@@rayisadesigns2646 nisawa wewe utafute pesa ukajenge nyumba alafu fundi aandike jina lake kwasababu yeye ndio amejenga. Hizo si ni dharau. They have to acknowledge walipakodi wote.
Nasisitiza kila mmoja ahakikishe tunavitunza vizuri sana sana sana vifaa vyote na tuache hujumaaaa na mambo ya kipumbavu kuharibu treni hii. Hongera sana Serikali na wananchi wooooooteeeee.
Safi sana. Kwakweli mmekuwa wazalendo na mmefanya ubunifu wa hali ya juu. Nashauri zijazo ziitwe: Kikwete Express, Mwinyi Express, Mwananchi Express, Mlipakodi Express, Mpango Express, Majaliwa Express, Sokoine Express. NB: Mwinyi Express ni kwa ajili ya kumuenzi Mzee wetu Ruksa pamojanna kuthamini mchango wa mwanaye ambaye ni Raisi wa Zanzibar kwa sasa. Naipenda sana Tanzania yangu. Mama Samia tunakuombea sana. Piga kazi, tuko nyuma yako.
Congratulations 255 🇹🇿🇹🇿.nilitumia hii treni kwenda morogoro na kwa ukweli safari ni nyororo sana 🔥✅✅ I hope in the future hii reli itafika Arusha. Mimi kama jirani nawapongeza sana 🙌🏾🇰🇪
Congrats...tunaomba mtupe siku moja a full interior tour ya moja ya EMU's ..nadhani kuna ambazo zina premium classses, comfort flani, comfortable seats, Rest Rooms zikoje, nadhani kuna vending machines pia, Madaraja pia yakoje... nakadhalika. Ni prid ya watanzania wote hii.
@@MohamedAhmada-ie7ke ni kweli vilikuwepo kwenye ilani toka enzi ya Nyerere kwa bwawa la umeme na Mkapa/SGR, lakini mbona awamu zote 4 haikutekelezwa mpaka awamu ya 5-6? Sifa ya Magu ni uthubutu wa kuitekeleza ilani kwa kuianzisha miradi mikubwa mingi tu kwa wakati mmoja yaani mfano kuifufua reli ya MGR, kujenga Nyerere dam, SGR, Tanzanite bridge, Magufuli bridge, bus stands, masoko, ndege, kumalizia daraja la Mkapa na la kigamboni, airport terminal 3 na kujenga airports mpya, kuhamisha serikali na ujenzi wa Magufuli city Dodoma..... na sifa ya mama Samia ni kuendeleza na kukamilisha pale alipoishia Magu na yeye kuanzisha miradi mingine. Hakika JPM na SSH wanastahili sifa na pongezi kwa utendaji kazi wao uliotukuka bila kuwasahau wananchi wa Tz kwa kulipa kodi. Mungu ibariki 🇹🇿 na watu wake🤲🙏
Hivi vile vipua hapo mbele vitakuja baadae au vipo tayari. Maana kwenye clip ya yesting kule korea vilionekana. ila hizi zikija huku hatuvioni yani panakuwa wazi. Nadhani watanzania wenzangu ndo wanapo paangalia kwa maana ya mchongoko (aero dynamics)
WAKATI WATZ WANAPIGA HATUA MOJA MBELE, NDUGU ZAO WAKENYA WANAICHOMA NAIROBI YAO ILI WAANZE TENA HATUA MOJA NYUMA... HUZUNI SANA, AFRIKA INASIKITISHA SANA!!
@@godlistenmnkeni2454 naamini yanahitajika ndio maana yalinunuliwa.. au unaposema yatakapohitajika unaanisha hayahitajiki kwa sasa? Kwanini yalinunuliwa kama hayahitajiki? Vichwa vikowapi?
Kwa niwapongeze kwa kazi nzuri. Pili, TRC kwa nini hamfuniki pua za treni ya mchongoko(EMU)? Ina maana muliuziwa bila mfuniko wa pua za hizo treni mchongoko?
