BINTI MINAH - PART 02

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 сен 2024
  • Owen kanidanganya mimi kabisa kumbe ana maisha yake ambayo hataki mimi niyaharibu? Sijui ananipeleka wapi sasa mimi.

Комментарии • 248

  • @Nuru9568
    @Nuru9568 5 месяцев назад +27

    Tm strong 🇴🇲Anko Jay forever ❤

  • @leah5307
    @leah5307 5 месяцев назад +20

    Wooow nimekuwa wa tano leo nipeni like 10❤❤❤❤

  • @RakaPk
    @RakaPk 5 месяцев назад +16

    Wooh Asante sana anko mambo ni 🔥🔥 leo nimewai mh maajabu aya😂😂

  • @sephrinewarenga2745
    @sephrinewarenga2745 5 месяцев назад +14

    Kazi nzuri kaka,listening from Kenya(Eldoret),much love.

  • @Maryalphoncedr4xo5yp8b
    @Maryalphoncedr4xo5yp8b 5 месяцев назад +14

    Ramadhan imeisha Sasa huku ndio kunakucha ndo kwaaanza mambo ya moto moto Jaman acha tuendelee na simulizi zetu pendwa❤❤❤❤

  • @user-hz5bo3mn9t
    @user-hz5bo3mn9t 5 месяцев назад +17

    Pole anko Kwa mafua tuendelee na simulizi yetu

  • @merrykc6037
    @merrykc6037 5 месяцев назад +13

    Mauwa Kwa Kaka yetu jameni🎉🎉🎉🥰🥰

  • @BethMdoe
    @BethMdoe 5 месяцев назад +17

    Me nimekuw wa mwisho ss izo like mninyime tu😊

  • @elizabethkatoko8867
    @elizabethkatoko8867 5 месяцев назад +12

    Hata hii ina bamba sana❤

  • @mariam-yw3nn
    @mariam-yw3nn 5 месяцев назад +11

    Jammn anko y🎉🎉 Lisa please

  • @jokhajj
    @jokhajj 5 месяцев назад +23

    Lissa Mwalla hujawahi kutuangusha niraha tupu much love❤❤❤❤😊

  • @user-wv2bq8lf8c
    @user-wv2bq8lf8c 5 месяцев назад +7

    Jamani anko j mambo ni 🔥 🔥 🔥

  • @matihassanmwachigutu-hq7ei
    @matihassanmwachigutu-hq7ei 5 месяцев назад +22

    Tumemiss lissa wetu jaman anko jay haututendei haki

  • @RachelJoseph-n7b
    @RachelJoseph-n7b 5 месяцев назад +15

    Leo nimekuwa wa 22 haijawahi tokea,Asante anko j

  • @user-tx7yd4jo2m
    @user-tx7yd4jo2m 5 месяцев назад +14

    Khaa kwaiyo nyie au basi ngoja ninyamaze maana mimi naonekana nina mdomo ila naomba niwaulize je mnakesha youtube😅😅😅 ok naombeni like

    • @TheresiaMnunga-cg1sd
      @TheresiaMnunga-cg1sd 5 месяцев назад +2

      😂😂😂😂 yaaani ata mie huwa nashangaaa jamenii 😹😹

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 5 месяцев назад

      Ndio manake 😆😆

  • @WinniePretty-t1v
    @WinniePretty-t1v 5 месяцев назад +5

    Anko Jay pole sana Mungu Kwa mafuwa nenda hos utibiwe

  • @alicesidi9574
    @alicesidi9574 5 месяцев назад +39

    ❤❤❤❤lovely ,,, haya tuone kutaendaje Kwa binti mina ,,, team Oman tujuane Kwa likes

    • @hidayamanda-gk7nf
      @hidayamanda-gk7nf 5 месяцев назад +2

      ❤❤❤

    • @RahelIbrahim-id2li
      @RahelIbrahim-id2li 5 месяцев назад +1

      Mim Ommany kweli sijamwelewa bado

    • @alicesidi9574
      @alicesidi9574 5 месяцев назад

      @@RahelIbrahim-id2li umeanza part 1 kweli dear mbna hujamuelewa. Mina

    • @RahelIbrahim-id2li
      @RahelIbrahim-id2li 5 месяцев назад

      @@alicesidi9574 Mina simwelewi kutokana na hiyo mienendo yake ya mapenzi,sidhan kama hata hayo mahusiano na kaka wa kambo kama yataendelea

