Mrembo aliyekosa ndoa kisa sio bikra.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 апр 2024
  • Follow us:
    ___________________________
    Instagram / ophorotube
    _______
    Facebook / ophoromedia
    ________
    Tiktok / ophorotube
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 281

  • @suleimanmuhiddin5363
    @suleimanmuhiddin5363 17 дней назад +33

    Sio muoaji uyo mshenzi2 mbwa yeye😭😭😭😭😭😭😭

    • @BilaliNuhu
      @BilaliNuhu 13 дней назад +3

      Kwanza kaenda kuzini naye. Wote hawa washenzi tu

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 15 дней назад +17

    Hata watoto wake watakuja fanyiwa hivyo hivyo ju malipo ni hapahapa duniani ahera ni esabu

    • @eminenceboy8386
      @eminenceboy8386 14 часов назад

      Kama kwel malipo niduniani basi huyo binti kwa kitendo alicho fanyiwa nikalipadeni😢

  • @luendosabah2047
    @luendosabah2047 26 дней назад +30

    Bado mtoto kidogo Mungu atakupa mwengine

    • @minabuelysee8
      @minabuelysee8 15 дней назад +2

      Tatizo sio ubikra,tatizo nikusema uongo

    • @SanyengeAlex
      @SanyengeAlex 11 дней назад +1

      ​@@minabuelysee8Oya umetoa bonge la point👏

    • @agathakalinga4739
      @agathakalinga4739 4 дня назад

      ​@@minabuelysee8hiyo bikra kaitoa huyo huyo aliemuacha tabia mbaya sana hiii

  • @bobaiddi9599
    @bobaiddi9599 25 дней назад +26

    Msii ikurubie zinaa

    • @MaulidAmri-zt2gv
      @MaulidAmri-zt2gv 16 дней назад +3

      Hakika ya zinaa ni uchafu na zinaa nidhambi yatatu kwa ukubwa.

    • @user-jv1ch4tr8q
      @user-jv1ch4tr8q 12 дней назад

      Dada pole sn ulimkosea mdg wangu iweje ukakutanenae siku yaa harusi imekaribia

    • @primedynamicstanzania9465
      @primedynamicstanzania9465 5 дней назад

      Huyo jamaa katili sana. Ange mpeleka mahakamani Ili amlipe

  • @JosephBaraka-mn7qx
    @JosephBaraka-mn7qx 16 дней назад +7

    Mungu ajakusahau utaolewa tenakwa ndoakubwa sana

  • @bayernsulesh568
    @bayernsulesh568 18 дней назад +23

    Alikuwa Sio muoaji..bikira kaitoa huyohuyo.. alafu anasema sio bikra mwanamme muongo huyo jibwa hilo achana nalo

  • @JidahHamisi-wq5yh
    @JidahHamisi-wq5yh 19 дней назад +8

    Kwakwel mungu kakuepusha san mshukur allah hay mengin yaache tu

    • @mbwanakiting7180
      @mbwanakiting7180 18 дней назад +1

      Kamuepusha wakati kaliwa

    • @JidahHamisi-wq5yh
      @JidahHamisi-wq5yh 18 дней назад

      @@mbwanakiting7180huenda kun mwngin yangekuj zaid kun uko HIV kuna Shari katika kheri na kun kheri katik Shari ni kwel ashaliwa lakin ajue hay machoz alomsababishia atayalipa maan malipo hap hap dunian hujaf hujaumbika msifanye HIV vijan

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 26 дней назад +17

    Mungu hakukupangia kakunusuru bomu huyo hana lolote usisikitike sana na familia yako

    • @sawasuleimanmwambungo9706
      @sawasuleimanmwambungo9706 20 дней назад +2

      Angemtesa kwel ila mungu kamuokoa

    • @user-ii6gs2jg4g
      @user-ii6gs2jg4g 16 дней назад

      Watu mna ongea kwa kujifariji kwa sbb ni wanawake na Mambo yenu ni machafu siku hizi. Kosa LA huyo Dada ni kudanganya mwenzake kwamba yuko bikra na yeye mwanamke alimwambia hivyo

