Daaah aise huyo mond sku akija kufa huyu kabla ya kuzeek atakufa na weng san tumuomb mungu tu aendelee kututunzia hazin yetu ya taifa we love #diamond and sns sas mkae muiskie vizul mtuletee uchambuz maridhawa kabisa na level hz zinatakiw ziwe za nchi gani huko duniani
Mama zuchu na mama Diamond ni best friends ndiyo maana watoto wako pamoja tangu Diamond awe na zuchu Diamond hajaenda South Africa kuwasalimia watoto wake na awezi kwenda sababu Zari ana bwana yake
Zuchu yr talented ila unaforce mapenz kwa daimond my dear . Yan she is trying to kiss him.. ila kakwepa aiseeee.. hapo utachezewa na kuachwa aiseee aibu mm mweeeeeeeee😭😭😭yan daimond cyo mtu wa kuona aibu za mausiono ata zari kaimbiwa sanaa tena hit song ila kiko wapi ...
Yote kwa yote Zuchu a anazidi kuwa mkubwa kimziki hata asipoolewa atakuwa kafanikiwa pakubwa sana ni bora maumivu yenye manufaa kuliko maumivu yenye hasara
This is the worst couple not only of the year but of all times in the history of Tanzanian celebrities. Kweri leo nakubali maripo ni hapa hapa duniani. After dating and enjoying Wema, Hamisa, Zari, Tanasha, Wolper, Irene, official Lyne and tens of other beautiful women, today Diamond is dating Zuchu!!!!???? So sad to watch. This is the beginning of his downfall for sure.
Kwa sababu zuchu hana nn ambacho hao wengne walikua nacho, acha roho mbaya unajikuta mtabir wa maisha ya watu wakat ya kwako hapo ukute hujui ulikotoka wala unakoelekea
Men look for more than beauty and beauty is not defined by brown skin. Maybe diamond found something in Zuchu that he couldn't find in his baby mamas. Zuchu shouldn't dare to get pregnant before he marries her coz we all know what will follow. Anyway they have a good chemistry and make a great couple
Kama ni uwezo WA mwanadamu tungemwomba mungu ......... mapenzi ya kweli na ya kudumu 🤔🙏😍😍😍
❤❤muciachane, haki mumependezana haki, mungu alinde penzi lenu
I used to love wema n dai but zuchu n dai yooooh🔥🔥🔥
Same here dear,u don't know how much i want them could unit together💃
Hawa watu watulie na wapendane kweli.🌹..yaani watakuwa na mafanikio sana sana kwenye muziki wao na baraka nyingi ❤
Kweli wanaenda sana
@@Khadija.pande6 tena sanaa
Kabisa
Jamani jamaa nyimbo zote kaua yani ninoma sana
❤️
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Daaah aise huyo mond sku akija kufa huyu kabla ya kuzeek atakufa na weng san tumuomb mungu tu aendelee kututunzia hazin yetu ya taifa we love #diamond and sns sas mkae muiskie vizul mtuletee uchambuz maridhawa kabisa na level hz zinatakiw ziwe za nchi gani huko duniani
Atakufa na wapumbavu kama weeee mmoja wapo 😂😂😂
@@juxjemc5768 🤣🤣🤣una mdomo ww😅
Wueh tunamuombea saana aishi miaka mingi n bonus juu yake
@@juxjemc5768 😂😂😂😂😂😂😂
@@juxjemc5768 hiv unapo mtukan mtu ambay hajakutukan unajiskiaj
Mama zuchu na mama Diamond ni best friends ndiyo maana watoto wako pamoja tangu Diamond awe na zuchu Diamond hajaenda South Africa kuwasalimia watoto wake na awezi kwenda sababu Zari ana bwana yake
Haha wachomea
Which husband,Thats one of her toys. Based in Uganda and comes to South Africa at her call
Sandra kazi anayo mondi kadata
Zuchu na diamond platnams wanapendezana mno kiukweli wakiwa pamoja 💕💪🤸🤸
🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️
The song🥰🥰🥰 pendaneni tu ila usije kulia ka t aliimbiwa mama t nae akaimbiwa kama nakuona zuchu...
Kila mtu na nyota yake
Mama nafulai sana
Namukubali Mange Kimambi hasemi uongo
Yes
Walimchamba dada wawatu kua muongo
Ki mange nacho kinajua kuchokonoa
This song is so amazing walai zuchu na dai
Mambo motoo......
