HIZI HAPA SETI 2 ZA MCHONGOKO, IPO “SAMIA EXPRESS”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 179

  • @GodlivenMaximillian-ot7mg
    @GodlivenMaximillian-ot7mg 3 месяца назад +11

    Kazi nzuri sana tunapenda maendeleo kama haya. Mmekuwa wazalendo nawapongeza mmeita majina ya viongozi wetu safi sana.

  • @giftchristianmeela1409
    @giftchristianmeela1409 3 месяца назад +44

    seti moja ingepewa jina la "Mwananchi Express" kuwatambua wananchi walipa kodi.

    • @worldtechlab
      @worldtechlab 3 месяца назад +1

      😂😂😂

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 3 месяца назад +4

      KWA SABABU HIYO MOJA IMEPEWA JINA LA MAMA AU VIPI?! DUH KAKA SIYO KWA CHUKI HIZO...

    • @temuemanuel4671
      @temuemanuel4671 3 месяца назад +2

      Au "Walipakodi Express"

    • @giftmeela6250
      @giftmeela6250 3 месяца назад

      ​@@rayisadesigns2646 nisawa wewe utafute pesa ukajenge nyumba alafu fundi aandike jina lake kwasababu yeye ndio amejenga. Hizo si ni dharau. They have to acknowledge walipakodi wote.

    • @emmanuelstephens1891
      @emmanuelstephens1891 3 месяца назад +2

      Naunga mkono hoja! Mwananchi mlipa kodi hadhaminiwi!!

  • @salumnamjupa-sy6cm
    @salumnamjupa-sy6cm 3 месяца назад +29

    wow magufuli express..am happy now

  • @joshuachimwejo5892
    @joshuachimwejo5892 3 месяца назад +7

    Misahau Kadogosa Express!! That man has done a wonderful job ever!
    Ni vizuri kuzithamini. kukumbuka na kuzienzi jitihada za wataalam wetu wa ndani.

  • @piusmapunda5900
    @piusmapunda5900 3 месяца назад +6

    Nasisitiza kila mmoja ahakikishe tunavitunza vizuri sana sana sana vifaa vyote na tuache hujumaaaa na mambo ya kipumbavu kuharibu treni hii. Hongera sana Serikali na wananchi wooooooteeeee.

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 2 месяца назад +1

    Hapo EMU moja iandikwe kadogosa express kazi yake nzuri.

  • @sebaoscar9205
    @sebaoscar9205 3 месяца назад +13

    Rip Magufuli...The great visionary.

  • @NdilanhaBoniphace
    @NdilanhaBoniphace 3 месяца назад +27

    Hapo saw kumbe Magufuli ipo ntakuwa napanda hiyo sasa❤❤

    • @johnlubagula9723
      @johnlubagula9723 3 месяца назад +1

      Hata mimi nimefurah kuona magufuri ipo

    • @michaelrweyemamu1068
      @michaelrweyemamu1068 3 месяца назад +1

      Hata mm

    • @Niika870
      @Niika870 3 месяца назад +4

      Kama Magufuli isingekuwepo nisingepanda hizo tren❤

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 3 месяца назад

      Hahahaa safi sana kuona na kuthamini na kumuenzi jembe nilidhani tupo wachache wenye mtazamo kama wako.​@@Niika870

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 3 месяца назад +1

      Haha sawa

  • @allysimu6856
    @allysimu6856 3 месяца назад +14

    Tuzidikumunga mkono raisi samia kazi iendelee I love tanzania

  • @SATZ-news
    @SATZ-news 3 месяца назад +5

    Yani MAGUFULI EXPRESS ndo itakuwa train yangu kila ninaposafiri aisee❤❤❤❤❤❤❤

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 3 месяца назад +5

    Yeah big up Tanzania & Govt. Kazi nzuri.kasi iongezwe ya ujenzi dodoma mwanza Ili tz yetu izidi kupendeza

  • @RamaTraceur
    @RamaTraceur 3 месяца назад +7

    Hapo kwenye pua la EMU train..funiko lake wekeni ipendeze zaidi...Ongera Tanzania yetu, Shirika letu (TRC) na Sisi Watanzania.👍

