OGOPA: Kama umezoea Kubet angalia alichosema Rais Magufuli
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- #RaisMagufuli #Magufuli #Ikulu #ViongoziWaDini #Tanzania
~-~~-~~~-~~-~
Please watch: "Patashika bomoabomoa ya stendi ya Mwenge"
• Patashika bomoabomoa y...
~-~~-~~~-~~-~
Asante mungu kwa kutupa kiongoZi mzuri
😢huyu ndio kiongozi...
Apumzike salama peponi...Ameen
Mungu amekufa mtu tena
Hapo sawa mheshimiwa
Kuhusu nguo fupi yesss mzee. Hata wanaume wavae nguo Za heshima sio suruali nusu makalio
Safi sana mkuu wa nchi vinginevyo tutaisha maana serikali inakusanya 18% lakini wananchi tunachukuliwa 100%
asante. rais.wangu .
Angalia kwa upande huu wa kina Dada kuvaa vibaya yaani kuvaa vazi linalo onesha maungo yao simama sana weka shelia mkuu
safiiiiiii
Kweli kabisa mkuu
Mimi hd sasa nachukia sana kumuona mwanamke amevaa nguo fupi ndo maana wanapakwa wanavaa nguo za watoto cjui watoto watavaa nini pumbavu sana wanaovaa nguo fupi
Daaah nilishinda juzi2 million 6 kumbe nilifidia nilioliwa
Mnasaini wenyewe mikataba na makampuni ya kamali halafu mnawambia watu wasicheze kamali, huko nikuharibu biashara za watu.
NDIYOOOOoooooo !!!!
Mabonanza ndo yanaarbu vijana na maisha yakitanzani kimtazamo yatakua duni cku zote sababu ya kamari mbya tena za wagen
Mungu sio mtu mzee hafanani nachochote hapo umechemka
Rais Magufuli ni rais wa kipekee TZ kuwahi kutokea nakukubali sana fanya taratibu fungia zote watu wajitume tunaanza na kamari na nguo fupi halafu tutakuja huko kwengine mdogo mdogo ndio mwendo mpaka tuingie adabu watanzania tunyooshe mkuu upo sahihi 100% tutapiga kura ya maoni ubaki hadi kufa kwako ww niwakipekeee
😂😂
Kamari ni game mbaya sana mwisho wake itakuangusha tu.
Apo Anna kitu anazuga 2 kamal awez kuifuta yy anpenda pesa
mo years sir 🍻
Kama ilivo kwa MUFTI mpaka kufa, kwa Mh. MAGUFULI pia mpaka kifo kimtenganishe na watanzania
Kwenye Kamari tunapata KODI, watu wamepata Ajira, kwhy tusiangalie tu Ubaya pia Uzuri upo.
sheria itungu yakudhibiti uvaaji wa nguo za hovyo, sio wakina dadatu, hata wanaume. Uhuru wa mavazi umeharibu utamaduni wetu kama Tanzania. raisi magufuli toa kibali anaekamatwa apelekwe mahakaman nakufungwa mwaka mmoja jela bila dhamana na adhabu ya kazi ngumu. nadhan tutajirekebisha. na nguo za utupu zisiruhusiwe kuingizwa tz.
TURUDISHIENI DESI
kuna vitu vinaitwa korokoro ya miambilimbili hili ndio jipu kuu kabs
Hahahaaaaaa
Tujadili mambo ya mwana Sio kamari na mavazi hayo ni uchaguzi wa mtu binafsi sio ya msingi kama taifa. Kinachotakiwa kujadiliwa ni demokrasia kama dini si kila mtanzania anaamini. M
Kamali inabidi iangalie kwa upana kuna kampuni ya kikolea imewekeza machine za kamali nchi zima na wanaitwa wawekezaji jamani serikali hawa ni wawekezaji wa aina gani. wana hizi machine za kamali kwenye bar karibu zote nchini, hata kwenye maduka na vijiwe vya bodaboda ni nani kawapa leseni ya kuendesha biashara hii kama sio serikali binafsi sijaona kama uwekezaji wa aina una tija kitaifa. Hawa wakolea wako kila kona ya nchi na machine zao wanakusanya fedha za kamali yaaani ni bora hata wangekua wabongo lakini ni kutoka kolea sasa hebu tunaomba chuma Dr. JPM ondoa aina hii ya uwekezajk haraka haina tija kitaifa zaidi ya kukamua vijana ambao wengi ndio wachezaji wa kamali hizi. Hebu anza na hili kabla ya kwenda kwenye mikeka ya kwenye mitandao ni aibu tupu kwa taifa kuona mkolea anakuja kuchukua pesa vingunguti au mpanda vijijini huko ni bora hata ingelikua ile ya Bahati nasibu ya taiga tinajua pesa inabaki hapa. Yaani tunawatenezea ajira eakolea kwa njia ya bahati nasibu badara ya kua wawekezaji.
