MKE KUOMBA TALAKA BILA YA SABABU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 49

  • @maulidjumaya2129
    @maulidjumaya2129 4 года назад +3

    Mm mume wangu akipata mwanamke wainje mm kwangu ndani ninakua namabadiliko na akijua tu nimeshajua mambo yake ananitukana matusi na hata watoto wangu kwakua anichukia mimi na hata watoto pia anawachukia nakuwatangazia mambo watoto wake mbali na hayo akangura mwenyewe bila kuangalia nyumba na bila yakufikiri nyumba niyakukondi nikatolewa nyumba na watoto hapo ndio maisha yakawa man gumu nikasaidiwa na watu kunisitiri kwakua nimefukuzwa nyumba pia akasema walio ni saidia ndio waume wangu Mara mume hatoi chakula walahasaidii nikituma watoto awape mapeni angalau yaungaanasema hana hapo ndio mawazo wa matatizo maisha yakawa man gumu akiulwa a nasema amenipa talaka badae akatuma a barua ya talaka mm nimeikataa nilitaka anirudishe kwa wazazi Bali ilikua ngumu kwakua nimjini maisha yakawa man gumu nanilikuwa na mtoto wasekondari nakatwa mtoto amekuwa hasomiwalioko shule ya chini nao pia ikawa mambo Yao yameisha Nikamua niuze vitu vyote nipatie tkt nanikarudi na simara moja hunipa barua ya talaka kutoka 2012 hadi 2019 mtoto wakwaza nmefundisha akamaliza shule nawapili pia akamaliza na kwakua ameniacha nahakurudi Tena kwetu mm nikawanatafuta maisha yangu nikaenda kwa kadhi fulani nikamuelezea kama niko Sawa nimeachika akaniambia anamahitaji afike kwake alipo muita hakuja naakamuelezea ya kwake kadhi akasema nifungue file nimuite mm nikaona huyo kadhi Kuna vyenye wameongea nataka kuninyima haki Sasa kwakua alinitumia barua ya talaka nahana hana umuhimu na mm nikatolewa kwa sababu amasema hajaniacha kwakua amesema tu mm Nikamua namoyo wangu sitaki Tena amenichukiza akiwa hana mm nimke mazuri akipata mwengine nihivyo maisha niyakujilea Sasa Nikamua kuolewa kwakua mm nimeamini nimeachika na yeye anasema kwa watu kama hajaniacha je shekhe hapo nivipi na Sahii niko na ndoa nimefanya makosa naomba kujua ati sijaachika?

    • @ahmedjuma2674
      @ahmedjuma2674 3 года назад

      Pole sana pia kuwa mvumilivu ikiski atabadlika muombee kwa mungua ambadilishe

  • @mwanasitiali6885
    @mwanasitiali6885 Год назад

    Assalamu alaikum je mwanaume akikwambia najuta kukuoa ww je ndoa bado ipo ama umeachika?

  • @blackbeauty850
    @blackbeauty850 Год назад

    Sheikh hapo kidogo Kuna ugumu ,nnge omba mazungumzo nawe InshaAllah

  • @MohammedUssi-v5j
    @MohammedUssi-v5j Год назад

    She assalam alaykum hili uliloongea swadakta mm nishaenda kwa kadhi kwa sababu maalum ambayo yy hawezi bisha kwailo jongoo hapandi mlima nna mwezi wapili napangiwa hajapeleka mjibu aloulizwa kunapangwa tarehe hiyo haki siwaelewi haha wat kwakweli

  • @rahmaalsaadi5107
    @rahmaalsaadi5107 5 лет назад +1

    Asalam aleikum shehe wangu mm nina tatizo na mume wangu waze wake hawanitaki wote na kunitusi mm na mama angu na kuniona sifai kwao sasa nimechoka kaniacha mjazito ila waze wake wamekata mimba na mm nimechoka sasa naitaji aniache waze wake wamemuachia radhi muache mke hatumtaki je shehe siwezi tena kuendelea na ndoa hii sina amani nayo je talaka inasihi ukiwa mjazito ila napo mdai matumizi ya watoto wake hatimizi nifanye nn na hataki kutoa talaka na mm siwezi tena nipe wazo shehe wangu

