Ni VITUKO Baba Levo Alicho mfanyia zuchu mbele ya Diamond amuimbisha nyimbo ya watoto
HTML-код
- Опубликовано: 16 авг 2020
- Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
FOLLOW US
Follow on Instagram: / mwendokasitv
Follow on Facebook: / mwendokasimedia Развлечения
Mungu anisamehe ,,diamond ikisemrkana amefariki leo watu wengi watakosa kazi sab huyu mwamba ameshika nafasi kubwa tanzania kwenyewe,,yaan itakuw kama tz watu wamebaki wawili tu kutaboesha
Mwenye anavisha zushu akhi anakosea ataringa saana wengine wapewe nafasi aaaaai it's a team wcb mnaniangusha vanny can do well na mbosso ,queen I miss you back we need amsha amsha
Mtoo zuchu wallah ww unajua sana toka utambulishe usafini WCB ngoma zako zote hit
Wazungu wakiona hii video wanapata wivu sana wao bado wako ndan ya lockdown.
😂😂😂
Umesahau hata Sisi Kenya
Sio wazungu pekee hapa kenya lockdown ipo bado
Jmn zuchu iyo nguo kwan hua hamjioni kwenye kioo hat hujapendeza
Mama kapendeza mashaallah zuchu ilovazi mmh ziro
zuchu damu ya nguo ana😁😁😁😁
Diamond platinumz est le meilleur artist africain
@Moffat Edasi ok c'est bien àlors
Hongereni sana wasanii wetu bata loooooooteeeeee watu kama woooooteee @Mondi, Zunchu, Khadija Kola🎻🎻🎻🎤🎤🎤
Bwana eeeeh tuoneshen wanaoimba sie
Fire
Super diamond
Motoo
Dem wa konde Yako hii 😂😂
Wcb raha sana.
Mwajuma husseni
Leo mama dida umependeza
Ila baba levo noma
8.05 thank me later😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sijaamini kama jamaa wa "the story book" anajua kujirusha hivyo..... kule kweli unakaaga kibiashara
Baba levo nayo nayo
Baunsa wa big anateseka sn kumgad big
Jamani mna raha wenzetu sisi bado tuko kama hatupo hakuna kukaa makundi Kwa ajili ya korona
😂😂😂
Nauliza tu rayvanny huwa aende na dem yake kwa event
Hana demu hyo
Rayvanny alivyo vaa jamani 😂😂😂😂
Pesa bhana Tajiri akicheza Chawa wote wanamzunguka na kumsemesha 🤣🤣🤣
Nc xn
Vifo haviishi! Usipoangalia tutashindwa kusonga mbele!!
Liwimbo libaya alielewek
Si Kuna Msibaa Au wameshazikaa Tyr!??
ya nani
2e45
Huyu bibi nae si atulie umri ushamtupa mkono
Hyo mmke zuchu yuwajifnya kufundsha wtu n mwanae hamwmbii ssa nd mavazi gni hyo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mamami
Amisa
Baba levo kufanya wrnzie watotoo
Hahahahha
Simb
Anaye mvalisha zuchu anafeli sana
@@ChadogiMc kama wew
Kwanza wanavyo zunguka tuu
Every day mauzauza hakuna nyimbo nyingine ?
Hahaaaaa nimekinai hatari
Tunga yako watumie
Haaaaaa nacheka tyu
samweli venanci hamuna kitu hadi inakinai
samweli venanci mimi siyo muimbaji ningekuwa muimbaji we moto ungewaka
Kila siku mauzauza mmm
National anthem
Vh hawa si wamefiwa
hapo sasa mh ukifa umekufa
Vifo haviishi!! Usipoangalia tutashindwa kusonga mbele!!
Hawajiongez
Babukubwa
HJbb
Nyimbo ni hizo tu mauza uza yani hakuna nyimbo nyengine tushachoka nanyi mumezidi
Lokole amerudia nguo
😂😂😂
Huyo zuchu atoe nymbo mpy bhn tushazichok hzoo aahaa
hahahha
Mavazi yake ss
Mtu mwenywe kuvaa ajui yan n shida bdo anushamb fulani awi classic
Kweli bado mshamba
Zuchu haki haujui mond utajipendekesa mwisho utaona. Ayibu siku atakuwa amekutenda weeeee muona hivyio umuaje