JEE MTOTO WA ZINAA ATAINGIA PEPONI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 апр 2021

Комментарии • 48

  • @meymahally8674
    @meymahally8674 3 года назад +5

    😂😂😅ati wanaharam kwa kufanana😂😅😂 Izzudin wanifurahisha japo ya kusikitisha

  • @notoriussavage3538
    @notoriussavage3538 3 года назад +2

    Shukran ustadh....mungu akuwekee na mawaidha yako....👐

  • @salmagungurugwa6854
    @salmagungurugwa6854 2 года назад +2

    Subhannallah huu ndo ubaya wa zinaa huu

  • @rasheedwashee9112
    @rasheedwashee9112 2 месяца назад +1

    Shukran sheikh japo mtiani mkubwa sana 😢

  • @MA-ht7po
    @MA-ht7po 3 года назад +3

    Shukran sheikh

  • @husseinmwalim6406
    @husseinmwalim6406 3 года назад +2

    Mashallah shekh Wang izudin🤲🤲allhau mustaan

  • @mwachidzopoposalimpopo8890
    @mwachidzopoposalimpopo8890 3 года назад +3

    Shukran sherk wangu

  • @diamondkenya1763
    @diamondkenya1763 3 года назад +3

    MashaAllah be blessed ustadh.........
    ntapata aje contact ya huu shiekh?

  • @abumoyo1066
    @abumoyo1066 3 года назад +5

    Aslm alykum kweli ustadh hapo kisheria wafaa kumuowa lkn kuna wakati watu kama hao wakiowana mungu huleta mitihani mizito hiyo nayo huwa ni kwa nn?

    • @mrjagenmuuz5704
      @mrjagenmuuz5704 3 года назад

      Ndıo mana ıkakatazwa zınaa kwa sababu nıuchafu nando huleta madhara kama hayo

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 3 года назад +1

    Swadakta shekh mwanaharamu true kufanana

  • @laleinemirjangi1930
    @laleinemirjangi1930 3 года назад +1

    Mawaidha Io ni kali sana

  • @abullahkabaka8774
    @abullahkabaka8774 3 года назад +3

    MASHA ALLAH ALEIK

  • @aishaabdallah4560
    @aishaabdallah4560 3 года назад +1

    Mmmm hapo pa mtoto n pakali

  • @khadijaabdul5029
    @khadijaabdul5029 Месяц назад

    Allh akbar

  • @bestoftiktok4436
    @bestoftiktok4436 3 года назад +2

    Shukran ushaadh

  • @muniramohammed2328
    @muniramohammed2328 3 года назад +3

    Shukran

  • @sponsalfathedj8177
    @sponsalfathedj8177 3 года назад +1

    Mtiani kweli kwa hili sheikh

  • @sakinamohamed6557
    @sakinamohamed6557 Год назад

    Nina swali Jamani sinidamu moja atamuowa vp

  • @issanduwayo8090
    @issanduwayo8090 Год назад

    Alhamdulillah

  • @jumamohamed628
    @jumamohamed628 3 года назад +2

    Mbavu zangu Ustaadh kkkkkkkk

  • @seifsharif2212
    @seifsharif2212 3 года назад

    Asant shekh

  • @athmanmbwanakumalla3833
    @athmanmbwanakumalla3833 3 года назад +1

    mashaAllah

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 3 года назад +2

    Mwanaharamu ni nani

  • @shamsaalrahbi5573
    @shamsaalrahbi5573 3 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣Akaaaaa jmn

  • @petromachanga5538
    @petromachanga5538 3 года назад +1

    Haya mafundisho hahaaaa

  • @monassapamedi6583
    @monassapamedi6583 3 года назад +4

    Sheikh naomba kujua hukmu ya mtoto haramu kutumia jina la babake ambae ni waharamu baba wa nje ya ndoa

    • @dr.naseemahbarayan4449
      @dr.naseemahbarayan4449 3 года назад

      Asalam aleikhum warahmatullahi wabarakatuh.tafadhali sheikh tujibu hili swali.

    • @africa7479
      @africa7479 3 года назад +1

      Mim sio huyo shk lkin haifai kutumia jina la huyo baba ,wala kurithi chochote kutoka kwake na wala yeye kurithi kutoka kwako.... Unachukua unasaba upande wa mama

    • @hatibiabdi9601
      @hatibiabdi9601 3 года назад

      @@africa7479 Shukran

  • @abubakarmohammed2613
    @abubakarmohammed2613 3 года назад +1

    Hii yaonyesha uovu wa tendo la zinaa!

  • @babyayshermohamed554
    @babyayshermohamed554 3 года назад

    Asalam Alekum shehe je kea Mfano mwananume amekukuta na mimba Tangu ikiwa ndogo ina miezi 4 halafu akakuoa na akalea mimba mpka mtoto Akazaliwa na akamlea mtoto mpaka saba je Huyo baba anafaaa kumuoa huyo mtoto na Je yule baba anaanafasi can kwa yule Mtoto

    • @musaalimwenje8515
      @musaalimwenje8515 Год назад

      Huyo anahesabiwa ni mwanawe na anaruhusiwa kumuozesha wakati utakapofika.

    • @babchudu
      @babchudu Год назад

      sikiliza vizur mawaidha, hauruhusiwi kwa sababu umemuoa mama yake tyari

  • @amarali9737
    @amarali9737 2 года назад

    Sasa yule mwanaharamu kwenye birth certificate ataandikwa jina gani na hana baba

  • @michimsuya
    @michimsuya Год назад

    Ndoa inatakiwa kufunga na watu wanapi

  • @bintyasminyasin546
    @bintyasminyasin546 3 года назад +1

    Hili nalo neno jaman mtihani hii video naitaka sijui naipataje jmn

  • @ikhlassathman8782
    @ikhlassathman8782 3 года назад

    Tumefahamu

  • @user-br9lp8dy2e
    @user-br9lp8dy2e 3 года назад

    Mmmh kwahiyo kama umeandika jina la huyo babake itakuaje

    • @yusufmwangichannel6692
      @yusufmwangichannel6692 3 года назад

      Msio elewa uwa mko na shida, mada iko wazi kabisa lakini mpaka uulize

    • @babchudu
      @babchudu Год назад

      @@yusufmwangichannel6692 kwenye dini, mtu akiuliza jambo kama umeelewa mueleweshe, si sema kudhihaki mana hatufanani uelewa

  • @rehemaali7405
    @rehemaali7405 3 года назад +1

    Masha Allah.

  • @shadyaahmed6731
    @shadyaahmed6731 3 года назад

    Mtoto wako atamwoa vipi na wamenyonya ziwa moja hana baba lakini ana mama au

    • @seifabduliwahid4153
      @seifabduliwahid4153 3 года назад

      As unapinga sheria za Mungu

    • @arifmrashid5450
      @arifmrashid5450 3 года назад +3

      Zingatia point Dada samahani lkn kilichozungumzwa c mtoto aliezaliwa na mamaake mtoto alimzungumza aliemzaa na mwanamke mwengine tofauti na mama yake.