    • @BilaliNuhu
      @BilaliNuhu 13 дней назад

      Kwanza wamezini tu

    • @lydiamaneno2596
      @lydiamaneno2596 3 дня назад

      Kwani huyo mwanaume maybe alikuwa hajafanya mpaka hapo? Au alimfanyia unyanyasaji wa kijinsia maana kama ni dhambi ni ileile kwa wote .​@@user-ii6gs2jg4g

  • @user-tc9vi3ow3n
    @user-tc9vi3ow3n 18 дней назад +20

    Ulichokwenda kumpa ndio kimekuponza,unge mwambia adi ndoa ifungwe ndio ukempa

    • @user-ih2kc7ie1e
      @user-ih2kc7ie1e 14 дней назад +4

      Kitu chochote kikitokea kina sababu yake

    • @user-qv8uo3bc6o
      @user-qv8uo3bc6o 14 дней назад +1

      Swadakta wanaji rahisisha Sanna hayo ndio matokeo ya zinaa

    • @QueenRajabu-hp1kf
      @QueenRajabu-hp1kf 12 дней назад +5

      Hapana jaman hata Kama angemuoa bas ndoa yao isingedumu ingekua ya muda mfupi tu huyo hakua muoaj

    • @user-wr4zu4un4s
      @user-wr4zu4un4s 12 дней назад +1

      Tatizo wewe ni muongo ni Bora ungemuweka wazi kuwa wewe sio bikra nyoko wewe alafu siku ingine usirudie Tena kujirahisisha

    • @agnesspaul1866
      @agnesspaul1866 2 дня назад

      Ilo ndo kosa

  • @user-et8gn1cd9p
    @user-et8gn1cd9p 19 дней назад +9

    Huyu dada ukute hajawahi kweli kulala na mwanaume mi naamini kwasabu mi hata sijui hiyo bikra ipoje mana siku yakwanza kukutana na mwanaume nilikuwa wakawaida tu

    • @maryamalhajri722
      @maryamalhajri722 19 дней назад +1

      pole ila kawaida kutokwa na dam sana na maumivu mimi niliyapitia baada ya ndoa yangu

    • @aminaabdulrahman5184
      @aminaabdulrahman5184 18 дней назад

      Kweli hata Mimi nilimuulizaga bibi YANGU mbona mnasema mtu alilala na mwanamume siku ya kwanza anaona damu??mbona Mimi sikuoona damu,bibi alicheka sana

    • @fortunataangelo5575
      @fortunataangelo5575 16 дней назад +1

      Hata mimi sikuona chochote hiyo siku ya kwanza, ila tu ndo nilisikia maumivu ya kufa mtu

    • @L_twaxiebae123...
      @L_twaxiebae123... 16 дней назад +4

      Mm najua maumiv bhb.. lkn damu skuonaa

    • @mohamedsadiki3612
      @mohamedsadiki3612 14 дней назад

      Misemo ya kizamani,Ili kuogopeshwa tusiikalibie zinaa,nandiomana wengi katika balee zao Walikuwa wakijitunza,kwakuogopa huko kutoana damu nyingi.

  • @mwinyiusiali-gd1hx
    @mwinyiusiali-gd1hx 15 дней назад +2

    Wanawake ni mama zetu dada zetu wake zetu ' lkn wengi katika wanawake akili zao hazipo imara na kutafakari kabla ya hadhari,ila poleni .

  • @user-kv4hb7mc5m
    @user-kv4hb7mc5m 17 дней назад +5

    Jamani Bikra sio wote wanatoa damu ndio ishara wengine unaweza lala na mtu na bado ubaki na ubiKira wako Nashangaa na akili ndogo ya watu anyway pole sana dada

  • @ednantabalwa1118
    @ednantabalwa1118 20 дней назад +3

    Yey bikra alkua nayo?upumbavu tu yey achezee watoto wa watu huko Alaf anataka aoe mwanamke bikra mbwa huyoo!

