TALAKA YA MKE MZINIFU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 май 2019
  • НаукаНаука

Комментарии • 93

  • @hadijahalidi1375
    @hadijahalidi1375 5 лет назад +11

    Shukrani shekhe ..Allah akupe umri mrefu uzidi tuelimisha

  • @khadijahkhdoo6387
    @khadijahkhdoo6387 5 лет назад +7

    Shukran ustadh wetu,nakuskilizia nikiwa IRAQ Baghdad,miss ma Homeland Lamu🙏🙏

    • @user-dg8qe9rf9h
      @user-dg8qe9rf9h 5 лет назад +1

      Vita hakuna huko. Napenda nije kuishi huko. Mi nko oman

    • @khadijahkhdoo6387
      @khadijahkhdoo6387 5 лет назад

      @@user-dg8qe9rf9h hakuna vita salamaa huku,karibu

    • @wahidkhalifa2952
      @wahidkhalifa2952 4 года назад

      Mh

    • @stevejumaree3437
      @stevejumaree3437 Год назад

      Salamu alikumu khadijah naomba nitafutie kazi uko uliko that's my dreams country

  • @edwardouma
    @edwardouma 3 года назад +1

    Maashallah Sheikh Jafaar.
    Mola akupe muda mresh wa kazi yake🙏🙏🙏

  • @abdulsaid2014
    @abdulsaid2014 5 лет назад +7

    You are the best sh me God bless you you and your family thank you

  • @husseinzeid6342
    @husseinzeid6342 2 года назад

    Asalam aylkm ustadh izuu din mm cjaolewa hyo wakupa khutbaa za kusema wataka kaushaa koo wallah kwanza ww mwalim ulitusomesha mld maqarem akhlaaq turpentine ndugu tustikiane lasaawa ukanifunza kwa hadeth seraa na fiqi mungu akujazi kilaa kher mambo mawili nashikaa mm cwachi inshalah lakusenyaa wallah cjui huchaa kabisa nseme mwenzangu nimpe khr zangu na barka laaah na uwongo nakata kabisa cjui kusema huwaje mm nko ndani mwanamume akanitaka badae ckuenda sawa ckumuona naitwa mzinifu jini lakini hawa wanisemao nawachia kwwa molaa atalipa tayari zibati mungu awanwapa kuchanganyikiwa kwake ankua husema mm mke ati nlikua mrongo nlikua mtumwaa wake wema kasahau ouvu kaka mbele ss cha Maputo yuwaliya akiyaramba niya chumbi ankua hukata zidole kumi hna la kusemaa yyasitaje🙌🙏 hilo neno nawa

  • @moviesseries9923
    @moviesseries9923 5 лет назад +3

    Masha Allah Shekh Allah akupe umri mrefu na mwisho mwema Aamin 🙏

  • @husseinzeid6342
    @husseinzeid6342 2 года назад +1

    Nliamua kaa ndani pia akereka akisema ako na wengine wazur wanawake mbona hawakumfaa mm mbya kisha kwann anitaka tatizo mwalim ataka nyotaa hasbunallah wanemal wakil ...wakati umeisha mdaa miakaa bado wasema na chorwaa mm play wa games kwl hyuu anitakata ama anisutaaa mm moyo khalaas umeharibika thuma wallah tamaa yann kwann hawatwai hawo wazur wanawake mbona wamemharibia wallah nia safi hushinda uchawi niya yamnyanyasa kisha ati namroga mm kma naenda Ana nasema nae mola atanilipia nazidi kueka subra moyo wangu lakini mungu hajapenda ntasema na bado nasema alhmdulilah kila cku kilaa saaa bado anipenda Allah mm namm cjakata tamaa kwa Allah lakini kwake ctaki tena bada matuc ctizai kuchekwa kusemwa natoa ahsantu na osha mkono mola cku zote hakupi jambo ila lina khr naww na nakma shari yngu basi nasema nlioyo niepuka mm shari hakuwa khr yngu htaa akirudisha moyo badaa ashaharibu moyo wangu mm wallah cwez tena shukran ustadh boraa umpe jawabu sahihi aelewe kma yy mbya mkosaaa mm ctaki tena masalam shukran 💔🙏🙌😰😥😭miaka mingi tangu 2018 mm natezwaa Shere haishi wallah navyo sema mm haniski na deni yke ntamlipaa uishe udhiyaa tena mwaka hunu hunu naww ustadh niombe kwa mola aniweshe nlipe deni kabla kufaa mm 😪💔🙏🙌😭😥😰😥

