🔴LIVE: "Hata Biblia inaruhusu KUTEKA na KUUA" MZEE WA UPAKO avunja ukimya, Sakata la UTEKAJI
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- ..................
Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii
Instagram, Twitter na Facebook
Jamani jamani!!!!!! Huyu mzee leo ameongea fact kabisa anapaswa aeleweke vizuri na wale wenye uelewa mzuri na nina muunga mkono.Huyu mzee amekosoa kila upande kwa uwazi kabisa na amesema Ukweli hata kama unauma pande zote. Serikali imepewa sehemu kubwa zaidi ya kujitafakari kwa afya ya taifa la sasa na vizazi vya mbele.wana siasa wa sasa na wajao wasio ongoze inchi kwa visasi kwa tuhuma zinazotajwa kwa viongozi wa sasa mwanadamu huwa masaharu na histori inanguvu ya visasi.mzee hongera kwa maneno makubwa.
Nchi hii uchawa umeonekana unalipa. Hata hao watumishi wa Mungu wamechagua uchawa badala ya ukweli wa Mungu
Mzee ubarikiwe Umeongea ukweli mtupu
Asante baba sema ukweli tupone
Huyu cku hzi naye ashakuwa zombi fala mkubwa kichwa kimebeba mavi hmn akil
Asante baba umesema kweli makinda na sita tunawapenda sana
Nashkuru mungu si leo muda sana nilishajua kuwa uyu baba sio mtu mzurii uwenda nae anahusika kwenye kilio cha nchi swala la utekaji nakuuwawa kwa watu,, ingekuwa na uwezo uyu angewekwa ata ndani kwanza huwezi kuropoka utumbo huo wakati watu wanalia kiLa kukicha😢😢😢😢
Kosa lake nn kwenye hyo speech
@@gabrielisdory9686 muulize mtoa post kama haujaliona kosa lake
Hili lidingi linakera sana yan ,,,
Mzee unatumika vibaya . bibilia inasema mjinga akinyamaza huonekana Ana hekima
Anatumika vibaya vp? Anaongea facts za watu kutekwa, au hujui waTZ wanatekwa na kuuawa?
Hili lilevi la wapi
Wewe umesahau kwamba Kuna Sheria Huwa zinapitishwa kwa dharura na zinatekelezwa hapo hapo.Tatizo lako ni kujipendekeza na njaa
Konyaji tuuuu
Mmmmm
Mtumishi wa Lucifer aliyevamia ukristo anatafuta kiki za watawala!
Nivi freemason
Daah 😢
Konyagi haijawahi kumwacha mtu salama . Watekwe kwanza wanae na hawara zake aje na uharo huo
Ssm haiaminiki ata siku Moja huu uchaguzi utakuwa kama ule 19/20
Biblia gani inaruhusu kuteka na kuua? Kweli biblia ni msitu mnene.
Aliyechelewesha ni nani kama sio ccm kinachokwamisha kupitishwa hiyo sheria ni nn
Huna akiri eti askofu askofu mpumbavu hata waumini wanao enda katika kanisa lake sierewi eti Kuna upako
😂🇹🇿🍺🍺 imezidi kwawatumishi.
Mbona mzee kaongea vizuri lakini wazee wengine sio kama kinana na wasira hao wazee wachumia tumbo
Tume huru sio Mali ya vyama vya siasa Bali ni kwaajili ya watanzania
Aisee huyu mzee ana akili nyingi sana
Watanzania tunataka tume huru na sio ubabaishaji
Mzee vipi tena
Heri kunyamanza kuliko kusema , mpumbavu akinyamanza huhesabiwa hekima,
Mbona mnavuluga sauti?mmeshikwa pabaya
80%!?
Una takwimu?
Mnaotukana mnakosea sana hayo ni maoni yake na yuko huru kutoa maoni yake
Swal kunywa pombe ni dhambi au co dhambi
Wewe unasu.buliwa na urevi mzee.your now against the Bible
Tekwa wewe na mkeo na wazazi wako nyooo
Huyu naye bangi kuteteaa uovu
Mpumbavu wewe
Huyu jamaa kapombe tu
Matako mengine haya!
😂