  • @user-pe1qv1sn5p
    @user-pe1qv1sn5p 19 дней назад +5

    mungu kakuepusha na hilo gume gume achana nae alitaka kukula tu huyo sasa kama nimuoaji kwanini asisubilie ndoa ipote ndio akale cha halali achana nae huyo mwanaume ni mzinifu tu huyo mbwa. mpumbavu tu

    • @BilaliNuhu
      @BilaliNuhu 13 дней назад

      Na yeye kwanini alikubali kulalwa kwa zinaa😊

  • @ekiliangoliga644
    @ekiliangoliga644 13 дней назад +3

    Shukuru Mungu kipenzi huwenda kuna kitu Mungu anakuepusha na jambo baya

    • @nth3512
      @nth3512 4 дня назад +1

      Pamoja na kuepushwa, hayo ni makosa yake mwenyewe. Kwani MUNGU hakuzuia kuzini? Sa umeacha utaratibu kisha kikakulamba ndo umsingizie MUNGU! hahahaa

  • @user-bx1uu8fm7m
    @user-bx1uu8fm7m 15 дней назад +1

    Pole sana utapata mwengne iyo cio riski yko

  • @KarokiaNdirango-lj3wf
    @KarokiaNdirango-lj3wf 17 дней назад +9

    Pole dadaangu usijali uyo sio wakwako wakwako anakuja 😊😊

  • @KhalidNa-bn4gp
    @KhalidNa-bn4gp 5 дней назад

    Usirudie tena kuto kabla ya ndoa lakn tujifunza ❤

  • @shazilnamkoko-jx4fp
    @shazilnamkoko-jx4fp 4 дня назад

    Huna akili ulikubali vipi kuzini kabla ya ndoa akati alikuambia hawezi kuoa mwanamke ambae sio bikra😄😄😄

  • @AminaMohamed-bs4bm
    @AminaMohamed-bs4bm 18 дней назад +1

    Mpaka atake kujua wewe bikra yeye anayo bikra yake. Wanawake wameumbwa dizain tatu wakwanza ukikutana nae utaiona bikra yake na wapili ukikutana nae unaweza usiione bikra yake kwakua iko mbali. Na pia kuna ambae hajaumbwa na hiyo bikra kabisa. Mshenzi tu huyo

  • @mjumbewakristo8677
    @mjumbewakristo8677 20 дней назад +3

    ndo ukubwa huo ndo unakua 😂😂😂

  • @msiyambili7224
    @msiyambili7224 26 дней назад +5

    Tukaanini😂😂😂 ila any way wadada jifunzeni kuwa wachoyo sa unampaje kabla hamjaoana au dini yenu inaruhusu?😂 Ndo ivyo sasa awezi kuoa asiye na bikra mana bikra ishavunjwa kabla ya ndoa😂😂😂 ila pole kwa kuachwa solemba😢 ila usituelewe vibaya wanaume atuko ivyo🖐️🧐

    • @mwanashaali1109
      @mwanashaali1109 17 дней назад +2

      Alafuu wewe usiingizer Dini,Kuna dinii ganiii inaruhusu uzinifuuu,

    • @msiyambili7224
      @msiyambili7224 17 дней назад

      @@mwanashaali1109 Mi ntajuaje sasa 🤣 watu wanapanga kuoana Tena ndoa ya kidini lakini wanaanza kuonjana Kwanza sa tuelewe vipi may be DINI yenu inaruhusu 🧐

  • @allysinde6208
    @allysinde6208 14 дней назад +4

    Ulikosea sana kumpa.
    Ulimkosea Mungu pia,
    Tubia na umuombe Mungu akupe Mume Bora...
    Na iwe fundisho kwa wanawake wanaowapa wanaume kama test kabla ya ndoa..
    Hi sum kali...

  • @filipomgema8586
    @filipomgema8586 21 день назад +1

    Hapo hakuna mwanaume.
    Utapata Mwenyezi Mungu aliyekujalia

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika День назад

    Ulicho kosea kumpa kabla ya Ndoa.. uyo mzoefu kuaribu watoa wa wenzio..Mwamini Mungu atakufanyia wepesi.

  • @talentshow2024
    @talentshow2024 16 дней назад +2

    Hiyo sio sababu hakuwa na nia ya kuoa . Kuna walioolewa hivyo na bado wameachwa tulia utapata wa kukuoa na usipende kuwa majaribio.

  • @umiy1971
    @umiy1971 9 дней назад

    Hilo ni kosa umelifanya Ila Omba sana Mola akusamehe na yeye Allah atamlipa kwa alichokitenda . Mwanamme akioa anaoa mwanamke sio anaoa uke . Wewe Mume utapata huyo alikuwa ni Jambazi tu

  • @agathakalinga4739
    @agathakalinga4739 4 дня назад

    Usijali my dear yan huyo mwanaume atapata shida sana we tulia tu utampata mwingine atakae kupenda hakika,kizazi chake hakitakua salama we muache aneng'eneke hvyo hvyo.