    • @alicesidi9574
      @alicesidi9574 5 месяцев назад

      @@RahelIbrahim-id2li aliachwa huyo sikiliza part 2 utaelewa

  • @anunalamin6472
    @anunalamin6472 5 месяцев назад +18

    Binti lisa jamani

  • @rauhiyasuleiman4626
    @rauhiyasuleiman4626 5 месяцев назад +7

    Sehemu ya tatu anko j❤❤

  • @bijouxbigaya2116
    @bijouxbigaya2116 5 месяцев назад +10

    Simulizi tamu kweli

  • @DamariJohn
    @DamariJohn 5 месяцев назад +13

    Ambao hatuwezi kulala bila kulala bila kusikiliza sauti ya anko J tujuane hapa nyiee

  • @godsfavour5665
    @godsfavour5665 5 месяцев назад +7

    Naaaaam,sijachelewa sana Wacha nitege sikio

  • @christinahaule-p8i
    @christinahaule-p8i Месяц назад +1

    binti mina pambana bwana maisha ndio hy hy shazimina ipo siku utapata mpenzi wa maisha yako ila mama yako ameshindwa kuwa mwenye mapenzi ya dhati na mtoto wake shazimina ipo siku atamkumbuka na kumwomba msamaa mwanae❤❤❤

  • @fatmasalum8334
    @fatmasalum8334 5 месяцев назад +5

    Much love Lisa mwala unaga show mbovu❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @lucykarii6860
    @lucykarii6860 5 месяцев назад +7

    LISA MWALLA OGERA DADA tunakupenda unatujulia sana kitu tight tight

  • @user-ie3kd5po5m
    @user-ie3kd5po5m 5 месяцев назад +33

    Atimae kipofu kaona mwenzi nimewai na Mimi thatha😊😊 like zenu vipenz vyang❤❤

  • @Cynthiaigiraneza-qd8lr
    @Cynthiaigiraneza-qd8lr 5 месяцев назад +6

    Nipeni like jamani nijitayidi❤❤❤ lisa mungu akubariki😂😂😂

  • @deborahngoliga
    @deborahngoliga 5 месяцев назад +15

    jamn namm like zangu kwa kuchelewaa🤣

  • @MamakeJanetuser-ds8sz1mw4r
    @MamakeJanetuser-ds8sz1mw4r 5 месяцев назад +6

    ❤❤❤❤ kuna mjinga mkuu anaitwa ANKO JAY mahari huyu chizi fresh wetu

  • @RoseMbuya-cn5dg
    @RoseMbuya-cn5dg 5 месяцев назад +15

    Jian alikua na tamaa mashabiki like zenu ziko wapi

  • @LukhayhiyaMachumu-e7r
    @LukhayhiyaMachumu-e7r 5 месяцев назад +7

    Daaaaaaa! Watu mko makini na anko jay

  • @uniqueapple254
    @uniqueapple254 5 месяцев назад +5

    Wooow🎉🎉🎉 i was waiting for this...nashukuru Anko jay...i wanted to know what next after she is heartbroken...was really anxious....Asanti sana Jay

  • @DinaRaphael-w9l
    @DinaRaphael-w9l 5 месяцев назад +7

    Ngoja nisikilize kwanza alafu nita comment

  • @saudamwinyipembe5749
    @saudamwinyipembe5749 5 месяцев назад +12

    Tenda haki kwa binti lissa

  • @yussufhassan1132
    @yussufhassan1132 5 месяцев назад +9

    Anko Jay❤

  • @hidayamanda-gk7nf
    @hidayamanda-gk7nf 5 месяцев назад +11

    Ankojay jaman ututendeoi Haki bint Lisa tumeimis jaman

  • @denisamalamsha7650
    @denisamalamsha7650 5 месяцев назад +3

    Uwii 🎉🎉🎉🎉❤❤Lisa mwala upewe maua yako ....simulizi nzuri jamani

  • @ZaiZainabu-o4p
    @ZaiZainabu-o4p 2 месяца назад

    My more unanipa laha ancojey nikiwa ni sing nainjoy simulizi tam sana upewe mauwa yako🎉🎉