Wengine wanaona kama move ya dj afro apa na wamependezaama ile👌🔥🔥🔥
Hawa wanapendezana sana kabisa mama dangle aibu kwake nawanao ongeya kuwa hawaendani
Wow so nice
There is absolutely something there. Zuchu anataka kudhibitisha!@ Lakini boss anajaribu ku funika uhhhh
Ndio
I have been in doubt sababu kila wakati performance wanaperfom vizuri lakini wakimaliza,, diamond anamuita mdogo wangu,,, nashindwa kweli
Diamond NA wanawake zuchu ushawachwa jamani usiweke roho yako yote kwa DIAMOND
Utasubiri sana
Akishakuwa video vixen ni hivyo eti tutasubiri sana,,,, mtaachana tu!
Ni kweli ila inakuhusu nini
Zuchu yr talented ila unaforce mapenz kwa daimond my dear . Yan she is trying to kiss him.. ila kakwepa aiseeee.. hapo utachezewa na kuachwa aiseee aibu mm mweeeeeeeee😭😭😭yan daimond cyo mtu wa kuona aibu za mausiono ata zari kaimbiwa sanaa tena hit song ila kiko wapi ...
Nice song
Mendezi kwenye ubora wake aristotee nakusikia kwa mbali😍😂😂
Zuchu, diamond anakulilia Aristoteeeh 😂😂😂
Ndio kicheche ..jst play your part... Mungu akusaidie
Paris😂😂 look at hos shirt
Look at he’s shirt Paris
Hatariiii 🔥🔥🔥🔥
Bongo ndio sehemu ambayo wehu wanapata deal kuliko wazima🤣🤣😅
Kweli kabisa
Naaam😅na ni nnchi ya kwanza Ina sapoti ujinga😂
Nc bro😄😄😄
Rich mitindo katakana na whozu
Simba mnyam
🔥🔥🔥
GKCHOPPA🔥🔥🙌🏿
hatari na nusu
Nice
Uyu bwana ake Worlper naye nini sasa kucheka cheka tu ka mshamaba wa camera 🙄🤔
Simba anakunywa maziwa ya bure kwa zuchu hana uwezo wa kununua ng'ombe !😁😁.
Kwenye tanasha iko roho inamushoma kweli anaona gere aloliya iyo nafasi bahati imeangukiya zushu.musani na muke wa boss kofi et sidi le coeur
Wivu tupuuuuu.
Mainshallah
#FOA😂😂
Hata natasha aliimbuwa gere,zari nayeye aliimbiwa,sembuse wewe
Yote kwa yote Zuchu a anazidi kuwa mkubwa kimziki hata asipoolewa atakuwa kafanikiwa pakubwa sana ni bora maumivu yenye manufaa kuliko maumivu yenye hasara
MkubwA ni MUNGU pekee hata raisi hana mamlaka mbele yamungu,akisema azure pumzi zake ataweza kurudisha,
Siyo kweli
❤❤💯💯💃💃💃
🔥🔥🔥🔥
Yaani Aristote umekaa hapo chini unaropoka tu😆😆😆
🤣🤣🤣🤣 unamuona mtu w Raaaaaaaauuuuuunge leo kila mtu anamuona Aristote
Nyimbo nzuri Sana Yani nimeisikia mala yakwanza tu lakini nimeiyelewa
Aristoteeeeeeeee🤣🤣🤣🤣🤣#Raaaaaaaaungeeeee
Huu msiba mzito shaaban hio inaisha ramadhan inakuja binadaam tunajisahau kufanya uchafuu mtupu
Hawa hawajali ata ramandan
The Will Learn the differens between Somalia and Uganda 😂😂😂📲
Paris too every African they should banned Sweden otherwise
Mzee wavikaho unanini khaa 😂😂
Hawana jipya
Jeshiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Bora salama
Zamu yake ila mtaachana tuu
Maskini zari ua miss hili penzi acha tu
❤️
Mmmmh hakuna mapenzi hap maan mwanamke ndio anaejishauwa mwanaume habar hana macho juu juu
😆😆😆😆anavyoringa sasa🤣🤣🤣🤣akiachwa sijui kazi itaisha pia
Hahhhhh
Hahaha
Hapo chawa wapo nyuma nambere aristote na baba levo 😁😁
Sijui wanalala saa ngapi?😅😂🏃♂️
Mi nasoma comments jamoni🥰
Wala hawaendani kabisa. Ila akiimba apo wema sepetu. Naona Diamond angemshika kiono. Au tanasha.
