Kilicho fanya uc muoe sinta ni cool james mtoto wa dandu alivo toka sweden ndio alikutana na sinta best bite mwandishi asie julikana alimpiga picha sinta akiwa ana mla denda james ndio ilikua chanzo ulivo imba ina niuma cn cool jamea uli muondoa ww juma kisa sinta ucngeweza kipindi kile upepo wa cool james ucnge muweza sinta tulia tumwachie mungu!!
sir kibla Juma kasimu kiroboto waungwana wasio na ngwasi wananikaribisha gym sababu mm ni mzawa wa mtoni kurasini nature mtu wa watu navyoishi kibantu msitu wa vina .unga sio machejo sitarehe yake kumoyo atakula hata kama kibogoyo siatamung'unya eti nipendwe mpaka Mavumba chap chap mm naona mali tu nizubae wakati sina kitu .KWA TANZANIA SIJAONA WA KUKUSHINDANISHA NAYE
Yani nature ndo msanii ambaye anamuheshimu produce wake aliemtoa mapaka leo,,,lkn kuna wasanii wengine mapaka leo hawataki kuamini kwa maproducer waliowatoa mfano mmoja yupo wasafi pale,,,
Mwanamziki pekee niliyenunua kila kazi yake. Album Ugali ilisababisha baba afunge safari kuja shule kupeleleza kama navuta ganja. Nakumbuka kuna mstari mmoja anamponda Sinta na rafiki zake kuwa "wanavuga hawali sana! Wanakula hao😂😂😂
Sauti flani hivi ya mmea, sir juma nature kiroboto,so humble
😂😂😂
Mtoto wako wakike au wakiume, Jamaa anakwambia demu dah Nature Chenga sanaa🇿🇦🇹🇿
Ee mwenyezi Mungu tunakuomba tuepushie vizazi vyetu na majanga ya DUNIA likiwemo la matumizi ya madawa ya kulevya
Dah nashindwa maneno ya kumsifia juma kwa ninavyomkubali 🔥🔥
Nature msanii asiye na dharau mkubwa rafiki Mdogo rafiki
Nakumbuka ulivo msaidia Hamorapa kwenye ngoma yake ile.
Juma Nature ni balaa, Naikumbuka sana nyimbo ya Sonia
Juma Kasim Kiroboto
Mtu wa watu sana 🙏🏿🤲🏿
I luv the voice of this guy since 2005
Juma nature namtambua sanaaa kutoka +254 kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
hongera
mkali wa mda ote sir nature
Kweli juma lazima upagawe. Yasinta yupo vizuli sana
Hakuna nature wawili... Nature ni mmoja tu... Hapoi haboi...
Vijana wa sasa wanatakiwa wawaige sana...ninyi! Maana wamehama kuimba mapenzi wanaimba ngono...nyimbo zako zote nzuri!
Najiisi furaha sana niki muona kaka mkubwa juma thanks guys.
Tunafanya kaziiiiiii ah kibra
Nature msanii mwenye nidham sana nyimbo zake elimu tosha
Kilicho fanya uc muoe sinta ni cool james mtoto wa dandu alivo toka sweden ndio alikutana na sinta best bite mwandishi asie julikana alimpiga picha sinta akiwa ana mla denda james ndio ilikua chanzo ulivo imba ina niuma cn cool jamea uli muondoa ww juma kisa sinta ucngeweza kipindi kile upepo wa cool james ucnge muweza sinta tulia tumwachie mungu!!
Daaaaaa mwanangu unaonekana mkongwe kinoma bigup to you
Alimuondoa kvp
Juma Nature_ROHO NYEUPEEE_simple sana mtu wa watu mtu wa kujichanganya
Endeleeni kuchangamka kweli na Mungu atazidi kuwabariki mda wowote 👌 👏🔥🙏🌞🇰🇪.
Mzee wa busara ni bonge la ngoma Yan nimekumis sana yan
Mwambie salio la verse ni habari nyingine aise namwelewa sana tokea kahama
Ahsante. Juma Nature.
Mi namsapoti sana huyu jamaa ninangoma zake km zote kutoka boom anajua sana
Juma nature ww ni kiboko umenifrahisha sanaa
Kaka juma
Bongo fleva asili yake JUMA NATURE
Nataka nifunzwe namna ya kuuza nyimbo Zangu
Juma kaka mi nakubali kabis ww ndo mfarume wa tmk
kenya ...napeda nature sana
sir kibla Juma kasimu kiroboto waungwana wasio na ngwasi wananikaribisha gym sababu mm ni mzawa wa mtoni kurasini nature mtu wa watu navyoishi kibantu msitu wa vina .unga sio machejo sitarehe yake kumoyo atakula hata kama kibogoyo siatamung'unya eti nipendwe mpaka Mavumba chap chap mm naona mali tu nizubae wakati sina kitu .KWA TANZANIA SIJAONA WA KUKUSHINDANISHA NAYE
kirobotooooooo💪💪💪💪💪
Sir nature saluti kwenye wingu sr8t outta from +256 much respect
Juma kassim kiroboto missed him
Nature ndio msanii naemkubar bongo hii sky bundala saut kizaz san
Juma cassim nature kipaji matata daaah mziki ulikuwa kipindi kile balaa
Mimi hakuna nyimbo ya juma nature naipenda kama "mtoto iddi" 🤣🤣
Iko xawa si uwongo na ile kaimba na Squier NAJA. .
