Sote hatuna uhakika wakuwa alikuwa bikra zaidi ya yy na huyo kijana huyo kijana kafanya makosa kwann ali mchukua kabla ya harusi kama alikuwa ataka bikira na stara angengoja mpka aozeshwe alafu aseme hayuko sawa tutakubali lkn kamchukua bila yamtu kujua kaenda kamharibu saiiasema sie muongo yy ndie alimuharibu na ana jukumu kwa mungu alijue hilo na hatowai pata bikra mpka anakufa labda awe dada ni muongo kilicho mfanya atume ujumbe nn si msichana ana wazazi kkaharibu aina aibu akwende zake adhabu aitamshukiq kama anadangaya huyo kijana
Awe bikra asiwe bkra kwann kamchukua kabla ya harusi siangengoja siku ikifika akimpata sio bikra amrudishe sasa kama yy ndio kambikiri asituletee huyo mume malaya
Na uyo mvulana Pia Kapata Dhambi,mbona Amfedhehesheee mwenziwe,baada ya Kumuingilia SI Angemtumia Io message ,Akasubiria Siku ya Harusiii ndio Awatie Wenziwe fedhehaaaa
Labda nikwambie tu kama hujawahi kulala na mwanamke utapata bikra ila ....kama ushawah fanya mke wa mtu wa badae na wako wanamla labda uje uoe .....mtt mdogo na ndo nyie mnadanganya wanafunzi halafu bikra sio kuolewa ingekua bikra kuolewa bhas wanawake wote wangeolewa
Bikra si mwana mke tu lazima na wana ume naye aawe bikra walishikiliya mwana mke. Wanaume wazini alafu atafute bikra Someni surah Nuur ndiyo mta pata majibu
Watoto wa kike wanazaliwa kila siku,BIKRA zinazaliwa kila siku,zinapotelea katikati kwa ajili ya tabia kama hizi,,,wahimizeni watoto wenu wa kike wajistiri,...na uongo muache ,angesema ukweli kwamba yy sio bikra jamaa ajue cha kufanya...Mwanaume yupo right hajakosea popote.,kosea kujenga sio kuoa.....
Hapana hata tukija kidini mwanaume kakosea hakupaswa kumwingilia kuzini na Binti halafu ndo amkatae hiyo mwanaume pia sie hata Allah s w.kasema hakika mzinifu ataoa mzinifu mwenzie ama mshirikina hivi nyie hamjiulizi ukiwa huyo Bwana harusi kapata ujasir wa kumwingilia Binti wa watu bila uoga na kusema sijamkuta bikra je jiulizeni asshawaingilia wangapi na kiharibu bikra zao waharibifu ndo hao hao na wanajitia kuchagua abadan asilan hawezi pata mschana wakati kasha haribu waschana wa watu wengi
Hapo nilicho gundua jamaa Alipo muingia Akaona mwana Mke kavurugwa Sana tena nyang'a nyang'a ndio maana jamaa kasepa, Hata mimi ukiwa unatoa maji ovyo sikuhitaji.
Xx siangesema ukweli kwann alidanganya hapo kosa lke ni kudanganya na kwann alikubali kulala nae kabla hajamuoa na yy anajua si bikra angengoja tu akajua baada ya ndoa ila poleni ni mitihani ya maisha hiyo Inshaallah atapata iliyo kheri yke huyo hakuwa kheri yke ila na yy hilo.ni funzo siku nyingine aongee tu ukweli na asikubali kulala mpaka ndoa ipite
Mm kama mwanaume ,Tatizo ninaloliona hapo ni uongo wa bibi harusi .kwa nini adanganye kuwa ni bikra wakati sio bikra ,haiwezikani mtu yuko seriou na mahusiano mpaka kiasi cha kutaka kukuoa alafu unamdanganya kitu serious kama hicho.Mm pia nilibreak na mchumba wangu kisa ya kuniambia hana mtoto kumbe alikuwa na watoto wawili amewaficha hataki nijue .
