Bi Harusi aikosa ndoa kisa sio bikra

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 апр 2024
  • Follow us:
    ___________________________
    Instagram / ophorotube
    _______
    Facebook / ophoromedia
    ________
    Tiktok / ophorotube
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 172

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 Месяц назад +26

    Inshu Apo sio bikra ,inshu Ni kwann bint adanganye

    • @happiness.focus.8023
      @happiness.focus.8023 Месяц назад +2

      Kwel kbsa si angeongea ukwel tu

    • @kadijaa7771
      @kadijaa7771 26 дней назад +1

      Sote hatuna uhakika wakuwa alikuwa bikra zaidi ya yy na huyo kijana huyo kijana kafanya makosa kwann ali mchukua kabla ya harusi kama alikuwa ataka bikira na stara angengoja mpka aozeshwe alafu aseme hayuko sawa tutakubali lkn kamchukua bila yamtu kujua kaenda kamharibu saiiasema sie muongo yy ndie alimuharibu na ana jukumu kwa mungu alijue hilo na hatowai pata bikra mpka anakufa labda awe dada ni muongo kilicho mfanya atume ujumbe nn si msichana ana wazazi kkaharibu aina aibu akwende zake adhabu aitamshukiq kama anadangaya huyo kijana

    • @user-xo7ns7bc8c
      @user-xo7ns7bc8c 19 дней назад

      ​@@kadijaa7771Hata labda alimpata bikra akamtoa hiyo bikra na akaamua kumuacha hakua na mpango wa kumuoa alitaka tu amchezee

    • @kadijaa7771
      @kadijaa7771 19 дней назад

      @@user-xo7ns7bc8c yeah na nimskosa aliyo yafanya

  • @ramak.9587
    @ramak.9587 Месяц назад +12

    Wembe ni ule ule no bikra no marriage...mbona alimdanganya😂😂😂

  • @chemstry409
    @chemstry409 Месяц назад +17

    Bikra wapo wengi mno...acheni Malaya wenu mabikra wapo.....😂

  • @barakamwango
    @barakamwango Месяц назад +6

    😂😂😂😂😂😂😂😂kumbe sio Bikra Khaaa amuoe nan

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Месяц назад +7

    Mabikra wapo bwana labda kwenu huku ndio hawapo

  • @kadijaa7771
    @kadijaa7771 27 дней назад +4

    Awe bikra asiwe bkra kwann kamchukua kabla ya harusi siangengoja siku ikifika akimpata sio bikra amrudishe sasa kama yy ndio kambikiri asituletee huyo mume malaya

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws Месяц назад +4

    bikraaa imeenda wapi🤣🤣🤣

  • @madahaayoub107
    @madahaayoub107 Месяц назад +4

    uwongo so mzuri dada angu. na unamuaje kufanya mapenzi kabla ya ndoa, yote kwayote mmekutana nauyo bwanaako haziwatoshi, kingine wanaume wenzangu ukitaka kuoa usioje nidhambi. mwanamke sio karanga kusema uonje ukikuta Tamu ndo ununue, kingine alipasa amsamehe na wafunge ndoa kama walivo kubariana sio kusema nimekuta sio bikla, ukumbuke we mwanaume pia unamakosa. unamnyanyasa kisa anakitobo we unamua kusema hatuwezi kujua we umetembea na wanawake wanagapi. kama niivo tengeneza wako ujikadilie bikla. alicho kifanya huyo jamaa si kizuri. binafsi sijapenda

    • @SarahIbrahim-qn1eg
      @SarahIbrahim-qn1eg 19 дней назад

      Kmla af ansem co bikr nyooo uyo mkk alaaniweee😢😢😢

    • @user-xo7ns7bc8c
      @user-xo7ns7bc8c 19 дней назад

      Inaonyesha hampendi juu angekua yuampenda isingekua sababu ya kumuacha

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Месяц назад +5

    KOSA LA BINTI KUMDANGAYA BWANA NA PENGINE HAKUPATA ALICHOTARAJIA WAKATI WA MIZAGAMUANO

  • @user-qe8so8ce3n
    @user-qe8so8ce3n Месяц назад +12

    Bkra wapo bwana sema wachache sana

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 Месяц назад +1

    Nyie mashangingi mtafutieni bikra aolewe 😂😂😂😂😂

  • @mwanashaali1109
    @mwanashaali1109 Месяц назад +6

    Na uyo mvulana Pia Kapata Dhambi,mbona Amfedhehesheee mwenziwe,baada ya Kumuingilia SI Angemtumia Io message ,Akasubiria Siku ya Harusiii ndio Awatie Wenziwe fedhehaaaa

