binti mina pambana bwana maisha ndio hy hy shazimina ipo siku utapata mpenzi wa maisha yako ila mama yako ameshindwa kuwa mwenye mapenzi ya dhati na mtoto wake shazimina ipo siku atamkumbuka na kumwomba msamaa mwanae❤❤❤
Jamani ili mtu ampate mtu sahihi hupitia mengi yakiwemo mema na mabaya pia ulie panguwa na MUNGU huwezi mkosa ingawa usipo chunga itaumizwa na kupitishwa kwenye moto wakati mwingine pasipo wewe kujuwa
@@SusanNeema-re3hrmm nilipitia magumu hadi nimekata tamaa nakuamia kuweka akili kutafuta pesa tu sikuwa eti hamna waume wake tele lakin sahii nna pesa atakae kuja nikwajil ya maslai yake tu na si mapenzi single is a king najikuta nipanda viwango vya juu kwaharaka sana sina stress
Anko J kwa upande wangu nilikuw naomba utoe simuliz ambayo ina part moja tyu hata kama ina masaa Tisa,kama ile simuliz ya Teacher Dylan ❤hz za part part zinatupita wengine, I love your work thanks ❤❤
Daahh maisha haya ni kizungunguzungu bola MINA utulie na biashala yako na uachane nahuyo Owen uombe Mungu akupe Mme sahihi ila kwa hali hiyo ya kutoa kipochi manyonya kwakira mtu unae kutana naye utakuja kujuta unapashwa kuona hali yako kwanza maana mama yako kakutenga inabidi utulie usishobokeye wanaume😅😅😅😅😅
Tm strong 🇴🇲Anko Jay forever ❤
Wooow nimekuwa wa tano leo nipeni like 10❤❤❤❤
Wooh Asante sana anko mambo ni 🔥🔥 leo nimewai mh maajabu aya😂😂
Kazi nzuri kaka,listening from Kenya(Eldoret),much love.
Ramadhan imeisha Sasa huku ndio kunakucha ndo kwaaanza mambo ya moto moto Jaman acha tuendelee na simulizi zetu pendwa❤❤❤❤
Pole anko Kwa mafua tuendelee na simulizi yetu
Mauwa Kwa Kaka yetu jameni🎉🎉🎉🥰🥰
Me nimekuw wa mwisho ss izo like mninyime tu😊
Hata hii ina bamba sana❤
Jammn anko y🎉🎉 Lisa please
Lissa Mwalla hujawahi kutuangusha niraha tupu much love❤❤❤❤😊
Jamani anko j mambo ni 🔥 🔥 🔥
Tumemiss lissa wetu jaman anko jay haututendei haki
Leo nimekuwa wa 22 haijawahi tokea,Asante anko j
Khaa kwaiyo nyie au basi ngoja ninyamaze maana mimi naonekana nina mdomo ila naomba niwaulize je mnakesha youtube😅😅😅 ok naombeni like
😂😂😂😂 yaaani ata mie huwa nashangaaa jamenii 😹😹
Ndio manake 😆😆
Anko Jay pole sana Mungu Kwa mafuwa nenda hos utibiwe
❤❤❤❤lovely ,,, haya tuone kutaendaje Kwa binti mina ,,, team Oman tujuane Kwa likes
❤❤❤
Mim Ommany kweli sijamwelewa bado
@@RahelIbrahim-id2li umeanza part 1 kweli dear mbna hujamuelewa. Mina
@@alicesidi9574 Mina simwelewi kutokana na hiyo mienendo yake ya mapenzi,sidhan kama hata hayo mahusiano na kaka wa kambo kama yataendelea
@@RahelIbrahim-id2li aliachwa huyo sikiliza part 2 utaelewa
Binti lisa jamani
Sehemu ya tatu anko j❤❤
Simulizi tamu kweli
Ambao hatuwezi kulala bila kulala bila kusikiliza sauti ya anko J tujuane hapa nyiee
😂😂😂tupo asee
Naaaaam,sijachelewa sana Wacha nitege sikio
binti mina pambana bwana maisha ndio hy hy shazimina ipo siku utapata mpenzi wa maisha yako ila mama yako ameshindwa kuwa mwenye mapenzi ya dhati na mtoto wake shazimina ipo siku atamkumbuka na kumwomba msamaa mwanae❤❤❤
Much love Lisa mwala unaga show mbovu❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
LISA MWALLA OGERA DADA tunakupenda unatujulia sana kitu tight tight
