Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

VIPI UTAOGA JANABA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 май 2019

Комментарии • 229

  • @fatumahirbotuke1663
    @fatumahirbotuke1663 5 лет назад +29

    Ma shaa Allah shukran jazak Allahu kheir sheikh naipenda sana mawaidha yako Allah akujalie kila LA kheri

  • @lailahasan2200
    @lailahasan2200 4 года назад +20

    Nimejifunza, nimeelewa... Jazakallah khaira.... Inshaallah

  • @mwachidzopoposalimpopo8890
    @mwachidzopoposalimpopo8890 3 года назад +4

    ALLAH akupe umri mrefu nakupenda sana shk wetu😘😘😘😘

  • @aimanaiddy1313
    @aimanaiddy1313 5 лет назад +14

    Shukurani shee wetu mungu akuzidishi rehema juu yako kwakutuma mawaidha mazuri

  • @fazkirtube1329
    @fazkirtube1329 5 лет назад +15

    JazakhaAllah mungu akuzidishie elmi zaidi...ustadh

  • @chafumirro5617
    @chafumirro5617 5 лет назад +21

    Mawaidha na comedy ndani yake safi sana shekhe

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 4 года назад +10

    Allah akulipe kila la kher kwa jihad yko ktk Dini

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 5 лет назад +14

    Shukran kwa ufundisho wako.... Maisha marefu sheikh

  • @lacroquetalacroqueta6813
    @lacroquetalacroqueta6813 5 лет назад +25

    Sh.Izzudeen .....Baarakallahu fik💙⚘

  • @rahmatahmed1871
    @rahmatahmed1871 3 года назад +2

    Asalam Aleikum warahmatullah wabarakatu...shukran lek yaa sheikh kwa mawaidha haya.nimejifunza kitu.Allah akulipe kwa nia yako yaa rabby 🙏

  • @mwambirekwamboka9525
    @mwambirekwamboka9525 5 лет назад +14

    Shukran Sanaa sheikh wetu kwa mafunzo muhimu katika jamii .in Sha Allah Mola Akujaze kheir r

  • @aishaabdulrahman8364
    @aishaabdulrahman8364 4 года назад +3

    Mashallah umefanya uzuri kutueleza wazi nawala usiogope kutufahamisha wazi lazma tujue kila kitu

  • @user-ib8vb4kh3f
    @user-ib8vb4kh3f Год назад +1

    Mashaallah mungu akupe maisha marefu ustaz wet

  • @allanricardo8944
    @allanricardo8944 4 года назад

    wallah shukran sana kwa mawaidha nzuri imenielimisha sana ila hapo tupu kwa tupu mbavu zangu shekhe somo nzuri sana jazak kheri mashallah

  • @HABIBULLAH-nd9ft
    @HABIBULLAH-nd9ft 5 лет назад +21

    Shukran maalim kwa ukumbusho mzuri,Allah akujaze kher nying sana

  • @ZakyaMaarifa
    @ZakyaMaarifa 3 месяца назад

    MashaAllah shukran shekhe kwa mafunzo haya nimejifunza

  • @abdulazizmohamed3715
    @abdulazizmohamed3715 5 лет назад +34

    Allah akuzidishie akupe umri mrefu ili tupate faida nyingi kutoka kwako

    • @sharifmohd4572
      @sharifmohd4572 3 года назад

      Kilalakheir shekh mungu ukupe umr mref

  • @amerkombo6693
    @amerkombo6693 5 лет назад +10

    Masha Allah mada nzuri sana

  • @khamisially2992
    @khamisially2992 2 года назад +1

    Wallah nikikuskiliza lazma nicheke.😁😁😁..Mashaallah hasbiyallah Allah akupe kheir daima🥰

  • @hazelbrown4712
    @hazelbrown4712 4 года назад +7

    Aibu na Maskitiko Makubwa kuna Baadhi ya Wanawake mpaka leo hawajitwahirishi hawaogi wakimaliza Siku za zao.. wanaoga tu kama kawaida ila hawaogi kwa Ajili ya kumaliza Periods.

