Mungu ndie hakimu! Kwasababu wengine wanaishi maisha magumu, wazazi hawana uwezo hata chembe, hususan mijikendas nibalaa tupu, unaishi na baba na mama unalala njaa unaamka asubui hakuna kitu , mavazi yenyewe ni shida hata mbele ya wazazi ni aibu ,ila Allah awasamehe wote walozaliwa nnje ya ndoa inshaAllah yaarab ☝
Shekh izzu din mashaallah Allah akupe umri mrefu, wallah mawaidha yako yatuingia akilin, I wish ungekua kwa compen 2022 (Sheikh izzu din for president) kura yangu unayo
Assalam aleikum warrahamatulah wabarakatu jaman tunao comment tuache kutoa matus km hujickii kukoment acha tusiwatus mashekhe km amekosea bora umwambie2 nae ni binadam Ana mapungufu aliekamilika ni Allah wanapendeni wotee kwaajili ya allah
Kwenye sheria za kufungisha ndoa mbona suala la kuwa na mimba halijatajwa kama ni masharti ya ndoa kuwa sahihi,? na kama aliyekupa mimba ndio muhusika anayekuoa hapo inakuaje?
Asalam aleikum jameeil muslimeen wal muslimaat. Kuna swala nyengi twachukulia hukumu kiholela holela pasi na mazingatio. Yoyote atoae fatwa pasi na kutegemeza dalili ya Aya ama Hadithi huyo atoa rai za kichwa chake na Uislamu ni asemayo Allah na Mtume wake...Q- 33:36 Eda ya mja mzito wa mimba ya zinaa malengole ni yapi hana mume wa kurudiwa, wala eda hilo halithibitishi uja uzito wa mumewe hai au alokufa, wala huyo mwana hana urathi au mahusiano na yule mwanamume kwakua ni zinaa kwahio ni mwana wa mama kwa hadithi ya mtume! Eda hikma yake ni maagano baina ya mume na mke kuivunja ndoa kwa amani apendavyo Mola Q 2: 227-232. Aula ni eda la mja mzito Q65:4-7, kama ni eda la mjane Q2:234.
@@hassankuemya3613 Asalam aleikum tofauti ya ufahamu ni kuwa shekhe ahalalisha ndoa ya zinaa. Ambapo Allah ameiharamisha Q- 24:3. Na isitoshe Q 24:32 Allah anaposema waozesheni ambao hawajaowa au kuolewa- amri hii yamuelekea nani kama sio mzazi??? Kwahio mpaka ilipofikia mwanao kuzini ina maana ulipuuza jukumu la uzazi kuitekeleza amri ya Allah. Ushahidi zaidi ni wakati sayyidina Omar amtakia binti yake (mjane) mume kwa kuwauliza maswahaba wenziwe wamuowe bintiye... khatimae akaolewa na Mtume S.A.W. Dhidi ya hayo al islamu nadhweef. Ikowapi tendo la ibada katika kuhalalisha zinaa??? Dini kazi yake ni kuitakasa nafsi yetu kutokamana na uchafu. Allah asema Q- 17:32, USIKARIBIE ZINAA KWANI ZINAA NI UCHAFU NA UOVU. Kitu ambacho mashekhe hawazingatii ni kuwa ndoa ni ibada kama kuswali. Msichana amezini akashika mimba imani yake hajaichafua??? Je nafsi husafishwaje kama sio kwa taubah??? Mfano mpesi wa kufahamu hii mada ni kuwa huwezi kumsujudia Mola ikiwa una najisi mwilini. Lazma ujitwaharishe ushike udhu tena ndipo uswali. Kwa kuilinganisha na ndoa ni lazma azaliwe yule mtoto kwanza, alafu aombe taubah kwa kuinajisi nafsi yake ndipo afunge ndoa kwa njia apendavyo Allah.
Kama ni suala kuhusu ndoa Q 24:3 , Allah asema "mume mzinifu haowi ila mke mzinifu au mshirikina, na mke mzinifu haolewi ila na mume mzinifu au mshirikina. Na kwa walio amini hayo ni haramu." Sasa tuzingatie ikiwa ALLAH asema ni haramu kwa muumini kufunga ndoa na mzinifu au mshirikina vipi twazikiuka dalili zake Mola kwa kuhalalisha aloharamisha??? Pili Q2:221- ni ONYO usiowe au kuolewa na asiye muumini...lazma awe muumini.... sisitizo sio muislamu- sisitizo ni muumini maanake alitendea kazi neno la Mungu (Quran). Kwa alio amini Allah asema Q17:32- MUSIKURUBIE ZINAA. Sisitizo ni kutokaribia sio kutenda. Je alopita kukaribia hadi akatenda zinaa Q24:2- wachapwe mboko mia kwa wasokuwa wanandoa na ikiwa ni wana ndoa Q4:15.-hukmu yao ni kifo kwa hadith ya mtume pamoja na hio aya.
