@@mbwanakiting7180huenda kun mwngin yangekuj zaid kun uko HIV kuna Shari katika kheri na kun kheri katik Shari ni kwel ashaliwa lakin ajue hay machoz alomsababishia atayalipa maan malipo hap hap dunian hujaf hujaumbika msifanye HIV vijan
Watu mna ongea kwa kujifariji kwa sbb ni wanawake na Mambo yenu ni machafu siku hizi. Kosa LA huyo Dada ni kudanganya mwenzake kwamba yuko bikra na yeye mwanamke alimwambia hivyo
Kwani huyo mwanaume maybe alikuwa hajafanya mpaka hapo? Au alimfanyia unyanyasaji wa kijinsia maana kama ni dhambi ni ileile kwa wote .@@user-ii6gs2jg4g
Huyu dada ukute hajawahi kweli kulala na mwanaume mi naamini kwasabu mi hata sijui hiyo bikra ipoje mana siku yakwanza kukutana na mwanaume nilikuwa wakawaida tu
Kweli hata Mimi nilimuulizaga bibi YANGU mbona mnasema mtu alilala na mwanamume siku ya kwanza anaona damu??mbona Mimi sikuoona damu,bibi alicheka sana
Jamani Bikra sio wote wanatoa damu ndio ishara wengine unaweza lala na mtu na bado ubaki na ubiKira wako Nashangaa na akili ndogo ya watu anyway pole sana dada
mungu kakuepusha na hilo gume gume achana nae alitaka kukula tu huyo sasa kama nimuoaji kwanini asisubilie ndoa ipote ndio akale cha halali achana nae huyo mwanaume ni mzinifu tu huyo mbwa. mpumbavu tu
Mpaka atake kujua wewe bikra yeye anayo bikra yake. Wanawake wameumbwa dizain tatu wakwanza ukikutana nae utaiona bikra yake na wapili ukikutana nae unaweza usiione bikra yake kwakua iko mbali. Na pia kuna ambae hajaumbwa na hiyo bikra kabisa. Mshenzi tu huyo
Tukaanini😂😂😂 ila any way wadada jifunzeni kuwa wachoyo sa unampaje kabla hamjaoana au dini yenu inaruhusu?😂 Ndo ivyo sasa awezi kuoa asiye na bikra mana bikra ishavunjwa kabla ya ndoa😂😂😂 ila pole kwa kuachwa solemba😢 ila usituelewe vibaya wanaume atuko ivyo🖐️🧐
@@mwanashaali1109 Mi ntajuaje sasa 🤣 watu wanapanga kuoana Tena ndoa ya kidini lakini wanaanza kuonjana Kwanza sa tuelewe vipi may be DINI yenu inaruhusu 🧐
Ulikosea sana kumpa. Ulimkosea Mungu pia, Tubia na umuombe Mungu akupe Mume Bora... Na iwe fundisho kwa wanawake wanaowapa wanaume kama test kabla ya ndoa.. Hi sum kali...
Hilo ni kosa umelifanya Ila Omba sana Mola akusamehe na yeye Allah atamlipa kwa alichokitenda . Mwanamme akioa anaoa mwanamke sio anaoa uke . Wewe Mume utapata huyo alikuwa ni Jambazi tu
Usijali my dear yan huyo mwanaume atapata shida sana we tulia tu utampata mwingine atakae kupenda hakika,kizazi chake hakitakua salama we muache aneng'eneke hvyo hvyo.
Uongo ndio imekuponza kwa nn ukubali kwenda Kabila ya ndowa ulivyokuwa imemdanganya usingekubali kuingiliana nae mpaka ndowa ipite Sasa umejipeleka bwana anapiga hodi anaitikiwa Karibu ndio muwache Uongo kuweni wa Kweli.