  • @wardasalumidiwardaidi9635
    @wardasalumidiwardaidi9635 20 дней назад +2

    Pole saana dada mungu atakupa mwingine

  • @AminaKassim-ni9wd
    @AminaKassim-ni9wd 9 дней назад

    Allah atakujalia mume mwema kwanza yy adi atake mke bikla yy kashalala na wangapi ajakutana nazo na aliwaachaje mpuuzi tu uyo

  • @LyidiaSilayo
    @LyidiaSilayo 10 дней назад

    Sasa unalia nini mdogo wangu kwani maisha yameisha hiyo ni changamoto tu za maisha hakuwa fungu lako huyo utapata wakwako wkt wa mungu ni sahihi

  • @HappyMunisi-ig6he
    @HappyMunisi-ig6he 15 дней назад

    Utapata mume dada,,Mungu amekupangia mume wako sehemu

  • @Abdullkimossa
    @Abdullkimossa 14 дней назад

    Iyo safiiii maharimengiiii lkn bikira hamzitunzi mnatuletea matobo iyondoadabu yenu

  • @thomasorembo9830
    @thomasorembo9830 9 дней назад

    Pole dada,hata yeye kitamtoa ,usilie kwakua huyu alikua anataka tu kukutumia utaolewa

  • @tumainiellyimo4657
    @tumainiellyimo4657 11 дней назад

    Akiki mdogo sana maana kosa ni kumwachia mzigo mama.Ulitakiwa kioimo cha ubikra ungeenda hospital

  • @LifeTalkEd
    @LifeTalkEd 9 дней назад

    Hamuwajui wanawake nn. Ukute jamaa aliingiza ikaingia kiulaini, sasa mnataka aoe mwanamke muongo.😊

  • @abdulnoor6221
    @abdulnoor6221 14 дней назад

    mshanzi huyo,lkn usijali dada utapata mume mwengine

  • @franciscarsongea7948
    @franciscarsongea7948 17 дней назад +1

    Kwani yéyé bikra? Hajawahi kilala n'a mwanamke? Malaya wa kiume huyo bora kakataa angekutesa Sana mungu kakunusuru pôle dada

  • @user-nc1zc6tw2i
    @user-nc1zc6tw2i День назад

    Subuhana Allah Allah atampalakumpa hapahapa duniani

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 25 дней назад +1

    Uongo ndio imekuponza kwa nn ukubali kwenda Kabila ya ndowa ulivyokuwa imemdanganya usingekubali kuingiliana nae mpaka ndowa ipite Sasa umejipeleka bwana anapiga hodi anaitikiwa Karibu ndio muwache Uongo kuweni wa Kweli.

  • @SaidLikando-ny4fu
    @SaidLikando-ny4fu 15 дней назад

    Kumpata bikra raha jamani niulize mimi nilimpata wap😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-rb8yh2xp8w
    @user-rb8yh2xp8w 3 дня назад

    😄😄😄😄😄polee ata ukikutwa bikra m2 km cy muoaji hawez kkuoa

  • @karisgaitho1972
    @karisgaitho1972 2 дня назад

    😂😂😂😂umetia akili sasa

  • @mjaweathman6519
    @mjaweathman6519 14 дней назад

    Angeniita mimi aniambie njoo nione kama we ni bikra kweli angeshangaa sana maana angeona bikra ya kizungu ambayo hajawahiiona ningempakia super glue akang'ang'ana mpaka hicho kichwa chake kikaganda kwangu😂😂😂😂😂

  • @rahemh1234
    @rahemh1234 13 дней назад

    😢😢😢 achananaye huyo simume nikidume tu et anataka bikra ivi yeye mwenyewe nibikra nakama yeye hajawai kula uroda na mwanamke yeyote alijuaje kuwa wewe sibkra msenge mkubwa huyo gume gume tu tena la hovyo sasa naktuma dada ukikutana naye mwambie sisi ndiotuko😊😊