hio ndio faida ya uongo kudanganya inamaana gani sasa haya kashaingiliwa tayari na mchumba bs akae atulie limemshuka shuu nahata kama angekua bikra huyo mwanaume ni mshenzi pia
Weeeeeh bkra zimeogaaaah weeeh zakutosha daaah kwenda uko muwone ety ng*ong*oeeeeeh aloooh kama weeh ulivunjwa ukiwa bad san ahahhaha umedodaaaah ahahahahahah😂😂😂
Inshu Apo sio bikra ,inshu Ni kwann bint adanganye
Kwel kbsa si angeongea ukwel tu
Sote hatuna uhakika wakuwa alikuwa bikra zaidi ya yy na huyo kijana huyo kijana kafanya makosa kwann ali mchukua kabla ya harusi kama alikuwa ataka bikira na stara angengoja mpka aozeshwe alafu aseme hayuko sawa tutakubali lkn kamchukua bila yamtu kujua kaenda kamharibu saiiasema sie muongo yy ndie alimuharibu na ana jukumu kwa mungu alijue hilo na hatowai pata bikra mpka anakufa labda awe dada ni muongo kilicho mfanya atume ujumbe nn si msichana ana wazazi kkaharibu aina aibu akwende zake adhabu aitamshukiq kama anadangaya huyo kijana
@@kadijaa7771Hata labda alimpata bikra akamtoa hiyo bikra na akaamua kumuacha hakua na mpango wa kumuoa alitaka tu amchezee
@@user-xo7ns7bc8c yeah na nimskosa aliyo yafanya
Wembe ni ule ule no bikra no marriage...mbona alimdanganya😂😂😂
Bikra wapo wengi mno...acheni Malaya wenu mabikra wapo.....😂
Aodoke. Naye
Amn bkr😅😅😅
Kweli
MABIKRA WAPO WENGI BWANA, ACHENI KUSEMA AKUNA BIKRA KARNE HII
😂😂😂😂😂😂😂😂kumbe sio Bikra Khaaa amuoe nan
Mabikra wapo bwana labda kwenu huku ndio hawapo
Awe bikra asiwe bkra kwann kamchukua kabla ya harusi siangengoja siku ikifika akimpata sio bikra amrudishe sasa kama yy ndio kambikiri asituletee huyo mume malaya
bikraaa imeenda wapi🤣🤣🤣
uwongo so mzuri dada angu. na unamuaje kufanya mapenzi kabla ya ndoa, yote kwayote mmekutana nauyo bwanaako haziwatoshi, kingine wanaume wenzangu ukitaka kuoa usioje nidhambi. mwanamke sio karanga kusema uonje ukikuta Tamu ndo ununue, kingine alipasa amsamehe na wafunge ndoa kama walivo kubariana sio kusema nimekuta sio bikla, ukumbuke we mwanaume pia unamakosa. unamnyanyasa kisa anakitobo we unamua kusema hatuwezi kujua we umetembea na wanawake wanagapi. kama niivo tengeneza wako ujikadilie bikla. alicho kifanya huyo jamaa si kizuri. binafsi sijapenda
Kmla af ansem co bikr nyooo uyo mkk alaaniweee😢😢😢
Inaonyesha hampendi juu angekua yuampenda isingekua sababu ya kumuacha
KOSA LA BINTI KUMDANGAYA BWANA NA PENGINE HAKUPATA ALICHOTARAJIA WAKATI WA MIZAGAMUANO
Mzagamuo hakuridhika nao!!!
Bkra wapo bwana sema wachache sana
Nyie mashangingi mtafutieni bikra aolewe 😂😂😂😂😂
Na uyo mvulana Pia Kapata Dhambi,mbona Amfedhehesheee mwenziwe,baada ya Kumuingilia SI Angemtumia Io message ,Akasubiria Siku ya Harusiii ndio Awatie Wenziwe fedhehaaaa
Kwanini adanganye?
Kosa kumdanganya Bora asinge Sema uwongo
Safi kwann ana bikira anamdangany
ndio kabisa hamna arsi why adanganye
Kwnn adanganye yeye bikra ,kaka nenda kabisa ameanza uongo mapema shenzi
Ila mwanaume mshenzi kamla kwanza Kisha amkatae
Niaibu kubwa kwa mwanamke
Bwana harus mshenz
Ni sahihi kabisa kwann adanganye
Mbn bikiraaaaaaaa😅😅😅😅😅😅😅😅uwiiiii jmn jmn
Thanks for the comment.