  • @lidiajephter7564
    @lidiajephter7564 5 месяцев назад +11

    Ewaaa

  • @LilianHanson-xl3cy
    @LilianHanson-xl3cy 5 месяцев назад +3

    Waoh anko stor nzurii sana😂

  • @mercymathias
    @mercymathias 5 месяцев назад +10

    Leo wakwnza nipen like zang pendaa wewew anko jay❤❤❤

  • @ZainabAli-rq8lg
    @ZainabAli-rq8lg 5 месяцев назад +5

    Pataaaamu hapo mambo ni 🔥🔥🔥🔥

    • @Official_ree0
      @Official_ree0 5 месяцев назад

      Fire extinguisher madame🔥😂🙌

  • @Linalina-mo8xg
    @Linalina-mo8xg 5 месяцев назад +55

    Jamn na mm Leo nimewai bc naomba like hata tano tu kila siku nachelewa😢😢❤

    • @LispaKadzoKalu
      @LispaKadzoKalu 5 месяцев назад +5

      Chukua hio usilie😊

    • @SusanNeema-re3hr
      @SusanNeema-re3hr 5 месяцев назад +3

      Unaonekana hua hulali kwa kunywa like haya pole chukua hizo 10 ili uwe na nafuu😊😊😅😅

    • @WwEe-qc7tc
      @WwEe-qc7tc 5 месяцев назад +2

      Jamani ili mtu ampate mtu sahihi hupitia mengi yakiwemo mema na mabaya pia ulie panguwa na MUNGU huwezi mkosa ingawa usipo chunga itaumizwa na kupitishwa kwenye moto wakati mwingine pasipo wewe kujuwa

    • @SusanNeema-re3hr
      @SusanNeema-re3hr 5 месяцев назад +2

      @@WwEe-qc7tc ndio mana nilazima upitia magumu ndio ufaulu so akili ni kwake hata mm nilipitia magumu

    • @ftimaramadan4748
      @ftimaramadan4748 5 месяцев назад +3

      ​@@SusanNeema-re3hrmm nilipitia magumu hadi nimekata tamaa nakuamia kuweka akili kutafuta pesa tu sikuwa eti hamna waume wake tele lakin sahii nna pesa atakae kuja nikwajil ya maslai yake tu na si mapenzi single is a king najikuta nipanda viwango vya juu kwaharaka sana sina stress

  • @agnesagnes5288
    @agnesagnes5288 5 месяцев назад +5

    Jamani wa2 wanalala RUclips 😂😂😂 Asante xn ankoj ❤❤❤

  • @aumuelly2909
    @aumuelly2909 5 месяцев назад +3

    Ahsante bwana anko Jay simulizi na wewe mpenzi lisa mwalla

  • @pendosiye7965
    @pendosiye7965 5 месяцев назад +7

    Anko J kwa upande wangu nilikuw naomba utoe simuliz ambayo ina part moja tyu hata kama ina masaa Tisa,kama ile simuliz ya Teacher Dylan ❤hz za part part zinatupita wengine, I love your work thanks ❤❤

    • @salmahasani5169
      @salmahasani5169 5 месяцев назад +1

      Kwer kabsa

    • @RahelIbrahim-id2li
      @RahelIbrahim-id2li 5 месяцев назад +1

      Au masaa 12

    • @ataamansi8941
      @ataamansi8941 4 месяца назад +1

      Kweli kabisa yaani unaakili nyingi @pendosiye wangu🎉🎉🎉

    • @AngelaNtinda
      @AngelaNtinda Месяц назад

      Kabisaaa kwel maan izi mamb ya prt inakuwa nomaaa

    • @pendosiye7965
      @pendosiye7965 Месяц назад

      @@ataamansi8941 hahahaha aya bhn ni kwel kama binti lisa ina part nying mno jmn mm nishahamia Kweny simuliz zenye part angalau tatu

  • @Shadia544
    @Shadia544 5 месяцев назад +15

    Haya tunaendelea na simulizi yetu tamuu BINTI MINA ✌️✌️✌️✌️

  • @linnerphilip4260
    @linnerphilip4260 5 месяцев назад +3

    Huyu dada hana bahat na mapenz atulie tu kuuza genge😂😂

  • @nemamwachepha1545
    @nemamwachepha1545 5 месяцев назад +3

    Eeeh tumefika chukua 🎉🎉🎉Yako Anko Mapesa

  • @usterbae
    @usterbae 5 месяцев назад +4

    Nimekuwa watano leo 😂 good job Ankojay love you from kenya ❤

  • @cesiliakessy3691
    @cesiliakessy3691 5 месяцев назад +3

    Lissa Mwalla kam lissa mwala …..we Uogopi lakini ❤❤❤❤

  • @mwanaishiaomar5695
    @mwanaishiaomar5695 5 месяцев назад +2

    Jaman 🙌🙌

  • @MamuPesa
    @MamuPesa 5 месяцев назад +4

    Why anko j unachelewa kupost binti mina 😂 lla l love you❤

  • @aminah9557
    @aminah9557 5 месяцев назад +2

    Dhaaaa mina bwana khaa

  • @proviousnatukunda
    @proviousnatukunda 5 месяцев назад +4

    Duu maisha yangekua rahisi kama yakwenye simulizi hi, tungekua tunaishi bila hata wasiwasi ndugu wasikilizaji

