DIAMOND na ZUCHU wakomesha kwa MAHABA yao Jukwaani, Mapenzi wazi wazi hakuna kufichaficha, HUBA zito

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 132

  • @wakaliband8923
    @wakaliband8923 Год назад +11

    Diamond platinums ni 🔥☄️❤️‍🔥❤️‍🔥

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 Год назад +25

    Sisi tunafurahi Zuchu. Katoto kazuri Jamani. Natural is best na hadimu pia.

  • @geoufo2858
    @geoufo2858 Год назад +15

    Ila Simba anajua kutrend atumii nguvu kabisa Yan kauteka mjii tyri

  • @user-hd2bb4of2r
    @user-hd2bb4of2r 4 месяца назад

    Baba na mtoto ❤❤❤❤❤❤ munatuzo weresha mubaya kbx turisha wazoa kuwa ona muko 2

  • @dorahsau4115
    @dorahsau4115 Год назад +2

    Cute Zuchu nakupenda tu bure 🥰🥰🥰🥰

  • @aishambise6529
    @aishambise6529 Год назад +7

    Mwenye ukum y mwanadam n Mungu peke yake wapo wanao jistir mno lakini tabia zao nimbaya kupitiliza nimeona sio kusikia so wachaneni na hayo jiagalie ww mwenyewe kila mtu na kiroba chake ikifika iyo siku her kuombea mtu kuliko kumsema yuko vile yuko hivi 🙏🏻

    • @jonesbaraka7506
      @jonesbaraka7506 Год назад +1

      Wewe ndio unatabia nzuri mpaka ulijibikiri na cucumber

  • @mozasalim9697
    @mozasalim9697 Год назад +3

    Nawapenda sn zuchu na diamond

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 Год назад +7

    Zuchu dd taratibu Mana unajipeleka sn ucje badae ukajuta

  • @jasminmdimi6059
    @jasminmdimi6059 Год назад +9

    Beautiful zuchu ❤️❤️

  • @evenabwire1860
    @evenabwire1860 Год назад +13

    This looks like a performance, nothing much here. However she is eaten in the dark. And what is not seen or said, never happened.

  • @aswilasaif2455
    @aswilasaif2455 Год назад +4

    Zuchu ww huna adabu Wala aibu unadhaniya sifa unajipa aibu maluun

  • @maryamabdallah3140
    @maryamabdallah3140 Год назад +8

    Muogopeni Allah nyie ni waislam...Allah awaongoze

  • @yusterchesco8818
    @yusterchesco8818 Год назад +4

    Ivi usanii kumbe kazi kwaiyo zuchu nae kapendeza nahicho kigauni

  • @chocolatevivian830
    @chocolatevivian830 Год назад +4

    Zuchu ndio anajipotezea time tuu ss ata akiwa na boy afu aone ivi c atakuwacha tuu

  • @elisanteshayo3882
    @elisanteshayo3882 Год назад +3

    Mtoto amefirwa na diamond mpk kitakokimemfuka zuchu

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Год назад +5

    Hayo ndio mambo ya ovyo ovyo watanzania wa mavi kunuka wanapenda ngono, kukaa uchi na kuzaliana kama panya , ona taifa lisilo makini siku ya kazi ila kuendekeza starehe watu wamejaa hadi spika na mawaziri nchi zingine vitu kama vitu uwa ni weeekend tu

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 Год назад +1

    Nicely

  • @daimavlog
    @daimavlog Год назад +2

    Hawa Watu wanafurahisha pamoja.

  • @khadijamoss293
    @khadijamoss293 Год назад

    Best ❤️❤️

  • @chocolatevivian830
    @chocolatevivian830 Год назад +3

    Usani kazi sna daaah

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Год назад +5

    😍😍😍🔥🔥🔥

  • @hawasella1558
    @hawasella1558 Год назад +2

    Kutesa kwa zamu Sasa zuchu Ni zamu yake nyie mnaedisi mtabaki hvyohvyo yakwake yanasonga, zuchu endelea na Mambo yako Wala usisikilize ya watu❤️🥰