Angeniita mimi aniambie njoo nione kama we ni bikra kweli angeshangaa sana maana angeona bikra ya kizungu ambayo hajawahiiona ningempakia super glue akang'ang'ana mpaka hicho kichwa chake kikaganda kwangu😂😂😂😂😂
😢😢😢 achananaye huyo simume nikidume tu et anataka bikra ivi yeye mwenyewe nibikra nakama yeye hajawai kula uroda na mwanamke yeyote alijuaje kuwa wewe sibkra msenge mkubwa huyo gume gume tu tena la hovyo sasa naktuma dada ukikutana naye mwambie sisi ndiotuko😊😊
Kwanini ulimdanganya hebu kueni wa kweli kwenye mausiano huo kaka hana kosa huenda ungemwambia ukweli mapema angevumilia hivo hivo sasa hapo unahadisia ili iweje?? Ukweli na kutokua muaminifu ndo vinaponza mausiano mengi😢😢😢
Hakuna Cha Ukweli,Uyoo dada Kweli Alimwambia Kweli,wanaume Wengii wanataka Kuona Damuu,Swalah La Bikraa Lina Hekima Sanah,Niko na Rafkii zanguu wawili,mmoja Alibakwaaa Na Mpenzii wake kwa Sababu nae alitaka Kihakisha Ubikra,ndio alitoa Damu,wakashtukaaa ety kumbe bikra kweli,Sasa Lkn siweziii kuoa mpaka nijue kama Waeza niridhishaaa ,huyuu Binti akakataa Aya wakaachanaa Ilimuuma ila ndio hivyo,Akapata Mume ila mume alimpenda tuh,hawakuzungumza Swalah La Ubikra Wala laaa ,Sasa Baadaa ya Kuolewa Ndioo mumewe Akaitoa Ile Bikra vizuri alifurahiii sanah msichana Wa Watu
na wa Pilii nae Aliridhika kweliii Kutolewa Huo ubikraaa,Ila Kumbe Haikutoka Kweliii Ikaja Tokaa Tena Sikuuu nyengineeee ,ilaaa hiii Ya Piliii Ilimuuma Kweli manake Ya Kwanza Alikubali Kutolewa na mvulana wake,Kisha wakaachana,Akapata Tena Wa Pilii kufanya Tena Ngonooo Ashangaa Kumbe Badoo mwarii ila Hiii ya Pilii Ilimuuma Sanah,Na Hata na Huyu alimuachaa akaja Akaolewa na Mume mwengine
Xaxa Swalah La Bira sio Damuu Bikra ni mtu ambae Hajawahii kuingiliwa,Basii Na Sio Ubikra Wotee Unatoka Sikuu ya Kwanzaaa,ata Kyltk diniii yetuuu Tumeshauriwa Umuingilie mkeo taratibuu asipitoke Damu,Umuingilie sikuuu Saba kidogo kidogo ukitengeneza njiaaaa,ila Wanaume wa xaxa hiviiii wengii wao wanakurupuka tuh
TATIZO LENU MNAJI RAHISISHA SANA KISA T UKIAMBIWA WATAKA OLEWA UNAENDA ZINI NAE 😢NDOA KWANZA HATA JIMAI NI TENDO LA NDOA SIO LA ZINAA HAYO NDIO MATOKEO YA ZINAA MJIFUNZE KUSEMA NOOO HAPANA SIZINI BILA NDOA SIFANYI TENDO LA NDOAAA.
Sasa kilichokupeleka huko ni kitu gani??? Ulibakiza siku 6 tu? Ila huyo njemba naye inabidi aadabishwe sbb angekupa live hapohapo mlipokutana,sasa siku baadaye ndo anatuma msg hiyo?
Mwanamke bikra hata asipotoka damu, ni lazima ujue, sababu huwa panakuwa panabana. Huyo jamaa nampa pongezi maana wanawake wa sasa wanapigwa mashine ovyo.
