Salaam sheikh...naomba msaada wa hili kama mwanamke ameachika Talaka moja na ni mjamzito baada ya talaka tu mke akarudi kwao lkn mume wake akimkumbuka amfata kwao kisha wanashiriki tendo la ndoa bila kumwambia kama mke wangu nimekurejea(ndani ya eda) je hapo talaka bdo inaendelea ama inakuaje?
Asalam alleikum ukiachika taraka 1 inabid mum akuudumia au
Mume akikutamkia kuwa ikifika tarehe Fulani nitakuwa nimekurejea,jee imekubalika?
Kkkkk loh😂! Uniache kisha unirejelee kw lazima? Mh! Jirekebishe kwanza otherwise😝
Kweli but ujue usharegelewa bila kurekebishwa
Sheikh Izudin je wafaa kumregelea mkeo kabla ya eda kuisha
Salaam sheikh...naomba msaada wa hili kama mwanamke ameachika Talaka moja na ni mjamzito baada ya talaka tu mke akarudi kwao lkn mume wake akimkumbuka amfata kwao kisha wanashiriki tendo la ndoa bila kumwambia kama mke wangu nimekurejea(ndani ya eda) je hapo talaka bdo inaendelea ama inakuaje?
MASHA ALLAH ALEIK
Je mume akiwa yeye ndie aliye muacha mke wake kwa talaka tatu aweza kumurudia akiwa katika eda?
Haiwezekni
Ashamaliza talaka3 hawezi kurudiana
Legelea😁😁😁😁
Je mume anaweza kukup taraka kwa kumkaid kitu mfan amekuambia ukija njo nakit furan ww hutak kwenda nach je ilo inawez ikaw sabab ya kukup taraka
Yes talaka inapita
Jee talaka ndani ya eda inaswehi yan mtu amekuacha talaka moja halafu hajakurejea akakuacha tena yan akakumalizia talaka zilizobaki inaswehi au vp
Hapana mpaka umrejee ndo unampa nyingine