Sir Nature: Nilitaka nimuoe Sintah, nilipompeleka nyumbani mama akasema ‘Hapana’

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Mfalme Pharao ft Juma Nature-KIKI! (Official Video)
    • Mfalme Pharao ft Juma ...

Комментарии • 117

  • @jacobsadock3530
    @jacobsadock3530 Год назад +3

    Sauti flani hivi ya mmea, sir juma nature kiroboto,so humble

  • @mosamossile9113
    @mosamossile9113 3 года назад +8

    Mtoto wako wakike au wakiume, Jamaa anakwambia demu dah Nature Chenga sanaa🇿🇦🇹🇿

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 3 года назад +3

    Ee mwenyezi Mungu tunakuomba tuepushie vizazi vyetu na majanga ya DUNIA likiwemo la matumizi ya madawa ya kulevya

  • @antipascann2797
    @antipascann2797 3 года назад +13

    Dah nashindwa maneno ya kumsifia juma kwa ninavyomkubali 🔥🔥

  • @wilonjabikey8274
    @wilonjabikey8274 3 года назад +16

    Nature msanii asiye na dharau mkubwa rafiki Mdogo rafiki
    Nakumbuka ulivo msaidia Hamorapa kwenye ngoma yake ile.

  • @andreamajura4527
    @andreamajura4527 Год назад +2

    Juma Nature ni balaa, Naikumbuka sana nyimbo ya Sonia

  • @malekanomalindi8152
    @malekanomalindi8152 Год назад +3

    Juma Kasim Kiroboto
    Mtu wa watu sana 🙏🏿🤲🏿

  • @ngenokipkorir9758
    @ngenokipkorir9758 2 года назад +5

    I luv the voice of this guy since 2005

  • @danneismail5442
    @danneismail5442 3 года назад +13

    Juma nature namtambua sanaaa kutoka +254 kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @palmalazulazul4939
    @palmalazulazul4939 3 года назад +11

    mkali wa mda ote sir nature

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib 5 дней назад

    Kweli juma lazima upagawe. Yasinta yupo vizuli sana

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 3 года назад +2

    Hakuna nature wawili... Nature ni mmoja tu... Hapoi haboi...

  • @peterwilbard7418
    @peterwilbard7418 3 года назад +7

    Vijana wa sasa wanatakiwa wawaige sana...ninyi! Maana wamehama kuimba mapenzi wanaimba ngono...nyimbo zako zote nzuri!

  • @alainmkambilwa7845
    @alainmkambilwa7845 Год назад +2

    Najiisi furaha sana niki muona kaka mkubwa juma thanks guys.

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 8 месяцев назад

    Tunafanya kaziiiiiii ah kibra

  • @AliAli-kh7km
    @AliAli-kh7km 3 года назад +3

    Nature msanii mwenye nidham sana nyimbo zake elimu tosha

  • @frankkaiza3658
    @frankkaiza3658 3 года назад +3

    Kilicho fanya uc muoe sinta ni cool james mtoto wa dandu alivo toka sweden ndio alikutana na sinta best bite mwandishi asie julikana alimpiga picha sinta akiwa ana mla denda james ndio ilikua chanzo ulivo imba ina niuma cn cool jamea uli muondoa ww juma kisa sinta ucngeweza kipindi kile upepo wa cool james ucnge muweza sinta tulia tumwachie mungu!!

    • @brazanet6916
      @brazanet6916 3 года назад +1

      Daaaaaa mwanangu unaonekana mkongwe kinoma bigup to you

    • @abuufaisal4383
      @abuufaisal4383 Год назад

      Alimuondoa kvp

  • @iim428
    @iim428 3 года назад +3

    Juma Nature_ROHO NYEUPEEE_simple sana mtu wa watu mtu wa kujichanganya

  • @theceefamily7764
    @theceefamily7764 3 года назад +6

    Endeleeni kuchangamka kweli na Mungu atazidi kuwabariki mda wowote 👌 👏🔥🙏🌞🇰🇪.

  • @arlecoboazsote5056
    @arlecoboazsote5056 3 года назад +3

    Mzee wa busara ni bonge la ngoma Yan nimekumis sana yan

  • @lazarolaurent8800
    @lazarolaurent8800 3 года назад +3

    Mwambie salio la verse ni habari nyingine aise namwelewa sana tokea kahama

  • @blackhibiscus1876
    @blackhibiscus1876 Год назад +1

    Ahsante. Juma Nature.