@@awesoaminsaid6858 kaka ikiwa huna dalili ya Ayah ama hadithi ya mtume... dini haiendi kwa fatwa za kichwa chako ama maoni yako... zingatia unayoyasema kabla kupayukwa. Q 17:36. NA MUSIFWATE YALE MUSOKUWA NA UJUZI NAYO HAKIKA UTAWAJIBIKA KWA UNAYOYASIKIZA NA UYAONAYO NA YALIO MOYONI.
@@idrisaallysalum9447 Twalabul ilmu fareedhwatan alaa kulli muslimeen wal muslimah. Kusoma ni Faradhi kwa kila muislamu mume na mke. Malengo kunukuu ayah ni urudi ukasome uhakikishe ili nawe kesho ukoina yatendeka kimakosa uweze kutoa fatwa ilio na ushahidi wa tamko la Allah. Sio shekhe fulani kasema. Ni jukumu lako kama muislamu kusoma.
Shee mm nina swali jee kama mwanaume umemtiya mimba mwana mke na mimba ile imeingiya kwanjiya yazinaa je? Yaxwihi kufunga naye ndoa akiwa na mimba na ilemimba itakua ya harali?
Assalam Aleikum warahmatullahi wabaraqatu. Allah akujaalie na umri mrefu na atukutanishe kwenye pepo yako. Swali langu ni; Je inaruhusiwa kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi kma vile girlfriend na boyfriend ...je inaruhusiwa?
Haifai. Mahusiano ya boyfriend na girlfriend ni haram na mdo ilee ilokatazwa usikaribie zinaa. Kua na boyfriend au girlfriend ni kuikaribia zinaa tayar. Wa Allahu Aalam
Kwa hiyo huyo mwanamke anaruhusiwa kuzini?na kama akithibitisha ni mimba ya zinaa nini kifuate kati ya huyu mzinifu ni hukmu au kufungishwa ndoa!.Na swali langu LA pili nini hukmu ya mZinifu ambae hajaoa au kuolewa?na mzinifu ambae ameoa au ameolewa?
Shehe wetu unapo sema hivyo unasababisha vijana kuzidisha zinaa tulikua tunaishi kwa nyumba yakupangisha kijana jiran mpangaji mwenzetu akaona nyumba nzima haina watu akamngojea dadangu kaenda kuonga akamvamia nakumbikiri alipinga kelele hakusaidika nakubeba mimba siku hiyo alikua hampendi yule kijana akanyamaza baada mimba ikajulikana kijana akakubali kumuoa hiyo ilisababisha na kijana makosa ni ya nani
sheikh apo bhana naona km umebugi kidogo...mimba ya alamu ina mwenyewe na mwenyewe ni mwanamke aliye ibeba...so anapaswa kushusha mzigo wake ndio aolewe
Mashaa-Allah Allah akuzidishiee elimu yenyee manufaa uziidii kutuelimisha amin
Mungu ndie hakimu! Kwasababu wengine wanaishi maisha magumu, wazazi hawana uwezo hata chembe, hususan mijikendas nibalaa tupu, unaishi na baba na mama unalala njaa unaamka asubui hakuna kitu , mavazi yenyewe ni shida hata mbele ya wazazi ni aibu ,ila Allah awasamehe wote walozaliwa nnje ya ndoa inshaAllah yaarab ☝
Walozaliwa nje ya ndoa wana makosa gani?
Walozaa nje ya ndoa usiseme walozaliwa, walozaliwa hawana makosa
asya luay hawana makosa.
Shekh izzu din mashaallah Allah akupe umri mrefu, wallah mawaidha yako yatuingia akilin, I wish ungekua kwa compen 2022 (Sheikh izzu din for president) kura yangu unayo
Huyu mtu namkubali sana aisee Allah amjalie maisha marefu yenye tija InshaAllah.
