Yani misipendag kufatilia mambo ya wasanii lakin nikipita sehem kunagigy lazima nisimame nisikilize majibu yake ya shot shot hadi raha hajielezi kimasifa kama wadada wengine hajishauwi ovyo mkweli muwazi anawaza kutafuta maisha Sana anandoto zakuwa boss nakupenda Bure gigy mzuri
WEWE TAFUTA VIPINDI VYA MAANA VYA HATMA YA UHAI WAKO WACHANA NA VIPINDI VYA MAKAHABA , NA UFUSKA NA UJINGA MUONE MUNGU KWENYE UMRI WAKO USHAURI WA BURE NDUGU YANGU DUNIA HADAAA ULIMWENGU SHUJAAA .SIFA ZA DUNIA ZINA MWISHO BABA
Duh ila katembea na wengi hatari..., Ni mswahili kweli. Alivyojibu swali la kutembea na wakina kiba mmh. Kwahiyo hata akivaa migauni hiyoo wanakuwa wanamjua hadi ndanindani huko
Sikiza Gugy Money na Zuchu walivyo ulizwa madada wawili swali hili lina wahusu hao.unaweza kulala na nani kati yao wawili bila kufanya chochote wewe Manara
I love you gigy😂😂😂 Nakupenda sana mpnz ❤❤❤.
Mh izi tv za mchongo
Giggy mapesa yaani sitawahi choka kumpenda mama Myra 💕💕💕💕
Yaaan wewe mdaaa huwa nakukubali sana loveeee you manala umefanya vzr kumuita hyu mdada 😅😅😅😅😅😅
1. Wabongo wanapenda umbeya
2. Have consistent on your topics
3. Wabongo love scandals etc 😮
Mimi huyu interview ya Gigi inipite 🙆🏽♀️😍😍😍😍🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️🔥
Shogileeee 🤣🤣🤣😆😅
@@irakozesania1680 e asiyopitwa 🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥
Jamani Gigy ni top in Dar she is so free so open,yaani ni chizi mpaka chizi tena namkubali kwakweli
Mbona kaa umeenda kulala heaven 😅😅😅😅😅@gigy🙌🙌🙌🙌🙌
This is only GiGy l know l love her a lot😂❤
Rajabu Kila kitu chake cheupe😂😂😂😂Love you Gigy bure tu🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Unaniachaga hoi Sana... Mkweli Sana wewe.❤
Aiseee G😂😂😂😂😂😂😂😂😂Yan nakupenda uko huru mpaka raha😂😂😂😂
Yani misipendag kufatilia mambo ya wasanii lakin nikipita sehem kunagigy lazima nisimame nisikilize majibu yake ya shot shot hadi raha hajielezi kimasifa kama wadada wengine hajishauwi ovyo mkweli muwazi anawaza kutafuta maisha Sana anandoto zakuwa boss nakupenda Bure gigy mzuri
this gal i just love her, very hilarious.
Kila mtu siku hizi ana ka tv kake RUclips ngoja na Mimi nifungue kakwangu............😂
😂😂😂😂😂
Fungua
Fungua tyuu mpak leo jomon nataka uni interview
Kuna maswali yakijinga mpaka manyoya yanatoka😂😂😂😂😂🙌 huyo Gigy money achelewi kulianzisha.
huyo ndiyo gigy♥️♥️♥️♥️🙌🙌🙌🙌
Love you gigy
Ila gig money ni pis Kali hayo mengine yakujichetua ni nakishi tu ❤❤ bt MTU Ako very hamble
Maswali yako Manara jaman yatagombanisha watu
Wonderful 🔥🔥🔥🔥
I just love how real she is 🤣🤣🤣
good i like the way unaiongolea hiyo mambo yako na Zari umeifanya kibiashara zaidi
HAHAHHHHHHAAAAH ET Rajab kila kitu cheupee
Gigi apo kwa harmonize.. kha😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂
Sijawah kosa interview ya giggy
Ninachosema huyu gigy ni mtu makini sana japo wengi mnamuonea ni machepele lakin anakitu sana kichwani mwake
Kweli hii manara tv .haji tunakupenda sema kuwa seriously isiwe km simba na yanga
Kuwa sírias Manara lakini TV yako ni nzuri sana mana sauti zinasikika vidhuzy na ina kwaliti nzuri
@Zari Boss lady see this
love you gigy 😂❤
ha ha ha ha ha ha.. I love gig walai... eti kwani mi mama yao
My GIGI IS POSITIVE I LIKE HER
My uko vzr
Manara..hatukuelewiiii kabisaaa
Hahahahahahaha kumbe tv hadi home
😂😂😂 nimecheka kuhusu rajabu
Huyu binti ni very intelligent!
Gigi napenda nakupenda jinsi unavyo jikubari
Gigy fala sana.. 😅 eti inawezekana nyuma yake kuna diamond haaya ww nyuma yako kuna mungu fanya.. 🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ila GIGY HAHAHAHAHAHAAH
Waooooo gygy
😂😂😂abdu huyu kiba kwani mm mama yao.
