Innalillahi wainna ilaihi raajing'uun, Eeee Mwenyezimungu ninusuru na wanawake WA dizain hii wenye tabia chafu 🤲Aaaamiiin yaa Rabbal Ng'aalamiin, nijaalie ya Allah niwe miongoni mwa wanawake wema inshalah Amiin yaa Rabbi🤲
Umeogea kweli kabisa lakini asilimia sote wanaume hadhamini wake zao na waume wengi hawaswali wanawake wengi wako madarasani na kama mm naswali mume hswali na wala hana mda huu je hii iko vip
Nkweli je kama mume mwenyewe ndiye hatak kusali na baba ndiye nguzo ya nyumba nifanyeje kama mimi pia nataka kudai talaka hatak kusali wala kufunga yani hana hata jema mmoja analolifanya
Dada katika Uislamu Mpe Onyo Hiwapo Hata kubali Kuswali Wewe Huto Mpikia Wala Kumuhudumia Kwa Wewe Kumcha Mollah Wako Kutumia Nehema aliyo kupa mollah Wako nehema ya Afyah na Uzima Kumuhudumia TARIKUSWALA. InsaaAllah Mwenyenzi Mungu Atamzindua na Atamuongoza Kufanya ibaada.
@@hassanajiruu7793 sidhani kama atabadilika niko naye kwenye ndoa mwaka wa ishirini na moja nahaja sujudu haya ckumoja kwanza mkitaka mtete ama akunyime matumizi mtajiye mambo ya swala jawabu lake yuakwambia swali wewe uende peponi amenichoza kabsa.
Allah atupe mwisho mwem ❤❤❤❤❤❤❤
Tumuombe mwenyezi mungu atujalie mwisho mwema na mazingatio haya
Jazaaka lahu haira sheikh ALLAH akueke
Mashallah ostadh
Innalillahi wainna ilaihi raajing'uun, Eeee Mwenyezimungu ninusuru na wanawake WA dizain hii wenye tabia chafu 🤲Aaaamiiin yaa Rabbal Ng'aalamiin, nijaalie ya Allah niwe miongoni mwa wanawake wema inshalah Amiin yaa Rabbi🤲
Allha akubaliki
Masha Allah beautyful
Ya Allah lainisha moyo wangu....na uniepushe na adhabu ya kaburi 😭😭
Ameen Yaa Allah
Alhamdulilah
Masha.Allah ustadh from somalia❤❤❤
Mash'Allah khutbah nzuri tuna fata tokea Congo drc 🇨🇩❤️
Mungu atufanyie wepes amiin shukran
Umeogea kweli kabisa lakini asilimia sote wanaume hadhamini wake zao na waume wengi hawaswali wanawake wengi wako madarasani na kama mm naswali mume hswali na wala hana mda huu je hii iko vip
Dah kwa kweli sijui km tutapona na hizi simu
Allah Allah Allah Allahuakkbar
Subhanna alla
Kweli kbs sheikh 😢😢😢😢😢
Maishallah
Mashaaallah ❤️❤️❤️
Inalilah wa inalilah randjau😥
Mbonde Allah akulinde
Inalillah wa inalillah rajiunah
Mawaidha ya maana sana kwa wanawake
manshallah
Yarabi tunusuru 😪😪😪
Jamani huyu mwamba bado yupo hai
😢
😭😭😭😭😭☝️🙏🤲
Dan
Nkweli je kama mume mwenyewe ndiye hatak kusali na baba ndiye nguzo ya nyumba nifanyeje kama mimi pia nataka kudai talaka hatak kusali wala kufunga yani hana hata jema mmoja analolifanya
Dada katika Uislamu Mpe Onyo Hiwapo Hata kubali Kuswali Wewe Huto Mpikia Wala Kumuhudumia Kwa Wewe Kumcha Mollah Wako Kutumia Nehema aliyo kupa mollah Wako nehema ya Afyah na Uzima Kumuhudumia TARIKUSWALA. InsaaAllah Mwenyenzi Mungu Atamzindua na Atamuongoza Kufanya ibaada.
@@hassanajiruu7793 sidhani kama atabadilika niko naye kwenye ndoa mwaka wa ishirini na moja nahaja sujudu haya ckumoja kwanza mkitaka mtete ama akunyime matumizi mtajiye mambo ya swala jawabu lake yuakwambia swali wewe uende peponi amenichoza kabsa.
chakufanya . kama hasikii. muombe mungu. Akuepushe. nae. mungu atajua jinsi atakavokuachanisha nae