Ingependeza zaidi kuwaenzi Mahayati Rais wetu waliotangulia mbele za haki kwa kufuata mtiriko wa namba, kama namba moja ni Nyerere Express, basi namba mbili ingekua Mwinyi Express, namba tatu Mkapa Express Afu hao wengine wanafuata kutokana mtiririko waliokaa madarakani. Ni maoni yangu tu.
Mi nitafurahi nikiona zilizobaki zin akuja na rangi tofauti mchanganyiko wa rangi za bluu,kijani,na nyingine lakin katika michoro hiyo hiyo ya trc,muonekano mmoja ktk seti 10 inachosha akili vinginevyo nipongeze kwa kila aliehusika ktk kazi hii nzuri
@@elinamilyatuu7337 unakumbuka jmp ameondoka mladi wa SGR ulikuwa asilinia ngapi? na ulitakiwa kukamilika lini?,. Kama huyo uliyesema anaweza amalize kipande Cha Tabora kigoma miaka 3 amemaliza na anamiwili mingine,.akimaliza tumpe nayeye mauwa yake.
Hapana ipewe jina la mashujaa au mwananchi express kama ishara yakuunganisha watz nasio Samia express please tunaomba muache mzaha kwenye mambo ya msingi, Kila mradi upewe jina la Rais, kuanzia ikulu majengo ni Samia complex, uwanja wa mpira Arusha ni Samia Suluhu stadium, shule kubwa ya science wanawake Samia high school na Leo tena Samia express, kiukweli hakuna kiongozi aliyelazimisha kuacha alama kwenye miradi ya nchi kama mama yetu yaani sio poa kabisa, kina Sokoine, kawawa, Nyerere na mashujaa wengi wa nchi hii hawakutaka sifa hizi kabisa
Kenya yakwao wanaita madaraka express kuenzi siku waliyopata uhuru kujitawala, uwanja wao mpya wa mpira utaitwa talanta stadium, kwanini sisi miradi yote ya nchi iwe na majina ya Rais
Kazi nzuri sana tunapenda maendeleo kama haya. Mmekuwa wazalendo nawapongeza mmeita majina ya viongozi wetu safi sana.
seti moja ingepewa jina la "Mwananchi Express" kuwatambua wananchi walipa kodi.
😂😂😂
KWA SABABU HIYO MOJA IMEPEWA JINA LA MAMA AU VIPI?! DUH KAKA SIYO KWA CHUKI HIZO...
Au "Walipakodi Express"
@@rayisadesigns2646 nisawa wewe utafute pesa ukajenge nyumba alafu fundi aandike jina lake kwasababu yeye ndio amejenga. Hizo si ni dharau. They have to acknowledge walipakodi wote.
Naunga mkono hoja! Mwananchi mlipa kodi hadhaminiwi!!
wow magufuli express..am happy now
And me too 🎉🎉
Misahau Kadogosa Express!! That man has done a wonderful job ever!
Ni vizuri kuzithamini. kukumbuka na kuzienzi jitihada za wataalam wetu wa ndani.
Nasisitiza kila mmoja ahakikishe tunavitunza vizuri sana sana sana vifaa vyote na tuache hujumaaaa na mambo ya kipumbavu kuharibu treni hii. Hongera sana Serikali na wananchi wooooooteeeee.
Hapo EMU moja iandikwe kadogosa express kazi yake nzuri.
Rip Magufuli...The great visionary.
Acha tu!