  • @JoyceElias-h7m
    @JoyceElias-h7m 5 месяцев назад +3

    Asante anko hujui tyu nilikuwa nakusubir kias gan yan

  • @SalmaSalma-cb2pl
    @SalmaSalma-cb2pl 5 месяцев назад +3

    Nzur sana

  • @aishasidi6673
    @aishasidi6673 5 месяцев назад +2

    Mm nigoal keeper😂😂 kila sku😂😂😂😂😂

  • @TyT-h5l
    @TyT-h5l 5 месяцев назад +3

    Jaman hii inaendelea na tu namiss Alvlisa

  • @MishyYusuph
    @MishyYusuph 5 месяцев назад +1

    Ahsante sana Anko kwa simulizi yetu hii nzuri, bado tuko pamoya, Ankoo much love ❤.

  • @josephine753
    @josephine753 5 месяцев назад +2

    Nzuri Sana jamani❤❤❤❤

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 5 месяцев назад +3

    Ankojay wewe ni 🔥 asante sana 🙏🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹💃🎋

    • @SusanNeema-re3hr
      @SusanNeema-re3hr 5 месяцев назад

      Haswa mtu asie mpa sifa zake ni mchawe...na atashindwa tu...anko jay tunakuombea usiku na mchana 🎉🎉🎉

    • @RahelIbrahim-id2li
      @RahelIbrahim-id2li 5 месяцев назад

      ❤❤❤❤❤

  • @AdAa-g3r
    @AdAa-g3r 5 месяцев назад +2

    Loo! Acheni kuwahi sana😂😂😂

  • @user-zj7hd6sg3y
    @user-zj7hd6sg3y 5 месяцев назад +1

    Kazi nziri sana Ankojay ❤❤❤

  • @Amina-rg2xb
    @Amina-rg2xb 5 месяцев назад +2

    Dah Habari part 3

  • @FadhilunMohamed-je8en
    @FadhilunMohamed-je8en 5 месяцев назад +2

    Asante simulizi nzuri sana

  • @cadeaualiza
    @cadeaualiza 4 месяца назад

    Teddy unajuwa kutengeneza maisha ya lafiki yako nimefurai

  • @BurgerBuddies-ih1ur
    @BurgerBuddies-ih1ur 5 месяцев назад +4

    Jamani napeda unavosimuil ya kaka

  • @RachealMwaganjoni
    @RachealMwaganjoni 3 месяца назад

    Mina uko mbio snaa ata kama hufai kukubali araka ivo ona ss yaliyokukuta,ankojay simulizi n motomoto snaa❤❤

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 5 месяцев назад +2

    Teddy amekuwa mama mwenye nyumba hahaha

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani2263 4 месяца назад

    Good story be blessed my wetu kipenzi anko Jay ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @aminaomarimaidi
    @aminaomarimaidi 3 дня назад

    Mbaya hiyo dah!!

  • @LydiaJoseph-st4sg
    @LydiaJoseph-st4sg 6 дней назад

    Duh natamani kupata lafiki kama Teddy 😂😂😂😂

  • @rhamarahma1188
    @rhamarahma1188 5 месяцев назад +1

    Ujajuwa kusema sihaba🎉🎉😂😂

  • @user-tb5ly3lq4j
    @user-tb5ly3lq4j 5 месяцев назад +4

    wapi binti lisa umetubaniya sana ila hata iyi haina mbana tuna enjoy 👊🏾

  • @saumunyadzua
    @saumunyadzua 5 месяцев назад +5

    15 hoyeeeeeeeee like kwa wingi bas

  • @user-wv2bq8lf8c
    @user-wv2bq8lf8c 5 месяцев назад +1

    Lisa mwala mambo yako ni moto

  • @MarimGodifrey
    @MarimGodifrey 4 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉yako kipenzi anko jey mapesa