  • @abwevincent1438
    @abwevincent1438 Год назад +1

    Sisi ni macho tu 💆‍♀️💆‍♀️💆‍♀️💆‍♀️💆‍♀️

  • @user-yg9tc6hx6o
    @user-yg9tc6hx6o 8 месяцев назад

    Yani ii ilnishi amu munilikosha sana nawapenda muzidi kupendana

  • @moindimoindi9116
    @moindimoindi9116 Год назад +11

    Let me get some popcorn and watch as this unfolds.... I just hope by the time Zuchu lands.... It will soft landing... Coz when diamond drops his women... They drop like hot potatoes.... 😂

  • @aishambise6529
    @aishambise6529 Год назад +5

    hata hao wenye sura za baba wameubwa na Mungu wewe mwenye sura y mama kwani alie kuumba n shetan ? ole wako ujizaniae umesimama chunga mdomo

  • @theopistakajuna2619
    @theopistakajuna2619 Год назад +2

    Wavuta Bangi hawa

  • @mwabiawahadi6247
    @mwabiawahadi6247 Год назад

    Zuch Kipaji Cha Kuzaliw Nach Pend San Zuch Jaman

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад +2

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍

  • @bsixtz4809
    @bsixtz4809 Год назад

    Naombn mkatazam nyimb yng mpy iitwayo mrembo..b six tz

  • @elishaelisha6755
    @elishaelisha6755 Год назад

    Wcb

  • @munirashughuli618
    @munirashughuli618 Год назад +1

    Astaghafirullah

  • @USDisdoomed
    @USDisdoomed Год назад +3

    Zuchu keshaharibika mwana wa watu kwa mavazi hayo

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 Год назад +4

    AKIBANDIKWA MIMBA KAMA WENZAKE NDIO ATAJUA HAJUI

    • @user-rz1pc1be7x
      @user-rz1pc1be7x Год назад +1

      Mwenye pesa haitatizi Ila wale maskini ndio wakipewa mimba Wana shida

    • @yussufhussein1954
      @yussufhussein1954 Год назад +1

      Atalea ndio ishakua mimba yake tutafanyaje naakiiibeba kaikusudia

  • @noorynmohammedy6063
    @noorynmohammedy6063 Год назад

    barnaba unacheka to hyo ndo chombo ya boss

  • @haniffa9024
    @haniffa9024 Год назад +4

    ruclips.net/video/X4WuktNJEl0/видео.html
    Dawa Ya kufarakanisha*#*#*#
    ruclips.net/video/X4WuktNJEl0/видео.html

  • @severinniyondiko17
    @severinniyondiko17 Год назад

    Nayeye atamuwaca Mimi napedazari

  • @iyanadunda9836
    @iyanadunda9836 Год назад +1

    Zuchu

  • @mayam709
    @mayam709 Год назад

    Mh

  • @mercywangari7680
    @mercywangari7680 Год назад +2

    Tazama maoni ya wakenya kuhusu uuhusiano Wa zuchu na diamond ruclips.net/video/uF2BfNk-9B4/видео.html

  • @jackiemuthami7418
    @jackiemuthami7418 Год назад +6

    Hiyo nguo ya zuchu kama vile ya kulala

    • @arnhemzuid8885
      @arnhemzuid8885 Год назад +1

      Nafikiri ni Satin or silk material, best for night outfits.

    • @jackiemuthami7418
      @jackiemuthami7418 Год назад

      @@arnhemzuid8885 kabisa ni silk material

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul3212 Год назад +13

    Mtoto wa kiislamu kiguo gani amvaa" hicho atii Zuhura" kisha ikishafika Ramadhani mitajii mingii nakusoma Quraan" kesho mbele ya Mungu kuna isabu kali, Mungu atustiri na Vizazi vyetu maana vyapotea.

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Год назад +2

      ivi hujui yupo kazin pale? halafu kwanini umuhukumu mwenzio ikiwa wew ujakamilika? mbona siye mauchafu yako hatuyasemi au kwavile unafany kwa siri

    • @barakatabdul3212
      @barakatabdul3212 Год назад +1

      @@ramadhanmahongole9293 ww pia Majinunu kazi gani ile yani na ww pia wa saport uchii wa Banathi wa kiislamu.