Atimae kipofu kaona mwenzi nimewai na Mimi thatha😊😊 like zenu vipenz vyang❤❤
Jamn et thatha😅😅
Nipeni like jamani nijitayidi❤❤❤ lisa mungu akubariki😂😂😂
jamn namm like zangu kwa kuchelewaa🤣
❤❤❤❤ kuna mjinga mkuu anaitwa ANKO JAY mahari huyu chizi fresh wetu
Dhuuuuuuuuu mungu
@@KaviraDivine 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jian alikua na tamaa mashabiki like zenu ziko wapi
Daaaaaaa! Watu mko makini na anko jay
Wooow🎉🎉🎉 i was waiting for this...nashukuru Anko jay...i wanted to know what next after she is heartbroken...was really anxious....Asanti sana Jay
Ngoja nisikilize kwanza alafu nita comment
Tenda haki kwa binti lissa
Anko Jay❤
Ankojay jaman ututendeoi Haki bint Lisa tumeimis jaman
Uwii 🎉🎉🎉🎉❤❤Lisa mwala upewe maua yako ....simulizi nzuri jamani
Uuuwiii
My more unanipa laha ancojey nikiwa ni sing nainjoy simulizi tam sana upewe mauwa yako🎉🎉
Ewaaa
Waoh anko stor nzurii sana😂
Leo wakwnza nipen like zang pendaa wewew anko jay❤❤❤
Pataaaamu hapo mambo ni 🔥🔥🔥🔥
Fire extinguisher madame🔥😂🙌
Jamn na mm Leo nimewai bc naomba like hata tano tu kila siku nachelewa😢😢❤
Chukua hio usilie😊
Unaonekana hua hulali kwa kunywa like haya pole chukua hizo 10 ili uwe na nafuu😊😊😅😅
Jamani ili mtu ampate mtu sahihi hupitia mengi yakiwemo mema na mabaya pia ulie panguwa na MUNGU huwezi mkosa ingawa usipo chunga itaumizwa na kupitishwa kwenye moto wakati mwingine pasipo wewe kujuwa
@@WwEe-qc7tc ndio mana nilazima upitia magumu ndio ufaulu so akili ni kwake hata mm nilipitia magumu
@@SusanNeema-re3hrmm nilipitia magumu hadi nimekata tamaa nakuamia kuweka akili kutafuta pesa tu sikuwa eti hamna waume wake tele lakin sahii nna pesa atakae kuja nikwajil ya maslai yake tu na si mapenzi single is a king najikuta nipanda viwango vya juu kwaharaka sana sina stress
Jamani wa2 wanalala RUclips 😂😂😂 Asante xn ankoj ❤❤❤
Ahsante bwana anko Jay simulizi na wewe mpenzi lisa mwalla
Anko J kwa upande wangu nilikuw naomba utoe simuliz ambayo ina part moja tyu hata kama ina masaa Tisa,kama ile simuliz ya Teacher Dylan ❤hz za part part zinatupita wengine, I love your work thanks ❤❤
Kwer kabsa
Au masaa 12
Kweli kabisa yaani unaakili nyingi @pendosiye wangu🎉🎉🎉
Kabisaaa kwel maan izi mamb ya prt inakuwa nomaaa
@@ataamansi8941 hahahaha aya bhn ni kwel kama binti lisa ina part nying mno jmn mm nishahamia Kweny simuliz zenye part angalau tatu
Haya tunaendelea na simulizi yetu tamuu BINTI MINA ✌️✌️✌️✌️
Huyu dada hana bahat na mapenz atulie tu kuuza genge😂😂
Eeeh tumefika chukua 🎉🎉🎉Yako Anko Mapesa
Nimekuwa watano leo 😂 good job Ankojay love you from kenya ❤
Lissa Mwalla kam lissa mwala …..we Uogopi lakini ❤❤❤❤
Jaman 🙌🙌
Why anko j unachelewa kupost binti mina 😂 lla l love you❤
Dhaaaa mina bwana khaa
Duu maisha yangekua rahisi kama yakwenye simulizi hi, tungekua tunaishi bila hata wasiwasi ndugu wasikilizaji
Hakika ,mim mwenyew najiuliza hivyo hivyo
Waongo hawa
Asante anko hujui tyu nilikuwa nakusubir kias gan yan
Nzur sana
Mm nigoal keeper😂😂 kila sku😂😂😂😂😂
Jaman hii inaendelea na tu namiss Alvlisa
Ahsante sana Anko kwa simulizi yetu hii nzuri, bado tuko pamoya, Ankoo much love ❤.