  • @godfreymwaisaka1598
    @godfreymwaisaka1598 Год назад +1

    Mi namsapoti sana huyu jamaa ninangoma zake km zote kutoka boom anajua sana

  • @makulaikuku6909
    @makulaikuku6909 3 года назад +5

    Juma nature ww ni kiboko umenifrahisha sanaa

  • @loycejohnmuhamb2421
    @loycejohnmuhamb2421 10 месяцев назад +1

    Kaka juma

  • @shafficchagge5698
    @shafficchagge5698 2 года назад +2

    Bongo fleva asili yake JUMA NATURE

  • @asuutz7511
    @asuutz7511 Год назад +2

    Nataka nifunzwe namna ya kuuza nyimbo Zangu

  • @ramadhanimalembuka9024
    @ramadhanimalembuka9024 2 года назад +1

    Juma kaka mi nakubali kabis ww ndo mfarume wa tmk

  • @abelnjeru1410
    @abelnjeru1410 2 года назад +1

    kenya ...napeda nature sana

  • @beckarluhanga8421
    @beckarluhanga8421 3 года назад +3

    sir kibla Juma kasimu kiroboto waungwana wasio na ngwasi wananikaribisha gym sababu mm ni mzawa wa mtoni kurasini nature mtu wa watu navyoishi kibantu msitu wa vina .unga sio machejo sitarehe yake kumoyo atakula hata kama kibogoyo siatamung'unya eti nipendwe mpaka Mavumba chap chap mm naona mali tu nizubae wakati sina kitu .KWA TANZANIA SIJAONA WA KUKUSHINDANISHA NAYE

  • @wabaremasandiko1024
    @wabaremasandiko1024 Год назад +1

    kirobotooooooo💪💪💪💪💪

  • @manaldoowusu1598
    @manaldoowusu1598 3 года назад +1

    Sir nature saluti kwenye wingu sr8t outta from +256 much respect

  • @buberwajohn1312
    @buberwajohn1312 3 года назад +8

    Juma kassim kiroboto missed him

  • @omaryregga5315
    @omaryregga5315 3 года назад +2

    Nature ndio msanii naemkubar bongo hii sky bundala saut kizaz san

  • @hamadeddy3046
    @hamadeddy3046 3 года назад +1

    Juma cassim nature kipaji matata daaah mziki ulikuwa kipindi kile balaa

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 года назад +22

    Mimi hakuna nyimbo ya juma nature naipenda kama "mtoto iddi" 🤣🤣

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 Год назад +2

    Hahaha pesa alikua anabeba kwenye mfuko wa rambo hahaha eti mtoto wake demu

  • @koreshamumutwenkumuntuufit2982
    @koreshamumutwenkumuntuufit2982 3 года назад +3

    Jumma nature 🔥🔥🇨🇩🇺🇸

  • @brunoh_bx
    @brunoh_bx 6 месяцев назад

    Sir Nature👏👏👏🔥🔥🔥🔥

  • @TheMandela21
    @TheMandela21 3 года назад +5

    Sky: ni mtoto gani
    Juma Nature: Demu...!

  • @saidmiraj2255
    @saidmiraj2255 2 года назад +2

    MY FAVOURITE ARTIST IN TZ

  • @christianmichael5331
    @christianmichael5331 3 года назад +5

    Nikuambie kitu Mimi kila siku nasikiliza nyimbo za Juma nature Boomplay

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 3 года назад +3

    Mwili wa Juma nature unamfanya aonekane bado yankiiiiii

  • @magrethelia1085
    @magrethelia1085 2 года назад +5

    Wakike wakiume?? Demu 😂😂😂😂😂

  • @youngboy7818
    @youngboy7818 3 года назад +1

    Baba nakubari san nature from gmc young boy hapa

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 8 месяцев назад

    Demu

  • @emmanmollel8886
    @emmanmollel8886 3 года назад +9

    Ila Nature bana anaulizwa mtoto gani eti "Demu" 🤣🤣

  • @gilbertfuria5817
    @gilbertfuria5817 3 года назад +3

    Nature namkubali sana

  • @Fgldesigns
    @Fgldesigns 3 года назад +4

    Inaonyesha kiasi gani wanawake wachuo wapo kujiuza toka mwanzo na hiyo sifa inaendelea kupamba moto...

  • @zaynahmoh5149
    @zaynahmoh5149 3 года назад +2

    Namkubali juma tupe jina la you tob

  • @ozaneetanzania5211
    @ozaneetanzania5211 3 года назад +4

    Nature

  • @princespider5854
    @princespider5854 3 года назад +8

    Safi sana sns tunahitaji full interview ya juma nature aka mugambo

  • @chrissyesaya5385
    @chrissyesaya5385 3 года назад +4

    Miss you sana nature

  • @JumaMabera-es7xj
    @JumaMabera-es7xj 11 месяцев назад +1

    Kibra matata

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 3 года назад +1

    Ya kale dhahabu upo juu bado nature jitangaze

  • @mmungalubunga4404
    @mmungalubunga4404 3 года назад +1

    Huyo mfalme farao ni trionea namjuwa mwambie anitafute

  • @fredmbossa
    @fredmbossa 3 года назад +4

    Yani nature ndo msanii ambaye anamuheshimu produce wake aliemtoa mapaka leo,,,lkn kuna wasanii wengine mapaka leo hawataki kuamini kwa maproducer waliowatoa mfano mmoja yupo wasafi pale,,,

  • @rahmaawadh9411
    @rahmaawadh9411 3 года назад +3

    Legend Sir Nature

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 2 года назад +4

    Nina mtoto mmoja demu🤣🤣

  • @hosearioner3637
    @hosearioner3637 2 года назад +1

    Sir nature..

