NDOA NA MKE WA ZINAA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 123

  • @muniramohamed8887
    @muniramohamed8887 5 лет назад +10

    Mashaa-Allah Allah akuzidishiee elimu yenyee manufaa uziidii kutuelimisha amin

  • @ماندوماال
    @ماندوماال 5 лет назад +14

    Mungu ndie hakimu! Kwasababu wengine wanaishi maisha magumu, wazazi hawana uwezo hata chembe, hususan mijikendas nibalaa tupu, unaishi na baba na mama unalala njaa unaamka asubui hakuna kitu , mavazi yenyewe ni shida hata mbele ya wazazi ni aibu ,ila Allah awasamehe wote walozaliwa nnje ya ndoa inshaAllah yaarab ☝

    • @asyaluay5787
      @asyaluay5787 5 лет назад +3

      Walozaliwa nje ya ndoa wana makosa gani?

    • @fatmasaloum1821
      @fatmasaloum1821 5 лет назад

      Walozaa nje ya ndoa usiseme walozaliwa, walozaliwa hawana makosa

    • @OfficialJouma
      @OfficialJouma 5 лет назад

      asya luay hawana makosa.

  • @chunaamina8719
    @chunaamina8719 3 года назад

    Shekh izzu din mashaallah Allah akupe umri mrefu, wallah mawaidha yako yatuingia akilin, I wish ungekua kwa compen 2022 (Sheikh izzu din for president) kura yangu unayo

  • @hamismasoud8306
    @hamismasoud8306 5 лет назад +22

    Huyu mtu namkubali sana aisee Allah amjalie maisha marefu yenye tija InshaAllah.

  • @OmaryMustapha-ho7bk
    @OmaryMustapha-ho7bk 4 дня назад

    Napenda saana unavo elimisha shekhe izzu dini

  • @rojalule9199
    @rojalule9199 5 лет назад +3

    Masha Allah Allah barik ya Akhiiy kwa mafundisho mazuri

  • @zakiazakia4552
    @zakiazakia4552 5 лет назад +6

    Nafaidika na mafundisho Alhamdullilah ALLAH anijalie moyo wakutenda mema daima

    • @حليمهال-غ1ظ
      @حليمهال-غ1ظ 5 лет назад

      Baraka llah wamashaa Allah fiyka Yaa Ukhti lkariim. Allah akutakabalie duayako

  • @rashidmohamed1949
    @rashidmohamed1949 5 лет назад +7

    Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh
    Shkh amefafanua vizuur

  • @SeifAlly-g9i
    @SeifAlly-g9i 2 месяца назад

    Huyo anamakosa usiikurubie huyo nimzinifu Sheria inasemaje 😂

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 5 лет назад +3

    Mashaallah Allah atupe wepec na watto wetu amen

  • @sarahlitho8331
    @sarahlitho8331 5 лет назад +5

    😂😂😂😂😂duuh nampenda huyu shekhe jamani Allah akupe maidha marefu

  • @baravaniboyomar4006
    @baravaniboyomar4006 5 лет назад +7

    Kweli sheikh hata mate huwezi meza kibahati mbaya hahahaha

  • @ummygongo2003
    @ummygongo2003 4 года назад +1

    Allh akupe umri mrefu kama nambr ya vocha

  • @adilihassan8455
    @adilihassan8455 3 года назад

    Sheikh wetu nakupenda kwa ajili ya Allah. Unasema kweli vijana wengi uenda jela na wasichana kuachwa huru,,Sasa io ni haki??

  • @vuaipanduhaji3681
    @vuaipanduhaji3681 5 лет назад +5

    Unanichekesha sheikh na wala si mambo ya kucheka 😂😂😂 eti hakuna bahat mbaya.. swadakta sheikh

  • @shakilamasoud8979
    @shakilamasoud8979 5 лет назад +2

    Mwenyezi Mungu akupe kila lakher shekhe...uendelee kututoa gizani

    • @hafidhaadan9546
      @hafidhaadan9546 5 лет назад

      Kwa mwenye hayuko kwa ndoa adhabu ni viboko mia moja na mwenye ako kwa ndoa adhabu yake ni kupigwa mawe.