  • @richwase6550
    @richwase6550 3 месяца назад +15

    Saiz nchi inapiga hatua najivunia kuwa mtanzania 🇹🇿❤

    • @temuemanuel4671
      @temuemanuel4671 3 месяца назад +2

      Kwakweli. Napata hata ladha ya kuangalia taarifa za habari za maendeleo ya nchi yangu

  • @salehsimba5306
    @salehsimba5306 3 месяца назад +7

    Ila Magufuli...... Mungu amrehemu, maono yake yake ni ya mbali sana. Amefanya nchi iende kisasa

    • @bnyangoma
      @bnyangoma 3 месяца назад +2

      Na pia aliona Tanzania itaongozwa na mwanamke. Kw mara kwanza mgombea mwenza alikuwa mwanamke

    • @Sean1877
      @Sean1877 3 месяца назад +1

      Imagine angekua bado yupo hai..

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 3 месяца назад +3

    Safi sana. Kwakweli mmekuwa wazalendo na mmefanya ubunifu wa hali ya juu. Nashauri zijazo ziitwe: Kikwete Express, Mwinyi Express, Mwananchi Express, Mlipakodi Express, Mpango Express, Majaliwa Express, Sokoine Express.
    NB: Mwinyi Express ni kwa ajili ya kumuenzi Mzee wetu Ruksa pamojanna kuthamini mchango wa mwanaye ambaye ni Raisi wa Zanzibar kwa sasa.
    Naipenda sana Tanzania yangu.
    Mama Samia tunakuombea sana. Piga kazi, tuko nyuma yako.

  • @abdulseifmtuluma4484
    @abdulseifmtuluma4484 3 месяца назад +12

    Nyerere express, Magufuli Express and Samia Express,...
    very impressive

    • @GodlivenMaximillian-ot7mg
      @GodlivenMaximillian-ot7mg 3 месяца назад +2

      Sana. Halafu pale station kuna picha ya Baba wa Taifa yaani Una feel Ile sense ya utanzania

    • @temuemanuel4671
      @temuemanuel4671 3 месяца назад +1

      ​@@GodlivenMaximillian-ot7mgkabisa mkuu.

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 3 месяца назад +7

    Hongera Rais Samia kuendeleza mradi hakika wewe ni jasiri

  • @lazarombuze9776
    @lazarombuze9776 3 месяца назад +9

    Hayo ndio mambo tunataka kuona,.sio tunalipa Kodi,pesa zinaishia kununua V8 kila mwaka,

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 месяца назад +8

    Mama apewe maua yake anaendeleza vizuri mambo aliyotaacha Hayati Magufuli kazi iendelee Uongozi ni kazi nzito lawama ni kitu cha kawaida

    • @modestwenceslaus9
      @modestwenceslaus9 3 месяца назад +1

      Uko sahihi wapo Watu walitaka kutuaminisha kuwa miradi yote ya kimkakati haitamalizika baada kifo Cha Rais JPM

    • @LastdayJesu4153
      @LastdayJesu4153 3 месяца назад +1

      Kweli anastaili mauwa yake tunampenda anatusuprise😅

  • @ndulasimon
    @ndulasimon 3 месяца назад +5

    My Tanzania my pride Chapa Kazi mama

  • @user13375
    @user13375 3 месяца назад +7

    Nataka kujuwa ratiba ya magufuli express😅😅

  • @sebmalunde5945
    @sebmalunde5945 3 месяца назад +6

    Hongereni sana. Viongozi wetu

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 3 месяца назад +2

    Mashaallah nimepend Nyerere, Maguful na Samia Express...Next ni Mwinyi express au Mzee wa ruksa express

  • @ewaldambrose6136
    @ewaldambrose6136 3 месяца назад +5

    Viva Samia,viva Tanzania bongoland..Wenzetu huko wanaharibu vyao😅

  • @bernardkamau9844
    @bernardkamau9844 3 месяца назад

    Congratulations 255 🇹🇿🇹🇿.nilitumia hii treni kwenda morogoro na kwa ukweli safari ni nyororo sana 🔥✅✅ I hope in the future hii reli itafika Arusha. Mimi kama jirani nawapongeza sana 🙌🏾🇰🇪

  • @veronicalaiser7869
    @veronicalaiser7869 3 месяца назад +3

    Ni matumaini na maombi yangu kuwa treni hii itatunzwa na kulindwa kwa nguvu zote ili Watanzania wafaidi jasho lao. God bless Tanzania!

