ZUCHU:NILIKUWA NALIA/DIAMOND HATAKI WANAWAKE/ VIJEMBE/ALICHOKISEMA DIAMOND KUHUSU SALLAM NA ZUCHU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 июл 2020
  • Leo Diamond na uongozi wake wa WCB Wasafi uonongea na waandishi wa habari.
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 43

  • @janetwawira5673
    @janetwawira5673 4 года назад +5

    Hiyo nguo zuchu achia nandy alafu nani amegundua rayvanny hayuko

  • @sultansultans9462
    @sultansultans9462 4 года назад +3

    Kweli hapo nguo imetia dosari, Hawa ma managers hawaoni hii ni aibu kwa maadili ya Tanzanian. Jaribuni kujirekebisha..

  • @salummasoud2567
    @salummasoud2567 4 года назад +1

    Zuchu jitafakali sana kwenye mavazi.

  • @lee81721
    @lee81721 4 года назад +8

    Why wear something that makes you uncomfortable ?

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf 4 года назад +2

    Maskini pole zuchu , nguo haikupi raha juu haiko na chini haiko. Umeishia kuivuta chini na mikono umeikunja kama mgonjwa wa corona. Stape one vua nguo. Hiyo ndo sera ya wcb kwa wanawake na wanaume choreni tattoo na mujifananishe na cartoon. Mtoto wa kiislam unatilisha huruma

  • @zenarupia544
    @zenarupia544 4 года назад

    Wa kwanza leo 👌👌👌

  • @saumsaid7813
    @saumsaid7813 4 года назад

    Nilikupenda sana zuchu lakini umesha anza kunikera ndo nguo gani hio kama huiwezi ulivaa ya nini hio nguo

  • @ayushjhay1979
    @ayushjhay1979 4 года назад +2

    Iyo nguo dadangu wapeteza heshima sasa.

  • @ashadarusi5891
    @ashadarusi5891 4 года назад +2

    Ka Zuchu hakapo comfortable na hako kangua chake

  • @redibatafulai2583
    @redibatafulai2583 4 года назад +1

    Vitu macelebu huvaa fiuuu sasa wanaume hawa wote zuchu na kipandi cha nguo na kuvuruta vuruta fiuu vaa vizuri ungali mdogo utapendwa na kuheshimiwa

  • @moradipaulomwilongo6322
    @moradipaulomwilongo6322 4 года назад +1

    Zuchu iyooo nguo veeep

  • @hmedshtry2772
    @hmedshtry2772 4 года назад

    Mbona nguo refu na nzuri zipo to look beautiful be simple but amazing comfortable. Unaweza ukavaaa nguo sio lazma ikanyage tope lkn iwe ref kidogo yani sihitaji kusema nguo nzurinzuri tena za kila aina

  • @DIYwithReginaMankah
    @DIYwithReginaMankah 4 года назад +1

    Zuchu jamani waa kubuta vuta nguo nn

  • @tunnaika
    @tunnaika 4 года назад

    Vishindo utasema sjui wafalme wa wapi vile kumbe wana muziki tuh

  • @charyleyslin5676
    @charyleyslin5676 4 года назад +3

    😂😂Zuchu awezani na nguo fupi awache tu, anavuta chini kila sekunde

    • @arafarashid417
      @arafarashid417 4 года назад

      Kweli na nguo ilokua ya kawaida inampendeza xnaaaaa zaidi ya xnaaa kuliko icho kiguo alovaaa

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 4 года назад

      Tatizo ustaa ndo unamponza mara hii tu kuiga mavazi machafu

  • @fraziamsonge4492
    @fraziamsonge4492 4 года назад +2

    Yan mtu unashindwa kuvaa nguo ndef makusud halaf watembea unaishusha wakat umeona ni fup Sasa waivuta ifike wap hiv usanii ni kuvaa uchi au kuelimisha na kuburudisha maadil ya kitanzania mmeyatupilia mbal mbona mama yako anavaa vzur na anakubalika

  • @ayushjhay1979
    @ayushjhay1979 4 года назад +2

    Wacha kudanganywa mavazi ya uchi ndio usanii.vya heshima dadangu kama upo na kipato upo na kipato tu. Mbona mama kopa ajavyaa nguo kama hizo na ni msanii mbona kafika mbali. Ni wapi ? Hawamjui. Ila ww sasa unaelekea sipo. Dadangu achana na nyayo za wazalendo.