  • @YusufuKitulu-xz4hz
    @YusufuKitulu-xz4hz 19 дней назад +1

    Kwaninj ulimpa kabla. Umejichanganya mwenyewe

  • @user-xh7wy2mi2j
    @user-xh7wy2mi2j 13 дней назад

    Kwanini ulimdanganya hebu kueni wa kweli kwenye mausiano huo kaka hana kosa huenda ungemwambia ukweli mapema angevumilia hivo hivo sasa hapo unahadisia ili iweje?? Ukweli na kutokua muaminifu ndo vinaponza mausiano mengi😢😢😢

  • @user-qw4yf5my9q
    @user-qw4yf5my9q 9 дней назад

    Umeuponza mwenyewe ilikuaje ukaenda kwake muharibifu uyo pole sana

  • @user-ci5vo6sb2h
    @user-ci5vo6sb2h 15 дней назад

    Eee akakudanganya ukakubali😂😂😂 muwenaakili

  • @SanyengeAlex
    @SanyengeAlex 11 дней назад

    Karne hii bint wa miaka 20 huwezi mkuta bikra huyo hakuwa muoaji

  • @mrtehchannel8177
    @mrtehchannel8177 10 дней назад

    Hayuko siriazi huyo jamaa yako 😂

  • @ExcitedDragonflies-zx5qb
    @ExcitedDragonflies-zx5qb 14 дней назад

    Mamb vp❤❤❤

  • @user-em4io4sd7v
    @user-em4io4sd7v 17 дней назад +1

    Tulia

  • @ashurajumaa2478
    @ashurajumaa2478 16 дней назад

    Kwann ukubali kabla ya ndoa? Yaan hawa viumbe bila msimamo hutoboi we ungekaza tuu ivo ivo ungekufunga ndoa mngeenda kukulana uko😅

  • @mumtaaz1888
    @mumtaaz1888 13 дней назад

    Siku nyengine usihadaike mpaka akuowe

  • @elibarikikivuyo5946
    @elibarikikivuyo5946 8 дней назад

    Sasa kwanini udanganye na ww😅😅😅

  • @geraldinedavids6790
    @geraldinedavids6790 18 дней назад

    SASA wewe ulienda kulala naye sababu ghani? Unge kata Hadi harusi iishe jameni😠

  • @georgegodfrey1692
    @georgegodfrey1692 26 дней назад +6

    Huyo alomfanyia huu udanganyifu hatabaki salama

  • @christainc.5217
    @christainc.5217 20 дней назад +4

    Ungemwambirisha ukweri 😂😂awo unatumiya😂dawa

    • @mwanashaali1109
      @mwanashaali1109 17 дней назад

      Hakuna Cha Ukweli,Uyoo dada Kweli Alimwambia Kweli,wanaume Wengii wanataka Kuona Damuu,Swalah La Bikraa Lina Hekima Sanah,Niko na Rafkii zanguu wawili,mmoja Alibakwaaa Na Mpenzii wake kwa Sababu nae alitaka Kihakisha Ubikra,ndio alitoa Damu,wakashtukaaa ety kumbe bikra kweli,Sasa Lkn siweziii kuoa mpaka nijue kama Waeza niridhishaaa ,huyuu Binti akakataa Aya wakaachanaa Ilimuuma ila ndio hivyo,Akapata Mume ila mume alimpenda tuh,hawakuzungumza Swalah La Ubikra Wala laaa ,Sasa Baadaa ya Kuolewa Ndioo mumewe Akaitoa Ile Bikra vizuri alifurahiii sanah msichana Wa Watu

    • @mwanashaali1109
      @mwanashaali1109 17 дней назад +1

      na wa Pilii nae Aliridhika kweliii Kutolewa Huo ubikraaa,Ila Kumbe Haikutoka Kweliii Ikaja Tokaa Tena Sikuuu nyengineeee ,ilaaa hiii Ya Piliii Ilimuuma Kweli manake Ya Kwanza Alikubali Kutolewa na mvulana wake,Kisha wakaachana,Akapata Tena Wa Pilii kufanya Tena Ngonooo Ashangaa Kumbe Badoo mwarii ila Hiii ya Pilii Ilimuuma Sanah,Na Hata na Huyu alimuachaa akaja Akaolewa na Mume mwengine