  • @Kellyperry947
    @Kellyperry947 5 месяцев назад +1

    Atimaye you are here ila siku hizi unatuweka sana mzee babu😅😅😅

    • @aishasidi6673
      @aishasidi6673 5 месяцев назад

      Athletes Lisa tummies san😊😊😊

  • @PaulinaLwena
    @PaulinaLwena 5 месяцев назад

    Unajuwa kobe cku zote anaonekana anachelewa kutembea, hapana nimwendo wake gonga like hapa nimeingia,anko jay simuliz 🎉

  • @FatmaHassankhamisi
    @FatmaHassankhamisi 5 месяцев назад +3

    Asante anko jey ❤️❤️❤️🇴🇲🇴🇲🇴🇲🪑🪑🪑🎧🎧🎧

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 5 месяцев назад +2

    Wa mama wengi huwa akili zai za waza kusalitiwa na watoto sielewi inakuaje mume awe bora kuliko mtoto 😂😂😂mtoto s nguo nitaomba mtu kwangu no

  • @MiriamWilfred-ti4qb
    @MiriamWilfred-ti4qb 5 месяцев назад

    Simulizi za anko j PW sana,,,hongera kwake

  • @Official_ree0
    @Official_ree0 5 месяцев назад

    Daaah😢😢😢😢nimechelewa Sana ad roho imeniuma😢,,Anko Jay nikupe namba angu uwe unanistua bhac😂😂😂🙌

  • @salmahasani5169
    @salmahasani5169 5 месяцев назад

    Haya jmn kumekucha uku mkuje uku mambo ni moto 🔥🔥🔥

  • @hdhjdh775
    @hdhjdh775 5 месяцев назад +1

    Wa6 leo ❤❤❤❤🎉🎉

  • @JaneSanga-b5n
    @JaneSanga-b5n 5 месяцев назад +1

    Nimewah❤❤❤❤🎉

  • @ElizabethNdaga-nr7nc
    @ElizabethNdaga-nr7nc 5 месяцев назад +1

    Mina mina we niatalii mtu wangu 😂

  • @Thuu000
    @Thuu000 5 месяцев назад +1

    wakaka wa FB wanamwag pesa km anko j mapes 😂😂😂nimechek kwa sauti

  • @ShukuruErasto-j7h
    @ShukuruErasto-j7h 5 месяцев назад

    My love sweeety akoy wawoooo tunskupenda Ako wetu jmn

  • @wertqwe8326
    @wertqwe8326 5 месяцев назад +4

    Asante sana ankojay❤❤🇰🇪🇰🇪

  • @judikadzo8712
    @judikadzo8712 5 месяцев назад +4

    Ankojay mbona nikama una mafua pole sana😢😢

    • @avelinabaluhya2804
      @avelinabaluhya2804 5 месяцев назад +1

      Ni kweli hiyo sauti ni ya mafua,pole sana mpendwa wetu Ankojay

  • @lightnessnangale2965
    @lightnessnangale2965 4 месяца назад +1

    🔥🔥

  • @user-ml5rl2ev5x
    @user-ml5rl2ev5x 5 месяцев назад +2

    Nimawah nàomba like malafik

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 5 месяцев назад +1

    Lissa Mwala ❤❤❤❤nikisikiliza story zako huwa nasikia vidudu vinanitambaa mwili mzima 😂😂😂😂

    • @cesiliakessy3691
      @cesiliakessy3691 5 месяцев назад

      Nilijua ni mimi tu 😅😅😅😅😅

    • @binthassan9191
      @binthassan9191 5 месяцев назад

      @@cesiliakessy3691 tuko wengi darling 😊

  • @DanielKimaeio
    @DanielKimaeio 5 месяцев назад +1

    Sijui watakuwa mapacha au ni nini aisee naigojea kinoma

  • @FadhilunMohamed-je8en
    @FadhilunMohamed-je8en 5 месяцев назад +1

    Mama Na mwana kazi ipo

  • @Evelynmoreen3655
    @Evelynmoreen3655 5 месяцев назад +1

    Daahh maisha haya ni kizungunguzungu bola MINA utulie na biashala yako na uachane nahuyo Owen uombe Mungu akupe Mme sahihi ila kwa hali hiyo ya kutoa kipochi manyonya kwakira mtu unae kutana naye utakuja kujuta unapashwa kuona hali yako kwanza maana mama yako kakutenga inabidi utulie usishobokeye wanaume😅😅😅😅😅

  • @ZawadiKIULA
    @ZawadiKIULA 5 месяцев назад +1

    Asante ankojay ubarikiwe,

  • @MelisaSelena
    @MelisaSelena 5 месяцев назад +2

    Mina nae jaman kitulize bac.