Nimeshinda beeti..shinda betii.., ml 462 za sportpesa sio mchezo bhana, mkuu tuache tuendelee kuzisaka, tutakula wapi wenzio..,
magufuli pga kaz baba
Kwenye kamari ni ngumu tokana wanakusanya pesa nyingi"ila tatu mzuka na biko ..mhh wafungiwe tu...maoni yangu
Mpe man utd ashinde,Liverpool win,man CTY win,Barcelona win,PSG win,Bayern munic win,apoel limasol win,simba win,yanga loose
harafu weka day LA 5000
possible wining laki 800,000
halafu unasema michezo ifutwe,
kuna vijana million na ushee wanaishi kwaajiri ya kubeti
na ni wasomi na hawana ajira nyingine zaidi ya hyo na kuna wengine wanapata faida kubwa kwa ajiri ya kubet
sasa mtu from nowhere anaibuka anasema futa baba,wakiisha futa haovijana wakashinda kitaani ikifika SAA tank usiku mkitekwa msilete midomo yenu
Sasa ww mzee unasema wasiyo na nguo za heshima wasipokelewe popote,hujui kaka hiki kizazi ni tofauti na ulichokulia ww au umesaha
Gasto Wambura kueni kizazi kipya kwenye akili zenu kwa kuvumbua majibu kwa matatizo yanayoikumba dunia sio kutuonyesha utupu usio sura na ujeuri wa kutokuwaheshimu wazazi.
Hauko sawa mkuu
kivazi kiwe cha heshima
kamari ni hatari kwa maisha yako kwa maelezo zaid endelea kucheza
Shelli atawalale miaka sitini utakuwepo wewe
Kubeti ni hiari ya MTU...binafsi siachi kubetiiiiii...nabeti mpaka kielewekeee
official mroso hahahahahahaha!wacha weee
au sio mwanaaa
Anzeni kufunga leo tutahamia 1x bet na betwinner makampuni ya kimataifa ambayo hamtaweza kuzuia
kakobe na ngwajima wamepangana wanacheka hatar, nani kawaona?
Nimewaona aiseee
asante sana viongozi wa didni kwa kulitambua hili kamari ni dhambi
Tatu mzuka😅😅🇰🇪
Ruhusu wanaovaa nguo fupi tuchape viboko
Haaaaahaaaaahaaaaa
Elimu inatisha kuwapa sio bakora
Kweli redio na tv ni matangazo ya KAMARI tu nchi imekuwa ya wacheza kamari tu
KAMA UMEFURAHI BAADA YA JPM KUTAKA TATU MZUKA PLZ GONGA LIKE WE MCHIZI WANGU...
Mama Samia kama angekua anatizama hizi hutuba za mh hayati Magufuli angenufaika sana nchi imeharibika KWA kamari na kwenda uchi udhalilishaji umezidi
Na TRA kodi wasichukue kule mana kwenye laki 8 wanachukua laki 1 na nusu
Kamari michezo ya shetani...
Nimefurahi sana kuongelea swala la kamari bora ifutwe
Kila kitu mnamsingizia shetani du binadamu bwana akosi sababu
ila mheshimiwa na kukumbali sana mm ccm ila hawa wapnzani usiwaoneee mana hawajui walitendalo
KUNA FURAHA KUBWA NINAYOIONA KATIKA NCHI IKIWA MICHEZO YA KAMARI ITAFUTWA HATA LEO HILO LISICHELEWE, MIMI NILISHARIDHIKA NA UONGOZI HUU SIJUI NANI AMEBAKI.
Mungu siyo mtu wewe, kua makini. Usilete masiara kwa Mungu.
Magufuli John Rais mkuu sana mfano wa afrika
Mafundisho yote yanaenda kwenye mtu mmoja ambae ni mungu???..
Mungu sio mtu kasome bibilia yako vizuri
ASA BONANZA FUNGA KABISA KAYANGA LWAMBAIZI IGULWA FUNGA KABISA
vifungeni hivyo vya kubet wewe ndo mwenye mamlaka
Ila nchi hii imepotea.sanaa.viongozi wa serikali.kimya.viongozi wa.dini kimya.kwa ss.hakuna hapa kazi.Ni kuberi tu.kwa.ss nikipengele ktk taarifa ya.habari.Ibilsi.amemiliki nchi.Mungu akupumzishe JPM
asante sana viongozi wa didni kwa kulitambua hili kamari ni dhambi
Pombe je!! Mbona zinatangazwa!!