Magufuli forever
Hapo saw kumbe Magufuli ipo ntakuwa napanda hiyo sasa❤❤
Hata mimi nimefurah kuona magufuri ipo
Hata mm
Kama Magufuli isingekuwepo nisingepanda hizo tren❤
Hahahaa safi sana kuona na kuthamini na kumuenzi jembe nilidhani tupo wachache wenye mtazamo kama wako.@@Niika870
Haha sawa
Tuzidikumunga mkono raisi samia kazi iendelee I love tanzania
Yani MAGUFULI EXPRESS ndo itakuwa train yangu kila ninaposafiri aisee❤❤❤❤❤❤❤
Yeah big up Tanzania & Govt. Kazi nzuri.kasi iongezwe ya ujenzi dodoma mwanza Ili tz yetu izidi kupendeza
Hapo kwenye pua la EMU train..funiko lake wekeni ipendeze zaidi...Ongera Tanzania yetu, Shirika letu (TRC) na Sisi Watanzania.👍
Saiz nchi inapiga hatua najivunia kuwa mtanzania 🇹🇿❤
Kwakweli. Napata hata ladha ya kuangalia taarifa za habari za maendeleo ya nchi yangu
Ila Magufuli...... Mungu amrehemu, maono yake yake ni ya mbali sana. Amefanya nchi iende kisasa
Na pia aliona Tanzania itaongozwa na mwanamke. Kw mara kwanza mgombea mwenza alikuwa mwanamke
Imagine angekua bado yupo hai..
Safi sana. Kwakweli mmekuwa wazalendo na mmefanya ubunifu wa hali ya juu. Nashauri zijazo ziitwe: Kikwete Express, Mwinyi Express, Mwananchi Express, Mlipakodi Express, Mpango Express, Majaliwa Express, Sokoine Express.
NB: Mwinyi Express ni kwa ajili ya kumuenzi Mzee wetu Ruksa pamojanna kuthamini mchango wa mwanaye ambaye ni Raisi wa Zanzibar kwa sasa.
Naipenda sana Tanzania yangu.
Mama Samia tunakuombea sana. Piga kazi, tuko nyuma yako.
Mmemsahau Cdf mabeyo luxury tz
Nyerere express, Magufuli Express and Samia Express,...
very impressive
Sana. Halafu pale station kuna picha ya Baba wa Taifa yaani Una feel Ile sense ya utanzania
@@GodlivenMaximillian-ot7mgkabisa mkuu.
Hongera Rais Samia kuendeleza mradi hakika wewe ni jasiri
Hayo ndio mambo tunataka kuona,.sio tunalipa Kodi,pesa zinaishia kununua V8 kila mwaka,
Mama apewe maua yake anaendeleza vizuri mambo aliyotaacha Hayati Magufuli kazi iendelee Uongozi ni kazi nzito lawama ni kitu cha kawaida
Uko sahihi wapo Watu walitaka kutuaminisha kuwa miradi yote ya kimkakati haitamalizika baada kifo Cha Rais JPM
Kweli anastaili mauwa yake tunampenda anatusuprise😅
My Tanzania my pride Chapa Kazi mama
Nataka kujuwa ratiba ya magufuli express😅😅
Hongereni sana. Viongozi wetu
Mashaallah nimepend Nyerere, Maguful na Samia Express...Next ni Mwinyi express au Mzee wa ruksa express
Viva Samia,viva Tanzania bongoland..Wenzetu huko wanaharibu vyao😅
Congratulations 255 🇹🇿🇹🇿.nilitumia hii treni kwenda morogoro na kwa ukweli safari ni nyororo sana 🔥✅✅ I hope in the future hii reli itafika Arusha. Mimi kama jirani nawapongeza sana 🙌🏾🇰🇪
Ni matumaini na maombi yangu kuwa treni hii itatunzwa na kulindwa kwa nguvu zote ili Watanzania wafaidi jasho lao. God bless Tanzania!
RIP JPM
Hongera wa Tanzania wore tunaolipa Kodi na bingwa wetu Magufuli Mungu akulaze mahali panapokustahili
Njia za Kigoma Arusha na Tazara nazo zinahitaji hii mki update na hizo sana sana ya Kigoma Tz itakuwa vizuri sana
Congrats...tunaomba mtupe siku moja a full interior tour ya moja ya EMU's ..nadhani kuna ambazo zina premium classses, comfort flani, comfortable seats, Rest Rooms zikoje, nadhani kuna vending machines pia, Madaraja pia yakoje... nakadhalika. Ni prid ya watanzania wote hii.
