BARNABA AANIKA MAPENZI YA MKEWE DHAHIRI...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • Full nterview ya Msanii Barnaba kumuongelea mkewe‪@rayatheboss‬
    baranabaclassic

Комментарии • 32

  • @HalimaAbdallah-lm8ns
    @HalimaAbdallah-lm8ns 4 месяца назад +6

    raya msamehe mume wako anakupenda sana na asiyekosea ni Mungu pekee, usimpe shetan nafasi akutawale ,usiiache ndoa Yako kwa sababu ya mchepuko usije na nawewe ukawa mchepuko kwa mwingine

  • @chany9950
    @chany9950 4 месяца назад +3

    Kipindi kizuri jmn barnaba woomba msamha mkewako jmn nawapenda sana jmn😘😘

  • @LovenesyMhame
    @LovenesyMhame 3 месяца назад

    Jaman tunawaombea muludiane muendelee n maisha musimup shetan hy nafs kam wasanii barnaba uwe wa mfano

  • @jacklinejotta6365
    @jacklinejotta6365 4 месяца назад +1

    Msamehe tu jmn ni mmeo halali dear love Raya rudi nyumbni kwako

  • @AthumanSeiph
    @AthumanSeiph 3 месяца назад

    Unajitambua Sana broo

  • @wardadvaz
    @wardadvaz 4 месяца назад

    Mashallah hongera mwanangu barnabas

  • @Joyce-qf5px
    @Joyce-qf5px 4 месяца назад

    Barnaba ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Mchuzimbodze
    @Mchuzimbodze 4 месяца назад

    Barnaba clasic ❤❤❤

  • @chiz1soka
    @chiz1soka 3 месяца назад

    Simu nomaaa

  • @BeliBeli-n9h
    @BeliBeli-n9h 4 месяца назад

    😘😘😘 hii imeenda

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 4 месяца назад +2

    Raya popote ulipo vimbaaaaaa mtoto wa kitanga❤❤❤

  • @user-se9no4rg3k
    @user-se9no4rg3k 4 месяца назад +1

    Masikinii

  • @janethedward4631
    @janethedward4631 4 месяца назад +2

    Mi Binafsi c jaona kosa la barnaba coz Ile ni kazi na ktk kazi Kuna mambo mengi afu ukitaka kutokufanikiwa ktk Maisha Yako weka Mapenzi na kazi yule ni mke alali shida Nini kumshika tu Mtu kiuno Tena ni kazi na c really una panck kiukweli si pw (1) unamnyima mumeo uhuru wakazi (2) unamshusha kwenye game so mi naona raya arudi kwake tu na km wivu awe anaependa nae studio akae nae masa24 aone Maisha yataenda vip. Amuombe mumeo ampe Moyo amuamini coz km alikuwa ampendi ASINGE mueka ndani Sasa akimba nyimbo akae na mtu atua 14:58 5 adi 10 wataangalia wenyewe msani ni kioo Cha jamii na Watu wanataka akshn. Na mwanzo ukujua unaolewa na Mtu wa aina gan🤔

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 4 месяца назад

      Mipaka na heshima inahitajika, ndo maana ht basata kaitwa. Geuza shiling km ndo mkewe angefanya yy vile ingekuaje?

  • @zainabmapezi5730
    @zainabmapezi5730 3 месяца назад

    Mwimbo wenyewe unaitwa NIBUSU. Sasa Raya unaksirika nini wakati lazima waAct kama wimbo unavyosema. Ungetaka ungeimba naye mwenyewe. Acha wivu kwenye kazi wewe. Shauri yako. Wenzako wakiingia hapo hawatoki. Ukisema wa nini wenzako wanajiuliza nitampata lini?

  • @SainabaP-es5me
    @SainabaP-es5me 4 месяца назад +1

    Raya huyo mwenyeuso mrefu kama ndala ndoana kuondoa ndani rudi kwako wa tanga hatupo ivyo

  • @janetymatola6639
    @janetymatola6639 4 месяца назад +1

    Raya sina kibao mumeo kasema rudi

  • @user-yi2ng3mr3b
    @user-yi2ng3mr3b 4 месяца назад

    Ukosawa

  • @florakimaro-vw7qj
    @florakimaro-vw7qj 4 месяца назад +1

    🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐

  • @sofiarugoye7929
    @sofiarugoye7929 4 месяца назад

    Eti kwa Shep tumepigwaaa😅😅

  • @mgenisimba5902
    @mgenisimba5902 4 месяца назад +1

    Mbna barnaba umetuna apo kati jmni 😢

    • @HappyFania-ry2ch
      @HappyFania-ry2ch 4 месяца назад

      😅😅 mkewe hayupo

    • @mgenisimba5902
      @mgenisimba5902 4 месяца назад

      @@HappyFania-ry2ch 😂😂😂

    • @Vero-bw6fb
      @Vero-bw6fb 3 месяца назад

      Hii ndo comment nilokuwa natafta😂😂😂wenye macho yetu tyr tumenasa tukio

    • @adamapollo9859
      @adamapollo9859 3 месяца назад

      Amedindisha😂😂

  • @Nkwabishujaa
    @Nkwabishujaa 4 месяца назад

    Bongee la Kipindi....Big up

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 4 месяца назад

    Kwa shepu tumepigwa

  • @aaminaasljbgbvf745
    @aaminaasljbgbvf745 4 месяца назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