Kukaa eda ni lazima km alikaa kwao kwa dharura sawa ila inatakiwa akae kwake Eda sasa km aliachwa talaka mbili hakukaa Eda akaolewa hiyo ndoa ni batili
Yan binti upo nae lkn mkrsto unakaa nae kama mke na mume alaf utegeeme atasliim kwa mda usiojulikana ! Ok na ukimpa mimba utambeleza aslim alaf ndo mtakua hamjaziiin au eelimu iko wap shekh
Yani nyie mnajidangny mno n marufuku kuacha mke tarak n dhmbi n mke n mmja ty ao wngn at mkioa n kwamb mnazini ace binadamu tunaangamia kw kukoxa maarifa
Shukran Sanaa sheikh wangu ama kwa hakika unafaidisha umma kwa elmu yenye manufaa.Mola Akujalie kila hitaji lako in Sha Allah
Amiin
MaashAllah vizuri Alhamdulilah InshAllah heri, Mke mwema mbora ndoa
Mashaallah umefahamika vizuri mno Mashaallah
Shukran shekhe Allah akulipe kheri
Asante ustadh yafaa muislamu kuowa akiwa safari kwa kuwakilishiwa na kakake au rafiki yake
Ndio inafaa
Shukran jazzak Allah khery
MASHA ALLAH ALEIK
Asalam aleikum .nauliza na kama mke aliachwa na talaka mbili na akukalia eda ni sawa.
Kukaa eda ni lazima km alikaa kwao kwa dharura sawa ila inatakiwa akae kwake Eda sasa km aliachwa talaka mbili hakukaa Eda akaolewa hiyo ndoa ni batili
Yan binti upo nae lkn mkrsto unakaa nae kama mke na mume alaf utegeeme atasliim kwa mda usiojulikana ! Ok na ukimpa mimba utambeleza aslim alaf ndo mtakua hamjaziiin au eelimu iko wap shekh
Jama nyny munao kosoa muna mumelifahamu hilo somo
Shukuran
kwenye ukristo mbona hakuna ndoaaa wanazin tu waleeeeee
Ndoa zipo.... Ikipita kanisani ni ndoa rasmi
unakosea uliza ujibiwe
Waislam hawana ndoa zaidi mitaal
Aliykudangnya mwmbie aendlee man kuzmu inmkrbia
Asalam aleykum nauliza mume amekuacha kwa mwaka mmoja lkn hajakupa talaka na hakuangali kwa lolote je bado umke wake
Ndio ulikuwa una haki baada ya wiki na hakuangilii kwa kitu Kama usemavyo kuomba talaka
ndio bado ni mumeo mpaka atakapokupa talaka tatizo atakuwa anajukumu la kutookukushughulikia
Uadilifu......... Mtihani mkubwa
Au munadhani huyu maalimu anatoa kichwani mwake hatoii kwa dalili za sheiria
Yani nyie mnajidangny mno n marufuku kuacha mke tarak n dhmbi n mke n mmja ty ao wngn at mkioa n kwamb mnazini ace binadamu tunaangamia kw kukoxa maarifa