"JUMA NATURE KUMSHAURI CHID BENZI"WASANII WADOGO WASILE UNGA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Msanii Mkongwe wa Muziki wa Kiwanda cha Bongo Fleva Juma Nature amepiga story na #thepage
    .
    .
    Juma Nature:Mimi Nadhani Maswala kama haya,Ujinga wa unga bhana ukishakula kuacha kwake shida, Mimi naomba niseme kitu kimoja kwa wasanii wadogo,Wadogo zangu labda wengine wanangu sijui ,Mimi nadhani wajifunze kupitia kaka zao.WasifUatishe mambo ya ajabu.

Комментарии • 6

  • @Twahakibavu
    @Twahakibavu 5 месяцев назад

    Nature

  • @MsafirLeuna-zz6rw
    @MsafirLeuna-zz6rw 7 месяцев назад +1

    Mtangazaji boya Eti fulsa za kuuza unga

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 7 месяцев назад +2

    Nae awashauri vijna wasiwe walevi kma yeye

    • @THEPAGE_Tz
      @THEPAGE_Tz  7 месяцев назад +1

      Ushauri wako umefika!! Tutafikisha Kwa Juma Nature

  • @pitbullfamily4499
    @pitbullfamily4499 7 месяцев назад +1

    😫Swali lakijinga sana WEE dada Chidi benz ka kwambiya eti ana taka msaada Huna maswali 👎🏾