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d 14 дней назад +1

    Kosa kumdanganya Bora asinge Sema uwongo

  • @EmanuelMelau-wv2it
    @EmanuelMelau-wv2it Месяц назад +4

    Safi kwann ana bikira anamdangany

    • @TaadudTaadud
      @TaadudTaadud 26 дней назад

      ndio kabisa hamna arsi why adanganye

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 15 дней назад +1

    Kwnn adanganye yeye bikra ,kaka nenda kabisa ameanza uongo mapema shenzi

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d 14 дней назад +1

    Ila mwanaume mshenzi kamla kwanza Kisha amkatae

  • @ramadhanjefwa9879
    @ramadhanjefwa9879 Месяц назад +3

    Niaibu kubwa kwa mwanamke

  • @AminaAmina-pc5ke
    @AminaAmina-pc5ke Месяц назад +1

    Bwana harus mshenz

  • @jwisetv4833
    @jwisetv4833 Месяц назад +1

    Ni sahihi kabisa kwann adanganye

  • @SarahIbrahim-qn1eg
    @SarahIbrahim-qn1eg 19 дней назад +1

    Mbn bikiraaaaaaaa😅😅😅😅😅😅😅😅uwiiiii jmn jmn

    • @OphoroTube
      @OphoroTube  11 дней назад

      Thanks for the comment.

  • @NiyibiziAlbert-kv1th
    @NiyibiziAlbert-kv1th 24 дня назад

    Mtushushie video nzima yaani yote

  • @naimatemba8061
    @naimatemba8061 26 дней назад

    Hiyo ndio bongo

  • @BenardKaranja-fs6oo
    @BenardKaranja-fs6oo Месяц назад +1

    Mbona adaganye , huyo hafai mke

  • @abdulschannel7937
    @abdulschannel7937 29 дней назад

    Sasa kamudanganya nini saangesubiri mpaka aolewe😢😢😢😂😂

  • @KombeNgari
    @KombeNgari 28 дней назад

    Bibi harusi Ana shimo huyo mamamamamma................😂😂😂😂😂😂😂

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Месяц назад +2

    Kwann wameingiliana sasa kabla ya ndoa

  • @gloriamwalongo3661
    @gloriamwalongo3661 Месяц назад

    Heeeee huyo kaka mshenz

  • @sabrinamsenga4351
    @sabrinamsenga4351 29 дней назад

    Mabikra bado wapo, hawa onekani 2, ila dah! So powa😂

  • @JumaaAbbas
    @JumaaAbbas 29 дней назад

    Poleni

  • @vardanmsigwa8595
    @vardanmsigwa8595 28 дней назад

    Wasio julikana wamepita na bikra ya binti

  • @majigeleonad1950
    @majigeleonad1950 27 дней назад

    Walizini kabla ya ndoa ,ndio Mana mungu amekasilika na kuitoa bikla laana hio

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 Месяц назад +1

    Safi

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 Месяц назад +4

    .big up sana mwamba tunataka bikra

    • @muntazrashid6321
      @muntazrashid6321 Месяц назад +1

      Labda nikwambie tu kama hujawahi kulala na mwanamke utapata bikra ila ....kama ushawah fanya mke wa mtu wa badae na wako wanamla labda uje uoe .....mtt mdogo na ndo nyie mnadanganya wanafunzi halafu bikra sio kuolewa ingekua bikra kuolewa bhas wanawake wote wangeolewa

    • @muntazrashid6321
      @muntazrashid6321 Месяц назад

      Kwa maana hakuna mwanamke aliezaliwa akiwa hana bikra. Hakumpenda tuu

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 Месяц назад

      Kwani hizo bikra zinatolewa na wanawake wenzao 😮😮😮 kwanza huo ni udhalilishaji 😮😮 haikuwa na sababu ya kumuanika huyo binti mitandaoni jamani.

  • @user-un3hr5kh6z
    @user-un3hr5kh6z 21 день назад

    Njoo pemba bikra kibao

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 25 дней назад

    🤣🤣🤣🤣 Karne yasashv bikra unatoa wapi😂 nayeye kwann adanganye

  • @KituruguMakanga
    @KituruguMakanga 26 дней назад

    Hyo ndo ttz mwanmk

  • @saba-gv3mj
    @saba-gv3mj Месяц назад +1

    Bikra wako kama ww sio bikra ni ww

  • @user-et8gn1cd9p
    @user-et8gn1cd9p Месяц назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 napita bi harsi enyewe ndo huyo mzee acheni utani bc

  • @vero57
    @vero57 Месяц назад +1

    Sasa yeye mweyewe huyo bwana bikira??????