Mwenyew naisubir kwa hamu sana
Hongera Rais wetu❤
Magufulification
Hapo sawa Kumbe Magufuli ipo I admire her
NAOMBA RATIBAA FULL YA MAGUFULI EXPRESS PLZZ....
Na Magufuli iwepo tu kama hamtaki ugomvi😂😂😂😂
Kwanini Hamkuanza na Mangufuli/express?
Angalia sana, kuna siku utasema kwanini Jua lisichomoze Magharibi
Safi sana hapa ndugu zangu wa CCM tunajeuri ya kusema tumetenda. Mungu ampe maisha marefu Mh. Samia aendelee kutekeleza Ilani. CCM OYEE
Unazi
Ccm wapi wananchi hela zao
@@MathayoMulumbi Shida sio hela shexhe shida ni utendaji
Magufuri aliona mbali
Kasome ilani kwanza ndio utajua kua hivo vitu vipo
@@MohamedAhmada-ie7ke ni kweli vilikuwepo kwenye ilani toka enzi ya Nyerere kwa bwawa la umeme na Mkapa/SGR, lakini mbona awamu zote 4 haikutekelezwa mpaka awamu ya 5-6? Sifa ya Magu ni uthubutu wa kuitekeleza ilani kwa kuianzisha miradi mikubwa mingi tu kwa wakati mmoja yaani mfano kuifufua reli ya MGR, kujenga Nyerere dam, SGR, Tanzanite bridge, Magufuli bridge, bus stands, masoko, ndege, kumalizia daraja la Mkapa na la kigamboni, airport terminal 3 na kujenga airports mpya, kuhamisha serikali na ujenzi wa Magufuli city Dodoma..... na sifa ya mama Samia ni kuendeleza na kukamilisha pale alipoishia Magu na yeye kuanzisha miradi mingine. Hakika JPM na SSH wanastahili sifa na pongezi kwa utendaji kazi wao uliotukuka bila kuwasahau wananchi wa Tz kwa kulipa kodi. Mungu ibariki 🇹🇿 na watu wake🤲🙏
Hivi vile vipua hapo mbele vitakuja baadae au vipo tayari. Maana kwenye clip ya yesting kule korea vilionekana. ila hizi zikija huku hatuvioni yani panakuwa wazi. Nadhani watanzania wenzangu ndo wanapo paangalia kwa maana ya mchongoko (aero dynamics)
WAKATI WATZ WANAPIGA HATUA MOJA MBELE, NDUGU ZAO WAKENYA WANAICHOMA NAIROBI YAO ILI WAANZE TENA HATUA MOJA NYUMA... HUZUNI SANA, AFRIKA INASIKITISHA SANA!!
Waache wachome wao wanajidai Wana akili nyingi
Hongereni sana, Treni ya ghorofa iko wapi? Vichwa mlisema vinakuja July mwaka jana tunataka kupanda treni ya ghorofa
hivyo wanasema vinakuja mwakan
@@nickylyanga2139 train zilishakuja na vichwa ilibidi bike mwaka jana July ndio walisema hivyo
@@godlistenmnkeni2454 naamini yanahitajika ndio maana yalinunuliwa.. au unaposema yatakapohitajika unaanisha hayahitajiki kwa sasa? Kwanini yalinunuliwa kama hayahitajiki? Vichwa vikowapi?
Mabehewa ya ghorofa yapo lakin vichwa havijafika,yana vichwa vyake vilivyokuwa vikitumika pamoja huko ujeruman vikija lazima tutaviona
@@Assu89Ma2ly-xt4np vichwa vinakuja lini?
Kwa kweli mmevipatia majina vichwa hivyo. MAGUFULI NA SAMIA EXPRESSES. ASANTE SANA.
Kwa niwapongeze kwa kazi nzuri. Pili, TRC kwa nini hamfuniki pua za treni ya mchongoko(EMU)? Ina maana muliuziwa bila mfuniko wa pua za hizo treni mchongoko?
Hivi serikali iliangalia nn kuanza na dar to moro na siyo dar to arusha??