Mtushushie video nzima yaani yote
Hiyo ndio bongo
Mbona adaganye , huyo hafai mke
Sasa kamudanganya nini saangesubiri mpaka aolewe😢😢😢😂😂
Bibi harusi Ana shimo huyo mamamamamma................😂😂😂😂😂😂😂
Kwann wameingiliana sasa kabla ya ndoa
test drive😂😂
Heeeee huyo kaka mshenz
Mabikra bado wapo, hawa onekani 2, ila dah! So powa😂
Poleni
Wasio julikana wamepita na bikra ya binti
Walizini kabla ya ndoa ,ndio Mana mungu amekasilika na kuitoa bikla laana hio
Safi
.big up sana mwamba tunataka bikra
Labda nikwambie tu kama hujawahi kulala na mwanamke utapata bikra ila ....kama ushawah fanya mke wa mtu wa badae na wako wanamla labda uje uoe .....mtt mdogo na ndo nyie mnadanganya wanafunzi halafu bikra sio kuolewa ingekua bikra kuolewa bhas wanawake wote wangeolewa
Kwa maana hakuna mwanamke aliezaliwa akiwa hana bikra. Hakumpenda tuu
Kwani hizo bikra zinatolewa na wanawake wenzao 😮😮😮 kwanza huo ni udhalilishaji 😮😮 haikuwa na sababu ya kumuanika huyo binti mitandaoni jamani.
Njoo pemba bikra kibao
🤣🤣🤣🤣 Karne yasashv bikra unatoa wapi😂 nayeye kwann adanganye
Hyo ndo ttz mwanmk
Bikra wako kama ww sio bikra ni ww
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 napita bi harsi enyewe ndo huyo mzee acheni utani bc
Sasa yeye mweyewe huyo bwana bikira??????
si shida nipeni mm nitamuowa bora maharishi yasiwe mengi
😂😂😂😂😂 my country.
Akamatwe huyo
Kumbe mahar keshatowa😂😂😂acha aende zake ila mwanaum ana makosa
Atakama sio bikra kwanini adanganye
Camera man knew the assignment any Ugandans 🇺🇬 here
Subiri tujionee na mengine
Mambo yamechemka mmezoea ukilwa ovyo sasa bikra mmebakiza za nyuma tu
Mmh muache tamaa Kwan angesema ukwel yangetokea yotee😢 hayoo
Kwenye kikao cha wanawake tulisema tukidanganya bikra hakuna kutoa k hadi harusi ipite sa imekuwaje 😂😂😂
Aaaah mabikira wapo, ILA huyo jamaa yeye vp
Aliye mtoa anawa zoom
Janja ataka bikra au ataka mke kuna wengine twataka wake tuowe uku
Kkkkkkkkkkkkkk inamana wetoto wakike wameanza kuzaliwa bila bikra? Watanzania nyinyi
Sindoapo dunia ya saiv huwez kupata bikra naata angaika sana hawaz kupata mwanamke bikra
Mh noma sana
Bikra si mwana mke tu lazima na wana ume naye aawe bikra walishikiliya mwana mke. Wanaume wazini alafu atafute bikra
Someni surah Nuur ndiyo mta pata majibu
Kaeni nao mzoga wenu huo
Acheni uzembe. Kama si bikra âme yakanyaga. Pole kwake.vilo ni fundisho. Apo namupa iyo Kaka kumi ju yakumi
😂😂😂😂😂
Watoto wa kike wanazaliwa kila siku,BIKRA zinazaliwa kila siku,zinapotelea katikati kwa ajili ya tabia kama hizi,,,wahimizeni watoto wenu wa kike wajistiri,...na uongo muache ,angesema ukweli kwamba yy sio bikra jamaa ajue cha kufanya...Mwanaume yupo right hajakosea popote.,kosea kujenga sio kuoa.....
Hahaha kosea kujenga, sio kuoa...
Hapana hata tukija kidini mwanaume kakosea hakupaswa kumwingilia kuzini na Binti halafu ndo amkatae hiyo mwanaume pia sie hata Allah s w.kasema hakika mzinifu ataoa mzinifu mwenzie ama mshirikina hivi nyie hamjiulizi ukiwa huyo Bwana harusi kapata ujasir wa kumwingilia Binti wa watu bila uoga na kusema sijamkuta bikra je jiulizeni asshawaingilia wangapi na kiharibu bikra zao waharibifu ndo hao hao na wanajitia kuchagua abadan asilan hawezi pata mschana wakati kasha haribu waschana wa watu wengi
Hapo nilicho gundua jamaa Alipo muingia Akaona mwana Mke kavurugwa Sana tena nyang'a nyang'a ndio maana jamaa kasepa, Hata mimi ukiwa unatoa maji ovyo sikuhitaji.