  • @husseinzeid6342
    @husseinzeid6342 2 года назад

    Wallah ustadh nailani ile cku nliomuona yy kamjua kamuamini yy kwann nasema moyo nlimjua kamuamuni kupita kiasi madhara hya yaisha lini jamani najuta kumjua mm umri napoteza bado Ana typ story afunge muambie tafadhali shukran

  • @fatmaali409
    @fatmaali409 2 года назад +2

    Assalam alaykum ust Naomba kuuliza hvi mume atakapomuambia mke wake utakapofanya jambo flani mathalan ukizini au ukitoa chchte bila y ridha yangu basi mimi sio mume wako na mke akaja kufanya je atakuw kashaachikaaa.....?

  • @AminaSapar
    @AminaSapar 2 месяца назад

    Assalamu Alaykum warahhmatullahi wabarakat naomb kuuliza sheikh ni ipi hukumu ya mwanamke aliyeachika yaani yupo katika eda ya kuachwa akazini

  • @AishaAli-zv8se
    @AishaAli-zv8se 2 года назад +1

    Jee talaka ya mume mzinifu ni ipi

  • @sherrymkofoye159
    @sherrymkofoye159 5 лет назад +1

    Mashaa Allah mwenyezimungu azidi kukuweka

  • @sadamatano3937
    @sadamatano3937 4 года назад

    asante sheikh na namwana mume mwenye kueka mwanamke kinyumba na Yule mwanamke awe na watoto je wale watoto wafaa kurith

  • @mwanamisigulu2401
    @mwanamisigulu2401 5 лет назад

    Allah akuzidishie InshaAllah....

  • @mdmohammed1593
    @mdmohammed1593 3 года назад +1

    Shukran shekhee kwa darsa nzur

  • @vibestudio4707
    @vibestudio4707 5 лет назад

    asante shekh izzudin jazzaka llhahu khayr

  • @vibestudio4707
    @vibestudio4707 5 лет назад

    jazzaka llhahi kayr shekh izzudi MUNGU akupe ukipendacho

  • @soudalharthy8842
    @soudalharthy8842 5 лет назад +1

    Allah atupe elimu na ufahamu

  • @faizkonde
    @faizkonde Год назад

    Assalamualaikum warahmatullh wabarakatuh... swali langu ni mke umemshika na message kuwa nalala na mtu mke uyu ni sawa ukimpa talaka na Mali ama arusiwi kupewa mali

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 5 лет назад +4

    Shukran kwa ukumbusho

  • @kimmseinvtz
    @kimmseinvtz 3 года назад

    Holy Quran 24:4
    ------------------
    وَالَّذِينَ يَرْمُونَ الْمُحْصَنَاتِ ثُمَّ لَمْ يَأْتُوا بِأَرْبَعَةِ شُهَدَاءَ فَاجْلِدُوهُمْ ثَمَانِينَ جَلْدَةً وَلَا تَقْبَلُوا لَهُمْ شَهَادَةً أَبَدًا ۚ وَأُولَٰئِكَ هُمُ الْفَاسِقُونَ
    Na wanao wasingizia wanawake mahashumu, kisha wasilete mashahidi wane, basi watandikeni bakora thamanini, na msiwakubalie ushahidi wao tena. Na hao ndio wapotovu.

  • @user-dg8qe9rf9h
    @user-dg8qe9rf9h 5 лет назад +2

    Tumeskia. Natutatwii mafundisho mzuri. سمعنا وأطعنا

  • @abdulhafidhi84
    @abdulhafidhi84 5 лет назад

    Ahasantee shekh

  • @hudainamohd4532
    @hudainamohd4532 5 лет назад

    Asante shekh kwa kutup elmu

  • @khadijayusuf3222
    @khadijayusuf3222 5 лет назад

    Mashaallah Shukran

  • @mahmoudrajab4587
    @mahmoudrajab4587 5 лет назад +2

    Shukraan maalim

  • @aminabukenya231
    @aminabukenya231 5 лет назад +1

    Shukran shekhe kwa mafunzo mazuri

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 2 года назад

    Kuzini ni thambi mbele ya mwenyezimungu kwa mwanamume namwanamke

  • @abullahkabaka8774
    @abullahkabaka8774 4 года назад

    MASHALLAH ALEIK

  • @abasimachano2964
    @abasimachano2964 3 года назад

    Alhamdulillah naelmka

  • @mwanahamisially5234
    @mwanahamisially5234 5 лет назад

    Alhamdulilah

  • @fafaali1756
    @fafaali1756 5 лет назад

    Mm naona bora ujibu maswali cz kipindi cha maswali ni hii mwezi wa ramadhani tu ndio wajibu ukiwa live ..bt darsa huwa liko mpk malamtana