Sipati picha betting ikifutwa bongo ! Maana ishakua ajira mpya ya wabongo em futa mzee tupate ona utam mpya
Hakuna mtu anaeendelea kwenye kamali ,kamali ni mwanzo mkubwa wa umasikini
Sipati picha wakikurupuka hapa nn kitatokea !!
@@ibrahimchatila4945 vitu vingine vinachukuliwa kwa udogo but kuna raia wanategemea hiz mambo wangeiacha tu
@@luluamri370 sema kamari sio kamari
@@richardgirgis4302 sasa umenirekebisha nini kamari sio kamari🤣 kiherehere
Mtukufu rais ukienda kuzuru msikitini special on Friday. That's how muslim woman dress code..na wanatakiwa kufanya hivyo hata wakiwa katika shughuli zao za kawaida ..hata bi mariam ambaye ni mama yake Jesus alikuwa ni mvaa hijbab ...big up Mr president 👏 kwa ukumbusho wako .hopefully wamekuelewa ...
Dah rais mafufur kumbe hujasoma dini 😀😀 yesu alingia sinagogo aliwakuta watu wakifanya biashara na akapindua pindua meza zote akasema hiyo ni nyumba ya babayake
SASA NDO MTAJAZA KUA SINAGOGI NIKANISA AU NINI😀😀😀😀 wenye Elim wanajuwa sinagogi nini. mim sisemi saiv povu ruksa 😀😀
MSEMA KWELI KIPENZI CHA MUNGU .angalia yanayojirimitaani TV vipi magufuli anavo chukia
Correct the word Zina convert to Allah. Not kwenye mtu mmoja Ambae ni Mungu. Allah sii mtu please..
Another sii nyumba ya baba yangu nyumba ya ibada sii pahala paa kuchezea kamari..
Please Deen is very clear
Mungu akùpe maisha marefu rais wetu
Wema hawaishi
Huyu ni raisi bora kabisa Tz. Tumuenzi na tumpe ushirikiano hasa. Kwani wapinzani wanataka rais yupi zaidi ya huyu asiependa maovu
Mh hizo kamari umeruhusu mwenyewe Leo unajifanya unachukizwa nazo..hivi tunaenda wapi?
Rais hawezi kuruhusu lakini washauri wake ndio walimshauri kwa sasa kaona wizi unaofanyika kwa wananchi wake. Baba usiangalie mtu usoni tumbua bila ganzi huo no wizi tena wa waziwazi.Mkuu chapa kazi watz tunakuunga mkono.Angali idara ya kilimo ili ifanye kazi kwa ufanisi.
Dah asante sana kiongoz wetu yaan hawa wapuuz futa wote Aza na Tatu mzuka Njoo sijui biko yaani sukuma ndan wanaibia watu tena ikiwezekana wawatudishie ela zao au ziende serekalin sikafanye kaz
Kwani kuna mtu anakushika mkono anakulazimisha ucheze acha abari zako
Najua mnateseka San
Hahahhaahhaaaa ikiwezekana wawarudishie hela zao sio?
Lakini kama wanakumbuka niliwaambia kama na wew nimmoja wao lajua utakumbuka kwann muibie watu simfanye kaz mmekaatu kuuza sura mbavuuu saiv mtapata tabu sanaaa kwan unateseka?
