Maskini pole zuchu , nguo haikupi raha juu haiko na chini haiko. Umeishia kuivuta chini na mikono umeikunja kama mgonjwa wa corona. Stape one vua nguo. Hiyo ndo sera ya wcb kwa wanawake na wanaume choreni tattoo na mujifananishe na cartoon. Mtoto wa kiislam unatilisha huruma
Mbona nguo refu na nzuri zipo to look beautiful be simple but amazing comfortable. Unaweza ukavaaa nguo sio lazma ikanyage tope lkn iwe ref kidogo yani sihitaji kusema nguo nzurinzuri tena za kila aina
Yan mtu unashindwa kuvaa nguo ndef makusud halaf watembea unaishusha wakat umeona ni fup Sasa waivuta ifike wap hiv usanii ni kuvaa uchi au kuelimisha na kuburudisha maadil ya kitanzania mmeyatupilia mbal mbona mama yako anavaa vzur na anakubalika
Wacha kudanganywa mavazi ya uchi ndio usanii.vya heshima dadangu kama upo na kipato upo na kipato tu. Mbona mama kopa ajavyaa nguo kama hizo na ni msanii mbona kafika mbali. Ni wapi ? Hawamjui. Ila ww sasa unaelekea sipo. Dadangu achana na nyayo za wazalendo.
Subhànna llaah!!!hivi huyu bint wa kizanzbar kwl?ameiga tamaduni za ulaya!!,hujenda madrasa weye??akaaah!!!sanaa gani hii Wenda uchi, huna haya weye eeeeh!!?jiheshimu ww,baada ya kuelimisha jamii unakaraisha jamiiii sasa waivutia nn na umevaa mwnyw kichupi fyuuuuuuu ntamalizia vby mie ,malizia mwnyw chuchu weee.
Zuchu nxt time avae vitu vitako mpa comfortability si nywele mara yuazishika si nguo mara yuaivuta chini afu she she has to be trained on how to answer questions jamani
Kwa matatizo ya michirizi, makovu, nyama uzembe, kuongeza shape, hips,miguu,kutoa mikunyanzi, kupunguza matiti, nguvu za kiume, n.k Karibu ofisini, SMS/whatsap 0693_330284
Hiyo nguo zuchu achia nandy alafu nani amegundua rayvanny hayuko
Kweli hapo nguo imetia dosari, Hawa ma managers hawaoni hii ni aibu kwa maadili ya Tanzanian. Jaribuni kujirekebisha..
Zuchu jitafakali sana kwenye mavazi.
Why wear something that makes you uncomfortable ?
Honestly i hate that
Maskini pole zuchu , nguo haikupi raha juu haiko na chini haiko. Umeishia kuivuta chini na mikono umeikunja kama mgonjwa wa corona. Stape one vua nguo. Hiyo ndo sera ya wcb kwa wanawake na wanaume choreni tattoo na mujifananishe na cartoon. Mtoto wa kiislam unatilisha huruma
Wa kwanza leo 👌👌👌
Nilikupenda sana zuchu lakini umesha anza kunikera ndo nguo gani hio kama huiwezi ulivaa ya nini hio nguo
Iyo nguo dadangu wapeteza heshima sasa.
Ka Zuchu hakapo comfortable na hako kangua chake
Vitu macelebu huvaa fiuuu sasa wanaume hawa wote zuchu na kipandi cha nguo na kuvuruta vuruta fiuu vaa vizuri ungali mdogo utapendwa na kuheshimiwa
Zuchu iyooo nguo veeep
Mbona nguo refu na nzuri zipo to look beautiful be simple but amazing comfortable. Unaweza ukavaaa nguo sio lazma ikanyage tope lkn iwe ref kidogo yani sihitaji kusema nguo nzurinzuri tena za kila aina
Zuchu jamani waa kubuta vuta nguo nn
Vishindo utasema sjui wafalme wa wapi vile kumbe wana muziki tuh
😂😂Zuchu awezani na nguo fupi awache tu, anavuta chini kila sekunde
Kweli na nguo ilokua ya kawaida inampendeza xnaaaaa zaidi ya xnaaa kuliko icho kiguo alovaaa
Tatizo ustaa ndo unamponza mara hii tu kuiga mavazi machafu
Yan mtu unashindwa kuvaa nguo ndef makusud halaf watembea unaishusha wakat umeona ni fup Sasa waivuta ifike wap hiv usanii ni kuvaa uchi au kuelimisha na kuburudisha maadil ya kitanzania mmeyatupilia mbal mbona mama yako anavaa vzur na anakubalika
Wacha kudanganywa mavazi ya uchi ndio usanii.vya heshima dadangu kama upo na kipato upo na kipato tu. Mbona mama kopa ajavyaa nguo kama hizo na ni msanii mbona kafika mbali. Ni wapi ? Hawamjui. Ila ww sasa unaelekea sipo. Dadangu achana na nyayo za wazalendo.
Kweli kbsaaa kwa ili bd anajishushia heshima yke usimridhishi mtu kwa kujitoa thamani zuchu
Nguo jamaan zuchu umezingua dadangu
Subhànna llaah!!!hivi huyu bint wa kizanzbar kwl?ameiga tamaduni za ulaya!!,hujenda madrasa weye??akaaah!!!sanaa gani hii Wenda uchi, huna haya weye eeeeh!!?jiheshimu ww,baada ya kuelimisha jamii unakaraisha jamiiii sasa waivutia nn na umevaa mwnyw kichupi fyuuuuuuu ntamalizia vby mie ,malizia mwnyw chuchu weee.
Wa kwanza
Najaribu kumlenga juma lokale na jiwe ila simuoni lol
Sbuhanallah msiba huu jmn wa haya mavazi ya mtoto wa kike nini hii jmn ungevaa nguo ndefutuu ungependezaa
Zuchu nxt time avae vitu vitako mpa comfortability si nywele mara yuazishika si nguo mara yuaivuta chini afu she she has to be trained on how to answer questions jamani
Tatizo hayo cyo mambo yake(anajfunza) awaachie wenye vivaz vyao kujichoresha tu...
Sauti ndogo
Sasa we Zuchu aliekulazimisha kuvaa hicho kichupi ninani??? Mbona unakosa uhuru.. Ww jisitili tu ushajulikana kila kona.
Wacha we 🤣
Ungevaa hata surual tuu Yani kanguo kanakunyima uhuru
Nauliza hiyo nguo ya Zuchu kwa lazima ????
Sasa hy nguo unaivuta ya nini ulipokua unavaa hujaiona zuchu unajiharibia heshma yakoo
Kwani ukivaa nguo ndefu ndo unakuwa mashamba?
Hako kanguo km uvishwa!!!!
Kwa matatizo ya michirizi, makovu, nyama uzembe, kuongeza shape, hips,miguu,kutoa mikunyanzi, kupunguza matiti, nguvu za kiume, n.k
Karibu ofisini, SMS/whatsap 0693_330284
Sass kwa kuwa rais anakujuwa ndio uvaa uchi ,nguo gani uliovaa ndio usanii au uhuni Bumbavu kabisa.
Nguo gani hiyo zuchu?siku nyingine mama tafuta nguo ndefu na nzuri