@@aminaissa9756 kabsa
Wwe ni mmi kabisa😂😂
Hahaha pesa alikua anabeba kwenye mfuko wa rambo hahaha eti mtoto wake demu
Jumma nature 🔥🔥🇨🇩🇺🇸
Sir Nature👏👏👏🔥🔥🔥🔥
Sky: ni mtoto gani
Juma Nature: Demu...!
yaani hatari sana, siyo wa kike, ila demu
Dem🤣🤣
MY FAVOURITE ARTIST IN TZ
Nikuambie kitu Mimi kila siku nasikiliza nyimbo za Juma nature Boomplay
Mwili wa Juma nature unamfanya aonekane bado yankiiiiii
Wakike wakiume?? Demu 😂😂😂😂😂
Baba nakubari san nature from gmc young boy hapa
Demu
Ila Nature bana anaulizwa mtoto gani eti "Demu" 🤣🤣
🤣🤣🤣
Nature namkubali sana
Inaonyesha kiasi gani wanawake wachuo wapo kujiuza toka mwanzo na hiyo sifa inaendelea kupamba moto...
Namkubali juma tupe jina la you tob
Nature
Safi sana sns tunahitaji full interview ya juma nature aka mugambo
Miss you sana nature
Kibra matata
Ya kale dhahabu upo juu bado nature jitangaze
Huyo mfalme farao ni trionea namjuwa mwambie anitafute
Yani nature ndo msanii ambaye anamuheshimu produce wake aliemtoa mapaka leo,,,lkn kuna wasanii wengine mapaka leo hawataki kuamini kwa maproducer waliowatoa mfano mmoja yupo wasafi pale,,,
Mpuuzi yule kaz dharau tu
Legend Sir Nature
Nina mtoto mmoja demu🤣🤣
Sir nature..
Mm napenda Ile nyimbo inaitwa kisa demu##
juma kitambo utajiju qar
Eti mm nnamtoto dem....
NATURE
From +974 ...nature nMkubali sana ...
Mwambaaà
Upo vizur bro❤❤🇪🇭🇪🇭
yess dubai at Deira city🇦🇪🇦🇪🇦🇪
Sir necha
Itabidi nikae karibu na kaka juma😂
Watuwekee hizo album amazon HD kwa wale ma audiophile, nyimbo baazi zipo tayari
Hii sauti naona ya bange kabixa!!
Duhh
Kiroboto
Nature on 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Sir nature huyo sasa hivi hata kazi ya kuwa houseboy wake hakupi... Sir kachoka sana
Maisha ni yale yalee, usiwe mnyonge demu
Ugali
Juma nawadai mpaka kesho jina langu la wanaume alichukua kwangu na Alie lipeleka ni abdallah soga na jazari hao ndio mashaidi juma mnilipe
🤣🤣🤣 zamani sana
wacha niwaambie hakun cople ya kipnd hicho kam nature na sinta sio sasa
Sir natureeeeeeee 🤣❤️🇹🇿
Kaka vp naomba connection ya Juma Nature maana Nipo Radio na kila Jumapili nakua na kipindi cha nyimbo za zamani na interview za wasanii wa zamani
Mchek bro sky insta atakupa nmba za nature sky hana roho mbaya
Mwanamziki pekee niliyenunua kila kazi yake. Album Ugali ilisababisha baba afunge safari kuja shule kupeleleza kama navuta ganja. Nakumbuka kuna mstari mmoja anamponda Sinta na rafiki zake kuwa "wanavuga hawali sana! Wanakula hao😂😂😂
Hahahahaha balaaa
Hahaha safisana
Nature akiongea unapenda uendelee kumsikikiza tu,,ana rafudhi ya kimakonde hivi
Hana yakizaramo
Kibla
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌
Nature kanana na Paula wa kajala 😜
Qibla ana mengi ya kuongea bana na interview ni fupi sana
Sana kwanza achoshi kumsikiliza
Hahahah nature anaongea kama dudubaya . Nani amesikia kama Mimi ?
Hahahhahahaa daaah anamtoto demu sio
Sir cassim hahaha
2:33 😂😂😂
Sir nature😂😂😂😂😂
Sasa hilo mzula au nini?
Ww wa kiume au
Hahaha bi mkubwa akasema hapana🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mapokopoko mabinzari
Sasa hiyo clown creep!nikuulize kwanza
🤣🤣🤣