Lakini wewe dada kweli kabisa unadanganywaje kama hivyo wakati mwengine utumie akili sio hisia wala tamaa ya kuolewa,😂😂 maswali yenye alikuuliza ilikua inaonyesha kabisa nimuongo tena ukakubali kuliwa, ,haya we pole lakini
Mimi pia niliwahi kudanganywa hivyohivyo. Siku nakutana naye ngoma ikaingia kiulaini, nyie achen haya mambo ya kutetea wanawake ni kuendekeza upuuzi. Na kwanini umdanganye kuwa bikra ipo wakati unajua kuna wahuni waliwahi kukukamia. Wanawake wanatetewa sana kiasi kwamba hata wakiwa wezi ni ngumu kuamini.
Sio muoaji uyo mshenzi2 mbwa yeye😭😭😭😭😭😭😭
Kwanza kaenda kuzini naye. Wote hawa washenzi tu
Hata watoto wake watakuja fanyiwa hivyo hivyo ju malipo ni hapahapa duniani ahera ni esabu
Kama kwel malipo niduniani basi huyo binti kwa kitendo alicho fanyiwa nikalipadeni😢
Bado mtoto kidogo Mungu atakupa mwengine
Tatizo sio ubikra,tatizo nikusema uongo
@@minabuelysee8Oya umetoa bonge la point👏
@@minabuelysee8hiyo bikra kaitoa huyo huyo aliemuacha tabia mbaya sana hiii
Msii ikurubie zinaa
Hakika ya zinaa ni uchafu na zinaa nidhambi yatatu kwa ukubwa.
Dada pole sn ulimkosea mdg wangu iweje ukakutanenae siku yaa harusi imekaribia
Huyo jamaa katili sana. Ange mpeleka mahakamani Ili amlipe
Mungu ajakusahau utaolewa tenakwa ndoakubwa sana
Mnalaumu nn si ajamkuta na bikra
Alikuwa Sio muoaji..bikira kaitoa huyohuyo.. alafu anasema sio bikra mwanamme muongo huyo jibwa hilo achana nalo
Ni umalaya tu ndio kilicho mponza,
Kwakwel mungu kakuepusha san mshukur allah hay mengin yaache tu
Kamuepusha wakati kaliwa
@@mbwanakiting7180huenda kun mwngin yangekuj zaid kun uko HIV kuna Shari katika kheri na kun kheri katik Shari ni kwel ashaliwa lakin ajue hay machoz alomsababishia atayalipa maan malipo hap hap dunian hujaf hujaumbika msifanye HIV vijan
Mungu hakukupangia kakunusuru bomu huyo hana lolote usisikitike sana na familia yako
Angemtesa kwel ila mungu kamuokoa
Watu mna ongea kwa kujifariji kwa sbb ni wanawake na Mambo yenu ni machafu siku hizi. Kosa LA huyo Dada ni kudanganya mwenzake kwamba yuko bikra na yeye mwanamke alimwambia hivyo
Kwanza wamezini tu
Kwani huyo mwanaume maybe alikuwa hajafanya mpaka hapo? Au alimfanyia unyanyasaji wa kijinsia maana kama ni dhambi ni ileile kwa wote .@@user-ii6gs2jg4g
Ulichokwenda kumpa ndio kimekuponza,unge mwambia adi ndoa ifungwe ndio ukempa
Kitu chochote kikitokea kina sababu yake
Swadakta wanaji rahisisha Sanna hayo ndio matokeo ya zinaa
Hapana jaman hata Kama angemuoa bas ndoa yao isingedumu ingekua ya muda mfupi tu huyo hakua muoaj
Tatizo wewe ni muongo ni Bora ungemuweka wazi kuwa wewe sio bikra nyoko wewe alafu siku ingine usirudie Tena kujirahisisha
Ilo ndo kosa
Huyu dada ukute hajawahi kweli kulala na mwanaume mi naamini kwasabu mi hata sijui hiyo bikra ipoje mana siku yakwanza kukutana na mwanaume nilikuwa wakawaida tu
pole ila kawaida kutokwa na dam sana na maumivu mimi niliyapitia baada ya ndoa yangu
Kweli hata Mimi nilimuulizaga bibi YANGU mbona mnasema mtu alilala na mwanamume siku ya kwanza anaona damu??mbona Mimi sikuoona damu,bibi alicheka sana
Hata mimi sikuona chochote hiyo siku ya kwanza, ila tu ndo nilisikia maumivu ya kufa mtu
Mm najua maumiv bhb.. lkn damu skuonaa
Misemo ya kizamani,Ili kuogopeshwa tusiikalibie zinaa,nandiomana wengi katika balee zao Walikuwa wakijitunza,kwakuogopa huko kutoana damu nyingi.