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 3 месяца назад +4

    RIP JPM

  • @ZainaRashid-t3m
    @ZainaRashid-t3m 2 месяца назад

    Hongera wa Tanzania wore tunaolipa Kodi na bingwa wetu Magufuli Mungu akulaze mahali panapokustahili

  • @MelloshaniMbonde
    @MelloshaniMbonde 3 месяца назад +2

    Njia za Kigoma Arusha na Tazara nazo zinahitaji hii mki update na hizo sana sana ya Kigoma Tz itakuwa vizuri sana

  • @danielkullwa1613
    @danielkullwa1613 3 месяца назад +1

    Congrats...tunaomba mtupe siku moja a full interior tour ya moja ya EMU's ..nadhani kuna ambazo zina premium classses, comfort flani, comfortable seats, Rest Rooms zikoje, nadhani kuna vending machines pia, Madaraja pia yakoje... nakadhalika. Ni prid ya watanzania wote hii.

  • @LastdayJesu4153
    @LastdayJesu4153 3 месяца назад

    Hongera Rais wetu❤

  • @FintanMkesha
    @FintanMkesha 3 месяца назад +5

    Magufulification

  • @emmanuelkamoli8215
    @emmanuelkamoli8215 3 месяца назад

    Hapo sawa Kumbe Magufuli ipo I admire her

  • @mussamussa8181
    @mussamussa8181 2 месяца назад

    NAOMBA RATIBAA FULL YA MAGUFULI EXPRESS PLZZ....

  • @SATZ-news
    @SATZ-news 3 месяца назад +3

    Na Magufuli iwepo tu kama hamtaki ugomvi😂😂😂😂

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 3 месяца назад +1

    Kwanini Hamkuanza na Mangufuli/express?

    • @abdulseifmtuluma4484
      @abdulseifmtuluma4484 3 месяца назад

      Angalia sana, kuna siku utasema kwanini Jua lisichomoze Magharibi

  • @godwinkasaizi882
    @godwinkasaizi882 3 месяца назад

    Safi sana hapa ndugu zangu wa CCM tunajeuri ya kusema tumetenda. Mungu ampe maisha marefu Mh. Samia aendelee kutekeleza Ilani. CCM OYEE

    • @Thekidp3702
      @Thekidp3702 3 месяца назад

      Unazi

    • @MathayoMulumbi
      @MathayoMulumbi 3 месяца назад +1

      Ccm wapi wananchi hela zao

    • @Beauthoms
      @Beauthoms 3 месяца назад

      ​@@MathayoMulumbi Shida sio hela shexhe shida ni utendaji

  • @ColestMakolo
    @ColestMakolo 3 месяца назад +4

    Magufuri aliona mbali

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 3 месяца назад

      Kasome ilani kwanza ndio utajua kua hivo vitu vipo

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 2 месяца назад

      ​@@MohamedAhmada-ie7ke ni kweli vilikuwepo kwenye ilani toka enzi ya Nyerere kwa bwawa la umeme na Mkapa/SGR, lakini mbona awamu zote 4 haikutekelezwa mpaka awamu ya 5-6? Sifa ya Magu ni uthubutu wa kuitekeleza ilani kwa kuianzisha miradi mikubwa mingi tu kwa wakati mmoja yaani mfano kuifufua reli ya MGR, kujenga Nyerere dam, SGR, Tanzanite bridge, Magufuli bridge, bus stands, masoko, ndege, kumalizia daraja la Mkapa na la kigamboni, airport terminal 3 na kujenga airports mpya, kuhamisha serikali na ujenzi wa Magufuli city Dodoma..... na sifa ya mama Samia ni kuendeleza na kukamilisha pale alipoishia Magu na yeye kuanzisha miradi mingine. Hakika JPM na SSH wanastahili sifa na pongezi kwa utendaji kazi wao uliotukuka bila kuwasahau wananchi wa Tz kwa kulipa kodi. Mungu ibariki 🇹🇿 na watu wake🤲🙏