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Год назад +1

    Mm napenda Ile nyimbo inaitwa kisa demu##

  • @paulomaona2811
    @paulomaona2811 3 года назад +1

    juma kitambo utajiju qar

  • @peteveprosper7186
    @peteveprosper7186 3 года назад +4

    Eti mm nnamtoto dem....

  • @happinessmsila1896
    @happinessmsila1896 3 года назад +1

    NATURE

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 3 года назад +1

    From +974 ...nature nMkubali sana ...

  • @ahmadiselega1328
    @ahmadiselega1328 3 года назад +2

    Mwambaaà

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 3 года назад +1

    Upo vizur bro❤❤🇪🇭🇪🇭

    • @hamadeddy3046
      @hamadeddy3046 3 года назад

      yess dubai at Deira city🇦🇪🇦🇪🇦🇪

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 3 года назад +1

    Sir necha

  • @salma_6j975
    @salma_6j975 3 года назад +4

    Itabidi nikae karibu na kaka juma😂

  • @geeva99
    @geeva99 3 года назад +1

    Watuwekee hizo album amazon HD kwa wale ma audiophile, nyimbo baazi zipo tayari

  • @victorchampion1513
    @victorchampion1513 3 года назад +2

    Hii sauti naona ya bange kabixa!!

  • @abdulrisassy2488
    @abdulrisassy2488 3 года назад +1

    Kiroboto

  • @kudramzee4638
    @kudramzee4638 3 года назад +2

    Nature on 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @kamanda007
    @kamanda007 3 года назад +1

    Sir nature huyo sasa hivi hata kazi ya kuwa houseboy wake hakupi... Sir kachoka sana

  • @mkingasana400
    @mkingasana400 3 года назад +1

    Ugali

    • @husseinabdallaamani6493
      @husseinabdallaamani6493 2 года назад

      Juma nawadai mpaka kesho jina langu la wanaume alichukua kwangu na Alie lipeleka ni abdallah soga na jazari hao ndio mashaidi juma mnilipe

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 3 года назад +4

    🤣🤣🤣 zamani sana

  • @jumaalhamid5242
    @jumaalhamid5242 3 года назад +3

    wacha niwaambie hakun cople ya kipnd hicho kam nature na sinta sio sasa

  • @praxedadominic5193
    @praxedadominic5193 3 года назад +1

    Sir natureeeeeeee 🤣❤️🇹🇿

  • @dullahbeats7539
    @dullahbeats7539 3 года назад +2

    Kaka vp naomba connection ya Juma Nature maana Nipo Radio na kila Jumapili nakua na kipindi cha nyimbo za zamani na interview za wasanii wa zamani

    • @brazanet6916
      @brazanet6916 3 года назад +1

      Mchek bro sky insta atakupa nmba za nature sky hana roho mbaya

  • @emanuelmhoja2411
    @emanuelmhoja2411 3 года назад +2

    Mwanamziki pekee niliyenunua kila kazi yake. Album Ugali ilisababisha baba afunge safari kuja shule kupeleleza kama navuta ganja. Nakumbuka kuna mstari mmoja anamponda Sinta na rafiki zake kuwa "wanavuga hawali sana! Wanakula hao😂😂😂

    • @Basagamp4
      @Basagamp4 2 года назад +1

      Hahahahaha balaaa

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 3 года назад +1

    Hahaha safisana

  • @fredmbossa
    @fredmbossa 3 года назад +2

    Nature akiongea unapenda uendelee kumsikikiza tu,,ana rafudhi ya kimakonde hivi

  • @shabanisanga8614
    @shabanisanga8614 3 года назад +2

    Kibla

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 года назад +4

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌

  • @nataliagoldfinger3459
    @nataliagoldfinger3459 3 года назад +1

    Nature kanana na Paula wa kajala 😜

  • @erickmweta8215
    @erickmweta8215 3 года назад +4

    Qibla ana mengi ya kuongea bana na interview ni fupi sana

  • @emmanueltheblack6360
    @emmanueltheblack6360 3 года назад +2

    Hahahah nature anaongea kama dudubaya . Nani amesikia kama Mimi ?

  • @osmandemebele3335
    @osmandemebele3335 3 года назад +1

    Hahahhahahaa daaah anamtoto demu sio

  • @sundayulomyy8433
    @sundayulomyy8433 3 года назад +2

    Sir cassim hahaha

  • @allpotentials8420
    @allpotentials8420 3 года назад +2

    2:33 😂😂😂

  • @clementbabuu4811
    @clementbabuu4811 3 года назад +1

    Sir nature😂😂😂😂😂

  • @osmandemebele3335
    @osmandemebele3335 3 года назад

    Sasa hilo mzula au nini?

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 3 года назад +1

    Hahaha bi mkubwa akasema hapana🤣🤣🤣🤣

  • @khalifamkali4286
    @khalifamkali4286 3 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mapokopoko mabinzari

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 3 года назад +2

    Sasa hiyo clown creep!nikuulize kwanza

  • @tanzaniatouristsattraction1622
    @tanzaniatouristsattraction1622 3 года назад +1

    🤣🤣🤣