🔴LIVE: "Hata Biblia inaruhusu KUTEKA na KUUA" MZEE WA UPAKO avunja ukimya, Sakata la UTEKAJI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • ..................
    Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii
    Instagram, Twitter na Facebook

Комментарии • 42

  • @barakalukeha6184
    @barakalukeha6184 11 дней назад +2

    Jamani jamani!!!!!! Huyu mzee leo ameongea fact kabisa anapaswa aeleweke vizuri na wale wenye uelewa mzuri na nina muunga mkono.Huyu mzee amekosoa kila upande kwa uwazi kabisa na amesema Ukweli hata kama unauma pande zote. Serikali imepewa sehemu kubwa zaidi ya kujitafakari kwa afya ya taifa la sasa na vizazi vya mbele.wana siasa wa sasa na wajao wasio ongoze inchi kwa visasi kwa tuhuma zinazotajwa kwa viongozi wa sasa mwanadamu huwa masaharu na histori inanguvu ya visasi.mzee hongera kwa maneno makubwa.

  • @leonardmallya7923
    @leonardmallya7923 10 дней назад +1

    Nchi hii uchawa umeonekana unalipa. Hata hao watumishi wa Mungu wamechagua uchawa badala ya ukweli wa Mungu

  • @JosephJasson-fx6rq
    @JosephJasson-fx6rq 10 дней назад +1

    Mzee ubarikiwe Umeongea ukweli mtupu

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai 11 дней назад +1

    Asante baba sema ukweli tupone

  • @alfredbee7967
    @alfredbee7967 11 дней назад +4

    Huyu cku hzi naye ashakuwa zombi fala mkubwa kichwa kimebeba mavi hmn akil

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai 11 дней назад +1

    Asante baba umesema kweli makinda na sita tunawapenda sana

  • @AngelMazola
    @AngelMazola 11 дней назад +1

    Nashkuru mungu si leo muda sana nilishajua kuwa uyu baba sio mtu mzurii uwenda nae anahusika kwenye kilio cha nchi swala la utekaji nakuuwawa kwa watu,, ingekuwa na uwezo uyu angewekwa ata ndani kwanza huwezi kuropoka utumbo huo wakati watu wanalia kiLa kukicha😢😢😢😢

    • @gabrielisdory9686
      @gabrielisdory9686 9 дней назад

      Kosa lake nn kwenye hyo speech

    • @AngelMazola
      @AngelMazola 8 дней назад

      @@gabrielisdory9686 muulize mtoa post kama haujaliona kosa lake

  • @LusakoWinford
    @LusakoWinford 11 дней назад +1

    Hili lidingi linakera sana yan ,,,

  • @FrankKipapi-tb6tn
    @FrankKipapi-tb6tn 11 дней назад +2

    Mzee unatumika vibaya . bibilia inasema mjinga akinyamaza huonekana Ana hekima

    • @omarysambwego6298
      @omarysambwego6298 4 дня назад

      Anatumika vibaya vp? Anaongea facts za watu kutekwa, au hujui waTZ wanatekwa na kuuawa?

  • @JahSon-z5m
    @JahSon-z5m 10 дней назад

    Hili lilevi la wapi

  • @chrisostomruta-cw3zf
    @chrisostomruta-cw3zf 11 дней назад

    Wewe umesahau kwamba Kuna Sheria Huwa zinapitishwa kwa dharura na zinatekelezwa hapo hapo.Tatizo lako ni kujipendekeza na njaa

  • @oseamkama
    @oseamkama 11 дней назад +1

    Konyaji tuuuu

  • @essaumapunda5766
    @essaumapunda5766 10 дней назад

    Mmmmm

  • @ThomasMmoka
    @ThomasMmoka 11 дней назад

    Mtumishi wa Lucifer aliyevamia ukristo anatafuta kiki za watawala!

  • @akimAkimuWA-m3t
    @akimAkimuWA-m3t 11 дней назад +1

    Nivi freemason

  • @godymbanyi1878
    @godymbanyi1878 10 дней назад

    Daah 😢

  • @edwardmassawe5116
    @edwardmassawe5116 10 дней назад

    Konyagi haijawahi kumwacha mtu salama . Watekwe kwanza wanae na hawara zake aje na uharo huo

  • @user-sy5lx7el4z
    @user-sy5lx7el4z 11 дней назад

    Ssm haiaminiki ata siku Moja huu uchaguzi utakuwa kama ule 19/20

  • @ivanlyimo6727
    @ivanlyimo6727 10 дней назад

    Biblia gani inaruhusu kuteka na kuua? Kweli biblia ni msitu mnene.

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka 11 дней назад

    Aliyechelewesha ni nani kama sio ccm kinachokwamisha kupitishwa hiyo sheria ni nn

  • @MathiasLima-b7v
    @MathiasLima-b7v 11 дней назад

    Huna akiri eti askofu askofu mpumbavu hata waumini wanao enda katika kanisa lake sierewi eti Kuna upako

  • @GeophreyMsomba
    @GeophreyMsomba 11 дней назад

    😂🇹🇿🍺🍺 imezidi kwawatumishi.

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai 11 дней назад

    Mbona mzee kaongea vizuri lakini wazee wengine sio kama kinana na wasira hao wazee wachumia tumbo

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka 11 дней назад

    Tume huru sio Mali ya vyama vya siasa Bali ni kwaajili ya watanzania

  • @JojoJoji-h8g
    @JojoJoji-h8g 11 дней назад

    Aisee huyu mzee ana akili nyingi sana

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka 11 дней назад

    Watanzania tunataka tume huru na sio ubabaishaji

  • @omarinyahegs4539
    @omarinyahegs4539 11 дней назад

    Mzee vipi tena

  • @uzimameditv8148
    @uzimameditv8148 11 дней назад

    Heri kunyamanza kuliko kusema , mpumbavu akinyamanza huhesabiwa hekima,

  • @Mjeda-q1m
    @Mjeda-q1m 11 дней назад

    Mbona mnavuluga sauti?mmeshikwa pabaya

  • @vincentmhoro1952
    @vincentmhoro1952 11 дней назад

    80%!?
    Una takwimu?

  • @methodmsokele8314
    @methodmsokele8314 11 дней назад

    Mnaotukana mnakosea sana hayo ni maoni yake na yuko huru kutoa maoni yake

  • @amonmakala6292
    @amonmakala6292 11 дней назад

    Swal kunywa pombe ni dhambi au co dhambi

  • @justicebridge
    @justicebridge 10 дней назад

    Wewe unasu.buliwa na urevi mzee.your now against the Bible

  • @gililwise
    @gililwise 11 дней назад

    Tekwa wewe na mkeo na wazazi wako nyooo

  • @makamahenge1347
    @makamahenge1347 11 дней назад

    Huyu naye bangi kuteteaa uovu

  • @sashawambura
    @sashawambura 11 дней назад +1

    Mpumbavu wewe

  • @user-bf7sr1cv1g
    @user-bf7sr1cv1g 11 дней назад

    Huyu jamaa kapombe tu

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk 11 дней назад

    Matako mengine haya!

  • @johmshana5665
    @johmshana5665 11 дней назад

    😂