MAMA DANGOTE AFUNGUKA A-Z PENZI la DIAMOND na ZUCHU "ZUCHU MIMI ni MKWE WANGU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024

Комментарии • 75

  • @mozaummy327
    @mozaummy327 Год назад +4

    Nampenda mama dangote Allah akupe umri mrefu mamangu❤

  • @fatmaamissi7251
    @fatmaamissi7251 Год назад +1

    Mansh Allah Mwenyenzi Mungu atufikish nafurah saan

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 Год назад +5

    Mama Dangote mama wa kuigwa sio kukurupuka kaakikisha anaefaa kukaa na familia sio kuchonga kucha na uturuki.hongera wakuache

  • @bakariathumani8105
    @bakariathumani8105 Год назад +11

    Mama mwenye wakwe wengi east Africa

  • @zainabuyohana3780
    @zainabuyohana3780 Год назад

    Leo mama umenifurahisha sana

  • @mambonathalie7347
    @mambonathalie7347 Год назад

    Mama Dangote nakuoenda kabisa💃💃💃 zuuuuuuuu

  • @ashuraseif3020
    @ashuraseif3020 Год назад

    Mungu Abariki. .

  • @rehemaabdallah2181
    @rehemaabdallah2181 Год назад +6

    Mama dangote kweli kutoka moyoni? Kama kweli DUA zangu za siku 3 nakuombea wewe Ubarikiwe

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Год назад +18

    Nimefurah sana kwa upande wangu nawapenda sana diamond na z

    • @rehemaabdallah2181
      @rehemaabdallah2181 Год назад +2

      Haishindi Mimi mpaka naumwa

    • @rosedawamalika4309
      @rosedawamalika4309 Год назад

      Me pia nmefrai sana 😋

    • @yusternyirenda7231
      @yusternyirenda7231 Год назад

      Yan nyinyi wote furaha zenu zinapoishia miimi ndio furaha yangu inapoendelezea mbele yan leo nitalala usingizi wa amani

    • @lolollololi1050
      @lolollololi1050 Год назад

      Mpaka naona raha mama dangote anavyo mkubali zuchu masha Allah

  • @salamasaid9525
    @salamasaid9525 Год назад

    Asante mama dangoteeee

  • @mwanjumajongette8187
    @mwanjumajongette8187 Год назад

    Nice mana dangote

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul3212 Год назад +9

    Mama mtu" mzima Asema labda mwanae atembee na yy kweli Mzazi hatakama utani waeza ongea kwa media maneno kama hayo! Busara nikitu muhimu sanaa... Allah atuongoze hii mithiani.

    • @ramlaleila374
      @ramlaleila374 Год назад

      Wewe ndie umemuelewa vbaya na si bure una wivu na mama wa watu

  • @yusternyirenda7231
    @yusternyirenda7231 Год назад

    Oyooooo! mama dangote keshasema

  • @edwardjj5378
    @edwardjj5378 Год назад +1

    Mama Nasibu dah!

  • @rahmamansoor3107
    @rahmamansoor3107 Год назад +2

    Nimejikuta nikitabasam kwa furaha ya neno la mama dangote

  • @ummohammed2752
    @ummohammed2752 Год назад +3

    Jamani sasa sunglasses za nini mkiwa ndani!!!!!

  • @mcback4384
    @mcback4384 Год назад

    Maofisa wa TRA tupo lounge ninyi malizeni kula ili mpate nguvu ya kutoa kodi

  • @jimmyselejimmysele2821
    @jimmyselejimmysele2821 Год назад +2

    Platnums simba

  • @hussenrama6216
    @hussenrama6216 Год назад

    Nawapenda sana

  • @jessicakwilliyam1744
    @jessicakwilliyam1744 Год назад

    Million 3 ya kenya ama ya Tanzania 🤔🤔

  • @farhatomar7495
    @farhatomar7495 Год назад

    Team Daimondplatnumz piga keleleeeeee

  • @esthermutabuzi4582
    @esthermutabuzi4582 Год назад +3

    Kiki zitawaua Dangotes😅🙌

    • @karasuyazidi8547
      @karasuyazidi8547 Год назад

      Pole sana kama kiki umeweka bando lako na bado unafuatilia

    • @esthermutabuzi4582
      @esthermutabuzi4582 Год назад

      @@karasuyazidi8547 Huku huwa hatuweki bando🤣🤣

  • @nahiyahamdan5281
    @nahiyahamdan5281 Год назад +1

    Wapishi kuvya miwani jikoni,kweri nyie wapishi???

