CHEGE AFUNGUKA "NILIWA MISS NDUGU ZANGU TEMBA NA NATURE" WATOTO WADOGO WAKAE MBALIII....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #Subscribe Bongoplus tv RUclips #diamondplatnumz #udaku #entertainment #subscribe #gossip

Комментарии • 60

  • @martingichovi5521
    @martingichovi5521 4 месяца назад +1

    Well said bro,c show off ni biss👍

  • @mohammedathman5816
    @mohammedathman5816 Год назад +4

    Umoja ni nguvu big up sana mubarikiwe. Much love from Kenya

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 Год назад +2

    Nimefurah sana muko pamoja .TMK . MUBARIKIWE❤❤❤❤❤❤❤❤💞 sana

  • @issahamissiissahamissi7775
    @issahamissiissahamissi7775 Год назад +4

    TNC
    TEMBA
    NECHA
    CHEGE unyama ni mwingi Sana💪🏻💪🏻💪🏻

  • @RobbyDejan1234
    @RobbyDejan1234 Год назад +7

    Bora muje pamoja maana kuna wapuuzi tu huku wanaimba chitaki…

    • @robathcarlos8068
      @robathcarlos8068 Год назад

      🤣😂🤣

    • @bonaventuremabula4113
      @bonaventuremabula4113 Год назад

      yani hatawaungane makundi yote hapa tz hawamuwez aliyeimba chitaki

    • @RobbyDejan1234
      @RobbyDejan1234 Год назад

      @@bonaventuremabula4113 mbona umekurupuka aliyesema suala la kumuweza aliyeimba chitaki ni nani Sasa hapo? Alafu kitu kama haujakielewa ni vema ukakaa kimya tu...

    • @bonaventuremabula4113
      @bonaventuremabula4113 Год назад

      @@RobbyDejan1234 zamazao zilishapita hao

    • @haidhabushiri9558
      @haidhabushiri9558 Год назад +2

      Tunataka mziki mzuri halisi

  • @kiatu
    @kiatu Год назад +3

    Project ni kazi ya muda kwa madhumuni ya kutengeneza bidhaa au huduma. Katika hili swala bidhaa ni album. Project lazima iwe na mwanzo na mwisho. Project zingine zitafuata kutokana na matokeo ya hii.

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION Год назад +7

    Naule uchezaji wa Tmk basi muulete vijana wasasa watapenda kinoma

  • @user-eg9ne2sb9c
    @user-eg9ne2sb9c 6 месяцев назад +1

    𝑵𝒐𝒎𝒂 𝒔𝒂𝒏𝒂 𝒂𝒔𝒆𝒆

  • @diwanikatayankonko2671
    @diwanikatayankonko2671 Год назад +1

    Tunasubiri kwa hamu

  • @rahimmarions5712
    @rahimmarions5712 Год назад +1

    Ukweli kwa sasa hakuna mziki wa maana Ila changamoto kubwa ya Hawa jamaa mashabiki wao wengi now umri wetu umeshakwenda.. tutakuwa tunawapa big up tu katka mtandao uku uku.. Ila Hawa vijana wa sasa ndio Wana mtihani nao sana, sababu nao washaelewa music wa kizazi chao

    • @louser9473
      @louser9473 Год назад

      Ni kwel kabsa bro umeongea vyema

  • @GibsonMahanga
    @GibsonMahanga 10 месяцев назад +1

    Chege hv Bobsele na said. VERO Wako wapi

  • @swalehesaad1143
    @swalehesaad1143 Год назад +1

    Nilichokigundua hapa hakuna muunganiko wa kweli ni biashara tu hapo Ila ule uswahiba hakuna huyo chege anasimamiwa na mkubwa fela ambae hawana maelewano mazuri Sana na p funk majani,
    Pia hapo Kuna ule umoja wa necha na insepctor haroun kwaiyo utakuwa umevunjika ama.

  • @beckarluhanga8421
    @beckarluhanga8421 Год назад +2

    Welcome Back ma Ninja

  • @mweroruwa6339
    @mweroruwa6339 Год назад +1

    Furaha to mkiwa pmoja..!!!