Wanawake ni mama zetu dada zetu wake zetu ' lkn wengi katika wanawake akili zao hazipo imara na kutafakari kabla ya hadhari,ila poleni .
Jamani Bikra sio wote wanatoa damu ndio ishara wengine unaweza lala na mtu na bado ubaki na ubiKira wako Nashangaa na akili ndogo ya watu anyway pole sana dada
😂😂😂😂tamu lzma itoke
hiv ni kwel ukiwa bikra si lazima utoke damu?
Yey bikra alkua nayo?upumbavu tu yey achezee watoto wa watu huko Alaf anataka aoe mwanamke bikra mbwa huyoo!
mungu kakuepusha na hilo gume gume achana nae alitaka kukula tu huyo sasa kama nimuoaji kwanini asisubilie ndoa ipote ndio akale cha halali achana nae huyo mwanaume ni mzinifu tu huyo mbwa. mpumbavu tu
Na yeye kwanini alikubali kulalwa kwa zinaa😊
Shukuru Mungu kipenzi huwenda kuna kitu Mungu anakuepusha na jambo baya
Pamoja na kuepushwa, hayo ni makosa yake mwenyewe. Kwani MUNGU hakuzuia kuzini? Sa umeacha utaratibu kisha kikakulamba ndo umsingizie MUNGU! hahahaa
Pole sana utapata mwengne iyo cio riski yko
Pole dadaangu usijali uyo sio wakwako wakwako anakuja 😊😊
Usirudie tena kuto kabla ya ndoa lakn tujifunza ❤
Huna akili ulikubali vipi kuzini kabla ya ndoa akati alikuambia hawezi kuoa mwanamke ambae sio bikra😄😄😄
Mpaka atake kujua wewe bikra yeye anayo bikra yake. Wanawake wameumbwa dizain tatu wakwanza ukikutana nae utaiona bikra yake na wapili ukikutana nae unaweza usiione bikra yake kwakua iko mbali. Na pia kuna ambae hajaumbwa na hiyo bikra kabisa. Mshenzi tu huyo
ndo ukubwa huo ndo unakua 😂😂😂
Tukaanini😂😂😂 ila any way wadada jifunzeni kuwa wachoyo sa unampaje kabla hamjaoana au dini yenu inaruhusu?😂 Ndo ivyo sasa awezi kuoa asiye na bikra mana bikra ishavunjwa kabla ya ndoa😂😂😂 ila pole kwa kuachwa solemba😢 ila usituelewe vibaya wanaume atuko ivyo🖐️🧐
Alafuu wewe usiingizer Dini,Kuna dinii ganiii inaruhusu uzinifuuu,
@@mwanashaali1109 Mi ntajuaje sasa 🤣 watu wanapanga kuoana Tena ndoa ya kidini lakini wanaanza kuonjana Kwanza sa tuelewe vipi may be DINI yenu inaruhusu 🧐
Ulikosea sana kumpa.
Ulimkosea Mungu pia,
Tubia na umuombe Mungu akupe Mume Bora...
Na iwe fundisho kwa wanawake wanaowapa wanaume kama test kabla ya ndoa..
Hi sum kali...
Hapo hakuna mwanaume.
Utapata Mwenyezi Mungu aliyekujalia
Ulicho kosea kumpa kabla ya Ndoa.. uyo mzoefu kuaribu watoa wa wenzio..Mwamini Mungu atakufanyia wepesi.
