JEE MAMA AKIKUKATAZA KUMUOA MWANAMKE YALAZIMU KUMSIKILIZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 85

  • @nasrimbaraka341
    @nasrimbaraka341 6 месяцев назад +1

    Alhamdulillah maana jambo hilo ndo limenikuta sasa nahitaji dua zenu mashekh

  • @afric01
    @afric01 3 года назад +1

    Aslm alkm wtw.... Ukioa aliye jitolea, atakudharau na amdharau na yule mkeo wa kwanza, huko siko kuoa. Oeni kwa makini, kwa mpango nzuri, bila kutu aibisha. Shukran sanaaa Sheikh kwa darsa.

  • @nafisamohamad3182
    @nafisamohamad3182 5 лет назад +4

    Naomba kuonana na huyu sheikh sjui ntampataje kuna mambo muhim ntaka niongee nae plz kwa wale wanaojua anapopatikana wanieleze apa mungu atawabarik

    • @habyalmary8132
      @habyalmary8132 5 лет назад

      @Nafisa Muhamad.
      Ukitaka kumuona ustadh Izudin Alwy Ahmed nenda Mombasa Msikiti wa Shibu ulioko mwembekuku. Ilikua hapo msikitini time atakayo patikana. Good luck

  • @asyaluay5787
    @asyaluay5787 4 года назад +3

    Wanaume hua mwadanganyana sana ati uoe mwanamke akuangalie ww. Hicho hua n chambo 2 oa uangalie kazi kama hutoki kiara kabla siku zako

  • @zuanshimchina2278
    @zuanshimchina2278 Год назад

    Je yafaa sheikh kuoa mke bila ya kumpa taarifa wazazi

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez3079 3 года назад

    Swadakta shekhe kisa nimekipenda cha juha Allah akuhifadhi

  • @asiaimamu3435
    @asiaimamu3435 5 лет назад +1

    Mashaallah Jazakallahu kheri

  • @abullahkabaka8774
    @abullahkabaka8774 3 года назад

    MASHA ALLAH ALEIK

  • @amourseif5016
    @amourseif5016 2 года назад

    Mashalllah

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 5 лет назад

    Masha Allah upo vzr sana sheikh

  • @wyckliffeamaasa5739
    @wyckliffeamaasa5739 6 лет назад +3

    ukweli mtupu Sheikh

  • @hissanntemba9198
    @hissanntemba9198 6 лет назад

    Mungu akubariki kW darasa hii

  • @user-lw1ye4oo5y
    @user-lw1ye4oo5y 5 лет назад +6

    Asalam alkum shekh na yule aliweza kumuamrisha mwana we kwa vitisho vyakumuambia achana naee mke yule mimi simtaki na kama usikii utakosa radhi yangu ni mzazi haina gani na atapataadhaba gani

  • @halimasaid4977
    @halimasaid4977 5 лет назад +2

    Walah nafaidika

  • @mamrashid7257
    @mamrashid7257 5 лет назад

    Dua gani nimfanyie au nifanye.nn.nisaidie (nafatilia sana mawaidha yak

  • @abdulmajidomar9174
    @abdulmajidomar9174 5 лет назад

    Jazakallahulkheir

  • @realman3397
    @realman3397 6 лет назад +3

    Hahahaha ustadh hio yko Kali mke kuwa tayari kuoa ksha akusimamie ww n.a. mkeo hahahha eti ukiacha hio nafasi sifai

