@@bonaventuremabula4113 mbona umekurupuka aliyesema suala la kumuweza aliyeimba chitaki ni nani Sasa hapo? Alafu kitu kama haujakielewa ni vema ukakaa kimya tu...
Project ni kazi ya muda kwa madhumuni ya kutengeneza bidhaa au huduma. Katika hili swala bidhaa ni album. Project lazima iwe na mwanzo na mwisho. Project zingine zitafuata kutokana na matokeo ya hii.
Ukweli kwa sasa hakuna mziki wa maana Ila changamoto kubwa ya Hawa jamaa mashabiki wao wengi now umri wetu umeshakwenda.. tutakuwa tunawapa big up tu katka mtandao uku uku.. Ila Hawa vijana wa sasa ndio Wana mtihani nao sana, sababu nao washaelewa music wa kizazi chao
Nilichokigundua hapa hakuna muunganiko wa kweli ni biashara tu hapo Ila ule uswahiba hakuna huyo chege anasimamiwa na mkubwa fela ambae hawana maelewano mazuri Sana na p funk majani, Pia hapo Kuna ule umoja wa necha na insepctor haroun kwaiyo utakuwa umevunjika ama.
P funk majani amekua mtu mwenye project nyingi lkn nyingi huwa zinaishia njiani,So hata kwenye hili hofu yangu malengo yatatimia?? Ni mtu ambae anazingatia sana mchakato kuliko matokeo
Well said bro,c show off ni biss👍
Umoja ni nguvu big up sana mubarikiwe. Much love from Kenya
Nimefurah sana muko pamoja .TMK . MUBARIKIWE❤❤❤❤❤❤❤❤💞 sana
TNC
TEMBA
NECHA
CHEGE unyama ni mwingi Sana💪🏻💪🏻💪🏻
Bora muje pamoja maana kuna wapuuzi tu huku wanaimba chitaki…
🤣😂🤣
yani hatawaungane makundi yote hapa tz hawamuwez aliyeimba chitaki
@@bonaventuremabula4113 mbona umekurupuka aliyesema suala la kumuweza aliyeimba chitaki ni nani Sasa hapo? Alafu kitu kama haujakielewa ni vema ukakaa kimya tu...
@@RobbyDejan1234 zamazao zilishapita hao
Tunataka mziki mzuri halisi
Project ni kazi ya muda kwa madhumuni ya kutengeneza bidhaa au huduma. Katika hili swala bidhaa ni album. Project lazima iwe na mwanzo na mwisho. Project zingine zitafuata kutokana na matokeo ya hii.
Naule uchezaji wa Tmk basi muulete vijana wasasa watapenda kinoma
hahahaha😂😂😂😂😂
𝑵𝒐𝒎𝒂 𝒔𝒂𝒏𝒂 𝒂𝒔𝒆𝒆
Tunasubiri kwa hamu
Ukweli kwa sasa hakuna mziki wa maana Ila changamoto kubwa ya Hawa jamaa mashabiki wao wengi now umri wetu umeshakwenda.. tutakuwa tunawapa big up tu katka mtandao uku uku.. Ila Hawa vijana wa sasa ndio Wana mtihani nao sana, sababu nao washaelewa music wa kizazi chao
Ni kwel kabsa bro umeongea vyema
Chege hv Bobsele na said. VERO Wako wapi
Nilichokigundua hapa hakuna muunganiko wa kweli ni biashara tu hapo Ila ule uswahiba hakuna huyo chege anasimamiwa na mkubwa fela ambae hawana maelewano mazuri Sana na p funk majani,
Pia hapo Kuna ule umoja wa necha na insepctor haroun kwaiyo utakuwa umevunjika ama.
Welcome Back ma Ninja
Furaha to mkiwa pmoja..!!!
Tunasubiri hilo dude mzee bifu zamani waachieni watoto bifu
Nakumbuka wakikosana Hawa majamaa nature alihisi kama akitoka hichi kikundi kingine kitabuma
Nawapenda sana
tunasubir mtuletee vituvzuri mashabiki zenu tunawapenda
Nakubali sana bro
Hiyo stick ya temba haitokagi
Na haidondoki
Nawapenda sana nyie TMK ❤
Nime m miss Temba ♥️
Warundi tunakubar ikikit kwakwerr?
❤❤❤❤tunawapenda❤❤❤❤❤❤❤❤💞💞💞💞💞💞
We missed you much guys
Napenda watu wanaoungana
Safi hii
Oyaaa nimefurahi Sana kwakweli
Yani Nina hamu wewe I can't wait..
Ohyaaaa dah tumechoshwa na viunovyao wapaka piko
Karibun wanaume wanguvu oyaaa lamamayakee
Tuna wakubali pia umoja ni nguvu
Ni kweli tumechoka kusikia nyimbo zenye matusi.najua unakuja mziki ambao hakuna vificho kwenye jamii nzima.
P fank is Doctar dre in Tanzania kuna sikuuu mtajuwa tuuuu na mtaelewa tuuuu
sasa hivi kazi ipo...
P funk majani amekua mtu mwenye project nyingi lkn nyingi huwa zinaishia njiani,So hata kwenye hili hofu yangu malengo yatatimia??
Ni mtu ambae anazingatia sana mchakato kuliko matokeo
Sema Alikiba na Mond wata post Kazi zenu?????au Big fizzier from Burundi Au South Africa Oskido????au Nigeria Ebuka au 2 baba
Tmk family mlituteka Sana jamani enzi hizo kule kwetu mpanda mpaka watoto walikuwa wanapenda staili yenu ya mapanga
Unajiskiaje
Kuna mtu anmic hapo kr
Ludixhen uwezo wenu Kama TMK
MANDISHI MATATU3
Tmk nawapend san
Safi TNC nguvu moja
Fanyeni onyesho siku ya Valentine