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Год назад +5

    🤣🤣Juma Lokole ndo anapopapenda duuh sikio liko open mda wote eti nimesikia vibaya? 🤣🤣

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Год назад +2

    😍😍😍😍

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 Год назад

    Ila esma ndo mana akapewa miguu ka BANIO LA UGALI.WIVU NA CHOYO.sasa wanao watasomeshwa na kakio mpka lini.ajua simba akioa hana chake.wifi mwenye uyuda wakeee. Aya watazamaji ni sie sjui mwatudanganya mtengeze pesaaa...mungu anawaona

  • @marrygeogre5727
    @marrygeogre5727 Год назад

    Mama Ana akili huyuu

  • @aishajuma7402
    @aishajuma7402 Год назад

    Mama zuchu ndo ajavaa miwani pekee

  • @rehemaabdallah2181
    @rehemaabdallah2181 Год назад +3

    Wee acha tu

  • @luendosabah2047
    @luendosabah2047 Год назад +7

    Hakuna ndoa

  • @diajolie
    @diajolie Год назад +1

    Ila mnapika miwani za nini sasa🤒🤒

  • @annamarialivangala3304
    @annamarialivangala3304 Год назад

    Ha ha haaaa nimecheka bila bureki dadeki.... children hao . Mfunge ndoa na nyie nini lkn

  • @PascaLwesso-sf4qi
    @PascaLwesso-sf4qi 8 месяцев назад +1

    ❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴

  • @hajihalifa9928
    @hajihalifa9928 Год назад

    Tunawataka TRA apo meneja aje atutolee maelezo utaratibu wa kuvamia ofisi za wawekezaji ni sawa

    • @MikiGermany210
      @MikiGermany210 Год назад

      Unaweza kuta hapo hoteli ana shea yake hapo Mondi,

  • @J.G7088
    @J.G7088 Год назад +6

    Kiki tu, tushawazoea trying to promote tomorrows function.

    • @karasuyazidi8547
      @karasuyazidi8547 Год назад

      Umewazoea wewe cc kwetu burudani kama kiki nenda lamanda ukajionee eti kwa hiyo hiyo show haipo watu mpk wapo jikoni we endelea kuteseka tu

  • @genichenurdin409
    @genichenurdin409 Год назад +1

    Wifi anakisukurukwinyo☹️

  • @vanessastafford6426
    @vanessastafford6426 Год назад

    Nakuja nimefurahi kuna Ticket za laki laki

  • @alantonio855
    @alantonio855 Год назад +1

    Za milioni 5 zimebaki za 80% yani hamjauza kitu?

  • @mariasalomemelchiorkaigaru1974

    nimesikia ht mimi

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 Год назад +2

    Esma hanaroho mbaya kila wif yye kwake sio sasa hanataka kka yake hamre yye chuki ya wazi kabsa uyo mma hako kasema we mzito aisee yuda kama yudq

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 Год назад

    Juma😂😂

  • @muungujaunguja8609
    @muungujaunguja8609 Год назад

    Ugali utajaa mate topu

  • @WinWilly4162
    @WinWilly4162 Год назад

    Sasa miwan ya nn jikoni😂😂😂😂😂

  • @AbdulMajid-ou3rm
    @AbdulMajid-ou3rm Год назад +1

    Mutoto wako Maraya,mama ,Malaya ,ukibisha naongeya yote

    • @ramlaleila374
      @ramlaleila374 Год назад

      Tahadhari na kauli zako mpendwa usije ukajikuta umemtukana mzazi wako km hivi ushamtukana mmako

    • @yusternyirenda7231
      @yusternyirenda7231 9 месяцев назад

      Kunywa dawa tatu upunguze maumivu 😂😂😂

  • @tonygee5680
    @tonygee5680 Год назад

    Hapo Ramada gani kwa kupikwa ugali hapo kwa Shilolee tu 😂

  • @sunraysofficialtz223
    @sunraysofficialtz223 Год назад

    ruclips.net/video/Rrtc4BO-RTA/видео.html uchawi hadharani mdada wa miaka 19 afumwa akiwanga akiwa uchi barabarani ukistaajab ya mussa utaona ya filauni

    • @ramadhanishabani1738
      @ramadhanishabani1738 Год назад

      Kijana mdogo unadeal na mambo ya kichawi..haujaona mambo ya kupost

  • @nigaboy4776
    @nigaboy4776 Год назад +1

    Mbon sufuria 🐕