Ally Mbwambo Kunapombe na Guest vyenyewe mashekh na mapadri hawaviongelei au kwasababu kunadini nyingine zinafanya biashara hizo? Pombe imeharibu vijana wengi mpaka sasa vyote ni upuuzi
Mamb yako kila siku super√
safisan kwakwel watuwameharika sana namitandao
Ukosefu wa ajira ndo chanzo kikubwa cha kamari ..mtu akiwa bize na kazi hata kumbuka kucheza kamari ..so mh raisi jaribu kwanza kutengeneza ajira sio kuzipunguza kwa sababu makampuni ya kamari imeajiri watu wengi kuliko hata makampuni ya za serikali....kuna viwanda vingi mfano sunflag ,a to z na kampuni nyingi za wahindi imetengeneza ajira kwa sababu ya wahindi sio watanzania ..ndo maana hata labour wa kawaida analipwa 80,000/=tsh mpaka 120000/= kwa mwezi jambo ambalo ni la kifedheha kabisa ,haiwezekani plant engineer ,na expert wengine wote ni wahindi au wametoka abroad sasa hawa ma experts tunaowazalisha tanzania je tunapeleka wapi?...mh raisi unafanya kazi nzuri lakini huwezi ukatengeneza barabara za kwenda nyumbani bali inabidi utengeneze barabara za kwenda kiwandani kuzalisha....mh raisi kuna mambo mengi sana ya kufanya na kuifanya nchi hii iwe kama Qatar ,kuwait na nchi nyinginezo zenye kutegemea rasilimali...vile vile mh raisi unahitaji watu speacial wa kukupa idea tu ambao sio viongozi kazi yao ni kukupa idea ambazo zinatekelezeka ww kazi yako ni kutoa order itekelezwe kupitia sector husika.asante sana.mimi ni frank m naigisa mwanachuo katika taasisi ya technologia dar es salaam
Unataka ajira uletewe nyumbani kachome mihogo
Hilo neno
Kamari sio ukosefu wa ajira!!nakataa hii ni tabia na unapojiendekeza huko hutakaa uache hata km ww ndo HR, wapo wafanyakazi wengi ambao wamekua addicted na kamari na wanashindwa kuacha, wafanyabiashara wengi tu wakubwa pia unawakuta casino mana kamari sio kubet tu na wanashindwa kuacha, sio kukosa ajira ndo ukacheze kamari no!!kamari ni kitu cha kukemewa kabisa sio kusingizia chochote kile ndo kimekufanya ucheze kamari!!
Sio kweli kamari zimeshamiri kwenye nchi zilizoendelea kuliko africa
Tanzania bado sana ndio kwanza mnaanza sasa hivi
Ukijilegeza tu na kutaka vya bure bure ndio utajikuta hutaki kazi
ofisin hamna kazi kaz zipomitaan agiza hao wakuu Wa mikoa wachunguze zaid kwer kamar ndozimekua kama viwanda vijana hawafanyi kazi nasio vijana 2 mheshmiwa
Nguo haimsaidii Mungu , Mungu anataka Moyo wako(roho) uwe safi. maana wewe hata uvae nguo ndefu mpaka iburuze chini, lakini roho yako ni chafu (mzinzi, mlevi, mwizi, jambazi , kahaba nk.) kwa Mungu haisaidii tusidanganyane.Kumbukeni tulizaliwa UCHI na Mungu Hakuwabaka Adam na Eva walipokuwa UCHi . Nyinyi kinachowasumbua hasa nini? mpaka mnashinwa kuvumilia mkiona watu na nguo fupi?
Sasa huja abolish mpaka leo haman8 viongozi wa serikali acheni unafiki fungia makampuni ya kubeti
Uko siko zabroni sing'az
kura yangu sikukosea
mashekh kimya mna mtizama mtunakufuru mbeyenu mwambieni mungu sio mtu.
Vimini mzee vimini vinamaliza vijana wa taifa hili na hata wale walio sogea umri,
Mimi nakuomba mheshimiwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dhibiti na kuzuia mavazi haya ambayo yanatupotezea ule utu, na kutuletea unyama.
Mnyama ndio mtembea uchi ktk asili ni hivyo, wala sio binaadam.
Masha Allah mheshiwa .wewe kweli unastahiki kuitwa mheshimiwa. Allah akupe imani.
Maadili ni kuvaa nguo ndefu?, maadiri ni yanaleta maendeleo? Tununulieni Kanzu mwakani nchi itakua kama ulaya.
kwa uongozi huu umeruusu kamali balaa madubu kila kona biko kamali hadi kwenye vyombo vya habari wacha wacheze ela hamna
Rais wewe ni wa pekee sana,ni mkweli sana ,ombi langu okoa vijana wetu na hizi kamari piga marufuku watu wakafanye kazi ,wasizoeze ubongo kwa kamari ,uhalifu utaongezeka na wavivu watakuwa wengi sana ndani ya Taifa hili zuri.