  • @omaiim4014
    @omaiim4014 4 года назад +3

    Ahsante sana sheh wetyu tumekuelewa

  • @khamisially2992
    @khamisially2992 2 года назад

    Allah akulipe kwa yale uyafundishayo shekhe wetu kipnz

  • @user-vb2sh3tj7u
    @user-vb2sh3tj7u 10 месяцев назад

    Ahsante shekhe kwa mawaidha mazuri

  • @jumangomuo9301
    @jumangomuo9301 5 лет назад +19

    kwakweli hustadh nnapenda sana unavyo changanua mada

  • @uthmanali6903
    @uthmanali6903 5 лет назад +6

    Jazaka Allahu kher Sheikh

  • @dr.hamiduibrahim1307
    @dr.hamiduibrahim1307 5 лет назад +22

    Nimejifunza kitu wallah!
    MB zangu hazikwenda bure

  • @nasramuddy1956
    @nasramuddy1956 3 года назад +2

    Mashaalla mung akujaaliye maisha marefu 🙏🙏🙏🙏

  • @zulficarbacarsuale6877
    @zulficarbacarsuale6877 5 лет назад +4

    Allah akuzidishie helimo na akulinde kila lashari, pia akupe nguvo ya kutukumbusha waislamo

  • @abubakarymwandusaabubakary5722
    @abubakarymwandusaabubakary5722 4 года назад +8

    Allah akulipe kwamafunzo mema

  • @awadhgugu317
    @awadhgugu317 5 месяцев назад

    Shekhe nani alikabwa koo akatokwa na mani badala ya choo😅😅😅😅😅

  • @johannahakim8470
    @johannahakim8470 3 года назад

    Masha Allah
    Sheikh nimesikiya kama ni mapya naskuru Allah akulipe kila lakweri

  • @kassimali511
    @kassimali511 4 года назад +5

    Maasha - Allah Jazak - Allahu kheir.

  • @oscarbravoug6430
    @oscarbravoug6430 4 года назад +3

    Ati mume huawa mayahudi 😂😂😂😂😂(kubonyeza)

  • @jamilamunisi1480
    @jamilamunisi1480 5 лет назад +13

    Shukran sana Allah akujalie kheri

  • @nasrimathias1880
    @nasrimathias1880 4 года назад

    Verry nice good brass sheikh THE BIGGEST BOSS NASRI

  • @Keed-Mullah
    @Keed-Mullah 4 месяца назад

    Nimeona sana wakizungumza ila sikupata ufafanuzi mzuri kama huu Alhamdulillah 🤝🙏

  • @jumannemfaume
    @jumannemfaume 3 года назад +1

    Somo zuri sana shekhe sasa nimeelewa na mimi namna ya kuoga

  • @mammykaso4136
    @mammykaso4136 5 лет назад +7

    Shekh jee mwanamke yuwaruhusiwa kunyoa nywele Zahara kichwani

  • @mbarakaathumani3035
    @mbarakaathumani3035 5 лет назад +5

    Allah akutunze mufti

  • @sibamanakhamishusseindurch1020
    @sibamanakhamishusseindurch1020 2 года назад

    Jazakallahu sheikh wetu kwa elimu

  • @zainabuhmbabazi4928
    @zainabuhmbabazi4928 5 лет назад +7

    Manshallah jazakallah khayr shekh

  • @zinabzinabo8916
    @zinabzinabo8916 2 года назад

    Shkuran jazillah Allah akupee uzima utufunze zaidi y apa

  • @iptisamalnabhani6303
    @iptisamalnabhani6303 3 года назад +1

    Huyu Shaikh anajua kutoa mawaidha mashaallah

  • @mbaroukrajab
    @mbaroukrajab Год назад

    Allah akulipe kila la kheri sheikh wetu

  • @hidayajuma5020
    @hidayajuma5020 5 лет назад +7

    mashallah mashallah mashallah mashallah

  • @mukhusinmbagwa
    @mukhusinmbagwa 5 лет назад +8

    Allah akujalie kheri shekh

  • @maarufabdul128
    @maarufabdul128 4 года назад +2

    Shukran sheikh

  • @gitonga7054
    @gitonga7054 12 дней назад

    JAZZAKALLAHU kheir

  • @ismailokoth6822
    @ismailokoth6822 4 года назад +4

    Allah ibariq!