Asante sana Samia
Kile kichwa kibaya kiitwe Ruto express
🙉🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃♀️🙈
Baada ya majadiliano ya muda mrefu na Mganga wangu tumekubaliana safari zangu zote nitakuwa natumia MAGUFULI EXPRESS pekee
Tafadhali huyo mganga asikuelekeze kwenye Kudhulumu haki za kuishi za ndugu zetu wenye Ualbino...😂
😂😂😂😂😂
Wekeni conveyor belt, na behewa Maalum kwaajili ya mizigo Mabegi makubwa ambayo huwezi ku check in nayo, ili pawe smart
Behewa kubwa la mizigo tayari lilishaletwa kitambo... muda ukifika utaliona likitumika.
Kwahio we ndo mshauri wa mradi mkubwa kama huu? Na mabehewa ya magari yapo 🚎
Apo sawa Mimi ntapanda iyo magu exppres iyo ndo yenyewe
Ok tumekuelewa Mrs Ukabila.
Kikwete alitaka kutupa ya Diesel kama ya Kenya, asipewe jina
Hahaha
Una uhakika na unachokisema?
Kilaaa baada ya miaka 7 watu kama magufil wamatokea mara mmoja
Tumia Magufuli Express
Kama kuna magufuli express sawa,
Hata mimi nitapata
Ingependeza zaidi kuwaenzi Mahayati Rais wetu waliotangulia mbele za haki kwa kufuata mtiriko wa namba, kama namba moja ni Nyerere Express, basi namba mbili ingekua Mwinyi Express, namba tatu Mkapa Express Afu hao wengine wanafuata kutokana mtiririko waliokaa madarakani. Ni maoni yangu tu.
Good idea
Nami nimeshangaa kwanini namba 2 ni Samia halafu namba 3 ni Magufuli!!!
Achana na mambo ya namba hayana faida muhimu ipo basi
Magu express ipo?
Zile za ujerumani vichwa viwiri viko wapi na vinafika lini ikiwa mabehewa yake yapo tu
Respect🎉
Tanzania nchi yangu
Hapo sawa....ni raha tupu
2:33 🤩🤩🤩🤩 i'm happy now
I'm happy to see Magufuli Express
UO MFUNIKO WA APO MBELE AWAJALIPIA PESA YAAKE AU 😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Mimi nishapata yangu ni MAGUFURI express. Nilitazama kwakin ningekosa Hilo jina ningehama nchi hii walah
Du! Magufuri aliona mbali
Mi nitafurahi nikiona zilizobaki zin
akuja na rangi tofauti mchanganyiko wa rangi za bluu,kijani,na nyingine lakin katika michoro hiyo hiyo ya trc,muonekano mmoja ktk seti 10 inachosha akili vinginevyo nipongeze kwa kila aliehusika ktk kazi hii nzuri
Kazi nzuli❤❤❤
Fanyeni mpango abiria waweze kufika chalinze yaani wekeni miundombinu nzuri abiria wa chalinze tufaidi
Jpm ipo
Hii mibichwa mchongoko ndo tulioitaka toka mda sanaa na hii ndo yenyewe sasaa
Safi CCM kusimamia Irani ya Chama maendeleo kwa Tanzania..kazi Nzuri..Mama Samia 2025 tena.
Hilo ni jambo zuri sana.
Magufuli Express
Naomba kanda ya kaskazini tupate pia maana December sio poa tunavyobanana😂😂
Hivi ya Ghorofa toka Germany yaliendaje?????
Tuzipe majina ya maraisi wetu na hifadhi zetu pia na mlima kilimanjaro
Eti Samia express
Heee! Samia exps!! Naamini hata yeye hawezi kukubari jina lake liandikwe hapo
Huu ni mwaka wa 3 tangu Jpm aondoke,hata kama wewe ni mjinga kiasi gani jitahidi tusijue
@@elinamilyatuu7337 unakumbuka jmp ameondoka mladi wa SGR ulikuwa asilinia ngapi? na ulitakiwa kukamilika lini?,.
