Kwakweli Alvin amenisikitisha kabisa sikulala anatia huruma mungu amsamee zambi zake amrundishie utajili wake amemaliza vibaya. Anko Jay pamoja na Jomba Wajo mungu awabariki kwakazi nzuri na mafundisho ndani yake. I love you may God richly bless you abundantly.❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Na Alliyah tena, inamaana mie ,oooh gash ankojey 😅😅😅 we mkal ankojey saut ya simuliz unaweza nomaaa saana, aloooh bila kusikiza simuliz sako wallah aman sina
Anko jay sisi kama team kelvin tunaomba tuamishwe kwenye story ya binti shery au binti candy 😂😂😂 tumechoka kuchomwa chomwa visu kwenye story ya binti Lisa
❤❤❤❤❤❤ankoooo binti Lisa pressure inapanda vipi Alvin wangu😢😢
Lisa mwala kwenye kalamu😊Ankojay nyuma ya 🎤 ❤mbna pambe jmn
Pambe sio kidogo
Wakwanza leo naomba LIKE zangu 10 haya BINTI CANDY KAFANYANINI TENA TUNASIKILIZA HILI TUJUWE ILA LIKE 10 😂😂❤😆✌️
Penda xhanaaaa
@@Mariam1818-n7s ❤️❤️
Uko makini my
wakwanza mm naomba laik zenu
Leo nimekua w 18 mnao sikiliza simulizi za anko j tukiwa gulf tujuane😂😂bg love from kenya 🎉🎉🎉tunakupenda anko
Jman had rahaa hakuna kuchoka kuskia saut ya Anko J mapesa wetu kama mnamkubal gonga like na kumpa maua Lissa mwalla na Anko😂😂❤❤🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Leo n mm wa Kwanza tafadhali nipeni like
Hizo ufanyie nn mbna usicimment kitu kizury km kupongeza kaz ukapata like 😅
Kwakweli Alvin amenisikitisha kabisa sikulala anatia huruma mungu amsamee zambi zake amrundishie utajili wake amemaliza vibaya. Anko Jay pamoja na Jomba Wajo mungu awabariki kwakazi nzuri na mafundisho ndani yake. I love you may God richly bless you abundantly.❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hata nlikuwa sijajua mwandishi lakini nlikuwa nmegesi mwandishi ni ddangu Lisa mwala asante dear kwa kazi zako nzuri❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Woooow thank ankojay 🎉🎉🎉🎉❤❤ fod bless you 🙏 💖 ❤️
Maskni Alvn wetu Anko tupe ya kufata tujuwe
@@RehemaMugwaneza ila Alvin mpaka huruma sasaiv 🥺
Kazi nzuri kaka,listening from Kenya(Eldoret),much love.
Ankojay ww ninamba moja kwenye simulizi Yani unajua sana❤❤❤
Hello ankojay natumai uko salama simulizi mzuri hio sana Binti candy Kwa ivo natumai tutapata sehemu ya 2 plz❤❤❤❤
Sauti tu ni shida kwa simulizi🌹🌹🌹🌺🌺
Congratulations 🥳🥳🥳🎉🎉🎉 Lisa mwala kwa kazi zako nzuri unatupatia pamoja na ankooooo wetu kipenzi mungu awabariki nyote big up ❤❤🎉🎉🎉
Hello ankojay natumai uko salama simulizi mzuri hio sana Binti candy Kwa ivo nataka sehemu ya 2 please ❤❤❤❤❤
Wewe candy malaya...sijapenda cc wanawake waovyo
Asante sn kwa simulizi zuri 🎉😊😊
Woow!Ahsante sana Anko kwa simulizi yetu hii mpya nzuri,bado tuko pamoya.