  • @salimumuro4661
    @salimumuro4661 4 года назад +1

    Ahsante sheikh mie nataka kuoga nifasi Leo naomben mnisaidie dua us kukoga nifas jaman

    • @salimumuro4661
      @salimumuro4661 4 года назад

      Ni mke Wang lakn anayetaka kukoga nifas

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Год назад

      ​@@salimumuro4661 unatia Nia ya kujisafisha na nifasi alafu unaoga kama unavyooga hedhi au janaba

  • @anitanahimana2115
    @anitanahimana2115 5 лет назад +3

    Shukuran Sheh wetu Allah ukuripe kira laheli

  • @khadijahkhdoo6387
    @khadijahkhdoo6387 5 лет назад +5

    😂😂😂😂🙈🙈 asante sanaa

  • @pilikhamis2924
    @pilikhamis2924 3 года назад

    Maashaallaah maashaallaah asant nimefahamu

  • @husseinhaidhurojr5469
    @husseinhaidhurojr5469 4 года назад +3

    Hahahaha umenichekesha shekhe ila lizungumzie na hili wake zetu sisi wengine wanapaka vipodoz ambavyo huleta kero mda wakuua wayahud huleta karaha yaharuf

  • @his-queenaisha7086
    @his-queenaisha7086 5 лет назад +18

    Shukran kwa mawaidha

  • @abdallahmgalla6244
    @abdallahmgalla6244 4 года назад +3

    Allah akupe afya njema

  • @awadhgugu317
    @awadhgugu317 5 месяцев назад

    Wewe shekhe wee jamaa😅😅😅😅😅

  • @swahibamussa2347
    @swahibamussa2347 4 года назад +1

    Mashallah nimekifunza kitu

  • @user-nb5yl3id7k
    @user-nb5yl3id7k 9 месяцев назад

    Masha allah akuhifadhi

  • @sureyomary7950
    @sureyomary7950 4 года назад +3

    Amiin

  • @oyay2821
    @oyay2821 5 лет назад +11

    Duhh!!! Maelezo kamili

  • @zainaburajabu2863
    @zainaburajabu2863 5 лет назад +5

    Nakukubali sana mwalim fundisha

  • @Ismailkhamis-or6dt
    @Ismailkhamis-or6dt 3 месяца назад

    Ahsant

  • @abdillahsultan7775
    @abdillahsultan7775 5 лет назад +10

    Je Sheih wale ambao hawajaowa wakiwa na matamanio wakapiga punyote; je? hapa nifafanulie cjw sawa

    • @farhiya2205
      @farhiya2205 5 лет назад

      Utaoga janaba mwenzangu...sababu utakua umetokwa na manii hapo,pia umejishika tupu kwa kujimalizia tama ulo kua nayo hadi ukamwaga nisawa na kuonana kimwili na mwanamke

    • @mohamedlali1821
      @mohamedlali1821 5 лет назад

      @@farhiya2205 mn

  • @mzongemzonge5340
    @mzongemzonge5340 3 года назад

    Innshaalaah sheh Mungu Akuhaafuu

  • @nassorhamad48
    @nassorhamad48 4 года назад +1

    Good job

  • @arabuseremansakinaarabusak8443
    @arabuseremansakinaarabusak8443 5 лет назад +7

    je umaliza kujamiana na mkeo kitandan na mashuka yamedondokewa naa manii au janaba wewe umepata udhu na walusiwa kulala ndan ya mashuka Yale au kitandan mle kwenye mashuka

    • @lutufiahamisi4159
      @lutufiahamisi4159 5 лет назад

      lazima uyatoe

    • @majidihamisi774
      @majidihamisi774 5 лет назад

      Ni vyema ukayatoa ndiomana wengine hua twaweka taulo maalum kidha hulitoa

    • @luisjr1301
      @luisjr1301 5 лет назад

      Arabu Sereman Sakina Arabu Sakina Arabu wazin na mkeo?

    • @josephinekabuka3877
      @josephinekabuka3877 4 года назад

      Ni vyema ukatoa na usichelewe kufua nguo yenye shahawa na ukiisha ifua unajisi wake huisha jioni hadi jioni

  • @daudmwita285
    @daudmwita285 5 лет назад +5

    Shukraaan sheh

  • @ismashishsmith143
    @ismashishsmith143 3 года назад

    Shukran jazak allahu kheir sheikh

  • @rizikisebe890
    @rizikisebe890 5 лет назад +7

    Shukran

  • @salmasaidi2875
    @salmasaidi2875 4 года назад +1

    Jazzakallahu khayir yaa Shaikh

  • @zobidaal4423
    @zobidaal4423 5 лет назад +8

    Eti mapliti shekhe unavituko wewe😂😂

  • @faizabaishe5172
    @faizabaishe5172 5 лет назад +3

    MaashAllah vizuri, Alhamdulilah, InshAllah heri, saumu ni ya Allah tu

  • @nyokamuddy4194
    @nyokamuddy4194 5 лет назад +2

    Mwenyez Mungu akulipe kwa hili

  • @hadiahussein9888
    @hadiahussein9888 4 года назад +4

    Je ukiwa umesuka msuko wakaida tu unaruhuswa kuog bila kufumua au mpk ufumue????