Hiyo sio sababu hakuwa na nia ya kuoa . Kuna walioolewa hivyo na bado wameachwa tulia utapata wa kukuoa na usipende kuwa majaribio.
🧑🍼
Hilo ni kosa umelifanya Ila Omba sana Mola akusamehe na yeye Allah atamlipa kwa alichokitenda . Mwanamme akioa anaoa mwanamke sio anaoa uke . Wewe Mume utapata huyo alikuwa ni Jambazi tu
Usijali my dear yan huyo mwanaume atapata shida sana we tulia tu utampata mwingine atakae kupenda hakika,kizazi chake hakitakua salama we muache aneng'eneke hvyo hvyo.
Pole saana dada mungu atakupa mwingine
Allah atakujalia mume mwema kwanza yy adi atake mke bikla yy kashalala na wangapi ajakutana nazo na aliwaachaje mpuuzi tu uyo
Sasa unalia nini mdogo wangu kwani maisha yameisha hiyo ni changamoto tu za maisha hakuwa fungu lako huyo utapata wakwako wkt wa mungu ni sahihi
Utapata mume dada,,Mungu amekupangia mume wako sehemu
Iyo safiiii maharimengiiii lkn bikira hamzitunzi mnatuletea matobo iyondoadabu yenu
Pole dada,hata yeye kitamtoa ,usilie kwakua huyu alikua anataka tu kukutumia utaolewa
Akiki mdogo sana maana kosa ni kumwachia mzigo mama.Ulitakiwa kioimo cha ubikra ungeenda hospital
Hamuwajui wanawake nn. Ukute jamaa aliingiza ikaingia kiulaini, sasa mnataka aoe mwanamke muongo.😊
mshanzi huyo,lkn usijali dada utapata mume mwengine
Kwani yéyé bikra? Hajawahi kilala n'a mwanamke? Malaya wa kiume huyo bora kakataa angekutesa Sana mungu kakunusuru pôle dada
Subuhana Allah Allah atampalakumpa hapahapa duniani
Uongo ndio imekuponza kwa nn ukubali kwenda Kabila ya ndowa ulivyokuwa imemdanganya usingekubali kuingiliana nae mpaka ndowa ipite Sasa umejipeleka bwana anapiga hodi anaitikiwa Karibu ndio muwache Uongo kuweni wa Kweli.
Kumpata bikra raha jamani niulize mimi nilimpata wap😂😂😂😂😂😂😂😂
😄😄😄😄😄polee ata ukikutwa bikra m2 km cy muoaji hawez kkuoa
😂😂😂😂umetia akili sasa
Angeniita mimi aniambie njoo nione kama we ni bikra kweli angeshangaa sana maana angeona bikra ya kizungu ambayo hajawahiiona ningempakia super glue akang'ang'ana mpaka hicho kichwa chake kikaganda kwangu😂😂😂😂😂
😢😢😢 achananaye huyo simume nikidume tu et anataka bikra ivi yeye mwenyewe nibikra nakama yeye hajawai kula uroda na mwanamke yeyote alijuaje kuwa wewe sibkra msenge mkubwa huyo gume gume tu tena la hovyo sasa naktuma dada ukikutana naye mwambie sisi ndiotuko😊😊
Kwaninj ulimpa kabla. Umejichanganya mwenyewe
Kwanini ulimdanganya hebu kueni wa kweli kwenye mausiano huo kaka hana kosa huenda ungemwambia ukweli mapema angevumilia hivo hivo sasa hapo unahadisia ili iweje?? Ukweli na kutokua muaminifu ndo vinaponza mausiano mengi😢😢😢
Umeuponza mwenyewe ilikuaje ukaenda kwake muharibifu uyo pole sana
