Naomba kibali Kwa Kila ninachokifanya kikangae kazi biashara yangu ndoa yangu kazi ya watoto wangu. Shule mungu ukaonekane naomba wateja kwenye kazi yangu upendo nyota yangu ikangae
Leo naomba nipokee kibali cha kufaulu vizuri mitihani yangu niliyomaliza jana Tarehe 22/05/2024,, Napokea kibali kwa ndoa yangu,napokea kibali cha watoto wangu,,napokea kibali cha masomo yangu,,napokea kibali cha wazazi wangu,,napokea kibali cha kuaminika na walimu wangu,,napokea kibali cha nyota yangu,, napokea kibali cha biashara,,,napokea kibali cha kukubalika ktk jamii
Napokea kibali Kila eneo kwenye biashara kwenye ndoa yangu kwenye familia yangu na kwenye jamii pia Kwa jina la YESU
Napokea kibali kaka atakapo simama mahakamani asikilizwe na kushinda kesi yake by mary dominick.
Naitwa Neema nipo Omani kila ninachofany hakiend Eemungu naomba kibari juu ya mambo yangu yote ninayo Fanya Kwa jina la YESU Amen🙏🙏
Naomba kibali changu kirudishwe katika jina la yesu
Mungu ni mwema nimepokea kwa Jina la Yesu
Ubarikiwe Sana
Napokea kibali kwenye Kila eneo la maisha yangu kwa jina la YESU
Naitwa Elisha athuma mfuru Niko mwanza naomba maobezi ya kibali Kwa jina la YESU christo amen baba 🙏🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana nana maombi haya yamemgusa mtoto wangu Thomas Menradi kwa jina la yesu
Amen nisa hidi ye apo kwa ma ombi. yakibali. Mm ni Ann. lnga ni ko sa udia mm ni mukenya Amen,🙏🏻🙏🙏🏻
Amen mtumishi na ubarikiwe mahali ulipo
Amen mtoto wangu ange akaitue kazi
Amen napokea kibali changu kwa jina la yesu napokea kila kilicho changu kwa maombi haya amen
Amen Mtumishi wa Mungu naomba kibali kutoka kwa Mungu kila eneo la maisha Yangu biashara Yangu na kila eneo Mungu wangu.
Amina mtumishi munguakafungue nyumba zangu kwa Jina LA yesu
Amina mtumishi wamungu akabariki kazi za mikono yetu
Amen napokea kibali cha mafanikio kuanzia sasa
Mungu naomba kibali ktk kazi ulionihitia naomba kibali
Amen baba naomba Kabali ya ndoa
Amina barikiwa sana mtumishi
Ee Mungu mwenyezi nakuomba kibali mbele zako nami nikumbukwe kwenye ongezeko la Mshahara peeke yangu siwe bila wewe naomba kibali baba .
Amen mungu baba naomba kibali nijenge.nipate biashara kubwa Kwa uwezi wa mungu
Amen mtumishi
Ubarikiwe sana Pastor Ndelwa, haya maombi yananigusa sana, Bwana Yesu asifiwe sana.🙏🙏🙏
Ameni napokea kibali Cha mafanikio yangu kwanzia Sasa mungu ni muweza yote🙏🙏🤫
Amen mtumishi nimepokea kwa jina la yesu
I receive
Amen mungu kubariki
Amina mtumishi ssante owsmaombi
Naomba mungu anirejeshee kibali kwenye maisha yangu pia kibal cha ndoa Ramia awe mume wangu sahii
Napokea kibali Kwa Jina la Yesu🙏🙏
Napokea kibali kwa damu ya Yesu Kristu..
Ubarikiwe mtumishi
Naomba maobezi ya kibali Kwa jina la YESU christo amen baba 🙏🙏🙏
Napokea kibali chana biashara na kazi yangu ya opital na familia yangu na ndoa mungu napokea kibali kutoka kwako
Napokea kibali kwa jina la yesu 🙏
Naomba kibali Kwa Kila ninachokifanya kikangae kazi biashara yangu ndoa yangu kazi ya watoto wangu. Shule mungu ukaonekane naomba wateja kwenye kazi yangu upendo nyota yangu ikangae
Naomba kibali changukirejeshwe kwa jina la Yesu Kristo
I receive in JESUS name
Amen
Amina 🙏
Nmepokea kwa damu ya yesu kristo
Naomba kibali mungu nipatiwe visa ya kwenda denmark
Amen Amen Amen Amen and amen 💖💖💖💖💖
Leo naomba nipokee kibali cha kufaulu vizuri mitihani yangu niliyomaliza jana Tarehe 22/05/2024,,
Napokea kibali kwa ndoa yangu,napokea kibali cha watoto wangu,,napokea kibali cha masomo yangu,,napokea kibali cha wazazi wangu,,napokea kibali cha kuaminika na walimu wangu,,napokea kibali cha nyota yangu,, napokea kibali cha biashara,,,napokea kibali cha kukubalika ktk jamii
Nashukuru 🙏 sana
Amen 🙏🙏🙏
Nimebarikiwa sana na maombi haya 🙏🙏
Amen Amen
Ubarikiwe sana Amen
Napokea kibali kwa jina last Yesu
Amen mungu akubariki
Amen amen
Amen 🙏
I receive in Jesus name Ameeen
Amen pastor
Amina na AMINA kubwaa
AMEEEEN❤❤🎉🎉🎉❤❤
Nimeshapokea. Kibali. Cha kuzidiwa na. Wateja kwenye. Biashara. Yangu
Amiina
Naitwa Adelphina mamba Kigali cha kazi
Eee Munguwang nakuomba unisaidie nipate kibali naniwe nyota
I receive inJesus name
Amennn
Jana nimefatilia maombi acha Leo nimefunguliwa na nitaendelea had kieleweke
Baba naomba kibali chandoa, kibali chakukubaliwa, kibali chabiashara.
ameee napokea pesa zangu napokea kulipea maden yote
Maombezi ya kibari
Napokea kibali kwenye kaz na nyota yangu ingae
Naomba maombi ya kukataa mambo ya majirani
Salome
napokea kulipwa pesa zangu
Napokea kibali cha kupanda cheo kazini kwa damu yako ya thamani
Amen asante Sana mtumishi Mungu akubariki,naamini Mungu anarudisha kila kilichoibiwa
Amina
Ameen Napokea kibari cha mafanikio ya maisha yako
😂Amina napokea
Mungu naomba unipe kibali kazin kwangu kwa wagen
Amen
Amen mungu akubariki
Ubarikiwe pasts
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen