MARUFUKU KUTEMBEA NA BASTOLA NA KUMILIKI ARDHI ZANZIBAR “KWA MAMA KIZIMKAZI HAPA HAIPO”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 фев 2024

Комментарии • 470

  • @200Stella
    @200Stella 3 месяца назад +1

    Very good move....

  • @osupatkarenolesieku
    @osupatkarenolesieku 3 месяца назад +3

    Hahaha mkuu Asante kwa hilo la mfano wa kimasai

  • @opportunities2767
    @opportunities2767 3 месяца назад +15

    Wazungu mnawauzia Ardhi ila sisi ni marufuku sio😂 sheria za hovyo sana.

    • @rashadmohamed4357
      @rashadmohamed4357 3 месяца назад

      Wazungu hawajauziwa ardhi, wanakodishwa

    • @opportunities2767
      @opportunities2767 3 месяца назад

      @@rashadmohamed4357 Nashukur kama ni hivyo sawa

    • @surusuru1994
      @surusuru1994 3 месяца назад

      😂tatiza .wanaasira baya hao wanajaziba alafu wanawevu na wabogo

    • @MdNasr-jm8pj
      @MdNasr-jm8pj 3 месяца назад +2

      Anasema tuu mbona wabara Tele tuu wanamiliki Ardhi ZANZIBAR 😂😂

    • @abdifaraji2883
      @abdifaraji2883 3 месяца назад

      Wanyamwezi na Wamakonde kibao wanamiliki ardhi Zanzibar, tena ardhi yenyewe ni ya kugaiwa bure na serikali ya Mapinduzi. Je, Mzanzibari gani kagaiwa ardhi huko bara?

  • @jeandezanzibar
    @jeandezanzibar 3 месяца назад

    My beloved teacher 🎉❤ long time 💓

  • @binmussahaji4932
    @binmussahaji4932 3 месяца назад +3

    Safi Sana

  • @salumhaji1906
    @salumhaji1906 3 месяца назад +4

    Nyerere na Karume walikubaliana kutotokea kumezwa kwa Zanzibar,
    wazanzibari wapo kidogo kiidadi,ukiruhusu wabara kumiliki ardhi wazanzibari watapoteza haki na na nchi yao, Zanzibar iliunganishwa na Tanganyika kwa lengo la kulinda mapinduzi na sio kuifanya usiwepo tena.

    • @surusuru1994
      @surusuru1994 3 месяца назад

      Ila wazungu wanarusi
      Wa😂 hatuna heda naarizi zakibinasi sisi wa bogo tunawajuwa yee niwebinasi mno ila mnasitirika kw jina lakisilam

    • @kheirdulla9046
      @kheirdulla9046 3 месяца назад +2

      ​@@surusuru1994wazungu hawauziwi ardhi bali wanakodishwa au wanatumia kwa jina la mtu, Zanzibar mgeni yoyote haruhusiwi kumiliki ardhi

  • @Pemba680
    @Pemba680 3 месяца назад

    Safi sanaaa

  • @marwajoseph8060
    @marwajoseph8060 3 месяца назад +36

    Nimarufuku mtu kutoka zanzibar kumuliki eneo Tanzania Bara natowa onto

    • @shahabdallah9407
      @shahabdallah9407 3 месяца назад +2

      nna mpango wa kununua kiwanja kigamboni kule😂😂😂😂😂

    • @mangofish9079
      @mangofish9079 3 месяца назад +7

      @marwajoseph8060 wee mpumbavu sasa raia milioni 1 tu wakinunua ardhi znz hao waznz wenyewe wakakae ktk bahari su?

    • @user-tq2rk8jw3s
      @user-tq2rk8jw3s 3 месяца назад

      😅😅😅😅

    • @russiababawakutokomezaushoga
      @russiababawakutokomezaushoga 3 месяца назад

      ​@@mangofish9079😂

    • @user-sl2hk8wp1p
      @user-sl2hk8wp1p 3 месяца назад +1

      Tatizo mumezidiwa akili na viongozi wenu mtanganyika hapigi kura zanzimbar lkn mzanzibari anapiga kura tanganyika na aridhi ndio hivo hivo lkn yy hamuna serekali ya tanganyika ipo ya muungano tu ndugu

  • @JamalSleiman-yc1er
    @JamalSleiman-yc1er 3 месяца назад +2

    Wazanzibar tukimpata huyu Jamaa kama raisi hapa visiwani tuta enjoy sana 😂

  • @AbdallahMohamed-bs7gb
    @AbdallahMohamed-bs7gb 2 месяца назад

    Mashallah, Mkuu wa mkoa uko Sawa

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 3 месяца назад +2

    sasa mbona wao wapemba wana miliki viwanja nyumba na biashara sasa kunamaana gani kua na muungano wa znzbar mungano ni koti lililotubana watanganyika

  • @NuruJara
    @NuruJara 3 месяца назад +1

    Kenya pia twatumia security na hapa ipo eti

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177 3 месяца назад +26

    Yaani mimi hua nawashangaa sana ndugu zetu wa damu...Kwani inchi kua na kanuni zake kuna ubaya?...Kwani hamuoni inchi kama vile Brunei, Singapore si wana sheria zao...Sasa kwanini mshangae na sheria za Zanzibar??
    Mfano mwengine: **Pale T.bara unaweza kula mchana Ramadhani na baa hua ziko wazi na ndio utaratibu wao na hawajaingiliwa na wazanzibar ila njooo ule Zanzibar uone**..Sasa kila races ina tabia zao

    • @AhmedHassan-vl5zf
      @AhmedHassan-vl5zf 3 месяца назад +4

      Waarabu na wahindi na wazungu NI Sawa kuwapa

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 3 месяца назад

      KUTEMBEA NA BASTOLA NJIA
      YA
      KUWAUWA WAZANZIBARI
      @hamadsuleiman5177.Mimi nawaita ndugu wa jirani sio wa damu kwa sababu wanakuja kumwaga damu zetu kulinda
      Ukoloni kwa jina la Muungano.
      Wanatuharibia mila zetu na kutulazimisha mila zao kwa kizingizio cha nchi moja. Ndio maana wameondosha Kadi za Uraia wa Zanzibar baada ya Rais Karume kuondoshwa😂😂

    • @hanifahkhamiss8485
      @hanifahkhamiss8485 3 месяца назад +1

      ​@@AhmedHassan-vl5zfhao wote wana kodi hakuna muhindi wala muarabu anaemiliki ardhi....hat ukiona muarabu ana miliki ardhi ujue ni mzanzibar.......

    • @Worldunite
      @Worldunite 3 месяца назад

      Wakija wawekezaji wazungu wakitaka kununua ardhi znz mtawanyima?

    • @MarckyCholla
      @MarckyCholla 3 месяца назад

      Nashindwa muelewa kiongozi anasema sheria sheria atuambie ilitungwa mwaka gani na iliptishwa na bunge gani

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud8138 3 месяца назад

    ahhh maneno ya mfamaji wabongontele.wanamiliki ardhi

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 3 месяца назад +1

    ❤ zanzibar

  • @suleimansaid769
    @suleimansaid769 3 месяца назад +1

    Upo sawa mkuu hususani kwnye ardhi

    • @happynesssamwel2917
      @happynesssamwel2917 3 месяца назад

      Mbona tushanunua na hayo miliki tunazo na Bado tunaendelea kununua😂😂😂😂 sote wa moja bhana lol

    • @saidmohamed4619
      @saidmohamed4619 3 месяца назад

      ​@happynesssamwel2917 Siku utayoambiwa acha kiwanja au nyumba usije sema umedhulumiwa, ni sawa na watu wanaojenga kwenye barabara, siku ukiambiwa vyunja uondoke unasema tunadhulumiwa.

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m 3 месяца назад +5

    Mnafeli xhana ndugu zetu

    • @AwatifAly-gw9qo
      @AwatifAly-gw9qo 3 месяца назад +3

      Hatuna ndugu sisi wenztu pemba

    • @user-sl2hk8wp1p
      @user-sl2hk8wp1p 3 месяца назад

      Munafeli yy hamujielewi mzanzibari anapiga kura tanganyika lkn mtanganyika hachangui raisi wa zanzimbar ni uzembe wenu yy wenyewe hamuna raisi wa tanganyika yupo wa muungano tu

    • @user-vz4xj2ci2w
      @user-vz4xj2ci2w 3 месяца назад

      lakini anahangaika na maendeleo ya bara kuliko visiwaniutaelewa raisi ni wawapi ukitafiti vizuri hata wanaopata uraisi wakuchaguliwa wengi ni wabara hivyo maakamu ndo wazenji mwinyi ni mbara mkapa nyerere kikwete magufuli kwahiyo adi kufikia sasa raisi mzanzibari ni mama samia tena hakuchaguliwa amepita kikatiba haya endelea na mswada wako binafsi@@user-sl2hk8wp1p

  • @YamunguMuha
    @YamunguMuha 3 месяца назад +3

    Duuu,k na hapa haipo Zanzibar 😢

  • @djbare2421
    @djbare2421 3 месяца назад

    Perfect Zanzibar ni kisiwa kidogo tumilki wenyewe tu

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi 3 месяца назад +7

    Mm mzanzibar lakin kwa mbongo asimiliki arthi sio haki mbona mm namiliki aridhi bongo

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 3 месяца назад +2

      Yani ndo utaona huu Muungano ulivo wa kinafiki.

    • @AwatifAly-gw9qo
      @AwatifAly-gw9qo 3 месяца назад

      Unataki haki gn weye wacha ujinga kila nchi na taratibu zake

    • @queenlinda255
      @queenlinda255 3 месяца назад +1

      Ndio useme ww

    • @maujanjatv24h41
      @maujanjatv24h41 3 месяца назад

      @@AwatifAly-gw9qozanzibari ni nchi?

    • @msemakweli371
      @msemakweli371 3 месяца назад

      Sio yako hiyo

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 месяца назад +6

    Daah mimi ta nunua bastola maaana naona ntakuja ibiwa 😂

  • @fadhilhamdu7063
    @fadhilhamdu7063 3 месяца назад

    Safi sanaaaaaaaaaa ,hatutaki majambqziii
    Kwann utembeee na silahaaa tena ZANZIBAR ?

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 месяца назад +5

    .bona nyie Wazanzibar mnamiliki ardhi zetu ondokeni kwetu rudini kwenu na mama yenu awe Rais wa huko kwenu na Hussein Mwinyi arudi kwetu awe Rais wetu tumewachoka rudini kwenu mtoke huku hatuwataki kabisa

    • @makamekhamis871
      @makamekhamis871 3 месяца назад

      Pombe zako hizo!!!!

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 3 месяца назад +1

      ​@@makamekhamis871ulimnywesha wewe 😏😏😏

    • @suleimanomar6214
      @suleimanomar6214 3 месяца назад

      Wewe mchukue hussen Mwinyi tuletee samia Zanzibar sir tutampokea kama una uwezo

    • @ZalkhaRawahi
      @ZalkhaRawahi 3 месяца назад

      Ivi hw waandishi wa habari huchunguzwa ss hapa imekuwa kioo kwa jamii au mchonganishi wa jamii
      Mana tujue kila mmoja na uelewa wke huko mitaani wanaoishi ni mchanganyiko huoni km icho kitu so sw habari nyengine so kuzimwaga mitandaoni km humu msiangalie hapa angalieni pia mtakuja kuonana wachungu kisa mtu mmoja tu

    • @ZalkhaRawahi
      @ZalkhaRawahi 3 месяца назад

      Mana huko znz wapo watanganyika wengi tu wanamiliki ardhi na washajenga tena nyumba za kudumu kabisa wanamiliki nyiwanda wanalima bukheri ila habari km izi wizara husika wangekuwa wakiziangalia kwa makini tusipojenga ufa .......

  • @salumally663
    @salumally663 3 месяца назад +3

    Wadanganye wasiojitambua....kwanini mnatafutaa watu WAGENI KUJA KUMILI ARDHI ZNZ?!

  • @Pemba680
    @Pemba680 3 месяца назад +1

    Hii ni nchi ya kistaarabu

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube 3 месяца назад +4

    Uyu kiongozi ndie mzanzbar halisi sio mzanzbar mkaazi

    • @hanifahkhamiss8485
      @hanifahkhamiss8485 3 месяца назад

      Eeeeee......mzanzibar halisi uyo

    • @user-vz4xj2ci2w
      @user-vz4xj2ci2w 3 месяца назад

      hhahahah ukute huna ata kibanda unasapoti upuuzi wa majumba ya wenye pesa mtz anamiliki nyumba south africa ije ashindwe kumiliki ardhi zanzibar em toeni upuuzi@@hanifahkhamiss8485

  • @AbdallahMohamed-bs7gb
    @AbdallahMohamed-bs7gb 2 месяца назад

    Maji ya bahari hayaathiriki kwa kuingiliwa na maji mto, Ispokuwa maji yamto yanaharibika yakiingiliwa na maji ya bahari, Mkuu wa mkoa wa mjini Maghrib apandishwe cheo kwani ni msema kweli hamung'unyi maneno, acheni chuki binafsi , kazi iendelee.

  • @othmankhalfan9675
    @othmankhalfan9675 3 месяца назад +3

    Hii sio fair kabisa.. i love u my natural nation TANGANYIKA

  • @moxmed5539
    @moxmed5539 3 месяца назад +1

    Kuna kitu huyu hajafafanua vizuri katika kumilik ardhi zanzibar,ili umiliki ardhi zanzibar ni lazima uwe na kitambulisho cha mzanzibar ,kwahiyo hata waliozaliwa zanzibar ambao asili ni wazanzibar lakin wanaisha tanzania bara basi pia hawaruhusiwi kumiliki ardhi ikiwa hawana kitambulisho na kwa mtanzania bara akienda kukaa na kupata kitambulisho cha mzanzibar nahisi kama sijakosea kwa muda wa mwaka anapata kitambulisho na anamiliki ardhi,so kuna watu wengi wanamiliki ardhi kutoka tanzania bara na haikatazwi kwa mtanzania kumiliki ardhi kwani hata hao wazawa wa zanzibar kama hawana vitambulisho vya pale hawamiliki ardhi

  • @MnaitheBigname
    @MnaitheBigname 3 месяца назад +2

    Jamani leo mi wakwaza

    • @godlistenJohn
      @godlistenJohn 3 месяца назад +1

      Acha ushamba, wenzio wameona mda tu, hawana mambo mengi wametulia

  • @mohddelo
    @mohddelo 3 месяца назад +7

    Zanzibar ni nchi ya kula bata tu

  • @mohammednyemaga4793
    @mohammednyemaga4793 3 месяца назад

    Mmmmh

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 месяца назад +2

    Ardhi yao ndogo bora ununue nyumba tu za Bakharesa

  • @DaudiHamisi-un2uu
    @DaudiHamisi-un2uu 3 месяца назад +1

    Mimi naona viongozi wetu ni wabinafsi sana hii nchi ilitakiwa kuwe na Raisi mmoja tuu kuanzia Pemba mpaka Ruvuma pesa ya dhahabu Geita itengeneze hospital Zanzibar na pesa ya karafuu ifike mpaka Mbeya Bunge liwe moja tuu nchi iwe moja tuu

    • @mussahamad404
      @mussahamad404 3 месяца назад

      Ile pesa ya Zra na TRA inayokusanyw bot inaenda wp

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 3 месяца назад +1

    Ndio Kwa maana mama anauza tuu ardhi ya bara

  • @denismvamba7480
    @denismvamba7480 3 месяца назад

    Duh, wao Tanganyika wanamiliki, ila kwao no, udumu muungano.

    • @user-sl2hk8wp1p
      @user-sl2hk8wp1p 3 месяца назад

      Hakuna tanganyika kuna Tanzania 🇹🇿 tu

  • @Tawazone
    @Tawazone 3 месяца назад +1

    Mwenyewe anajiona ameongea point kabisa kumbe pointless, huyu kiongozi anaonekana ana ubaguzi wa ndani kwa ndani kabisa, anaichukia Tanzania bara

    • @chibudenga8977
      @chibudenga8977 3 месяца назад

      Mshamba uyooo anaonekana anachuki malaya uyoo

  • @starjay3052
    @starjay3052 3 месяца назад +3

    asa kama kuna mtu nataka nimalizane nae uko uko

  • @SilaMinanda
    @SilaMinanda 3 месяца назад +13

    Mimi natokea Tanganyika, hizo sheria safi sana nawapa big up. Zanzbar mko safi sana kwenye sheria, haki na misimamo, sema mnaharibiwa na muungano

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq 3 месяца назад +1

      Sasa siwavunje huo mkataba?

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 3 месяца назад

      Sila hatuwataki wsrudi kwao hawa walioko huku warudi hatutaki muungano kinachotakiwa ziwe Serikali 3

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 3 месяца назад +1

      Mlioko kwetu nyie Wanzanzibar rudini kwenu mmejaa huku mpaka bandari zetu zinauzwa kwa warabu kauzeni bandari zenu hatuwataki jamani muungano ufe kabisa

  • @emmanuelzao
    @emmanuelzao Месяц назад

    😎

  • @donpablo7698
    @donpablo7698 3 месяца назад +2

    Sasa muungano Gani huo?

  • @user-qt3sk6pj7j
    @user-qt3sk6pj7j 3 месяца назад +1

    DOTTO MAGARI TYPING 😅😅😅

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m 3 месяца назад +1

    Na mama anakabizi na kuingia na lungu?

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 3 месяца назад +1

    Yaani huyu jamaa anajiona kwamba wazanzibar ni watu flani special sana..!! Kumbe Kuna njaa sana na umasikini uliopitiliza.

    • @AwatifAly-gw9qo
      @AwatifAly-gw9qo 3 месяца назад

      Zanzibr kuwa na njaa vp lakin tofaut na uko bara maan kazi zote za kuuza njugu embe mbichi , machungwa ukwaju nyiny ndo mnakuj kufny huku na kuchoma mahind mzanzibr humkuti kutoka nchi yke kenda sehem akapiga debe

    • @YosephAndrew-zm8zw
      @YosephAndrew-zm8zw 3 месяца назад

      Sio kweli iyo yakusema et amna mzanzibar anaefnya ukonda bara mbna wapo wengi sana nawengine wanauza juice zamiwa wapo wengi tuu nawanafnya kaz zakawaida tuu

    • @AwatifAly-gw9qo
      @AwatifAly-gw9qo 3 месяца назад

      @@YosephAndrew-zm8zw unawatuma weye hoja so kazi za kawaida hoja njaaa zanzibr na bara wapi kwenye njaa ndo alivosema zanzihar njaa zaid kuliko bora kwa akili ya kawaida icho kitu hakiwezekani

  • @stellanyamuhogota1832
    @stellanyamuhogota1832 3 месяца назад +15

    Na wenywe wasimiliki ardhi bara😮

    • @MaNsaMMs
      @MaNsaMMs 3 месяца назад +2

      Tatizo Tanganyika haipo tena ila Zanzibar bado ipo. Ndio maana Zanzibar ina sheria zake na TANZANIA bara inatumia sheria za Tanzania na wazanzibari ni watanzania pia. Kama hamutobadilisha ilo wazanzibari wataendelea kumiliki ardhi na vyenginevyo uko bara

    • @user-sl2hk8wp1p
      @user-sl2hk8wp1p 3 месяца назад

      Tatizo hamuna raisi wa tanganyika yupo wa muungano tu

  • @richardjosh2636
    @richardjosh2636 3 месяца назад

    Haya yanaubinafisi sana

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 3 месяца назад +19

    Hayo yote yataisha soon as possible...Sheria si msahafu..Umilik wa bastor ni muhim kwa ulinz binafsi...Mwenye nia ovu ata kwa bisibis atakuchom mithir wamasai na fimbo, virungu na sime....Suala la ardhi nalo mkisema hivy ni ktk kuwabagua wabara then uku tuwachukulie poa...Kama TZ ni moja kwann tuwekean mipaka...Mzazibar ana uwezo anunue hana adje bara na huu ndio muungano...Hii sheria haitadumu ila wawekezaj toka nje mnawamilikisha...None sense....inabid mjitathmin... Kama itawezekan muish kama kisiwa bila mashirikian nasi basi iwe hivyo...Na kwa hiz scenario zenu zinalet chuki baina ya vizaz vya bara na kisiwan na huu ubaguz unaend kuanzia mashulen ad vyuo vikuu...Kuwen makini

    • @DicksonIgnas-pq1rj
      @DicksonIgnas-pq1rj 3 месяца назад

      Shida nini hawaaminiki au wabala

    • @josephvenus3259
      @josephvenus3259 3 месяца назад

      Umeongea sahihi

    • @dondallas6683
      @dondallas6683 3 месяца назад

      Hujamuelewa

    • @jumashedafa
      @jumashedafa 3 месяца назад

      @@DicksonIgnas-pq1rj Hawa wenzetu wanakasumba san...Zandaaani kbs tuish nao tu halafu pia wanahis kuwa bara bahat mbaya yan bora wangekuw karibu na wakomoro ila si wabara

    • @jumashedafa
      @jumashedafa 3 месяца назад

      @@dondallas6683 Nifahamishe akhy

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 3 месяца назад +3

    Mm sion faida ya huu muungano cjui wann na ili iweje cye tz tunajtosheleza vyakula madin hifadh za taifa bahari maziwa mito nk so yann kuwa na muungano na hawa

    • @user-tq1jz3wm3f
      @user-tq1jz3wm3f 3 месяца назад

      Tulokuwa tunajiuliza ni wengi hata huku zenj tulokuwa hatujuwi ukwelini tunajiuliza Nyerere lengo lakin kutaka muungano na visiwa hivi ila hapo ukifatilia ndugu ndo utajuwa, SISI ni watu wakusema alhamdulillah ukivunjika wew unaringia Mali sisi tunaringia imani Kwa MOLA wetu hatuna shobo na maisha

    • @bilalkhamis_
      @bilalkhamis_ 3 месяца назад

      Mm ata leo ukivunjika sawa tu hamn ttz

    • @tinejuxfrancis729
      @tinejuxfrancis729 3 месяца назад

      Ni sababu za kiusalama Kaka Ila hakuna faida kiuchumi Wala nini

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 3 месяца назад

      @@tinejuxfrancis729 kiusalama hapo sawa imani tuidumishe

    • @abuuridhwan3661
      @abuuridhwan3661 3 месяца назад

      Hamna bahari bara

  • @khamismgunya4519
    @khamismgunya4519 3 месяца назад +4

    Daimond alikuwa nayo mbona

    • @user-sl2hk8wp1p
      @user-sl2hk8wp1p 3 месяца назад

      Ile wanapewa watu wenye akili ww umemuona nayo lini

    • @khamismgunya4519
      @khamismgunya4519 3 месяца назад

      @@user-sl2hk8wp1p wewe angalia video akiwa zanzibar utaona anaitowa

  • @user-mc8rz4yp4r
    @user-mc8rz4yp4r 3 месяца назад

    Unhuu mdogo wangu amenunua kiwanja Million mia mbili na amejenga hoteli Sasa itakuwa ngunu basi na wazanzibar wasiruhusiwe kununua viwanja Tz Bars,

    • @MaldiniEl-Dugheish-fs9zh
      @MaldiniEl-Dugheish-fs9zh 3 месяца назад

      Bara ndio wameweka sheria hio na Zanzibar wao ni nchi ndogo sana kama wataruhusu nchi watu watajibana 😂

  • @sixmundleonard2135
    @sixmundleonard2135 3 месяца назад +2

    Mtanganyika haruhusiwi kumiliki aridhi ila waarabu wazungu mnawapa unagizi udini acheni

    • @sports007tv4
      @sports007tv4 3 месяца назад

      Wazungu pia ni waislam ndiomana wanapewa

  • @dulatizo2970
    @dulatizo2970 2 месяца назад

    Sio kweli hakuna tajiri uyo atakae nunua kisiwa hichi wwe acha zarau iyo serikali haina uwezo wa kuwalipa raia kwakila mmoja wabara 3 wawenauwezo acha zarau hakuna kisiwa masikini

  • @loycealute8283
    @loycealute8283 3 месяца назад

    Kumbe Zanzibar haipo Tanzania kabisa n nchi nyingne 😂😂😂

  • @DrOmaryJuma-zj6se
    @DrOmaryJuma-zj6se 3 месяца назад +1

    Kiongozi anaongelea sheria lakini zanzibar mitaani watu wanatishiwa kwa mapanga.anachozungumza angewakumbusha wakuu wa wilaya wenzake wafike maeneo yao ya kazi na kupata maoni ya wananchi wasikilize wataelezwa kama ni kweli hiyo sheria ya silaha inafuatwa

  • @Askari22
    @Askari22 3 месяца назад

    Yoooo wow 😢manaake wao wanaweza miliki tz lakini sisi hatuwezi kumiliki zanzimbari

  • @almasimasia4045
    @almasimasia4045 3 месяца назад

    Sija Elewa kwa wawekezaji au hata raia walala hoi kutoka bara hawaruhusii kujenga nyumba ya vyumba vitatu na sebule au ndo haipaswi kabisa hata miguu miwili ya uchochoro

  • @lilraizo9597
    @lilraizo9597 3 месяца назад

    ni bora watanganyika musimiliki ardhi Zanzibar muje huku tuwatume murudi mukajenge kwenu uko hatutaki immigrants.

  • @user-sm7gj4mn5n
    @user-sm7gj4mn5n 3 месяца назад

    CCM na watanganyika je kwanini wazanzibari wamiliki kwetu tunataka selikari 3

  • @ChristopherEmanuel-os1xw
    @ChristopherEmanuel-os1xw 2 месяца назад

    MBONA SS WANAMIRIKI AONIMATAPELI

  • @hajially4527
    @hajially4527 3 месяца назад +3

    Zanzibar inasheria zake bara tungeni zenu pia tutazifatz

    • @Officialjidaa-sn9cs
      @Officialjidaa-sn9cs 3 месяца назад

      Kwani nyie nao Sasa nchi

    • @Worldunite
      @Worldunite 3 месяца назад

      Tukitunga za kwetu mtaweza kufuata? Km wabara hawqwezi kumiliki ardhi znz, basi hivyo hivyo na wazenji wasimiliki ardhi bara,na waliokwishamiliki ikiisha lease warudishe hizo ardhi serikalini huku bara wauziwe wamilikishwe wabara na wasiweze tena kumiliki

  • @salmabasil385
    @salmabasil385 3 месяца назад

    Iwepo sheria pia mzanzibar asimiliki ardhi Zanzibar wamalizie kununua ardhi kwao

  • @zangzang1574
    @zangzang1574 3 месяца назад

    Sisi atuna mawazo ya kufikilia mbele wazungu tunawamilikisha aridh ila sisi kwa sisi atuna ruhusa ya kumiliki aridh hii ni fky 😂😂😂

    • @kheirdulla9046
      @kheirdulla9046 3 месяца назад

      Mzungu gani unamjua anamiliki ardhi Zanzibar

  • @najashdawood9680
    @najashdawood9680 3 месяца назад

    Mmmh mbona wapo wabara wana ardhi muheshimiwa..kama kweli hawatakiwi..basi wacha tukupe urais akimaliza hussen mwinyi ..ww uta tufaaa pengine 😂

  • @asyachetu2388
    @asyachetu2388 3 месяца назад

    Wako wa bara tele wananunua viwanja tena wengi hawana lolote story tu hz

  • @jumahamadomar9124
    @jumahamadomar9124 3 месяца назад +1

    Hizo ni propaganda tu za serikali lakini wapo wabongo wengi sana wanamiliki majumba na mashamba sisi wananchi tunawajuwa na hao wanasema hawaruhusiwi kumiliki ardhi ndio wanaowapatia haki za kumiliki

  • @bahatilaizer8706
    @bahatilaizer8706 3 месяца назад +1

    Sasa mnaanza mambo ya ubaguzi

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 3 месяца назад

      Ubaguzi upo sanaa sisi tumewachoka warudi kwao wauze hizo au mashamba walioyamiliki wabaguzi aana hawa ni waarabu wanyamwezi muungano gani huu

  • @Mosses8
    @Mosses8 3 месяца назад +1

    sasa mbona nyiye mnamiliki ubaguzi wa rangi

  • @ngowibeatrice1701
    @ngowibeatrice1701 3 месяца назад

    Hata wao wasimiliki bara aridhi

  • @tatumzelela5515
    @tatumzelela5515 3 месяца назад

    Nimesema hivi kama Mtanzania bara marufuku Mzanzibar kumiliki eneo huku wala kupiga kura olewenu niwakute ntawanyoosha

  • @edwardgafachu8932
    @edwardgafachu8932 3 месяца назад

    Ni kosa pia mzanzibar kununua ardhi ya Tanganyika, siyo Tanzania hapo ndipo wote tunapokosea. Kama ilivyo ardhi haiuzwi kwa wageni vilevile wazanzibar kwenye masuala ya ardhi ya Tanganyika si wenyeji ni wageni vilevile. Tubadili katiba na sheria zetu zitende haki kila upande.

  • @utaani1
    @utaani1 3 месяца назад

    Hatutaki wageni waruhusiwe kumiliki ardhi Zanzibar isipokuwa Mzanzibar tu

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 3 месяца назад

    Imeeleweka hyo ndio shida ya kutoelewa sheria

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l 3 месяца назад

    Sheria ya aridh imetungwa kwasabab znz visiwa havihimili watu wengi na mwisho wa siku kutawaliwa wazawa watakuwa hawana haki ndo tulipo sasa mnachaguwa rais wa mkuranga halafu mnalalamika pembeni

  • @zangzang1574
    @zangzang1574 3 месяца назад

    Kuna busara,kuna kiongoz, hivi vitu tofauti

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 3 месяца назад +10

    YAANI KATI YA WATU WABAGUZI HUYU ANAONYESHA DHARAU WAZIWAZI NA KWA KWELI SIMPENDI KAMA JINI VILE,

    • @hamicpina1151
      @hamicpina1151 3 месяца назад +1

      Wabara hawawezi kuwa na ardhi zenji hatuendani Mila kwanza nyinyi mmefanya Hadi zenji iwe finyu kimaendeleo

    • @izack9191
      @izack9191 3 месяца назад +1

      Kuongea ukweli sio ubaguzi, tanganyika na zanzibar ni muungano wa mdomoni tu

    • @magrethmbuma3045
      @magrethmbuma3045 3 месяца назад

      ​@@hamicpina1151😂😂😂uvivu umewajaa mnataka kuzaa tu

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 3 месяца назад

      @@hamicpina1151matako nyie

    • @Official83640
      @Official83640 3 месяца назад

      ​@@hamicpina1151KWAHY WAZUNGU MNAOWAUZIA NAO MAENEO VP MMEWAPA URAIA?

  • @emmanuelShayo-dk6vf
    @emmanuelShayo-dk6vf 3 месяца назад

    Ndo maana huyu mother anauza tu

  • @rojadecoration996
    @rojadecoration996 3 месяца назад +1

    Anaongea nini huyu mim sio mzanzibar na niko na nyumba nungwi nimenunua kialali kiwanja nanikajenga mwaka wa 7 sasa

  • @salmaabdu5011
    @salmaabdu5011 3 месяца назад

    Ukitaka kuishi zanzibar ufake sheriya huwezi ondoka ndomana mkatuona wazanzibari wakarimu na wastaarabu sana ila mnakuja kutoka bara sasahivi zanzibar imekuwa tafrani tupu machangu dowa walevi wauwaji majambazi kila kona. HONGERA MKUU WA WILAYA KAZI IYENDELEE

  • @japhetmathayo7594
    @japhetmathayo7594 3 месяца назад

    Uyu ana chochote na anakuwaga na masifa sana ajui kitu

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 3 месяца назад +1

    Huyu si mzanzibar kumbe mkuu wa mkoa mbara 😂😂😂😂Zanzibar kwisha

    • @SALEHSALEH-lk5jr
      @SALEHSALEH-lk5jr 3 месяца назад

      Mkuu wa wilaya not mkuu wa mkoa

    • @user-sl2hk8wp1p
      @user-sl2hk8wp1p 3 месяца назад

      Munafumbuliwa akili yy wajinga km yy lkn bado hamujielewi zanzimbar kwisha lkn tanganyika jee ipo?

  • @user-rg5sg1xz8p
    @user-rg5sg1xz8p 3 месяца назад +2

    Hawa wanajichongea wenyewe maaana ivi vitu avivutiki kabisa

    • @user-sl2hk8wp1p
      @user-sl2hk8wp1p 3 месяца назад

      Hutaki ww km nani km huna raisi wa tanganyika ni bure ndugu

  • @abuuyasir4684
    @abuuyasir4684 3 месяца назад

    Ubaguzi huu kwa nini wao huku bara wamiliki huko tusimiliki ila ipo siku yatafika mwisho na iwe haki sawa

  • @jumahamadomar9124
    @jumahamadomar9124 3 месяца назад +1

    Wapo wengi tu watanganyika wanamiliki ardhi Zanzibar

    • @user-vz4xj2ci2w
      @user-vz4xj2ci2w 3 месяца назад

      wabongo sisi tanganyika ndo mdudu gani🤣🤣🤣🤣

  • @EliasJohn-si9es
    @EliasJohn-si9es 3 месяца назад

    Huyo anajenga ubinafsi co kiongozi

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 3 месяца назад

    Tz yangu. Eti tu wamoja 🤔🤔 aliye kuambia nani! Tunabaguana hadi ktk sheria itakua kidini na ndio mana ni kawaida kwa Makanisa kuchomwa moto Znz. Ila yaja siku ya haha yote kukoma!

    • @kheirdulla9046
      @kheirdulla9046 3 месяца назад

      Ww ndio unaongelea chuki kanisa gani hilo Zanzibar kumeanza makanisa kabla uko bara na yapo mpaka leo unajua kanisa la mkunazini au minara 2 yana miaka mingap na yapo usikariri maneno pengine hata zanzibar yenyewe hujafika

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 3 месяца назад +1

    Mbona wapenba Wana ardhi huku ...huu ujinga sana

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 месяца назад

    Ardhi ya Znz almodt inamilikiwa na watanganyika walioko kwa madaraka hiyo sheria iko kwa kitabu tu . Wazanxibar wenyewe wanaondoshwa kwa ardhi zao .zikitakiwa .Hadithi za jaba hizo .

  • @RamadhanMohamed-jz6xm
    @RamadhanMohamed-jz6xm 3 месяца назад

    Wewe ni Kati waznzri nnaowataka mm mana nazani tulizaliwa siku moja nakupongeza Sana na exclusive km hizi unatakiwa uzifanye nyingi sana

  • @raymondmichael8805
    @raymondmichael8805 3 месяца назад

    Sasa vipi inakua ni nchi moja?

  • @revocatusbahatibussiah5201
    @revocatusbahatibussiah5201 3 месяца назад

    Wazanzibar pia wasimiliki ardhi bara!!!! Wanafanya ubaguzi wa kumiliki vitu..
    Kwann wao watukataze halafu kwetu wakubaliwe.??
    Why???? Kwann??? How???