  • @mohamedswaleh800
    @mohamedswaleh800 27 дней назад

    si shida nipeni mm nitamuowa bora maharishi yasiwe mengi

  • @amankagoma6895
    @amankagoma6895 29 дней назад

    😂😂😂😂😂 my country.

  • @elizabethchigua4675
    @elizabethchigua4675 29 дней назад

    Akamatwe huyo

  • @user-pu5hf9eg4w
    @user-pu5hf9eg4w Месяц назад

    Kumbe mahar keshatowa😂😂😂acha aende zake ila mwanaum ana makosa

  • @protasmtechula9163
    @protasmtechula9163 20 дней назад

    Atakama sio bikra kwanini adanganye

  • @kaddugrace168
    @kaddugrace168 Месяц назад

    Camera man knew the assignment any Ugandans 🇺🇬 here

  • @kulthumabdalla
    @kulthumabdalla Месяц назад

    Subiri tujionee na mengine

  • @godblesskulautepa1996
    @godblesskulautepa1996 27 дней назад

    Mambo yamechemka mmezoea ukilwa ovyo sasa bikra mmebakiza za nyuma tu

  • @MusaKadaby
    @MusaKadaby 29 дней назад

    Mmh muache tamaa Kwan angesema ukwel yangetokea yotee😢 hayoo

  • @annamarymakala1233
    @annamarymakala1233 Месяц назад

    Kwenye kikao cha wanawake tulisema tukidanganya bikra hakuna kutoa k hadi harusi ipite sa imekuwaje 😂😂😂

  • @user-uh3eg5cj2r
    @user-uh3eg5cj2r Месяц назад

    Aaaah mabikira wapo, ILA huyo jamaa yeye vp

  • @GraceBarabara
    @GraceBarabara Месяц назад

    Aliye mtoa anawa zoom

  • @YusufnduneJana
    @YusufnduneJana Месяц назад

    Janja ataka bikra au ataka mke kuna wengine twataka wake tuowe uku

  • @user-os1pd4fm1x
    @user-os1pd4fm1x 27 дней назад

    Kkkkkkkkkkkkkk inamana wetoto wakike wameanza kuzaliwa bila bikra? Watanzania nyinyi

  • @peterikobya1857
    @peterikobya1857 Месяц назад

    Sindoapo dunia ya saiv huwez kupata bikra naata angaika sana hawaz kupata mwanamke bikra

  • @ALEXLOTAN
    @ALEXLOTAN Месяц назад

    Mh noma sana

  • @salimamugeni3568
    @salimamugeni3568 27 дней назад

    Bikra si mwana mke tu lazima na wana ume naye aawe bikra walishikiliya mwana mke. Wanaume wazini alafu atafute bikra
    Someni surah Nuur ndiyo mta pata majibu

  • @IBRAHIMSULTANMALIK
    @IBRAHIMSULTANMALIK 23 дня назад

    Kaeni nao mzoga wenu huo

  • @user-ox6ow1zq9u
    @user-ox6ow1zq9u 27 дней назад

    Acheni uzembe. Kama si bikra âme yakanyaga. Pole kwake.vilo ni fundisho. Apo namupa iyo Kaka kumi ju yakumi

  • @IsmailIsmail-by7dm
    @IsmailIsmail-by7dm Месяц назад

    😂😂😂😂😂

  • @isayaambose219
    @isayaambose219 Месяц назад +2

    Watoto wa kike wanazaliwa kila siku,BIKRA zinazaliwa kila siku,zinapotelea katikati kwa ajili ya tabia kama hizi,,,wahimizeni watoto wenu wa kike wajistiri,...na uongo muache ,angesema ukweli kwamba yy sio bikra jamaa ajue cha kufanya...Mwanaume yupo right hajakosea popote.,kosea kujenga sio kuoa.....

    • @user-sh3tr8cm1v
      @user-sh3tr8cm1v Месяц назад

      Hahaha kosea kujenga, sio kuoa...

