raya msamehe mume wako anakupenda sana na asiyekosea ni Mungu pekee, usimpe shetan nafasi akutawale ,usiiache ndoa Yako kwa sababu ya mchepuko usije na nawewe ukawa mchepuko kwa mwingine
Mi Binafsi c jaona kosa la barnaba coz Ile ni kazi na ktk kazi Kuna mambo mengi afu ukitaka kutokufanikiwa ktk Maisha Yako weka Mapenzi na kazi yule ni mke alali shida Nini kumshika tu Mtu kiuno Tena ni kazi na c really una panck kiukweli si pw (1) unamnyima mumeo uhuru wakazi (2) unamshusha kwenye game so mi naona raya arudi kwake tu na km wivu awe anaependa nae studio akae nae masa24 aone Maisha yataenda vip. Amuombe mumeo ampe Moyo amuamini coz km alikuwa ampendi ASINGE mueka ndani Sasa akimba nyimbo akae na mtu atua 14:58 5 adi 10 wataangalia wenyewe msani ni kioo Cha jamii na Watu wanataka akshn. Na mwanzo ukujua unaolewa na Mtu wa aina gan🤔
Mwimbo wenyewe unaitwa NIBUSU. Sasa Raya unaksirika nini wakati lazima waAct kama wimbo unavyosema. Ungetaka ungeimba naye mwenyewe. Acha wivu kwenye kazi wewe. Shauri yako. Wenzako wakiingia hapo hawatoki. Ukisema wa nini wenzako wanajiuliza nitampata lini?
raya msamehe mume wako anakupenda sana na asiyekosea ni Mungu pekee, usimpe shetan nafasi akutawale ,usiiache ndoa Yako kwa sababu ya mchepuko usije na nawewe ukawa mchepuko kwa mwingine
Umeongea ukweli jamani❤❤
Kipindi kizuri jmn barnaba woomba msamha mkewako jmn nawapenda sana jmn😘😘
Jaman tunawaombea muludiane muendelee n maisha musimup shetan hy nafs kam wasanii barnaba uwe wa mfano
Msamehe tu jmn ni mmeo halali dear love Raya rudi nyumbni kwako
Unajitambua Sana broo
Mashallah hongera mwanangu barnabas
Barnaba ❤❤❤❤❤❤❤❤
Barnaba clasic ❤❤❤
Simu nomaaa
😘😘😘 hii imeenda
Raya popote ulipo vimbaaaaaa mtoto wa kitanga❤❤❤
Masikinii
Mi Binafsi c jaona kosa la barnaba coz Ile ni kazi na ktk kazi Kuna mambo mengi afu ukitaka kutokufanikiwa ktk Maisha Yako weka Mapenzi na kazi yule ni mke alali shida Nini kumshika tu Mtu kiuno Tena ni kazi na c really una panck kiukweli si pw (1) unamnyima mumeo uhuru wakazi (2) unamshusha kwenye game so mi naona raya arudi kwake tu na km wivu awe anaependa nae studio akae nae masa24 aone Maisha yataenda vip. Amuombe mumeo ampe Moyo amuamini coz km alikuwa ampendi ASINGE mueka ndani Sasa akimba nyimbo akae na mtu atua 14:58 5 adi 10 wataangalia wenyewe msani ni kioo Cha jamii na Watu wanataka akshn. Na mwanzo ukujua unaolewa na Mtu wa aina gan🤔
Mipaka na heshima inahitajika, ndo maana ht basata kaitwa. Geuza shiling km ndo mkewe angefanya yy vile ingekuaje?
Mwimbo wenyewe unaitwa NIBUSU. Sasa Raya unaksirika nini wakati lazima waAct kama wimbo unavyosema. Ungetaka ungeimba naye mwenyewe. Acha wivu kwenye kazi wewe. Shauri yako. Wenzako wakiingia hapo hawatoki. Ukisema wa nini wenzako wanajiuliza nitampata lini?
Raya huyo mwenyeuso mrefu kama ndala ndoana kuondoa ndani rudi kwako wa tanga hatupo ivyo
Raya sina kibao mumeo kasema rudi
Ukosawa
🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐
Eti kwa Shep tumepigwaaa😅😅
Mbna barnaba umetuna apo kati jmni 😢
😅😅 mkewe hayupo
@@HappyFania-ry2ch 😂😂😂
Hii ndo comment nilokuwa natafta😂😂😂wenye macho yetu tyr tumenasa tukio
Amedindisha😂😂
Bongee la Kipindi....Big up
Kwa shepu tumepigwa
Yeye ndio anapenda
Pakubwa sanaaaa
Kwako wew yey inamutosh n anapenda
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