Amiiin Amiin
Aamn
Amin
Napenda saana unavo elimisha shekhe izzu dini
Masha Allah Allah barik ya Akhiiy kwa mafundisho mazuri
Nafaidika na mafundisho Alhamdullilah ALLAH anijalie moyo wakutenda mema daima
Baraka llah wamashaa Allah fiyka Yaa Ukhti lkariim. Allah akutakabalie duayako
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh
Shkh amefafanua vizuur
Huyo anamakosa usiikurubie huyo nimzinifu Sheria inasemaje 😂
Mashaallah Allah atupe wepec na watto wetu amen
😂😂😂😂😂duuh nampenda huyu shekhe jamani Allah akupe maidha marefu
Mnh
Kweli sheikh hata mate huwezi meza kibahati mbaya hahahaha
Allh akupe umri mrefu kama nambr ya vocha
Sheikh wetu nakupenda kwa ajili ya Allah. Unasema kweli vijana wengi uenda jela na wasichana kuachwa huru,,Sasa io ni haki??
Unanichekesha sheikh na wala si mambo ya kucheka 😂😂😂 eti hakuna bahat mbaya.. swadakta sheikh
Hii
Mwenyezi Mungu akupe kila lakher shekhe...uendelee kututoa gizani
Kwa mwenye hayuko kwa ndoa adhabu ni viboko mia moja na mwenye ako kwa ndoa adhabu yake ni kupigwa mawe.
Kwa hapa anakutia gizani
Haha sheikh ati mme amuongeze juu mimba nyigine haha jazakAllah Kher kwa mawaidha from saudi Arabia
Kama unamuelewa kama Mimi usiache kukoment na kulike ....Instagram @only_summerellah_tz
Mimi siezi acha kukufuatilia nakusikiliza masomo yako
Je ikiwa mwanamume umemtia mimba binti kisha ukataka kumuoa akiwa ni mjamzito inaswihi.?
Assalam aleikum warrahamatulah wabarakatu jaman tunao comment tuache kutoa matus km hujickii kukoment acha tusiwatus mashekhe km amekosea bora umwambie2 nae ni binadam Ana mapungufu aliekamilika ni Allah wanapendeni wotee kwaajili ya allah
Kwenye sheria za kufungisha ndoa mbona suala la kuwa na mimba halijatajwa kama ni masharti ya ndoa kuwa sahihi,? na kama aliyekupa mimba ndio muhusika anayekuoa hapo inakuaje?
Mashallah bi rukaiya habari ya mombasa
Rukia Mwinyihija
Asalam aleikum jameeil muslimeen wal muslimaat. Kuna swala nyengi twachukulia hukumu kiholela holela pasi na mazingatio. Yoyote atoae fatwa pasi na kutegemeza dalili ya Aya ama Hadithi huyo atoa rai za kichwa chake na Uislamu ni asemayo Allah na Mtume wake...Q- 33:36 Eda ya mja mzito wa mimba ya zinaa malengole ni yapi hana mume wa kurudiwa, wala eda hilo halithibitishi uja uzito wa mumewe hai au alokufa, wala huyo mwana hana urathi au mahusiano na yule mwanamume kwakua ni zinaa kwahio ni mwana wa mama kwa hadithi ya mtume! Eda hikma yake ni maagano baina ya mume na mke kuivunja ndoa kwa amani apendavyo Mola Q 2: 227-232. Aula ni eda la mja mzito Q65:4-7, kama ni eda la mjane Q2:234.
Shukran lkn ww na yy nyote mwaongolea jambo moja. Mungu awazidishieni nyote
@@hassankuemya3613 Asalam aleikum tofauti ya ufahamu ni kuwa shekhe ahalalisha ndoa ya zinaa. Ambapo Allah ameiharamisha Q- 24:3. Na isitoshe Q 24:32 Allah anaposema waozesheni ambao hawajaowa au kuolewa- amri hii yamuelekea nani kama sio mzazi??? Kwahio mpaka ilipofikia mwanao kuzini ina maana ulipuuza jukumu la uzazi kuitekeleza amri ya Allah. Ushahidi zaidi ni wakati sayyidina Omar amtakia binti yake (mjane) mume kwa kuwauliza maswahaba wenziwe wamuowe bintiye... khatimae akaolewa na Mtume S.A.W. Dhidi ya hayo al islamu nadhweef. Ikowapi tendo la ibada katika kuhalalisha zinaa??? Dini kazi yake ni kuitakasa nafsi yetu kutokamana na uchafu. Allah asema Q- 17:32, USIKARIBIE ZINAA KWANI ZINAA NI UCHAFU NA UOVU. Kitu ambacho mashekhe hawazingatii ni kuwa ndoa ni ibada kama kuswali. Msichana amezini akashika mimba imani yake hajaichafua??? Je nafsi husafishwaje kama sio kwa taubah??? Mfano mpesi wa kufahamu hii mada ni kuwa huwezi kumsujudia Mola ikiwa una najisi mwilini. Lazma ujitwaharishe ushike udhu tena ndipo uswali. Kwa kuilinganisha na ndoa ni lazma azaliwe yule mtoto kwanza, alafu aombe taubah kwa kuinajisi nafsi yake ndipo afunge ndoa kwa njia apendavyo Allah.