    • @emirmatimbwa7059
      @emirmatimbwa7059 3 года назад

      Haina ulazima kufumua ilimradi maji yafike kwenye ugozi kufumua nilazima pale unapotakakujitwaharsha na hedhi hapo ndo lazima

  • @jauzatmusuya5413
    @jauzatmusuya5413 5 лет назад +5

    je, mwanamke wakiisilamu kutunisha kichwanisawa?

  • @captaineussuph5940
    @captaineussuph5940 5 лет назад +9

    Man sha Allah

  • @shabaniashabani3423
    @shabaniashabani3423 5 лет назад +5

    Ishall

  • @mohammadkhalid371
    @mohammadkhalid371 4 года назад

    Hahahahahahahahahah ustadh huyo afanyaje majaribio kama hayo

  • @mansourkombo587
    @mansourkombo587 Год назад

    Shukran kw elim yako nmepta kujuwa mamb nlikuwa siyajuw

  • @minakilua1169
    @minakilua1169 5 лет назад +9

    Mashaallah........

  • @salama2625
    @salama2625 4 года назад

    Jazakhallah khaira sheikh

  • @farajisureman9925
    @farajisureman9925 5 лет назад +9

    Mwalim,akitokwa na madhii na madii? Maanake zile nyute au majimaji humtoka mume wakati flani akisimamisha.Inakuwaje pia au ni janaba pia?

  • @kilimaentertainment1687
    @kilimaentertainment1687 6 месяцев назад

    Huyu ostadh amenyooka

  • @elnabilbentaleb7008
    @elnabilbentaleb7008 4 года назад +2

    Naomba Nieleweshwe Kiti kimoja,katika kuoga janaba wengine wanasema makopo saba mara wengine matatu lkn shekh umesema unafungulia maji kwa nilivyoelewa ata bomba la mvua unaweza kuoga kwa maana hyo cha muhimu ni maji tu yafike mwili mzima au vp???

  • @user-ny1uv5vx5o
    @user-ny1uv5vx5o Год назад

    Nashukulu mungu kwa mawaidha

  • @xasanfaroole8160
    @xasanfaroole8160 5 лет назад

    Shukuran sheikh umenifundisha mengi

  • @anksusiabdurashid114
    @anksusiabdurashid114 3 года назад

    Allaah Kareem Shukran

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura 3 года назад

    Jazakhallahu khairaa ustadh

  • @pesspesa6202
    @pesspesa6202 3 года назад +1

    😀😀😀😀😀shekhe asnte

  • @nzigepeter5465
    @nzigepeter5465 5 лет назад +2

    Hahahaha,,,,,,,,ati eagle's nail

  • @modinakshy6276
    @modinakshy6276 2 года назад +1

    Shukran brother

  • @abubakarmaka1621
    @abubakarmaka1621 2 года назад

    Jazakhallah kheiran....insllah

  • @AshaChangwaru-hk5er
    @AshaChangwaru-hk5er 10 месяцев назад

    mwanaume akimpa mimba mke wa mtu anaruhusiwa kudai mtoto

  • @rajaburamadhani1191
    @rajaburamadhani1191 5 лет назад +1

    Jazzakanrah kheri

  • @aliidirisaxmedhuvavaruu6384
    @aliidirisaxmedhuvavaruu6384 4 года назад +1

    Masha Allah

  • @shahidhassan5293
    @shahidhassan5293 4 года назад +2

    Allah akustir fiddunia wal Akhira

  • @teekaydrcongo8076
    @teekaydrcongo8076 5 лет назад +4

    Asante sana sheeh

  • @salmalaga3132
    @salmalaga3132 2 года назад

    Shehe swalilangu lipo nje yamada ilanaomba unijibu tu kutawadha nimevaa gauni llamikonomilefu lisiloweza kukunjika natiamajiivyoivyo gauniinalowa mpaka ngozi yamikono inaswihi?

  • @user-sm1wk5cg6n
    @user-sm1wk5cg6n 6 месяцев назад

    Jazaakallahu khayrah,lakin nina swali shekh,nifasi ni nini?