  • @dadijamoahmed5287
    @dadijamoahmed5287 3 года назад

    Mashaallah

  • @abdulrahmanrahzan3565
    @abdulrahmanrahzan3565 6 лет назад +1

    walay kweli yako ustadh

  • @sikandarsuleiman3345
    @sikandarsuleiman3345 5 лет назад

    Masha Allah

  • @snaidahjimwani7257
    @snaidahjimwani7257 Год назад

    Itabidi nihame uku Sasa 2023🎉

  • @rifatisingano9893
    @rifatisingano9893 6 лет назад

    Sheh je nimuoa apendwa nawazaz kisha nikaoa ule nimpendae

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 3 года назад

    Sheikh Izudin kunywa soda kwa bill yangu 🙏😂😂😂

  • @hasunaally9581
    @hasunaally9581 5 лет назад

    Salaam Aleykum shekhe tunapenda vipindi vyako vinaelimisha ila tunaomba unapoulizwa swali na sisi tusikie maswali unapoulizwa shekhe jazakallaahu kheir

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 4 года назад

      Huyu uwa hajibu maswali hata siku moja sijui ni kwa nini

  • @halimasaid4977
    @halimasaid4977 5 лет назад

    Shukrani sana

  • @kassimally1803
    @kassimally1803 5 лет назад

    Sheikh naelewa sana mafundisho yako

  • @sayfllahsayf7513
    @sayfllahsayf7513 4 года назад

    Hhhhhh.
    M nimependa kisa cha juha

  • @zuweynabakary1622
    @zuweynabakary1622 5 лет назад

    Je yafaa kujipamba nakujitia manukatokisha ukatoka na mume pamoja

  • @nafisamohamad3182
    @nafisamohamad3182 5 лет назад +2

    Kabsa hata mm pia yalinikuta hayo hayo sasa nina miaka 6 katka ndoa yangu na wala sina raha kabsa yan kweli moyo wangu haujaridhika na huyo mume hadi sasa, na hua nikipata mitihani katka ndoa yangu nawalaumu wazazi wangu nkisema yote ni wao lau wangekataa mm kuolewa na huyo mume yasingenikuta matatizo hayo, nimejaribu kuishi nae kwa kuvumilia lkni kila nkijaribu moyo wangu wazidi kuumia na iv pia nimejaliwa kuzaa nae watto wawili, ndoa yetu haina amani Kila nnapomwambia mume aniache hataki,ikawa naomba mungu anieke mbali nae ili nieze kumsahau nimtoe moyoni mwangu na sasa niko saudia nafanya kaz sina mawasiliano yoyote nae tunaelekea miaka miwili sasa, nasubiria nkirudi nikadai talaka yangu kwa kadhi maana ni miaka hii toka nianze kumdai talaka na hataki kuitoa.

    • @daprince7545
      @daprince7545 5 лет назад

      Pole sana dadangu uko saudia upande gani pia mimi niko ughaibuni

    • @daprince7545
      @daprince7545 5 лет назад

      Pole sana uko saudia upande gani pia mimi niko ughaibuni

    • @kassikzubery9474
      @kassikzubery9474 5 лет назад

      Njoo kwangu utatulia sana
      Shida nyie wanawake mnapenda kuolewa mke mmoja kumbe
      Mnasahau ndoa in utulivu sio idadi
      Ila utakua mke wa nne
      Wa kwanza katulia sana huu mwaka wa kumi
      Wa pili katulia mwaka sita
      Wa tatu katulia mwaka wa NNE
      Na alikua mke wa MTU wakaachana nimemuoa
      Nitumie picha yako

    • @ssmmasoud8556
      @ssmmasoud8556 5 лет назад

      Waruhusiwa kujitoa katika ndoa ikiwa mume hataki kukupa talaka.
      Kuna taratibu zake ukiziweza basi unatoka

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 4 года назад

      @@kassikzubery9474 ,wewe mkali na nusu 🤣🤣🤣

  • @simaiommy7005
    @simaiommy7005 4 года назад +1

    Jamani huyu shekhe anaitwaje?