  • @japhetkarisa9385
    @japhetkarisa9385 Год назад

    Tunasubiri hilo dude mzee bifu zamani waachieni watoto bifu

  • @Qqambaa
    @Qqambaa Год назад +1

    Nakumbuka wakikosana Hawa majamaa nature alihisi kama akitoka hichi kikundi kingine kitabuma

  • @isaa6145
    @isaa6145 Год назад +1

    Nawapenda sana

  • @yustonwilliam3669
    @yustonwilliam3669 Год назад +3

    tunasubir mtuletee vituvzuri mashabiki zenu tunawapenda

  • @tonymaster3619
    @tonymaster3619 Год назад +1

    Nakubali sana bro

  • @stellahpaul5624
    @stellahpaul5624 Год назад +3

    Hiyo stick ya temba haitokagi

  • @rehemafredrick7794
    @rehemafredrick7794 Год назад +1

    Nawapenda sana nyie TMK ❤

  • @Babu.Suwa.Yoshua01
    @Babu.Suwa.Yoshua01 Год назад +2

    Nime m miss Temba ♥️

  • @nkurunzizaemery1581
    @nkurunzizaemery1581 Год назад +1

    Warundi tunakubar ikikit kwakwerr?

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 Год назад +1

    ❤❤❤❤tunawapenda❤❤❤❤❤❤❤❤💞💞💞💞💞💞

  • @christopherkalimanzila6868
    @christopherkalimanzila6868 Год назад +1

    We missed you much guys

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Год назад +2

    Napenda watu wanaoungana

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 Год назад +1

    Safi hii

  • @olembetonga7341
    @olembetonga7341 Год назад +1

    Oyaaa nimefurahi Sana kwakweli

  • @yussufkhasim9021
    @yussufkhasim9021 Год назад +1

    Yani Nina hamu wewe I can't wait..

  • @rahimhemed1219
    @rahimhemed1219 Год назад

    Ohyaaaa dah tumechoshwa na viunovyao wapaka piko
    Karibun wanaume wanguvu oyaaa lamamayakee

  • @omanmwajabumbeguoman8642
    @omanmwajabumbeguoman8642 Год назад +1

    Tuna wakubali pia umoja ni nguvu

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Год назад

    Ni kweli tumechoka kusikia nyimbo zenye matusi.najua unakuja mziki ambao hakuna vificho kwenye jamii nzima.

  • @pastoraile7195
    @pastoraile7195 Год назад

    P fank is Doctar dre in Tanzania kuna sikuuu mtajuwa tuuuu na mtaelewa tuuuu

  • @ankalmzito254
    @ankalmzito254 Год назад +1

    sasa hivi kazi ipo...

  • @mussamsella8560
    @mussamsella8560 Год назад

    P funk majani amekua mtu mwenye project nyingi lkn nyingi huwa zinaishia njiani,So hata kwenye hili hofu yangu malengo yatatimia??
    Ni mtu ambae anazingatia sana mchakato kuliko matokeo

  • @pastoraile7195
    @pastoraile7195 Год назад

    Sema Alikiba na Mond wata post Kazi zenu?????au Big fizzier from Burundi Au South Africa Oskido????au Nigeria Ebuka au 2 baba

  • @rajabhussein7794
    @rajabhussein7794 Год назад +1

    Tmk family mlituteka Sana jamani enzi hizo kule kwetu mpanda mpaka watoto walikuwa wanapenda staili yenu ya mapanga

  • @omarmussa5755
    @omarmussa5755 Год назад

    Unajiskiaje

  • @fabianfaustine444
    @fabianfaustine444 Год назад +1

    Kuna mtu anmic hapo kr

  • @yahayanelem993
    @yahayanelem993 Год назад

    Ludixhen uwezo wenu Kama TMK

  • @scorasticaclement6308
    @scorasticaclement6308 Год назад

    MANDISHI MATATU3

  • @hamiboy1706
    @hamiboy1706 Год назад

    Tmk nawapend san