Eee akakudanganya ukakubali😂😂😂 muwenaakili
Karne hii bint wa miaka 20 huwezi mkuta bikra huyo hakuwa muoaji
Hayuko siriazi huyo jamaa yako 😂
Mamb vp❤❤❤
Tulia
Kwann ukubali kabla ya ndoa? Yaan hawa viumbe bila msimamo hutoboi we ungekaza tuu ivo ivo ungekufunga ndoa mngeenda kukulana uko😅
Siku nyengine usihadaike mpaka akuowe
Sasa kwanini udanganye na ww😅😅😅
SASA wewe ulienda kulala naye sababu ghani? Unge kata Hadi harusi iishe jameni😠
Huyo alomfanyia huu udanganyifu hatabaki salama
Ungemwambirisha ukweri 😂😂awo unatumiya😂dawa
Hakuna Cha Ukweli,Uyoo dada Kweli Alimwambia Kweli,wanaume Wengii wanataka Kuona Damuu,Swalah La Bikraa Lina Hekima Sanah,Niko na Rafkii zanguu wawili,mmoja Alibakwaaa Na Mpenzii wake kwa Sababu nae alitaka Kihakisha Ubikra,ndio alitoa Damu,wakashtukaaa ety kumbe bikra kweli,Sasa Lkn siweziii kuoa mpaka nijue kama Waeza niridhishaaa ,huyuu Binti akakataa Aya wakaachanaa Ilimuuma ila ndio hivyo,Akapata Mume ila mume alimpenda tuh,hawakuzungumza Swalah La Ubikra Wala laaa ,Sasa Baadaa ya Kuolewa Ndioo mumewe Akaitoa Ile Bikra vizuri alifurahiii sanah msichana Wa Watu
na wa Pilii nae Aliridhika kweliii Kutolewa Huo ubikraaa,Ila Kumbe Haikutoka Kweliii Ikaja Tokaa Tena Sikuuu nyengineeee ,ilaaa hiii Ya Piliii Ilimuuma Kweli manake Ya Kwanza Alikubali Kutolewa na mvulana wake,Kisha wakaachana,Akapata Tena Wa Pilii kufanya Tena Ngonooo Ashangaa Kumbe Badoo mwarii ila Hiii ya Pilii Ilimuuma Sanah,Na Hata na Huyu alimuachaa akaja Akaolewa na Mume mwengine
Xaxa Swalah La Bira sio Damuu Bikra ni mtu ambae Hajawahii kuingiliwa,Basii Na Sio Ubikra Wotee Unatoka Sikuu ya Kwanzaaa,ata Kyltk diniii yetuuu Tumeshauriwa Umuingilie mkeo taratibuu asipitoke Damu,Umuingilie sikuuu Saba kidogo kidogo ukitengeneza njiaaaa,ila Wanaume wa xaxa hiviiii wengii wao wanakurupuka tuh
Ila dadangu usijalii Kila Likuepukalooo Lina kherii nawee,ndioo umelia Umepata Fedhehaa ila Ipoo sikuuu utakuja Furahiii kwa Hiliii lililokukutaa,muhimuuu subraaa Tuh Munguu yupo
Mukanini ndo nini sasa kama we sio mhuni hhhh😂?
Uyo ni mnyama mnyama enyewe nguruwe ila pole san kam riski yako ipo kwa mungu bs utapata t2 muombe sana mungu dada
TATIZO LENU MNAJI RAHISISHA SANA KISA T UKIAMBIWA WATAKA OLEWA UNAENDA ZINI NAE 😢NDOA KWANZA HATA JIMAI NI TENDO LA NDOA SIO LA ZINAA HAYO NDIO MATOKEO YA ZINAA MJIFUNZE KUSEMA NOOO HAPANA SIZINI BILA NDOA SIFANYI TENDO LA NDOAAA.
Mtoto mazuli kama wewe utaolewa tu acha stress yule mshenzi tu sio muoaji
😮sasa hivi sio bikra sasa...😊
Pole.likuepukalo linamungu munguhakimu.🙏
Mumu, who Sent you dada. Ulitafutani kuko....?