  • @esirmviha583
    @esirmviha583 2 года назад

    Habib Assalam aleykum ,naomba kufahamishwa jambo Fulani katika talaka kuna mwanadada mmoja aliolewa sasa na bwana mmoja waliishi na kuna wakati walikuja wakakosana yule bwana akampa yule bibi talaka tatu kwa mpigo
    Swali 1. Je talaka tatu za mpigo zina EDA kwa mwanamke mjamzito
    Swali 2. Kama yule mume alimuingilia yule mke kabla ya EDA ya hzo talaka tatu kwa mpigo kuisha ile ndoa bado ipo ama haipo.
    Swali 3. Ile talaka bdo imepita ama imefutwa na lile jambo la kumuingilia

    • @omarybenga9860
      @omarybenga9860 Год назад

      Talaka 3 ni haina kumrudia na huko kuingiliana ni zinaaa na mwanamke ndy atakaa EDA mpaka ajifungue

  • @maliksuleiman1159
    @maliksuleiman1159 4 года назад

    بركالله

  • @noluv5332
    @noluv5332 2 года назад

    Ikiwa mume hamuangalii mke kwa mwaka mzima talaka imepita

  • @NurdinKishik
    @NurdinKishik 4 года назад

    yaallaah

  • @udymakame5269
    @udymakame5269 4 года назад

    Mashallah

  • @munirahmed7753
    @munirahmed7753 3 года назад

    Ingekuwa paka hapo ningekubali maana paka wazini njiani tu kila mmoya aona

    • @kimmseinvtz
      @kimmseinvtz 3 года назад

      Holy Quran 24:4
      ------------------
      وَالَّذِينَ يَرْمُونَ الْمُحْصَنَاتِ ثُمَّ لَمْ يَأْتُوا بِأَرْبَعَةِ شُهَدَاءَ فَاجْلِدُوهُمْ ثَمَانِينَ جَلْدَةً وَلَا تَقْبَلُوا لَهُمْ شَهَادَةً أَبَدًا ۚ وَأُولَٰئِكَ هُمُ الْفَاسِقُونَ
      Na wanao wasingizia wanawake mahashumu, kisha wasilete mashahidi wane, basi watandikeni bakora thamanini, na msiwakubalie ushahidi wao tena. Na hao ndio wapotovu.

  • @munirahmed7753
    @munirahmed7753 3 года назад

    Na kama wasubiri mashahidi basi utaziniwa mpaka milele na mashahidi hakuna

    • @kimmseinvtz
      @kimmseinvtz 3 года назад

      Holy Quran 24:4
      ------------------
      وَالَّذِينَ يَرْمُونَ الْمُحْصَنَاتِ ثُمَّ لَمْ يَأْتُوا بِأَرْبَعَةِ شُهَدَاءَ فَاجْلِدُوهُمْ ثَمَانِينَ جَلْدَةً وَلَا تَقْبَلُوا لَهُمْ شَهَادَةً أَبَدًا ۚ وَأُولَٰئِكَ هُمُ الْفَاسِقُونَ
      Na wanao wasingizia wanawake mahashumu, kisha wasilete mashahidi wane, basi watandikeni bakora thamanini, na msiwakubalie ushahidi wao tena. Na hao ndio wapotovu.

  • @bilalbaker9238
    @bilalbaker9238 2 года назад

    Kushambulia

  • @bigboss6813
    @bigboss6813 2 года назад

    Hukumu ya kulala ngizani nini

  • @jokhaali9187
    @jokhaali9187 4 года назад

    Naomba namba ya shekhe

  • @shanisaidy5033
    @shanisaidy5033 5 лет назад

    Shukurani shehe

  • @fatmabakari5505
    @fatmabakari5505 Год назад

    Nina swali je mume aweza mpa mkewe talaka ndani ya ramadhan

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 3 года назад

    😉

  • @munirahmed7753
    @munirahmed7753 3 года назад

    Kweli watu waweza zini njiani mpaka watu waone ? Mbn vitekesho waleta ustaaz

    • @kimmseinvtz
      @kimmseinvtz 3 года назад

      Holy Quran 24:4
      ------------------
      وَالَّذِينَ يَرْمُونَ الْمُحْصَنَاتِ ثُمَّ لَمْ يَأْتُوا بِأَرْبَعَةِ شُهَدَاءَ فَاجْلِدُوهُمْ ثَمَانِينَ جَلْدَةً وَلَا تَقْبَلُوا لَهُمْ شَهَادَةً أَبَدًا ۚ وَأُولَٰئِكَ هُمُ الْفَاسِقُونَ
      Na wanao wasingizia wanawake mahashumu, kisha wasilete mashahidi wane, basi watandikeni bakora thamanini, na msiwakubalie ushahidi wao tena. Na hao ndio wapotovu.