  • @danielkullwa1613
    @danielkullwa1613 3 месяца назад

    Hivi vile vipua hapo mbele vitakuja baadae au vipo tayari. Maana kwenye clip ya yesting kule korea vilionekana. ila hizi zikija huku hatuvioni yani panakuwa wazi. Nadhani watanzania wenzangu ndo wanapo paangalia kwa maana ya mchongoko (aero dynamics)

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns2646 3 месяца назад +3

    WAKATI WATZ WANAPIGA HATUA MOJA MBELE, NDUGU ZAO WAKENYA WANAICHOMA NAIROBI YAO ILI WAANZE TENA HATUA MOJA NYUMA... HUZUNI SANA, AFRIKA INASIKITISHA SANA!!

  • @mariamapunda4577
    @mariamapunda4577 3 месяца назад +3

    Hongereni sana, Treni ya ghorofa iko wapi? Vichwa mlisema vinakuja July mwaka jana tunataka kupanda treni ya ghorofa

    • @nickylyanga2139
      @nickylyanga2139 3 месяца назад

      hivyo wanasema vinakuja mwakan

    • @mariamapunda4577
      @mariamapunda4577 3 месяца назад

      @@nickylyanga2139 train zilishakuja na vichwa ilibidi bike mwaka jana July ndio walisema hivyo

    • @mariamapunda4577
      @mariamapunda4577 3 месяца назад

      @@godlistenmnkeni2454 naamini yanahitajika ndio maana yalinunuliwa.. au unaposema yatakapohitajika unaanisha hayahitajiki kwa sasa? Kwanini yalinunuliwa kama hayahitajiki? Vichwa vikowapi?

    • @Assu89Ma2ly-xt4np
      @Assu89Ma2ly-xt4np 3 месяца назад +1

      Mabehewa ya ghorofa yapo lakin vichwa havijafika,yana vichwa vyake vilivyokuwa vikitumika pamoja huko ujeruman vikija lazima tutaviona

    • @mariamapunda4577
      @mariamapunda4577 3 месяца назад

      @@Assu89Ma2ly-xt4np vichwa vinakuja lini?

  • @haroungwiyamabuzohera-jk3vl
    @haroungwiyamabuzohera-jk3vl 2 месяца назад

    Kwa kweli mmevipatia majina vichwa hivyo. MAGUFULI NA SAMIA EXPRESSES. ASANTE SANA.

  • @realdude64
    @realdude64 3 месяца назад

    Kwa niwapongeze kwa kazi nzuri. Pili, TRC kwa nini hamfuniki pua za treni ya mchongoko(EMU)? Ina maana muliuziwa bila mfuniko wa pua za hizo treni mchongoko?

  • @MarryCharles-rc6ei
    @MarryCharles-rc6ei 2 месяца назад

    Hivi serikali iliangalia nn kuanza na dar to moro na siyo dar to arusha??

  • @JamesSichimata-w1u
    @JamesSichimata-w1u 3 месяца назад

    Asante sana Samia

  • @christopherjoseph8330
    @christopherjoseph8330 3 месяца назад +5

    Kile kichwa kibaya kiitwe Ruto express

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 3 месяца назад +3

      🙉🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃‍♀️🙈

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 3 месяца назад +3

    Baada ya majadiliano ya muda mrefu na Mganga wangu tumekubaliana safari zangu zote nitakuwa natumia MAGUFULI EXPRESS pekee

    • @abdulseifmtuluma4484
      @abdulseifmtuluma4484 3 месяца назад +1

      Tafadhali huyo mganga asikuelekeze kwenye Kudhulumu haki za kuishi za ndugu zetu wenye Ualbino...😂

    • @neemakerefu4876
      @neemakerefu4876 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂

  • @ericmoramagige3407
    @ericmoramagige3407 3 месяца назад +4

    Wekeni conveyor belt, na behewa Maalum kwaajili ya mizigo Mabegi makubwa ambayo huwezi ku check in nayo, ili pawe smart

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 3 месяца назад

      Behewa kubwa la mizigo tayari lilishaletwa kitambo... muda ukifika utaliona likitumika.