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Год назад +1

      @@barakatabdul3212ile ni kazi halali kama kazi NYINGINE yoyote tena mwenzio kenda mbali zaidi kasaidia serikali kwa kuajili madancer 20 na mabaunsa 10 kwajili ya kumlinda kaipunguzia mzigo serikali bila zuchu hao watu pengine wangekuwa wezi Majambazi au mateja.lkn zuchu kawaajili kwaiyo zuchu unaemuona ni mdhambi, anathawabu kubwa kwa mw/MUNGU kuliko hata wewe

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Год назад +1

      @@barakatabdul3212 pale zuchu hayuko uchi wamnyama. balj kavaa nguo inayoendana na kazi yake. labda ungemkuta yuko mtaani na nguo ile hapo ningekuunga mkono lkn pale ni stageni yuko kutafufa hela za kuwalipa watu zaidi ya 50 wanao kula kupitia yeye

    • @uwamahorohajarat6132
      @uwamahorohajarat6132 Год назад +1

      Naam unaongea vizuri akini hawezi kukusikia watoto wakislam ndie wanafanya uzinifu, Allah atupe mwisho muzuri

  • @elizakinuthia9218
    @elizakinuthia9218 Год назад +3

    What is zuchu wearing? I guess a nightdress

    • @arnhemzuid8885
      @arnhemzuid8885 Год назад

      Yah exactly, ni night dress kwa maana ya night outfits not kwa maana ya nguo ya kulalia. Mkumbuke alikuwa Paris na London, yuko exposed so atashindwa kweli kununua kujinunulia kinguo kake kazuri kwa hii occasion.

    • @elizakinuthia9218
      @elizakinuthia9218 Год назад

      @@arnhemzuid8885 who said travelling once means you are exposed...even here in Europe we have people who can't dress to kill...excuse me....we can see clearly zuchu is way below but in just a matter of time she will precisely do it

    • @evelynisale5743
      @evelynisale5743 Год назад

      Is that a night wear really,go for eye treatment

  • @bimkubwamohd3254
    @bimkubwamohd3254 Год назад

    huyo akikukataa utaolewa na Nani wewe mzanzibar iutadharauliwa sa.na

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 Год назад

    hawa wapenzi kweli unaona kabisa wanavyo shindwa kujizuia

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 Год назад

    Kimbaumbau mifupa sasa

  • @edomspringsschool3276
    @edomspringsschool3276 Год назад +3

    wear decently there will be no hatred😠😠

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du Год назад

    Kazuchu kanachewa tu

  • @pererepepeshow
    @pererepepeshow Год назад +1

    Tazama maoni ya wakenya kuhusu penzi za diamond na zuchu ruclips.net/video/uF2BfNk-9B4/видео.html

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Год назад +4

    Hakuna jipya.. hata wenye sura za mama zao waliachwa, itakuwa Zuchu mwenye sura ya baba?

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Год назад +1

      Sasa haya nayo yanatoka wapi kama si donge

    • @rithadonatus8110
      @rithadonatus8110 Год назад

      Dhami jamaniiiii

    • @arnhemzuid8885
      @arnhemzuid8885 Год назад

      Binti akiwa na sura ya Baba anakuwa mostly beautiful than na sura ya mama ni normal unless huyo mamaye nayev alikuwa na sura ya baba yake . She is cute.

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 Год назад

    Sijamuona B levoo

  • @chantaltulizo5029
    @chantaltulizo5029 Год назад +1

    Hakuna mapenzi hapo hakuna mtuu anaweza kufanyisha bitu kama ibyo mupenzi wake

    • @mesukanku6016
      @mesukanku6016 Год назад

      C'EST POUR ÇA QUE DIAMOND AIME ZUCHU

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 Год назад +6

    Mbona zuu ndo anajipeleka peleka kwa mondi

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 Год назад

    Kiki Hizi

  • @haniffa9024
    @haniffa9024 Год назад +1

    ruclips.net/video/X4WuktNJEl0/видео.html
    Dawa Ya kufarakanisha*#*#*#
    ruclips.net/video/X4WuktNJEl0/видео.html