SILINDE ATEMA CHECHE NGOME YA MWAKAJOKA YACHAKAA!.. Mwakajoka Apewe Heka 10 Akalime!..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 50

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc 2 месяца назад +4

    Wewe ni Mtu usie na shukrani msaliti,mbinafsi,

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 2 месяца назад +1

    Haupiti kaka, ama zako ama zetu.hautuibii saizi

  • @MSOMBAAlon-gh3ps
    @MSOMBAAlon-gh3ps 2 месяца назад

    Mhhhh ama kweli kigeugeu

  • @richardhezron2588
    @richardhezron2588 2 месяца назад +2

    Nakupa pongezi kua kiongozi unae aminika na kupewa unaibu waziri hakika we ni kiongozi wengi huwakataa viongozi wakweri na kuwataka waongo mm s mmojawao naamini we unasifa ujumbe kwako usijibizane na wapinzani jenga hoja kwaulio yafanya waelewa waonyeshe njia

    • @daudimchileg307
      @daudimchileg307 2 месяца назад

      @@richardhezron2588 naani anamwamin ,sisi hatumtaki sasa,

  • @MoVisions-qr9rs
    @MoVisions-qr9rs 3 месяца назад +1

    Hongereni sana NVP

    • @nvpmedia6467
      @nvpmedia6467  3 месяца назад +1

      Asante Sana Kwa Kutuamini Tutazidi kufanya kazi nzuri zaidi

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc 2 месяца назад +2

    David Tunduma ulibebwa tu,Mama Hana mpango wa kubeba Mtu,

  • @amosmangura
    @amosmangura 2 месяца назад

    We ji mpinzani wanaccm wapo

  • @emmanuelcharles5613
    @emmanuelcharles5613 2 месяца назад +2

    Silinde

  • @vicentnyanda828
    @vicentnyanda828 2 месяца назад

    Poyoyo😂

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 2 месяца назад

    Pojo nyiingi mama hakika ungozi nikamali kunakuliwa wananchi usipime

  • @TwalibuKimaro-th5mv
    @TwalibuKimaro-th5mv 2 месяца назад

    Mwakajoka oyeeee

  • @ZahoroIdrissa-s6k
    @ZahoroIdrissa-s6k 2 месяца назад

    Wewe mbona umechukua nafas ya mwakyonde

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 2 месяца назад

    Mtupe vitendea kazi sio polojo

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 2 месяца назад

    Yuda sasa

  • @HemedKiama
    @HemedKiama 2 месяца назад

    We kima huna ushawishi,umejaza watoto na hao uliowahonga,huna jipya we subiri!...

  • @mzeebabumzee
    @mzeebabumzee 2 месяца назад

    usha kwisha wewe mwaka joka oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

  • @RichardMadebe-f1m
    @RichardMadebe-f1m 2 месяца назад

    Silinde mdogo wangu waage madaka yako jimbo limeshachukuliwa na upinzani tunza pesa yako umekwisha

  • @AdamKaponda
    @AdamKaponda 2 месяца назад

    Wewe silinde unakubalika au uliwekwa na makugufuli?

  • @Lwitikomsongole-z5f
    @Lwitikomsongole-z5f 2 месяца назад

    Hapo mwanzo ulikuwaga na point mbona zimeisha huna point

  • @pastadandan3569
    @pastadandan3569 2 месяца назад

    Huyu ndie mbunge ninaemkubali zaidi hapa duniani sio Tanzania tu

  • @stevenghambi3471
    @stevenghambi3471 2 месяца назад

    Kama waziristan ndo watu hao?

  • @fredrickkaaya6287
    @fredrickkaaya6287 2 месяца назад

    Kama mnaheshimu katiba na Sheria mbona 2020 mlipata uongozi Kwa kuiba uchaguzi? Wewe hizo ni kelele za milango hazimnyimi mwenye nyumba usingizi.

  • @BlessMwangosi-mz8dw
    @BlessMwangosi-mz8dw 2 месяца назад

    Hunajipyakwishiney

  • @gasparkimati545
    @gasparkimati545 2 месяца назад

    Silinde tunduma nipagumu sana

  • @TwalibuKimaro-th5mv
    @TwalibuKimaro-th5mv 2 месяца назад

    Wanakukebei hao tumia akili kula kwako kura chadema

  • @ImmanuelGurty
    @ImmanuelGurty 2 месяца назад

    Umetengeneza kikundi chako hapo cha kukilewesha fala ww

  • @vicentnyanda828
    @vicentnyanda828 2 месяца назад

    Bumunda lingine hili yapo mengi

  • @kagombaEnok
    @kagombaEnok 2 месяца назад

    We Silinde huwezi kumshinda Mwakajoka

    • @WilliamSanga-m9y
      @WilliamSanga-m9y 2 месяца назад +1

      Tayali Alisha mshinda unataka amdhinde vp na Heka kumi atapewa akalime

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 2 месяца назад

      ​@@WilliamSanga-m9yalinunuliwa na jpm akamrudisha kwenye nafasi kwa nguvu hana kura hapo ni sawa Waitara wa Tarime nae hana kura ila a na Maneno tu mbele ya hao wanafunzi wa s/m

  • @RajabuLanda
    @RajabuLanda 2 месяца назад

    Tunakusubiri tukupige nyundo ya kisiasasa

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 2 месяца назад

    Poyoyo nawewe unaropoka ropo

  • @MwajumaRajab-nj3nz
    @MwajumaRajab-nj3nz 2 месяца назад

    Wewe.nimavu

  • @MishaelMwampamba
    @MishaelMwampamba 2 месяца назад

    Huna ushawishi kwa wana tunduma

  • @gabrieldoseti5729
    @gabrieldoseti5729 2 месяца назад

    Umevishwa taji kabla hujafa subiri 2025 mazishi yako

  • @MehmetMtonga
    @MehmetMtonga 2 месяца назад

    Poresana

  • @DavidKagulu
    @DavidKagulu 2 месяца назад

    Tahira hili lipo na mazuzu

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 2 месяца назад

    Tulikupeleka bungu afu ukatusaliti angekujua nan ww

  • @melcksedeki1012
    @melcksedeki1012 2 месяца назад

    Msaliti mkubwa wewe mwaka huu utaisoma Namba

  • @MWANAHAMISIOMARY-z3j
    @MWANAHAMISIOMARY-z3j 2 месяца назад

    Mmm

  • @JohnManyilizu-rl5bm
    @JohnManyilizu-rl5bm 2 месяца назад

    Hamza kitu hapo

  • @MwljofreyChitta
    @MwljofreyChitta 2 месяца назад +1

    Aaaas

  • @prosperkatito1661
    @prosperkatito1661 2 месяца назад

    yuda wewe

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 2 месяца назад

    Ulisha potea kisiasa mumbwa ww?

  • @prosperkatito1661
    @prosperkatito1661 2 месяца назад

    mxaliti mukubwa wewe

  • @JohnManyilizu-rl5bm
    @JohnManyilizu-rl5bm 2 месяца назад

    Waeleze wajinga wenzio hapo

  • @michaelmwambije3603
    @michaelmwambije3603 2 месяца назад

    Fis wewe ukipat at kula moja katambike alaf mbon umetukusanya tutoto tu tupu