    • @OmanOma-xi3hm
      @OmanOma-xi3hm 16 дней назад

      Hapana hata tukija kidini mwanaume kakosea hakupaswa kumwingilia kuzini na Binti halafu ndo amkatae hiyo mwanaume pia sie hata Allah s w.kasema hakika mzinifu ataoa mzinifu mwenzie ama mshirikina hivi nyie hamjiulizi ukiwa huyo Bwana harusi kapata ujasir wa kumwingilia Binti wa watu bila uoga na kusema sijamkuta bikra je jiulizeni asshawaingilia wangapi na kiharibu bikra zao waharibifu ndo hao hao na wanajitia kuchagua abadan asilan hawezi pata mschana wakati kasha haribu waschana wa watu wengi

  • @samsonhaule3647
    @samsonhaule3647 23 дня назад

    Hapo nilicho gundua jamaa Alipo muingia Akaona mwana Mke kavurugwa Sana tena nyang'a nyang'a ndio maana jamaa kasepa, Hata mimi ukiwa unatoa maji ovyo sikuhitaji.

  • @KhadijsRashid
    @KhadijsRashid 23 дня назад

    Xx siangesema ukweli kwann alidanganya hapo kosa lke ni kudanganya na kwann alikubali kulala nae kabla hajamuoa na yy anajua si bikra angengoja tu akajua baada ya ndoa ila poleni ni mitihani ya maisha hiyo Inshaallah atapata iliyo kheri yke huyo hakuwa kheri yke ila na yy hilo.ni funzo siku nyingine aongee tu ukweli na asikubali kulala mpaka ndoa ipite

  • @christinefrancis4466
    @christinefrancis4466 Месяц назад

    Akitaka bikra asuburi mwenye ako tumboni sai

  • @ephmisitu638
    @ephmisitu638 Месяц назад

    Sasa bwanaharusi alivomwingilia kimwili sindo kamtoa bikra au kapiteje 🤨🤨

  • @kishkopakabalu8279
    @kishkopakabalu8279 Месяц назад

    Bikra wapo tena wapo weengi tuu...njooni Zanzibar

  • @mrtehchannel8177
    @mrtehchannel8177 Месяц назад

    🤣🤣🤣🤣

  • @user-mb2rx4je6u
    @user-mb2rx4je6u Месяц назад

    Apana,ishu sio bikra,,,ishu ni,,,mbona akadanganya?naomba jibu

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g 29 дней назад

    Kwa nn adanganye. Bwana harussi sio shida kama mahari alitoa na vinginevyo

  • @AnnastaziaMwandu
    @AnnastaziaMwandu Месяц назад

    Tatizo sio bakra k inamaji xana

  • @beautyafrica254
    @beautyafrica254 24 дня назад

    Mm kama mwanaume ,Tatizo ninaloliona hapo ni uongo wa bibi harusi .kwa nini adanganye kuwa ni bikra wakati sio bikra ,haiwezikani mtu yuko seriou na mahusiano mpaka kiasi cha kutaka kukuoa alafu unamdanganya kitu serious kama hicho.Mm pia nilibreak na mchumba wangu kisa ya kuniambia hana mtoto kumbe alikuwa na watoto wawili amewaficha hataki nijue .

  • @BoscorPatrick
    @BoscorPatrick Месяц назад

    Bakra amepeleka wap.akaolewe alikopeleka bakra.mnasingizia karne umalaya tu

  • @thomasirobert9907
    @thomasirobert9907 Месяц назад

    uyo biarus kama ameamua kudanganya asinge mpa kitumbua haja tulia dada

  • @hamzamohamedKeslivol
    @hamzamohamedKeslivol Месяц назад

    akiwa amedanganya saivi hataacha kuendelea kudanganya

  • @workmantiktok
    @workmantiktok Месяц назад

    bikra zipo kila kona wenye hawna wabaki kwao

  • @mjaweathman6519
    @mjaweathman6519 Месяц назад +2

    Mimi ningempakia super glue akenda akang'ang'ana ndio ajue hajawahi ona bikra kama hii😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @user-xm2rm7wn6h
      @user-xm2rm7wn6h Месяц назад +1

      We mwehu kweliii😂😂😂😂😂😂

    • @user-pw2bl4qd8w
      @user-pw2bl4qd8w Месяц назад

      😂😂😂😂 kumbe we mwehu kama mimi eeeh yaaan mie ningetia gundi kabisaah yaan mpka aseme mtoto katulia😂😂😂😂

    • @user-pw2bl4qd8w
      @user-pw2bl4qd8w Месяц назад +1

      😂😂😂😂 mie ningetia ngundi kabisaaa yaan ndo atajua vizur bikra ya kizungu😂😂😂😂

    • @saumuali2540
      @saumuali2540 Месяц назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌

    • @mjaweathman6519
      @mjaweathman6519 Месяц назад +1

      @@user-pw2bl4qd8w Ni mpumbavu Sana alisikia wapi hizo bikra ambazo siku hizi hatuzaliwi nazo🤣🤣🤣🤣

  • @athumanshaban
    @athumanshaban 24 дня назад

    Unataka bikra huku na ww siyo bikra

  • @GloryMbishi
    @GloryMbishi 26 дней назад

    Jaman pole mwaya dada utapata 2 wako

    • @shahamzanda5857
      @shahamzanda5857 24 дня назад

      bikra kibao na wengine tunaitiwa leo kesho tena na wazazi wao sio story story hizo. watu waache uzinzi wasisingizie hakuna bikra

  • @karisgaitho1972
    @karisgaitho1972 14 дней назад +1

    Nonsense

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Месяц назад

    Walipokutana wameendelea na nini kumbe bikra imeshaliwa kisha ndoa inavunjika kivipi ?

  • @nagibbashir9381
    @nagibbashir9381 Месяц назад

    Na kaka naye ni Malaya ,just Marry dat gal 😂

  • @user-bl8xo6qv5p
    @user-bl8xo6qv5p 26 дней назад

    duuuh

  • @Benson-ed3mg
    @Benson-ed3mg Месяц назад

    Uyo jamaa kama yeye ni bikra alijuaje mwenzio hana bikira wote waongo na wote walikuwa c bikra

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws Месяц назад

    kuleni wenyew utajuaaa

  • @user-xy4kt8wk6l
    @user-xy4kt8wk6l Месяц назад

    Niozesheni Mm

  • @jawabyamungukwibe9743
    @jawabyamungukwibe9743 Месяц назад

    Haaaaaaaaaaaaa huyo mwanaume fala hachuwe mukewake plz

  • @KVanny-jz9mh
    @KVanny-jz9mh Месяц назад

    ee haache uongo

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k Месяц назад

    Sasa kwanini aliongea uongo na nyie wanawake kuweni wakweli

  • @uiavajiwgav5441
    @uiavajiwgav5441 Месяц назад

    acheni aibu wa wa tanzania si issue yakueka mitandaoni uslamu haufundishi hivo

  • @FAUDHIAMATUMLA
    @FAUDHIAMATUMLA Месяц назад

    Je huyo mwanaume mbaka kufikiahapo hajawai kuingiliana na mwanamke aache ujinga

  • @philipwandiba9079
    @philipwandiba9079 Месяц назад

    Bakra is typing.....😅😅😅😅

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Месяц назад

    Mhhh

  • @EsauBanda-cw3cf
    @EsauBanda-cw3cf Месяц назад

    Lambda Bibi harusi akuwa anamaanisha bikra ya mkundu😅😅😅😅😅

  • @user-bf6hq6gi2r
    @user-bf6hq6gi2r Месяц назад

    Tatizo bindi yenu muongo kwnn aseme bikra 😅😅😅😅😅😅 mjifunze ht mm siwez kuowa Yan uwongo tu ht hatujaanza kuishi wote je tukianza kukaa p1

  • @daudysanga8492
    @daudysanga8492 29 дней назад

    Muoeni nyie

  • @mpozenzidavid4801
    @mpozenzidavid4801 Месяц назад

    Sasa kwa Nini alimundanganya?eti ni bikran

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Месяц назад

    Mbona munamdhalilisha huyu binti? Kweli bora ukose mali kuliko kukosa akili. Ukivuliwa nguo chutama.

  • @mahmudumsuya3831
    @mahmudumsuya3831 Месяц назад

    Mh atari

  • @user-pe1qv1sn5p
    @user-pe1qv1sn5p Месяц назад

    hio ndio faida ya uongo kudanganya inamaana gani sasa haya kashaingiliwa tayari na mchumba bs akae atulie limemshuka shuu nahata kama angekua bikra huyo mwanaume ni mshenzi pia

  • @Benson-ed3mg
    @Benson-ed3mg Месяц назад

    Ni uzalilishaji wa ngono kama pdd alivyo fanya

  • @user-zk3mp4gm4k
    @user-zk3mp4gm4k Месяц назад

    Weeeeeh bkra zimeogaaaah weeeh zakutosha daaah kwenda uko muwone ety ng*ong*oeeeeeh aloooh kama weeh ulivunjwa ukiwa bad san ahahhaha umedodaaaah ahahahahahah😂😂😂