Sakata la Mtoto ALIELAWITIWA Arusha lachukua sura mpya, RC MAKONDA aingilia kati, Mama asimulia...
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- ..................
Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii
Instagram, Twitter na Facebook
Mungu azidi kukulinda Mh. Makonda.
Mh makonda mungu akulinde
Mungu akulinde makonda huo mkowa wa Arusha niwatu wenye roho mbaya mnoo hata hofu yamungu hawana kabisaaa pesa kwao ndio wameona zinafutiamaovu yao
Mungu tusaidie peke yeti hatuwrzi!!!! Dunia inaeda Kasi sana
Hayo maneno ya mwisho hapo kwa Mh yamenigusa sanaaa
Very wise 🙌🏾🙌🏾🙌🏾
SubhanaAllah
Bunge la tz liko wapi?kwanini hawapitishi Sheria Kali zidi ya ushoga ndoa za jinsia moja na kusagana kama Uganda wako vizuri.tz inaharibika wanaume tutembee na pampasi! Tz ya Nyerere kweli! haya hayana nafasi ni uchafu uliopitiliza.
Mwangu karawitia lakini kesi imezimwa kimyaa cjui hii serikari yet cjui nifanyaje Nini kinaendelea mtoto amelawiti harafu naishi ma hofu duu inauma jamani usikie.kwtu kesi imezimwa kimyaaaa 😢😢nimeghalamika kila siku natembea natembea hakuna haki Tanzania Ina watanzania wake naumiaaa
Hapo mkamatemi uyo mume anaishi nae atakupeni habari.kwa upande wangu sijui kama mtu anatoka mbali.mtoto hato kuwa na nguvu ya kumwaribu mschana😢😢
Kwani happy ni mahakamani? Nchi hii IMEOZA, INA MAFUNZA Mihimili yote. Hasa mahakama na polisi.
Looooooh
Walikula hella, police
Tarehe 21 mwezi wa 3 mwaka 2024 ilikuwa cku ya Alhamis siwezi hisahau iyo cku nilipoteza mtu muhimu sana kifo kilimchukuwa iyo cku saa 12 jioni
Pole sana ni nani uyo mpenz
Pole sana
👏👏👏👏👏👏
Utakubali vipi mwanao alawitie,nenda kwenye sheria ikishindikana msomee Albadil huyo mtu awe chizi au afe ngoma iwe droo.
Ivi jamani uyu mtt tunaeambiwa alikua anapigwa na bwanaake anaumrigani na huyu bwana anaumrigani???