  • @modinakshy6276
    @modinakshy6276 2 года назад

    Shukran

  • @hamedal-shruiqi2123
    @hamedal-shruiqi2123 5 лет назад +1

    Shukran ustadh

    • @sbk.tvchanel4265
      @sbk.tvchanel4265 5 лет назад

      Asalam alykum shekh mke kama hataki kurud nyumban kwangu nini kifanyike

  • @zeddysamo1276
    @zeddysamo1276 4 года назад

    😅😅😅

  • @khamiskhamis5323
    @khamiskhamis5323 5 лет назад +3

    A.aleykoom..Ustadh mm nataka kuuliza kitu kimoja lkn nilikua naomba number yk ya whatssp ili nikutumie audio au chukua Yang hii +96897892279 ili uokoe Umma,,Unapo msaidia Muislam mmoja ni sw na kuokoa Waislam 1000

  • @ramakibati7415
    @ramakibati7415 4 года назад

    mashaallah sheikh swadakta

  • @munirahmed7753
    @munirahmed7753 3 года назад

    Mashahidi 4 wala 6 hakuna hadithi hizo

    • @kimmseinvtz
      @kimmseinvtz 3 года назад +1

      Holy Quran 24:4
      ------------------
      وَالَّذِينَ يَرْمُونَ الْمُحْصَنَاتِ ثُمَّ لَمْ يَأْتُوا بِأَرْبَعَةِ شُهَدَاءَ فَاجْلِدُوهُمْ ثَمَانِينَ جَلْدَةً وَلَا تَقْبَلُوا لَهُمْ شَهَادَةً أَبَدًا ۚ وَأُولَٰئِكَ هُمُ الْفَاسِقُونَ
      Na wanao wasingizia wanawake mahashumu, kisha wasilete mashahidi wane, basi watandikeni bakora thamanini, na msiwakubalie ushahidi wao tena. Na hao ndio wapotovu.

  • @jibabahbah5188
    @jibabahbah5188 4 года назад

    Assalam'alaikum shekh mm mume wangu nipata msg za mapenzi kwa simu yake na msg za hawo wanawake zaidi ya wawili na vile walivyo wakifanya mapenzi na yy mwenyewe pia akaziona kisha akata shekh mm nataka aniache na hataki

    • @ntopangonyani6964
      @ntopangonyani6964 4 года назад

      Kilichokupeleka kwenye simu yake ni nini, epekuzi au sio. Sheria haikuruhusu kufanya unachofanya. Haya tujalie una high blood pressure uchungulie chungulie kwenye simu ya mume wako uanguke kwa kupandwa na BP na stroke juu. Ushindani ushakushinda unabaki handicapped na hasidi wako ndio watamchukua kirahisi zaidi na huto weza kumzuia. Wewe ni mjinga kabisa na unaidhulumu nafsi yako na kuitafutia madhara.

    • @aishaaisha1495
      @aishaaisha1495 4 года назад

      Pole Dada yang wanaume wa cku iz ni mtihan

    • @ntopangonyani6964
      @ntopangonyani6964 4 года назад

      @@aishaaisha1495 kwani wanawake wa siku hizi sio mtihani?

    • @aishaaisha1495
      @aishaaisha1495 4 года назад

      @@ntopangonyani6964 ni kwl unachokisema lakn wanaume ndo anasababisha kuwa mwanamke nae achepuke me naona2 bora kila m2 awe mwaminifu kwa mwenzie ttz la wanaume co wote baadh yao wakioa anaaza kutaman mwanamke wa Nje mkeo unamuona mby jmn tutaishia wap hakuna k2 kinachouma km mweza kumsaliti mweza wake kwa mm bora ukaoa2 nikajua 2po wawili kuliko kunishalit wanaume me siwaamin yalishanitokea ndo mana najua maumivu yake

    • @ntopangonyani6964
      @ntopangonyani6964 4 года назад

      @@aishaaisha1495 acha kuangalia simu ya mume wako, itakufaa sana. Utajiepusha na mengi, Allah akiamua kukuonyesha madudu ya mwenzio atakuonyesha tu ila sio kwa kupekuana ndani ya nyumba. Simu ya mumeo ni kituo cha polisi cha watu wasiojulikana na labda akuruhusu. Ndoa nyingi zinaharibika kwa simu.