Congratulations anko ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Safi sana Ankojay acha tufurahi ❤❤❤❤
Candy pole Sana Ankojey nakupenda
Ila ni simulizi yaa mchalo i like it❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉Nzur san
Na Alliyah tena, inamaana mie ,oooh gash ankojey 😅😅😅 we mkal ankojey saut ya simuliz unaweza nomaaa saana, aloooh bila kusikiza simuliz sako wallah aman sina
Fire ❤❤❤❤
My bro nice lisa we are waiting your story cos it's encouraging story
Tuletee ya pili ila we lissa una pepo yako ❤❤❤❤❤
Wau nimewapata anko !!! Nilikuwa nimewachwa mbali xana. Thanks anko ❤❤from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Much ❤❤ Lisa and Ankojay kwa kazi poa congrats 🎉🎉🎉 from 🇰🇪
Nimechelewa ila nipewe like zangu wapenzi
Shukrani sana Mungu🎉🎉🎉 awatanguriye kwasimurinzi ❤
Wow 🎉🎉sante kwa burudani Anko j 💐💐❤❤
Me again no 1
Candy duhhh!! Hatareee si kwakunyanduliwa huko asee
Aisee
Ankol jay asante unatuburudisha sana thank u me and and everyone
Love you my anko Jay simulizi wewe ❤❤❤❤❤❤
Asate sana ako Jay ubalikiwe sana
Ankojay pamoja sana kazi nzuri tùnakupenda ❤
Kah watu mnajuwa kuwahi Haya miye wamwisho Ila nyama ile ile❤
Acha ni 🪑🎧 lakini naumia lohni 🥱 kwajili Alvine 😢sikulala jameni AnkoJay ahsante
Yaani achaa 2 ilaa yatapitaa 2 kwa alivn wetu awe na tumainii kwa kweli na mali za kuvzurum hazidumu yaan
Kumbe tuko wengi mm Hadi nimeiota haki kaka tupe muendelez sehemu ya 37 plz
😢😢yani acha tu
Misina wasiwasi na alvn kwasababu najua atashinda vita💪
Namim leo sikupata usingizi kwakwel
Uyu dada anakipaji hanakazi mbaya yeye na ankoj wetu mungu awalinde
Nimewahi asante sana ankojay ❤❤❤
Asante anko jey jamani watu muko vizuri kuwanhi heee 😂😂😂😂😂😂
Candy anatembeza nyepu si mchezo duu hongera zake
🎉🎉🎉 Asante
Nilimiss simulizi ya lissa siku mingi 👊👊👊👊👊😊
Aweeeeeeee CANDY show us what you got
Huyu msichana anpana huyu msichana Ana penda kutiwa sana atuliye na roddy❤❤❤ atuliye
Jmn anko j tunasubiri bintii kiziwi
Asante Sanaa anko jay ❤❤❤🎉
Haya Basi anko j nimefika hapa darasani mapeema nimekaa 🪑
🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
😢joman Alvin anapitia wakat mgumu sana na inaumiza sana,💔
😂😂😂😂😂sasa ndo ukoment huku dada ila inatuuma ila hatun namna ngoja tusubir popote tunakoment
@@BissaumathyCassim-vn5ux 😢we acha t Yan tunashindwa ata kujizia wat ,😭
Anko jay ❤Lisa Mwala❤Forever ❤
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🇴🇲🇴🇲🇴🇲sijapenda umarayatu
Mbaya
Mh huna baya anko jay 🎤
LISA BEBEEEE KIBOKOYANGU KPZ CHANGU ATIMAE UMESHUSHA MZIGOOO❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ubarikiwe sana Ancle na Lissa kwa hii❤❤❤
Ndio ndio tupoo ❤❤❤
Thanks ankojay 🥰🥰
Uncle J nisaidie kumwambia LISSA MWALA nampenda
❤❤❤ Ankojey umwambiye Lisa mwala nayeye n❤❤❤
Mh, namhurumia sana huyu Candy,naona hajui wanaume wakoje,pole sana binti mdogo 😢😢😢
Yeye kazi yake kugawa tu kama doze
Wawooo❤❤❤
Asante twainjoy na story za ankojay ❤❤❤
Leo lisa hayupo eeee😢😢😢😢😢
Mh,afadhali Lodrick alikuwa mkweli na muwazi,mimi namsifu😂😂😂😂
Jamaniiii nzuri sana
Ankoo Ankoo wemkali bwana binti kendes nikali tuko pamoja jeijeyi
Watu leo
Wao🎉🎉🎉
Jamani wanaume mungu tu sihidie kweli bila mungu huwezi kitu asente Sana ANKO JAY
Pamela masanja 😅😅😅akili iko kwa lisa
Nimekuwa wa 5🤭🤭🤭
Tulia sasa usome kila unapoenda wana watu wao mbona utalinzwa sana candy😢😢
Nyie jamn dakika moja views kam wote😂😂 duuuh ila nami nimewah❤
Tatizo views kibao bt likes hamna wala comments
Leo pia hakna lisaaa
Simuliza Moto
Wakwanza leo jamani
Leo name sake❤
vile ni wa first bon
Anko jay ❤❤❤❤❤❤❤
Jamani❤ nzuri
Ankoo Ankoo wemkali bwana binti kendes nikali tuko pamoja jeijeyi😂😂
Anko jay sisi kama team kelvin tunaomba tuamishwe kwenye story ya binti shery au binti candy 😂😂😂 tumechoka kuchomwa chomwa visu kwenye story ya binti Lisa
Mila zengine nizakupumbavu yani mtu amezikwa haja maliza ata mwezi ati mnalazimisha mfiwa kuolewa ama aolewe mwanae huu niujinga wahali ya juu
😂😂 wanaoa na kuolewa na mali za marehemu siyo mtu yoyote hapo,ohooo!😂😂
Candy ni malaya sana
Mbaya,hicho kipochi manyoya kingekuwa sufuria inatumika hivyo ingetoboka
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤anko jey 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉yako
Umepigaje apo anko
alie skia neno tumvuzi agonge like apa 😂😂😂😂😂😂❤❤❤
Jaman mbona mbona simuliz ya binti Mina part 6 haipo?
Uliumizwa na Brai Candy,ila ulifundishwa somo namna ya kujisimamia nafsi yako,kwani ulipenda kuishi na wanaume wawili?
Tabia mbaya
Lakini binti Candy unapenda chuma wewe kila mtu 😊😊😊
❤❤❤❤ from Kenya
Inko jei jmn VP binti lisa
Very stor so much ❤❤
Lissa akikubali ombi la kelvin mim najitoa kwenye hii simulizi 😮😮
😂😂😂😂
Mambo ni 🔥🔥🔥lisa na Alvin
Nimemis Alvin ❤️