MAAJABU YA SOKO KUBWA ZAIDI AFRIKA MASHARIKI, WAFANYA BIASHARA WAKUBALI, HAYA NI MAPINDUZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025

Комментарии • 46

  • @ELIMBOTOREUBEN-sv5qm
    @ELIMBOTOREUBEN-sv5qm 5 дней назад +11

    mungu ibariki Tanzania

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 4 дня назад

      🫡🫡🫡🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 2 дня назад

      ​@@JurbegTanzania 🇹🇿 ♥️ ❤️ 💖 😍 ✨️ 🇹🇿

  • @FatumaMwage
    @FatumaMwage 5 дней назад +6

    mungu ajalie kila mtu apate biyashara njema

  • @Anti-socialSocialClub
    @Anti-socialSocialClub 2 дня назад +1

    Kariakoo itapata shida sana !
    Mda mrefu nasema wamiliki wa majengo Kariakoo wanahitaji kuungana na kuboresha eneo la kariakoo...now its too late.

    • @Salumchiwili2023
      @Salumchiwili2023 День назад

      Shida gani mkuu

    • @Anti-socialSocialClub
      @Anti-socialSocialClub 23 часа назад

      @Salumchiwili2023 wafanya biashara na wateja wengi watahamia soko jipya ....Kariakoo kuna vurugu mno, kuingia na gari inahitaji subira na nguvu za ziada parking inachukua nusu saa

    • @Salumchiwili2023
      @Salumchiwili2023 21 час назад

      @ wateja wa kariakoo watakuepo na ubungo watakuepo pia tunahitaji soko lingine la kisasa na kubwa zaidi

    • @Anti-socialSocialClub
      @Anti-socialSocialClub 20 часов назад

      @@Salumchiwili2023 hapo tunakubaliana. Wateja wa Kariakoo hawatapotea wote , it would be very weird if that happened.
      Lakini watapungua , unless you believe the be market will create a completely new set of customers.
      Wateja wengine wa kariakoo wataenda kupaonja soko jipya na wataenjoy AC na parking ya urahisi. Kama mzigo wa soko mpya uko na bei na ubora nzuri ....watahama kariakoo. Wengine wataendelea Kariakoo.
      Ishu inakuja ule kupungua wateja na wafanyabiashara , itashusha bei za maduka Kariakoo sana... that's what I meant.

    • @Anti-socialSocialClub
      @Anti-socialSocialClub 18 часов назад

      @Salumchiwili2023 hapo tunakubaliana. Bado kutakuwa na wateja kkoo. Wangepotea wote it would be very weird.
      Lakini , unless you believe this new market will come with a completely new set of customers , wateja na wafanyabiashara wengine watatoka kkoo, wataenda ubungo. Watakutana na parking zinazoeleweka na AC...wengi hawatarudi kkoo.
      Na hapo bei za maduka kkoo zitashuka sana... that's what I meant.

  • @EGM-TZ
    @EGM-TZ 5 дней назад

    From #EconomicallyGrowthMusicians Congratulations Guys tutakuja imarisheni ubunifu na usalama zaidi🎉 Enjoy Muziki Mzuri kutoka EGM

  • @bijou5038
    @bijou5038 5 дней назад +3

    Ila mufanye wutafite juu ya bida zinazotoka chine kuwa ziko safe kwa binadamu sababu chine hijali afia yamu Africa wanajali pesa

    • @barrynzeyimana6270
      @barrynzeyimana6270 4 дня назад

      Tengeneza vya kwako NDO utajua utajua ubora wake. Biashara ni akili. Mwenye akili kutangaza NDO Mwenye kujua namna ya kukuzuga kua vya kwake ni Bora kuriko vya mwingine.

  • @kilimanjarotv255
    @kilimanjarotv255 5 дней назад +5

    Soko zuri ila liliitaji kuwa ata gorofa 5 lipo chini sanaa halionekani next mkijenga dodoma au sehemu nyingine jalini urefu msipoteze arzi bure kwa faida ya miaka ijayo mji unakua au watafute jengo refu la pembeni kusapoti

    • @stellahlinusi8215
      @stellahlinusi8215 5 дней назад +2

      labda watariendereza kwa juu kwa badae kama majengo mengine wao wanajuwa kabla awaja Jenga warisha ritasimini ilo tuwape mda kila kitu kina enda taratibu