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  5 лет назад

      Talaka akikupa itapita bila ya wasiwasi . Na matumizi nilazima akupe mpaka uzae sawa nimke aw bado una mimba ila ikiwa mume akiikataa hio mimba kwa njia zitakiwazo ndio haitamlazimu kukutazama ww lakini watoto wake nilazma awatazame .
      Nakama hataki kukuwacha nenda kwa kadhi aw kwa shekhe alio wafungisha ndoa akuachishe

    • @rahmaalsaadi5107
      @rahmaalsaadi5107 5 лет назад

      wasalam shehe wangu bado mm sija zaa na mume wangu ni mbishi sana wa kutoa talaka kauli yake anasema nikisha kuza ndio ataitoa ndio nagoja Allah anifikishe salama nijifungue salama ila matumizi hadi umwambie waze wake hawataki ndoa na mimba walikata wao ila mtoto wao kakiri kua mimba yale ila bada ya kutoka kaka angu na mjomba angu kwenda kuongea nawo ndo walipo jua kua mm mjazito ila wajui na matusi tele kunitukana mm na mama angu na mm siwezi tena kuendelea na ndoa hii family yake sio watu wazuri kwangu tena

    • @rahmaalsaadi5107
      @rahmaalsaadi5107 5 лет назад

      Mimba walikata kua sio ya mtoto wao ila mtoto wao kakiri kua mimba yake ila bada ya kutoka jama zangu kwenda ndipo waze walijua na mume wangu kukiri ila kasema mimba ni yangu na nilikua namchukua naenda naye kwa rafiki yangu na wakati siku 10 kalala kwetu ila kaficha anawaficha kila jambo nadhani isinge kua jama zangu waze wake wasinge jua kua mm mjazito adi ningezaa wallah sijui vp mume wangu huyu simulewi

  • @BiamuJH-zh8xo
    @BiamuJH-zh8xo Год назад

    Je shehe nawaume je akikuchoka na hakupita tena haki yako ya msingi yaani tendo je yafaa kudaitalaka suluhu hataki ali itwa hafiki wani saidi aje hapo

  • @mohammedousisaid4243
    @mohammedousisaid4243 2 года назад

    Ma sha Allah,

  • @hindisaid2413
    @hindisaid2413 3 года назад

    Nenda Rudi inatoa nafasi kujirekebisha.kwani moyo unageuka

  • @nafymalsalum3358
    @nafymalsalum3358 4 года назад

    Salam alaikum sheikh.... mfano mume akakuambia ukinifanya kitu flani mm bila kujua ndio talaka yako hio lakin yy kaongea vile hayupo sirius kaongea kwa sabab ya wivu na vitisho vyake tu ili uogope sio kwamba alkua anamaanisha kweli ika.... ikatokea siku ukafanya yule mume ikatokea siku akakuudhi sana ukashindwa kuvumilia ukafanya kile alichokukataza je hapo ndio kushaachika? Ila hilo jambo sio katika zinaa wala shirq naomba msaada wako sheikh

  • @abdulqareemabdala2772
    @abdulqareemabdala2772 5 лет назад +2

    Shee wangu wanikosha sanaa unasema ukweli alaah azidi kukupa afya tele

  • @keamohamedkhamis
    @keamohamedkhamis 2 года назад

    mke umemuoa kisha uja mpa mahari na umemuoa kisheria kisha aseme haondoke bila kumpa talaka vpi hapo yata kuwaje

  • @farajihalfani4407
    @farajihalfani4407 5 лет назад +1

    Shehe uko vizuri sana

  • @mohammedahmex9961
    @mohammedahmex9961 4 года назад

    BARAKA LLAHU FIK

  • @maulidjumaya2129
    @maulidjumaya2129 4 года назад

    Asalam alaikum warahamatullahi wabarakat niko na swali hapo kwa talaka naomba kk uliza shekhe lkn je naweza

