Sakata la Mtoto ALIELAWITIWA Arusha lachukua sura mpya, RC MAKONDA aingilia kati, Mama asimulia...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • ..................
    Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii
    Instagram, Twitter na Facebook

Комментарии • 18

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 Месяц назад +9

    Mungu azidi kukulinda Mh. Makonda.

  • @EshaSalimAlly
    @EshaSalimAlly Месяц назад +4

    Mh makonda mungu akulinde

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 Месяц назад +2

    Mungu akulinde makonda huo mkowa wa Arusha niwatu wenye roho mbaya mnoo hata hofu yamungu hawana kabisaaa pesa kwao ndio wameona zinafutiamaovu yao

  • @NjuuAugustino
    @NjuuAugustino Месяц назад +2

    Mungu tusaidie peke yeti hatuwrzi!!!! Dunia inaeda Kasi sana

  • @gladnessmunisi3183
    @gladnessmunisi3183 Месяц назад

    Hayo maneno ya mwisho hapo kwa Mh yamenigusa sanaaa
    Very wise 🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 Месяц назад +1

    SubhanaAllah

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 Месяц назад

    Bunge la tz liko wapi?kwanini hawapitishi Sheria Kali zidi ya ushoga ndoa za jinsia moja na kusagana kama Uganda wako vizuri.tz inaharibika wanaume tutembee na pampasi! Tz ya Nyerere kweli! haya hayana nafasi ni uchafu uliopitiliza.

  • @sarafinasinkonde2711
    @sarafinasinkonde2711 Месяц назад

    Mwangu karawitia lakini kesi imezimwa kimyaa cjui hii serikari yet cjui nifanyaje Nini kinaendelea mtoto amelawiti harafu naishi ma hofu duu inauma jamani usikie.kwtu kesi imezimwa kimyaaaa 😢😢nimeghalamika kila siku natembea natembea hakuna haki Tanzania Ina watanzania wake naumiaaa

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Месяц назад

    Hapo mkamatemi uyo mume anaishi nae atakupeni habari.kwa upande wangu sijui kama mtu anatoka mbali.mtoto hato kuwa na nguvu ya kumwaribu mschana😢😢

  • @ezekielmabwai4614
    @ezekielmabwai4614 Месяц назад

    Kwani happy ni mahakamani? Nchi hii IMEOZA, INA MAFUNZA Mihimili yote. Hasa mahakama na polisi.

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 Месяц назад

    Looooooh

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Месяц назад

    Walikula hella, police

  • @nayopamlimbatv1382
    @nayopamlimbatv1382 Месяц назад

    Tarehe 21 mwezi wa 3 mwaka 2024 ilikuwa cku ya Alhamis siwezi hisahau iyo cku nilipoteza mtu muhimu sana kifo kilimchukuwa iyo cku saa 12 jioni

  • @1stladyafrica402
    @1stladyafrica402 Месяц назад +1

    👏👏👏👏👏👏

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 Месяц назад

    Utakubali vipi mwanao alawitie,nenda kwenye sheria ikishindikana msomee Albadil huyo mtu awe chizi au afe ngoma iwe droo.

  • @user-nr6nn8nb9j
    @user-nr6nn8nb9j Месяц назад

    Ivi jamani uyu mtt tunaeambiwa alikua anapigwa na bwanaake anaumrigani na huyu bwana anaumrigani???