    • @letthedeadburythedead2148
      @letthedeadburythedead2148 3 месяца назад

      Kwahio we ndo mshauri wa mradi mkubwa kama huu? Na mabehewa ya magari yapo 🚎

  • @victoriambonde8061
    @victoriambonde8061 3 месяца назад +3

    Apo sawa Mimi ntapanda iyo magu exppres iyo ndo yenyewe

  • @ericmoramagige3407
    @ericmoramagige3407 3 месяца назад +4

    Kikwete alitaka kutupa ya Diesel kama ya Kenya, asipewe jina

    • @nth3512
      @nth3512 3 месяца назад

      Hahaha

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 3 месяца назад

      Una uhakika na unachokisema?

    • @EliaEzekiel-o7r
      @EliaEzekiel-o7r 3 месяца назад

      Kilaaa baada ya miaka 7 watu kama magufil wamatokea mara mmoja

  • @twaribujuma2860
    @twaribujuma2860 3 месяца назад +2

    Tumia Magufuli Express

  • @frankiekusekwa9469
    @frankiekusekwa9469 3 месяца назад +1

    Kama kuna magufuli express sawa,
    Hata mimi nitapata

  • @erastomaro7145
    @erastomaro7145 3 месяца назад +1

    Ingependeza zaidi kuwaenzi Mahayati Rais wetu waliotangulia mbele za haki kwa kufuata mtiriko wa namba, kama namba moja ni Nyerere Express, basi namba mbili ingekua Mwinyi Express, namba tatu Mkapa Express Afu hao wengine wanafuata kutokana mtiririko waliokaa madarakani. Ni maoni yangu tu.

    • @hamimuidrisa6390
      @hamimuidrisa6390 3 месяца назад

      Good idea

    • @josephatn5040
      @josephatn5040 3 месяца назад

      Nami nimeshangaa kwanini namba 2 ni Samia halafu namba 3 ni Magufuli!!!

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 3 месяца назад

      Achana na mambo ya namba hayana faida muhimu ipo basi

  • @butotanto
    @butotanto 3 месяца назад

    Magu express ipo?

  • @ShabaiSadick
    @ShabaiSadick 3 месяца назад +2

    Zile za ujerumani vichwa viwiri viko wapi na vinafika lini ikiwa mabehewa yake yapo tu

  • @stewartkilewo4433
    @stewartkilewo4433 3 месяца назад +1

    Respect🎉

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 3 месяца назад

    Tanzania nchi yangu

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 3 месяца назад

    Hapo sawa....ni raha tupu

  • @dramatic2558
    @dramatic2558 3 месяца назад

    2:33 🤩🤩🤩🤩 i'm happy now

  • @yourbody
    @yourbody 3 месяца назад +2

    I'm happy to see Magufuli Express

  • @mussamussa8181
    @mussamussa8181 2 месяца назад

    UO MFUNIKO WA APO MBELE AWAJALIPIA PESA YAAKE AU 😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @davidmickidad6842
    @davidmickidad6842 3 месяца назад

    Mimi nishapata yangu ni MAGUFURI express. Nilitazama kwakin ningekosa Hilo jina ningehama nchi hii walah

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750 3 месяца назад +1

    Du! Magufuri aliona mbali

  • @Assu89Ma2ly-xt4np
    @Assu89Ma2ly-xt4np 3 месяца назад

    Mi nitafurahi nikiona zilizobaki zin
    akuja na rangi tofauti mchanganyiko wa rangi za bluu,kijani,na nyingine lakin katika michoro hiyo hiyo ya trc,muonekano mmoja ktk seti 10 inachosha akili vinginevyo nipongeze kwa kila aliehusika ktk kazi hii nzuri

  • @GeorgePhilibet
    @GeorgePhilibet 3 месяца назад

    Kazi nzuli❤❤❤

  • @ombenikweka7222
    @ombenikweka7222 3 месяца назад

    Fanyeni mpango abiria waweze kufika chalinze yaani wekeni miundombinu nzuri abiria wa chalinze tufaidi