    • @shammusfredy4158
      @shammusfredy4158 5 лет назад

      Kwa hapa anakutia gizani

  • @hawaabubakar2619
    @hawaabubakar2619 5 лет назад

    Haha sheikh ati mme amuongeze juu mimba nyigine haha jazakAllah Kher kwa mawaidha from saudi Arabia

  • @summerellahkab7070
    @summerellahkab7070 5 лет назад +20

    Kama unamuelewa kama Mimi usiache kukoment na kulike ....Instagram @only_summerellah_tz

  • @janetmule5927
    @janetmule5927 4 года назад +4

    Mimi siezi acha kukufuatilia nakusikiliza masomo yako

  • @kisharitv1054
    @kisharitv1054 11 месяцев назад

    Je ikiwa mwanamume umemtia mimba binti kisha ukataka kumuoa akiwa ni mjamzito inaswihi.?

  • @aishaaisha1495
    @aishaaisha1495 4 года назад

    Assalam aleikum warrahamatulah wabarakatu jaman tunao comment tuache kutoa matus km hujickii kukoment acha tusiwatus mashekhe km amekosea bora umwambie2 nae ni binadam Ana mapungufu aliekamilika ni Allah wanapendeni wotee kwaajili ya allah

  • @rukiamwinyihija7849
    @rukiamwinyihija7849 5 лет назад +7

    Kwenye sheria za kufungisha ndoa mbona suala la kuwa na mimba halijatajwa kama ni masharti ya ndoa kuwa sahihi,? na kama aliyekupa mimba ndio muhusika anayekuoa hapo inakuaje?

  • @saidtwahir9616
    @saidtwahir9616 5 лет назад +4

    Asalam aleikum jameeil muslimeen wal muslimaat. Kuna swala nyengi twachukulia hukumu kiholela holela pasi na mazingatio. Yoyote atoae fatwa pasi na kutegemeza dalili ya Aya ama Hadithi huyo atoa rai za kichwa chake na Uislamu ni asemayo Allah na Mtume wake...Q- 33:36 Eda ya mja mzito wa mimba ya zinaa malengole ni yapi hana mume wa kurudiwa, wala eda hilo halithibitishi uja uzito wa mumewe hai au alokufa, wala huyo mwana hana urathi au mahusiano na yule mwanamume kwakua ni zinaa kwahio ni mwana wa mama kwa hadithi ya mtume! Eda hikma yake ni maagano baina ya mume na mke kuivunja ndoa kwa amani apendavyo Mola Q 2: 227-232. Aula ni eda la mja mzito Q65:4-7, kama ni eda la mjane Q2:234.

    • @hassankuemya3613
      @hassankuemya3613 4 года назад

      Shukran lkn ww na yy nyote mwaongolea jambo moja. Mungu awazidishieni nyote

    • @saidtwahir9616
      @saidtwahir9616 4 года назад

      @@hassankuemya3613 Asalam aleikum tofauti ya ufahamu ni kuwa shekhe ahalalisha ndoa ya zinaa. Ambapo Allah ameiharamisha Q- 24:3. Na isitoshe Q 24:32 Allah anaposema waozesheni ambao hawajaowa au kuolewa- amri hii yamuelekea nani kama sio mzazi??? Kwahio mpaka ilipofikia mwanao kuzini ina maana ulipuuza jukumu la uzazi kuitekeleza amri ya Allah. Ushahidi zaidi ni wakati sayyidina Omar amtakia binti yake (mjane) mume kwa kuwauliza maswahaba wenziwe wamuowe bintiye... khatimae akaolewa na Mtume S.A.W. Dhidi ya hayo al islamu nadhweef. Ikowapi tendo la ibada katika kuhalalisha zinaa??? Dini kazi yake ni kuitakasa nafsi yetu kutokamana na uchafu. Allah asema Q- 17:32, USIKARIBIE ZINAA KWANI ZINAA NI UCHAFU NA UOVU. Kitu ambacho mashekhe hawazingatii ni kuwa ndoa ni ibada kama kuswali. Msichana amezini akashika mimba imani yake hajaichafua??? Je nafsi husafishwaje kama sio kwa taubah??? Mfano mpesi wa kufahamu hii mada ni kuwa huwezi kumsujudia Mola ikiwa una najisi mwilini. Lazma ujitwaharishe ushike udhu tena ndipo uswali. Kwa kuilinganisha na ndoa ni lazma azaliwe yule mtoto kwanza, alafu aombe taubah kwa kuinajisi nafsi yake ndipo afunge ndoa kwa njia apendavyo Allah.

  • @mesalimrashid6312
    @mesalimrashid6312 5 лет назад +3

    Kuepuka haya wenye kuozesha ndoa vile vile pimeni ukimwi na mimba kabla kuoana kama c mwanamwali.