Ndomala yakwànza nimechaka mpaka mbabu zinzima kaogopa shuka jeupe 🫢
Nakupenda gigy
Interview ya Kinyamwezi... Imesimama
Gigy money pambee
Kwa kweli nimedanga na gigy sinza ambiance alikuw mchafu anatupa tupa machupi machafu ndani kufua awezi
maswali ya manara bhana
gigi hujawahi kushiriki ushirikina???
Manala ludi kwenye gam utuchaluwe wanasimba tume kukumbuka
Nimechaa jamaniiiiii 😂
😂😂😂😂😂 ckua najua Kwan mm mama yao😂😂😂😂
❤
Nimefurahia lakini hiyo mipoda dadaa
Kumbe Kuna manara Tv
Mwenyewe ndo nashangaa kumbe ipo na watu hawasemi jmn watu wasiri😶
Haha jamani Gigy 😂
😂😂😂😂😂 Gigi hataree
ila manara kwa vipensi vyako vinaniacha hoi😂😂😂
Haaahaaaa
Huyu ndo gigy
Gigy safi sana
GIGY MONEY MKWELI
Baada ya show, Manara naye atapita eeeh!🤣🤣🤣
Uyu Gigy 😅😅😅😂😂😂
Nimekuona London kwa boss wako zari kakukomeshaaaaa
Kwenye chaguzi co mnafk, gig 4lil
NA NYIE WAPENDA DUNIA WAISLAM WACHENI KUCHOCHEA MUUNKARI NA MACHAFU TUMUOGOPE MUNGU /MWISHO WETU HATUUJUI
We we siyo mama yao😂
Manara kitu gani unazungumza bwana nini maana ya kutrendika,nini maana ya kupostiana hakuna lugha rasmi ya namna hiyo rekebisha kiswahili bwana
HIZI FUNGA ZENU NI KUKAA NA NJAA TU....HSYO YAKUONGEA !!
😂😂😂😂😂😂Nimejikuta tu nacheka 😂😂
Huyu nusu kabisa🤔🫣🫣
Manaake kwanza nichk kuhusu ayo mayoya
Giggy money, anadharauliwa na anakubali. I felt very bad . Maswali mengine hata sivizuri kuijibu😢
😅😅😅😅😅😅 ety hagy nasikia joto 😅😅😅😅😅 nakupenda sana gygu money
😂😂😂 Ali mlitembea barabarani mkavuka barabara, Rajabu mashuka meupe na ulikua kwenye period.
Nawe Haji siku moja umpe mtu nafas ashije hiyo mike akuhoji kama unavyowahoji hao unaowahoji
GIGY NI MKWELI MNO HONGERA...ZAMBI YA UONGO UMEISHINDA
😁😁😁😁😁yaani uki deti na gig umekwesha
Saut sasa!
Kwakweli mi napenda jinsi ulivyo muwazi
Maanara
WEWE TAFUTA VIPINDI VYA MAANA VYA HATMA YA UHAI WAKO WACHANA NA VIPINDI VYA MAKAHABA , NA UFUSKA NA UJINGA MUONE MUNGU KWENYE UMRI WAKO USHAURI WA BURE NDUGU YANGU DUNIA HADAAA ULIMWENGU SHUJAAA .SIFA ZA DUNIA ZINA MWISHO BABA
Mjomba mjomba haji come with New content know who you want to catch 😮
Haji bado hajui kuhoji wasanii jitaidi kuchagua maswali yenye maana maswali yako mengine yanaboa
Duh ila katembea na wengi hatari..., Ni mswahili kweli. Alivyojibu swali la kutembea na wakina kiba mmh. Kwahiyo hata akivaa migauni hiyoo wanakuwa wanamjua hadi ndanindani huko
Na yeye anawajua ndan ndan wanajuana
Pipa na ufuniko mmekutana hpo
😀😀😀Rajabu
Mbagala3😂😂😂😂😂Mbagala
Hakuna mtu anaemchukia Zari ila ukitukanwa kubali sio kuwa mjinga na kukubali kutukanwa kwa sababu eti mtu ana mali mpumbavu wewe njaa itakuuwa.
😄😄😄jmn
Nifikisheni 200 subscribers ❤
Nitashukuru sana 🙏
Kwa kipi ulicho kifanya
@@teddylameck3355 kala daku alaf aja jamba huyo😂
😂😂😂😂😂😂Gig Money unanikoshaga moyo
Hahahaaa
Umependeza Gigy money ila makeup na rangi ya mwili hapana bhana usoni mletee mdhungu 😅 but big up ❤
Haji 😄🤣😂😆😄et kufuru
WEWE UNAIBADA IBADA GANI ?? MNAFIKI
Manara Anajaribu kujitikisa angalau
Iamke lakini wapi, 👉🐸🐸🐸🐸🐸
😂😂😂
Haji muache mtu ajieleze
Mh
Sikiza Gugy Money na Zuchu walivyo ulizwa madada wawili swali hili lina wahusu hao.unaweza kulala na nani kati yao wawili bila kufanya chochote wewe Manara
🤣🤣🤣