  • @sayyidtawaqal1754
    @sayyidtawaqal1754 5 лет назад

    Shekh mm nimetaka kuowa sehem ila mama na mjomba wamenikatalia ila hakuna sababu yeyote yakidini je unanisaidiaje

  • @haniasalim8921
    @haniasalim8921 5 лет назад

    Swadakta

  • @hassanallyally3592
    @hassanallyally3592 6 лет назад

    Kunaa mashekhe wanasemaa mzazi wako akikataa usioe mwanamke unaemtaka basi inabidi uwatii wazazi Sasa naonaa mnatuchanganya ipi kauli yenye nguvu shekhe

    • @almeidhalu3238
      @almeidhalu3238 3 года назад

      Amesema madhebu hapo utalifikhiana wengeni wasema kubali wengeni wamekataza

  • @husseinjongo7588
    @husseinjongo7588 5 лет назад

    Lkn sheikh , ukitaka kuoa mke wa pili, si ni lazima uombe ruhusa kwa wakwanza jmn...

  • @safinairakoze3740
    @safinairakoze3740 3 года назад

    😄😄😄😄😄

  • @gloryfatu6751
    @gloryfatu6751 6 лет назад +3

    Asalam aleikum sheikh, naomba kujua kama si lazma kumtaarifu mzazi, je walii ni nan /au atakua nani?

    • @muhammadkhatwab
      @muhammadkhatwab 6 лет назад

      glory fatu Tuma SMS uungwe group la sheikh Izuddin Uliza ujibiwe ya whatsap +254 701 662152

    • @meymahally8674
      @meymahally8674 4 года назад

      @@muhammadkhatwab na mm nahitaji Hilo grup la uliza ujibiwe

    • @coyancodavao6891
      @coyancodavao6891 3 года назад

      Mume hana walii ana mashahidi tuu

  • @yasminabdi3251
    @yasminabdi3251 5 лет назад

    Mwanamke akikuoa ww na mke wako atakunyanyasa

  • @mamrashid7257
    @mamrashid7257 5 лет назад +1

    A alykum shekhe mie naomba namba yako nnashida kubwa nataka kukuelezea kuhusu huyu mtt wangu nakata tamaa dijui nifanye nn

  • @faridahsaid8936
    @faridahsaid8936 2 года назад

    Je pale mama anaposema amekutolea radhi sababu hutaki kuoa mtu uloekewa na uende ukaoe yule unaempenda?

    • @faridahsaid8936
      @faridahsaid8936 2 года назад

      Kuna hukmu gani kwa mama mwenye ametumia kua atamtolea radhi mtoto wake akioa mtu ambae hakumchagulia yeye?

  • @mohdali7612
    @mohdali7612 5 лет назад

    OK kwasasa yupo tanga

  • @yasminabdi3251
    @yasminabdi3251 5 лет назад

    Wanaume wanaotegemea mali ya mwanamke ni majangaa

  • @abudially2978
    @abudially2978 2 года назад

    Mmi nataka number yako usithedh nataka kuliza swali

  • @nfatmanabila7829
    @nfatmanabila7829 6 лет назад

    pamoja

  • @abdullahadullaj3848
    @abdullahadullaj3848 6 лет назад +1

    Shekh jee ni wanawake gani hawatolewi mshauri????

    • @muhammadkhatwab
      @muhammadkhatwab 6 лет назад

      Abdullah A Dullaj Tuma SMS uungwe group la sheikh Izuddin Uliza ujibiwe ya whatsap +254 701 662152

    • @abeidchanga465
      @abeidchanga465 6 лет назад

      Naomba uniumge kwenye group 0655112212

    • @alexmamti5022
      @alexmamti5022 5 лет назад

      Unganisha no 0752146467

    • @hasanalihasani3236
      @hasanalihasani3236 5 лет назад

      Nami naomba kuumgwa group 0683828488

  • @salmaiddi1934
    @salmaiddi1934 5 лет назад

    nakuomba uniunge na group la watsap no 0684273767

  • @ghalimahassan7869
    @ghalimahassan7869 6 лет назад

    Mashaallah Jazakallah khayraa

  • @shadyamasoud2480
    @shadyamasoud2480 5 лет назад

    Mashallah