    • @arafarashid417
      @arafarashid417 4 года назад

      Kweli kbsaaa kwa ili bd anajishushia heshima yke usimridhishi mtu kwa kujitoa thamani zuchu

  • @mishiomarabdhallah627
    @mishiomarabdhallah627 4 года назад +1

    Nguo jamaan zuchu umezingua dadangu

  • @zamoyonimohamedimam1695
    @zamoyonimohamedimam1695 4 года назад

    Subhànna llaah!!!hivi huyu bint wa kizanzbar kwl?ameiga tamaduni za ulaya!!,hujenda madrasa weye??akaaah!!!sanaa gani hii Wenda uchi, huna haya weye eeeeh!!?jiheshimu ww,baada ya kuelimisha jamii unakaraisha jamiiii sasa waivutia nn na umevaa mwnyw kichupi fyuuuuuuu ntamalizia vby mie ,malizia mwnyw chuchu weee.

  • @CarosKitchen
    @CarosKitchen 4 года назад

    Wa kwanza

  • @tunnaika
    @tunnaika 4 года назад

    Najaribu kumlenga juma lokale na jiwe ila simuoni lol

  • @zainazaina9301
    @zainazaina9301 4 года назад

    Sbuhanallah msiba huu jmn wa haya mavazi ya mtoto wa kike nini hii jmn ungevaa nguo ndefutuu ungependezaa

  • @sashadiva1111
    @sashadiva1111 4 года назад

    Zuchu nxt time avae vitu vitako mpa comfortability si nywele mara yuazishika si nguo mara yuaivuta chini afu she she has to be trained on how to answer questions jamani

  • @ummuomar589
    @ummuomar589 4 года назад

    Tatizo hayo cyo mambo yake(anajfunza) awaachie wenye vivaz vyao kujichoresha tu...

  • @polytarimo324
    @polytarimo324 4 года назад

    Sauti ndogo

  • @esterelias8189
    @esterelias8189 4 года назад +1

    Sasa we Zuchu aliekulazimisha kuvaa hicho kichupi ninani??? Mbona unakosa uhuru.. Ww jisitili tu ushajulikana kila kona.

  • @esabelfadhili8432
    @esabelfadhili8432 4 года назад

    Ungevaa hata surual tuu Yani kanguo kanakunyima uhuru

  • @curtzgiey2400
    @curtzgiey2400 4 года назад

    Nauliza hiyo nguo ya Zuchu kwa lazima ????

  • @aidaabdul4633
    @aidaabdul4633 4 года назад

    Sasa hy nguo unaivuta ya nini ulipokua unavaa hujaiona zuchu unajiharibia heshma yakoo

  • @hawakim9940
    @hawakim9940 4 года назад

    Kwani ukivaa nguo ndefu ndo unakuwa mashamba?

  • @sadikijuma2105
    @sadikijuma2105 4 года назад +1

    Hako kanguo km uvishwa!!!!

  • @fetty1571
    @fetty1571 4 года назад

    Kwa matatizo ya michirizi, makovu, nyama uzembe, kuongeza shape, hips,miguu,kutoa mikunyanzi, kupunguza matiti, nguvu za kiume, n.k
    Karibu ofisini, SMS/whatsap 0693_330284

  • @mohamed.hassani9917
    @mohamed.hassani9917 4 года назад +1

    Sass kwa kuwa rais anakujuwa ndio uvaa uchi ,nguo gani uliovaa ndio usanii au uhuni Bumbavu kabisa.

    • @aminaomary5567
      @aminaomary5567 4 года назад

      Nguo gani hiyo zuchu?siku nyingine mama tafuta nguo ndefu na nzuri