    • @fakihdarusi4385
      @fakihdarusi4385 3 месяца назад

      NI WATANZANIA ILA SIO KILA MTANZANI NI MZANZIBAR

  • @Official83640
    @Official83640 3 месяца назад

    Je mliomiiki huku bara inakuwaje aisee nyie mnapenda ubaguzi sana hambadiliki kamwe doh yaani viwanja vilivyokuwa bei huko kwenu wazanzibar wengi wanakuja kujenga bara kutokana na unafuu wa bei ya viwanja na maisha yake rahisi mbona mpo hivyo

    • @kheirdulla9046
      @kheirdulla9046 3 месяца назад

      Hajabaguliwa mtu ni mambo ya sheria tu ambazo ni makubaliano ya huo muungano fatilia historia

  • @WATUWAMJUEMUNGU
    @WATUWAMJUEMUNGU 3 месяца назад

    kwenye ardhi hapo mh! ila chamuhimu Amani kama kumiliki ardhi kwa wa Bara ni hatari kiusalama basi wacha tuenzi wazee

  • @TECHSMARTSWAHILI
    @TECHSMARTSWAHILI 3 месяца назад

    Hivi munajua hata wachezaji wa bara kwenye kulipa kodi ni tofauti pale ZFF

  • @teachingtruthmission2140
    @teachingtruthmission2140 3 месяца назад

    Mmmmm ni hatari sasa umoja wetu UN maana gani ...hili Lina niudhi sana

    • @sports007tv4
      @sports007tv4 3 месяца назад

      Ndio ujiulize ukitoka na kitu znz kuja bara ulipie ushuru kma unatoa nje

  • @thomasgogomoka6404
    @thomasgogomoka6404 3 месяца назад +8

    Wazungu, wahindi, warabu wamenunua sana aridhi Zanzibar na wanaishi, si kwamba wanaishi kama wawekezaji hapana, wamenunua wamejenga nyumba na wanakaaa, na wakati huo huo watu kutoka Bara hawaruhusiwi, sheria imewabagua kwa kigezo cha zanzibar ni kisiwa kinalindwa. Mh. Mkuu wa wilaya hii sheria kwa upande mwingine haiko fair kwa upande mwingine wa muungano tunaheshimu sana sheria na taratibu za Zanzibar lakini kuna haja ya kuliangalia upya. Je wale watanganyika wanaouziwa viwanja hapa na wazawa wanatapeliwa? maana sheria iko wazi haiwapi haki ya kumiliki aridhi Zanzibar.

    • @josephfungwa5719
      @josephfungwa5719 3 месяца назад

      Hawajatapeliwa, watu wanamiliki aridhi na wanajenga! Sheria inamtambua mtu wa Bara kuwa Mzanzibar mkaazi, baada ya kukaa Zanzibar Kwa muda usiopungua miaka 10! Na uwe registered kutoka ngazi za chini na ushiriki shughuli mbali mbali za shehia na mitaa!! Anachoongelea mkuu wa wilaya ni Ile MTU amajisikia kuja kununua aridhi kutoka Bara na kupata ardhi hiyo ni ngumu! Ukifuata masharit ni rahisi na watu wanajenga vzr!. Ukija Kwa jina la mwekezaji unapata Kwa utaratibu ulio wekwa!
      Kwani Tanzania Bara Kwa mjibu wa sheria za aridhi kuna MTU anamiliki aridhi au tunakodisha?.

    • @user-nq2np6de6l
      @user-nq2np6de6l 3 месяца назад +1

      Si kwel ukiangalia hati zAo ni kwa ajili ya udhibiti ila mzanzibar imeandikwa kuimiliki nenda kaangalie

    • @ahmedalbalushi6239
      @ahmedalbalushi6239 3 месяца назад

      Passport pia irudishwe wanaoingia wawe na passport

    • @mohamedally5225
      @mohamedally5225 3 месяца назад +1

      Hamjamuelewa mbn raia wa kawaida wapo kibao wamejenga zanzibar mm ninaojiran zang watatu na washikaji pia ni watanganyika na wamenunua na wanejenga

    • @user-pm7yo3xi3h
      @user-pm7yo3xi3h 3 месяца назад

      Hiyo sheria ya ardhi zanzibar haifuatwi na si sheria hiyo tu .sheria nyingi za zanzibar zimetiwa kapuni. Katika makubaliano ya muungano pia mengi yamevunjwa.

  • @maisarirajab4846
    @maisarirajab4846 3 месяца назад

    Hizo sheria zipo kwenye makaratasi tu lkn wangapi kutoka tanganyika wanamiliki ardhi

  • @ismaildavid6970
    @ismaildavid6970 3 месяца назад

    hawa wabaguzi sana nao hakuna kumiliki ardhi bara.

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 3 месяца назад

    Basi mzanzibar asimiki dar

    • @mahadmohammed514
      @mahadmohammed514 3 месяца назад

      mlaumuni nyerere ndo aliekubali masharti ya muungano

  • @domitirakomba2989
    @domitirakomba2989 3 месяца назад

    Hapa sijamuelewa aliposema Tanzania inaruhusiwa😮😮😮😮😮

    • @domitirakomba2989
      @domitirakomba2989 3 месяца назад

      Kuwe na kiwango Cha umiliki. Sio kukataza kabisa kumiliki ardhi

  • @exprodigitaltechtv5571
    @exprodigitaltechtv5571 3 месяца назад

    Huku Tanganyika na hapa ipo mtuletee upimbi sasa