Xx siangesema ukweli kwann alidanganya hapo kosa lke ni kudanganya na kwann alikubali kulala nae kabla hajamuoa na yy anajua si bikra angengoja tu akajua baada ya ndoa ila poleni ni mitihani ya maisha hiyo Inshaallah atapata iliyo kheri yke huyo hakuwa kheri yke ila na yy hilo.ni funzo siku nyingine aongee tu ukweli na asikubali kulala mpaka ndoa ipite
Akitaka bikra asuburi mwenye ako tumboni sai
Sasa bwanaharusi alivomwingilia kimwili sindo kamtoa bikra au kapiteje 🤨🤨
Bikra wapo tena wapo weengi tuu...njooni Zanzibar
🤣🤣🤣🤣
Apana,ishu sio bikra,,,ishu ni,,,mbona akadanganya?naomba jibu
Kwa nn adanganye. Bwana harussi sio shida kama mahari alitoa na vinginevyo
Tatizo sio bakra k inamaji xana
😂😂😂😂
Mm kama mwanaume ,Tatizo ninaloliona hapo ni uongo wa bibi harusi .kwa nini adanganye kuwa ni bikra wakati sio bikra ,haiwezikani mtu yuko seriou na mahusiano mpaka kiasi cha kutaka kukuoa alafu unamdanganya kitu serious kama hicho.Mm pia nilibreak na mchumba wangu kisa ya kuniambia hana mtoto kumbe alikuwa na watoto wawili amewaficha hataki nijue .
Bakra amepeleka wap.akaolewe alikopeleka bakra.mnasingizia karne umalaya tu
uyo biarus kama ameamua kudanganya asinge mpa kitumbua haja tulia dada
akiwa amedanganya saivi hataacha kuendelea kudanganya
bikra zipo kila kona wenye hawna wabaki kwao
Mimi ningempakia super glue akenda akang'ang'ana ndio ajue hajawahi ona bikra kama hii😂😂😂😂😂😂😂😂
We mwehu kweliii😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 kumbe we mwehu kama mimi eeeh yaaan mie ningetia gundi kabisaah yaan mpka aseme mtoto katulia😂😂😂😂
😂😂😂😂 mie ningetia ngundi kabisaaa yaan ndo atajua vizur bikra ya kizungu😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌
@@user-pw2bl4qd8w Ni mpumbavu Sana alisikia wapi hizo bikra ambazo siku hizi hatuzaliwi nazo🤣🤣🤣🤣
Unataka bikra huku na ww siyo bikra
Jaman pole mwaya dada utapata 2 wako
bikra kibao na wengine tunaitiwa leo kesho tena na wazazi wao sio story story hizo. watu waache uzinzi wasisingizie hakuna bikra
Nonsense
Walipokutana wameendelea na nini kumbe bikra imeshaliwa kisha ndoa inavunjika kivipi ?
Na kaka naye ni Malaya ,just Marry dat gal 😂
duuuh
Uyo jamaa kama yeye ni bikra alijuaje mwenzio hana bikira wote waongo na wote walikuwa c bikra
kuleni wenyew utajuaaa
Niozesheni Mm
Haaaaaaaaaaaaa huyo mwanaume fala hachuwe mukewake plz
ee haache uongo
Sasa kwanini aliongea uongo na nyie wanawake kuweni wakweli
acheni aibu wa wa tanzania si issue yakueka mitandaoni uslamu haufundishi hivo
Je huyo mwanaume mbaka kufikiahapo hajawai kuingiliana na mwanamke aache ujinga
Bakra is typing.....😅😅😅😅
Mhhh
Lambda Bibi harusi akuwa anamaanisha bikra ya mkundu😅😅😅😅😅
Tatizo bindi yenu muongo kwnn aseme bikra 😅😅😅😅😅😅 mjifunze ht mm siwez kuowa Yan uwongo tu ht hatujaanza kuishi wote je tukianza kukaa p1
Muoeni nyie
Sasa kwa Nini alimundanganya?eti ni bikran
Mbona munamdhalilisha huyu binti? Kweli bora ukose mali kuliko kukosa akili. Ukivuliwa nguo chutama.
Mh atari
hio ndio faida ya uongo kudanganya inamaana gani sasa haya kashaingiliwa tayari na mchumba bs akae atulie limemshuka shuu nahata kama angekua bikra huyo mwanaume ni mshenzi pia
Ni uzalilishaji wa ngono kama pdd alivyo fanya
Weeeeeh bkra zimeogaaaah weeeh zakutosha daaah kwenda uko muwone ety ng*ong*oeeeeeh aloooh kama weeh ulivunjwa ukiwa bad san ahahhaha umedodaaaah ahahahahahah😂😂😂