Mim sio huyo shk lkin haifai kutumia jina la huyo baba ,wala kurithi chochote kutoka kwake na wala yeye kurithi kutoka kwako.... Unachukua unasaba upande wa mama
Asalam Alekum shehe je kea Mfano mwananume amekukuta na mimba Tangu ikiwa ndogo ina miezi 4 halafu akakuoa na akalea mimba mpka mtoto Akazaliwa na akamlea mtoto mpaka saba je Huyo baba anafaaa kumuoa huyo mtoto na Je yule baba anaanafasi can kwa yule Mtoto
😂😂😅ati wanaharam kwa kufanana😂😅😂 Izzudin wanifurahisha japo ya kusikitisha
Shukran ustadh....mungu akuwekee na mawaidha yako....👐
Subhannallah huu ndo ubaya wa zinaa huu
Shukran sheikh japo mtiani mkubwa sana 😢
Shukran sheikh
Mashallah shekh Wang izudin🤲🤲allhau mustaan
Shukran sherk wangu
MashaAllah be blessed ustadh.........
ntapata aje contact ya huu shiekh?
Aslm alykum kweli ustadh hapo kisheria wafaa kumuowa lkn kuna wakati watu kama hao wakiowana mungu huleta mitihani mizito hiyo nayo huwa ni kwa nn?
Ndıo mana ıkakatazwa zınaa kwa sababu nıuchafu nando huleta madhara kama hayo
Swadakta shekh mwanaharamu true kufanana
Mawaidha Io ni kali sana
MASHA ALLAH ALEIK
Mmmm hapo pa mtoto n pakali
Allh akbar
Shukran ushaadh
Shukran
Mtiani kweli kwa hili sheikh
Nina swali Jamani sinidamu moja atamuowa vp
Alhamdulillah
Mbavu zangu Ustaadh kkkkkkkk
Asant shekh
mashaAllah
Mwanaharamu ni nani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Akaaaaa jmn
Haya mafundisho hahaaaa
Sheikh naomba kujua hukmu ya mtoto haramu kutumia jina la babake ambae ni waharamu baba wa nje ya ndoa
Asalam aleikhum warahmatullahi wabarakatuh.tafadhali sheikh tujibu hili swali.
Mim sio huyo shk lkin haifai kutumia jina la huyo baba ,wala kurithi chochote kutoka kwake na wala yeye kurithi kutoka kwako.... Unachukua unasaba upande wa mama
@@africa7479 Shukran
Hii yaonyesha uovu wa tendo la zinaa!
Asalam Alekum shehe je kea Mfano mwananume amekukuta na mimba Tangu ikiwa ndogo ina miezi 4 halafu akakuoa na akalea mimba mpka mtoto Akazaliwa na akamlea mtoto mpaka saba je Huyo baba anafaaa kumuoa huyo mtoto na Je yule baba anaanafasi can kwa yule Mtoto
Huyo anahesabiwa ni mwanawe na anaruhusiwa kumuozesha wakati utakapofika.
sikiliza vizur mawaidha, hauruhusiwi kwa sababu umemuoa mama yake tyari
Sasa yule mwanaharamu kwenye birth certificate ataandikwa jina gani na hana baba
Ndoa inatakiwa kufunga na watu wanapi
Hili nalo neno jaman mtihani hii video naitaka sijui naipataje jmn
WhatsApp nkutumie Inshallah 0769990487
Kwani umezaa nje ya ndoa
@@hood_creative_photographyh7476 ntumie hii video watsapp
Tumefahamu
Mmmh kwahiyo kama umeandika jina la huyo babake itakuaje
Msio elewa uwa mko na shida, mada iko wazi kabisa lakini mpaka uulize
@@yusufmwangichannel6692 kwenye dini, mtu akiuliza jambo kama umeelewa mueleweshe, si sema kudhihaki mana hatufanani uelewa
Masha Allah.
Mtoto wako atamwoa vipi na wamenyonya ziwa moja hana baba lakini ana mama au
As unapinga sheria za Mungu
Zingatia point Dada samahani lkn kilichozungumzwa c mtoto aliezaliwa na mamaake mtoto alimzungumza aliemzaa na mwanamke mwengine tofauti na mama yake.