Kuna mambo mengi sana ya kumwambia huyo rahisi..Pombe n haram mbona bar zipo nyingi tu..sigara n haram mbona na viwanda vinatengeneza..kila mtu anakipenda loho chake..
remmy hyazint miziki ya bongo fleva
umeongea point mdau
Kamali ni shida yaan watu hatujishughulish tunasubili kubet tyu
Lkn kubet c janga la dunia inzima itakuaje sasa
Huwez ukasifiwa na wote watakukosoa watakusifia ila cha muhim mh rais tengeneza mazingira ya ajira maana watu wamesoma wanazurura mtaan ajira hamna kila anachofanya ela hapat sangap hajaenda kwenye beting na tengeneza ajira alafu fungia kamar za aina zote kama ajira hamna kamar hamna hawa kaka zetu watakuwa wez tena itakuwa,hatar zaid bora wangebet tuu
saf san mzee magu.apo ukiwez kweny mavazi na kamari.itakuw mzuk san
Nilikuwa nakupinga sana ila sasa hivi nakuelewa mzee umenifumbua macho na sasa nakuwa mzalendo na nchi yangu piga kazi wanaokupinga ndio wanaokuelewa zaidi kuliko hata sisi tunaokukubali, "aishi miaka mia mfalme wetu
Keep it up.na bado seehemu za malls kujidai kupiga picha za nguo na show za kujionesha hku biashara za bangi na madawa ya kulevia ichunguzwe has a wasichana ndio wanatumika na kujidai kuna show za nguo.wtt wanaharikiwa wa kitanzania shulikieni hizi
Uslam raha unakemea vitu viko waz ktk maisha vinawaadhir watu wakivifanya, na wakiviacha n faida kwao.
Wakiiyondoa itakuwa vyema zaidi huku kwetu watu wanaliwa pesa hatariii.. Hata kula hawali wakiliwa wakaishiwa wanalala kwenye makochi humo humo kwenye bet kuanzia asubuhi mpaka Saa 4 usiku raisi hiyo ndoe tu maana wamegeuka kuwa omba omba kila mara
Kweli magufuli asivaa nguo zaheshima asiingie popote
Sa umeongea nn mbn huelewek
Biko funga tatu mzuka funga moja bet funga waongo biko ndo kabisa hawafai
Hongera sana mh,Jpm wewe ni Tunda la inchi yetu ya Tanzania,wewe umetoka kwa Mungu ndo,maana mda mwingi umekuwa na viongozi wa dini,hii inaonyesha ndani yako Roho wa Mungu yumo ndani yako ,mimi binafsi nina taka uwe Raisi wa kudumu ktk jina la Yesu,ndo maana mafsadi,na wapiga madili hawakupendi,mimi niko na wewe oyee!!!!
Nimependa style ya boardgurd.hachekagi kwa baba yetu hata kicheko kiwepo
Magufuli sio mungu,ni dikteta anayependa kuogopwa na kusifiwa,watanzania wanaishi kwa hofu!
mzee mimi napata shida sana nawasomi vyuono na benk nk
ajiri watu uone kma watabet mzee,tatizo ni ajira hapa watu hawana pakwenda wafanyeje
Tatu mzuka
Wanacheza kamali kwasababu hawana ajira yoyote yakufanya.
Fedha ya kuchezea kamari wanapata wapi?
Lengo la elimu ni kujikomboa na ujinga, ukisoma utambambanua changamoto na sio ajira inayopambanua changamoto mkuu
@@fungomakalasila1458 Ukitaka kupata fedha nilazima utumie fedha.
@@bakarizuberikambanga4531 nalengo lakucheza kamari nikujikomboa kutoka kwenye umaskini.
nimejenga kwa ajili ya kubeti magufuli unatupotosha
Acheni tubeti bna hakuna uvivu kazi tunafanyaaa
😂😂😂 mzeeee wa kubetiii banaa muhind ataelewaa t
Sawa mkuu
sipat picha kamari ikifungwa bongo
Mashehe wetu muna zima Sana kwa mungu na mtaenda kujibu kesho yani mungu ni mtu? Mnashimdwa kumkosoa Rais wenu kwa hilo? Kazi munayo
Said Sahd, si ungemsahihisha tu wewe??? Kila jambo lina wakati wake
Nakukumbusha tu kuna AKHLAQ kama uongofu na sio kukosoa tuu wakati na sehemu yoyote. Halafu sio ZIMA ni DHIMMA.
Utajijua mwenyewe Kama na wewe ndio mmoja wapo .naona limekuuma hilo lakini ukweli ndio huo Dunia ni mpito tu siku Yako ikifika hutasema hivo lakini itakuwa tayari umechelewa
nafikiri alikosea tu kwa kuwa ameongea sana na hakuna hotuba iliyoandaliwa kwake kwa kusoma
Hapo pakubet pamenigusa vitu vyote niibet savntakula nn
tigo pesa wamekuifadhia hela tatu mzuka wanazichukua