  • @Saidoo254
    @Saidoo254 5 лет назад +1

    Sheikh, je waeza kuoa mwanamke ulimsilimisha bila idhini ya wazazi wake?

  • @saidtwahir9616
    @saidtwahir9616 5 лет назад +3

    Kama ni suala kuhusu ndoa Q 24:3 , Allah asema "mume mzinifu haowi ila mke mzinifu au mshirikina, na mke mzinifu haolewi ila na mume mzinifu au mshirikina. Na kwa walio amini hayo ni haramu." Sasa tuzingatie ikiwa ALLAH asema ni haramu kwa muumini kufunga ndoa na mzinifu au mshirikina vipi twazikiuka dalili zake Mola kwa kuhalalisha aloharamisha??? Pili Q2:221- ni ONYO usiowe au kuolewa na asiye muumini...lazma awe muumini.... sisitizo sio muislamu- sisitizo ni muumini maanake alitendea kazi neno la Mungu (Quran). Kwa alio amini Allah asema Q17:32- MUSIKURUBIE ZINAA. Sisitizo ni kutokaribia sio kutenda. Je alopita kukaribia hadi akatenda zinaa Q24:2- wachapwe mboko mia kwa wasokuwa wanandoa na ikiwa ni wana ndoa Q4:15.-hukmu yao ni kifo kwa hadith ya mtume pamoja na hio aya.

    • @awesoaminsaid6858
      @awesoaminsaid6858 5 лет назад

      Toa clip yake tukufahamu vizuri,,kwa maandishi hatuelewi hivo

    • @awesoaminsaid6858
      @awesoaminsaid6858 5 лет назад

      By the way,,,wakitubu hao waliokosea mungu husamehe makosa yao na akawapa 2nd chance

    • @idrisaallysalum9447
      @idrisaallysalum9447 4 года назад

      Kumbe wewe "NI MJUZI zaidi" kwanini usitoe nawe ufafanuzi wa video Kama mwenzio?

    • @saidtwahir9616
      @saidtwahir9616 4 года назад

      @@awesoaminsaid6858 kaka ikiwa huna dalili ya Ayah ama hadithi ya mtume... dini haiendi kwa fatwa za kichwa chako ama maoni yako... zingatia unayoyasema kabla kupayukwa. Q 17:36. NA MUSIFWATE YALE MUSOKUWA NA UJUZI NAYO HAKIKA UTAWAJIBIKA KWA UNAYOYASIKIZA NA UYAONAYO NA YALIO MOYONI.

    • @saidtwahir9616
      @saidtwahir9616 4 года назад

      @@idrisaallysalum9447 Twalabul ilmu fareedhwatan alaa kulli muslimeen wal muslimah. Kusoma ni Faradhi kwa kila muislamu mume na mke. Malengo kunukuu ayah ni urudi ukasome uhakikishe ili nawe kesho ukoina yatendeka kimakosa uweze kutoa fatwa ilio na ushahidi wa tamko la Allah. Sio shekhe fulani kasema. Ni jukumu lako kama muislamu kusoma.

  • @zainabuhmbabazi4928
    @zainabuhmbabazi4928 5 лет назад +7

    Kekekekeke mimba na nyingine ju kekekekeke 😀 😀

    • @khairulabdi8231
      @khairulabdi8231 5 лет назад

      raha, eh?

    • @mariammdoe8045
      @mariammdoe8045 5 лет назад

      😁😁kabisa yani azae pacha akome kabisa sheikh sio kwakunivunja mbavu huku khaaaah😁😁

  • @sharifgojo878
    @sharifgojo878 5 лет назад +3

    fatua mbovu sana hazina mashiko

  • @hajiharoub8125
    @hajiharoub8125 5 лет назад +6

    Hakika huyu sheikh yuko vizur sana

  • @allymngwaya6219
    @allymngwaya6219 5 лет назад +5

    Sheikh vipi kuhusu Qur'an iliyotukataza kuoa wanawake wakiwa na mimba?

    • @hassankuemya3613
      @hassankuemya3613 4 года назад +1

      Amejibu kwamba mimba iliyokusudiwa ni iliopatikana ndani ya ndoa.

  • @MsZeyana
    @MsZeyana 5 лет назад +4

    Nakubaliana na yote ila kuweka lawama ya zina kwa binti. Wote mume na mume wamezini pamoja utamlaumu vipi msichana pekee.

