MAAJABU DARAJA LA MAGUFULI KIGONGO BUSISI, RASMI KUANZA KUTUMIKA, TANROADS WATOA TAARIFA HII KUBWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 июл 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 18

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 3 дня назад +4

    Mwendazake kweli ulibadilisha hii nchi kwa muda mfupi sana, sijui nisemeje umetuachia ukiwa nchi haieleweki kabisaa. Pumzika kwa Amani

  • @user-gv8yn9lg1i
    @user-gv8yn9lg1i 2 дня назад +1

    Jp Makufuli 😅😅😅

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv 3 дня назад +4

    Je mama hana mchango kweli? Au mnasahau kwa makusudi?

    • @KudraWanguvu-em1xw
      @KudraWanguvu-em1xw 3 дня назад +1

      anao sana tena sana

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 2 дня назад +1

      ​@@KudraWanguvu-em1xwanamchango wakukabidhi bandari kwa waarabu siombaya😊😊😊

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq 2 дня назад

    Tumuombe maisha bora akhera na huyu mama mwenyez mungu amsimamie kwa uwezo wake mungu maana bila mungu hatuwezi kitu jamani na kila hali mja njia ni moja tu

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 3 дня назад +1

    Tanzania inanyanyuka..
    .

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 2 дня назад

    Barabara unganishi za Daraja ziwe na urefu kilometa nyingi na upana wa kutosha ilikulipa thamani ya gharama iliyotumika kulijenga siyo mjenge vibarabara kama vya huku uswahilini kuliunganisha Daraja hilo.

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 3 дня назад

    Huyu msimulizi ni mgeni kutoka nchi jirani? Pili, anapotosha kudai ya kwamba kuvuka kwa ferry kutoka Busisi hadi Kigongo ferry unatumia saa mbili. Hata kwa kupiga kasia huwezi kutumia zaidi ya saa moja!

  • @Worldunite
    @Worldunite День назад

    Mbona mnaleta mfarakano? Hili jambo liko wazi kwamba hayati JPM aliona umuhimu wa kujenga hili daraja na akaanza kulijenga, halikuwa jambo rahisi, na baada ya kifo chake mama ndo analimalizia, sasa, tunachoshindania hapa ni lipi?

  • @fauzseif7344
    @fauzseif7344 3 дня назад

    Sio meta ni metet

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 3 дня назад

    Mchango wa mama upo.....

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi 3 дня назад +1

    Mbona nguzo zajuu zinaonekana sio imara mjitafakari

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 дня назад

      Kutalipuliwa sasa mfuatiliaji ayupo

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 17 часов назад

      Engineer wewe? Yaani kwa picha tayari umeshaona ubovu wa daraja?🤣

    • @MalamboSelijusi
      @MalamboSelijusi 9 часов назад

      @@kambamazig02024 tulia mmh jambo dogo Hilo unapo ambiwa jambo lifanyie kazi