  • @piterasifa3757
    @piterasifa3757 3 месяца назад +2

    Jpm ipo

  • @Manywele.Maluja
    @Manywele.Maluja 3 месяца назад

    Hii mibichwa mchongoko ndo tulioitaka toka mda sanaa na hii ndo yenyewe sasaa

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 3 месяца назад

    Safi CCM kusimamia Irani ya Chama maendeleo kwa Tanzania..kazi Nzuri..Mama Samia 2025 tena.

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 3 месяца назад +1

    Hilo ni jambo zuri sana.

  • @gregorybakuza5796
    @gregorybakuza5796 3 месяца назад

    Magufuli Express

  • @FlavianaNjau-x5g
    @FlavianaNjau-x5g 3 месяца назад

    Naomba kanda ya kaskazini tupate pia maana December sio poa tunavyobanana😂😂

  • @SATZ-news
    @SATZ-news 3 месяца назад

    Hivi ya Ghorofa toka Germany yaliendaje?????

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 3 месяца назад

    Tuzipe majina ya maraisi wetu na hifadhi zetu pia na mlima kilimanjaro

  • @JamesmalesaMavere
    @JamesmalesaMavere 3 месяца назад

    Eti Samia express

  • @lazarombuze9776
    @lazarombuze9776 3 месяца назад +1

    Heee! Samia exps!! Naamini hata yeye hawezi kukubari jina lake liandikwe hapo

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 3 месяца назад

      Huu ni mwaka wa 3 tangu Jpm aondoke,hata kama wewe ni mjinga kiasi gani jitahidi tusijue

    • @lazarombuze9776
      @lazarombuze9776 2 месяца назад

      @@elinamilyatuu7337 unakumbuka jmp ameondoka mladi wa SGR ulikuwa asilinia ngapi? na ulitakiwa kukamilika lini?,.
      Kama huyo uliyesema anaweza amalize kipande Cha Tabora kigoma miaka 3 amemaliza na anamiwili mingine,.akimaliza tumpe nayeye mauwa yake.

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 3 месяца назад

    ONGERA NYINGI KWA TANZANIA MPYA KWA WAPENDA MAENDELEO , HASA MAMA SAMIA , na JPM THE HERO

  • @ananiangonyoka4309
    @ananiangonyoka4309 3 месяца назад

    Kwani lazima iitwe samia hii nchi ya ajabu sana mtukuzeni Mungu siyo kila kitu samia kwanini lkn

  • @kassimubilali5259
    @kassimubilali5259 3 месяца назад +1

    Badala muandike jina la muasisi magufuli

    • @kassimubilali5259
      @kassimubilali5259 3 месяца назад

      Asanteni nimeona jina la magufuli hiyo ndy furaha yangu

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po 3 месяца назад +1

    Jamani TRC msisahau #msoga express please 😂😂😂😂 kama itawezekana

  • @carolyneogall8967
    @carolyneogall8967 3 месяца назад

    Alafu unakutana na wapinzani wanasema mama hafanyi kazi jani hiyo nini

  • @elishajoseph8291
    @elishajoseph8291 3 месяца назад

    wasisahau elishadai express

  • @MichaelBruno-zy8ff
    @MichaelBruno-zy8ff 3 месяца назад

    Mwanach expres iko wap

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman345 3 месяца назад +1

    Watanzania vigeugeu nyie.. juzi tu hapawalikuwa wanahara leo wamenawa 😂😂😂😂

  • @worldinfoswahili
    @worldinfoswahili 3 месяца назад

    Kwamba hii nayo ni habari?!! 😂 Hii nchi hii

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 3 месяца назад

    Tungekuwa tunajenga hizo EMU wenyewe hapo Tz ndio ingekuwa furaha , wahandisi wengi tunao.

  • @rehemakarafuu-xi1py
    @rehemakarafuu-xi1py 3 месяца назад

    mnacha kuweka jina la nchi mnaweka jina la mtu

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 3 месяца назад

    Jamaa mmoja asipiwe jina kwenye huu mradi.

