NDOA YA MUISLAMU NA KAFIRI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 25

  • @mwambirekwamboka9525
    @mwambirekwamboka9525 5 лет назад +14

    Shukran Sanaa sheikh wangu ama kwa hakika unafaidisha umma kwa elmu yenye manufaa.Mola Akujalie kila hitaji lako in Sha Allah

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe5172 5 лет назад +2

    MaashAllah vizuri Alhamdulilah InshAllah heri, Mke mwema mbora ndoa

  • @hajramiraji4678
    @hajramiraji4678 4 года назад +1

    Mashaallah umefahamika vizuri mno Mashaallah

  • @marwaabdalla9306
    @marwaabdalla9306 5 лет назад +4

    Shukran shekhe Allah akulipe kheri

  • @saidhamisi2795
    @saidhamisi2795 3 года назад

    Asante ustadh yafaa muislamu kuowa akiwa safari kwa kuwakilishiwa na kakake au rafiki yake

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 5 лет назад

    Shukran jazzak Allah khery

  • @abullahkabaka8774
    @abullahkabaka8774 4 года назад

    MASHA ALLAH ALEIK

  • @mamakebiasha4807
    @mamakebiasha4807 2 года назад

    Asalam aleikum .nauliza na kama mke aliachwa na talaka mbili na akukalia eda ni sawa.

    • @AbdullahOmar-be4wy
      @AbdullahOmar-be4wy 5 месяцев назад

      Kukaa eda ni lazima km alikaa kwao kwa dharura sawa ila inatakiwa akae kwake Eda sasa km aliachwa talaka mbili hakukaa Eda akaolewa hiyo ndoa ni batili

  • @shakazulu8532
    @shakazulu8532 5 лет назад +1

    Yan binti upo nae lkn mkrsto unakaa nae kama mke na mume alaf utegeeme atasliim kwa mda usiojulikana ! Ok na ukimpa mimba utambeleza aslim alaf ndo mtakua hamjaziiin au eelimu iko wap shekh

  • @mohdhassan9943
    @mohdhassan9943 5 лет назад

    Jama nyny munao kosoa muna mumelifahamu hilo somo

  • @faizasaid8262
    @faizasaid8262 5 лет назад

    Shukuran

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 5 лет назад +2

    kwenye ukristo mbona hakuna ndoaaa wanazin tu waleeeeee

    • @sitikhamis7978
      @sitikhamis7978 5 лет назад

      Ndoa zipo.... Ikipita kanisani ni ndoa rasmi

    • @jumaakhalfan485
      @jumaakhalfan485 5 лет назад

      unakosea uliza ujibiwe

    • @elizawallace2971
      @elizawallace2971 4 года назад

      Waislam hawana ndoa zaidi mitaal

    • @furahaa123
      @furahaa123 2 года назад

      Aliykudangnya mwmbie aendlee man kuzmu inmkrbia

  • @aishasuddy5027
    @aishasuddy5027 5 лет назад +1

    Asalam aleykum nauliza mume amekuacha kwa mwaka mmoja lkn hajakupa talaka na hakuangali kwa lolote je bado umke wake

    • @mwambirekwamboka9525
      @mwambirekwamboka9525 5 лет назад +1

      Ndio ulikuwa una haki baada ya wiki na hakuangilii kwa kitu Kama usemavyo kuomba talaka

    • @zanzibarpressclub4364
      @zanzibarpressclub4364 5 лет назад

      ndio bado ni mumeo mpaka atakapokupa talaka tatizo atakuwa anajukumu la kutookukushughulikia

  • @amharali8402
    @amharali8402 5 лет назад

    Uadilifu......... Mtihani mkubwa

  • @mohdhassan9943
    @mohdhassan9943 5 лет назад

    Au munadhani huyu maalimu anatoa kichwani mwake hatoii kwa dalili za sheiria

  • @furahaa123
    @furahaa123 2 года назад

    Yani nyie mnajidangny mno n marufuku kuacha mke tarak n dhmbi n mke n mmja ty ao wngn at mkioa n kwamb mnazini ace binadamu tunaangamia kw kukoxa maarifa