Usijali wako yupo utaolewa tu utapata alie bora kwako
🤳
Sasa kwanini ulimdanganya? Ungemwambia ukweli aamue kukuoa au kukuacha kuliko aibu hiyo.
😂
Huyu ni mshenzi tu achukuliwe hatua la sivyo ataendeles na tabia hii ya kuharibu mabinti.
Kama hukuwa na bikra Kwa nn ulimdanganya
Mhandishi hovyo tunataka kujua kama anayo au hana.
Mume hana kosa sababu mlikubaliana bikra kumbe huna
Mwanamke mzuri sana utapata siku mtu sahihi kwako
Sasa kilichokupeleka huko ni kitu gani???
Ulibakiza siku 6 tu?
Ila huyo njemba naye inabidi aadabishwe sbb angekupa live hapohapo mlipokutana,sasa siku baadaye ndo anatuma msg hiyo?
Asalamualekum warahmatulahi wabarakatu
mbora kujuwa mapema kuliko kwenda kufanya mcukule shukuru mungu
Shoga pole sana,ila ulishindwa kumtengenezea hiyo bikraa?.
Ucjaliiiiiii wanaume wapooo na kama WaPo utampata tuu wa kupita ili maisha yaendeleer
Shobo zako we wajua hujahalalika ukajipeleka kwisha ww ndo maanake
Nayeye vipi alikua bikra uyo mwanamme mshenzi mmoja huyo
Mwanamke bikra hata asipotoka damu, ni lazima ujue, sababu huwa panakuwa panabana. Huyo jamaa nampa pongezi maana wanawake wa sasa wanapigwa mashine ovyo.
Lakini wewe dada kweli kabisa unadanganywaje kama hivyo wakati mwengine utumie akili sio hisia wala tamaa ya kuolewa,😂😂 maswali yenye alikuuliza ilikua inaonyesha kabisa nimuongo tena ukakubali kuliwa, ,haya we pole lakini
Kwanini muna towa ubukra? N'a kwanini muna fanya tendon baada yaarisi? Iko ni fundisho kwako
N'a kwawengine
Chanzo mtoto WAKIKE ni KUWA na msimamo ukisha KUWA namsimamamo hakuna WA kukuchezea pole kwa mkasa
Kosa lako ilo wew umejitunza siku zote unakubalika kudanganywa
Pole dadaangu usijali uyo sio wakwako wakwako anakuja
Hilo jamaa limemuonea tu Hy bint, alikuwa hampendi na kamkuta bint mwenyewe sio mtoto wa mjini.
😂😂😂Enhe
Haukua bikra wewe 😂😂
Kama ujawai kufanya kuwanini ulimpa yeye
pole sana kpnz allah atakujaalia mweny kher na ww
Mimi pia niliwahi kudanganywa hivyohivyo. Siku nakutana naye ngoma ikaingia kiulaini, nyie achen haya mambo ya kutetea wanawake ni kuendekeza upuuzi. Na kwanini umdanganye kuwa bikra ipo wakati unajua kuna wahuni waliwahi kukukamia. Wanawake wanatetewa sana kiasi kwamba hata wakiwa wezi ni ngumu kuamini.
POLE SANA DADA YANGU MPENDWA
Kamdanganyaaaaa Kwa nn sasa???? Kuwa mkwel tu muoaji anaoa anzen kusemaa ukweliii
Uko wapi mm nije tumalizie kufunga hiyo ndoa ?
Niko serious naomba kujua kama OK
Kweli apo hakuna kidume wa kuchukua mke huyo
Hii chanel story zao zinakuwaga za uongo ni kama wanatengenezaga filamu hiv
Kwann umdanganye shida sio bikra shida n uongo….
Sasa ulikubali kwanini?siku nyingine kuwa mjanja
Ata mimi nakuacha kwa nini uongope
Daah
Ulichokosea kukubari kulala nae alikuwa anakupima uaminifu walke