  • @nickylyanga2139
    @nickylyanga2139 3 месяца назад

    kumbe kweli ... mmeamua

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 3 месяца назад

    Hapana ipewe jina la mashujaa au mwananchi express kama ishara yakuunganisha watz nasio Samia express please tunaomba muache mzaha kwenye mambo ya msingi, Kila mradi upewe jina la Rais, kuanzia ikulu majengo ni Samia complex, uwanja wa mpira Arusha ni Samia Suluhu stadium, shule kubwa ya science wanawake Samia high school na Leo tena Samia express, kiukweli hakuna kiongozi aliyelazimisha kuacha alama kwenye miradi ya nchi kama mama yetu yaani sio poa kabisa, kina Sokoine, kawawa, Nyerere na mashujaa wengi wa nchi hii hawakutaka sifa hizi kabisa

  • @bonifacemarwa1975
    @bonifacemarwa1975 3 месяца назад

    Tunaomba mzibe mbele iwe mchongoko kweli kweli

  • @damianmadex3677
    @damianmadex3677 3 месяца назад

    E m u maana yake nini

  • @khamissaleh921
    @khamissaleh921 3 месяца назад

    Wekeni mfuniko wa pua ya treni sio kukaa wqzi ipendeze

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk 3 месяца назад

    Mnataka kufanya majaribio! Ok! Kwani nivyamtumba? Au kwa namna ipi? Haya nimajaribio ya ngapi?

  • @lifeonearth94
    @lifeonearth94 3 месяца назад +1

    Too bad Magufuli hakumbukwi, wakati bila yeye huu mradi usingejengwa

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 3 месяца назад +1

      Magufuli yupo EMU moja hapo inaitwa "Magufuli Express"

    • @lifeonearth94
      @lifeonearth94 3 месяца назад

      @@aminasittusaid3830
      Cool☺️

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 3 месяца назад

      ​@@aminasittusaid3830hawa huwa wanakurupuka bila ya hata kusikiliza vizuri kinachozungumzwa.

    • @letthedeadburythedead2148
      @letthedeadburythedead2148 3 месяца назад

      Kuma kweli wewe

    • @lifeonearth94
      @lifeonearth94 3 месяца назад

      @@letthedeadburythedead2148
      Kibaya nchi imejaa miwatu aina yko inayowrza matusi tu na si vingine
      Kweli taifa letu limejaa miwatu mijinga sana

  • @b.warron4631
    @b.warron4631 3 месяца назад

    Naomba isiwe kikwete express😂😂

    • @bnyangoma
      @bnyangoma 3 месяца назад

      Hilo tunalitegemea…😂

    • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
      @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 3 месяца назад

      Ukabila uwo mbna izo balaba kutoka dar mpaka mwanza musoma kajenga magu alivyo kuwa laisi

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 3 месяца назад

    Kenya yakwao wanaita madaraka express kuenzi siku waliyopata uhuru kujitawala, uwanja wao mpya wa mpira utaitwa talanta stadium, kwanini sisi miradi yote ya nchi iwe na majina ya Rais

  • @ShiitaMisambo
    @ShiitaMisambo 3 месяца назад

    Kwani lazima muite majina ya viongozi? Sijawahi kuona wananchi walipa Kodi wakipewa heshima yao

    • @letthedeadburythedead2148
      @letthedeadburythedead2148 3 месяца назад

      Hapo ndo ulidanganywa kwamba kodi yako ndo inaleta maendeleo

    • @ShiitaMisambo
      @ShiitaMisambo 3 месяца назад

      @@letthedeadburythedead2148 Wewe huna ujualo kaa kwa kutulia endelea Kula ugali wa mjomba

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 3 месяца назад +1

      Na ipo siku atatokea mwenzio alie left group atasema iwekwe nembo ya kishoga so bora tuache tu kuna vtu viendelee maana havina ulazima

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po 3 месяца назад

    Mzee kikwete yupo au😂

  • @feresianlugera-it8vh
    @feresianlugera-it8vh 3 месяца назад

    Mbona hapo mbele ni bampa tu