Kama huyo uliyesema anaweza amalize kipande Cha Tabora kigoma miaka 3 amemaliza na anamiwili mingine,.akimaliza tumpe nayeye mauwa yake.
ONGERA NYINGI KWA TANZANIA MPYA KWA WAPENDA MAENDELEO , HASA MAMA SAMIA , na JPM THE HERO
Kwani lazima iitwe samia hii nchi ya ajabu sana mtukuzeni Mungu siyo kila kitu samia kwanini lkn
Badala muandike jina la muasisi magufuli
Asanteni nimeona jina la magufuli hiyo ndy furaha yangu
Jamani TRC msisahau #msoga express please 😂😂😂😂 kama itawezekana
Alafu unakutana na wapinzani wanasema mama hafanyi kazi jani hiyo nini
wasisahau elishadai express
Mwanach expres iko wap
Watanzania vigeugeu nyie.. juzi tu hapawalikuwa wanahara leo wamenawa 😂😂😂😂
Kwamba hii nayo ni habari?!! 😂 Hii nchi hii
Tungekuwa tunajenga hizo EMU wenyewe hapo Tz ndio ingekuwa furaha , wahandisi wengi tunao.
mnacha kuweka jina la nchi mnaweka jina la mtu
Jamaa mmoja asipiwe jina kwenye huu mradi.
kumbe kweli ... mmeamua
Hapana ipewe jina la mashujaa au mwananchi express kama ishara yakuunganisha watz nasio Samia express please tunaomba muache mzaha kwenye mambo ya msingi, Kila mradi upewe jina la Rais, kuanzia ikulu majengo ni Samia complex, uwanja wa mpira Arusha ni Samia Suluhu stadium, shule kubwa ya science wanawake Samia high school na Leo tena Samia express, kiukweli hakuna kiongozi aliyelazimisha kuacha alama kwenye miradi ya nchi kama mama yetu yaani sio poa kabisa, kina Sokoine, kawawa, Nyerere na mashujaa wengi wa nchi hii hawakutaka sifa hizi kabisa
Tunaomba mzibe mbele iwe mchongoko kweli kweli
E m u maana yake nini
Wekeni mfuniko wa pua ya treni sio kukaa wqzi ipendeze
Mnataka kufanya majaribio! Ok! Kwani nivyamtumba? Au kwa namna ipi? Haya nimajaribio ya ngapi?
Too bad Magufuli hakumbukwi, wakati bila yeye huu mradi usingejengwa
Magufuli yupo EMU moja hapo inaitwa "Magufuli Express"
@@aminasittusaid3830
Cool☺️
@@aminasittusaid3830hawa huwa wanakurupuka bila ya hata kusikiliza vizuri kinachozungumzwa.
Kuma kweli wewe
@@letthedeadburythedead2148
Kibaya nchi imejaa miwatu aina yko inayowrza matusi tu na si vingine
Kweli taifa letu limejaa miwatu mijinga sana
Naomba isiwe kikwete express😂😂
Hilo tunalitegemea…😂
Ukabila uwo mbna izo balaba kutoka dar mpaka mwanza musoma kajenga magu alivyo kuwa laisi
Kenya yakwao wanaita madaraka express kuenzi siku waliyopata uhuru kujitawala, uwanja wao mpya wa mpira utaitwa talanta stadium, kwanini sisi miradi yote ya nchi iwe na majina ya Rais
Kwani lazima muite majina ya viongozi? Sijawahi kuona wananchi walipa Kodi wakipewa heshima yao
Hapo ndo ulidanganywa kwamba kodi yako ndo inaleta maendeleo
@@letthedeadburythedead2148 Wewe huna ujualo kaa kwa kutulia endelea Kula ugali wa mjomba
Na ipo siku atatokea mwenzio alie left group atasema iwekwe nembo ya kishoga so bora tuache tu kuna vtu viendelee maana havina ulazima
Mzee kikwete yupo au😂
Ile ya zamani inamfaa kikwete.
@@christopherjoseph8330😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 duh waiandike msoga express 😅😅
Mbona hapo mbele ni bampa tu