KUMREGELEA MKE KATIKA EDA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 15

  • @ummukulthumazziz1921
    @ummukulthumazziz1921 3 года назад +3

    Asalam alleikum ukiachika taraka 1 inabid mum akuudumia au

  • @RahmaKassim-c5x
    @RahmaKassim-c5x Месяц назад

    Mume akikutamkia kuwa ikifika tarehe Fulani nitakuwa nimekurejea,jee imekubalika?

  • @shammoha5297
    @shammoha5297 5 лет назад +2

    Kkkkk loh😂! Uniache kisha unirejelee kw lazima? Mh! Jirekebishe kwanza otherwise😝

    • @algwiji
      @algwiji Год назад

      Kweli but ujue usharegelewa bila kurekebishwa

  • @ahmedanwar1210
    @ahmedanwar1210 Год назад

    Sheikh Izudin je wafaa kumregelea mkeo kabla ya eda kuisha

  • @khadijarashid9848
    @khadijarashid9848 3 года назад

    Salaam sheikh...naomba msaada wa hili kama mwanamke ameachika Talaka moja na ni mjamzito baada ya talaka tu mke akarudi kwao lkn mume wake akimkumbuka amfata kwao kisha wanashiriki tendo la ndoa bila kumwambia kama mke wangu nimekurejea(ndani ya eda) je hapo talaka bdo inaendelea ama inakuaje?

  • @abullahkabaka8774
    @abullahkabaka8774 3 года назад

    MASHA ALLAH ALEIK

  • @keymoneytracy5398
    @keymoneytracy5398 4 года назад

    Je mume akiwa yeye ndie aliye muacha mke wake kwa talaka tatu aweza kumurudia akiwa katika eda?

  • @nahyaally6100
    @nahyaally6100 4 года назад

    Legelea😁😁😁😁

  • @ummukulthumazziz1921
    @ummukulthumazziz1921 3 года назад

    Je mume anaweza kukup taraka kwa kumkaid kitu mfan amekuambia ukija njo nakit furan ww hutak kwenda nach je ilo inawez ikaw sabab ya kukup taraka

    • @algwiji
      @algwiji Год назад

      Yes talaka inapita

  • @zoonaruqashi700
    @zoonaruqashi700 5 лет назад

    Jee talaka ndani ya eda inaswehi yan mtu amekuacha talaka moja halafu hajakurejea akakuacha tena yan akakumalizia talaka zilizobaki inaswehi au vp