Kuepuka haya wenye kuozesha ndoa vile vile pimeni ukimwi na mimba kabla kuoana kama c mwanamwali.
Sheikh, je waeza kuoa mwanamke ulimsilimisha bila idhini ya wazazi wake?
Kama ni suala kuhusu ndoa Q 24:3 , Allah asema "mume mzinifu haowi ila mke mzinifu au mshirikina, na mke mzinifu haolewi ila na mume mzinifu au mshirikina. Na kwa walio amini hayo ni haramu." Sasa tuzingatie ikiwa ALLAH asema ni haramu kwa muumini kufunga ndoa na mzinifu au mshirikina vipi twazikiuka dalili zake Mola kwa kuhalalisha aloharamisha??? Pili Q2:221- ni ONYO usiowe au kuolewa na asiye muumini...lazma awe muumini.... sisitizo sio muislamu- sisitizo ni muumini maanake alitendea kazi neno la Mungu (Quran). Kwa alio amini Allah asema Q17:32- MUSIKURUBIE ZINAA. Sisitizo ni kutokaribia sio kutenda. Je alopita kukaribia hadi akatenda zinaa Q24:2- wachapwe mboko mia kwa wasokuwa wanandoa na ikiwa ni wana ndoa Q4:15.-hukmu yao ni kifo kwa hadith ya mtume pamoja na hio aya.
Toa clip yake tukufahamu vizuri,,kwa maandishi hatuelewi hivo
By the way,,,wakitubu hao waliokosea mungu husamehe makosa yao na akawapa 2nd chance
Kumbe wewe "NI MJUZI zaidi" kwanini usitoe nawe ufafanuzi wa video Kama mwenzio?
@@awesoaminsaid6858 kaka ikiwa huna dalili ya Ayah ama hadithi ya mtume... dini haiendi kwa fatwa za kichwa chako ama maoni yako... zingatia unayoyasema kabla kupayukwa. Q 17:36. NA MUSIFWATE YALE MUSOKUWA NA UJUZI NAYO HAKIKA UTAWAJIBIKA KWA UNAYOYASIKIZA NA UYAONAYO NA YALIO MOYONI.
@@idrisaallysalum9447 Twalabul ilmu fareedhwatan alaa kulli muslimeen wal muslimah. Kusoma ni Faradhi kwa kila muislamu mume na mke. Malengo kunukuu ayah ni urudi ukasome uhakikishe ili nawe kesho ukoina yatendeka kimakosa uweze kutoa fatwa ilio na ushahidi wa tamko la Allah. Sio shekhe fulani kasema. Ni jukumu lako kama muislamu kusoma.
Kekekekeke mimba na nyingine ju kekekekeke 😀 😀
raha, eh?
😁😁kabisa yani azae pacha akome kabisa sheikh sio kwakunivunja mbavu huku khaaaah😁😁
fatua mbovu sana hazina mashiko
Hakika huyu sheikh yuko vizur sana
Sheikh vipi kuhusu Qur'an iliyotukataza kuoa wanawake wakiwa na mimba?
Amejibu kwamba mimba iliyokusudiwa ni iliopatikana ndani ya ndoa.
Nakubaliana na yote ila kuweka lawama ya zina kwa binti. Wote mume na mume wamezini pamoja utamlaumu vipi msichana pekee.
Someni dini mbona mwizi katajwa mwanamume kwa Nini, wewe mke ungekataa kuziniwa zinaa ingefanikiwa kufanyika?
Unamfanya Mungu hajui
Asalam
Shekh naomba ufafanuzi wa hii aya Quran 4 : 24.
Ndoa pasi na zinaa
Misikaribie zinaa inakuwaje umpe mimba mmezini mkiowana mnazini / mzinifu wataendelea kuzini au wazinifu fateni hukmu kwanza ipo
Shimo la Papa😂Sheikh nakukubali sana
Au shimo la mamba😆😂😢
😂😂😂😂😂😂
Sheikh Izzu Ddin Unaeleweka sana
Jazaka llahu khayr
barakallahu fika ya shekh
Shee mm nina swali jee kama mwanaume umemtiya mimba mwana mke na mimba ile imeingiya kwanjiya yazinaa je? Yaxwihi kufunga naye ndoa akiwa na mimba na ilemimba itakua ya harali?