Nzuri Sana jamani❤❤❤❤
Ankojay wewe ni 🔥 asante sana 🙏🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹💃🎋
Haswa mtu asie mpa sifa zake ni mchawe...na atashindwa tu...anko jay tunakuombea usiku na mchana 🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤
Loo! Acheni kuwahi sana😂😂😂
Kazi nziri sana Ankojay ❤❤❤
Dah Habari part 3
Asante simulizi nzuri sana
Aisee ankoJ apewe 🎉 yake
Teddy unajuwa kutengeneza maisha ya lafiki yako nimefurai
Jamani napeda unavosimuil ya kaka
Mina uko mbio snaa ata kama hufai kukubali araka ivo ona ss yaliyokukuta,ankojay simulizi n motomoto snaa❤❤
Teddy amekuwa mama mwenye nyumba hahaha
Good story be blessed my wetu kipenzi anko Jay ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Mbaya hiyo dah!!
Duh natamani kupata lafiki kama Teddy 😂😂😂😂
Ujajuwa kusema sihaba🎉🎉😂😂
wapi binti lisa umetubaniya sana ila hata iyi haina mbana tuna enjoy 👊🏾
15 hoyeeeeeeeee like kwa wingi bas
Lisa mwala mambo yako ni moto
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉yako kipenzi anko jey mapesa
Atimaye you are here ila siku hizi unatuweka sana mzee babu😅😅😅
Athletes Lisa tummies san😊😊😊
Unajuwa kobe cku zote anaonekana anachelewa kutembea, hapana nimwendo wake gonga like hapa nimeingia,anko jay simuliz 🎉
Asante anko jey ❤️❤️❤️🇴🇲🇴🇲🇴🇲🪑🪑🪑🎧🎧🎧
Wa mama wengi huwa akili zai za waza kusalitiwa na watoto sielewi inakuaje mume awe bora kuliko mtoto 😂😂😂mtoto s nguo nitaomba mtu kwangu no
Simulizi za anko j PW sana,,,hongera kwake
Daaah😢😢😢😢nimechelewa Sana ad roho imeniuma😢,,Anko Jay nikupe namba angu uwe unanistua bhac😂😂😂🙌
Haya jmn kumekucha uku mkuje uku mambo ni moto 🔥🔥🔥
Wa6 leo ❤❤❤❤🎉🎉
Nimewah❤❤❤❤🎉
Mina mina we niatalii mtu wangu 😂
wakaka wa FB wanamwag pesa km anko j mapes 😂😂😂nimechek kwa sauti
My love sweeety akoy wawoooo tunskupenda Ako wetu jmn
Asante sana ankojay❤❤🇰🇪🇰🇪
Ankojay mbona nikama una mafua pole sana😢😢
Ni kweli hiyo sauti ni ya mafua,pole sana mpendwa wetu Ankojay
🔥🔥
Nimawah nàomba like malafik
Lissa Mwala ❤❤❤❤nikisikiliza story zako huwa nasikia vidudu vinanitambaa mwili mzima 😂😂😂😂
Nilijua ni mimi tu 😅😅😅😅😅
@@cesiliakessy3691 tuko wengi darling 😊
Sijui watakuwa mapacha au ni nini aisee naigojea kinoma
Mama Na mwana kazi ipo
Daahh maisha haya ni kizungunguzungu bola MINA utulie na biashala yako na uachane nahuyo Owen uombe Mungu akupe Mme sahihi ila kwa hali hiyo ya kutoa kipochi manyonya kwakira mtu unae kutana naye utakuja kujuta unapashwa kuona hali yako kwanza maana mama yako kakutenga inabidi utulie usishobokeye wanaume😅😅😅😅😅
Asante ankojay ubarikiwe,
Mina nae jaman kitulize bac.