Muonggeze wanyama
Kisiwa kizuri sana Mashallah
Napaona home Butimba paleeeee!
bro hiyokofia inakutoa kinoma noma
yup , nko MZA but cjawah fka broo, I wish ntapachek
big up dogo
yah soon Tsh 8800/ from trhe 26-28oct 2018
Je?sokwe hayapo?
safi sana mahali pa kurelax. Internet connection na huduma za umeme zikoje huko kisiwani ? Vyakula aina gani vinauzwa ? Mko na website au FB page ? Wasafiri kutoka nchi za jirani wanalipishwa hela ngapi kuingia na accomodation ?
gemkachar nitafute kwa +255756389949 nitakupa maelezo yote.Karibu
Milladi ayo inaonakana wewe nimusukuma maana mwanza unatangaza sana
Kushaha Labani Acha jealous utakufa mapema
nmependa xna maelezo yako kaka ayoub, i hav to com there, coz napaskiaga
Emmah Abelly karibu sana 0756389949
oy millard usisahau sangara mzee
Mic San home kwetu
sabrina ali mwagarukaaa
Ommary Mzee wamisha molha?
@@sabrinaali8810 mama angu nakupenda mno ulimhola mayu wane napenda home mwanza
@@ommarymzee1161 lete ng'ombe nikupe dada angu
Ni shilling ngapi kutalii Hapo?
Eti pimbi😂😂😂😂😂😂
Jovina Jovin 😂😂
kazi nzuri kaka Millard
Beautiful
kazi nzuri kaka Millard