    • @mwanashaali1109
      @mwanashaali1109 17 дней назад +1

      Xaxa Swalah La Bira sio Damuu Bikra ni mtu ambae Hajawahii kuingiliwa,Basii Na Sio Ubikra Wotee Unatoka Sikuu ya Kwanzaaa,ata Kyltk diniii yetuuu Tumeshauriwa Umuingilie mkeo taratibuu asipitoke Damu,Umuingilie sikuuu Saba kidogo kidogo ukitengeneza njiaaaa,ila Wanaume wa xaxa hiviiii wengii wao wanakurupuka tuh

    • @mwanashaali1109
      @mwanashaali1109 17 дней назад

      Ila dadangu usijalii Kila Likuepukalooo Lina kherii nawee,ndioo umelia Umepata Fedhehaa ila Ipoo sikuuu utakuja Furahiii kwa Hiliii lililokukutaa,muhimuuu subraaa Tuh Munguu yupo

  • @cyubahiroclement191
    @cyubahiroclement191 14 дней назад

    Mukanini ndo nini sasa kama we sio mhuni hhhh😂?

  • @abdulialiy919
    @abdulialiy919 5 дней назад

    Uyo ni mnyama mnyama enyewe nguruwe ila pole san kam riski yako ipo kwa mungu bs utapata t2 muombe sana mungu dada

  • @user-qv8uo3bc6o
    @user-qv8uo3bc6o 14 дней назад

    TATIZO LENU MNAJI RAHISISHA SANA KISA T UKIAMBIWA WATAKA OLEWA UNAENDA ZINI NAE 😢NDOA KWANZA HATA JIMAI NI TENDO LA NDOA SIO LA ZINAA HAYO NDIO MATOKEO YA ZINAA MJIFUNZE KUSEMA NOOO HAPANA SIZINI BILA NDOA SIFANYI TENDO LA NDOAAA.

  • @OmaryKaniki-hs5mz
    @OmaryKaniki-hs5mz 14 дней назад

    Mtoto mazuli kama wewe utaolewa tu acha stress yule mshenzi tu sio muoaji

  • @MullarCmk
    @MullarCmk 14 дней назад

    😮sasa hivi sio bikra sasa...😊

  • @user-oz1pq2di8i
    @user-oz1pq2di8i 15 дней назад

    Pole.likuepukalo linamungu munguhakimu.🙏

  • @diasporachallenges3148
    @diasporachallenges3148 26 дней назад +1

    Mumu, who Sent you dada. Ulitafutani kuko....?

  • @safarikarisa5912
    @safarikarisa5912 16 дней назад +1

    Usijali wako yupo utaolewa tu utapata alie bora kwako

  • @rachelmuhehe7789
    @rachelmuhehe7789 16 дней назад +1

    Sasa kwanini ulimdanganya? Ungemwambia ukweli aamue kukuoa au kukuacha kuliko aibu hiyo.

  • @elimidakashumba2422
    @elimidakashumba2422 18 дней назад

    Huyu ni mshenzi tu achukuliwe hatua la sivyo ataendeles na tabia hii ya kuharibu mabinti.

  • @privatusbamuhiga8796
    @privatusbamuhiga8796 3 дня назад

    Kama hukuwa na bikra Kwa nn ulimdanganya

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 18 дней назад

    Mhandishi hovyo tunataka kujua kama anayo au hana.
    Mume hana kosa sababu mlikubaliana bikra kumbe huna

  • @yohanaazaeli4841
    @yohanaazaeli4841 11 дней назад

    Mwanamke mzuri sana utapata siku mtu sahihi kwako

  • @Worldunite
    @Worldunite 23 дня назад +3

    Sasa kilichokupeleka huko ni kitu gani???
    Ulibakiza siku 6 tu?
    Ila huyo njemba naye inabidi aadabishwe sbb angekupa live hapohapo mlipokutana,sasa siku baadaye ndo anatuma msg hiyo?

  • @mziguwaosman8539
    @mziguwaosman8539 16 дней назад

    Asalamualekum warahmatulahi wabarakatu

  • @mwatimampate1956
    @mwatimampate1956 9 дней назад

    mbora kujuwa mapema kuliko kwenda kufanya mcukule shukuru mungu

  • @user-mk9vk5pe6i
    @user-mk9vk5pe6i 14 дней назад

    Shoga pole sana,ila ulishindwa kumtengenezea hiyo bikraa?.