Mtawachana Tu 😏😂😂😂
Diamond anaonejana yuko kazini hapo sio kimapenzi na zuchu. Ila zuchu anajibaibisha lo pole yake. Ila angekuwa Wema bwana ahhaaa pangenoga
Zari unaumia ukiwa wapi???
Lakini bona Diamond hajambusu zuchu amelenga hapo mwisho
Tumeonaaaaaa
Mhh akik wanawake kwel ampendan
Kuna machawa wanajipendekeza mpk mwnyw diamond anawaona wanakera
Hiyo Ngoma nitamu wameweza
Kulen maisha ndio wakati wenu ila mkumbuke kuna kufa
Hakiika
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍.
Mbarori, z n d
Inamaana uyu Sallam SK hanaga mke!!!??
Dia katunze hako kabinti
Pendaneni kwa siri kabisa waja wasitie nuksi
Kiki tupu
Imebaki kutembelea upepo wa zuhura
Konde anakwama wapi kuimba Nagasaki wakubwa wakimataifa webye majina
Waowane basi.mana dah ckumbatio hili
Fujo yani ovyoooo
Ss umefuata nn umu show za wkubwa iz bwana
I don't trust lions that guy wil hurt that young girl.
Kama naiona video itakavyokuwa ya kimahaba
Hii clip naangalia mara mia sitosheki
Sms fanyeni recap kuhusu mond na dai
Jamna kitu hapo
Sawa ila inakuhusu nini???😀😀😀😀😀😀😀😀
Chako kip
@@chibudangote0126 mfyuuuu sijakuambia unijibu mmbwa weee mi nimemaanisha hao hawana uhusiano ni ukaribu wa kimziki tu so unawashwa nini
@@msalabanireko1518 msalaba unakuelemea wewe tulia
@@ashurahatibu5069 sawa...ila inakuhusu nini...😂😂😂😂
Huyu diamond si alisema zuchu ni mwanae umekuwaje tena
Ndio ushangae na wewe
Mwanae kweli lakini mwamamke pia...she can gettit🤣🤣
Bunduki ya hewa tz
ruclips.net/video/Lg84vXtWlWI/видео.html
Bunduki ya hewa Tz mbeya
ruclips.net/video/Lg84vXtWlWI/видео.html
Aristoteeeee 😂
DAWA YA KANSA YA AINA ZOTE.MAMBO MA 5 MUHIMU YA KUZIKATI ILI UPONE KANSA..)
m.ruclips.net/video/ZgfBwGAJlrQ/видео.html
This is the worst couple not only of the year but of all times in the history of Tanzanian celebrities. Kweri leo nakubali maripo ni hapa hapa duniani. After dating and enjoying Wema, Hamisa, Zari, Tanasha, Wolper, Irene, official Lyne and tens of other beautiful women, today Diamond is dating Zuchu!!!!???? So sad to watch. This is the beginning of his downfall for sure.
Thanks for the boise sir god who knows the future
Kwa sababu zuchu hana nn ambacho hao wengne walikua nacho, acha roho mbaya unajikuta mtabir wa maisha ya watu wakat ya kwako hapo ukute hujui ulikotoka wala unakoelekea
Agree with you
You're funny lol,what does it matter to you personally if they dating,get a life hater
Men look for more than beauty and beauty is not defined by brown skin. Maybe diamond found something in Zuchu that he couldn't find in his baby mamas. Zuchu shouldn't dare to get pregnant before he marries her coz we all know what will follow. Anyway they have a good chemistry and make a great couple
Kama unapenda muziki, basi usisite kupitia katika chaneli hii na kusikiliza muziki mtamu; ruclips.net/video/LM6Tr00DsYY/видео.html
🔥🔥🔥
DAWA YA KANSA YA AINA ZOTE.MAMBO MA 5 MUHIMU YA KUZIKATI ILI UPONE KANSA..)
m.ruclips.net/video/ZgfBwGAJlrQ/видео.html
🔥🔥🔥🔥🔥