    • @msafiriduwiya7765
      @msafiriduwiya7765 5 лет назад

      Someni dini mbona mwizi katajwa mwanamume kwa Nini, wewe mke ungekataa kuziniwa zinaa ingefanikiwa kufanyika?
      Unamfanya Mungu hajui

  • @hassansingano1150
    @hassansingano1150 Год назад

    Asalam
    Shekh naomba ufafanuzi wa hii aya Quran 4 : 24.
    Ndoa pasi na zinaa

  • @bablasbulludozer-be3ww
    @bablasbulludozer-be3ww 8 месяцев назад

    Misikaribie zinaa inakuwaje umpe mimba mmezini mkiowana mnazini / mzinifu wataendelea kuzini au wazinifu fateni hukmu kwanza ipo

  • @gamechanger9646
    @gamechanger9646 5 лет назад +3

    Shimo la Papa😂Sheikh nakukubali sana

  • @nawawiitara7909
    @nawawiitara7909 5 лет назад +2

    Sheikh Izzu Ddin Unaeleweka sana
    Jazaka llahu khayr

  • @aliambulo2972
    @aliambulo2972 5 лет назад +1

    barakallahu fika ya shekh

  • @iddyhalifa6643
    @iddyhalifa6643 4 года назад +1

    Shee mm nina swali jee kama mwanaume umemtiya mimba mwana mke na mimba ile imeingiya kwanjiya yazinaa je? Yaxwihi kufunga naye ndoa akiwa na mimba na ilemimba itakua ya harali?

  • @dirhammatatizo5901
    @dirhammatatizo5901 5 лет назад +2

    Kwa iyo mwanammke uliye mtia mamba ni halali kumuowa??

  • @aminaziddin2611
    @aminaziddin2611 4 года назад

    Assalam Aleikum warahmatullahi wabaraqatu.
    Allah akujaalie na umri mrefu na atukutanishe kwenye pepo yako.
    Swali langu ni;
    Je inaruhusiwa kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi kma vile girlfriend na boyfriend ...je inaruhusiwa?

    • @halimaabbas5080
      @halimaabbas5080 Год назад

      Haifai. Mahusiano ya boyfriend na girlfriend ni haram na mdo ilee ilokatazwa usikaribie zinaa. Kua na boyfriend au girlfriend ni kuikaribia zinaa tayar. Wa Allahu Aalam

  • @aliabdalla9338
    @aliabdalla9338 5 лет назад +2

    Assalaam Aleykum.. Hakuna ndoa baada ya kwisha kuzini nae huyo Binti...

  • @fareedsseif4297
    @fareedsseif4297 5 лет назад +2

    Sheikh Tatizo hapa kuna zinaa. Ambayo Allah ametuasa ndani ya Quran “Wala musiakaribie Zinaa” na hukumu ya Zinaa inajulikana ni kupigaa mawe

    • @iddopaka4606
      @iddopaka4606 5 лет назад +1

      Mtu ambaye ameoa ama kuolewa ndio anapigwa mawe. Sheik anazungumzia msichana hajaolewa

    • @omarynachiwa5973
      @omarynachiwa5973 4 года назад +1

      Elewa mada iko wazi

  • @ماندوماال
    @ماندوماال 5 лет назад +1

    Je! Mtoto alozaliwa inje ya ndowa ana weza kwenda Makkah ku hijji , au Umrra?.

    • @afdaa946
      @afdaa946 5 лет назад +3

      Sasa kwan mtoto anakosa gani cnmtu kama wengine tendo ndo lilikua baya lkn mwana nmwana

    • @khairulabdi8231
      @khairulabdi8231 5 лет назад

      kwann asiende sasa?

  • @rehemajumapili5828
    @rehemajumapili5828 Год назад

    Jeukiwa hauna mimba namume uliezininae yuataka kukuoa yakubaliwa

  • @selemanmtipu6644
    @selemanmtipu6644 5 лет назад +1

    Shukrani shekh

  • @husseinparco9640
    @husseinparco9640 3 года назад

    Hiiii nikweli wabongo wanabishaaa

  • @khanrashidi394
    @khanrashidi394 5 лет назад +1

    Sheikh allah ajaalieumli mlefu wenye manufaa

  • @maase2023
    @maase2023 5 лет назад +3

    shehe huyu mtihani sana hivi hana fatwa zingine ambaxo zinavutia na kuhamasisha?