  • @yahayaabdalla3411
    @yahayaabdalla3411 3 года назад

    Shekhe Mwana Mke anaposema hakutaki nini hukumu yake. Navilevile mwamke anakuandikia talaka anampa babayake mzazi ndiye akukabidhi hapo panahukumugani.Nimeuliza Mimi Yahaya Abdallah Mohamed. Kigoma Tanzania.

    • @yahayaabdalla3411
      @yahayaabdalla3411 3 года назад

      Shekhe Mwenyezi Mungu ndiye aliye kuluzuku elimu tunakuombea kwa Mungu azidi kukupaafyanjema kwaniunafundisha mpakakila anaye kusikiliza nakukufuatilia anaelewa vizuri siobora kuelewa.Mungu akulinde Shekhe wetu.

  • @fatmaathumani7569
    @fatmaathumani7569 5 лет назад

    Assallam aleykum shehe mm Nina swali yangu naomba unisaidie ktk hili no yangu 968 99353340

  • @munirahmed7753
    @munirahmed7753 3 года назад +1

    Dah shekhe waweza kuona kweli wakizini? Kwani ni paka hao mpk wazini njiani watu waone? Hivo mashahidi 4 hao ni hadithi dhaif hizo wala haiwezekani

    • @kimmseinvtz
      @kimmseinvtz 3 года назад +1

      Hiyo sio Hadithi ni Qur’an inasema hivyo:
      Sura ya 24 Aya ya 4

    • @kimmseinvtz
      @kimmseinvtz 3 года назад

      Holy Quran 24:4
      ------------------
      وَالَّذِينَ يَرْمُونَ الْمُحْصَنَاتِ ثُمَّ لَمْ يَأْتُوا بِأَرْبَعَةِ شُهَدَاءَ فَاجْلِدُوهُمْ ثَمَانِينَ جَلْدَةً وَلَا تَقْبَلُوا لَهُمْ شَهَادَةً أَبَدًا ۚ وَأُولَٰئِكَ هُمُ الْفَاسِقُونَ
      Na wanao wasingizia wanawake mahashumu, kisha wasilete mashahidi wane, basi watandikeni bakora thamanini, na msiwakubalie ushahidi wao tena. Na hao ndio wapotovu.

    • @munirahmed7753
      @munirahmed7753 3 года назад

      @@kimmseinvtz hapo ujue kuwa m mungu ni mwingi wa hekma anajua kabisa hakuna awezae kuzini njiani mpk watu waone hivyo talaka ameweka pingamizi sana kutolewa

    • @munirahmed7753
      @munirahmed7753 3 года назад

      @@kimmseinvtz hivi ww maishani kwako ulishawahi kuona watu wakizini barabarani mpk ushuhudie??? Quraan inataka upeo sana kuelewa na kutafsiri

    • @munirahmed7753
      @munirahmed7753 3 года назад

      @@kimmseinvtz tafsiri na maana ya quraan sı neno kwa neno kama unavotafsiri ww quraan ni maneno yenye hikma sana na inaona mbali mno

  • @munirahmed7753
    @munirahmed7753 3 года назад

    Binadamu wazinifu watatafuta sehemu faragha tena na mlango watafunga na pazia wafunga ss hao mashahidi unaosubiri ww watawaonea wapi tendo hilo wanalofanya? Hakuna hadithi hiyo

    • @kimmseinvtz
      @kimmseinvtz 3 года назад

      Hayo ni maneno ya Allah
      Holy Quran 24:4
      ------------------
      وَالَّذِينَ يَرْمُونَ الْمُحْصَنَاتِ ثُمَّ لَمْ يَأْتُوا بِأَرْبَعَةِ شُهَدَاءَ فَاجْلِدُوهُمْ ثَمَانِينَ جَلْدَةً وَلَا تَقْبَلُوا لَهُمْ شَهَادَةً أَبَدًا ۚ وَأُولَٰئِكَ هُمُ الْفَاسِقُونَ
      Na wanao wasingizia wanawake mahashumu, kisha wasilete mashahidi wane, basi watandikeni bakora thamanini, na msiwakubalie ushahidi wao tena. Na hao ndio wapotovu.

  • @zeddysamo1276
    @zeddysamo1276 4 года назад

    😅😅😅