    • @EphrancinaBeyanga
      @EphrancinaBeyanga 5 дней назад +2

      Ulishawahi kuingia humo, au unaongea tu, in godown kama hujui

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 5 дней назад

      Kabisa ni fupi sana Mimi nakuunga mkono ​@@stellahlinusi8215

    • @fredyjunior6961
      @fredyjunior6961 3 дня назад +1

      Unadhami walodizaini hawa akili

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 3 дня назад +1

      Soko huwa halijengwi ghorofa ndio maana masoko yote yenye ghorofa yamefeli

  • @JosephLoy-k2g
    @JosephLoy-k2g 2 дня назад

    Wapi comment za kiambu

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 5 дней назад +2

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🏆

  • @lyarycharles1481
    @lyarycharles1481 5 дней назад +1

    Linafunguliwa liinii

  • @jeremiaaugustino7187
    @jeremiaaugustino7187 4 дня назад

    wazawa wawezeshwe sasa tujenge viwanda vyetu tusiishie kuwa SOKO kwa wachina tuuuuuuuuuuu

  • @deezobedience6920
    @deezobedience6920 5 дней назад +1

    R.I.P Kkoo 😂

  • @JosephChrisant
    @JosephChrisant 5 дней назад +1

    Hapa serikali ikipunguza kodi za uigizaji bidhaa kutoka nchi basi TRA itaweza kukusanya kiwango kikubwa cha kodi kuliko kupandisha kodi inayopelekea watu kwenda nchi jirani kununua bidhaa hizo na wakati baadhi ya hizo nchi zinatumia bandari zetu kuagiza bidhaa kutoka China kwenda nchini mwao.

    • @HajiMgwami
      @HajiMgwami 4 дня назад +1

      FROM WHAT I UNDERSTAND WACHINA WATALETA BIDHAA HAPO NA WATANZANIA WAACHA KWENDA KUFATA BIDHAA CHINA NA KUCHUKUA HAPO....

  • @Officialtbb_
    @Officialtbb_ 5 дней назад

    Msemaji mbona kapoa sana? Mh! Aya

  • @RichardMwaja
    @RichardMwaja 4 дня назад

    Km hy yanatakiw kuw matano hv ktk jiji km dsm n dom ht ma3 hv vyanzo vizr vy kodi lkn ajir n hudum bora kw wananchi.

  • @IsaacKalenge
    @IsaacKalenge 5 дней назад

    Mbona Dogo

  • @jeremiaaugustino7187
    @jeremiaaugustino7187 4 дня назад

    kwa hyo Manufacturer wa Tz hawaruhusiwi kuwa na huduma humo....naona mnataja tuu bidhaa toka CHINA

    • @Anti-socialSocialClub
      @Anti-socialSocialClub 2 дня назад

      Wamesema wanaweza kutuunganisha na suppliers kutoka china. Kama hutaki , sio shida njoo na suppliers wako mwenyewe

    • @jeremiaaugustino7187
      @jeremiaaugustino7187 День назад

      @Anti-socialSocialClub mtu kama wewe ndo upewe uongozi ni hasara kwa nchi....kumbuka hapo wanakuja watu Toka nchi nyingi za Africa why tusiuze na vya kwetu? Tumia akili kubwa utanielewa....mfano anakuja Mzambia akikuta bulb za Tz huoni ni soko zuri?

    • @Anti-socialSocialClub
      @Anti-socialSocialClub День назад

      @@jeremiaaugustino7187 so ww unahisi wasiruhusiwe kuuza vitu vya kutoka nje ? Waruhusiwe kuuza bidhaa za Tanzania tu ?

    • @jeremiaaugustino7187
      @jeremiaaugustino7187 21 час назад

      @Anti-socialSocialClub unabadirisha topic...soma vizuri nlichoandika

    • @Anti-socialSocialClub
      @Anti-socialSocialClub 21 час назад

      @jeremiaaugustino7187 naona ww ndo hujaelewa niliyoandika. Ngoja niandike "in layman terms".
      Wapangaji hapo wataruhusiwa kununua mzigo popote. Kama hio bulb inatengenezwa Tanzania, kwa ubora mzuri, na kwa bei nzuri...basi huyo mpangaji yuko free kununua na kuuza huo mzigo wa TZ dukani kwake. Kama anaweza kupata huo mzigo wenye unora na bei nzuri zaidi nje, Japani, India etc...yuko huru kufanya hivo. Lakini kama anataka kutafuta hio bulb china , watakusaidia.
      Sasa ww shida yako na hio inatoka wapi ?

  • @josephchimba7583
    @josephchimba7583 5 дней назад

    Watu wa vingunguti tena 😂😂😂

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 5 дней назад

    Lingekuwa ghorofa hata 10

  • @christophermboya7676
    @christophermboya7676 5 дней назад

    Wewe mama unadanganya watu Tanzania ni Nchi yenye amani
    Wakati watu wanatekwa na kupotezwa na wanaokotwa wakiwa wameuliwa

    • @judithkirenga9977
      @judithkirenga9977 5 дней назад +1

      Mnauwana wenyewe,unamlaum nani?

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 4 дня назад

      ebu tuachie tz yetu nenda mbinguni pumbavu 😡🫡🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 2 дня назад

      Kabisaa ndugu yangu hata mm jana nimesikia wameliteka mama yako kisha wamelipakua balaa 🤣🤣🤣