  • @soudalharthy8842
    @soudalharthy8842 5 лет назад +1

    Hasbuna llah waniima lwakiil

  • @mussayusuph5991
    @mussayusuph5991 4 года назад

    Kwa hiyo huyo mwanamke anaruhusiwa kuzini?na kama akithibitisha ni mimba ya zinaa nini kifuate kati ya huyu mzinifu ni hukmu au kufungishwa ndoa!.Na swali langu LA pili nini hukmu ya mZinifu ambae hajaoa au kuolewa?na mzinifu ambae ameoa au ameolewa?

  • @abullahkabaka8774
    @abullahkabaka8774 3 года назад

    MASHA ALLAH ALEIK

  • @jasmininasabi495
    @jasmininasabi495 5 лет назад +1

    JazaAllah kheri

  • @kijolysahaly1323
    @kijolysahaly1323 4 года назад

    Jamani hiimimba niyako

  • @ramadhanimkali6025
    @ramadhanimkali6025 5 лет назад

    Shekh na kama mwanamke amepata mimba nje ya ndoa na alie muoa ndy yuleyule aliempatia mimba je mtt akizaliwa mtt atakua upande gn wa haramu au halali?

    • @mamyssmoe6706
      @mamyssmoe6706 5 лет назад

      Wa haramu bd sheikh kwasabsbu mimba imetunga kabla ya ndowa

    • @othmanhajj636
      @othmanhajj636 5 лет назад

      Inaitwa Haramu kwasababu
      Umetawaza kwanza
      Halafu ndio ukanya

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Год назад

      ​@@othmanhajj636 😂😂😂😂

  • @mohamedzubery2619
    @mohamedzubery2619 5 лет назад +1

    Maashaallah

  • @amabrave_solution
    @amabrave_solution 3 года назад

    Amiin

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966
    @fatumaramadhanmashaallahal9966 5 лет назад +1

    Shehe wetu unapo sema hivyo unasababisha vijana kuzidisha zinaa tulikua tunaishi kwa nyumba yakupangisha kijana jiran mpangaji mwenzetu akaona nyumba nzima haina watu akamngojea dadangu kaenda kuonga akamvamia nakumbikiri alipinga kelele hakusaidika nakubeba mimba siku hiyo alikua hampendi yule kijana akanyamaza baada mimba ikajulikana kijana akakubali kumuoa hiyo ilisababisha na kijana makosa ni ya nani

  • @shaniahrachma7767
    @shaniahrachma7767 5 лет назад +1

    😁😁😁

  • @abuzubeyribnmuhammad7731
    @abuzubeyribnmuhammad7731 5 лет назад +1

    Huyu sheikh Allah amuongoze anatoa fatwa batili

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  5 лет назад

      Ameen mola atakabali dua yako

    • @husseinchiaseeds2653
      @husseinchiaseeds2653 4 года назад

      @@IzudinAlwyDin shekhe Mimi nlimpa mimba bint ktk zinaa na nkamuoa huyo huyo bint mimba ikiwa na miezi 4 hukm ya ndoa ikoje na vip kuhusu mtoto

  • @danymsinga7048
    @danymsinga7048 5 лет назад +1

    Haahaha

  • @nurarich4945
    @nurarich4945 5 лет назад +1

    Very misogynistic

  • @bwegelanyakhaido3088
    @bwegelanyakhaido3088 5 лет назад +4

    sheikh apo bhana naona km umebugi kidogo...mimba ya alamu ina mwenyewe na mwenyewe ni mwanamke aliye ibeba...so anapaswa kushusha mzigo wake ndio aolewe

    • @ibnali5237
      @ibnali5237 5 лет назад +1

      Ok, Pia mm nilikua naelwa hivo. Je uko na ushaidi wa usemayo?

    • @ibnali5237
      @ibnali5237 5 лет назад +1

      @likoni tv 🤣🤣🤣🤣

    • @bilalmohamed5133
      @bilalmohamed5133 5 лет назад +2

      Kwani waskiza mawaidha ukipeleka mbele...hujamskia ustadhi akisema mimba ni ya mwanamke

    • @makamemufadhil627
      @makamemufadhil627 5 лет назад

      Bwegelanya khaido si amesema

    • @arababs
      @arababs 5 лет назад

      Shekhe anazungumza kuhusu hadithi ya mtume inayosema usinosheleze miti ya mwenyewe. Elewa vizuri kaka. Kiswahili cha Amu chakutatiza

  • @asyaluay5787
    @asyaluay5787 5 лет назад

    Mtihani

    • @OfficialJouma
      @OfficialJouma 5 лет назад

      asya luay mtihani mkubwa, Allah atuepushe na haya mambo