Kwa iyo mwanammke uliye mtia mamba ni halali kumuowa??
Assalam Aleikum warahmatullahi wabaraqatu.
Allah akujaalie na umri mrefu na atukutanishe kwenye pepo yako.
Swali langu ni;
Je inaruhusiwa kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi kma vile girlfriend na boyfriend ...je inaruhusiwa?
Haifai. Mahusiano ya boyfriend na girlfriend ni haram na mdo ilee ilokatazwa usikaribie zinaa. Kua na boyfriend au girlfriend ni kuikaribia zinaa tayar. Wa Allahu Aalam
Assalaam Aleykum.. Hakuna ndoa baada ya kwisha kuzini nae huyo Binti...
waallahu ya alam
Sheikh Tatizo hapa kuna zinaa. Ambayo Allah ametuasa ndani ya Quran “Wala musiakaribie Zinaa” na hukumu ya Zinaa inajulikana ni kupigaa mawe
Mtu ambaye ameoa ama kuolewa ndio anapigwa mawe. Sheik anazungumzia msichana hajaolewa
Elewa mada iko wazi
Je! Mtoto alozaliwa inje ya ndowa ana weza kwenda Makkah ku hijji , au Umrra?.
Sasa kwan mtoto anakosa gani cnmtu kama wengine tendo ndo lilikua baya lkn mwana nmwana
kwann asiende sasa?
Jeukiwa hauna mimba namume uliezininae yuataka kukuoa yakubaliwa
Shukrani shekh
Hiiii nikweli wabongo wanabishaaa
Sheikh allah ajaalieumli mlefu wenye manufaa
shehe huyu mtihani sana hivi hana fatwa zingine ambaxo zinavutia na kuhamasisha?
Wewe ndio mtihan hamfuatiliit mboni ananyingi tofaut nshizi zandoa
Kkkkkkkkk
Hasbuna llah waniima lwakiil
Kwa hiyo huyo mwanamke anaruhusiwa kuzini?na kama akithibitisha ni mimba ya zinaa nini kifuate kati ya huyu mzinifu ni hukmu au kufungishwa ndoa!.Na swali langu LA pili nini hukmu ya mZinifu ambae hajaoa au kuolewa?na mzinifu ambae ameoa au ameolewa?
MASHA ALLAH ALEIK
JazaAllah kheri
Jamani hiimimba niyako
Shekh na kama mwanamke amepata mimba nje ya ndoa na alie muoa ndy yuleyule aliempatia mimba je mtt akizaliwa mtt atakua upande gn wa haramu au halali?
Wa haramu bd sheikh kwasabsbu mimba imetunga kabla ya ndowa
Inaitwa Haramu kwasababu
Umetawaza kwanza
Halafu ndio ukanya
@@othmanhajj636 😂😂😂😂
Maashaallah
Amiin
Shehe wetu unapo sema hivyo unasababisha vijana kuzidisha zinaa tulikua tunaishi kwa nyumba yakupangisha kijana jiran mpangaji mwenzetu akaona nyumba nzima haina watu akamngojea dadangu kaenda kuonga akamvamia nakumbikiri alipinga kelele hakusaidika nakubeba mimba siku hiyo alikua hampendi yule kijana akanyamaza baada mimba ikajulikana kijana akakubali kumuoa hiyo ilisababisha na kijana makosa ni ya nani
Dah! pole iyo ishu ilitokea lini?
😁😁😁
nice
Huyu sheikh Allah amuongoze anatoa fatwa batili
Ameen mola atakabali dua yako
@@IzudinAlwyDin shekhe Mimi nlimpa mimba bint ktk zinaa na nkamuoa huyo huyo bint mimba ikiwa na miezi 4 hukm ya ndoa ikoje na vip kuhusu mtoto
Haahaha
Hii
Very misogynistic
sheikh apo bhana naona km umebugi kidogo...mimba ya alamu ina mwenyewe na mwenyewe ni mwanamke aliye ibeba...so anapaswa kushusha mzigo wake ndio aolewe
Ok, Pia mm nilikua naelwa hivo. Je uko na ushaidi wa usemayo?
@likoni tv 🤣🤣🤣🤣
Kwani waskiza mawaidha ukipeleka mbele...hujamskia ustadhi akisema mimba ni ya mwanamke
Bwegelanya khaido si amesema
Shekhe anazungumza kuhusu hadithi ya mtume inayosema usinosheleze miti ya mwenyewe. Elewa vizuri kaka. Kiswahili cha Amu chakutatiza
Mtihani
asya luay mtihani mkubwa, Allah atuepushe na haya mambo