  • @basharmohamed4806
    @basharmohamed4806 5 лет назад

    Asalam aleykum sheikh.mimi nilimpiga mke wangu kwa kutaka kuondoka na mtoto wa 5 months bila ya ruksa yangu.mama yake na dada yake wakaja kumchukua tokea april.yeye adai talaka na mimi sitaki kutoa..hivi sasa chuki aliyekuwa nae siyo kumpiga tena ila ni fitna ya dada yake kunisingizia uongo ati mimi nimemtusi na kumchonganisha na mumeo

  • @abullahkabaka8774
    @abullahkabaka8774 4 года назад

    MASHA ALLAH ALEIK

  • @allyboy7162
    @allyboy7162 3 года назад

    Asalam Alykum VP binti kuomba talaka Kwa mume alielazimishwa na wazazi wake Kwa kutompenda ili aolewe na Yule alimridhia nin hukmu yake

  • @saidsahd1971
    @saidsahd1971 5 лет назад

    Hahahahahaaaa unanifurahisha sana

  • @i.dclassic116
    @i.dclassic116 5 лет назад +1

    Shee umenifunza kitu

  • @jumaaabdalla1164
    @jumaaabdalla1164 4 года назад

    😍😍😍😍

  • @abullahkabaka8774
    @abullahkabaka8774 5 лет назад

    MASHALLAH

  • @balkissbalbalkis7872
    @balkissbalbalkis7872 5 лет назад

    Mashallah

  • @nusralilobwa4752
    @nusralilobwa4752 6 лет назад

    Shukrani kwa kutuelimisha

  • @rahmaalsaadi5107
    @rahmaalsaadi5107 5 лет назад

    Waze wamekata mimba na baba ake kakata mimba kua sio ya mtoto wao msikini na mume anakuja kwetu kisiri siri waze hana mapenzi na mm na yeye alinipiga mm ndio kosa nilo ondoka je nisaidie nifanye nn apa na upo enda mahaka mani ana lete maneno tele ila tu anikomoe kuniacha haniachi talaka hatoi na amani ya ndoa haio mm sina hamu na ndoa nisaidie wazo

  • @FatmaFatma-kt1or
    @FatmaFatma-kt1or 5 лет назад +1

    Shukran umenifunza

  • @munnirmfinanga4444
    @munnirmfinanga4444 6 лет назад

    jazakallah kheir

  • @nauthaltanga1396
    @nauthaltanga1396 5 лет назад

    Asante

  • @mwaijasaidy4844
    @mwaijasaidy4844 5 лет назад

    mashaallah

  • @feruzikweka4593
    @feruzikweka4593 5 лет назад

    shukran

  • @francismusembi5519
    @francismusembi5519 5 лет назад

    kumbukumbu sawa kabisa

  • @a.856
    @a.856 6 лет назад +1

    Mtihan shukran

  • @tumtumkhan3115
    @tumtumkhan3115 5 лет назад

    Shehe nikweli maneno yako huko kwa kadhi watu huwenda wakirudishwa waeza maliza miaka 2 haswaa na hakuna suluhisho

  • @habibustadh1146
    @habibustadh1146 6 лет назад

    Mashaaal

  • @iddysaidy2506
    @iddysaidy2506 5 лет назад

    msema kweli

  • @ashagomesa9221
    @ashagomesa9221 5 лет назад

    shee ukovizuri

  • @Muhammad-g1n8d
    @Muhammad-g1n8d 3 года назад

    sheikh hayo maneno yako yako na mushkil.vp Mtume aseme kua akiomba talaka bila sababu mpaka mwisho wa hadith ..kisha wewe wasema kutopenda tu ni sababu?sasa mtume alijisemea tu maneno akipuzukwa??nipe situation ambayo hiyo hadithi ya makemeo ya mtume itafanya kazi!

  • @mwaijasaidy4844
    @mwaijasaidy4844 5 лет назад

    Qaida

  • @omarymajiwa3714
    @omarymajiwa3714 5 лет назад

    Unaweza kumpa talaka mwanamke kwa njia ya sms