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 15 дней назад

    Ucjaliiiiiii wanaume wapooo na kama WaPo utampata tuu wa kupita ili maisha yaendeleer

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjiku 16 дней назад

    Shobo zako we wajua hujahalalika ukajipeleka kwisha ww ndo maanake

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 14 дней назад

    Nayeye vipi alikua bikra uyo mwanamme mshenzi mmoja huyo

  • @LifeTalkEd
    @LifeTalkEd 9 дней назад

    Mwanamke bikra hata asipotoka damu, ni lazima ujue, sababu huwa panakuwa panabana. Huyo jamaa nampa pongezi maana wanawake wa sasa wanapigwa mashine ovyo.

  • @neemakarisa1496
    @neemakarisa1496 12 дней назад

    Lakini wewe dada kweli kabisa unadanganywaje kama hivyo wakati mwengine utumie akili sio hisia wala tamaa ya kuolewa,😂😂 maswali yenye alikuuliza ilikua inaonyesha kabisa nimuongo tena ukakubali kuliwa, ,haya we pole lakini

  • @user-ox6ow1zq9u
    @user-ox6ow1zq9u 12 дней назад

    Kwanini muna towa ubukra? N'a kwanini muna fanya tendon baada yaarisi? Iko ni fundisho kwako
    N'a kwawengine

  • @alizaharan1471
    @alizaharan1471 10 дней назад

    Chanzo mtoto WAKIKE ni KUWA na msimamo ukisha KUWA namsimamamo hakuna WA kukuchezea pole kwa mkasa

  • @bakarimusa6297
    @bakarimusa6297 14 дней назад

    Kosa lako ilo wew umejitunza siku zote unakubalika kudanganywa

  • @KarokiaNdirango-lj3wf
    @KarokiaNdirango-lj3wf 17 дней назад

    Pole dadaangu usijali uyo sio wakwako wakwako anakuja

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 14 дней назад

    Hilo jamaa limemuonea tu Hy bint, alikuwa hampendi na kamkuta bint mwenyewe sio mtoto wa mjini.

  • @sarahnekesa7871
    @sarahnekesa7871 15 дней назад

    😂😂😂Enhe

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 13 дней назад

    Haukua bikra wewe 😂😂

  • @AxmedCabdi-ol5rd
    @AxmedCabdi-ol5rd 15 дней назад

    Kama ujawai kufanya kuwanini ulimpa yeye

  • @user-ro7zr8eq5i
    @user-ro7zr8eq5i 15 дней назад

    pole sana kpnz allah atakujaalia mweny kher na ww

  • @LifeTalkEd
    @LifeTalkEd 9 дней назад

    Mimi pia niliwahi kudanganywa hivyohivyo. Siku nakutana naye ngoma ikaingia kiulaini, nyie achen haya mambo ya kutetea wanawake ni kuendekeza upuuzi. Na kwanini umdanganye kuwa bikra ipo wakati unajua kuna wahuni waliwahi kukukamia. Wanawake wanatetewa sana kiasi kwamba hata wakiwa wezi ni ngumu kuamini.

  • @daviskibago1413
    @daviskibago1413 14 дней назад

    POLE SANA DADA YANGU MPENDWA

  • @gaudencekanut902
    @gaudencekanut902 15 дней назад

    Kamdanganyaaaaa Kwa nn sasa???? Kuwa mkwel tu muoaji anaoa anzen kusemaa ukweliii

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 24 дня назад +1

    Uko wapi mm nije tumalizie kufunga hiyo ndoa ?
    Niko serious naomba kujua kama OK

  • @sultansallah8772
    @sultansallah8772 17 дней назад

    Kweli apo hakuna kidume wa kuchukua mke huyo

  • @metoo-zv7eq
    @metoo-zv7eq 17 дней назад

    Hii chanel story zao zinakuwaga za uongo ni kama wanatengenezaga filamu hiv

  • @denishaule6314
    @denishaule6314 14 дней назад

    Kwann umdanganye shida sio bikra shida n uongo….

  • @Chr196
    @Chr196 18 дней назад

    Sasa ulikubali kwanini?siku nyingine kuwa mjanja

  • @user-ll9vy5xn4i
    @user-ll9vy5xn4i 16 дней назад +1

    Ata mimi nakuacha kwa nini uongope

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 2 дня назад

    Ulichokosea kukubari kulala nae alikuwa anakupima uaminifu walke